MZOA TAKATAKA
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 8
binafsi hii nyumba ni yangu na washkaji wote kitaa wana fahamu hilo ila some time sipendi kujionyesha tu
kuhusu nilipo zipata pesa mpaka nikanunua nyumba hii ni hizi hizi kazi zetu namiliki hadi daladala kama tatu hivi maduka ya nguo ninayo mawili huko k/koo.
Kusema kweli napiga pesa sana”…..
“lakini kaka kwa nini usingeniajili niwe hata konda kwenye daladala hata moja kuliko kuwa mzoa takataka?”
“sikia nikwambie kitu Salumu sio kama nakuacha uwe mzoa takataka ukajuwa mi napenda uwe hivyo hapana ndugu nakuandalia mazingira kwanza yani siku ya
siku ukija kutoka basi utoke kweli,!
basi nikaweza kulizishwa na maelezo yake
Madebe huku akisema “yule mzee hiyo pesa atainya tu kumbe ni Ankor wake
nakumbuka zikapita siku kama nne hivi siku hiyo nikiwa natoka zangu dukani kwa Rahma kupiga story mbili tatu nakaribia nyumbani nikaweza kuona kama
chumba ninacho kaa mimi kuna watu wanabishana hivi. Basi sikuwa na wasiwasi nikajuwa labda washikaji tu wamekuja kama kawaida yao
kupiga story mbili tatu lakini nafsi ikaniambia Salumu
kuna hatari ipo karibu yako maana mapigo yangu ya moyo yakaanza kwenda mbio baada kusikia sauti nzito ya mwanadada ikitokea chumbani mule. Kwa kusema
“sikia
Madebe usijifanye mjanja hata kidogo mie jana tu nimepiga simu South kuulizia huo mzigo nikajibiwa ya kwamba mzigo wote umekabidhiwa wewe!!!
nikamsikia
Madebe akimjibu yule Dada “mzigo mimi sijauchukuwa ila Jacko anaongopa tu”….
“wewe Madebe acha mambo ya kifara hapa usitufanye sisi watoto wadogo ukazani ukitupa pipi tutalainika
ukweli wote ninao kwenye simu yangu wakati unakabidhiwa mzigo kuna video walishuti jamaa amenitumia. Sasa embu cheki hii huyu si wewe ukiwapa tano
jamaa,
sasa chaguwa moja tu kati ya mambo mawili je umlete yule kijana unayeishi nae tumbebeshe mzigo tumboni au ufe!!!
baada kusema vile nikasikia sauti za wale watu wakijiandaa kutoka mule ndani nikatoka mbio na kwenda kujificha nyuma ya choo ila nikaweza kuwaona ni
mipandikizi ya mibaba yani kama wale wacheza miereka kina John Cena au Batister hata yule mwana Dada nae zinga la jitu basi wakaingia kwenye magari
waliyokuja nayo na kuondoka zao.
Nikabaki kujiuliza ni mzigo gani huo”…. alio uchukuwa
Madebe mpaka anadaiwa vile na kijana yupi anaye itajika kubebeshwa huo mzigo tumboni. Bila shaka ni mimi tu je ni mzigo gani, nijuwavyo mimi mzigo unao
bebwa tumboni ni mimba tu tena kwa Wanawake basi sasa mimi nibebeshwe mzigo why?”
nilijiuliza maswali mengi pasipo kupata jibu. Basi nikajinyanyua na kwenda chumbani nilipo ingia
Madebe sikumkuta nikajiuliza labda katoka kwenda chooni au dukani tu nikawa nina hofu balaa hata hamu ya kula sikuwa nayo mawazo yakanisonga
usingizi nao ukanichukuwa nikaja kustuka usiku wa manane kucheki pembeni ya kitanda hakuna mtu “hivi
Madebe atakuwa kaenda wapi?” usiku huo kitanda nilikiona kama kina miba basi nikaichukuwa cm yangu na kumpigia Rahma
ikawa inaita tu bila kupokelewa nikamcheki
Madebe yeye hapatikani dahaa,
hofu juu ya hofu ikanitanda zaidi nisijuwe nini kitatokea juu yangu
Usiku ulikuwa mrefu sana kwangu mie nikatamani kukuche haraka niweze kujuwa mustakabari mzima wa maisha yangu. Nikaitizama saa ndio kwanza saa tisa
kasorobo kidume nilikuwa natetemeka kama vile kifaranga cha kuku kilicho nyeshewa vua,
Taratibu nikajinyanyua na kutoka zangu nnje, Kitendo cha kutoka tu nikashitukia kama vishindo vya watu wakija eneo lile, Sikuweza kujuwa wala kufahamu ni
watu gani hao ila nikajihami mapema kwa kukimbia na kwenda kujificha sehemu ambayo nilihisi kabisa hawatoweza kuniona. Iwapo wamekuja kwa rengo la
kunifata Mimi, au Madebe nikiwa nimejificha nikaweza kushuhudia kikundi cha watu kama sita hivi wakiwa wameficha sura zao kwa vitambaa usoni mkononi
kila mmoja akiwa na dhana yani,
Nyundo panga chupa nikajikuta natumbua macho tu ghafla nikashitukia nakabwa kwa nyuma huku nikizibwa mdomo nisiweze kupiga kelele nikajikaza kujitoa
wapi nikaisikia sauti ikinisihi nitulie “Salumu kaka ni miee tulia basi, Kumbe alikuwa Madebe akaniachia na kunipa.
“pole sana kaka!”
nikamjibu
“usijali nishapoa,
Akaniambia
“sasa hapa naitaji tucheze mchezo wa kicommando!”
Nikauliza
kwa sauti ya chini
“tuucheze vipi huo mchezo?”
“si umewaona wale maboya wamekuja kwenye kumi na nane zangu, sasa ninacho kihitaji ni kuwafunza adabu maana nishaandaa kikosi cha Maafande watafika
hapa muda si mrefu!”
Nikamuuliza kwa shahuku kubwa ni kweli au?”
“ndio ni kweli ndugu naitaji niwachomeshe tu kisha nitubu dhambi zangu nianze kuswali swala tano zote yani niwe mtu safi kabisa!”
baada Madebe kusema vile akaniambia twenzetu,’ tukawa tukinyata kuwanyatia wale vijana wawili waliobaki nnje wengine wameingia chumbani kupiga search
baada kuwafikia tu wote kwa pamoja kila mmoja akamrukia wa kwake na kwenda nae mpaka chini nilijitahidi kwa nguvu zote kumkaba yule jamaa huku
nikivutia hisia jinsi ninavyo sukuma, Mkokoteni wangu pindi ninapo pandishaga kirima jamaa akafurukuta mwisho akawa kimyaa tulicho kifanya baada ya hapo
ni kuvaa magwanda yao na vile vitambaa tukakaa nnje
Tukiwa na sura za ukauzu balaa. Ghafla mlango ukafunguliwa na kutoka wale jamaa wengine na kusema, “Oyaa hawa watoto wa Malaya hawapo humu ndani
sijui wameenda wapi kama vipi tutawatimbia kesho!” baada kusema vile wakatupita ikiwa ishara ya kwamba twenzetuni hawakujuwa kama wanafanya kosa
kubwa sana kitendo cha kutupa migongo tu kila mmoja akaandaa Rungu lake kwa nguvu ya ajabu tukaenda kukita kwenye vichwa vyao, Kila mmoja akayumba
na kwenda chini haraka haraka tukavua yale magwanda punde tu maafande hao.
“kazi nzuri vijana tena ongera sana kwa kuweza kutusaidia kazi ya kuwakamata hawa Nguchiro, ilikuwa kauli ya pongezi kutoka kwa Afande Mark basi, kwanza
wakawapima pumzi isije ikawa tumeuwa nikashusha pumzi baada kuonekana kumbe wazima ila wamezimia tu,
Kesho yake Asubuhi nikiwa dukani kwa mpenzi wangu Rahma kuna jamaa mmoja hivi akaja na kuanza kumsumbua sumbua Rahma kwa kumtongoza wakati
kidume ninae miliki mzigo niko hapohapo.
“sikia binti mi binafsi nimetokea kukupenda nipo tayari kukupa chochote ukitakacho katika maisha yako!”
Rahma akamjibu
“sikia kaka naomba unikome kama ulivyo likoma ziwa la Mama yako kama pesa ninazo mpaka nashindwa kujuwa wapi pa kuziweka!”
“Nenda zako huko Malaya mkubwa tu wewe unazani nani asiyekufahamu ulikuwa unajiuza kule Temeke mwisho,’ siku zote mwanaume akitongoza na
kukataliwa utamkuta lazima aponde nikashikwa na hasira kwa kitendo cha mpenzi wangu kuitwa Malaya hata kama ni kweli,
Nikaenda kumkunja yule jamaa nikamtandika kichwa kilicho mfanya abimbilike kwenye ngazi maana tulikuwa juu kidogo nikamshukia chini na kuanza
kumshambulia kwa mateke nikaja kushikwa na Madebe na kunisihi niache binafsi nikabaki kushangaa kwa jinsi Madebe alivyo vaa yani katinga kanzu kubwa
nyeupe na barakashia nzuri mkononi kashika tasbihi na Msahafu, akaniambia
“Salumu kaka huu sio muda wa kufanya matendo ya ajabu ajabu kama haya siku zote Allah (s.w.t) anasema katika Qur’an ya kwamba Na penye chukizo pasi
jiepushe,
Ikiwa na maana kufanya hivyo itakuwa ni bora zaidi kwako kuliko ukaingia kwenye maasi wakati Madebe ananihusia hivyo kumbe yule jamaa akaingia ndani ya
gari yake na kutoka na bastora bila kuuliza akafyatua risasi iliyokuwa ikiitaji kunipata mimi, Madebe akaja kukinga ikampata moja kwa moja kwenye tumbo.
Yule jamaa akawasha gari na kukimbia eneo lile nikabaki kuita “Kakaa!”
Kakaa!!! kwa sauti ya chini iliyo ambatana na maumivu Madebe akasema “Salumu mdogo wangu huna haja ya kulia binafsi nakufa kifo cha kishujaa sana angali
nishatubu mazambi yangu Salumu naomba upiganie kuhusu ile Nyumba maana hati niliandika jina lako nilitambua sitoweza kuishi muda mrefu nitakufa tu,
Usijaribu kutaka kulipa kisasi”….
ghafla Madebe akatoa macho na kutulia kimya sikuweza kuamini kama nampoteza kamanda wangu,
Mkombozi wangu wa maisha yangu nililia sana na kuita “Kaka!!!kaka!!!
hakuweza kuamka tena police walifika na kufanya uchunguzi wakaondoka na mwili wa marehemu mkononi mwangu nikabaki na Tasbihi pamoja na Msahafu tu
nikajiapia kama sheria itashindwa kumnasa yule jamaa na kumchukulia hatua nitamnasa mimi nikajivika roho ya kishetani nikakodi boda boda kwenda kituo cha
police niweze kujuwa kinacho endelea taarifa za kifo cha Madebe zilisambaa kama umeme uliokatika ghafra Temeke nzima walistushwa kwa kifo cha mmbabe
huyo sio Temeke tu Tandika Buguruni hadi Mbagara na vitongoji vyake. Watu wakazidi kujazana kuja nyumbani kwenye msiba ule hapo nikaweza kuwaona
ndugu zake feki wakilia kwa uchungu machozi ya kinafiki tu,
Hatimae tukaenda kumzika Madebe kwa heshima zote za dini yetu ya Kiislamu kwenye makaburi ya mtoni mtongani, tokea Madebe azikwe ni siku ya nne sasa
eti ndugu wanajadili mari za marehemu.
