NYETO NYETONI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 11
“mwalimu unamaanisha nini kumtaja Chinogae inamaana wewe ndiyo Chinoge yule shujaa niliyewahi kumsoma kwenye kitabu cha Mashujaa”
”hapana sio mimi”
“kama sio wewe je wewe unaitwa nani!”
“naitwa Hadar”
”opsii nilidhani wewe ndiyo Chinoge maana nilivyomsoma kwenye kitabu hakika anatisha mno”
Basi Hadar akuzungumza kitu mpaka wanawasili nnje ya geti la nyumba kubwa ya Bibie Fetty akaagana na Ducha
“whaoo baba huyo hatimae karudi kutoka kutafuta”
Fetty alimkaribisha Ducha kwa furaha akatanua mikono na kumkumbatia kitendo ambacho kilimuuzi na kumkasirisha Sana yule binti aitwae Samiya
Alimuangalia Ducha kwa jicho kali
Ducha aliweza kutambua hilo naye kwa makusudi ndiyo kwanza akajikumbata mwilini mwa bibie
Wiki moja baadae Ducha alishaweza kufahamika kuanzia Chamazi Kisewe mpaka Mbande hii yote sababu ya utukutu wake Makondakta na Madereva walimfahamu vyema kuwa ni mmoja kati ya watoto wabishi kupita kiasi
Siku moja Samiya alikuwa nnje akiendeesha Baiskeri wakati anaendelea kuendeesha mara ghafla kuna Gari aina ya Noah nyeusi ilikuja kwa kasi na kupaki mbele yake Ikashuka mipandikizi ya mibaba na kumbeba himahima wakampakiza kwenye gari na kutokomea naye Gizani japokua alipiga kelele ambazo zilimshtua Fetty aliyekuwa kajipumzisha pembezoni mwa Swimming pool akijisomea kitabu
“Baraka wee Baraka”
“naamu maadam”
“embu nenda nnje huko kamuangalie Samiya kitu gani kimemkuta maana nimemsikia kama kapiga kelele!”
Fetty alizungumza hivyo haliyakuwa na yeye akielekea getini
Mlango wa Geti ulikuwa umesindikwa walipotoka nnje walishangaa kuiona Baiskeri ya Samiya ikiwa imelazwa chini wakati Samiya mwenyewe hayupo
“wee Samiya Samiyaa”
Fetty akapaza sauti kumwita mdogo wake walizunguka huku na kule kumtafuta lakini hawakuweza kumuona
Fetty alichanganyikiwa kupita kiasi akaitoa simu yake na kumpigia sijui nani
”Assalamu Alaykum yaa Abii”
“Waaleykum Ssalamu yaa Ibnaiya”
“baba Samiya amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha”
“Fatma mwanangu”
“abee baba”
“wala usiwe na shaka juu ya hilo swala”
“khaa kwanini baba?”
“huu sio muda wa kuniuliza maswali ambayo tayari wee mwenyewe una majibu yake tulia Binti yangu”
”inamanaa Bamdogo Ismail ndiyo atakuwa kakamirisha adhma yake ya kumteka Samiya kama alivyokula kiapo kipindi kile?”
“bila shaka umeshapata jibu ndiyo maana nikataka utulie wala usiende kutoa taarifa za kupotea kwake kituo chochote cha polisi
Ukifanya hivyo tutamkosa”
”sawa baba nimekuelewa”
Simu ikakatwa Fetty akamtaka Baraka aingize ile Baiskeri ndani
Upande mwingine tunamuona jamaa fulani akiwa amekaa na mzee mmoja wa makamo akizungumza naye jambo
“kiukweli mzee wangu ndani ya ndoa yangu Kuna matatizo makubwa Yani mpaka inafikia muda natamani hata kujiuwa”
“Astaqhafirullah Shabani wewe embu kwanza mlaani sheitwani imekuwaje tena mpaka unataka kufikia hatua hiyo?”
“sijui hata nianzie wapi nimalizie wapi?”
“anzia popote tu!”
“nakumbuka ilikuwa ni tarehe 13/5/2007
Nilijiandaa kwajili ya kwenda kuoga nikaingia Bafuni na kuanza kujimwagia maji ukafika wakati wa kujipaka sabuni nikajipaka mwili mzima
Tatizo likanzia pale nilipoupaka uume wangu nikawa nausugua kama vile natoa taka
Kadri nilivyokuwa nausugua nikawa nahisi raha za ajabu yani kama vile nimeingiza kwenye uchi wa Mwanamke nikapiga magoti kabisa nikaongeza kasi ya kuusugua Pasipo najiingiza kwenye kitanzi cha Nyeto Nyetoni muda kidogo nilijikuta nikimwaga manii kwa wingi sana tena ziliruka kama vile bomu la nyuklia.
Tokea siku hiyo nikawa nanyetuka
Nilianza kuwachukia wanawake kwani niliwaona si chochote kitu mbele ya Punyeto
Niliwaona wapumbavu na wajinga wale wote waliokuwa wakielezea madhara ya punyeto chama cha
Chaputa kikaniteka nikawa mtumwa nisiejitambua japokuwa kuna wanawake niliwatongoza kila aliyenikubari nilifanya naye nae mapenzi tena nilipiga zile show za kibabe nikawa nasifiwa kuwa nawafikisha kule watakapo,
Mwanaume nilivimba bichwa nikazidisha kiwango cha kupiga Nyeto nikidhani ya kwamba ndiyo inayoniongezea nguvu za kuwasugua watoto Wakike
Ukafika muda wa mimi kuhitaji kuoa maana nilihitaji kuwa na familia
Mungu akajaalia nikaweza kufunga ndoa na Bi Sada
Mwanzoni mwa ndoa yetu nilikuwa namkuna vyema mpaka yeye mwenyewe anaomba poo
Ajabu siku moja tukiwa kwenye maandalizi Uume wangu uligoma kusimama nilijishangaa sana nikahisi labda nimerogwa. Mke wangu akatumia ujuzi wake wote aliofundwa unyagoni kunisisimua lakini wapi. Ndiyo kwanza kitu kilikuwa kimelala doro kwa kunywea na kurudi ndani ulikuwa mdogo pasipo kawaida
Basi tukalala hivyo hivyo pasipo kufanya chochote kesho yake nilidamkia kwa mchepuko wangu Zawadi huko napo haikusimama
Sikuweza kufahamu tatizo nikitu gani imani za kishirikina ndizo zilizotawala akilini mwangu.
Siku baada ya siku mwili wangu ulianza kubadirika nikifanya kazi kidogo tu nahema kama vile Mbwa koko aliyetoka kukimbizwa nikawa ni mtu wa kusinzia sinzia kila wakati hasa nikipanda Daladala
Miguu nayo ikawa inakosa balansi
Licha ya yote hayo sikuacha kupiga Nyeto nikiangalia video za ngono uume wangu unasimama ngangari lakini mke wangu hata avue nguo hapo na kunipanulia mi hata sishtuki,,,
“Astaqhafirullah Astaqhafirullah Astaqhafirullah hakika inasikitisha Sana tena Sana Shabani je unafahamu mpaka umeuwa mamilioni ya watoto pasipo wewe mwenyewe kujifahamu mpiga Nyeto hana tofauti na Mwanamke aliyetoa mimba wote ni wauwaji tu!
Vijana wengi wanajiingiza katika vitendo hivi vya Kishetani pasipo kuwa na maarifa ya Akili
Leo hii unatamani wa video kuliko yule harisia kweli?”
“mi hata sijui mzee wangu mke wangu ananitusi na kunidharau akidai ameolewa na Mwanamke mwenzie kuna siku nilijilazimisha kumuingilia hata dakika moja haijafika nikakojoa tena vimkojo vyenyewe kidogo vyepesi
Nadharirika mimi hiiiiii,,,haaaaaaaaa”
“basi usilie Shabani nakuomba kitu kimoja leo utaporudi nyumbani kwako usiku wa manane amka tia udhu Kisha usali walau rakaa mbili
Baada ya hapo piga goti chini Ongea na Mola wako umuombe msamaha lia kwa kujutia kesho nenda kanunue
(UNGA WA HABAT SAUFA
UNGA WA HABAT SAUDA
UNGA WA KITUNGUU SAUMU
UNGA WA BDALASINI YA INDIA
WHITE VINEGER ROBO LITA
ASALI MBICHI IWE YA NYUKI WAKUBWA AU WADOGO ZOTE NI SAWA)
Ukishapata hivyo vitu changanya kwanza vya unga halafu mimina Asali koroga mpaka ichanganyike kisha Vinegar kiasi dawa isiwe nzito wala nyepesi Baada ya hapo utakuwa unakula
Asubuhi vijiko viwili na jioni viwili
Hii dawa itakufanya uwe na Sperm nyingi sana
Itakufanya uwe imara kwenye tendo kama vile Simba dume”
“ohoo nashkuru hakika sijakosea kuja kwako lakini ningeomba uniandalie wewe ili kesho niifate”
“kiukweli kwasasa Sina mda labda nikupe namba ya huyu kijana ambaye ndiyo aliyenipatia huu Muongozo wa Dawa japokuwa mimi tatizo langu sio sababu ya Punyeto ni kutokana na utuuzima wangu huu kuandamwa na maradhi nyemelezi kama Presha kisukari na mengineyo ndipo akanielekeza hii Dawa ni hatari sana yani Sasa hivi Bibi yako anajipepea na feni
Nampa mitwango ya maana”
”hahahahaha wacha wee embu nipatie basi namba yake”
”ni 067393499 uandae kama elfu ishilini na tano”
”ahaa hiyo mbona haina shida hata ingekuwa milioni muhimu haliyangu irudi niwe mzima kama zamani”
Basi Shabani akaagana na yule mzee akaondoka pale haliyakuwa kafarijika kwa kiasi chake
*******
Oyaa nyie kenge nasema wote kimya”
Snop alipaza sauti kuwataka wanafunzi wenzake wote wakae kimya maana Darasani kulikuwa na kelele si mchezo ajabu hakuna hata mmoja aliyetaka kutii amri yake ndiyo kwanza kelele zikazidi. Akapanda juu ya Dawati
”nyie Mbwa hamsikii nimesema nyamazeni”
Hapo kidogo wakanyamaza kasoro mwanafunzi mmoja tu ambaye ni Ally yeye hakutaka kunyamaza
“bilinge bayoyo bilingee bayoyoo tunamuomba Dada Snop tumuone malingo yake bingiri bingiri mpaka chini,”
“wee fala nani Dada? Ntakuzibua ujuwe ohoo”
“umzibuwe nani wee kiande”
”ohoo naona umeshaanza kuota mapembe ehee ile sikuile Sudi alivyokupiga hukutosheka si ndiyo ehee?”
“Sudi alinipiga au aliniotea mwambie ajaribu tena aone nitawatandika wote”
”hii ndiyo shida ya watoto wadogo kuwavutisha bangi mapema Ducha si unamuona Ally ananipandishia kibesi?”
”sasa unamwambie Ducha ndiyo polisi au babaako wee kama unajiamini twende nnje tukaonyeshane umwamba”
Snop akavua Shati na kubaki tumbo wazi Ally naye akafanya hivyo hao wakaongozana kutoka nnje kufika mlangoni wanakutana na mwalimu wa hisabati aitwae Mwalimu Kimbindu
“haya haya nyie Panya mnaenda wapi mkiwa vifua wazi?”
“tunaenda nnje kupungo upepo maana darasani kuna joto kama nini”
Ally akajibu
”inamaana wenzeenu woote hawaoni joto nyie tu! Ndiyo mnaona ehee haya rudini Darasani”
Wakafanya haraka kurudi Darasani
Muda wa mapumziko ulipofika wakataftana na kupelekana uwanja wa mpira
Snop akakunja ngumi na kujiweka tayari tayari kupigana
Ally akarusha teke ambalo lilitua usoni mwa Snop
Akadondoka chini akajiinua huku akiwa amefura kwa hasira akarusha na yeye teke lilimpaka Ally tumboni
”nyie nyie Mwalimu yulee anakuja”
Kuskia neno mwalimu Kasian ikabidi waachiane kila mmoja akakimbia kimpango wake
Muda wa kutoka ulipofika wala hawakuzinguana sijui walijisahau au vipi
Ducha alirejea nyumbani anapoishi Chamazi kufika pale Getini akasimama akakaza macho yake kuangalia sehemu ambayo Samiya alikamatwa aliweza kujionea kila kitu japokuwa tukio lilitokea masaa kadhaa yaliyopita nyuma
”nimefunzwa kutokulipa ubaya kwa mabaya Samiya nafahamu kuwa unanichukia kwa sababu Mimi ni mtu mweusi
Unaniona kama vile nyani huku wewe Ukijiona Bora sababu ya weupe wako
Wacha nikusaidie nikiamini siku moja utajifunza”
Ducha alizungumza hivyo akataka kutoweka ila akasita baada kushituliwa na sauti ya Mwalimu wake ambaye ni Hadar
“Ducha wapi tena unataka kwenda?”
“naenda kumsaidia Samiya”
“si kazi yako kijana”
”kama si kazi yangu kumbe ya nani?”
“Ducha tambua kitu kimoja kuwa wewe bado hujakoma mpaka kufikia hatua ya kujibebesha majukumu mazito kama haya”
”khaa mazito kivipi mwalimu mi si naenda kupambana na Binadamu”
”hapana aliyemteka huyu binti anaulizi mkubwa wa Majini kama vile alivyokuwa Nabii Suleiman acha mi niende nikakuletee huyo Samiya”
Hadar alizungumza hivyo kisha akatoweka
Ducha akabinya kengere ya Getini muda kidogo mlango ukafunguliwa akaingia ndani
Bwana mkubwa Hadar alisafiri kama vile upepo ndani ya Dakika chache alishawasili sehemu ambayo Samiya alikuwa kahifadhiwa
Akawa anapiga mahesabu wapi pa kuingilia
“Hadar”
Akiwa kwenye kupiga mahesabu akashtuliwa na sauti ikimwita
”khaa inamaana umeshatoka Gerezani si ulikuwa umefungwa wew, oghooooo,,,gruuuuuu”
Hadar wala hakumalizia kuzungumza zaidi ya kuunguruma kama vile radi baada kupigwa na kitu chenye ncha kali kilichopenya sehemu ya moyo wake
Akajishika ile sehemu ikaanza kujifunga
“Duchani unanipiga mimi unataka kuniuwa sio ujui kama Mimi ndiyo namlinda na kumtetea kijana wako!”
Hadar alizungumza hivyo huku akimsogelea Duchani hata hakumfikia kuna kamba nyembamba ilikuja kwa nyuma na kupita kichwani mwa Hadar ikakaza shingoni
Akawa anavutwa kwa nyuma alijitahidi kuitoa lakini Wapi
Ile kamba ikawa inaikwangua shingo yake Hadar alipiga kelele za maumivu yaliyoambatana na hasira
Wakati anashuurika kuitoa kamba ile
Duchani akaitumia nafasi hiyo kumtupia zile silaha.
Hadar akapiga goti
Chini
“mnaniuwa mimi ohoo”
Akapasuka vipande vipande
Huo ndiyo ukawa mwisho wa maisha yake ndiyo maana alimtaka Ducha asiende akifahamu ni sehemu hatari sana yeye alienda kama kujitoa muhanga
“hatimae tumeweza kumalizana na huyu Kidudu mtu aliyekuwa akijitia kimbelembele Sasa kilichobakia mbele yetu ni kumvutia pumzi yule Mwanaharamu”
Alizungumza hivyo mmoja kati ya viumbe aliyeshirikiana na Duchani kumuangamiza Hadar
“nenda Hadar nenda wasalimie huko uwendako
Kama utafanikiwa kukutana na Ninja Ice mwambie Dunia kwasasa si salama tena. Imejaa mambo ya kishenzi na uzandiki
Usisahau kumueleza ametuacha haliyakuwa tukiwa wanyonge, tunanyanyisika tumekuwa wapole juu ya tawala zingine.
Hadar ulituahidi ya kwamba utatulinda na kututetea, nasi tulikuamini na ndiyo maana tukakupa jukumu la kwenda kuwa karibu na yule Mtoto ambaye uzao wake nikama Ninja Ice. Japokuwa tulifahamu Ducha si ukoo wetu
Nawe ukakubari
Hadar mjukuu wangu pumzika kwa amani”
Bibi yake Ninja Ice alizungumza kwa hisia sana wakati huo mwili wa Hadar ulikuwa umelazwa juu kwa kuzungushiwa kuni,
“mamaa”
”abee mwanangu”
“nini sasa hiki? Mara ngapi mama nilikueleza kuwa Hadar hatakiwi kuwa kwenye ishu kama hizi nikakutaka umuonye na umkanye aache kujihusisha kabisa nakile kitoto
Ambacho si damu yetu ile, lakini hukutaka kunisikiliza matokeo yake leo hii tumempoteza kijana wetu kwa jambo la kipumbavu kama hili”
“Ibnuwas embu kaa kimya
Hivi unaijua thamani ya yule Mtoto? Yule ndiyo Ninja Ice kwa maana yule wetu hawezi kurejea tena, umesahau uzawa wake Hafidhi j Ikram si alikuwa nusu mtu nusu jini mwanzoni hakuwa anajitambua kuwa yeye ni nani?
Mpaka pale tulipomchukuwa na kuanza kumfundisha ndipo akaja kuwa Kiumbe hatari asieshikika. Na ndivyo tunavyotaka kufanya kwa Ducha yeye ndiyo kimbilio letu na yeye ndiyo tegemeo letu”
Bibi mtu alizungumza hivyo kumwambia Ibnuwas
“lakini mama huoni kama
Ducha Duchani atakuja kutugeuka?”
”hatoweza kufanya hivyo kamwe kwa maana Ducha atakuwa adui mkubwa wa familia yake na koo zinginezo atatupenda sisi na kututetea ndiyo maana alishaanza kumpenda na kumuheshimu Hadar sipati picha kama atakuja kutambua kuwa mwalimu wake kauwawa tena aliyemuua ni Baba yake sijui itakuwaje”
“na vipi kuhusu Chinoge?”
“mmh huyo mtu hata tusimtegemee nakumbuka nilimfata zaidi ya mara nne kumuelezea matatizo tuliyokuwa nayo
Akadai ya kwamba kwa sasa yeye hana kipawa chochote kile chakuweza kupambana na viumbe hatari”
”khaa imekuwaje tena mpaka ikawa hivyo”
“Ibnuwas kumbuka yule amezaliwa akiwa binadamu kamili ni tofauti na Ninja Ice au huyu Ducha
Kipawa alichokuwa nacho na kumfanya awe kiumbe hatari ni baada ya kunywa maji ambayo ndani yake yalikuwa na ushetani
Sasa ule ushetani kajivua kwasasa kawa ni mtu wa kawaida tu!
