MTOTO WA BOSS WANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 4
ILIPOISHIA
Maana nimempata dereva wa kukupeleka na kukurudusha nyumbani wangesi huyu ndio Rose utakuwa unampeleka shule na kumrudisha nyumbani na wew Rose huyu anaitwa Wangesi tutaishi nae hapa ndio dereva wako!
Rose alimuangalia wangesi na kusonya huku akiondoka chumbani kwake Mama Rose alisema Wangesi usijsikie vibaya huyu anahasira sana hivyo mzoee sawa
Wangesi aliitikia hapo alionyeshwa sehemu ya kuoga na chumba chake cha kulala wangesi aliinuka na kwenda kuoga alipomaliza alienda kujilaza ili apumzike
Rose nae alijiandaa kwenda shule kumchukua mzigo yake kwa ajili ya kutekeleza maamuzi ya wazazi wake kuwa atakuwa anasoma akitokea nyumbani.
Baada ya muda wangesi alimaliza na kuanza kuwaza atafanyaje ili kuepuka dharau za Dada Rose? Kubwa nitajishusha na kazi itaenda gafla aliitwa kwenda kula alipotoka tu alishangaa sana kuona rose amevaa kanga moja tena laini sana
Maana yeye ukubwa wake wote alikuwa hajawahi kuona maungo ya mwanamke kutoka na ubize wake muda wote walikaa na kuanza kula baada ya muda Rose aliinuka kwa ajili ya kwenda chumbani kuvaa ili aondoke shule
Wangesi alishangaa kuona tena nyuma kwa Rosé pakitingishika huku makalio ya Rose yakipanda na kushuka yakisema Singida- Dodoma, singida – Dodoma……
Wangesi aliangalia sana makalio ya Rose aliacha kutafuna kwanza chakula kilichokuwa mdomon mwake na kuanza kushangaa kwanza maumbile ya Rose aliyekuwa akitembea kuelekea chumbani kwake!
Mama Rose alimuangalia Wangesi na kumwambia mwanangu kula ushibe maana umetoka hospital Leo tu na utapumzika wiki mbili na baada ya hapo utaanza kumpeleka Rose shule sawa
Sawa mama nimekuelewa nitafanya hivyo baada ya dakika kadhaa Rose alitoka chumbani kwake huku akiwa amevalia sare za shule na aliaga akisema mama naendea vitu vyangu uongozi wa shule ukikubali nitakuja leo leo na ukikataa nitakuja kesho sawa mama
Sawa mwanangu!
Rose aliondoka zake huku mama aliachia tabasam baada ya kumwangalia mwanae akitembea kuelekea nje alijisemea mwanangu anamakusudi mmmmmh
Wangesi hakuongeza neno hapo aliinuka na kwenda kulala mchana huo huku aliwaza hivi nitamuweza huyu mwanafunzi kweli mbona kama ni shida tupu ila nitakuwa serious nadhani hatoniletea mchezo katika kazi yangu nitakuwa sitanii nae hata kidogo ngoja nianze kazi ataona..
Rose aliwasili shule muda huo bahati nzuri alimkuta mkuu wa shule nyumbani kwake na kuanza kuongea nae alimuelezea shida yake na mahitaji ya wazazi wake mwalimu mkuu hakuwa mgumu alimruhusu Rose kuondoka nyumbani na kusema uwe unawahi shule maana tunakutegemea darasani uje uokoe darasa kwa matokeo mazuri sana sawa!
Sawa mkuu nimekuelewa nitafanya hivyo Rose aliondoka pale na kwenda kuchukua vifaa vyake ikiwemo nguo na vitabu aliamua kuchukua usafiri na kuelekea nyumbani baada ya kuagana na marafiki zake ambao alikuwa anaishi nao bweni moja
Ilikuwa jioni sana Rose aliwasili nyumbani na kumkuta mama yake akiwa jikoni aliingia moja kwa moja jikoni kwa mama yake na kusema mama nimerudi
Waoooooo!! Mwanangu karibu
Asante mama lakini mama nahisi huyu kaka ni mkorofi maana hacheki na hataki kuongea duuuuu..