“wewe tena usiongee kabisa wakati marehemu yupo hai si ulimfukuza nyumbani kwako kama mmbwa afu leo hii unaitaji ugaiwe gari upati kitu hapa!”
“nani amekwambia sipati nisipopata patachimbika tu!
“kwanza tambueni ya kwamba sisi tunajadili mari tu ila tukae tukitambua ya kwamba marehemu enzi za uhai wake kuna kijana alikuwa anaishi nae kama ndugu
yake ambaye ni yule pale!”
“bwana ee huyo Kijana sisi atatusaidia nini kama aliye mfadhili kuishi keshaondoka kama vipi amfate kaburini”
sio siri maneno aliyokuwa akiyatamka Dada yule yakazidi kuuchoma moyo wangu ila nikapiga moyo konde tu nisije kutenda kitu cha ajabu, wakaulizana “sasa
naona tunapanga tu kugawana mali je Hati miriki nani anazo?” kila mmoja akanigeukia mimi yule Dada mwenye maneno ya Nyodo akaniuliza “wewe mbwa
tunaomba utupatie Hati miriki zote!”
Nikainuka pale nilipokuwa nimekaa nikiitaji kwenda kumfumua zinga la teke yule Dada nikakumbuka aya aliyo nisomea Marehemu kabla hajafa nikashusha
hasira na kuwaambia hivi “binafsi hakuna hata mmoja wenu ninae mtambua hapa sasa basi Hati zote ziko katika mikono yangu na mimi ndio mrithi halali wa
mali hizi.
Nyie toeni mimacho tu binafsi alicho kizungumza huyu Mama ni ukweli mtupu ya kwamba lazima mnishilikishe mimi!”
Yule Dada akasema
“nadhani wewe kijana unijui sio sasa nakupa masaa 24 tu uwe tayali ushatoa Hati zote vinginevyo utakufa siku si zako!”
kwa nnje nikamuona yule Bibi muokota machupa ya maji akiniita nikatoka kwenda kumfata,
“Shikamoo Bibi!”
“marhabaa Baba yangu kwanza pole sana kwa kufiwa na ndugu yako!”
Hasante Bibi nishapoa ukizingatia wote njia yetu ni moja tu mbele yake nyuma yetu!”
“Ni kweli kijana ila jiandae na vita vilivyoko mbele yako ni vizito sana, “Bibi unasema!?
“ni ukweli mtupu ninao kwambia yule binti mwenye kidomo domo ni Mchawi mwanga mkubwa tu usipokuwa makini atakupoteza ila kwakuwa mi nipo
nitakusaidia usijali!” baada Bibi yule kusema maneno yale akaondoka zake huku akiokota makopo tu nikarudi na kukuta mzozo tu,
Zile vurugu hazikuweza kunitisha kwa chochote kile. Nikabaki kuwatizama tu jinsi wanavyo tukanana.
Kisa mali za marehemu dahaa,
“Ndio nishasema vyovyote itakavyo kuwa na iwe tu zile gari tatu ni za kwangu mimi!”
“wee tena ishia hapohapo yani uchukuwe gari zote tatu peke yako alafu sie wengine tugawane nini?”
“hilo mtajuwa nyie wenyewe nikiwa kama mtoto wa kiume na Kaka wa marehemu nastahiri kuchukuwa kila kitu!”
“endelea kujidanganya hivyo hivyo eti mtoto wakiume kama kidume kweli uliye kamilika utachukua ila nikiwa kama Mwanamke ninaye jielewa tena
nasimamisha kama unavyo simamisha wewe Yale magari tunagawana!”
Wakazidi kuzozana tu mpaka kufikia hatua ya kurushiana makonde dahaa aibu hii jamani ndio kwaanza. Marehemu kazikwa siku si nyingi kidonda kwenye moyo
wangu kikiwa bado kibichi nawaona ndugu zake sijui feki au original wana dundana.
Nilicho kifanya ni kuingia chumbani na kuchukua panga nikatoka nalo kwa kasi ya ajabu na kupangusa ukutani huku nikipandisha sauti
“kila mmoja atoke apotee ndani ya nyumba hii.
Wakataharuki na kuanza kukimbizana yule aliyekuwa anataka magari matatu akawa mbishi kutoka akasema “wee boya acha kunitishia panga Niko hapa kudai
haki yangu siogopi kitu!”
Ahaa kumbe aogopi ehee kwa kasi ya ajabu nikamtandika panga la mgongo ila nilitumia ubapa akapiga yowe la. Uchungu.
“jamani nakufaa akatoka mbio mpaka nnje nikawa namkimbiza wale ndugu wengine wakajuwa kumbe jamaa hatanii kila mmoja akatokomea zake na kuahidi
kunionyesha si najifanya mjanja nitaona tu.
Baada kupita siku kama tatu hivi tokea tukio la kuwatimua wale ndugu nikaanza kuotaota ndoto za ajabu usiku some time nakula mavi au nyama mbichi za
binaadamu nikiamka Asubuhi nakuwa nimechoka vibaya mno naweza nikawa nimelala upande huu wa kitanda nikija kushituka Niko chini ya kitanda au
uvunguni kabisa.
Nikaitaji kumtafuta Bibi baada kufahamu vita ndio vimeanza hivyo.
Hakika nilianza kuwa mnyonge sana, furaha sikuwa nayo
kabisa, Rahma akajitahidi kuniuliza nini tatizo sikuwa na jibu la kumpa.
“Salumu kipenzi changu mbona umeanza kukonda ghafla,
Au ndio kumuwaza ndugu yako
Madebe?”
Nilimtizama Rahma huku nikiwa nimeshika tama”……
akaniuliza tena,
“Sasa baby ukikaa kimya utakuwa unitendei haki niambie nini tatizo
Ehee!”
akakishika kichwa changu kwa mikono yake miwili, mikono
rainii kisha akakiegemeza kichwa changu kifuani kwake.
Utasema mtoto ambaye anataka kunyonya”……
Nikajikunyata maana Rahma
ndio mwenye kunipa faraja kwa matatizo haya yanayo nisibu,
Washikaji nao hawakuacha
kunipa moyo na kuahidi watakuwa bega kwa bega pamoja nami katika vita hivi,
Siku hiyo nikiwa nafua nguo zangu nikiwa sina hili wala lile nikahisi kama mlango wa chumbani umefunguliwa na mtu kuingia ndani nikaacha kufua na kuingia
ndani kwa kunyata ajabu sikuweza kuona mtu. Nikasonya na kutoka zangu nnje ajabu nikamkuta Bibi kakaa kwenye kisturi nilipo muona nikafurahi sana.
Shikamoo Bibi!”
“marhabaa mjukuu wangu kijana wangu mwenzako wiki hii yote nilikuwa naumwa kutwa kucha nipo ndani nikashindwa hata kujinyanyua niweze kutoka nnje!”
“Dahaa pole sana Bibi yangu unaumwa nini?”
“Maralia ndio inayo nisumbua unionapo sijala chochote tokea juzi naishia kunywa maji tu!”
“Duhuu pole sana lakini hospital si umeenda au umemeza dawa tu?”
“mmh! uwezo tu wakununua chakula sina nitawezaje kwenda hospital au kununua dawa nilikata mualuvera nikaukamua nikanywa!”
Binafsi ni kweli Bibi hakuwa katika hali nzuri kihafya nikaingia ndani na kuandaa chai baada kuandaa kila kitu nikamkaribisha aweze kunywa chai akaingia ila
nikamsikia kama ameguna hivi kisha akasonya.
Nikataka kumuuliza ila nikanyamaza nisije kuzua mambo yasio nihusu.
Nikaenda nnje kuendelea kufua dakika kama tano hivi nikasikia ananiita.
“Wee Salumu”
Nikaenda kumsikiliza anasemaje baada kufika akaniambia kitu ambacho kilinistua sana
Sehemu Ya 9
“Salumu mjukuu wangu ni kheri uishi makaburini kuliko ndani ya nyumba hii!”
“kwa nini bibi unasema hivyo?
“Siku zote usilolijuwa ni sawa na usiku wa Giza binafsi ndugu wa marehemu washaanza kukutupia makombora mazito mazito nia yao ni kukupoteza kabisa
hapa duniani. Ndani ya nyumba hii kuna vitu vya ajabu ajabu tu kinacho wazuia wao kukuondoa haraka ni kile kitabu.
Nikaangalia hiko kitabu anacho nionyeshea Bibi kumbe ni msahafu japo msikitini siendi kuswali ila kusoma Qur’an nakumbuka.
Bibi akaendelea kusema usipokuwa makini na hiki ninacho kuambia utaona matokeo yake ushaanza kulishwa vitu vya ajabu ajabu usiku.
Wakati Bibi anaongea yote hayo Mimi mwili unatetemeka vibaya mno nikahisi baridi maana kumbe nyumba haifai hii.
“Usiogope Salumu kumbuka wewe ni mtoto wa kiume utakiwi kuwa hivyo jikaze pambana naimani utashinda tu!”
“sasa bibi nitapambana vipi wakati sijui wapi pakuanzia na sina fani yoyote ya uchawi mie!”
Nilizungumza hivyo huku mchozi ukinitoka binafsi asikwambie mtu uchawi unatisha vibaya mno utakuta unabebwa kitandani usiku pasipo kujitambua ukaenda
kulimishwa ukiamka Asubuhi umechokaa mwili wote unauma hapana chezea mchawi.
Bibi akanistua kutoka katika dimbwi zito la mawazo kwa kuniambia.
Embu twende nyumbani kwangu nikakupe kitu ambacho kitawakomesha hawa wajinga wote!
Tukaongozana hadi nyumbani kwake ni kijumba kidogo hivi kilicho jengwa kwa kugandika udongo juu kaezeka makuti tu nikajiuliza hivi inapo nyesha vua iliyo
ambatana na upepo mkari huyu Bibi analala kweli. Akaniambia niingie ndani nikawa naogopa ila nikaingia nikiwa na hofu tele moyoni.
Niliweza kukitasimini kile chumba pembeni kuna kitanda cha kamba juu kimewekewa mabox tu. Nikazidi kushangaa shangaa tu.
“Mmh naona unashangaa mjukuu wangu hapa ndio nyumbani kwangu ninapo egemeza ubavu wangu. Kaa hapa wala usiogope!”
“hivi Bibi kwa nini unaishi maisha ya tabu hivi”….. hukuzaa au huna watoto ndugu jamaa marafiki wote hao wamekuacha uteseke kwa nini Bibi?”
Niliuliza maswali kwa mkupuo
Akaniambia
“Salumu kumbuka nilikwambia jambo usilo lijuwa ni sawa na usiku wa Giza kwanza kabisa ni story ndefu kidogo nahisi nikianza kukusimulia unaweza kulia
kabisa watoto ninao ndugu ninao tena kama ushawai kusikia jina la Wahida Tarq?
“ndio nishawai kumsikia hadi kumuona kwenye TV akizitangaza kampuni zake ni mmoja kati ya matajili hapa Nchini anamiliki viwanda maduka na mabasi ya
mikoani kibao tu!”