Anaishi huko Kibaha Mikongeni”
“sasa kwanini kafanya hivyo wakati alikuwa na uwezo mkubwa mpaka wa kushindana na Ninja Ice na akamshinda”
”ni upendo tu aliokuwa nao juu ya kaka yake unajua kifo cha Ninja Ice hakuna mtu aliyeathirika kisaikorojia kama. Chinoge na ndiyo maana alikaa pale kwenye mlango wa Ulimwengu wa roho takribani miaka minne akisubilia mlango ufunguke ili aingie kwenda kumtoa Ninja Ice kitu ambacho hakikuwezekana kamwe ndipo akaamua kurejea Duniani huku akiuvua ule ushetani na kuuwacha huku huku kuzimu ushetani ambao ulizunguka huku na kule kumtafuta mtu wa kumvaa sijui hata ulipotelea wapi?”
Mtu na Mama yake waliendelea kuzungumza pale
*********
Ni miaka takribani mitano imepita tokea kisanga kile cha KIPAPATIO CHA NANI? Kifikie tamati kwa mara nyingine tena tunamuona bwana mkubwa Chinoge akiwa shambani akipalipilia mahindi kijasho kilikuwa kinamvuja maana lilikuwa ni Jua la utosi pembeni kulikuwa na kidumu cha maji
“hivi ndivyo ulivyoamua kufanya sio?”
Wakati anaendelea kupalilia akashtuliwa na sauti ambayo haikuwa ngeni masikioni mwake akageuka huku na kule kumuangalia huyo mtu lakini hakuweza kumuona akahisi labda ni hisia zake tu!
Akaendelea na kazi zake muda kidogo akaweka jembe begani akabeba nakile kidumu huyo akarejea nyumbani
“mmh mara hii umeshamaliza?”
”ndiyo Bibi”
”hakika mjukuu wangu Hafidhi wewe ni Mwanaume wa shoka sasa fanya ule halafu upumzike baadae upeleke vile viazi kwa Mathias”
“sawa bibi haina shida vipi bi Fatuma naye kaenda wapi?”
“huyo naye utamuweza na mitumbaku yake yani
kaamka Alfajir kafata Tumbaku Kibaha kwa Mfipa”
“duuh kaenda kwa miguu”
”ndiyo”
“yani kutoka huku Mikongeni mpaka kwa Kibaha kwa Mathias shukhuri nzito ajabu yeye anaunganisha mpaka kwa Mfipa na vile mguuni ana Donda sugu
”yani Bibi yako anajari Tumbaku kuliko kitu kingine chochote yani yuko radhi asile siku nzima ili mradi tu apate tumbaku”
“bila shaka kashakuwa teja ehee?”
”mmh teja ndiyo kitu gani?”
”kama hujui basi acha kwanza nikajipumzishe maana hapa nilipo nimechoka hatari”
Chinoge alizungumza hivyo akangia ndani
Nyumba yao ilikuwa ni ya Udongo juu imeezekwa kwa nyasi
**********
”vipi tena mdogo wangu mbona hutulii sehemu moja?”
Fetty alimuuliza Ducha aliyekuwa anatembea tembea pale kwenye korido Yani mara aende huku mara arudi
Yani ilikuwa kama vile mbili haikai moja haisimami
”ahaa hamna kitu Sister mi najifanyia tu mazoezi ya kutembea”
Ducha akajibu hivyo
”si uwende chumba cha mazoezi kuna vifaa kibao kule”
”hapana haya mazoezi hayahitaji vifaa au kama vipi subiri nikatembee tembee huko nnje”
Ducha alizungumza hivyo akashuka chini na kutoka nnje kabisa ya Geti alipotoka nnje tu! Akapotea
Alisafiri kwa kasi akaja kuibukia sehemu ambayo siku zote anakutana na mwalimu wake kufika pale aliangaza macho yake kuangalia kila pembe ya eneo lile
”mwalimu, uko wapi wewe?”
“nipo hapa Ducha umekuja kufanya nini huku?”
Ajabu hapa tunamuona Hadar akiwa mzima kihafya
“mwalimu ni wewe?”
“ndiyo ni Mimi kwani kuna Hadar mwingine zaidi yangu mpaka unauliza hivyo?”
“hapana hakuna mwingine ila ninayemfahamu Mimi mbona ameshafariki”
Yule kiumbe ambaye ni Hadar alishtuka kuskia vile
”khaa Ducha embu acha Utani mimi
Mbona mzima unamzungumzia Hadar yupi aliyepoteza maisha?”
”ni mwalimu wangu”
Ducha akajibu hivyo yule Kiumbe akanyoosha mkono na kumtaka Ducha amshike
Ducha naye pasipo kufahamu lengo la kiumbe huyo aliyejivika taswila ya Mwalimu wake akafanya kumshika alipomshika tu akajikuta akiondolewa uwezo wote wa kijini.
Ducha alipiga kelele za kuomba msaada huku akijaribu kujinasua mikononi mwa kiumbe huyo
Aliyekaza macho kumuangalia Ducha uwezo ulikuwa ukiondolewa kwa macho tu kuna vitu vilikuwa vinatoka mwilini mwa Ducha na kuingia kwa yule Kiumbe
Dakika si nyingi Ducha akajikuta akinyong’onyea na kupoteza fahamu
Alikuja kurejewa na fahamu zake na kujikuta akiwa kitandani alikaa pale kitandani akiwaza na kuwazua
”inamaana kilichonitokea ni ndoto au vipi?”
Ducha alijiuliza hivyo akiwa amekaa kitako pale kitandani
Sehemu Ya 12
Aliyekaza macho kumuangalia Ducha uwezo ulikuwa ukiondolewa kwa macho tu kuna vitu vilikuwa vinatoka mwilini mwa Ducha na kuingia kwa yule Kiumbe
Dakika si nyingi Ducha akajikuta akinyong’onyea na kupoteza fahamu
Alikuja kurejewa na fahamu zake na kujikuta akiwa kitandani alikaa pale kitandani akiwaza na kuwazua
”inamaana kilichonitokea ni ndoto au vipi?”
Ducha alijiuliza hivyo akiwa amekaa kitako pale kitandani
Ducha alikaa pale kitandani kwa muda kidogo akiitafakari ile ndoto kama ina ukweli wowote ndani yake akajichunguza mwilini na kujiona yuko sawa bin sawia,
Mara akasikia mlango wa chumba chake ukigongwa ikimaanisha Kuna mtu anabisha hodi akajinyanyua kiuvivu pasipo kuuliza kuwa anaebisha hodi ni nani akaufungua mlango
“yani wee mtoto muda wote huo mi nabisha hodi wee umenikalia kimya hivi unafikilia hii nyumba ya baba yako ehee? Kumbuka umeletwa hapa kama mtoto yatima tu!”
Alizungumza kwa pupa yule binti ambaye ni Mfanyakazi za ndani
“umemaliza kuropoka?”
Ducha akauliza swali
Ajabu yule binti akanyanyua mkono wake na kumpiga Ducha kibao cha shavuni kwa mara ya kwanza Ducha aliyasikia maumivu ya kupigwa
”yani unaniuliza maswala ya kijinga jinga mimi
Pumbavu zako embu pisha huko”
Yule binti alizungumza kwa ghadhabu akamsumiza Ducha kwa kumpushi akaingia mpaka chumbani akakusanya baadhi ya nguo huyo akatoka zake nnje Ducha akaenda kukaa sebreni haliyakuwa akiwa mnyonge isivyo kawaida
Akajipweteka sofani na kuchukuwa Rimont akawasha tv
”halafu wewe ndiyo unaetumalizia umeme humu ndani kila muda kuangalia tv tu shenzi zako”
Yule Binti alikuja mbio Sebreni huku akizungumza hivyo akachukuwa rimont na kuzima tv
Akamshika mkono Ducha na kumtaka akafue nguo na kuosha vyombo kwa wakati huo Fetty na yule mzee hawakuwepo
Nyumba nzima alibaki House girl na Ducha pamoja na mlinzi aitwae Baraka
Kule kumshika mkono akawa anamfinyafinya
Akamkokota mpaka nnje ya nyumba na kumsukumizia kwenye vyombo vichafu
”osha kwanza hivyo vyombo vyote ukimaliza hapo utaenda kufua zile nguo pale”
“vyombo sioshi na kufua sifui”
Ducha akajibu kibabe ghafla alianza kupigwa makofi akajaribu kuvimba ili apambane nae lakini wapi!
Ducha alijikuta akipigwa kama mtoto kwa mzazi wake
“utaosha vyombo au huoshi?”
“nitaosha basi nisamehe sirudii tena kukujeulia”
Ducha alilia kutokana na kipigo kile kwa mara ya kwanza Ducha Duchani alidondosha chozi mpaka yeye mwenyewe alijishangaa kwanini imekuwa hivyo
Akashika kosheo na sabuni alianza kuosha vyombo
Baadae alifua japokuwa kulikuwa na mashine za kufulia lakini yule binti alimtaka afue kwa mikono
Ducha aliweza kufanya yote majira ya Saa nane mchana Fetty alirejea na kumkuta Ducha akiwa kalala
“Ducha mdogo wangu vipi mbona umelala mpaka saa hizi unaumwa au?”
Fetty alimuuliza Ducha hivyo haliyakuwa akimgusagusa kichwani na shingoni ili kulipima joto la mwili
”hapana siumwi wala nini!”
”sasa kama huumwi mbona umelala mpaka saa hizi?”
“kwani kulala mpaka mida hii ni zambi au? Mbona nyumbani kwetu sikuwa na mipaka ya kulala”
Ducha aliuliza kwa kupaniki kitu ambacho kilimshangaza Sana Fetty
”ohoo basi mdogo wangu yaishe mi nilikuwa nakuuliza tu maana sio kawaida yako tokea ufike hapa
Nisamehe mimi my brother”
Fetty alizungumza kwa sauti ya upole
”usijari”
“asante Sana kaka yangu halafu leo nimekuletea zawadi nzuuri nikama Sampraizi kwako embu twende ukaione”
Fetty alizungumza kwa furaha akamshika mkono Ducha kama kumsaidia kunyanyuka
“khaa umefanyaje? Kitu gani kimekutokea mdogo wangu mbona uko hivi?
Nani kakuumiza? Nijibu sasa”
Fetty alishtuka baada kumuona Ducha akiwa na kidonda mguuni kidonda ambacho kilimfanya Ducha ashindwe kusimama vyema
“nimeumia tu kutokana na michezo yangu ya kurukaruka huko nnje Wala usiwe na Shaka”
Ducha akajibu hivyo haliyakuwa tunafahamu alipigwa na yule binti
“wee Sakina”
“abee Dada”
“embu njoo huku haraka Sana”
Fetty alipaza sauti kumwita yule binti kumbe anaitwa Sakina
“kitu gani kimemtokea mtoto?”
Alipofika tu akapokelewa na swali liloambatana na kofi la shavuni mpaka akawa anaona mawenge wenge
“nakuuliza kwa mara ya mwisho kitu gani kimemtokea Ducha?”
“mi sijui”
“ujui ehee yani mtoto anatoka nnje huko mpaka anaumia nyie mpo tu mmekaa tu humu ndani hamjui kama mmeachiwa mtoto? Embu nenda kamwite Baraka huko”
Sakina akatoka nnje akiwa juu gorofani akapaza sauti kumwita Baraka aliyekuwa amekaa ndani ya kijumba chake cha ulinzi
“nini wewee?”
Baraka aliuliza huku akinyanyua mkono wake kumnyooshea Sakina
”unaitwa huku na Madame”
Baraka akatoka mbio na kupandisha ngazi kwenda juu
Alipofika kwa Fetty swali la kwanza alipokelewa na makofi kama mawili akajishika shavuni
”kitu gani kimemtokea Ducha?
Ndipo akaulizwa swali
“mi mi, mi hata sijui hiii kwani kafanyaje”
Baraka alijibu kwa kubabaika hakika Fetty alikuwa amechafukwa
“inamaana wote hamjui sio? Naomba mnifate”
Fetty akawataka wamfate wakamfata haliyakuwa wakiwa na hali ya uwoga
wakaingia kwenye chumba kimoja wapo hivi ndani ya chumba hicho kulikuwa na Tv kubwa za flat zipatazo mbili
Zilizowekwa ukutani
Walipoingia Fetty akafunga mlango hapo uwoga ndiyo ukawazidia mara dufu
“Baraka unakikumbuka hiki chumba?”
“ndiyo bosi”
“je na wewe unakifahamu?”
”hapana Madame”
“ok Sasa nataka muone kile ambacho kimemtokea Ducha ili siku nyingine muweze kuwa nae makini hiki ni chumba cha Kotrola yani kamera zote zinazoizunguka nyumba hii matukio yake unayapata ndani ya chumba hiki
Baraka si unamkumbuka yule Hamisa binti ambae aliyeniwekea Sumu kwenye juisi?”
”ndiyo namkumbuka”
“basi niliweza kuubaini umafia wake kupitia chumba hiki Yani kabla sijainywa ile juisi nilikuja kuitazama Kamera ya jikoni”
Fetty akachukuwa Rimont akawasha moja kati ya tv zile kuna matukio mengi yaliweza kuonekana mpaka kutekwa kwa Samiya waliweza kuona
Fetty akapeleka mbele kisha akaplay tukio la siku ya leo
Ikaonekana Sakina akibisha hodi mlangoni kwa Ducha
waliangalia kila sekunde iliyokuwa inaenda mbele Fetty mwili ulikuwa unamchemka kwa hasira
“khaa! Sakina kumbe ni wewe ndiyo umempiga mtoto kiasi hiki?
Amekukosea kitu gani!?”
Baraka alimuuliza Sakina kwa mshangao
“wee pusi nyang’au muuwaji mkubwa wewe sali sala zako za mwisho nakuuwa leo”
Walishtuliwa na sauti ya Fetty akizungumza kwa hasira walipomuangalia
Wakashtuka nusu haja ndogo ziwatoke Fetty alikuwa kakamatia Bastola iliyofungwa kiwambo cha kuzuia sauti
Sakina akapiga magoti huku mikojo ikianza kumchuruzika
Hakika kifo kisikie kwa mwenzako tu!
“nisamehe Dada yangu”
“shatapu! Funga bakuri lako mpumbavu mkubwa nikusamehe kitu gani? Hakuna kitu ambacho nachukia hapa duniani kama kuona watu wenye roho mbaya kama wewe.
Hivi unaijua thamani ya yule mtoto
Mpaka unafikia hatua ya kumwambia anamaliza umeme kwa kuangalia tv.
Wewe unanipigia magoti Mimi wakati Mimi nampigia magoti yule
Hakuna kitu ninachokithamini hapa Duniani kama ninavyo mthamini Ducha”
Fetty alizidi kufoka kwa hasira kuonyesha msisitizo akafyatua risasi mbili zilizompitia Sakina pembeni
Baraka naye alijikuta akipiga magoti huku akitetemeka
“nisamehe Dada yangu sijafanya hivi kwa kupenda bali nilisurutishwa na Samiya”
”unasemaje wewe yani unataka kumsingizia mdogo wangu juu ya huu upuuzi wako?”
“sio kama nataka kumsingizia nikweli kabisa”
Sakina alizungumza hivyo mwishoe akataja sehemu aliyokuwa anakaa na Samiya na kupanga mipango yao
Fetty akashika Rimont na kuiwasha ile tv nyingine
“sikia nikwambie kitu Da Sakina kiukweli kabisa kile kingedere alichokileta Da Fetty humu ndani sikipendi kama nini”
“kwanini humpendi wakati naye ni binadamu kama wewe”
“wee koma usitake kunifananisha na watu weusi ambao wametokana na Nyani”
“mmh Samiya utakiwi kusema hivyo mdogo wangu kumbuka Mungu hakukosea katika uumbaji Mbona mi nimtu mweusi pia japokuwa nataka nijichubuwe niwe mweupe kama nyie Wahindi”
“ehee tena umenikumbusha Mamdogo Shilpa ana cremu hizo ukipakaa wiki moja tu unakuwa mweupe wa Kung’aa”
“ehee hizo ndiyo nazitaka ntazipataje Sasa?”
“kuhusu kuzipata Wala usiwe na shida
Ninachokihitaji kutoka kwako ni kuhusu kukitesa kile Kingedere
Mpaka kiondoke hapa nyumbani na ikibidi hata kukiua wee kiuwe tu!
Ghafla Fetty akaimiminia Risasi mfurulizo ile tv na kuipasua vipande vipande halafu akamgeukia Sakina
“madame huu sio muda wakupaniki kiasi hiki kinachohitajika hapa ni kumpigia Simu Daktari aje kuingalia hali ya mtoto ikoje”
Baraka alizungumza hivyo ikawa kama vile kamzindua Fetty kutoka usingizini maana alichukuwa funguo na kufungua mlango akatoka mbio mbio kuelekea chumbani kwa Ducha ajabu hakuweza kumkuta
“Ducha wee Ducha uko wapi mdogo wangu?”
Fetty aliita huku akiendelea kumtafuta alielekea mpaka chooni uwani kibarazani
“Madame”
Akiwa katika harakati za kumtafuta mara akasikia anaitwa na Baraka
“vipi umemuona?”
Fetty aliuliza huku akiikodolea macho karatasi iliyokuwa imeshikwa na Baraka akaipokea na kuiangalia
“Fatma Dada yangu nafahamu fika kuwa unanipenda sana tena Sana hata Mimi nakupenda pia nasiku zote namuomba Mwenyezi Mungu audumishe upendo wetu
Dada mimi nimeamua kurudi nyumbani ili nikaendelee kuishi na Nyani wenzangu
Sihitaji ugombane na watu wako wa karibu kwa sababu yangu
Juu ya upendo wako kwangu ninachokuomba usimfukuze Sakina kwani hajui alitendalo
Nisamehe,,,,
“hiiiihiiiihiii”
Fetty alipiga goti huku akilia
“vipi Madame?”
Baraka akauliza hivyo
“nenda kafungue Geti”
Fetty akashuka chini na kuingia ndani ya Gari akatoka kwa spidi yote
Alipotoka nnje ya nyumba akawauliza Madereva bodaboda waliokuwa kando kando ya mitaa hiyo kama walimuona Ducha
“ahaa Yule dogo mtukutu amekuja hapa mida si mirefu akakodi Bodaboda na kumtaka Imma ampeleke kwa Muarabu”
Mmoja kati ya Madereva bodaboda akajibu Fetty hakutaka kupoteza muda ni kumfata Ducha nyumbani kwao
Hapa tunamuona Mwanaidi na mama yake wakiwa wamekaa kibarazani wakicheza karata kwa Pembeni alikuwepo Chande na baba yake Ducha wakipanga baadhi ya vitu
Wakiwa wamekaa pale mara kwa mbaali wakaweza kumuona Ducha akiwa juu ya bodaboda
“mama mamaa mwenye nyumba yulee anakuja”
Mwanaidi alizungumza hivyo akimaanisha mwenye nyumba ni Ducha bodaboda ilipofika pale Ducha akashuka kwa kudondoka kitu ambacho kiliwashtua sema yule Dereva bodaboda akawahi kumshika
“vipi tena mwanangu kitu gani kimekutokea umepata ajari?”