Mmmmmh Rose kumbuka amefika leo tu hivyo hajazoe mazingira isitoshe bado anaumwa siunaona alivyo na majeraha atazoea tu usijali sawa!.
Sawa mama awe dereva mzuri nakuomba asije kunibwaga mtaloni siku moja ohoooooo bado najipenda mama yangu!
Kijana namuamini anaweza sana tu mwanangu sema na wew uwe makini nae asije kukuharibia maisha yako sawa uwe unavaa vizuri huyu ni kaka yako mwanangu maana wew hauna kaka hivyo huyu atakuwa kaka yako.
Mmmmmh!! Mama siwez kufanya ujinga huo unaoufikilia wew Mimi niko makini kinoma noma yani ahahahaha!! Kilikuwa ni kicheko cha mama na mtoto jikoni
Baada ya muda chakula cha usiku kiliiva na kiliwekwa mezani wangesi aliitwa na mama Rose kwa ajili ya chakula wangesi aliinuka na kwenda kula kama kawaida alishangaa kumuona Rose mezani maana alijua atalala huko baada ya kumoana Wangesi alitabasam kwa mbali maana alipenda kumuona muda wote kusema ukweli wangesi alikuwa hajawahi kupenda wala kutamani mwanamke yeytote muda wote alikuwa seriouse na kazi zake huko kijijini
Hivyo Rose alimdatisha Wangesi sana baada ya kumuona amevaa kanga muda huo alijikaza na alimsalimia lakini Rose aliitikia kama hataki vile kwa nyodo za hali ya huu kama mnavyojua watoto wa kishua yaani kwao maisha safi!
Walikula chakula na baada ya chakula Baba Rose alisema kijana huyu ndie mwanangu anaitwa Rose Mimi na mama yako tumeamua uwe unampeleka shule na kumrudisha na sio vinginevyo huyu ni mwanangu mkubwa nampenda zaidi ya unavyofikilia usije kujichangavya na kufanya mengine yaliyoko nje ya kazi nitakutoa kichwa
Mimi ni mtu mpole na msikivu ila huwa ni mkorofi unapoingia kwenye anga zangu na wew Rose nakuamini mwanangu kuwa makini na shule ufanye kilichokupeleka kule shule na sio kuwaza mengine nimekurudisha nyumbani ukae usome na sio uwaze disco za usiku na kuwa na marafiki wa ajabu!
Mama rose nae alisema Wangesi onesha uaminifu wako kama ulivyofanya kulala juu ya matope ukitengeneza gari langu na endapo utakaa na sisi vizuri tutakujengea nyumba na utatafuta mke uoe ukiwa hapa sherehe utaifanyia hapa!
Wangesi aliwashikuru na kusema neno moja tu wazazi wangu nitaifanya kazi yangu vizuri msiwe na shaka na Mimi!.
Rose alitabasam na kusema nitasoma wazazi wangu msiwaze sana;.
Mzee alisema Mimi natoa angalizo hivyo yasitokee mengine ikiwa shida baada ya mazunguzo waliondoka kulala Wangesi alienda kuoga akiwa amevaa bukta yake mama Rose alimuona na kujisemea ngoja nikamletee taulo huyu kijana aliingia ndani na kuchukua taulo mpya na kumkabidhi alimuelekeza jinsi ya kulitumia alisema utakuwa unajifutia maji baada ya kuoga
Ukienda kuoga usiwe unaenda umevaa bukta unavua alafu unajifunga hii unaingia kuoga wangesi alikubali na kulipokea taulo lile alienda kulala na asubuhi ilivyofika wangesi alichukua mswaki na kujfunga taulo kama alivyoelekezwa usiku na mama Rose
Sehemu Ya 5
Aliingia kuoga Rose nae aliamka kwa ajili ya kufanya usafi alianzia sebuleni alifanya usafi kama dakika tano Wangesi alitoka bafuni wakati anatazamana na Rose alikuwa hajafunga vizuri taulo lake alipiga hatua bahati mbaya taulo liliachia na kudondoka
Tobaaaaaaaaa Rose alishuhudia mzigo wa maana kwa Wangesi ulikuwa mkubwa duuuuu Rose alishangaa na Wangesi alishidwa kuinama na kuchukua taulo avae walibaki kuangaliana mwisho akili zilimjia na kulichuua taulo lake na kuondoka chumbani kwake
Rose alibakia kuwazia mzigo wa Wangesi ulivyokuwa mkubwa kiasi alafu mnene kiasi alisema kwa sauti uwiiiiiiiiii
Mama alisikia na kumuuliza kulikoni hiyo uwiiiiii…………uwiiiiii…… Uwiiiiii!……….