“Basi huyo Wahidi ni mmoja kati ya watoto wangu wanne niliowazaa kwa uchungu nikateseka miezi Tisa”…
Nikastuka na kuuliza Bibi unasema?”
“ndio huwezi kuamini kwa hiki nikwambiacho ila embu kaa hapa nikupake dawa kisha nikupe story ilikuwaje mpaka nikawa hivi”…
Nilikaa vizuri ili niweze kupata history ya Bibi. Akaanza kusema
“Kwajina naitwa Asma Salehe ni mtoto wa kwanza kuzaliwa kati ya watoto sita wa Mzee salehe na bibie Zulfa.
Nilizaliwa huko mkoani
Dodoma kusema kweli maisha kwetu yalikuwa mazuri sana hatukuweza kuijuwa nini shida
Wala tabu na mateso tulikula
kulala na kuvaa vizuri wazazi wangu wakatokea kunipenda Mimi kuliko wenzangu sikuweza kujuwa sababu hasa ni nini.
Nakumbuka tukio moja
Siku hiyo nilikuwa natoka shule
Nikakutana na kijana mmoja akaniita
nilitaka kumpuuza ni kheli ningefanya hivyo kuliko kuitikia wito wake
Msemo wa kubali wito kataa maneno ndio ulioniponza Asma Mimi nikaenda kumsikiliza yule kijana baada kufika
Ghafla nikajikuta nazibwa kwa nyuma. Nilijitahidi kujitoa nikashindwa
nikaanza kuona Giza totoro mbele
yangu sikujuwa nini kilicho endelea.
Nikaja kustuka na kuhisi maumivu
kila maeneo ya mwili
wangu hasa sehemu zangu za siri
nyuma na mbele macho nilifumbua kwa shida sana nilikuwa
nimefungwa kamba mikononi sikujuwa hapo nilipo ni
wapi na kwanini nimetendewa unyama kama huu nikajitahidi kupiga kelele kuomba msaada sauti haikutoka
damu zikawa zinanitoka sehemu za mbele bila shaka nimebakwa
na kutolewa bikira yangu nililia sana mpaka machozi yalikauka hakuna wa kunisaidia.
Nilikata tamaa nikajuwa ndio basi tena
Asma mimi nakufa bila kukamilisha ndoto zangu za siku moja kuwa mwana Shelia wa kujitegemea
Nikiwa nimejiinamia nikahisi kama mtu hivi kaingia kwenye kile chumba
nilicho fungiwa.
Nikainua uso wangu nikastuka kwa kile nilicho kiona mbele ya upeo wa macho yangu. Nilimuona binti
mmoja hivi akiwa kanisimamia
mkononi kashika kisu akaja mbiombio
na kukata kamba nilizofungwa akaniambia.
“fanya haraka ukimbie kabla Kaka hajarudi kutoka kazini!”
Kuna kitu niliitaji kumuuliza ila sikuweza kutamka
chochote akanisaidia kuninyanyua
nikajikaza hivyo hivyo japo
nilikuwa na maumivu kila mahali
kwa mwendo wa kuchechemea nikapiga hatua huku mabonde ya damu yakinimwagika”
“Salumu siwezi siwezi kuendelea naumia sana moyoni mwangu!”
Huku machozi yakimtoka Bibi akaniambia hivyo. Nikamfuta machozi na kumwambia pole sana!”
Akaitikia “Asante”
Akaendelea kusimulia
“Basi nikajitahidi kutembea huku nikitafuta njia ya kuelekea nyumbani hatimae nikafika nyumbani. Mama na ndugu zangu wengine waliponiona wakaja mbio
mbio nikadondoka chini na kupoteza fahamu.
Nikaja kustuka na kujikuta niko hospitali nimelazwa huku nimetundikiwa dripu ya damu nikatizama kushoto kwangu nikamuona Mama nikafumbua mdomo
wangu na kumwita.
“Mama”
akainua kichwa chake na kuja kitandani haraka huku akiniuliza
“Asma mwanangu uu mzima?”
Nimjibu nini zaidi ya kulia tu.
Siku wiki miezi ikatimia hafya yangu ikatengemaa huku police wakiwa tayari washamnasa mtuhumiwa
Kesi ikawa ipo mahakamani
Nikiwa najiandaa kufanya mitihani ya kumaliza form four
Shuleni kwetu kuna kawaida ya kupimwa mikojo kila baada ya miezi sita basi sikuwa na hili wala lile nikapeleka mkojo wangu
Majibu yakatangazwa tena mbele ya wanafunzi wote sikuamini pale Headmaster aliposema wanafunzi kama nane au tisa hivi wameitia aibu shule hii kwa kubeba
mimba pasipo kumaliza masomo yao”….
Akaanza kutaja majina
Wakwanza ni Faudhia Eva Prisca Pendo Asma. Nikastuka
kwani kila jina unatajwa na mzazi wako nguvu zikaniishia miguu ikawa mizito nikaona kizunguzungu nikaenda chini kwa Mara nyingine nikapoteza fahamu
Nikaja kuzinduka nikiwa mikononi mwa Mama akiwa analia
Baba akiwa pembeni kajiinamia baada kugundua nimeweza kurudisha fahamu zangu akanyanyuka na kuanza kufoka kwa hasira
“Wee nyau pusi kenge blue Malaya mkubwa yani Mimi napoteza pesa zangu kukusomesha wewe leo hii unakuja kunitia aibu katika familia yangu kwa kubeba
ujauzito!”
Nitamjibu nini Baba zaidi ya kubaki kimya tu ndio ana haki ya kuongea hivyo ila atambuwe mwanae nilibakwa mie!”
Akaingia ndani punde tu akatoka na begi langu.
Akanitupia huku akizidi kuongea
“Sasa kuanzia leo sitaki kukuona ndani ya nyumba yangu nenda kwahuyo aliyekupa mimba shenzi zako!”
Mama akaingilia kati na kuanza kunitetea.
“Hivi wewe Mwanaume unaakili kweri yani unajuwa kabisa binti yetu alibakwa ndio kimepelekea kushika mimba afu wewe na bange zako unataka kumfukuza
mtoto!”
“Nishasema sitaki kumuona ndani ya nyumba hii icho kisingizio cha kubakwa Mimi sikijui usikute ana Wanaume zake huko ndio wamempa hicho kitumbo
kisingizio kabakwa
Naingia ndani nikitoka nisikukute
wee Malaya
Machozi yakanitoka. Mama nae akajitahidi kunitetea ghafla Baba akatoka na panga nikatoka mbio na begi langu nikaamua kwenda kwa Shangazi nae akanitimua
kwa
madai ya kwamba asije akakatwa kichwa na Baba.
Nikaenda kwa shogaangu Zurekha nikashukuru baada kunipokea vizuri tu nikawa naishi hapo kwao wazazi wake wakatokea kunipenda na kunijali kwa kila kitu
hasa Baba yake Zulekha
Kuna siku alikuja mgeni ni Mwanamama mtu mzima hivi Zulekha aliniambia ni Mama yake mdogo basi akaonekana kunifurahia mwishoe akaniomba aondoke
na Mimi kwenda jijini Dar es salaam.
Sikuwa na jinsi zaidi ya kukubali tu
Baada siku kazaa nikawa nipo ndani ya jiji hili maeneo ya Kawe ukwamani
Nikapokelewa vizuri na familia yake
Nikiwa kama mwanae wa kunizaa vile
Nikaweza kupata marafiki wengi tu huku kitumbo changu kikiendelea kukua
Nakumbuka siku moja usiku nikiwa nimelala ghafla nikahisi kama vile kuna mtu ananishika shika nikafumbua macho yangu taratiibu hamadi ni Baba mwenye
nyumba tena akiwa uchi wa mnyama akijiandaa kuniingilia
Nikastuka na kupiga kelele akaniziba mdomo nikamng’ata
ajabu taa ikawashwa nikamuona yule Mama akiwa kashika mwiko
Na kuja kunitandika nao huku mumewe akiniacha napigwa yeye akaondoka kwa kicheko
Kumbe siku zote akufukuzae akwambii toka atakufanyia visa tu
Nikafukuzwa kama mbwa usiku wa manane Asma nililia sana sikujuwa wala kufahamu Usiku kama huu nitaenda wapi
Nikafikia hatua ya kukufuru kwa kulaani kwa nini nimezaliwa
Nimeletwa duniani kuja kuteseka why?
Mpaka kufikia hapo story ya Bibi ikanitoa machozi nikampa pole kwa mitihani aliyo pitia.
Akaniambia
“Salumu nilikwambia usilie maana ukilia nitashindwa kuendelea kingine jikaze wewe ni Mwanaume!”
“Sawa Bibi nitajikaza sitolia tena!”
Akatabasamu japo kwa kulazimisha akaendelea kusimulia
Usiku ulikuwa mkubwa sana Kawe nzima ilikuwa kimya nikaenda kumgongea mmoja kati ya Mashoga zangu anayeitwa Sikitu baada kumgongea kwa muda
akaitikia na kuuliza wewe nani?
Baada kumjibu akawasha taa na kuja kunifungulia mlango nikaingia ndani na begi langu
Hakutaka kuniuliza kitu kwakuwa ilikuwa usiku tukalala ila Mimi sikupata hata lepe la usingizi
Usiku kucha nikawa nawaza na kuwazua kuhusu mustakabari mzima wa maisha yangu. Nikajikuta mchozi ukinitoka,
Asubuhi kulipokucha
Sikitu ikabidi aniulize
“Ehee vipi tena shost kunijia Usiku usiku na mabegi?”
Sikuwa na jibu la kumpa zaidi ya kuinamisha kichwa changu chini. Mchozi sijui macho yangu hayana komeo au vipi nikajikuta nalia.
Sikitu akanibembeleza na kuniambia
sikuwa na jinsi zaidi ya kumsimuliza kila kitu,
Sikitu akabaki kusikitika tu, na kusema
“pole sana Asma hakika utaishi hapa pamoja nami
japokuwa maisha yangu ni magumu sana tutajisogeza tu hivyo
hivyo.
Tukipata tutakula tukikosa tutalala”
Sikuweza kuamini nikamkumbatia
Shogaangu huku nikijifuta machozi.
Salumu usione nimechakaa hivi
mpaka unaniita bibi,
Hapana mimi ni sawa na umri wa
Mzazi wako au mama yako mdogo.
Siku zote yaache maisha yaitwe maisha, leo
hii msichana wa kijijini akitembea pamoja na
Binti wa mjini yule mwenye kujipiga
sijui madudu gani wenyewe wanaita”…
Nikamtajia
“Wanaita Mockup,
“ehee ndio hayo basi hata kama binti wa mjini atakuwa na umri mkubwa ataonekana mdogo.
Wakijijini ataitwa bibi yote sababu ya kutopata matunzo bora,
Salumu nikuulize kitu?”
Sehemu Ya 10
“ndio bibi niulize”…….
“hivi Mama yako mpaka sasa yupo hai nakama yupo hai ana umri gani?”
Nikamjibu
“mpaka sasa mama anamiaka 42
Tu”
Bibi akatabasamu na kuniambia
“hakika mama yako nimempita miaka sita tu
Salumu ni haki yako kuniita bibi,
Binafsi story hii nitakusimulia kila kitu kuhusu maisha yangu
sitoweza kukuficha chochote kile Nina
hakika wewe ni mtu mzima sasa.