Mamaake Ducha aliuliza
Ikabidi Dereva bodaboda aelezee jinsi alivyompokea na kumleta pale
Wakati anaendelea kuelezea na Fetty naye ndiyo anawasili aliposhuka kwenye Gari
Mwanaidi alimkata jicho baya sana rafiki yake
“hivi ndivyo ulivyotaka ehee? Yani umemchukuwa hapa mdogo wangu akiwa mzima wa hafya ajabu unamrudisha akiwa ameumia”
Mwanaidi alizungumza kwa jazba
“sasa Dada unamfokea mwenzio kwani yeye ndiyo aliyeniumiza?”
”haijarishi kama umejiumiza au umeumizwa lazima nimwambie ukweli”
”sasa ukweli gani unamwambia si ukaushe”
“Ducha mdogo wangu nimekufata ili nikupeleke hospitali”
Fetty alizungumza hivyo kwa upole
Ducha akamtaka Chande ampandishe kwenye gari akabebwa na kupandishwa akapanda Mwanaidi na mama yao.
“Ducha mwanangu ilikuwaje kuwaje kwani mpaka ukaumia kiasi hiki?”
“niliruka kutoka juu ya Gorofa mpaka chini”
Ducha akajibu uwongo hakutaka kuelezea ukweli maana aliweza kufahamu kuwa
Mwanaidi anaweza kumchukia shogaake na urafiki wao ukavunjika naye hakutaka iwe hivyo
“oyaa Sudi unampata yule kishtobe wasiku ile?”
”unamzungumzia yule tuliempiga mtungo mbele na nyuma”
”ehee huyo huyo”
”anasemaje Sasa?
“heti anadai ana mimba yetu”
”niniii!?
“ujaskia au?”
“nimeskia”
“sasa kama umeskia unauliza nini ya nini?”
”hivi wewe kwaakili yako sisi watoto wadogo tunawezaje kumtia mwanamke mimba, na istoshe mi sikuile nilimla nyuma tu mbele sikupagusa kabisa”
“unamaanisha nini kusema hivyo?”
“namaanisha hivi hiyo mimba ni ya kwako”
“wee fala nini”
”ndiyo mi fala ila jiandae kuitwa baba”
Sudi alizungumza huku akitabasamu huyo akaondoka zake
Snop alipaki pale akiwaza na kuwazua
“inamaana siku si nyingi nitaitwa baba? Yani mtoto anapata mtoto sijui nitoroke niende zangu Mlandizi kwa bibi nikajichimbie huko halafu usikute yule Malaya katombeka na mijitu mikubwa huko na kumvimbisha tumbo anakuja kutubambikia sisi
Mamae zake”
Snop alizungumza hivyo naye akanyanyuka na kuelekea nyumbani kwao
Hapa tunamuona Ducha akiwa anakimbizwa na viumbe wenye kutisha vibaya mno
Ducha alikimbia huku akipiga kelele za kuomba msaada pasipo mafanikio yoyote kila aliyemuomba msaada alimkimbia na kujifungia ndani Ducha alibaki kuhaha huku na kule
”jamani nisaidieni nakufa Mimi”
Ni sauti iliyosikika kutoka kwa Ducha akiomba msaada watu ndiyo kwanza walifunga madirisha na milango
“Dadaa nifungulie mlango kwanini hamnitaki Mama nifungulie mlango mwanao”
“Ducha mwanangu wee nenda nao tu! Hiyo ndiyo familia yako”
“hapana mamaa siwezi kwenda nao nifungulie mlango ili niweze kuingia ndani Mwanaidi dadaangu mbona waniacha mdogo wako nnje wataniuwa wale”
Ducha alizidi kupiga kelele huku akiusukuma mlango na kuupigapiga makofi
Wale viumbe walikuwa wanakuja taratiibu kama vile Mazombie.
“khakhakha,, ile siku iliyokuwa ikisubiliwa kwa hamu sana hatimae leo hii imewadia
Ducha wewe ni wa kwetu sisi ni chakula chetu cha leo kamata huyo”
Mmoja kati ya wale viumbe alizungumza hivyo kwa sauti yenye kutetemesha kitendo pasipo kuchelewa Ducha akashikwa ile kisawasawa akalazwa chini jambia likainuliwa juu kwaajili ya kukata kichwa chake
Jambia likashushwa kwa kasi kukikata kichwa cha Ducha
Ghafla Ducha alishtuka kutoka usingizini huku akipiga kelele kumbe ilikuwa ni ndoto
“mama weee nakufaa”
Kelele zake ziliwashtua wote waliokuwa wamelala wakaja mbiombio mpaka chumbani kwake
“Ducha mwanangu nini tena? Umeona kitu gani? Tafadhari tuambie”
Mama yake alimuuliza maswali mfurulizo huku akimshikashika usoni
Ducha hakuweza kujibu swali la mama yake alibaki kuweweseka tu Kama vile mgonjwa wa Degedege kijasho kilikuwa kinamvuja
“Ducha mdogo wangu tuambie umeona kitu gani?”
Mwanaidi naye akauliza
”Dadaa naomba kesho unipeleke Kibaha kwa Bibi”
Ducha hakujibu lile swali zaidi ya kutamka hivyo
”mmh Kibaha tena na hali hiyo uliyokuwa nayo! Subiri Kwanza upone ndipo nikupeleke”
”kwasasa sihitaji kuwa hapa wee kama hutaki Basi nitamuomba Mamdogo Aisha anipeleke”
”sio kama staki mdogo wangu embu angalia hali ya mguu wako utawezaje kutembea kutoka pale kwa Mathias mpaka Bungu wee mwenyewe si unaujua umbali wake”
“si naskia kipindi hiki Kuna Bodaboda”
”mmh Bodaboda tena ziwe pale kwa Mathias?”
”ndiyo kutoka pale kwa Mathias mpaka Mikongeni ni shilingi elfu mbili kwa pale Bungu sijajua ila nahisi itakuwa elfu moja na mia tano”
Baba yao akajibu swali la Mwanaidi
”ohoo basi kama ni hivyo kesho Asubuhi na mapema tu nitakupeleka si unaenda kusalimia?”
”hapana nahitaji kwenda kukaa kule mpaka pale mguu wangu utakapokuwa sawa”
Ducha akajibu hivyo
*********
Hapa tunamuona bwana mkubwa Chinoge akiwa Kibaha kwa Mathias akipanga mafungu ya viazi vitamu kwenye kiroba alichokuwa kakitandika chini kulikuwa na wafanyabiashara wengi waliotokea maeneo ya Mikongeni na Bungu pamoja na baadhi ya vijiji vinginevyo biashara zilikuwa nyingi Kama vile Mihogo machungwa mafenesi nakadharika
”habari ya saa hizi?”
Chinoge akiwa bize kupanga mafungu akashtuliwa na sauti ya mtoto wakike akisalimia akanyanyua macho yake kumuangalia
”ohoo safi tu! Karibu sana bosi”
“hasante ehee unauzaje viazi?”
“hivyo hapo fungu moja mia tano hivi huku elfu moja”
Chinoge akajibu huku akionyesha kwa ishara
“basi haina shida niwekee mafungu sita ya elfu moja moja”
Yule binti alizungumza hivyo huku akifungua kipochi chake akatoa noti ya shilingi elfu kumi na kumkabidhi Chinoge
akaipokea ile hela na kuiweka mfukoni
”vipi utaweza kuvibeba wee mwenyewe kweli?”
Chinoge aliuliza haliyakuwa akiunyanyua mfuko uliokuwa umejaa viazi
”ohoo Mungu wangu kumbe ni vizito tafadhari nisaidie nikavipakize kwenye Gari”
Yule binti alizungumza hivyo wakati Chinoge anaunyanyua ule mfuko Kuna Jamaa mbavu nene bila shaka ni mnyanyua vyuma alikuja kwa kasi na kuupiga teke ule mfuko Viazi vikaruka huku na kule
Watu wote walishtuka na Kutoa macho pima
“wee fala nani aliyekupa ruksa ya kufanya biashara na mteja wangu? Nijibu kabra sijakuzibua kum** kibuyu wewe”
Yule jamaa alifoka kwa hasira huku akiwa kamkunja Chinoge
Hakuna mtu hata mmoja aliyethubutu kumtetea au kuamulia
“wee Dickson vipi kwani? Inamaana kila wiki ninavyokuja kwako kununua viazi ndiyo umejiwekea hesabu kuwa Mimi ni mteja wa peke yako sio?”
”ndiyo maana yake”
Dickson akajibu kibabe
”basi muachie kwanza mkaka wa watu”
Dickson akafanya kumuachia kwa kumsukumiza Chinoge akadondoka chini
“naomba unisikilize kwa umakini sana wee fala kama unahitaji kuwa huru kufanya biashara katika eneo hili huna budi kufata masharti yangu vinginevyo hili eneo utakuja kuliona chungu”
Dickson alitoa angalizo
Yule binti alichukia kishenzi kuona unyanyasaji ule akaamua kuondoka
“Vicky njoo uchukuwe viazi hivi hapa kwangu usikasirike bwana”
Dickson akawa anamkimbilia bibie yule aitwae Vicky
Chinoge nae akajisachi mfukoni na kuitoa ile pesa aliona ni bora akairudisha kwa mwenyewe maana viazi hakuchukuwa
“Sister hela yako hii”
Chinoge alizungumza hivyo huku akinyoosha mkono kutaka kumpatia ile pesa Vicky
“hapana kaka yangu hiyo pesa ni yako. Na hata chenji usinirudishie kwa sababu nimeharibu utaratibu mzima wa biashara yako”
“hakuna cha utaratibu Wala nini huyu ni fala tu!”
Dickson alizungumza kwa jazba na kuiputa ile pesa ikadondoka chini akafanya haraka kuiokota na kuiweka mfukoni Kama haitoshi akaenda kukusanya viazi vyote vya Chinoge akaenda kuvirundika kwake
“ahaa Mbavu huo ni uwonevu sasa babaangu”
Kuna mama mmoja alizungumza hivyo kumbe ukiachana na jina la Dickson pia anajulikana Kama mbavu.
”tena wee mama funga bakuri lako Mwanga nini”
Dickson akamtaka yule mama akae kimya
Chinoge hakuwa na namna zaidi ya kushika njia kurudi nyumbani
Alitembea huku mikono kaiweka nyuma
Akiwa anatembea mara akaskia honi ya Gari yeye wala hakushtuka kwa maana alikuwa anatembea pembezoni mwa Barabara hiyo ya vumbi
Honi ikasikika tena safari hii ikamfanya asimame na kugeuka
Gari ikaja kupaki pembeni akashuka bibie Vicky
“samahani kwa yote yaliyotokea naomba upokee hiki kiasi kidogo cha pesa”
Vicky alizungumza hivyo huku akinyoosha mkono kumpatia Chinoge kibunda cha pesa
“khaa pesa zote hizi unanipatia Mimi za kazi gani Sister?”
Chinoge alishangazwa Sana na wingi wa pesa zile ajabu bibie anasema ni kiasi kidogo
”pokea bwana hizi nikama laki nne na nusu sio nyingi wala nini
Pokea basi”
Vicky alizungumza kwa bashasha Chinoge akazipokea
”samahani kama hutojari heti unaitwa nani?”
”naitwa Hafidhi”
”ohoo unajina zuri sana mi naitwa Vicky naishi kulee picha ya Ndege vipi wewe unaishi wapi?”
“kwanza nashkuru Sana kwa kuweza kukufahamu mi naishi Mikongeni”
“khaa inamaana unatembea kwa miguu mpaka Mikongeni?”
”ndiyo au ulitaka nitembee kwa mikono?”
”hahahaha hapana bwana sio hivyo”
”kumbe nini?”
“nimeshangazwa sana na Umbali uliopo kati ya Mikongeni na kwa
Mathias, yani mtu unatembea mpaka unahisi miguu inarudi tumboni”
“hahaha bibie hiyo ni kwako”
”basi panda kwenye gari nikusogeze japo hapo Bungu”
”hapana Dada yangu wee unaweza ukaenda tu! Mi nitatembea mdogo mdogo mpaka nitafika”
”mmh halafu usiniite Dada kwa maana jina langu ushaweza kulifahamu”
”sawa Dad, ohoo sorry Vicky”
Chinoge alizungumza kwa kubabaika kidogo na kumfanya Vicky atabasamu
”basi tutaonana siku nyingine tukijaaliwa uzima”
Vicky alizungumza hivyo akarudi zake ndani ya gari huyo akatoweka Chinoge naye aliendelea na safari yake
Alipowasili nyumbani kwao alimkuta Bibi yake akiwa anakata Fenesi
”khee hakika leo biashara imekuwa nzuri mbona umerejea mapema hivi?”
Bibi mtu aliuliza
“biashara imekuwa nzuri wapi wakati kuna mjinga kule sokoni kazingua”
Chinoge alizungumza kwa hasira mpaka Bibi yake akashangaa
“khee imekuwaje tena?”
Ikabidi Chinoge amsimulie Bibi yake kila kitu kilichotokea kule Sokoni
”yule mtoto ni mshenzi wa tabia yani anajiona yeye ndiyo yeye
Nyambafu zake Sasa na kesho naenda mwenyewe akineng’eneka tu nitamuwashia moto simuogopi na minyama yake ile hata kwenye Sambusa zipo.
Pole Sana mjukuu wangu”
Bibi mtu alibwabwaja pale
Chinoge akatoa kiasi kile cha pesa na kumpatia Bibi yake
”khee na hizi pesa zote umezitolea wapi?”
”nilipatiwa na yule binti aliyesababisha songombingo lililotokea”
”ohoo basi Mungu ni mkubwa sasa hapa itabidi wewe uchukuwe hizi Mimi nibaki na hizi”
”hapana Bibi wee chukuwa tu zote”
“Hafidhi bwana embu pokea hizi pesa ujuwe wee ni mtoto wa kiume lazima uwe na chochote kitu mfukoni ili warembo waweze kukupa tamutamu”
“hahahaha sawa bibi”
Chinoge alicheka akapokea kile kiasi cha pesa na kuingia zake ndani
Sehemu Ya 13
Yapata majira ya saa tano asubuhi Ducha na Mwanaidi waliweza kuwasili Kibaha wakafanya taratibu za kukodi Bodaboda
Iliyowapeleka mpaka Bungu wakapokelewa na Bibi yao mzaa mama yao.
“ohoo karibu sana mume wangu Ducha hakika Sasa hivi umekuwa mbaba huyo tofauti na kipindi kile nilivyokuja kukuona huko Daresalama ukiwa angali mchanga”
Bibi yao alizungumza hivyo
“bibi bwana sio Daresalama sema Dar es Salaam”
Mwanaidi alimsahihisha Bibi yake
“hiyo Daresalama mnaijua nyie sisi wenzenu tunaita Daresalama”
”sasa hapo ndiyo umetofautisha kitu gani?”
”wee naye si utuliege kaah
Ehee vipi tena na huu mguu umefanyaje?”
Bibi mtu akapotezea swali la Mwanaidi akaulizia kuhusu hali ya mguu wa Ducha kwakuwa ulikuwa umefungwa bandeji.
“bibi mjukuu wako naye siku hizi anajifanya ni Spider Man anaruka kutoka juu ya Gorofa mpaka chini matokeo yake ndiyo hayo”
“khee hivi huyo Chipaida anaakili kweli mpaka anawafundisha watoto michezo ya hatari?”
“bibi bwana sio Chipaida ni Spider kwanza yeye ni mzungu anacheza filamu huko Marekani”
”ohoo kumbe anagelezea kwa kuangalia kwenye video?”
”ndiyo”
“basi pole mume wangu kwakuwa umekuja hapa kwa mkeo basi ondoa shaka nitakutibia kwa dawa za miti shamba siku si nyingi utaweza kupona”
Muda wote Ducha alikuwa kimya hata kumsalimia Bibi yake hakumsalimia alikuwa bize kulishangaa eneo hilo la Bungu nyumba ya Bibi yake ilikuwa pembezoni kidogo mwa msikiti
“bibi Mimi hata sio mkaaji ujio wangu hapa ni kumsindikiza tu Ducha”
”khee wee Mwanaidi yani mara hii tu unataka kuondoka? Hivi wee mtoto mbona hupendi kukaa na Mimi walau kwa siku moja!?”
”sio hivyo Bibi”
”sio hivyo kumbe nini?”
”kuna kazi nafatiria kule maeneo ya Posta kibaya zaidi natakiwa saa nane mchana niwahi kufika”
“sawa unaweza kwenda na vipi kuja kumfata Ducha si anasoma huyu?”
”Ducha nitamfata wiki mbili zijazo kwa maana kesho kutwa wanafunga shule si unajua likizo kubwa hii ya mwezi wa kumi na mbili!”
“ohoo kumbe wanafunga shule?”
”ndiyo Bibi”
“basi acha nikuandalie zawadi za kuwapelekea Wazazi wako”
Bibi mtu akaita baadhi ya watoto waliokuwa wakicheza cheza pale na kuwaomba wamkamatie Jogoo nao walianza kumkimbiza jogoo yule
Muda kidogo kila kitu kilishaandaliwa Mwanaidi akaaga na kupanda kwenye Bodaboda safari ya kuelekea kwa Mathias ikaanza, wakiwa njiani yule Dereva Bodaboda alianza kumtamani kimapenzi bibie Mwanaidi
“samahani Dada yangu hivi unaitwa nani?”
“mmh naitwa Mwanaidi”
“opsii hakika una jina zuri Sana Kama ulivyo wee mwenyewe kwanza nisizunguke sana kwajina naitwa Tizo kiukweli bibie nimetokea kukupenda”
“kunipenda kivipi yani?”
”mkubwa wewe inamaana ujaelewa tu!?”
”ndiyo sijaelewa maana Kuna kupenda kwa aina nyingi”
“basi nimekupenda kimapenzi yani nahitaji uwe wangu niwe wako”
“mmh nilijua tu maana nyie Bodaboda ni vitombi Kama nini halafu wee mkaka unachekesha hivi ukijiangalia wewe kwajinsi ulivyo halafu ukiniangalia na Mimi tunaendana kweli?”
Mwanaidi alizungumza kwa dharau
“kwanini tusiandane usimjaji mtu kutokana na muonekano wake iwe kimavazi au kimwili
Kiukweli mi nakupenda nipo tayari kukupa chochote ukitakacho bibie”
“ohoo kumbe chochote ehee haya nipatie laki mbili”
Mwanaidi alizungumza hivyo huku akitoa ishara kwa kuchezesha vidole Dereva Bodaboda akajisachi mfukoni na kutoa wallet iliyokuwa imetuna
Mwanaidi akabaki kuikodolea macho ile Wallet
“hizi hapa bibie sema kingine mi nipo kwaajili yako”
“kwasasa Sina cha kusema si una simu?”