Rose baada ya kuulizwa na mama yake mbona anapiga kelele uwiiiiii uwiiii alimjibu mama nimeteleza kidogo nianguke ndio maana nimepiga kelele.
Sawa uwe unakuwa makini unapokuwa unadeki sawa maana tyles hizi zinateleza sana umesikia mwanangu
Nimesikia mama nitakuwa makini baada ya mama yake Rose kurudi ndani Rose alikaa juu ya meza na kuwaza mtaimbo wa Wangesi ulivyokuwa mkubwa akijiesemea kama mtaimbo ule ukiwa umelala unakuwa vile je ukisimama sihatari
ssssssssshh haaaaaaa my Goooooooodiiiiiiii mmmmmmm alijishika kifuani kwake huku akitoa pumzi kama yuko kitandani aliwaza sana na kujisemea mmmmmh ule mtaimbo ukiingia ndani nitafurahi sana maana mkubwa yelewiiiiiiii!!
Rose alipagawa kusema ukweli muda huo alisahau kuwa aliambiwa na wazazi wake kuwa awe makini na shule asifanye ujinga Rose alifanya kazi kwa haraka zaidi alimaliza alielekea chumbani kwake alijitupa kitandani kwake huku aliendelea kuwaza mtaimbo wa Wangesi
Alijishika tena kifuani na ikulu yake ilianza kulowa muda huo mawazo tu yalimpeleka mbali akajikuta wazungu wanamtoka kwa kujichezea mwenyew alitoa sauti za mapenzi sana chumbani mwake kama yuko na mwaname vile mama yake alizisikia fujo zile baada ya kupita karibu na mlango Wake alijaribu kuufungua mlango ulikuwa wazi muda huo
Aliingia kwa kunyata alimkuta Rose yuko mbali kimawazo anajichezea huku alikuwa hajielewi kabisa yuko hoi kitandani mama hakutaka kumsumbua maana anajua mwanae angekasilika na kuona aibu sana hivyo aliufunga mlango wake pole pole na kurudi jikoni kwake
Rose aliendelea mpaka wazungu wakamtoka sssssssshhhhh ohoooooooo ohooooo ohooooooo mmmmmmhhh sssssss ahaaaaaaa alilalamika muda huo wazungu wakimtoka alimaliza na kujipangusa vizuri!!
Wangesi aliendelea kuwaza huku aliona aibu hakutaka kutoka nje maana alijua fika Rose alimuona mtaimbo wake hivyo aliwaza sana itakuaje na rose atamuangaliaje lakini mama Rose alimuita wangesi na kumuulizia hali yake wangesi alitoka chumbani kwake na kuelekea kukaa sebuleni!
Baada ya muda Rose nae alitoka chumbani kwake huku akiwa anatabasam alimsalimia Wangesi kinafiki huku alimuangalia kwa jucho la chini chini Wangesi hakutaka kuonesha kuoga wowote alitabasam na yeye na kuitikia salamu ya Rose.
.