Unaejuwa baya na zuri”……….
“basi Asma shogaangu nyamaza usilie piga moyo konde Mimi nipo Tayari kuwa pamoja nawe bega kwa bega. Niambie nini tatizo”..
Nilijisikia faraja sana kuwa na rafiki kama Sikitu alikuwa ni zaidi ya ndugu kwangu niliweza kuishi hapo kwao japokuwa katika swala la kupata chakula
lilikuwa shida sana kusema kweli Sikitu hakuwa na kazi yoyote ile yenye kumuingizia kipato.
Nahiyo nyumba wameachiwa kama urithi tu na marehemu Baba yao
Sikitu ana wadogo zake wawili wote wakike ni vibinti vikubwa tu kama Mimi kipindi hiko.
Kutokana na maisha kuwa magumu nikajikuta nadondokea mikononi mwa muuza chipsi
Sikujuwa kama ananidanganya ili mladi aweze kunitumia tu.
Aliponiambia ananipenda nikajikuta namkubali bila kipingamizi siku zote penzi linapochipukia basi yanakuwa motomoto
lakini mwisho wa siku linafifia taratibu kama mshumaa unaokwisha vile.
Kijana yule anaekwenda
kwa jina la Swedi akanilazimisha nitoe mimba kwa kisingizio cha kutaka
kuniowa hakika nikapinga
kufanya kitendo cha kinyama kama hiko
Salumu mjukuu wangu kuna matukio mengi yenye kuumiza na kusikitisha
Katika dunia hii
Yenye kutawaliwa na mambo ya kishezi unyama siku hiyo katika mtaa wetu kulikuwa na Mnanda sio sijui vigodoro kama hizi zama zenu
sie enzi hizo tulikuwa tunacheza mnanda mchiriku vanga mdundiko.
basi nikaenda kuangalia tu sikuweza kucheza sababu ya ukubwa wa tumbo langu.
Tokea nashika mimba mpaka wakati huo sikuwai kuijua krinik hakika
Mungu pekee ndie aliyekuwa akinipigania.
Nikiwa na shogaangu Sikitu na wengineo kila mmoja akaonyesha ujuzi wa kuzungusha kiuno katika
kibao kata ulizungushwa mduara hivi
nilitamani namie nicheze nikashindwa ghafla nikaja kushikwa mkono na kibwana changu Swedi
akanivutia pembeni na kuniomba nikampe dawa maana anajisikia hamu.
Nikamkatalia kwa kumwambia
“hivi wewe Mwanaume wa aina gani usiejali hali ya mwenzio ikoje kwanza siwezi kukupa usije kumtoboa mwanangu utosini bure meana ukipewa unafanya
kwa sifa embu niache!”
Swedi hakutaka kuniachia.
“Asma mpenzi ujuwe mwenzako nyege zimenizidia nakuahidi nitafanya
taratibu sitoingiza yote
twende basi baby afu kesho uje nyumbani kuchukuwa ule mzigo!”
Mmh nikacheka
Baada bibi kutaja kitu Nyege
Hahaha
“unacheka nitaacha kusimulia Ohio!”
“haya basi bibi endelea”
Akaendelea
Nikajikuta nalainika kwa maneno ya Swedi
japo nikakana kauli yake ya kutoingiza yote sababu bunduki yake
haina masikio au mapembe kusema ataingiza mwisho wa kikomeo.
Basi tukaingia kwenye mjumba fulani hivi ambao ulikuwa katika matengenezo haikuitaji maandalizi
Swedi akanivamia na
kunivua nguo yangu ya ndani. Na kuniingilia binafsi alikuwa anafanya kwa hasira baada raha nikahisi karaha
Maumivu nikayasikia ila nilivumilia ili kumlizisha mpenzi wangu
Hatimae akamaliza huku akihema akaniambia hasante sana baby akanikiss kisha akapiga mruzi nikamkataza asipige mruzi Usiku ule.
Anaweza kuita majini.
Ghafla nikastukia vijana wakiume kama 8 hivi wakiingia ndani mjumba ule hakika nilistuka sana nikijua tumevamiwa. Nikamuona Swedi akipeana nao salamu
hapo hofu ikanishuka baada kugundua kumbe mpenzi wangu anajuana nao.
Mmoja kati ya wale vijana akauliza
“Demu mwenyewe ndio huyu boss?”
Swedi akajibu
“ndio yeye ninachohitaji kazi ifanyike kimyakimya!”
Kengere ya hatari ikagonga kichwani kwangu Swedi akatoa pesa na kumkabizi yule kijana aliyeuliza swali.
Asma Mimi nikavamiwa na kuanza kushikwa shikwa kwenye maungo yangu nikavuliwa gauni langu nikajitahidi kupiga kelele nikashindwa baada kuzibwa
mdomo
Nikalazwa chini na kuanza kuingiliwa kwa zamu Giza totoro likatanda kwenye upeo wa macho yangu sikujuwa kilichoendelea.
Nilikuwa nimepoteza fahamu.
yani kupoteza fahamu ilikuwa kama hobi yangu.
Nikaja kustuka na kujikuta nipo kitandani huku nikiwa na maumivu kila mahari nikaitaji kujiinua nikashindwa nikasikia sauti ya shogaangu
Sikitu akija mbiombio huku akiita Nesi!!!
nesi!!! akaja hadi kitandani na kuniuliza
“Asma umzima Dada yangu?”
Kwa macho ya kivivu nilimtazama Sikitu machozi yakaanza kunichuruzika na kurowanisha shuka.
Ajabu nikajishangaa sina mimba tena
Nikaitaji kumuuliza Sikitu ila.doctor akaingia akiwa na kitoto kichanga mkononi kwa uso wa bashasha na tabasamu zito akaniambia
“ongera Binti kwa kujifungua mtoto wakiume”
Nilifurahi sana nikajisikia faraja kwa kuweza kupata ndugu ni kweli mwanangu ni kama ndugu ni mtoto wakiume nikampa jina la Wahidu yani ni mmoja tu!”
Nikatoka hospitali kila aliyeniona mtaani wakati narudi kutoka hospitali alikuja kunipa pole wakiambatana na zawadi za hapa na pale.
Kama Neema ya Mungu basi Wahidu alikuja nayo kumbuka baada ya ziki faraja, kuna Mwanaume wa kiarabu akajitokeza na kuitaji kuniowa
Alikuwa yupo Tayari kulea mtoto asiekuwa wake.
Sikutaka kudenguwa maisha yenyewe yako wapi nikakubali nikaolewa
hakika Mwanaume yule alikuwa na pesa kama tipa la mchanga.
kila nilichokitaka Asma nilikipata
Wahidu mwanangu akatimiza mwaka mmoja na nusu nikaweza kushika mimba ya bwana Tariq ndio Mume wangu hatimae nikaja kujifungua watoto mapacha
Wakike na kiume kutokana na Furaha aliyokuwa nayo Mume wangu akaanda bonge la sherehe
Watu walikula na kusaza nikiwa katikati ya sherehe nikajikuta nashikwa makalio yangu kwa nyuma. Kwanza nikastaajabu nani huyu anayenishika hivi”……
Maana hata Mume wangu hana tabia hiyo. Kugeuka dahaa kumbe ni Swedi
Mwanaume aliyenitendea unyama wa ajabu yani nikabakwa na Wanaume nane hasira. Zikanishika
Na kujikuta nachukuwa kisu kidogo hivi. Kwa nguvu zote nikamchoma nacho shingoni.
Hakutegema
mimi kufanya vile
kuna kitu alitaka kuongea akashindwa Asma nikajikuta nauwa
mbele ya umati wawatu
Siku zote hasira hasara nikakamatwa japokuwa Mume wangu alitumia kila mbinu kwa kuhonga pesa ila mwisho wa siku nikahukumiwa kunyongwa!”
Nikashituka na kumuuliza Bibi ulihukumiwa kunyongwa tena?”
“ndio nilihukumiwa kunyongwa
Mwanangu Wahidu alilia sana kunililia Mama yake. Ndani ya mahakama ya kisutu nikavishwa pingu safari ya kwenda segerea
ikaanza ukungu mzito ulitanda
kwenye macho yangu machozi yalinijaa nikainua uso wangu kuangalia
Mbinguni japo niongee
na Mwenyezi Mungu nimuulize kosa gani nimetenda mpaka nakutana na mitihani kama hii.
Asma nikafikishwa gerezani na
kutupwa jela nikakutana na wafungwa
waliopinda na kuchoka na maisha.
Hakika nikafanyiwa vitendo vya ajabu ajabu kwa kushikwa shikwa kimapenzi
na Wanawake wenzangu
nikagombewa kama mpira wakona
kila mmoja akitaka niwe mke wake.
Salumu usiombe kupelekwa
jela ni zaidi ya jahannam
kunatisha vibaya mno.
“Sasa Bibi kama ulihukumiwa kunyongwa imekuwaje leo hii upo hai
wakati mtu akinyongwa anakufa au walikosea kukunyonga nini?”
Lile swali likamfanya Bibi atabasamu kabla ya kujibu.
“Sijui tuseme muujiza au vipi nakumbuka nikiwa bado gerezani nangojea siku ya hukumu yangu kuna tukio moja lilitokea Usiku
baada sero niliyokuwepo Mimi kuwaka moto basi gereza zima
wakapiga kelele za moto…..moto…..
Askari jela wakaja haraka haraka na kuanza jitihada za kuuzima moto ule pasipo kufahamu chanzo chake ni nini.
Basi baadhi ya wafungwa tukaitumia
nafasi hiyo kutoroka
ndani ya gereza….
Baada kutoroka gerezani tulikimbia kutoka kwenye ile ngome nzito huku tukikimbizwa na Askari jela. Wakiwa wameongozana na Mbwa.
Hakika sikuweza kukata tamaa nilikimbia kwa juhudi zangu zote.
Baazi yetu tukaweza kuruka fensi ila wengine
wakaishia kukamatwa
Tulitoroka Wasichana kama kumi hivi ila sita wakanaswa tukabaki wanne
Tukiwa hatujui wapi tunapokwenda mmoja wetu akasimama huku akisema
Subirini kwanza ikatubidi wote tusimame.
Na kumtizama yeye kila mmoja akihema.
Akasema
“hivi naona tunakimbia tu pasipo kufahamu wapi tunakwenda!”
Hakuna aliyejibu kitu tukabaki kimya tu.
Akaendelea kusema
“Unajuwa kwa sasa Usiku umekuwa mkubwa sana mi naona tufanye jambo moja tu ili tuweze kupata usafiri utakao weza kutuondoa eneo hili!”
Nikamuuliza jambo gani hilo?”
Akanijibu ya kwamba
“Kwakuwa sie wote ni Wanawake kwanini tusijifanye kama vile Machangudoa yani tunajiuza ili tuweze kuiteka gari ya Mwanaume yeyote yule atakayejifanya ni
Mkwale!”
Kila mmoja akamtizama mwenzake tukaafikiana kufanya hivyo. Tatizo likaja kwenye mavazi yetu ya kifungwa nikajikuta naambiwa Mimi ndio niwe kama
chambo.