“ndiyo hii hapa”
Basi Mwanaidi akaipokea ile simu akabonyeza vitufe kadhaa na kumrudishia
“hiyo ndiyo namba yangu wee muda wowote ukijiskia kupiga piga tu! Mi nipo free”
”sawa kipenzi”
Muda huo walikuwa wamepaki pembeni baada ya kuelewana wakakumbatiana na kugusanisha ndimi zao wakabadirishana mate kwa muda wakapanda kwenye pikipiki safari ikaendelea
“baby kwanini tusiende sehemu tukamalize mchezo maana kumbatio lako tu limenisisimua mpaka Dudu langu halitaki kutulia”
“mmh embu kuwa na Subra bwana yani ndiyo kwanza tumeonana leo na leoleo ukanigonge kweli? Kama vile umenunua malaya au wataka kunichezea tu!?”
“hapana sio hivyo baby”
“basi kuwa mpole”
Wakafika stendi Mwanaidi akapanda kwenye Daladala huyo akaondoka zake
Jamaa kwanza alikimbilia sehemu kulikuwa na choo akajifungia kwa ndani na kulitoa Dudu lake lililokuwa limevimba ile kinomanoma
Akalipaka mate na kumvutia hisia Mwanaidi taratiibu alianza kulisugua kadri muda ulivyokuwa unaenda mbele kasi ikaongezeka ulikuwa ni mchezo wa Nyeto Nyetoni
Kijasho kilimtoka aliweweseka dakika si nyingi akamwaga akajisafisha na kutoka nnje akiwa mwepesi
“Hafidhi mjukuu wangu Mimi leo naenda kushinda kwa Mathias kuuza hivi viazi
Na Bibi yako Fatuma anaenda kulinda mpunga kule Shamba kwa hiyo nakuomba kuwa makini Sana hapa”
“sawa bibi haina shida”
Ilikuwa yapata majira ya saa kumi na mbili Alfajir Bibi zake wakadamka mmoja kwenda kuuza viazi mwingine kuagua mpunga shamba
“Hafidhi mambo?”
“poa tu nambie”
”sina hata cha Kukwambia zaidi ya kukuomba mapera”
“sawa nenda tu kachume”
Basi yule binti akachukuwa mti na kuanza kutungua mapela Chinoge naye alikuwa bize kuendelea na mambo yake.
Tukija huku Kibaha kwa Mathias Bibi yake alishawasili na kupanga biashara yake pale
Dickson alikuwa anamuangalia kwa jicho baya muda kidogo Bibi mtu akaaga kwa maana viazi vyote alivyokuja navyo vilishaisha
“haya jamani kwa herini tutaonana kesho Mungu akitujaalia”
“wee Bibi mwanga tu! Tena mchawi mkubwa yani umefika hapa sisi wote umetukuta ajabu wewe umeuza na kumaliza vyote”
Dickson alijikuta akizungumza hivyo kwa hasira
“unasemaje wewe Mchawi mwenzangu si tunawangaga wote kule ndiyo maana ukanijua. Sasa subiri nikupashe upashuke
Mimi hata sikuogopi kijuso wewe mwenye mapumbu kama kende za nyani mzee
Jimwili hilo kidudu Kama mbegu ya upupu
Uso umekukongoroka utasema umemwagiwa uji wa hitima
Tena ukome ukomae upate mimba uzae
Mshenzi mkubwa wewe, kwanza mtu mwenyewe hapo ulipo ushajifia mda tu! Wataka nikupige nipate madakesi bure
Umeacha kuwaita wachawi Wazazi wako huko unakuja kukurupukia watu usio wajua
Jiangalie sana kijana Utakuja kufa siku si zako pumbavu wewe kwanza sihitaji kuzungumza Sana wacha mengine niweke akiba ya kesho siku zote ukilitibua vuzi uwe na kucha za kulikuna
Mbwa koko wee usiejua kubweka”
Yale maneno yalimchoma na kumuumiza sana Dickson akasimama kwa ghadhabu na kumfata Bibi yule pasipo kujiuliza mala mbili akamsukumiza Bibi wa watu akadondoka chini puuh
“naona unabwabwaja Sana maneno ili kufurahisha umati wa watu ehee Sasa subiri nikufunze adabu mchawi mkubwa wewe”
Dickson alizungumza hivyo huku akimtandika makofi
“wee nipige tu! Ila sitoacha kukueleza ukweli”
Bibi yake Chinoge alizungumza haliyakuwa akianza kulia
“wee Dick kwanini unamfanyia hivyo Bibi wa watu jamani huyo ni sawa na Bibi yako au mama yako”
”bila shaka huyu mtoto bangi zake zinampeleka pabaya embu muoneni anavyo mdharirisha mzee wa watu jamani”
Kila mtu aliyekuwa pale alizungumza lake baadhi ya watu wakawa wanashangilia na kumpa sifa Dickson kuwa ampige mpaka amuuwe kwani yule Bibi anajulikana ni mchawi
Dickson naye akavimba bichwa alimbeba nakwenda kumtupia kwenye mimaji michafu hakika ilikuwa ni Fedheha kubwa Sana kutendewa kwa mtu mzima Kama yeye.
“Hafidhii,,wee Hafidhi uko wapi wewe?”
Alikuwa ni yule jamaa aliyemtongoza Mwanaidi na kumpeleka stendi akipaza sauti kumwita Chinoge
“nini wee Tizo mi nipo huku shambani”
“njoo kaka mwenzako kuna taarifa mbaya imenifikia”
Chinoge akamfata mbio mbio
“ehee taarifa gani tena ndugu?”
“nimepigiwa simu Sasa hivi na Saidi kuwa Bi Fatma anapigwa huko”
”niniii!?”
Chinoge aliuliza kwa hamaki kwakuwa Tizo alikuwa kashika funguo ya Pikipiki Chinoge akafanya kuipora ilipotua mkononi mwake akawahi kupanda ile Pikipiki kasi aliyoondoka nayo ni balaa
Tizo alibaki kushika mikono kichwani
Kufika Bungu almanusura amgonge Ducha aliyekuwa akivuka barabara kwa mwendo wa kuchechemea sema Ducha aliwahi kuchumpa kwa kujitupa pembeni
“wee jamaa ni fala tu Kama walivyo mafala wengine ole wako ungenigonga ungenizaa leo”
Ducha alipaza sauti kumwambia Chinoge mwenzake wala hakumsikia kwa maana alishafika mbali Sana
Licha ya kuzidisha spidi mpaka mwisho kwake aliona Kama vile Pikipiki ile haitembei alitamani angekuwa na uwezo wake wa kuzimu ingemchukuwa sekunde chache sana kuwasili eneo la tukio
“kunywa haya maji mchawi mkubwa wewe si uliona sifa kwa maneno yako ya shombo pale”
“siwezi kunywa kama vipi niuwe tu!”
”ndiyo nakuuwa leo”
Wakati huo huo muungurumo wa Pikipiki ulisikika watu kuangalia hivi wanaiona Pikipiki ikija kwa kasi kufika pale bwana mkubwa Chinoge alichumpa kutoka juu ya Pikipiki akatua chini kwa kubiduka Sarakasi
“wewe jana nilikustahi ili kulinda heshima yako lakini Kwahiki ulichomtendea bibi yangu leo
Utalipa kwa maumivu makali Sana”
Chinoge alizungumza kwa hasira huku akipiga hatua za haraka kumfata Dickson
“hahahahaha embu mchekeni huyu fal,,,,
Dickson alicheka kwa dharau na kutamka hivyo lakini hata hakumalizia kuzungumza alishtukia akizibuliwa ngumi moja tu ya maana iliyomfanya adondoke chini pasipo kupenda
“haya nyanyuka
Mtoto mzuri uje kucheza kwa baba yako”
Chinoge alimtaka Dickson asimame naye akasimama na kurusha ngumi
Mbili nzito Chinoge akakwepa huku akiachia ngumi nyingine iliyoambatana na kiwiko vyote vilitua usoni
Kwa mara nyingine Dickson akadondoka chini
Akasimama tena ikawa ni balaa Sasa alipigwa ngumi za haraka haraka
Zilizopenya vyema mwilini mwake
Kuna washkaji zake watatu wakaja kuingilia
“duuh kumbe ule msemo usemao usimchokoze mtu usiemjua unamaana yake ehee?”
“ndiyo tena maana kubwa si unaona kinachomtokea Dickson na panya wenzake”
”piga hao uwa kabisa washenzi wakubwa”
Watu walipaza sauti kushangilia Chinoge akawa anapiga na kuvunja mikono
Bibi yake Chinoge alienda kuokota zinga la fimbo na kuanza kumtandika nalo Dickson aliyekuwa kalala chini kwa kuugulia maumivu ya kipigo
Dickson akaidaka ile fimbo na kuivuta Bibi mtu si akajaa akakutana na ngumi nzito ya Uso akapiga kelele za nakufaa Chinoge si alikuwa anapambana na wale wengine akabiduka Sarakasi akakita mguuni mwa Dickson na kumvunja mguu mpaka mfupa ulitokezea nnje
Kama haitoshi akaukita na mkono nao ukavunjwa Dickson alipiga yowe moja tu la uchungu mara akawa kimya
Chinoge alikuwa amechafukwa si kidogo akataka kummalizia kabisa kwa kumnyonga shingo ilibidi Bibi yake amzuie na kumtaka waondoke haraka Sana eneo lile
“nyie wote mliojazana hapa ni Mbwa tu! Hivi kuna yoyote kati yenu anaejihisabia kuwa yupo kwenye kundi la Wanadamu”
“wee kijana embu acha matusi yako ya rejareja na uweke mikono yako juu kuanzia Sasa upo chini ya ulinzi”
Chinoge akashtuliwa na sauti kali ikimuamrisha hivyo kumbe polisi walishawasili pale sijui hata walitokea wapi
Chinoge akatii amri akakamatwa na kufungwa pingu.
“sasa huyu mnamkamatia kitu gani? Tafadhalini naomba muachieni mjukuu wangu”
Bibi yake Chinoge alianza kuwalalamikia maafande ili mjukuu wake asiweze kukamatwa wananchi nao hawakutaka kukubari kuona mtu aliyeweza kuwatetea pale sokoni ndiyo anaye kamatwa
“huyu mbona hana kosa lolote jamani wenye makosa ni hawa hapa ndiyo wenye kustahiri kukamatwa”
“ndiyo huyu kijana kwetu sisi nikama mtetezi wakamateni hawa majangiri”
kulikuwa na purukushani za hapa na pale baina ya Wananchi na maafande lakini Maafande wakaweka kigingi mwishoe Chinoge akapakizwa kwenye Difender Bibi yake naye akapanda
”wee Bibi unataka kwenda wapi? Embu shuka chini”
Mmoja kati ya maafande alipaza sauti kumtaka Bibi yake Chinoge ashuke ndani ya Gari
”naanzaje kushuka? Wakati nataka kwenda kufahamu kuwa mjukuu wangu anapelekwa kituo gani!”
”tunampeleka kituo cha kati haya shuka”
Ikabidi Bibi mtu ashuke pasipo kupenda kina Dickson nao wakapakizwa kwenye Gari ya Wagonjwa na kuwahishwa hospitali ya Tumbi
Siku mbili ziliweza kupita bwana mkubwa Chinoge akiwa bado yupo Selo siku hiyo Bibi zake wote wawili walienda kumuona na kupata nafasi ya kuzungumza naye
“bibi kitu gani sasa kinachokuliza?”
“Hafidhi mjukuu wangu nalia kwa sababu ya kuona haki yako inataka kupotea heti wanadai wewe ni Jambazi muuwaji ulifika pale sokoni kwaajili ya kumuibia Dickson kibaya zaidi siku ya kusomewa mashtaka yako wameandaliwa mashahidi wa Uwongo ili kuja kukukandamiza”
“ha!ha!ha!ha!
Inamaana Mimi nilifika pale kuiba viazi? Au visenti vya wauza viazi? Mbona kama sielewi”
Chinoge akacheka na kuuliza hivyo
“mi mwenyewe hata sijui”
Basi Chinoge alizungumza na Bibi zake pale muda wakaaga na kurejea nyumbani kwao haliyakuwa wakiwa na majonzi makubwa sana siku kadhaa mbele bibie Vicky akaingilia ile kesi
“kwanza nimefurahishwa Sana kwa yule mshenzi kudundwa hakika Mjukuu wako ameleta heshima maana ile juzi nilivyoenda pale Sokoni nilishangazwa sana kuona wafanyabiashara wakinichangamkia na kuniita kwenye bidhaa zao. Mpaka nikajiuliza inamaana Dickson kawaruhusu kujidai au vipi? Nilipojaribu kumuuliza Dada mmoja pale ndipo akanihadithia kila kitu”
Vicky alizungumza huku akitabasamu baada kufika kituo cha polisi ambacho kinamshikilia Chinoge akakutana na Bibi zake Chinoge
“ndiyo hivyo mjukuu wangu licha ya mwenzako kufanya yote hayo lakini Polisi hawataki kumuachia”
“wala usijari bibi yangu kwakuwa mi nipo hapa hakuna kitakacho haribika atatoka leo leo. Subiri kwanza nikazungumze na mkuu wa kituo”
Vicky alizungumza hivyo
“wee unadhani mi nakuogopa ehee? Kisa umetoka mjini kwa taarifa yako sikuogopi wala nini?”
Hapa tunamuona mmoja kati ya watoto akikoromeana na Ducha
“kwa hiyo unasemaje Sasa?”
Ducha akauliza kibabe
wakaanza kusukumizana Ghafla Ducha akapigwa kichwa akapepesuka na kudondoka chini Yule mtoto akamjia kwa juu na kuanza kumrushia ngumi za maana
Kuna watoto walikuwa wakimshangilia mwenzao
Walipoona Ducha kazidiwa kwa kipigo wakafanya kumtoa mwenzao
“oyaa Athuman inatosha muachie”
“wee mjinga una bahati kudadeki zako leo ningekung’oa meno Mimi ndio Arnold Shwarzenegger”
Athuman alijitapa Ducha akanyanyuka taratiibu kwa mwendo wa kuchechemea akashika njia kurudi kwa Bibi yake
Uso ulimvimba kwa manundu Kama mawili
“vipi tena mjukuu wangu mbona una manundu usoni umefanyaje?”
Bibi yake Ducha alimuuliza mjukuu wake aliyekuwa akilengwalengwa na machozi
“mjukuu wako kapigwa na Athuman”
Kuna watoto wengine walikuwa wanapita pale ndiyo wakamjibu hivyo
“yani hiki kitoto toka kianze kufundishwa ngumi na kaka zake Basi mkono wake umekuwa mwepesi kuwapiga wenzie Bora tu mjukuu wangu nimrudishe mjini”
Bibi yake Ducha alizungumza hivyo
Ducha akaingia ndani akapanda juu ya kitanda akakaa kitako
“mwalimu uko wapi wewe mbona umeniacha peke yangu nadharirika nateseka, sina tena ule uwezo wangu
Mwalimu inamaana hivi nilivyo ndiyo nasubilia siku yangu ya kuchinjwa”
“Ducha, Duchaa mjukuu wangu embu njoo”
Akiwa anaendelea kuzungumza kwa hisia akaskia Bibi yake akimwita akajua bila shaka anaitwa ili aagizwe kwenda Dukani ila hakutaka kutoka kutokana na aibu ya yale manundu aliyokuwa nayo
“Ducha mjukuu wangu embu niletee maji ya kunywa”
Bibi yake akasikika akiomba apelekewe maji Ducha akachukuwa birauli na kuteka maji kwenye mtungi akatoka nnje sema alishtuka kidogo baada kuona pale nnje kuna ugeni
Alikuwepo bibie Vicky Chinoge na Bibi zake Chinoge pembeni kulikuwa na gari imepaki
“hasante Sana kijana kwa maji vipi mbona Kama usoni umevimba umeng’atwa na nyuki?”
Chinoge alizungumza hivyo akauliza na swali baada kunywa yale maji
“ang’atwe na nyuki wapi Kuna mtoto mmoja hivi
Anaishi kule miembeni yani hiki kitoto naskia kinafundishwa ngumi na kaka zake wacheza masumbwi huko Kibaha picha ya Ndege
Sasa hiki kitoto kutwa kucha anawaonea wenzie
Mjukuu wangu ndiyo kwanza katokea mjini juzi tu kuja kuniona ajabu leo hii kampiga
Ehee tena mtoto mwenyewe yulee”
Bibi yake Ducha alizungumza hivyo akanyoosha mkono kumnyooshea Athuman aliyekuwa anakatiza barabarani
Ducha alivyomuona Athuman aliingiwa na hofu sana ile hali Chinoge aliweza kuitambua akamshika Ducha mabegani na kumuinamia
“hutakiwi kuwa muoga jiamini kuwa unaweza kaza macho yako niangalie usipepese kope zako
Hakika utaweza Bibi nikabidhi huyu kijana nikakae wala wiki moja
Nitamfunza nini maana ya kujiamini”
Chinoge alizungumza haliyakuwa akimtikisatikisa Ducha mabegani
(HAPA NAWEZA KUSEMA WAARABU WA PEMBA HUJUANA KWA VIREMBA KWA NINI CHINOGE ANAMTAKA DUCHA JE WATOTO WENGINE HAJAWAONA?)
“Sawa haina shida unaweza ukaenda naye kwa maana amekuja kwangu kwaajili ya likizo hata hivyo ana tatizo la mguu aliumia kipindi akiwa huko Daresalama”
Bibi yake Ducha alikubari Ducha achukuliwe
”bibi Mimi siwezi kwenda sehemu mbali na hapa kwanza hawa ni wakina nani?”
Ducha akakataa kuwa hawezi kuondoka pale
“Ducha mjukuu wangu hawa nikama Bibi zako na huyu kijana nikama kaka yako kuhusu huyu binti ndiyo simjui”
“kama ni ndugu zetu mbona Mimi siwafahamu?”
“ehee Sijapata naona hapa mjukuu wako anataka kutuletea ngonjera kama vile tumemlazimisha kumchukuwa,
Sisi tulipita hapa mara moja kuomba maji ya kunywa wacha tuendelee na safari yetu”
Bibi yake Chinoge alizungumza hivyo
“kwanza imekuwaje tena mpaka ametoka?”
Bibi yake Ducha aitwae Sijapata akauliza swali
“ametoka kupitia msaada wa huyu binti si unajua siku zote pesa inaongea”
”ndiyo nafahamu na vipi wale wahuni aliowapiga?”
”yule Dickchooni sijui nini bado yupo Moi huko wenzake nao ndiyo hivyo wanatembelea magongo”
”hakika aliwafundisha adabu Ducha mjukuu wangu kubari kwenda na kaka yako akakufundishe kupigana ili usiweze kuonewa na wajingawajinga Kama hawa kina Athumani”
“kwani huyu jamaa anajua kupigana?”
”ndiyo juzi tu kapigana na watu kumi wote kawapiga”
“duuh watu kumi kwa mmoja!?”