Wangesi alizoea mazingira hakuwa mgeni tena baada ya kukaa wiki mbili baba Rose alimkabidhi gari aina ya Noah ambayo itakuwa inatumika kumpeleka Rose shule na kumrudisha wangesi alikabidhiwa funguo na kuambiwa kazi utaanza kesho na utakuwa unalipwa laki mbili kwa kwezi maana utakaa hapa na kula hapa sawa
Wangesi aliitikia na kusema sawa mzee wangu na mama yangu nitafanya kazi mliyonipatia vizuri sana
OK tumekuelewa lakini mama Rose alimuita Rose pembeni na kumwambia mwanangu tabia yako sijaipenda unajiua mwanangu uwe unaacha kunichua sawa mwanangu ! Sawa mama nimekuelewa aliitikia Rose
Kesho yake asubuhi Rose alijiandaa kwa ajili ya kupelekwa shule na Wangesi huku wangesi nae alivaa vizuri sana alivaa nguo ya kubana kifua kidogo duuuu kifua kilionekana kikubwa na kilichojazia ambacho kwa mwanamke au msichana lijali lazima ameze mate
Alitoka akiwa ananukia vizuri na anang’aa aliondoka na kukaa ndani ya gari akimsubiria Rose amalize kujiandaa waanze safari Rose nae hakukawia alitoka akiwa amevaa sare za shule sket fupi kiasi kwa nyuma pingili za miguu zilionekana zikiwa na michilizi ya kupanda kuelekea juu duuu aisee Rose aliumbika vizuri sana alikuwa na kimbweta kikubwa kiasi kilichokuwa kinapandisha sketi kwa juu!.
Rose aliingia ndani na kukaa nyuma ya gari Wangesi hakutaka kumsemesha lakini baada ya kufikilia kuwa njia haijui alisema umeenda kukaa nyuma sasa nitajua shule yenu iko upande gani embu njoo ukae mbele hapa Rose alitabasam na kusema Mimi nikajua ulielekezwa na wazazi wangu
OK nakuja Rose alienda kukaa mbela kwa ajili ya kumuelekeza njia ya kuelekea shule wangesi alianza kuelekezwa wakati anaendesha gari Rose alimwambia utaendeshaje gari ukiwa umenuna hucheki mwisho wa siku nitakuogopa sasa maana tangu ufike nyumbani muda wote uko seriouse ndio nini sasa ukiendelea hivyo hutokuwa dereva wangu!
OK haina shida Mimi ndivyo nilivyo itabidi unizoee sawa alijibu Wangesi
Safari iliendelea siku ya kwanza tu Rose alianza vituko wangesi alikuwa akishika gear rose nae anapadisha sketi yake kitu ambacho Wangesi alikuwa akiyashika bila kukusudia maana mkono wake ulikuwa unagusa mapaja ya Rose yaliyo meupe
Wangesi alimuangalia Rose na Rose alijifanya hamuoni yuko seriouse muda wote kwa hasira Wangesi alisimamisaha gari na kuinua mkono akitaka kumpiga……
Wangesi alisimamisha gari na kutaka kupiga Rose lakini hasira zilikata gafla baada ya kumwangalia kifuani Rose alikuwa kafungua vifungo kadhaa kitu kilichofanya matiti yake kuonekana kiasi flani uweupe wa kifua chake ulimvuta sana wangesi
Aliahirisha kumchapa makonde na kusema ukirudia nitakuchezeshea kichapo nakuomba ufike kwanza shule na ukimaliza masomo yako hicho ukitakacho utafanyiwa tu hadi utachoka nakuomba sana mama yangu usiniharibie kibarua changu
Maana wewe lengo lako nimesharijua nakuomba San sana unavyoitafuta elimu kwa nguvu zako zote ndivyo na Mimi ninavyotafuta hela kuweza kujikwamua na umasikini wangu
Rose we ni mtoto wa boss wangu nikiamua nifanye unavyotaka ninauhakika utaacha shule na hutowez kurudi shule tena embu malizia shule utayakuta tu!