Kitendo bila kuchelewa wakanichania yale mavazi nikabaki na Chupi na kibrauzi tu
Salumu mjukuu wangu hapa naomba nikuambie kitu unajuwa kipindi hiko nikiwa angali Msichana nilikuwa ni mrembo
Kupita kiasi nilikuwa nina
figa ya maana popote
nipitapo vidume lazima
wageuze macho. Kunitizama mimi!”
Kwanza nikatabasamu kusikia Bibi anavyojisifia kisha nikamwambia endelea kunipa story ilikuwaje baada wewe kufanywa chambo.
Bibi akaniangalia na kusema
“Basi baada kufanywa Chambo sikutaka kukataa nikajitokeza hadi barabarani na kuanza kupungia magari.
Ndani ya dakika kama tano hivi ikasimama gari moja
aina ya Chase basi kwa mwendo wa madaha nikaikimbilia nikainamisha kichwa changu nikaweza kumuona Mzee mmoja hivi wa makamu mwenye asili ya kama
sio Pemba basi unguja, nikampa hi
Akaitikia kwa bashasha kubwa sana
Na kuniuliza
“Vipi Binti hiki kijiwe kipya nini mbona sijawai kuona Malaya katika maeneo haya?”
Nikamjibu
“Ndio boss unajuwa siku zote hizi biashara zetu zimetawaliwa na changamoto nyingi sana ndio maana tunahama vijiwe kila kukicha!”
Akaniangalia juu chini nikamuona akijiramba midomo kwa uchu hakika alitokea kunitamani ghafla
Sijui Wanaume wanaakili gani yani hakuweza hata kujistukia yakwamba kaniona eneo hilo la kutisha kidogo je ningekuwa Jini
Akaniambia tu.
“Oky ingia kwenye gari twenzetu”,,,,,,
Nikazunguka upande wa pili ghafla ukasikika ukelele wa maumivu ukitoka kwa yule Baba.
Kumbe tayari kina Agnes washafika na kumpiga na sijui Kipande cha mti au jiwe kichwani.
Maana kishindo kikubwa kikasikika mwishoe akawa kimya huku damu zikimvuja kichwani.
Nikaingiwa na roho ya imani nikaitaji kumsaidia ila nikajuwa nitaonekana mwehu tu.
Basi tukamshusha yule Mzee tukaenda kumbwaga pembeni ya barabara kisha tukaingia ndani ya gari na kuondoka eneo lile kwa speed Agnes ndio alikuwa dereva
Sikuweza kufahamu wapi tunakwenda
Kingine nikaweza kugundua kumbe wenzangu wanafahamiana.
Nikawa nimenyamaza kimya kikubwa zaidi nikimuwaza Mume wangu na watoto wangu.
Nikajikuta mchozi unanitoka pasipo kutarajia hakika maisha yangu
hayana tena thamani maana nilishahukumiwa kunyongwa. Hakika safari yetu ilikuwa ndefu sana maana tulikatiza Gongolamboto mpaka Tazara tukatokea
buguruni hadi ubungo.
Nilitamani kuuliza jamani tunakwenda wapi. Nikaona bora niwe mpole tu…..”
Hatimae tukatokea tegeta.
Sehemu zote hizo nilizifahamu kutokana na
Rafiki yangu kipenzi
Sikitu kuweza kunitembeza katika jiji hili. Safari yetu ikaishia Goba gari ikasimama kisha tukashuka mbele yetu kulikuwa na nyumba yenye geti jeusi mmoja
kati yao ikabidi aruke ukuta na kufungua geti.
Gari ikaingizwa ndani geti likafungwa yani nilibaki kushangaa tu.
Hatimae milango ya jumba lile lenye thamani sijui Billion ngapi ikafunguliwa tukaingia hadi Sebureni
Hakika nyumba ilisheheni mazagazaga kibao tu.
Hakuna aliyweza kukumbuka kuoga wakafungulia Radio yao kubwa yenye sauti kubwa na nzito utazani vigodoro vyetu vya uswazi wakaanza kuyakata mauno
friji likafunguliwa
wakatoa vinywaji vya kila aina yani pombe zile kali kali.
Nikajiuliza maswali pasipo kupata jibu hivi hawa si walikuwa wafungwa inakuwaje wanafanya mambo kama haya ndani ya jumba hili inamaana kila kitu
walikiandaa au?
Nikiwa nawaza hivyo nikastuka baada kuhisi nashikwashikwa kimapenzi nikamtizama anaye nishikashika kumbe ni Agnes huku akiuleta mdomo wake kwangu
ili aninyonye denda nikaukwepesha akanishika kwa nguvu
Ajabu akatoa na bastora
Huku akisema
“tulia hivyohivyo kumbuka umekubari
Kutoroka na sisi kwahiyo
unatakiwa ufanye kile ambacho sie tunataka ufanye kuanzia leo wewe ndani ya nyumba hii utakuwa ni Mke wetu utake usitake hiyo lazima
Kama vipi chaguwa moja tukurudishe gerezani ukasubilie siku yako ya kunyongwa au ukubari kuhudumia Wanaume watatu kwa mpigo ndani ya nyumba hii?”
Nilijikuta nakubari kuwa Mke tena Wanaume wenyewe ni Wwnawake wenzangu mbona majanga.
“Kwahiyo Bibi hao Wanawake mpaka inafikia hatu yakuwa Wamezako je hiyo neo mliozeshana wapi?”
Bibi alitamani hata kucheka ila akatabasamu tu na kusema
“Haikuwa ndoa ya Kanisani wala Msikitini yani ilikuwa ndoa ya humohumo Chumbani kila mmoja akiniitaji kwa wakati wake basi ananichukuwa na kwenda
kunifanya
Kwa kutumia midude sijui ya bandia ile
Hakika dunia ina laana kubwa sana.
Mwenyezi Mungu atusamehe huko tuendapo.
Niliweza kuvumila shida zote utakuta napigwa pasipo sababu mwishoe nikaja kuuzwa kama Kuku vile.
Wakati Mimi ni binaadamu
Nikaenda kufanya kazi kwenye familia ya wahindi
Asikwambie mtu hakika wahindi wanaroho za kinyama sana niliweza kufanya kazi kama punda
Usiku na mchana japokuwa niliweza kutangazwa kwenye vyombo vya habari Mimi na wenzangu tuliotoroka
Ajabu hakuna katika famili hii ya Wahindi yenye watu takilibani kumi na sita hakuna aliyestuka. Kama mimi ni wanted
Maisha yakazidi kusonga ndani ya mjengo ule kawaida hutakiwi kula chochote kile mpaka uakikishe kazi zote ulizokabiziwa zimeisha
Utakuta naamka saa kumi Usiku.
Wakati kulala nalala saa saba Usiku
Basi nitapewa mikazi yani kuosha vyombo kufua nguo za watu kumi na sita hao wote ni watu wazima ukichanganya na watoto shida tupu utakuta nakaa na njaa
Asubuhi mpaka mchana
Nikaona njia pekee nifunge jiwe tumboni ili kuzuia hii NJCAA
Kwani hata nikipewa Chakula chenyewe sishibi
Utakuta napewa chai. Robo kikombe na mkate nusu silesi ndio nile
Huku wao wakila mapochopocho kibao
Basi kuna Mwenzangu mmoja alishindwa kuvumilia hali hiyo
Akaamua kuvamia jikoni akala ndani yake
Si akafumwa kilicho mkuta siwezi kusimulia maana.
Bibi baada kusema vile akaanza kulia
Kumbuka Bibi bado anaendelea kumsimulia Salumu history ya maisha yake kuna mengi ya kujifunza
Katika story hii tatizo like ndogo au kwa sababu hakuna
yale mambo yetu
Assess,,,,ohoooo
mmmmm,,,,chomekaaa,,,tamuuu
Sikuwa na jinsi zaidi ya kumbembeleza kwanza bibi, hakika alikuwa na maumivu makubwa sana katika moyo wake. Nilihisi ya kwamba kama nimemtonesha
kidonda, ambacho kilikuwa tayari kishapona na kubaki kovu tu, nikamwambia
“Bibi basi usiendelee kusimulia maana naona unazidi kuumia tu!”
huku akijifuta mchozi na kaniki yake akaniambia,
“hapana Salumu ni haki yako kutaka kuijua story hii kuna sababu nyingi za Mimi kukusimulia wewe ili uweze kujuwa na kufahamu
Ulimwengu uko vipi.
Basi baada yule mwenzangu kwa jina anaitwa Sikujuwa kama lilivyo jina lake na kweli hakujuwa
Hakika alipigwa sana, akajitahidi kuomba msamaha ikashindikana kusamehewa alipigwa na Mwiko kuna Muhindi mmoja alikuja akiwa kashika pasi sikuweza
kujuwa anataka kufanya nini, kwa kiswahili chake kibovu akasema
“funua nguo hiyoo veve,,
Sikujuwa akafunuliwa gauni lake sikuweza kuamini baada ile pasi kukandamizwa kwenye mgongo wa Sikujuwa
Ndipo nikatambua ile pasi ni yamoto kwani moshi ulikuwa unatoka huku harufu ya nyama kuungua ikisikika.
Sikujuwa hakuweza kutikisika tena alikuwa kimya sijui amekufa au vipi”
Hakika story hii ilinifanya mwili unitetemeke kwa uwoga ni
Mateso gani aliyopewa huyo binti kisa chakula tu, dahaa,
Bibi akaendelea kusema,
“Salumu naomba utambuwe kitu kimoja mimi mpaka kufikia hatua ya umri huu nimepitia mambo mengi sana
Tokea siku hiyo sikuweza kumuona
Sikujuwa sikuweza kufahamu amekufa au laa
Ikabaki siri yao wenyewe wahindi,
Maisha yakazidi kusonga huku nikiishi kwa shida ndani ya jumba hilo
nilifanyishwa kazi kama punda chakula kikiwa kidogo ikafikia kipindi nikakonda vibaya mno
Mabega yakanipanda utasema kikongwe cha miaka mia moja na kitu ndipo nikapanga kufanya jambo.
Jambo ambalo mpaka leo hii naijutia nafsi yangu,
Salumu mjukuu wangu naona kigiza kinaingia itabidi uwende nyumbani kunapo majaaliwa yake
Allah kesho nitaendelea kukusimulia,
“Insha Allah bibi wacha Mimi niende kesho Asubuhi na mapema nitakuja kukuletea chai na vitafunwa kwani usiku huu unakula nini Bibi?”
“nitakula kiporo changu cha ugari!”
Nikatabasamu na kuagana nae
hakika nilienjoi sana kutokana na historia ya Bibi yenye kusikitisha na kufurahisha,
Nikapiga hatua kadhaa kisha nikasimama kuangalia nyuma
Nilimuona bibi akinipungia mkono wa kwaheli nami nikampungia
Nikafika nyumbani na kukuta kuna mzozo yani vurugu baina ya wapangaji,
Nikasogea niweze kufahamu wanagombania nini
“nishakwambia hunitishi kwa lolote wewe mbwa tu tena kijaa malaya mkubwa wewe muone kwanza sura kama mlinzi wa Monchari”
“Mlinzi wa monchwari Baba yako bwege”….kwanza jiangalie nitakupasua Ohooo!!!
Sehemu Ya 11
Ikabidi niulize
“Jackson ndugu yangu nini tatizo mpaka mnazozana hivyo?”