”ndiyo”
“basi naenda naye”
Ducha akakubari
Sehemu Ya 14
Hapa tunawaona masela wawili walioshibana wakiwa wamekaa sehemu
”sasa Snope tunatoka hapa mpaka kwa
Amida tukifika pale kwake tunaweka sura za mbuzi hakuna cha kumsalimia nani wala Nyani tunapitiliza moja kwa moja mpaka chumbani kwake”
”aina noma twenzetu”
Basi wakakatiza kichochoro hiki nakile wakavuka sehemu kulikuwa na kidaraja
Yani ukimuona Sudi na Snop nikama wale Aki na Ukwa
”halafu naskia yule fala kaenda kijijini kulima”
“nani?”
“si Ducha”
“Ducha mseng** tu! Yule tena kama vipi siku akirudi tufanye kumpotezea mazima”
”au sio”
”ndiyo hivyo yeye si anajiona bora kuliko sisi nasi hatuna budi kujikubari sisi kama sisi”
”aminia kichaa wangu sema mi nna wazo moja”
“wazo gani tena hilo?”
“kwanini tusifanye mpango siku tukamuwekea madawa ya usingizi Dadaake Ducha kisha tukampiga mtungo?”
”ukiskia ujinga ndio huo sisi kutengana na Ducha kisiwe kigezo Cha kutowaheshimu ndugu zake halafu kitu kingine Ducha anaweza kutuzingua
Wee mademu wote hawa kitaani huwaoni mpaka umtake Dada Mwanaidi”
“basi poa yaishe basi”
“sio yaishe muda mwingine kichaa wangu unazingua”
Walishaweza kuwasili sehemu waliyokuwa wanaenda wakafanya kuzungukia dirishani
“ohooooo,,,asssssssss,,,,mmmmmmm,,,uwiiiiiiiiii,,”
Wakiwa wanajongea dirishani wakasikia sauti za mtoto wakike akighughumia kimahaba
“aisee atakuwa anagongwa nini?”
“hapana anapiga Nyeto Nyetoni wee njoo umuone”
Sudi alimwambia Snop akapanda juu ya tofari akachuchumalia na kuchungulia Dirishani nikweli mtoto wakike alikuwa mtupu kabisa akiwa kajilaza chali kitandani huku mkono mmoja akiwa kashika ndizi Bukoba akijiingiza kwenye kitumbua chake kina Snop vimboo vyao vilisisimka
wakati wao wakiwa bize kupiga chabo ya Nyetoni mwenzao huku kijijini alishakalishwa juu ya mianzi iliyokuwa imetengenezwa Kama vile Roboti ile mianzi ikawa inachezeshwa kwa kamba Ducha alitakiwa kuwa makini Sana kuikwepa kwa maana akizembea ataumia
“haya moja mbili tatu”
Kitu kikaachiwa Ducha akawa anakwepa na kupanchi ilimuwia vigumu Sana kuendana na kasi ya hilo Roboti maana lilikuwa likishambulia kila sehemu ya mwili kuna moja ikatua kichwani Ducha akawa anaona nyotanyota akadondoka chini na kupoteza fahamu
Chinoge akafanya haraka kumbeba na kumpatia Huduma ya kwanza wiki moja baadae Ducha alishaanza kuwa mtata alipambana vyema na lile Roboti akalivunja vunja
”hakika nimeamini
kuwa wewe ndiyo Ninja Ice ajae”
Chinoge alizungumza kwa furaha
”mwalimu unamaanisha nini kusema hivyo?”
”ahaa hapana nahisi mdomo umeteleza haya chukuwa miti ile pale
Ukaipange kule juu”
Chinoge akafanya kuipotezea ile kauli yake Ducha akafanya kama alivyoelekezwa
“nimewaambia kuwa nyie nyote mkaniokotee maembe mniletee hapa nile, haya fanyeni haraka sana”
Athuman mbabe wa kitaa alitoa amri kwa watoto wenzie wakamtafutie maembe kila mmoja akaingia shambani kukusanya maembe yeye alikuwa amekaa tu sehemu akisubiliwa kuletewa hakika ukiwa mbabe raha Sana
“ehee wee Dogo nilikuwa nakutafuta toka siku zile nilivyokutoa manundu kudadeki zako ulienda wapi?”
Athuman alimuuliza Ducha siku hiyo aliamua kwenda kumtembelea Bibi yake Bungu
Ducha akatoa jibu kwa kumtandika Athuman ngumi moja tu ya Uso iliyomdosha chini kama mzigo akawa kimya
Ducha huyo akaendelea na zake
Zilipita takribani dakika tano pasipo Athuman kurejewa na fahamu zake wale walioagizwa kwenda kutafuta maembe walikuwa wanarejea na vikapu vyao vilivyojaa maembe kufika pale walipomuacha mbabe wao walishtuka baada kumuona Athuman akiwa amelala pale chini wakaweka vikapu vyao pembeni na kumsogelea
”wee Athuman Athu embu fumbua macho tumesharudi na maembe haya hapa”
Licha ya kumtikisa lakini mwenzao wala hakushtuka ikabidi mmoja kati ya watoto wale aende mbiombio Kutoa taarifa kwakina Athuman ambapo kaka yake aliongozana nao pale na kumkuta mdogo wake ajitambui akafanya kumbeba na kumpeleka nyumbani kwao
“vipi tena amefanyaje?”
“kiukweli hata sijui kitu gani kimemtokea maana wenzake wanadai walienda shambani kumuokotea maembe waliporejea pale ndipo wakamkuta akiwa katika hali hii”
“basi mlaze hapo kwenye mkeka”
Athumani akalazwa juu ya mkeka walianza kumpepea pamoja na kumnyunyuzia maji muda kidogo akarejewa na fahamu zake alipiga chafya mfurulizo pamoja na kukohoa
“niko wapi hapa jamani? Embu niachieni”
Athuman alipiga kelele binafsi alionekana kama vile amewehuka kiakili
“dogo embu tuliza wenge”
Kaka yake akamtaka atulie kwanza
Athuman aliweza kutulia aliangaza macho yake kumuangalia kila mtu aliyekuwa pale kulikuwa na Wazazi wake kaka zake wawili na Dada yake bila kusahau marafiki zake wale walioenda kumtafutia maembe
“bila shaka kwasasa umeweza kutulia je unaweza ukatuambia nikitu gani kilichokutokea?”
Kaka yake akamuuliza swali
”Ducha huyo”
Athuman akataja neno Ducha
“Ducha kafanyaje sasa?”
“kanipiga ngumi moja tu ya uso”
“so ulivyopigwa ngumi moja ndiyo ukazimia?”
“ndiyo”
“hahahaha,hahahaha”
Kila mmoja alicheka yani walicheka mpaka basi
“sasa mbona mnanicheka badara ya kunisikitikia?”
“tukusikitikie kitu gani sasa wakati wewe mwenyewe ulituambia kuwa siku ile ulimpiga mpaka ukamtoa manundu au sio wewe?”
“ndiyo siku ile nilimdunda ajabu leo hii kanitandika yeye”
“hiyo inaitwa kutesa kwa zamu je upo tayari kurudiana naye?”
”ndiyo nipo tayari hata Sasa hivi twendeni nyumbani kwao”
“ohoo tulia kwanza bwana mdogo hili swala halihitaji hasira kinachohitajika kwasasa ni Kuandaa pambano la Watoto bila shaka naye atakubari kushiriki”
“sawa kaka haina shida”
Siku baada ya siku Ducha alizidi kuimarika kwenye nyanja za mapambano maana Chinoge alimfundisha usiku na mchana
“mama kwani kule shambani kuna kitu gani mbona miti inatikisika kiasi kile?”
“mmh Hafidhi huyo”
“anaikata au?”
”wee nenda kajionee mwenyewe”
Basi Bibi yake Chinoge akatoka kuelekea sehemu ambayo miti ilionekana kutikisika utasema kuna kimbunga
(SUBIRI KWANZA NIFAFANUE KWANINI CHINOGE WOTE WAWILI ANAWAITA BIBI WAKATI HAWA NI MTU NA MAMA YAKE BASI IKO HIVI
BIBI YAKE CHINOGE MZAA MAMA ALIYOPO KILWA KIWAWA HUYU BI KIWAMBAZA NI MAMAAKE MDOGO NA MTOTO WA BI KIWAMBAZA NI DADA YAKE SASA CHINOGE ILITAKIWA BI KIWAMBAZA AMWITE MA MKUBWA NA MTOTO WA BI KIWAMBAZA AMWITE BIBI SASA YEYE TOKEA AKIWA MDOGO WOTE ANAWAITA BIBI KWA MAANA KUANZIA BI KIWAMBAZA HADI BINTI YAKE AITWAE FATUMA WAMEZEEKA BILA SHAKA NIMEELEWEKA)
Bi Fatma alipiga hatua zile za tahadhari mpaka karibu na shamba lile akainama kwa chini na kupekenyua majani kuangalia aisee hakuweza kuamini macho yake baada kumuona Chinoge na Ducha wakipigana kwa kutumia mapanga
Waliruka huku na kule utasema wana mbawa majani yalipukutika matawi ya miti yalikatika
Ni sauti tu ya mapanga ndiyo iliyokuwa ikisikika kwa nguvu
Akarudi mbio mbio kwenda kumueleza mama yake kwakile alichoweza kukiona
“vipi tena mbona unarudi mbio mbio?”
“wajukuu zako kule washakuwa wachawi”
“wee embu shika adabu yako”
“kweli tena mama nimeweza kuwashuhudia kwa macho yangu wakipaa juu kwa kushikilia mapanga”
“nimekwambia shika adabu yako aliyekwambia kuwa kila anaepaa juu ni mchawi nani? Mbona hata Yesu alipaa juu. Yale ni mazoezi hakuna cha uchawi wala nini”
Bi Kiwambaza alifoka kuskia wajukuu zake wakiitwa wachawi
“hongera sana kijana”
“asante mwalimu hata hivyo hongera zote ziende kwako kwa kunifanya niweze kujiamini japokuwa hapo awali nilishakata tamaa”
”ilikuwaje mpaka ukakata tamaa?”
“basi tu! Mi mwenyewe nilishajikatia tamaa mpaka nikaamua kukimbilia huku Kijijini ili kuikwepa aibu ambayo ingenikuta iwapo ningeendelea kubaki kule mjini”
“aibu gani tena kijana? Mbona kama sikuelewi”
“sijui hata nikueleze kitu gani ili uweze kunielewa
Mwalimu wewe ni mtu wa kwanza ninaetaka kukuelezea mkasa wangu.
Niahidi kuwa utanifichia Siri hii”
“Ducha”
“naamu mwalimu”
”je unafahamu kwanini nilikuchagua wewe! Nawala sio watoto wengine?”
”sijui mwalimu”
“basi subiri nikueleze kitu kimoja ili uweze kufahamu kuwa nakufahamu vyema wewe kuliko wewe unavyonifahamu mimi siku ile wakati natokea Kibaha kwa Mathias nikiwa ndani ya Gari nilipofika maeneo ya Bungu nilimtaka Bibie Vicky asimamishe Gari baada ya kujiwa na hisia fulani
Gari iliposimama ndipo tukashuka wakati napiga hatua mbili tatu kujongea pale kwenu zile hisia ndiyo zikazidi kunitawala
Nilipofika karibu na Bibi yako nikajifanya kuomba maji nikiamini kile ninachotaka kukiona ndicho kitakachoniletea hayo maji,
Nikweli ikawa hivyo”
“mwalimu unamaanisha nini kuzungumza maneno yote hayo?”
”namaanisha ya kwamba Ducha wewe ni nusu mtu nusu Jini”
Ducha alishtuka si kidogo akabaki kumkodolea macho mwalimu wake huku akijiuliza amemjuaje
”ha!ha!ha!ha bila shaka unajiuliza nimejuaje ila kaa utambuwe kitu kimoja Mimi ni mwalimu wako kwa hapa Duniani na huko kuzimu”
Wakati wanaendelea kuzungumza pale
Kuna kiumbe cha ajabu kiliibuka mbele yao wote waliweza kukiona
Yule kiumbe akatoa ishara ya heshima kwa kuinama kisha akaanza kuzungumza
”habari yako mkuu
Nimetumwa kuja kukueleza kuwa tawala yetu imevamiwa na tawala nyingine yenye nguvu kupita kiasi
Wamemteka Bibi yako na mzee wako Ibnuwas tafadhari kawasaidie”
Yule kiumbe alizungumza kwa pupa akapiga magoti chini huku akidondosha machozi ya Damu
“mwalimu nani huyu?”
“nenda kawasaidie”
Chinoge hakujibu swali zaidi ya kumtaka Ducha akatoe msaada
“mwalimu nitawezaje kwenda kutoa msaada haliyakuwa uwezo wa kwenda huko sina”
“Ducha wewe ni jasiri usieweza kuiacha asiri kumbuka nilikwambia kujituma na kujiamini ndiyo silaha kubwa ya mafanikio”
”Chinoge mbona tunazidi kupoteza muda twendeni basi”
Yule kiumbe alizungumza hivyo na kumfanya Ducha amuangalie mwalimu wake mara mbili mbili yani hakuweza kuamini kuwa huyu amuonae Mbele yake mpaka akawa anamdharau kuwa hatoweza kumfundisha chochote ndiyo yule shujaa aliyekuwa akimsoma kwenye Vitabu na vijarida mpaka kufikia hatua ya kutamani kuwa Kama yeye
“mwalimu inamaana wewe ni Chinoge?”
“ndiyo kijana”
Chinoge aliitikia kisha akapotea na kumuacha Ducha akifikicha macho yake
Yule kiumbe nae akamshika mkono Ducha na kupotea nae
**********
Ukungu mzito na mweusi tii ulikuwa umetanda kila eneo na kufanya eneo hilo kisionekane kitu chochote kile zaidi ya miale ya moto iliyokuwa iking’aa
“ni muda mrefu sana tulikuwa tukiwatafuta hatimae leo hii mmeweza kuingia mikononi mwetu na huu ndiyo mwisho wa Tawala yenu kuwa kwenye uso wa ulimwengu huu si mlikuwa mkijisifia wale vijana waiteni”
Ni sauti nzito iliyoweza kusikika ikitokea kwenye Ukungu pasipo Mzungumzaji kuonekana
“kwa hiki mnachotaka kututendea mtakuja kujuta”
Sauti ya Bibi yake Ninja Ice ilisikika akizungumza kwa kujiamini wakati huo huo ule ukungu ukawa unatoweka aisee kulikuwa na umati wa Majini wenye kutisha takribani ishilini ile miale ya Moto haikuwa miale bari ni macho yao
Kutoweka kwa Ukungu ule ilionekana kuwashtua Sana viumbe wale
”aisee inaonekana tushavamiwa embu fanyani haraka kuwachukua hawa mateka na mkawafungie kule”
Alizungumza hivyo mmoja kati ya wale majini
Wale walioagizwa kuwachukuwa mateka ile wanataka kuwashika tu! Ghafla kuna nyundo ilikuja kwa mtindo wa kuzunguka ikakita mikononi mwao haikuchukuwa hata sekunde mbili walipukutika kama karatasi iliyokuwa ikiteketea kwa Moto na kubakia Jivu
“Ibnuwas mwanangu hatimae Chinoge amerudi tena”
Bibi mtu alizungumza kwa furaha ajabu aliyeibuka pale hakuwa Chinoge ni Ducha Duchani wakati wanamshangaa Ducha mara na Chinoge naye anaibuka nyundo ikaenda kutua mkononi mwake aliidaka kwa kuizungusha
Chinoge alikaza macho kuwaangalia wale viumbe walionekana kushikwa na hali ya uwoga ilionekana dhahiri kabisa hawakuutarajia ujio wake pale kitendo pasipo kuchelewa walianza kukimbia
“niangamizie hao Panya”
Chinoge alizungumza hivyo kumwambia Ducha naye akakaza macho kuwaangalia wale waliokuwa wanakimbia
Ghafla kuna miale mikali ilitoka machoni mwake nakwenda kuwamulika Viumbe wale walitatarika huku wakipiga kelele za maumivu kuwa wanaungua na moto
”mamuweeeeee,,,tunakufaaaa”
Kufumba na kufumbua wakapasuka vipande vipande,
“kazi nzuri kijana”
Chinoge akatoa pongezi kwa Ducha ile anataka kuitikia tu ile pongezi
Ghafla alishtuka kutoka usingizini na kujikuta yupo kitandani Kwanza alijikagua mavazi yake
“mmh mbona kama sielewi inamaana kile kilichotokea nayo ni ndoto? Kama zilivyo ndoto zangu za siku zote au?
Ducha alijiuliza hivyo akanyanyuka na kujinyoosha huku akipiga miayo akachukuwa mswaki na kutoka nnje
”shikamoo bibi”
“marhabaa mjukuu wangu vipi leo mbona umelala Sana unaumwa?”
”hapana Bibi siumwi wala nini”
Ducha alijibu hivyo akabeba kisado na ngata ya kuchotea maji huyo akaelekea zake kisimani alitembea huku akijiuliza maswali chungu mzima pasipo kupata majibu
Alipowasili kisimani alikuta kuna watu kama watano Mabinti watatu na wavulana wawili kila mmoja akisubilia zamu ya kuteka maji naye akaweka kisado chake pembeni
“oyaa wee mtoto mbona usalimii wakubwa zako”
Mmoja kati ya mabinti akamuuliza swali Ducha
“kwani lazima kusalimia?”
Ducha naye akauliza
”kwani hiki kitoto cha wapi? Mbona kinaonekana kijeuri?”
“wee bwana ehee embu teka maji hapo wenzako tunasubilia”
“wee naye wa wapi? Naona imekuuma mi kumuulizia huyu mtoto ehee!?”
“iniume kitu gani Sasa kwani umeambiwa Nina undugu naye au shobo zako tu!”
“khaa sasa nani mwenye shobo kati yangu Mimi na wewe?”
“bwana ehee embu nipishege huko mi nijitekee maji”
”nakupishaje kwa mfano? Wakati ndoo yangu hata haijajaa”
”oyaa nyie Vishori mnazingua mjuwe!”
Kati ya wale vijana akaingilia mzozo ule pasipo kufahamu wale mabinti wanajuana wenyewe
Kibao kikamgeukia yeye Sasa
”wee tena ukome ukomae upate mimba uzae usituite Vishori sisi kawaite Ukoo wako huko Mbuzi wa kafala wewe muone kwanza sura mbaya kama nyongo iliyotapikwa
Ndiyo maana una kibamia”
“ohoo Shogaangu usimtafune ukammaliza peke yako embu niachie na Mimi nimpashe apashuke hivi
wewe kuku kishingo sijui kibwezi umetoka kupandwa sasa hujui pa kutaga umeona utuchokonoe sisi ili tukutagishe ehee Sasa Kama una mavi Kanye kichaka kile pale
Basi walizidi kumchamba na kumchambua mkaka wa watu mpaka akawa anaona aibu Ducha akaingilia kati na kuanza kuzungumza
“hivi nyie Malaya wanuka vikwapa midomo yenu michafu haina tofauti na vinyeo vyenu
Hivi kuna yoyote kati yenu anaweza akatoka mbele ya umati wa watu na kujitapa kuwa yeye ni mwanamke aliyekamilika nyie ni wapuuzi Kama walivyo wapuuzi wengine.