Akanijibu,
“muulize huyu mpangaji wako anaakili za kiboya yani mambo yangu Mimi yeye anaenda kuyatangaza kule kijiweni sijui yana muhusu nini”
Ikabidi nitumie busara kuweza kuwapatanisha kwanza nikamuonya
Bulongo kwa kumwambia
“haipendezi mtu kuwa muongo au mmbea kwa kuhadithia kila analo
lisikia au kuliona je unapenda kula nyama ya ndugu yako?”
Kwa upole akanijibu
“hapana kaka Salumu siwezi hata iweje!”
“Sasa kama huwezi basi kitendo cha kukaa sehemu na kuanza kuongea maneno ya kumteta mtu iwe kwa mazuri au kwa mabaya huko ni kusengenya kwahiyo ni
sawa na kula nyama ya ndugu yako!”
Kingine kila penye ugomvi basi Shetani huchochea kuni na kujitahidi kupuliza moto ili mpigane muumizane
Iwe furaha kwake yeye,
Binafsi naomba sameheaneni muwe kitu kimoja,
Basi wakapeana mikono na kuombana msamaha,
Hivi ndivyo inavyotakiwa ajabu utakuta watu wengine waliokosa akili hata za kufikiri tu,
Wanakuta watu wanagombana jitu zima kujifanya punguwani anachota mchanga na kusema puta mambo hayo ya watoto wadogo sio wewe
Unaenyonyesha au una mindevu na mvi kibao,
Baada kuona tayari wamepatana nikaingia chumbani kwangu, na kufanya baazi ya mambo kama kuosha vyombo na kupika chakula cha usiku
Nikiwa bado jikoni
Rahma akaweza kufika na kuniuliza
“baby leo ulikuwa wapi maana nimekuja hapa kama mara tatu sijakukuta kibaya zaidi napiga simu yako inaita tu ndani, kutizama Mkokoteni wako upo ehee
niambie ulienda kwa Malaya gani?”
Nikamtizama my baby usoni kisha nikamkonyeza kijicho,
“bwana mi staki unajuwa mwenzako mapigo ya Moyo yananienda kasi niambie ulikuwa wapi?”
“baby bwana punguza presha basi mwenzako leo hii nilienda kwa yule Bibi muokota makopo kwenda kuchukuwa dawa. Si unajuwa ndugu zake marehemu
Madebe wanataka kunitoa kafara kisa hiki kibanda?”…..
“Ahaa kumbe nilijuwa umeenda kwa kimada embu pisha nipike huko!”
Kwa sauti ya kudeka Rahma akaniambia hivyo nikanyanyuka na kumtekenya kisha nikakimbia,
“ahahaha,,,assess,,,mi staki bwana ujuwe nitaunguza chakula”
Nikatoka zangu mpaka masikani na kuwakuta washikaji wakipiga story za hapa na pale,
“ehee afadhali Salumu umefika jembe letu maana jembe kubwa ndio limetutoka”
Nikawapa tano washikaji kisha nikakaa kwenye benchi,
huku nikisema
“leteni habari mpya kitaa vipi wana mnasemaje?”
Azizi akadakia kwa kujibu
“Hatuna cha kusema kaka labda Zuberi hapo maana alikuwa anakuulizia muda tu”
Nikamtizama Zuberi na kutabasamu
Ndipo
Zuber akaanza kusema
“habari mpya zipo nyingi tu, kikubwa hapa tulikuwa tukijadili swala zima la mali za marehemu Madebe,
Kwanza kabisa Madebe tokea tukiwa watoto hakuwai kusema kama ana ndugu wowote tuliangaika pamoja kuuza biskuti pipi
Na mzagazaga kibao tu kwenye magari.
Tukabonda kokoto na kubeba zege,
Mara kibao tulikamatwa na Mapolisi kwa kuonekana sisi wezi,
Kama ujuavyo Mungu siku zote hamtupi mja wake tukaweza kupata maisha mazuri na kujenga nyumba zetu. Leo hii ajabu
Madebe kafariki ndio ndugu zake wanajitokeza kutaka Urithi, siku zote walikuwa wapi?…….
Zuberi alizungumza maneno yale kwa uchungu sana mpaka machozi yakamtoka.
Ikabidi nimbembeleze, huku nikimwambia
Asijali sana kwani kila kitu kitakwisha tu”
Kwa sauti ya kwikwi yenye kuambatana na kilio Zuberi akasema
“Salumu kaka hakika kuna mambo muda mwingine yanaumiza moyo.
Binafsi marehemu Madebe kuna siku alisema kama atakuja kufa kwanza yeye, basi tuakikishe kila kitu chake kinabaki mikononi mwako.
Wewe ndie ndugu pekee uliyebakia kwenye maisha yake!”
Washikaji wote wakasema hakika watapambana kiume kuakikisha ya kwamba hao mafisadi waliojitokeza hawapati hata shilling kumi.
Tuliongea mambo mengi sana huku tukipanga mikakati ya hapa na pale,
Nikarudi zangu nyumbani njia nzima nikawa najiuliza, kama Madebe hakuwa na ndugu je katokea wapi…..”ina maana hana Wazazi na kwanini kaitaji mali zake
nibaki nazo Mimi wakati sio ndugu yake
Wema gani nimemtendea mpaka kaamua kunilipa kitu kikubwa kama hiki”……je mambo haya yapo katika jamii mtu kumrithisha mali Rafiki yake
Nikafika nyumbani na kumkuta Rahma ananisubiri kwa hamu baada kuniona akaja kunikumbatia kisha nikapelekwa bafuni kuogeshwa baada hapo nikala na
kulishiba ahaa sio kushiba ni kulizika maana Mwanaume ashibi anaeshiba ni Mwanamke tu,
Baada ya kula Rahma akaondoa vyombo na kwenda kuviweka jikoni.
Ukafika muda wakulala tukapanda kitandani kila mmoja akiwa na mhemuko wa kumuhitaji mwenzie. Kwa macho maregevu yenye kutawaliwa na kama
kausingizi fulani hivi
Rahma akaniangalia, na kuuleta mdomo wangu kwangu,
sikutaka kujiuliza mtoto anataka kuning’ata au vipi”,,,,,,,,nikampokea na kuanza kumung’unya dodo
hakika Rahma alikuwa mtundu kila kona nikipeleka kitu nae anaenda uzuri hakuwa gogo kama baazi ya Wanawake wengine
Mtoto anarembua macho utasema
amekula sijui Kungu manga,,,
Assess,,,,ohooo,,,mmmm,,,,ndio miguno aliyokuwa akiitoa pindi alipoumeza muhogo wangu wa jang’ombe.
Mpaka tunafika mshindo kila mmoja alikuwa hoi tukajitupia pembeni kulala
Salumu sikutaka kusahau kile ambacho alinipa Bibi, nikafanya kuichukuwa ile dawa na kuipaka usoni kama mafuta vile kisha nikalala
Usingizi haukuchelewa kunipitia.
Sikumbuki ilikuwa saa ngapi”,,,,,,
ila usiku uleule nikaja kushituka
kwa kufumbua macho
yangu kwanza nikawa naona
maluweluwe sijui nyota nyota.
Nikabaki kustaajabu sana
Baada kuweza kuona ndani ya chumba changu,
Kuna kikundi cha watu kama watano hivi sura zao ni zenye kutisha sijui wamejipaka masinzi au matope siwezi kufahamu,
Nikahisi labda ndoto,
naota tu muda si mrefu nitazinduka.
Ajabu haikuwa hivyo, nikakumbuka dawa aliyoweza kunipa bibi.
Vile viumbe baada kusimama kama dakika tano hivi huku wakiongea maneno fulani kwa kunong’onezana kisha mmoja wao ambaye alikuwa ni Mwanadada
akaanza kukizunguka kitanda chetu,
akazunguka kwa muda huku akiimba wenzake wakipiga makofi
Akapanda kitandani na kuja kumkalia Rahma tumboni na kumsotea kitendo kile kikanifanya niwe na hasira na kutamani kuinuka, nikabaki
kuhofia naweza kuuwawa maana kawaida ya mchawi akitambua ya kwamba umemjuwa
atafanya kila namna aweze kukuondoa hapa duniani.
Baada kumsotea Rahma na kumtambuka wenzake wakaja na kumbeba kisha wakamshusha chini,
Nikabaki kujikausha tu sijui wakamfanyia nini pale chini mwishoe wakampandisha kitandani
ikawa zamu yangu kukaliwa akaja na kuanza kunisotea
jamani huyu binti alikuwa na kitu cha maana utasema Chura wa Snura,,,,kule kunisotea nikajikuta mnara wangu unasimama pasipo kutalajia hakika nikatamani
kukishika japo kiuno chake kwa style ya kuvizia nikashika
Kalio lake nikamfinya ghafla akashituka na kuruka kutoka kitandani na
kwenda kwa wenzie akiwa haamini
Wenzake kwa ishara wakamuuliza vipi”……akatoa maelezo kisha wote kwa pamoja wakaja kitandani kuja kuangalia vizuri wakamkagua kwanza Rahma kisha
Mimi kidume utasema nacheza movie vile nilikuwa kimyaa mmoja wao akasema tena kwa sauti niliyoweza kuifahamu vyema,
“Wewe Zaituni mbona unakuwa muoga namna hiyo hawa wote wapo katika nusu kuzimu, kuamka sio muda huu embu endelea na kazi!”
yule binti sijui ndio Zaituni aliyetajwa akasema
“Binafsi mizuka yangu yote ishakata ninachoona hapa tuondoke tu tupange tuje siku nyingine,
Baada kusema vile wakapotea kupitia pembe ya Chumba, baada kupita dakika kadhaa nikaanza kucheka
yani nilicheka mpaka Rahma nae akashituka kutoka usingizini,
Wakati huo nikiwa nimesimama akaniangalia huku akifikicha macho na kuniuliza
“Baby nini tena mbona Vicheko usiku wote huu unacheka kitu gani?”
Sikuweza kumjibu kitu zaidi ya kuendelea kucheka,
“Baby umzima kweli au Maralia imekupanda kichwani nini”,,,,,baby..
Rahma nae akanynyuka kutoka kitandani na kuja kunishika huku akinipapasa Usoni
Akanishika mkono na kunirudisha kitandani niweze kukaa….
Maswali yake yakakosa majibu kwa mfano kama wewe ungemjibu nini”,,,,,,,,
“baby unatatizo gani mbona unijibu
(Why?”)
Nikamshika kiuno na kumwambia tulale nitampa maelezo pakikucha,
Kesho yake Asubuhi nilijikuta nachelewa kuamka nikapapasa pembeni yangu Rahma hakuwepo
basi nikajizoazoa kutoka kitandani, nikatoka mpaka ukumbini huku nikijinyoosha na kuangalia pande zote
Nikatoka hadi nnje na kukutana na wapangaji tu nikapeana nao Salamu
Kuna mdada mmoja alikuwa anafuwa,
Akaniambia
“naona siku hizi sio Mzoa takataka tena umekuwa boss!”
Nikamtizama na kumuuliza
“Kwanini unasema hivyo Salima?”