Muda mlioutumia kumsema yule Brother pale ingekuwa ni vyema kama mngeutumia muda huo kupanua Papa zenu ili mtiwe mimba mkazae,,
Mara puuh Ducha akarushiwa ndoo ya maji Mwanaume akabiduka tiktaka na kuipiga teke ile ndoo ikarudi ilipotoka na kwenda kumbamiza Binti aliyeirusha alipiga kelele za maumivu
”hivi wee mtoto umetumwa ehee? Hutujui ehee?”
Binti mwingine aliuliza maswali mfurulizo huku akimfata Ducha alipomfikia akarusha kofi
Ducha akainama mkono ukapita
Ducha akajivuta pembeni
“sikia nikwambie kitu Dada yangu sikufunzwa kupigana na watoto wakike ambao tayari mshajifia ni vyema mkateka maji na mjikatae vinginevyo
Nitawatandika mpaka mchakae”
Ducha alizungumza kwa kujiamini
kwa kuwa mwenzao alikuwa kaumia kwa wakati huo alikuwa anavuja damu kwenye paji la uso baada kupigwa naile ndoo wakafanya kumsaidia kwanza mwenzao
“wee mtoto huu ni Moto umeuwasha na lazima ukuwakie siku si nyingi tutakuonyesha”
Wale mabinti walizungumza hivyo wakamshika mikono mwenzao hao wakaondoka zao
”Duuh wee dogo ni noma aisee yani ulivyobiduka ile Tiktaka kama Ronaldo”
Wale washkaji walianza kumsifia Ducha
“sema nini dogo fanya haraka uteke maji na
Ujikatae mapemaa maana yule uliyempasua familia yake si watu wazuri kabisa tena usiombe wapafahamu nyumbani kwenu wanaweza kuja kutia Moto nyumba pamoja na mashamba yenu”
Licha ya kumsifia wakampa na tahadhari alichokifanya Ducha ni kuchota maji na kuondoka
”vipi tena mbona hai hai kama vile umetoka kushikwa ugoni?”
Bibi yake Chinoge alimuuliza Ducha aliyekuwa akifanya vitu haraka haraka yani aliingia chooni kuoga akatoka mara akavaa akaweka nguo zake kwenye Begi
Ikabidi Ducha amueleze ukweli Bibi yake Chinoge kwanza akacheka sana tena sana
”ha!ha!ha!ha! Yani baada kuona umeharibu huko ndiyo unataka kutuachia msala embu kwanza msubilie Mwalimu wako ili tujuwe tunafanyaje”
“bibi bwana mi kwasasa hapa sina muda wa kupoteza wala sihitaji wale watu wafahamu kuwa Mimi naishi hapa!”
Ducha alizungumza hivyo haliyakuwa akianza kuondoka begi alishalivaa mgongoni
“haya baba nikutakie safari njema huko uwendako wasalimie ehee”
Ducha akaishia kupunga mkono wakati anatokezea barabarani ndipo kwa mbele yake akaweza kuona Umati wa watu watoto kwa Wazee na vijana
Wakija uwelekeo ambao yeye anatokea alipojaribu kukaza macho yake kuwaangalia watu wale kwa umakini ndipo akaweza kuwabaini Mabinti ambao dakika kadhaa nyuma alizinguana nao kule kisimani
Ducha akafanya haraka kuingia Vichakani na kujificha
“ole wake tumshike tutamnywa supu mzima mzima haiwezekani anipasulie binti yangu”
”tena nikimshika nitamvuta na kumnyongorota mapumbu yake nitayanyofoa yote”
”kudadeki Mimi nitamnyonya mavi kwa ulimi
”mi nitamfonza ubongo na macho yote”
Kila mmoja alikuwa anazungumza lake kuonyesha kwamba si watu wa mchezo
Ducha aliweza kusikia yote hayo mpaka wanakatiza sehemu ambayo yeye alikuwa kajificha
Baada ya wale watu kupita ndipo akajitokeza na kuendelea na safari yake
“hivi mi mjinga ehee yani nafahamu fika kuwa kule nimemuacha Bibi peke yake Mwalimu naye sijui kaelekea wapi?”
Ducha alijiongelesha hivyo akageuza kwa kurudi alipotoka
“umesema mtu mwenyewe anaishi kwa Binti Kiwambaza ehee?”
”ndiyo baba kuna siku niliwahi kumuona pale”
”basi haina shida tuongoze njia na tukifika pale hakuna cha kuuliza nini wala cha maini ni kushambulia tu!”
”ndiyo mzee”
Umati wote ukaitikia muda kidogo wakawasili pale na kukuta kukiwa na hali ya ukimya
”wee nyauba Mchawi mkubwa tunakuomba utoke nnje mwenyewe. Na umtoe huyo mtoto kabla hatujachukuwa maamuzi ya kuvamia humo ndani?”
Yule mzee akaza sauti huku akipigapiga panga kwenye Jiwe
“vipi tena ndugu zanguni mbona silaha mkononi?”
Wakashtuliwa na Sauti ya Chinoge aliyekuwa akitokea shambani na kifurushi cha mkungu wa ndizi
Kwanza wakamuangalia kwa kumshusha na kupandisha
”vijana kamateni huyo”
Yule mzee akatoa amri
Alichokifanya Chinoge ni kuwatupia ule mkungu wa ndizi huku yeye akichumpa na kwenda kumtandika teke moja takatifu yule mzee panga likamponyoka Chinoge akawahi kulidaka na kumuwekea Shingoni binti wa mzee yule yani kilikuwa ni kitendo cha sekunde chache Sana binti kutaitiwa
”nyie nikina nani? Na mmekuja nyumbani kwetu kufanya nini?”
Chinoge aliuliza akamsukumiza yule binti pembeni
Akawanyooshea panga
“kijana utakufa kifo kibaya sana usitake kujifanya shujaa mbele ya Mashujaa wa kijij,,,
“Chinogeee,,”
Ducha alikuja mbio mbio huku akipiga kelele za kumtaja Chinoge akalitupa Begi chini na kubiduka samasoti akatua pembeni ya Mwalimu wake
“babaa mtu mwenyewe ni huyu hapa”
Binti akapaza sauti kumtaja Ducha
”khaa inamaana hiki kitoto ndicho kilichokupiga?”
”ndiyo baba”
”shenzi kabisa wewe unapigwaje na mtoto mdogo kama huyu haya mkamateni huyo mtoto”
Kukawa na hekaheka nguo kuchanika watu walichapika
Chinoge alikuwa anapiga na kuvunja huku Ducha akidanki danki na kuzuia vijinga vya moto kutokuigusa nyumba maana walidhamiria kuitia Moto
*********
“vipi mchizi wangu?”
”safi tu nambie”
”sina hata msemo sema nini Ducha mwenzako Nina majanga si kidogo”
“huo ndiyo msemo Sasa haya nambie majanga gani tena?”
”au basi”
Sudi akaghairi”
”wee fala tu kitu useme mwenyewe halafu ulete mizinguo kama vipi Baki na majanga yako”
Snop alichukia kwa kitendo cha rafiki yake kutomuelezea kuhusu hayo majanga.
Sudi akiwa amebaki pale mawazo yakampeleka mbaali
Ilikuwa yapata majira ya saa tano usiku
Nyumbani kwa kina Sudi kulikuwa na vilio vya watoto wadogo wakilia njaa maana tokea Asubuhi wapate kifungua kinywa kwa kunywa chai isiokuwa na Sukari tena kwa andazi moja moja Basi mpaka inatimia saa tano hakukuwa na dariri zozote za kupata Rizki wakabaki kupiga miayo
“mamaa”
Sudi akamwita mama yake aliyekuwa kashika tamaa kwa kujiinamia
”abee mwanangu”
“mi hapa nilipo mfukoni Nina elfu mbili sijui Kama itatutosha”
“khee mwanangu inatutosha mbona nyingi hiyo embu lete nifanye maarifa”
Sudi akampatia ile pesa mama yake akafanya kuweka mafiga
Sawa akakata kuni na kuwasha Moto
Akabandika chungu cha Ugali
“fanya uwende kwa mama Vei ukachukuwe mafungu mawili ya Dagaa mchele mwambie akate elfu moja nyingine nitampelekea kesho ili hiyo itakayobaki upitie kwa Mangi kuchukuwa Unga kilo moja”
”sawa mama”
Sudi akafanya haraka kuelekea alipoagizwa dakika si nyingi akarudi
Ugali ulianza kusongwa sema maji yalikuwa mengi Unga mdogo ikabidi Sudi aagizwe tena kufata Unga nusu
Akaenda na kuleta ukamiminwa
“mmh wee Sudi”
“naamu mama”
”embu njoo”
Sudi akaenda kusikiliza wito
”hivi ulichotuletea Sasa hivi ni unga au Sukari?”
”kivipi mama?”
”embu onja mwenyewe huo ugali maana kila nikisonga upo vilevile wakati Unga ulioniletea nimeumimina wote”
Sudi akaonja
“Mtumee yule fala atakuwa kanipimia sukari kudadeki zake subiri nimfate”
”unamfata wanini Sasa wakati muda huu atakuwa kashafunga embu kalete sinia tutaula hivyo hivyo”
Sinia ikaletwa basi watoto waliufarahia Sana ule ugali maana mtamu kama vile Sukari Guru
Kesho yake asubuhi wakati Sudi anaelekea Dukani kufika sehemu akakutana na Chande
“Sudi mdogo wangu mi kuna ishu nyeti nataka nikupe ishu ambayo utaingiza Pesa wee mwenyewe mpaka ushangae je upo tayari?”
Chande alizungumza kwa kujiamini
”ishu gani kwanza”
“ya ujambazi”
Sudi alishtuka kuskia hiyo ishu
“khaa inamaana ka,,
“shiip nyamaza basi usitoe sauti”
Chande akamtaka Sudi akae kimya
“sikia nikwambie kitu mdogo wangu wewe kazi yako wala haitokuwa ngumu kitakachokuwa kinafanyika kwako tunakuweka ndani ya Boksi kuubwa tunalifunga vizuri kisha tunaenda kulikabidhi Box hilo kwenye Duka au nyumba ambayo tumepanga kuivamia
Itakapotimia majira ya Usiku utatoka ndani ya box na kutufungulia milango Wanaume tunazama ndani na kufanya yetu kisha tunasepa kimtindo”
“kwanini usimchukuwe Ducha au Snop? Na je siku ikatokea nikakamatwa itakuwaje?”
”Ducha kwasasa hayupo hapa kuhusu Snop sio mjanja kama wewe amini nitakulinda
Au hutaki kuwa na pesa Kama hizi?”
Chande akazidi kumshawishi na kumuonyeshea kibunda cha pesa kilichojaa elfu kumi kumi Sudi akajilamba midomo
”embu zishike”
Sudi akazipokea zile pesa huku mikono ikimtetemeka
”hizo zote ni za kwako”
Sudi hakuweza kuamini maskio yake heti zile pesa zote ni za kwake ikabidi aulize
”zote hizi ni za kwangu?”
“ndiyo”
”basi nipo tayari kuifanya hiyo kazi tunaianza lini?”
”kesho kutwa nitakuja kukupitia pale nyumbani kwenu”
”sawa na vipi kuhusu Snop nimwambie”
“hapana hapana hapana tena nakuonya hii ni siri baina yangu mi nawe usithubutu kufungua mdomo wako kumueleza mtu yoyote yule
Utakuja kufa kifo cha kikatiri Sana nadhani umeweza kunielewa”
Chande alikunja ndita na kuzungumza hivyo mpaka Sudi alianza kuogopa
Sehemu Ya 15
”hizo zote ni za kwako”
Sudi hakuweza kuamini maskio yake heti zile pesa zote ni za kwake ikabidi aulize
”zote hizi ni za kwangu?”
“ndiyo”
”basi nipo tayari kuifanya hiyo kazi tunaianza lini?”
”kesho kutwa nitakuja kukupitia pale nyumbani kwenu”
”sawa na vipi kuhusu Snop nimwambie”
“hapana hapana hapana tena nakuonya hii ni siri baina yangu mi nawe usithubutu kufungua mdomo wako kumueleza mtu yoyote yule
Utakuja kufa kifo cha kikatiri Sana nadhani umeweza kunielewa”
Chande alikunja ndita na kuzungumza hivyo mpaka Sudi alianza kuogopa
Songa nayo
Sasa
Sudi alimuangalia Chande kwa umakini Sana ikawa kama vile haamini kwakile alichoweza kukisikia akitamkiwa
”inamaana unantisha au vipi? Kama unantisha Basi nishaghairi hiyo kazi siifanyi nakama ujuavyo kiendacho kwa mganga hakirudi”
Sudi alizungumza kibabe huku akiondoka
”Sudi Sudi wee Sudi”
Chande akafanya kumkimbilia huku akimwita
“hivi wee Chande wa kunitisha mimi kweli?”
”sio hivyo brother”
”sio hivyo kumbe nini wakati umeniambia pale heti nitakufa kifo cha kikatiri”
”sikia nikwambie kitu mdogo wangu Sudi ujuwe kila kazi kunakuwa na Masharti yake
Nisamehe sana kama nitakuwa nimekuuzi embu kamata na hii’
Chande hakuwa na budi kujishusha kwa maana anawafahamu vyema hawa watoto hakuna kitu wasichokipenda kwenye Utatu wao kama kuzinguliwa ukimzingua Sudi ndiyo umewazingua wenzake yani Ducha na Snop
“ehee mambo ndiyo hayo Sasa kulaleki kufa hakuna breki”
Sudi alizungumza kwa furaha baada kuona anaongezwa pesa nyingine. Basi wakapanga hili na lile kisha wakaagana
Sudi akaelekea zake Dukani akanunua kitu alichoagizwa na kurudi nyumbani kwao njia nzima akawa anajiuliza maswali ya hapa na pale
Kwanza alijiuliza kuhusu pesa zile atazitumia vipi? Maana kwa umri wake kuwa na pesa nyingi kama hizo ni balaa
Pia akakumbuka kuwa shuleni kwao Darasa zima mtu pekee aliyekuwa anakuja na pesa nyingi ni Ducha akatamani shule ifunguliwe hata kesho ili na yeye akaonyeshane Umwamba juu ya matumizi ya pesa kama vile kuwanunulia Chostic na Ice cream watoto wakike waliokuwa wakimshobokea Sana Ducha kuliko wao makapuku. Mara nyingi Ducha alikuwa akija shule hakosi kuwa na shiling elfu tano mfukoni mwake
Sudi aliwasili nyumbani kwao haliyakuwa akitabasamu
”vipi tena mbona umekawia kurudi?”
Mama yake akamuuliza swali huku akipokea kimfuko ambacho ndani yake kulikuwa na Sukari
”nakuuliza wewe sasa unacheka cheka kitu gani?”
Binafsi Sudi alikuwa Kama vile ni mtu aliyepagawa
“mama bwana baada kuniuliza nafurahia kitu gani? Wee unaanza kunifokea ntakuwa sikupatii kitu nilichokiokota ohoo”
Sudi alizungumza hivyo
”mmh mwanangu jamani si nimekuuliza zaidi ya mara mbili. Haya nambie umeokota kitu gani?”
Alichokifanya Sudi ni kuingiza mkono mfukoni na kuzitoa zile pesa
Mama yake alionekana kama kushtuka hivi akabaki kuzikodolea macho zile pesa
”khaa! Sudi mwanangu pesa zote hizi umezitolea wapi? Embu twende chumbani”
Mama yake alizungumza kwa kubabaika kidogo wakaingia chumbani
”nimeziokota mama”
“umeziokotea wapi?”
”kulee kwa Muarabu wakati narudi
je kuna mtu yoyote aliyeweza kukuona wakati unaziokota?”
“hapana mama”
“basi unatakiwa uwe kimya usijaribu kumwambia mtu yoyote sawa baba yangu”
Basi Sudi akaitikia na kutoka nnje. Yote yalikuwa ni mawazo yake Sudi akiwa amekaa pale aliwaza hivyo baada kukataa kumwambia Snop kuhusu Majanga ambayo alitaka kumuelezea kumbe majanga yenyewe ndiyo hayo ya yeye kujiunga kwenye Ujambazi akitumika Kama chambo
*******
Huku kijijini hali haikuwa hali kabisa watu walifinywa ile kisawasawa walibamizwa kwenye miti Wanakijiji walikaa mbali na eneo hilo wakibaki kushuhudia Watu wawili wakitembeza kichapo kwa watu takribani kumi na mbili
Ducha alikuwa anapiga zile ngumi za haraka haraka akizunguka Kama kishada
Muda kidogo Mgambo wa Kijiji wakawasili pale na kujaribu kutuliza Ghasia zile
”sasa mbona mnatukamata sisi wakati sie ndiyo tuliopigwa”
Yule mzee wa msafara alipaza sauti huku akikukuruka ili asiweze kufungwa kamba mikononi Akapigwa kibao cha mgongo na kutakiwa kutulia
”embu tulia huko pimbi mkubwa wewe unataka kutufundisha kazi sio?”
”sio hivyo Afande embu tuangalie jinsi tulivyoumizwa”
”embu na wewe funga bakuri lako hilo kuumizwa ni haki yenu nyie wenyewe si ndiyo mliotoka huko kwenu na kuja kufanya vurugu huku?”
”hapana Afande hawa vijana walikuja kufanya vurugu nyumbani kwetu ndipo tukawakimbiza mpaka huku”
”siku zote aliyekutwa na mfupa ndiyo mla nyama Sasa nyie mnaonekana ni wenye hatia kwa maana tumewakamatia hapa haya ongozeni njia wenyewe”
Kiongozi wa Wagambo wale alizungumza hivyo huku akiwasindikiza kwa kuwapiga makofi ya Mgongo wakaondoka nao
Wanakijiji walitoa sifa kemukemu kwa Bi Kiwambaza huku baadhi ya Vijana na watoto wakiomba kufundishwa mapigano lakini Chinoge akawatolea nnje akidai ya kwamba kwasasa hana muda wakuwa Mwalimu kwa maana ana mambo mengi Sana anatakiwa kufatiria huko mjini
“wee dogo kumbe wale watu unafahamiana nao ehee?”
Chinoge alimuuliza swali Ducha aliyeonekana kushangazwa sana na swali lile
”unamaanisha nini Mwalimu kutamka hivyo?
”jibu swali je wale watu unafahamiana nao?”
“hapana Mwalimu”
”sasa mbona nilikuskia unaita Chinogee ulikuwa unamaanisha nini kuita vile?”