Akanijibu kwa kusema
“unajuwa wewe Salumu haukuwa mtu wa kulala mpaka saa nne Asubuhi wewe ulikuwa saa kumi na moja Alfajir ushaamka unachukuwa mkokoteni wako
huyoo unaenda kuwajibika
Nashangaa tokea Afariki kaka yako
Madebe uendi tena kuzoa Taka”
“Aisee ni kweli ukisemacho Salma yani kwa kipindi hiki nimekuwa mvivu kwa sababu kuna Mambo mengi sana yamenizunguka kwahiyo naitaji kuweka kila
kitu sawa. Kisha nianze kuingiza Benzi langu kitaa,
“Sawa fanya hivyo kaka yangu maana uko mtaani kila kona ukipita Mitakataka kibao imerundikana,
Sijui manispaa ya wilaya hii wamekususia wewe!”
“unajuwa Mimi hii manispaa yetu siwaelewi kabisa yani Mimi nikiingia na mkokoteni wangu, na wao hao
Sasa ajabu mie niko busy
Sijui wao wanafanya nini”,,,,,,,,
Salma hakuwa na neno la kuongeza ndipo nikakumbuka Ahadi niliyompa bibi jana usiku
Nikaona dahaa nitakuwa nimechelewa balaa nikafanya haraka kwenda huko.
Nikasikia naitwa baada kukatiza mtaa mmoja hivi,
“wee mkaka”
Nikageuka kwanza kabla ya kuitikia na kumuona Mwanamama akiwa pamoja na sijui mumewe au,,,,akaniita kwa ishara ya mkono, nikaenda kumsikiliza
Kwanza nikawaamkia,
“Shikamooni wazee wangu sijui niwasaidie nini?”
“Marhabaa kijana, shida yetu kubwa ilikuwa ni wewe”
wewe si ndio Mzoa takataka?”
Nikaitikia kwa kutikisa kichwa kuashilia ndio ni mimi.
yule Mwanamama akaniuliza
“sasa kijana mbona siku hizi hauji kuzoa takataka nini tatizo mwanangu”
Kabla ya kujibu nikafikilia kidogo kisha nikajibu,
“Sijui niseme nini Mama yangu kiukweli kabisa mkokoteni wangu matairi yamepata pancha kingine umeshakuwa mbovu na pesa ya kuupeleka kwa fundi sina,
Yule Baba akaniuliza huku akisema
“kwanza pole sana kijana wangu naomba kujuwa ni kiasi gani kinaitajika huko kwa fundi”……maana kwa sasa tunakosa raha kabisa takataka zimerundika ndani
Sehemu Ya 12
na nje mpaka zinanuka Aisee imekuwa kero kubwa sana kwetu!”
Nikamjibu kwa kusema
“kwasasa bado sijaupeleka kwa fundi bado kama upo tayari kunisaidia hiko kiasi cha pesa
Wacha leo niende kuongea na fundi kisha nitakuja kukuona mzee Wangu!”
“sawa kijana fanya hivyo maana tutashukuru sana kuonyesha msisitizo kamata kiasi hiki kwanza,
Sikuweza kuamini ananipatia kiasi cha pesa
Shilling elfu ishillini, duhuu nikaona kama ndoto
Nikaagana nao na kuendelea na safari ya kwenda kwa bibi
Wakati nakalibia kufika
Kwanza nikashangaa baada kuona kwenye kile kibanda cha bibi watu wamejazana. Nikabaki kujiuliza kuna nini pale,.
Nikapiga hatua za haraka na
kukuta watu wakijadili ili na lile
Kwakuwa nilikuwa kila mmoja namfahamu
Nikamfata kijana mmoja na kumuuliza.
“Mambo vipi kaka kuna nini hapa?”
Akanijibu jibu ambalo likanifanya nishituke zaidi,
“Kaka wee acha tu huyu Bibi muokota makopo amevuta aisee yani amekufa hapa tulipo tulikuwa tuanajadili jinsi ya kuwapata ndugu zake kiukweli hakuna
anaefahamu walipo Muafaka umefikiwa atazikwa na Manispaa!”
Sikuweza kuamini nikajikuta natoka mbio kuingia kwenye ndani ya kibanda kile.
Juu ya kitanda cha kamba ndipo mwili ulikuwa umelala wakati huo
umefunikwa na shuka jeupe nikaufunua.
Ni kweli Bibi alikuwa hapumui nikaanza kuita na kuongea huku nikilia
“Bibi”……amka…..tafadhali,,,nishakuja kukuletea pesa ya vitafunwa na chai,,,,bibi Amka tukaokote makopo kule kwa mpemba nimeyakuta mengi tu.
Bibi tukio gani ulilifanya mpaka ukasema utanisimulia leo….bibi amka basi,,,,,,,nili
lia kama mtoto mdogo
Hata kwenye msiba wa rafiki yangu
Madebe sikulia kama hivyo,
Nikaja kushikwa na kutolewa nnje,
Gari ya Manispaa ikafika kwa ajili ya kuuchukuwa mwili wa Bibi
Nikapaza sauti kwa kusema
“hapana,,,,,hapana mwili wa bibi yangu hauwezi kuzikwa kama kama Kunguru au mzoga wa Kuku,
Kama mmeshindwa kujitolea kunisaidia kumzika bibi yangu nitamzika Mimi mwenyewe.
Kila mmoja akabaki kushangaa wakati huo kina Zuber na Washikaji wengine ndio wanafika wakaja kunituliza maana ni wao ndio wanaojuwa ukaribu wangu
Mimi na marehemu yule
Zuberi akasema
“Kama mlivyoweza kusikia
Bibi hawezi kuzikwa na manispaa wakati sisi wajukuu zake kama watoto wake tu kuanzia sasa tutasimama pamoja kumzika bibi yetu
Tunaomba kila mmoja apotee eneo hili
Yani kumzika mtu mpaka awe ndugu yako au wajilani kama hana ndugu
Muite manispaa sio!”.
Nikiwa bado nalia ndipo nikamkumbuka bwana Tariq
Mmoja kati ya matajili hapa nchini na ndio mtoto mkubwa wa bibi nikaongea na Zuberi kuhusu jambo lile akasema huku akishangaa
“khaa! Salumu kaka unataka kusema kweli au”,,,,,yani unataka kusema huyu bwana Tariq yule tajili ndio mtoto wa huyu bibi?”
“ndio jana tu kanipa full story
Ndugu”
Kuna kitu Zuberi akafikilia kisha akasema.
“ok! kama ni kweli binafsi Mimi napafahamu kazini kwake hadi nyumbani kwake anaishi huko Mbuyuni kule maeneo ya Namanga”
Namie nikashangaa na kuuliza
“unasema kweli Zuberi au utani?”
Akanijibu
“ni kweli ndugu kama vipi twende kwanza kazini kwake pale Posta ya zamani tukimkosa twende nyumbani kwake au vipi hapo?”
Nikamuitikia sawa ikabidi tuwape taarifa kina Azizi na wengineo nao wakakubaliana nasi.
Tukatoka kwenda huko Posta
baada kufika tukavuka barabara na kuingia mitaa kadhaa hatimae nnje ya jengo kubwa gorofa yenye vioo ndio tukasimama kwanza ikabidi tumuulize
Fundi viatu
Tuliyemkuta kwenye ubize wa kushona kiatu,
“Habari za saa hizi kaka yangu?”
Nilianza kusalimia hivyo
Nae akaitikia
“Nzuri tu Kaka sijui nyie!”
“Sie wazima tunamshukuru Allah
Sema Kaka kuna mtu tunamuulizia anaitwa bwana Tariq Wahidi sijui kama unamfahamu?”
Akacheka kidogo na kutabasamu
“Unajuwa ndugu yangu swali lako ni kama kichekesho kwangu kwanza huyo mtu kwajinsi alivyo maarufu ni sawa na kuulizia Ndevu kwa Osama bin laden
huyo Tanzania nzima tuseme dunia
Wanamfahamu.
Nikamwambia huku namie nikilazimisha tabasamu
“Ndio inawezekekana kila mtu anamfahamu kwa jina lake sio kwa sura hata Bakharesa ni watu wachache ndio wanamfahamu kwa sura wengi wanamfahamu
kwa jina tu”
“Sawa ndugu hapo nimekupata kwa kifupi Bwana Tariq wahidi namfahamu kwa sura kila siku akija ndani ya ofisi yake lazima aje hapa kunisalimia na kunipa
chochote kitu
Kama mnashida nae sifikilii kama itakuwa ni jambo rahisi nyie kuonana nae
Kwanza analindwa kingine kabla ya kumuona yeye
Kuna watu kama sita hivi mnatakiwa mpitie kwao.
Kingine ana sura nyingi huwezi kutambua yeye ni yupi,
kwakuwa Mimi ni swahiba wangu
Muda wowote ule nikiitaji kuonana nae hakuna haja ya kupitia kwa hao watu”
Mpaka hapo tukachoka hoi
ikabidi tumpatie pesa kama Elfu kumi na tano hivi ndipo akatupa Ramani nzima ya kumuona Tariq kiurahisi zaidi
Basi tukaingia ndani ya
Jengo hilo na kupandisha lift kwenda juu
Zuberi akanitizama na kusema
“Ndugu isiwe tunaenda kufa huku maana vibopa kama hawa hawataki mchezo tukawashwa chuma cha moto
Nikavuta pumzi
Na kuzishusha nikasema
“opsiii….usiogope hata kama tukifa tutakufa kishujaa yani kuileta taarifa ya msiba wa bibi ni ushujaa tosha,
Baada kumwambia vile Zuberi akabaki kutabasamu tu. Kisha akanishika
begani na kusema
“hakika wewe ni mtu wa
ajabu sana yani unajitolea maisha yako kwa ajili ya Bibi ambaye hana undugu na Wewe!”
Lift ikaweza kusimama kila mmoja akamtizama mwenzie, tukashuka na kuelekea mapokezi,
Hakika duniani kuna mabinti warembo sana huyu aliyoko mbele yangu ni mmoja wao
Binafsi binti alikuwa na uso wenye kupendeza pua utasema kapewa robo,
Midomo yenye kukufanya ushikwe na Ashki fulani hivi nikabaki kumsaminisha pasipo kumwambia chochote kile
Sauti yake tamu na nyororo ndio ikanistua kutoka kwenye dimbwi zito la kumuwaza yeye,
“Samahani Kaka yangu sijui nikusaidie kitu gani?”
Kwa sauti kidogo ya kubabaika
nikamjibu huku nikijiweka sawa mzoa takataka mie nilitokea kumpenda ghafla yule Binti
“zaa,,,saaahizi”
“nzuri tu mbona kama una wasiwasi fulani hivi nini shida”,,,,,
Nikamcheki Zuberi yeye alikuwa amekaa kwenye kiti kwa mbali kidogo na pale,
“hapana Dada yangu unajuwa tena vijana kama sisi tukiona Warembo kama nyie tunapagawa ghafla”
Nilijikuta naongea hivyo mpaka mwenyewe nikajishangaa.
Yule binti akatabasamu na kuzidi kunipa uchizi
“oky nashukuru na mie kuwemo kwenye orodha ya Warembo ehee nikusaidie nini?”
“nilikuwa namuulizia bwana Tariq wahidi kama nimemkuta au laa?