Ducha akaishiwa pozi kabisa ikabidi akae chini
”halafu mjukuu wangu hiki kitoto ujuwe mi hata sikielewi maana leo Kwanza kachelewa kuamka alivyoamka akaelekea kisimani na kwenda kuzua mabalaa huko alivyorudi hapa badara anielezee kinaga ubaga yeye akakimbilia Begi lake huyo akaondoka zake.
Kama ingekuwa sio wewe mjukuu wangu kuwahi kurejea ningeshauliwa na wale wapuuzi”
Bibi yake Chinoge alizungumza hivyo
“sasa Bibi unielewi kitu gani? Wakati nilikueleza kila kitu halafu Mwalimu nawe unazingua ujuwe yani unaniuliza kuhusu Chinoge wakati ndiyo wewe hapo”
Ducha alisimama na kuzungumza hivyo
Chinoge akuzungumza kitu akaingia zake ndani
“yani kila nikiliangalia lile shamba pale basi moyo wangu unakuwa na hasira isiokuwa na kifani”
Bibi yake Chinoge alizungumza kama vile anajiongelesha mwenyewe
”kwanini unakuwa hivyo bibi?”
Ducha akauliza
”ni historia ndefu kidogo ila kwa kifupi tu lile shamba lilikuwa langu Sasa kuna Mtu akatumia ubabe kuninyang’anya na kujimilikisha yeye akitumia kigezo Cha uwanaume wake”
”ohoo pole sana bibi. Je huyo mtu anaishi wapi?”
”anaishi kulee Kama unataka kwenda Dukani kwa Lupombe ukipita kile kinjia cha kushoto si kuna kijumba kilichopakwa rangi nyeupe”
”ehee ndiyo napapata”
”basi ukifika pale Muulizie mzee Shawawa”
“hilo ndiyo jina la muhusika? Yani aliyekupokonya shamba?”
”ndiyo yeye huyo”
”basi nishikie begi langu wacha mi nikazungumze naye”
Bibi mtu akalipokea lile begi alipogeuka ili aingie ndani akaskia kitu kama upepo mkali ukimpitia nyuma yake alipogeuka kuangalia hakuweza kuona kitu chochote
Akaangaza macho yake kuangalia huku na kule
”Ducha wee Duchaa umepitia wapi tena? Wakati nimekwambia njia ile kulee”
Alipaza sauti kuita pamoja na kuzungumza hivyo akazunguka nyuma ya nyumba huku akiendelea kumwita Ducha kiukweli kabisa kama Ducha alipita ile njia angeweza kumuona maana yeye alitumia sekunde chache kugeuka inakuwaje asionekane ikabidi amwite Hafidhi
“wee Sinonge, ahaa wee Hafidhi”
Alitaka kuita Chinoge baada kuona haliwezi akaita Hafidhi
Chinoge akatoka ndani
“embu njoo haraka Sana mjukuu wangu”
”kuna tatizo au?”
Chinoge akauliza swali
”ndiyo”
”tatizo gani tena Bibi?”
Ikabidi Bibi yake amuelezee kuhusu kutoweka kwa Ducha
“huwenda atakuwa kazungukia huku maana siku zote ukimuagiza kitu Dukani anapenda kupitia njia hii”
Chinoge alizungumza hivyo
Binafsi Ducha alipomkabidhi begi Bibi yake Chinoge yeye akapotea kama upepo na ndiyo kitu ambacho kilimshtua Bibi mtu
Hapa tunamuona Ducha akiibuka sehemu ileile aliyokuwa kaelekezwa akapiga hatua kadhaa kuisogelea nyumba hiyo iliyokuwa imejengwa kwa Udongo na kuchapiwa kwa Sumenti yani ukiona unaweza ukasema sio nyumba ya Udongo kwa jinsi ilivyopambwa na kupambika
“habari yako binti vipi Mzee Shawawa nimemkuta?”
Ducha alitoa salamu kwa binti ambaye alimkuta akiwa jikoni akisonga ugali yule Binti alimuangalia Ducha mara mbili mbili
“mmh yani wee mtoto badara ya kuniamkia kaka yako unanisalimia Kama vile mi mkubwa mwenzio embu niamkie huko”
”hahahaha”
Ducha akacheka
“sasa unacheka kitu gani?”
“nacheka baada kuona binti mrembo kama wewe ulivyoanza kunidharau wakati mi ni mkubwa kiumri ila ni mdogo kiumbo”
”hivi wee mtoto unadhani mi Mbilikimo siwafahamu ehee? Nawafahamu vyema sasa wewe hadi kisauti chako cha kitoto”
“kama mi mtoto si unipe kidogo nikachangamshe damu”
“nikupe nini?”
”pampuchi hiyo”
”mtumee makubwa yani wee mtoto wakutaka kunisosomora Mimi?”
“binti embu acha ngonjera zako nijibu mzee Shawawa yupo au?”
”siwezi kukujibu mpaka uniamkie nakama hutaki kuniamkia basi nionyeshe huo ukubwa wako”
”twende chumbani nikakuonyeshe”
Binti akaiipua ile Sufuria ya ugali na kuiweka chini maana alikuwa anakoroga Uji akasimama na kuongoza njia kuelekea chumbani Ducha akaangalia kulia kushoto ndipo akajitoma ndani humo
“haya nionyeshe
“nakuonyeshaje kwa mfano?”
”si nikione hicho kidudu chako”
“utaweza kukiona baada ya mimi kudindisha na siwezi kudindisha mpaka wewe uvue nguo zako zote unachotakiwa kufanya kwasasa ni kupanda kitandani nikuvue nguo huku nikinyonya zako chuchu nikupikiche kisimi”
Ducha alizungumza hivyo basi Binti
alipanda kitandani na kujilaza, Ducha naye alipanda na kumvamia pale ambapo alianza kumvua nguo moja badara ya nyingine akambakisha kama alivyozaliwa Binti mwenyewe alijipanua miguu yake kama yuko Labour Ducha alijitosa na kujipinda shingo yake katikati ya mapaja na kuanza kukinyonya kitumbua ulimi ulipogusa ile sehemu ya maraha, yaani kiarage, Binti huyo alishtuka kwa kupiga yowe la utamu
“aaaaaaaaaaaah,,”
basi Mwanaume alishughulika na kiarage ambapo alikinyonya hasa,na jinsi kilivyokuwa kirefu kidogo ilimrahisishia kazi ya kukinyonya vizuri
“aaah,,,aaaaishiiii
iiiiiiii,,,,,mmmmh,,,,,oooooouuuuuh,,,,ssssssssssssssss,,aaaaaaaaaah”
Binti alighughumia kwa utamu sauti yake ilikuwa ya chinichini bila kutoa sauti kubwa,ilifika muda mikono yake ilikishika kichwa cha Ducha na kukikandamiza kwenye kitumbua chake ili azidi kukinyonya kiarage kwa kasi
Mwanaume alisitisha zoezi hilo baada ya kuona Dada huyo anastahili kuingizwa dudu, alimlaza kifudifudi ambapo makalio yake yaliyotuna yalikuwa yalionekana laivu,basi kwa kutumia mikono yake alilishika Dudu lake na kumpanua makalio Binti huyo ambaye hakuwa na hali yani hata muda wa kuliangalia Dudu hakuwa nao kisha taratibu akawa anamzamisha dudu lake kwenye kitumbua, kadri dudu hilo lilivyokuwa likiingia ndivyo binti alivyokuwa anashtuka shituka ikiwa kama vile haamini kile kinachoingia kwenye kitumbua chake akawa anajitikisa ili liingie vizuri
Dudu lote lilizama ambayo mayai yake mawili yalikuwa kama breki juu ya makalio ya Binti huyo, alimbanisha miguu yake kisha akaanza kumsugua ndani nnje, nnje ndani,dudu lilingia na kutoka ambapo makalio ya Binti huyo yalikuwa yakitikisika hasa na kumfanya Ducha kuzidisha kasi ya kumtomba ile kinoma noma
“aaaaaaah,,,uuuwwiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaah,,,mmh,,”
Binti wa watu alizidi kutoa mighuno ya raha huku akijitahidi kuzungusha kiuno chake na kukipandisha juu wakati Ducha akishuka chini alipopandisha juu binti alikishusha kiuno chake chini msuguano huo ulileta msisimko wa ajabu kwa pande zote mbili ambapo Ducha hakuwa hata na dalili za kumwaga hapo alikuwa akizitumia nguvu zake za kijini kumsugua binti huyo
Yani alimgeuza na kumuweka kiubavu,ambapo mwendo ulikuwa ni ule ule, aliichukua miguu ya ya Binti na kufanya kama anataka kuikutanisha na kichwa Binti makalio yake yalijibinua ambapo Ducha akalichomoa Dudu lake na kulichomeka tena akaendelea kupampu, Binti alianza kuhisi kitumbua chake kikitanuka utasema anataka kumpitisha mtoto Mchanga yani Dudu la Ducha lilikuwa linaongezeka nchi na sentimita kila alivyokuwa anampampu Binti alikojoa zaidi ya Bao tatu lakini Ducha bado tu!
Wakati wanaendelea kubanjuana ghafla yule Binti akasikia akiitwa nnje
Binti akakurupuka na kujichomoa maungoni mwa Ducha hapo ndipo akapata wasaa wa kuliangalia Dudu hilo alipoliona yani alishtuka si kidogo
“khaaa!”
——————
Ducha akalichomoa Dudu lake na kulichomeka tena akaendelea kupampu, Binti alianza kuhisi kitumbua chake kikitanuka utasema anataka kumpitisha mtoto Mchanga yani Dudu la Ducha lilikuwa linaongezeka nchi na sentimita kila alivyokuwa anampampu Binti alikojoa zaidi ya Bao tatu lakini Ducha bado tu!
Wakati wanaendelea kubanjuana ghafla yule Binti akasikia akiitwa nnje
Binti akakurupuka na kujichomoa maungoni mwa Ducha hapo ndipo akapata wasaa wa kuliangalia Dudu hilo alipoliona yani alishtuka si kidogo
“khaaa!”
Songa nayo
Sasa
“khaaa yani Dudu lote hili ndiyo limeingia kwenye kipochi manyoya changu? Jamanii Uwiii ungeniuwa leo hivi wee ni mtoto au mtu mzima”
Yule binti aliuliza maswali mfurulizo yenye hali ya mshangao
Ducha alibaki kutabasamu tu huku akilifutafuta Dudu lake kwa kutumia shuka ya pale kitandani
“wee Zaina”
Mara wakaskia sauti ya Mwanaume ikiita kwa ukari yule binti alianza kubabaika akajiweka sawa na kutoka nnje
”hivi wee mtoto muda wote ule ulikuwa unafanya nini mpaka ujaandaa chakula”
Alikuwa ni mzee wa makamu hivi mwenye mvi za kutosha kuanzia kichwani mwake na kidevuni
Alipaza sauti kumuuliza yule binti aliyeonekana kutetemeka kwa uwoga
”nakuuliza wewe hapo Kikaragosi ulikuwa unafanya nini muda wote huo?”
Mara Ducha naye akatoka nnje haliyakuwa akiwa kifua wazi huku akijifanya kufunga zipu ya Suruwali yule mzee alimuangalia Ducha kwa jicho baya sana na vile macho yake yalivyokuwa mekundu basi ndiyo alionekana kuzidi kutisha
”wee mtoto ulikuwa unafanya kitu gani ndani ya nyumba yangu?”
Ducha akajifanya kama vile ajasikia
“baby naomba ukaniletee maji ya kunywa”
Ducha kwa dharau akaomba akaletewe maji ya kunywa
Yule mzee aliona kama vile analetewa dharau fulani hivi
”wewe hakuna cha kwenda kuleta maji wala nini. Ninachohitaji kutoka kwenu mlikuwa mnafanya nini ndani ya nyumba yangu?”
“kwani mkiwa chumbani wewe na demu wako mnafanyaga nini?”
Ducha akauliza swali pasipo kujibu swali
“khaa! Inamaana Zaina binti yangu ulikuwa unafanya mapenzi na huyu mtoto huu ni ubakaji kabisa kitoto Kama hiki kimekupa kitu gani? Zaidi ya wewe kujizaririsha wee mtoto naomba upotee haraka Sana mbele ya upeo wa macho yangu. Yani nikifumba na kufumbua nisikuone hapa”
Yule mzee alizungumza kwa ghadhabu huku akipiga hatua za haraka kuingia ndani
Ducha akawa anamuangalia tu
”wewee fanya haraka ukimbie Baba atakuwa kaenda kuchukuwa panga yule kimbia wewe”
Zaina alipaza sauti kumtaka Ducha akimbie mwenzake wala hakushtuka
”kimbia wewe utakuja kufa ujuwe baba yangu akishika silaha huwa atanii atakufyekelea mbali kimbia mpenzi wangu jamani”
Zaina akazidi kuzungumza safari hii akaja kumshika mkono Ducha na kumvuta ili akimbie lakini wapi Ducha akautoa mkono wake na kumtaka Zaina amuachie asimshike
”ohoo kumbe wee Mtoto unatamani kufa sio sasa subiri nikuchinje ili uwe chakula cha Mbwa wangu leo”
Yule mzee alishatoka nnje na panga mkononi akawa anamfata Ducha kwa kasi na kuinua mkono wake juu sehemu aliyokuwa kasimama Ducha kwa pembeni kulikuwa na Kigoda alichokifanya Ducha ni kukibetua kile Kigoda na kukipiga zinga la teke
Mzee alijikuta akipiga mueleka huku akipiga kelele za maumivu akadondoka chini Puuh
Kigoda kilimbamiza usoni Damu nyingi zilianza kumtoka puani na mdomoni alikuwa kaumizwa vibaya sana
Ducha akamsogelea na kuliokota lile panga
Pasipo kujiuliza akamkata nalo Begani
”mamuwee nakufaa”
Mzee wa watu alizidi kupiga kelele
“wewe ndiyo mzee Shawawa?”
”uwiiiii,,ihiiii,ndi,yo,mi,,Mimi yalaaaa, tafadhari mjukuu wangu usiniuwe”
Kwa hali ya maumivu mzee Shawawa aliitikia na kutaka asiuliwe
“ohoo vizuri sana kwa kuweza kukufahamu Mimi naitwa Ducha Duchani ni mjukuu wa Binti Kiwambaza bila shaka unamfahamu?”
Safari hii Ducha alikuwa anazungumza kwa sauti nzito yenye kuunguruma na sio ile sauti yake ya kitoto
”hiii,,hiiiii,, ndiyo namfahamu ni jirani yangu”
Mzee Shawawa akaitikia
”tukiachana na ujirani uliopo baina yenu je kitu gani kibaya uliwahi kumtendea?”
”uhuuu,,, Usinikate nakujibu uwii”
Mzee Shawawa alipiga kelele maana akichelewa kujibu panga linacheza na maungo yake
Ducha hakuwa na huruma hata kidogo alikuwa anamkata mzee wa watu kama vile nyama ya Ng’ombe
”nilimpokonya Shamba lake lenye eka mbili”
”vizuri Sana ziko wapi Nyaraka za hilo shamba?”
”zipo chumbani kwangu Zaina binti yangu nenda kalete zile karatasi pale chini ya Droo ndogo”
Zaina akaingia ndani punde akatoka akiwa na Makaratasi Ducha akazipokea na kuanza kuzitupia macho moja baada ya nyingine
Sijui aliijuaje akaikunja na kuitia mfukoni
Zilizobaki akamrudishia Zaina
”sikia nikwambie kitu mzee wangu katika dunia hii sio kila mtu wa kumuonea kaa utambuwe leo kwake kesho kwako
Si umeona nawe kibao kimekugeukia? Usithubutu tena kufatiria vitu visivyo kuhusu
Siku moja nitakuja kukiondoa kichwa chako hiko”
Ducha alizungumza kibabe Kisha huyo akaondoka zake akimuacha Zaina akimlilia Baba yake maana alikuwa kajeruhiwa vibaya Sana
Akafanya haraka kwenda kutafuta usafiri na kumuwahisha mzee wake hospitali
siku mbili ziliweza kupita huku Gumzo kubwa lililokuwa likitawala pale kijijini ni kuhusu mzee Shawawa kuvamiwa na watu wasiojurikana akatembezewa Mapanga ndivyo walivyoelezea wenyewe yeye na Binti yake.
Kuwa walivamiwa na watu wasiojurikana heti walitaka kumbaka binti yake ndipo yeye akajitahidi kupambana nao na kuzidiwa nguvu.
Polisi wakafanya uchunguzi wao hakuna walichoambulia
Maana maelezo yalikuwa yamepindishwa
“nishasema mjukuu wangu hawezi kushiriki kwenye hayo mashindano yenu”
Siku hiyo Promota aliyejitolea kuandaa Mashindano ya watoto kwenye maswala ya Masumbwi alifika Bungu kwa Bibi yake Ducha na kuelezea azma ya mjukuu wake kuandikishwa kwenye list ya watoto ambao watashiriki kwenye mashindano hayo
Bibi mtu akakataa katakata kuwa mjukuu wake hataki ashiriki
Yule Promota hakuwa na jinsi akaelekea nyumba nyinginezo
Alipofika Mikongeni ndipo akaonana na Chinoge akiwa na Ducha
”habari yako mkuu?”
“safi tu! Ndugu yangu nambie”
Chinoge akaitikia ile salamu kutoka kwa Promota
“dogo niamkie basi”
”hahaha huyu kuamkia kwake ni mbinde kishenzi yani”
Chinoge akacheka na kuzungumza hivyo kumwambia yule Promota baada kumtaka Ducha amuamkie
“inamaana hajazoea kuamkia wakubwa zake?”
”ndiyo maana yake hivi unajua Kama Shikamoo ni salamu za Kikoroni yani kipindi kile Mababu na Mabibi zetu walikuwa wanawapigia magoti Wazungu na kutamka hivyo. Sasa kwa watoto wenye kujifahamu hawataki kujiona wao Kama watumwa ndiyo maana watoto waliowengi hawapendi kuamkia japokuwa tunaona Kama wajeuri kumbe wenyewe wanajitambua!”
Chinoge akatoa ufafanuzi kidogo
”ohoo basi nimekupata mkubwa na vipi kuhusu kijana wako je anayaweza maswala ya mapigano?”
“kwanini umeuliza hivyo?”
“mimi ni mtu ambaye nahusika na maswala mbalimbali kwenye Masumbwi na safari hii nimeandaa mashindano kwaajili ya Watoto wote wenye umri kuanzia miaka kumi na tano kushuka chini nahitaji kuwakutanisha Ulingoni ili waweze kuonyeshana umwamba wa Karate Wunju Kung Fu King boxer Tai chi na mengineyo kibao”
Promota akatoa maelekezo Chinoge na Ducha wakapiga makofi ya pongezi
“hakika wee jamaa unaonekana una miakili mingi sana sasa kabra sijauliza Mshindi wa Kwanza anapata zawadi gani embu muandike kijana wangu huyu nina imani ataweza kuiwakirisha vyema hii Mikongeni”
Chinoge alizungumza hivyo na kumfanya Ducha afurahi kupita kiasi
”asante Sana ndugu yangu ehee anaitwa nani?”
“usinione mi muhuni,,kisa sina kitu mfukoni,,,
Niite Ducha Duchani,,,, mwanaume natembea nakipande cha sabuni,,,, kwasababu ya Nyeto Nyetoni,,,,
Nitapiga zile za chembe nitapigaa,,,,nitapiga zile za uso nitapigaa,,,nitapiga zile za tumbo nitapigaa,,”
Ducha alianza kuchana mistari Chinoge naye akadakia
”tumepigwa zile za chembe tumepigwaa,,, tumepigwa zile za uso tumepigwaa,, tumepigwa tumegwaaa,,,”
Basi yule Promota akabaki mdomo wazi huku akipiga makofi kama vile ndiyo biti
“aisee kumbe nyie watu mnaonekana ni hatari sana kwenye swala zima la kuchana mistari
Hakika mnatisha kama njaa”
Promota alizungumza hivyo huku akikenua meno Basi Ducha akaandikishwa na kutakiwa ajiandae kwani zimebaki siku kama tatu Mashindano yaanze yeye akiwa kama mmoja kati ya watoto sita walioandikishwa hapo Mikongeni
*************
Siku ya siku hiyo Sudi aliweza kuonana na Chande wakapanga mipango kuwa ifikapo saa kumi arasili wakutane Dar Live iliyopo Mbagala Zakhiem
Sudi akamtaka Chande afanye juu chini akazungumze na mama yake Chande akaahidi kuwa atafanya hivyo
Muda ulipotimia Sudi akaweza kuwasili maeneo hayo ambapo alipokelewa na vijana kama wawili ambao hakuweza kuwafahamu akaongozwa moja kwa moja mpaka ndani ya chumba kimoja wapo ambapo ndani yake kulikuwa na mijamaa yenye miili mikubwa Kama alivyo Chande
Pembeni kulikuwa na Box kubwa
Baada ya Sudi kuingia chumbani humo akatakiwa kuingia ndani ya Box kwanza kabisa alisita kuingia na kuomba kuonana na Chande maana ndiyo mtu pekee atakaeweza kumpatia maelekezo.
“fanya faster uingie humo unasitasita kitu gani sasa?”
Mmoja kati ya wale Jamaa alizungumza kwa kumkalipia Sudi alimuangalia yule jamaa kwa jicho lenye udadisi ndani yake
“wee nikama nani mpaka uanze kunifokea? Naanzaje kuingia humu wakati Chande sijamuona bado?”
Sudi akauliza swali
”sikia nikwambie kitu Dogo sisi utuonao hapa mbele yako sio watu wa mchezo mchezo kama hao unaochezaga nao huko mtaani kwenu.
Wala hatuna muda wa kupoteza juu yako tunachohitaji wewe uingie humo ili kazi ianze Zube embu muingize huyo mtoto ndani ya Chemba”
Yule jamaa alizungumza hivyo Sudi akabebwa na kuingizwa ndani ya box
“nyie washenzi wakubwa pumbavu zenu nitoeni humu ndani ya Box”
Sudi alikukuruka na kupiga kelele box lenyewe akalichana na kutoka
Wale majamaa walishangazwa sana nakile kitendo mmoja kati yao akachomoa Bastola pasipo kujiuliza akafyatua Risasi iliyokita kichwani mwa Sudi na kumfumua kichwa
Sudi alidondoka chini pale pale akapoteza Maisha sijui muda huo Chande alikuwa wapi
Siku zote majambazi kuuwa kwao nikitu kidogo sana
Yule aliyefyatua Risasi akaitoa simu yake na kubofya namba kadhaa akaiweka sikioni
“uko wapi mkuu?”
“bado nipo huku kitaa najaribu kuzungumza na Mama yake yule Dogo ili niweze kuja naye huko”
Sauti ya Chande ilisikika akizungumza hivyo
“uje naye mara ngapi? Mkuu wakati ameshafika huku”
Simu ikakatwa muda kidogo simu ya jamaa ikawa inaita akaipokea
“ehee vipi tayari mshamuelekeza kila kitu?”
Chande akasikika akiuliza kitu
“hapana mkuu kiukweli kabisa huyu mtoto asingeweza kutufaa kwenye kazi yetu maana tulimtaka aingie kwenye Chemba akazingua tulichokifanya ni kumdedisha”
“what??”
“ndiyo mkuu tumemuua”
Sauti ya Chande ikasika akilia kisha akasikika akizungumza
“fanyeni kuupoteza mwili wake”
“sawa mkuu tutafanya hivyo”
Hapa tunamuona Chande akijifutafuta machozi akapiga hatua kadhaa kumsogelea mama yake Sudi aliyekuwa kakaa sehemu kwenye kibaraza cha nyumba akiuza sambusa bila shaka mtaji aliupata kwenye zile pesa alizopatiwa na Marehemu mwanaye
Chande alijiskia vibaya sana alipokutanisha macho yake na Mama wa marehemu
“umesema unataka kwenda na Sudi kuangalia Boxing inamaana Mwakinyo usiku wa leo anapigana?”
“ndiyo Dada lakini hata hivyo nimeghairisha kwenda naye acha mi nijiondokee zangu”
Chande alizungumza haliyakuwa akijifuta machozi
”pole sana kaka yangu naona Moshi unakuumiza macho embu subiri niupepee”
Mama yake Sudi alizungumza hivyo baada kumuona Chande akijifutafuta macho na kamasi
Muda kidogo Snop akawasili pale akiwa na kibakuri bila shaka kaja kununua Sambusa
”mambo vipi ka mkubwa?”
Snop akasalimia
“safi tu! Vipi pacha wako yuko wapi?”
“unamuuliza pacha yupi? Sudi au Ducha?”
“Sudi”
”Sudi aliniambia kuwa anaelekea Zakhiem kwenye ukumbi wa Dar Live kuonana sijui na nani?
Yani hapa nimekuja kununua Sambusa nile halafu nimfate huko huko”
Snop alizungumza huku akimixia pilipili kwenye Sambusa zake
“wee inamaana Sudi amekuwaga kuwa anaenda Dar live?”
Mama yake Sudi akauliza
”sasa wee si ndiyo mama yake kwani ajakuaga?”
Mama yake Sudi akajishika sehemu ya moyo
“kuna kitu kibaya nahisi kimemkuta mwanangu Chande naomba ukamfatirie Sudi huko Dar Live ameenda kufanya nini jamani”
Basi Chande akasimama Snop naye akawa anamfata ila akatakiwa arudi nyumbani
”embu acha kuzingua wewe wee unadhani bila Mimi kuwaambia mngejuaje kuwa kaenda huko”
Snop akakataa kurudi
”basi nenda kwanza kavae viatu”
Snop akawahi mbio nyumbani kwao kuvaa viatu
Wakati Chande akitokomea Gizani alichokifanya ni kuwapigia simu watu wake akawauliza Kama washautoa mwili wa marehemu akaambiwa bado kwani Kila kona ya Ukumbi ule kuna walinzi itakuwa vigumu kwa wao kutoka na mwili ule
Maana Box walilokuwa wanalitegemea Marehemu kalivuruga vuruga
Muda kidogo Chande akawasili pale
Ajabu hasira zilimpanda Ghafla tu baada kuona mwili wa Sudi
“nani aliyemtendea hivi?”
Aliuliza kwa ghadhabu
”mimi hapa mku,,
Puuh
Mlio wa Risasi ukasika mpaka nnje kwa maana Bastola ya Chande haikuwa imefungwa kiwambo cha kuzuia Sauti yule Jamaa aliyempiga Risasi Sudi naye akafumuliwa kichwa wakati huo huo nnje zikisikika kelele za watu
”kimenuka mkuu hapa kila mmoja asepe kimpango wake tutakutania mbele kwa mbele huko
Mmoja kati ya wale majamaa alizungumza hivyo
Kitendo bila kuchelewa wakatoweka
Watu walianza kukimbizana huku nakule baada ya mlio wa Risasi kusikika kila mmoja alishikwa na tanaruki kina Chande nao wakaitumia nafasi hiyo kujichanganya na umati ule wa watu na kutoweka zao.
Muda kidogo Askari Polisi walishawasili eneo la tukio na kuuzunguka Ukumbi huo na viunga vyake pia kulikuwa na Wanajeshi takribani watatu kwa Maana Dar Live haipo mbali na kambi ya Jeshi iliyopo Mbagala kuu ule mlio wa Risasi waliweza kuusikia nao wakafanya haraka kuwahi eneo la tukio
Wakati Askari wengine wakifanya kuuzunguka ule Ukumbi wanajeshi wakaingia ndani wakawa wanakagua kila sehemu ndipo wakaweza kuiona miili ya watu wawili ikiwa imefumuliwa vichwa kwa risasi
Wakafanya uchunguzi wakina ili kuweza kubaini nini chanzo cha tukio hilo
Miili ikabebwa na kutolewa nnje
Ikalazwa pale chini ndipo watu wakapata ujasiri wakuanza kujongea eneo la tukio
Snop naye akawasili pale kwanza kabisa alishangazwa Sana naule Umati wa watu uliokuwa umejazana maeneo yale Akawa anajiuliza maswali huku akipiga hatua za kujongea
Sijui watakuwa wanaangalia mpira au movie ya Jackie Chan? Bila shaka itakuwa kaja msanii mkubwa hapa nchini kama sio Diamond Basi ni Ally Kiba ndiyo wanamshangaa
Alijiuliza hivyo huku akilazimisha kujipitisha katikati ya umati ule wa watu
“wee mtoto unataka kwenda wapi embu rudi nyuma huko”
Kuna jamaa alipaza sauti kumkalipia Snop kuwa arudi alipotoka
Snop wala hakutaka kumsikiliza ndiyo kwanza akajipenyeza na kufanikiwa kutokezea mbele kwanza kabisa hakuweza kuamini macho yake kwakile ambacho anakiona mita kadhaa mbele Akafikicha macho mara mbili mbili na kutoka mbio huku akiita
”Sudii,,”
Kabra ajaufikia mwili wa Sudi akajikuta akidakwa mkono na kuvutwa
“wee Mngese mamae zako niachiee”
Alikukuruka huku akimtukana yule Mtu aliyekuwa kamshika kama haitoshi akafanya kumng’ata ndipo akaachiwa akaenda kuudondokea mwili wa Rafiki yake.
“Sudii wee Sudi fumbua macho kichaa wangu unalalaje wakati ndiyo kwanza saa kumi na mbili hii?”
Kitendo bila kutarajia Snop akaenda kumpora bunduki mmoja kati ya Maafande sijui alikuwa kaishika kizembe au vipi
Bunduki ikatua mikononi mwake
“kwanini mmeniulia ndugu yangu?”
Snop aliuliza hivyo haliyakuwa akimrenga yule Afande aliyeanza kutetemeka kwa uwoga maana aliweza kufahamu ya kwamba ndani ya Bunduki ile aina ya SMG ndani yake kulikuwa na Risasi watu wengi walishangazwa kwa ujasiri ambao anauwonesha mtoto mdogo kama Snop kwa kuikamatia vyema ile Bunduki wakati inavyosemekana ni nzito
“nijibu kabra sijakufumua”
Mara mlio wa Risasi ukasikika huku Snop akidondoka
Alikuwa kapigwa risasi ya kifua na mmoja kati ya wale Wanajeshi alifanya hivyo ili kumuokoa yule Afande na watu wengineo
Licha ya kupigwa Risasi ya kifua akaweza kupaza sauti kuzungumza
“kwa hiki mlicho tutendea ipo siku isiokuwa na jina mtakuja kulip,,
Mara akawa kimya ikimaanisha naye tayari kapoteza Maisha
Mama yake Sudi aliwasili pale akiwa kaongozana na Chande pamoja na watu wengine alipoiona tu miili ya wale watoto akajikuta akidondoka chini na kupoteza fahamu.
Miili ya marehemu ikabebwa na kwenda kuhifadhiwa Hospitali ya Zakhiem wakati mama yake Sudi akikimbizwa wodini kupatiwa matibabu
Ukumbi ukazungushiwa utepe mwekundu
Taarifa za kuuwawa kwa Madogo Janja zilisambaa kama umeme huku ikisadikika ya kwamba mmoja kati ya watoto hao alichukuliwa na Majambazi ili waweze kumtumia kwenye kazi zao Mtoto yule alipokataa kutumikishwa ndipo wakaamua kumuua
Kuhusu yule Mwingine kupigwa Risasi ni uzembe wa Maaskari na Wanajeshi waliokuwepo eneo la tukio kila mmoja atawajibishwa kwa nafasi yake kwa maana kulikuwa na njia nyingi za kumzuia yule mtoto pasipo kutokea madhara ya aina yoyote
Asasi nyingi walilaani vikali kwa kitendo cha kuwawa kwa mtoto yule.
Mbagala nzima ikawa jii watu wengi walifurika Msibani Sudi alizikwa mapema tu kutokana na imani ya Dini yake wakati Snop akisubiliwa siku kadhaa mbele ili naye aweze kwenda kupumzishwa
Msibani kulifurika Wanafunzi kibao kutoka shule Mbalimbali hasa waliyokuwa wanasoma
********
“Mwalimu”
“naamu”
“usiku wa jana nilipokuwa nimelala nikaota ndoto ambayo sijui inamaanisha kitu gani kwa upande wangu?”
“waweza nielezea kidogo”
“kiukweli kabisa Mwalimu Mimi tokea nikiwa na umri wa mwaka mmoja nilikuwa na marafiki zangu wawili naweza kusema kwangu ni zaidi ya ndugu
Furaha yao ndiyo kicheko changu kula kwao nikama shibe kwangu hatukuwahi kutofautiana kwa chochote kile hakika tumeshibana sana.
Sasa cha ajabu usiku wa jana nimeota ndoto ya kwamba wananikimbia kila nikipiga hatua kuwafata ndiyo wanazidi kukimbia nilipaza sauti kuwauliza
Kitu gani nilichowakosea mpaka hawataki kuwa nami? Hakuna yoyote kati yao aliyeweza kunijibu mwishoe wakatokomea sehemu isiojurikana nilipiga kelele kuwaita lakini wapi? Sijui kwanini?”
Ducha alizungumza hivyo haliyakuwa akionekana kuwa na huzuni
Alichokifanya Chinoge ni kumshika kichwani akakaza macho kumuangalia kisha akamuuliza
“je upo tayari?”
”ndiyo mwalimu nipo tayari”
Ducha akajibu kikakamavu
“basi shika hii pesa uwende kwa Mathias ukanunue Mafuta ya taa lita tatu”
Ducha akaipokea ile pesa akaingia ndani punde akatoka akiwa na kidumu akampungia mkono Mwalimu wake huyo akaianza safari ya kuelekea kwa Mathias
Hapa tunamuona Athumani akiwa bize kuwaelekeza watoto wenzake jinsi ngumi zinavyorushwa na kuzikwepa kwenye kibanda kimoja wapo walionekana kaka zake na yule Promota wakipanga mambo yao
”oyaa Master umemuona yule pimbi?”
Mmoja kati ya watoto waliokuwa wakielekezwa akapaza sauti kumwambia Athumani kwao wanamwita Master
Athumani akageuka kuangalia si akamuona Mbaya wake
”fanyeni haraka kwenda kumzuia”
Athumani akatoa amri wakafanya haraka kwenda kumzingira Ducha wakawa wanamzunguka Athumani naye akaja
”ulikuwa wapi siku zote wee fala?”
Athumani akauliza huku akinyosha mkono wake ili amtie singi
Ducha akauputa ule mkono
“usijaribu kunishika nitakuzibua ohoo”
Ducha akazungumza kwa kumkalipia
”hahahaha hivi wee fala unaweza ukanizibua Mimi kweli? Au umesahau siku ile nilivyokutoa manundu?”
”nawe umesahau nilivyokuzimisha?”
”ulimzimisha nani bwege wewe kama vipi tuzipige sasa!”
Athumani alishaanza kupaniki kwaile kauli ya kuambiwa kuwa alizimishwa kwake aliona kama dharau
Ducha akaweka kidumu pembeni
Athumani akawa wa kwanza kukunja ngumi
”oyaa oyaa ona kule mtu anazibuliwa leo”
Mmoja kati ya kaka zake Athumani aliwaambia wenzake basi wote macho kodo kuangalia Mpambano huo
Athumani akarusha ngumi mbili tatu Ducha akafanya kuinama huku nyingine akiipanchi huku naye akiachia ngumi mbili zilizokita ubavuni mwa Athumani mpaka akajipinda kutokana na maumivu aliyoyapata
Kabra ajakaa sawa akashtukia akizibuliwa ngumi nyingi za uso
Akadondoka chini ile msobemsobe
Ducha alienda naye mpaka chini huku akiendelea kumtandika ngumi za uso
Kama sio kaka zake Athumani kuja kumuwahi mdogo wake angeng’olewa meno yote ya mbele
Ducha akachukuwa kidumu chake
Huyo akaendelea na safari yake
“wee dogo embu simama hapo”
Wakati anaondoka akashtukia akiamrishwa kusimama akasimama
”piga magoti chini”
Akatakiwa kupiga magoti
Ducha kwanza akatikisa kichwa na kuweka kidumu chini
Akawanyooshea kidole cha kati
”inaonekana ni jinsi gani na wewe unawashwa washwa matako ehee? Kama vipi njoo ukalie hiki”
Ducha alizungumza hivyo huku akipiga hatua kumsogelea kaka yake Athumani
”Kingo embu achana na huyo mtoto tufanye mpango wa kumuwahisha Dogo hospitali”
Yule kaka yake mwingine Athumani akamtaka mwenzie aachane na Ducha
”subiri kwanza nifundishe Adabu Yani kitoto kama hiki kinanitusi Mimi kubabeki zake”
Alizungumza kwa ghadhabu Ducha naye alishamkaribia
Ghafla kaka yake Athumani alishtukia akichotwa zinga la mtama kwa nyuma akarushwa juu kimo cha mbuzi alipokuja kutua chini akafanya haraka kunyanyuka kumuangalia aliyempiga ni Chinoge
”dogo waweza kuendelea na safari yako huyu niachie mwenyewe nimuonyeshe kazi”
Chinoge alitamka hivyo na kumfanya Ducha atabasamu
Kaka yake Athumani alianza kurusha ngumi za dabo dabo huku akijampu huku nakule kumbuka yeye ni mwana Boxing mzuri tu!
Chinoge akawa anapanchi pasipo kurudisha mashambulizi
”Mwalimu piga za chembe huyo”
Ducha japokuwa aliambiwa aondoke wala hakufanya hivyo alibaki pale kuangalia jinsi mtu atakavyokuwa anafumuliwa
“bila shaka umeshacheza vya kutosha kijana Sasa subiri nikuonyeshe show”
Chinoge alizungumza hivyo akakaa staili yake
Upepo ulivuma kuvuma kwa upepo ule kulimfanya Ducha ashtuke Sana
INAENDELEA