“ndio yupo je wewe ni nani yake”,,,,,,,,
“mimi ni mmoja kati ya watu wake muhimu sana kuna ujumbe nimekuja kumpatia”
“Unajuwa sio jambo rahisi kuweza kumuamini mtu hivihivi kwa sababu
Huyo mtu analindwa na mitambo maalumu kabla hujafika kwake unatakiwa upitie pale kwanza”
Yule binti aliongea maneno hayo na kunyanyua mkonga wa simu akabofya number
Kadhaa na kusikilizia
kuna maneno akaongea kwa Kizungu mie washule za Kayumba sikuelewa neno hata moja kisha akaniambia unaweza kusubiri pale maana yupo na Mgeni ndani”
Sikutaka kuuliza swali nikaenda
Kukaa pamoja na Zuberi kila mmoja kiroho kikimdunda,
Ghafla mbele yetu tukasimamiwa
na njemba kama nne hivi wametinga suti na kuamliwa tusimame
hatukuleta ubishi tukasimama na kuanza kusachiwa
Baada kuonekana hatuna siraha yeyote ile nikapewa Ruhusa ya
Kwenda kuonana na bwana Tariq kijasho chembamba kikaanza kunivuja.
Ndani ya Ofisi kubwa
Mbele kulikuwa na baba mtu mzima hivi amekaa
Baada kuniona akaweka miwani yake
Sawa, nikamuamkia
“Shikamoo Kaka”,,,,,,,,
“marhabaa kijana unaweza kukaa tu hapo kisha uniambie nini shida yako”
Nikakaa kwenye kiti huzuni ikaanza kunishika na kujikuta nadondosha mchozi,
“kijana nini shida mbona unalia tu huwongei chochote una njaa au?”
Nikamtizama usoni kisha nikafumbua mdomo wangu na kuanza kumpa full story.
Hakika alishituka sana baada
kuzisikia taarifa zile akainuka kwenye kiti na kuuliza
“yuko wapi Mama yangu,,,,,,”
Nikamjibu tayari ameshakufa”
Hakuweza kuamini akajishika kichwa na kuanza kulia akaigonga gonga meza kwa ngumi hakika
ilishangaza sana, (Why)
Akaniomba nimpeleke aweze kwenda kuuwona mwili wa Mama yake tukatoka Ofisini nikamwita Zuberi
Huku nikimtizama yule binti kwa jicho la husda mpaka mwenyewe akatambua
Baada kushuka hadi chini tukaingia kwenye gari
Safari ya kwenda Temeke ikawa imewadia,
Ndani ya gari kila mmoja alikuwa kimya huku mimi nikitoa maelezo kwa dereva
jinsi ya kufika.
Bwana Tariq machozi yalikuwa yana mrenga renga tu na kujifuta mafua yaliyomshika ghafla. Hatimae tukaweza kufika gari ikasimama tukashuka
hakika watu walikuwa wengi sana sijui hata wametokea wapi,
Rahma nae alikuwepo baada kuniona akaja mbio kunikumbatia huku analia
Bwana Tariq akaingia ndani kwenda kuuwona mwili wa bibi
Apate uwakika je ni Mama yake.
Kitendo cha kuifunua shuka tu akastuka na kurudi nyuma hakuweza kuamini kabisa
Akaangua kilio kama mtoto mdogo
“hiiiiiiiiiiihaaaaa!!!,,,,,ndio nini sasa Mama umefanya,,,,kwanini uliishi kwa kujificha mama yangu, hapana sio wewe!!!,,,,,
Kilio chake kiliambatana na maneno mengi sana embu tumsikie sisi wenyewe
“mama uliishi kwa kuiyogopa Serikali
Hukutaka kukutana na mtu yeyote yule maisha gani haya tena. Mama kwanini hukuja kwangu nilikuwa na uwezo wa kufuta kila kitu,,,,,,mama iko wapi thamani
ya utajili wangu
umeishi maisha ya magumu kiasi hiki umelala kwenye kibanda ambacho hata kuku hakustahili kuishi humu.
Mama (why)
Bwana Tariq akawa akimtikisa Mama yake kwanini amefanya yote hayo,
Nikaenda kumshika na kumsihi
Auwache mwili wa marehemu upumzike kwa Amani
huku machozi yakimtoka
Tariq akaniangalia na kusema
“nashukuru sana ndugu yangu kwahiki ulichonifanyia hakika ni jambo kubwa sana sitokaa nikasahau
Kwa wema huu. Hakika nimeweza kumuona mama yangu kwa mara ya mwisho
Japokuwa nilikuwa nikimtafuta miaka zaidi ya Kumi na tano sasa
Akanikumbatia, basi msiba ilibidi uwe nyumbani kwa Madebe nilipewa heshima hiyo nikiwa kama mtu
Wa karibu na marehemu Bibi,
Tukiwa katikati ya msiba vishankupe yani ndugu zake marehemu Madebe wakafika
yule Dada akaanza kubwata huku akitukana matusi makubwa na mazito kwa hakika siwezi kuyaandika…..
“washenzi wakubwa nyie wapumbavu msiokuwa na haya hivi mmeona hii nyumba imekuwa sehemu ya kufanyia misiba sio”,,,,,yani mnaokota mizoga huko
Na kuja kufanyia nyoko nyoko zenu
Watoto wa malaya nyie akazidi kuongea pasipo kujali kuna watu kutoka Serikalini tena matajili wakubwa wakubwa bwana Tariq kwa mwendo wa kinyonge
akanisogelea na kuniuliza
“vipi kaka huyu nani yako mbona anatutusi hadi anamwita Mama yangu mzoga!”
Nikampa maelezo japo kwa ufupi tu.
Akanielewa na kunyanyuka nikamuona anafungua mlango wa gari,
Na kutoka na Bastora
kitendo pasipo kuchelewa akafyatua risasi ikaenda kutua moja kwa moja mguuni kwa yule Dada akarushwa hewani kimo cha mbuzi na kwenda chini puhuu
wenzake aliokuja nao wakatimua mbio na Baazi ya watu wengine.
Mie nikabaki kucheka tu,
si unajuwa mkaidi hafaidi mpaka sikukuu ya iddy akataka kumtwanga nyingine sijui ya kichwa Bodyguard wake akaenda kumzuia na kumpora ile bastora.
Tariq akang’aka kwa hasira
“shenzi embu nipe hiyo kitu nimwage ubongo wa huyu kenge
yani wewe unamtusi mama yangu Mimi”,,,,,,,akamkanyaga sehemu yenye jeraha
Binti akapiga kelele za uchungu maana hayo maumivu aliyokuwa akiyapata
Usimpimie,
police wakafika na kuondoka na yule Dada bwana Tariq akaachwa pale pale
Akaja kuniambia hivi
“Salumu kaka tulia kuanzia sasa naomba ukae kando hii kesi na hawa kenge sijui kugombea Urithi usiowahusu niachie mimi.
Nikaitikia sawa Kaka”
Binafsi ulikuwa msiba uliojaza watu wengi sana tukianzia Wanamuziki hadi wabunge na mawaziri walifika
Kwa mara ya kwanza niliweza kumuona live Mwanadada mrembo
Jacklin wolper
kuna kipindi nilikuwa namuota sana ndotoni Asubuhi ikifika nimejichafua vibaya mno.
Sikuwai kuwaza wala kufikilia kama ipo siku nitaweza kumuona live dahaa,
Nikabaki kumkodolea macho tu mpaka akafika sehemu ambayo tulikuwa tumekaa Mimi na bwana
Tariq akatoa salamu kwa kushikana mikono na Tariq mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio
Nikitamani anishike na Mimi
Kama nilivyo tamani ndivyo ilivyokuwa akanipa kiganja chake. Jamanii”,,,,,,moyo wangu ulikuwa unadunda utasema Speaker za za studio ya Master J kwa
macho yake malegevu
akaniambia
“pole sana Kaka yangu Mungu ametoa na Ametwaa jina la bwana lihimidiwe”
Nikaitikia Ameeni”
Ndipo akaondoka kwenda kwa wengine
Walikuja wengi kutupa pole
Sijui Wema sepetu Shamsa Lulu
Wengi tu
Hatimae kesho yake tukaenda kumzika bibi kwenye makaburi ya Tandika
sikuweza kujuwa kama familia ya upande wa Baba yake wako vipi”
Kesi ya Mirathi ikaanza kuunguruma katika mahakama ya kisutu
Ni kesi ambayo inaweza kuchukuwa miaka hata mitano au zaidi
Bwana Tariq akaniambia pale nihame
Akanipa nyumba kubwa tu ya gorofa mbili kabla kesi ya mirathi haijaisha pale akavunja na kujengwa kituo cha police,
Maana katika eneo letu kituo cha police kilikuwa kipo mbali mno.
Nikaweza kufunga ndoa na Rahma sikuacha kwenda maskani kwa Washikaji zangu kule temeke kupiga nao story,
Nilikuwa natoka zangu Ilala bungoni ninapoishi na kwenda kuwatembelea washikaji nikipita ile sehemu ambayo alikuwa akiishi bibi mchozi unanitoka mwisho
natabasamu
Maana kile kibanda chake hakipo tena
Bwana Tariq kaangusha zinga la Msikiti
“Salumu kaka”
Zuberi aliniita, nikamuitikia
“naam ndugu”
“Azizi alikuwa anaomba ule Mkokoteni wako”
“Mkokoteni tena wa nini”,,,,,
“nae anataka kuwa Mzoa takataka siku moja apate zali kama lako”
Nilicheka si mchezo nikamuuliza
Azizi eti kweli akisemacho Zuberi”
Akajibu
“ahaaa wapi Zuberi jau tu mi nina mishemishe kibao kwanza bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi au sio kaka Salumu?”
Nikaitikia
“ndioo”
Maisha yakazidi kusonga hatimae mahakama ikatoa maamuzi haya
“kutokana na kupata udhibitisho kutoka kwa Bwana Salumu udhibitisho ambao unaonyesha moja kwa moja kama yeye ndio mrithi halali wa mali za zote za
ndugu marehemu Madebe Abdallah
Kwahiyo basi mahakama inafunga kesi hii na kumkabizi kila kitu
Ndugu Salumu!”
Nilicheka mpaka nikalia hakika sikuweza kuamini kwa yote yanayo tokea katika maisha yangu. Yani ulikuwa kama muujiza tu, japokuwa kiwanja tulikuwa tayari
tushakitoa sadaka
Allah akaweza kujaalia tukapata watoto mapacha mimi na mke wangu mpendwa
Bibiye Rahma. Kwa upande wa Mama yangu aliweza kuja kuishi kwenye ile nyumba yangu kubwa na ndugu zangu wengine familia ya Bwana Tariq ikawa kama
familia yangu na familia yangu ikawa ya bwana Tariq maisha ya upendo na furaha yakatawala
Nikawa na tabia kila movie ya kibongo ikitoka tu nikiona Jacklin wolper yupo nainunua napenda kumtizama akitabasamu akilia
Naumia pindi nionapo
Muigizaji wa kiume akimkiss sema ndio basi tena nina familia yangu
Nitafanyaje”,,,,,,,,,,
Sikuweza kuwaona tena wale wachawi.
Baada ya ziki faraja mtegemee
Mwenyezi Mungu kwa kila jambo”…….
****MWISHO****
FUNZO MAISHA NI MZUNGUKO
USIMZARAU MTU KWA VILE UMUONAVYO HUWEZI JUWA WALA KUTAMBUA KESHO ATAKUWAJE
R.I.P
MADEBE
MWANAIDI
ASMA ambaye ndio Bibi


1 Comment
Hii story ni 🔥ina mafunzo makubwa sana asante sana Mungu abariki kazi ya mikono yako