Rose alipewa maneno kuntu maneno yalimdatisha zaidi ni kuambiwa akipewa ataacha shule Rose aliyatafakali na kujisemea moyoni duuuu huyu anaonekana ni mtaalam wa haya mambo
wakati anawaza hivo nguo yake ya ndani ilianza kulowa maji alishtukia ameshaanza kijitolea maji mwenyew aliamua kuacha kuyawaza na safari aliendelea
Rose alifika shule aliingia darasani huku alimuaga wangesi kwa kuachia tabasam la maana sana na wangesi nae alitabasam na kumpungia mkono ishara ya kusema kwaheri
Rose alipokelewa kwa shangwe na Rafik yake Monica ambaye alikuwa karibu yake sana wakati yuko bording walikaa chini na kuanza kuhadsian mambo yao huku Monica akimsimulia alichokiona wakati analetwa shule na kaka yake na Rose nae alianza kumsimulia kuhusu Wangesi ambaye ndio dereva wake alieleza sifa zote za wangesi
Monica alianza kuwa na mashaka kuhusu kijana Wangesi huenda ndio yeye aliyemuona shambani sema tu hakutaka kuweza wazi alikaa kimya alichokifanya alimuomba siku akija na huyo dereva amtambulishe ili amjue
Sehemu Ya 6
Wangesi alirudi nyumbani na kumkuta mama Rose akiwa amemsubiria ampeleke kazini mama Rose alimuuliza vipi safari yenu ilikuwa salama kweli?
Ahahahaha!! Ndio mama Mimi ni dereva makini sana naijua kazi yangu vizuri Sana hivyo mwanao yuko salama kabisa niamini .
Mama Rose alisema kuwa makini sana na mwanangu kuliko umfanyie uhuni mwanangu bora unichape makofi Mimi mama Rose aliingia chumbani alichukua vitu vyake n kumwambia wangesi ampeleke kazini wangesi liendesha gari kuelekea kazini kwa mama rose alimfikisha na yeye alianza safari ya kurudi nyumbani kupumzika
Mud huo aliwaza sana maneno ya mama Rose na baba Rose maana yalikuwa maneno ya vitisho sana na akizingatia kuwa wale wana hela nyingi sana aliwaza na kujisemea Mungu nisaidie maana huu ni mtihani mkubwa sana kwangu!
Alifika nyumbani aliingia na kijipumzisha alisinzia muda ulipofika wa kumuendea Rose alijiandaa na kuondoka zake alifika shule na Rose aliingia ndani ya gari walianza safari ya kurudi nyumbani walipofika nyumbani Rose aliingia chumabani kwake na kubadilish nguo aliingia kuoga huku wangesi akiwa chumbini kwake.
Baada ya Rose kumaliza kuoga alikaa sebuleni alimuita wangesi kuja kukaa sebuleni wangesi alienda na kukaa mbali na Rose lakin Rose nae aliinuka na kumfuata alipo Wangesi alikaa karibu nae na kumwambia Mimi naenda chumbani.
Ukihitaji kuhudumiwa na mimi uniambie sawa na mlango uko wazi ukitaka uje tupige story mwaaaaaaaaaaaa!!! Rose alimchumu Wangesi na kuondoka zake
Rose alovyoinuka tu na kuondoka zake baba yake nae aliingia ndani na kumkuta wangesi sebuleni akiwa amezubaa alimuuliza kulikoni uko mwenyew sebuleni?
Hpana baba nimetulia tu maana nimechoka na mizunguko ya leo!
Ahaaaaaaa!! Vip kazi unaionaje
Kazi ngumu mzee sema tu huu ndio uanaume lazima tugangamale
Sawa kijana mi Niko chumbani napumzika sawa………Sawa baba alijibu wangesi
Chakula cha usiku kiliandaliwa na Rose mwenyew baada ya chakula kuiva kililetwa mezani familia nzima walikaa na kuanz kula cha ajabu rose alikuwa na karatasi iliyoandikwa ujumbe mdogo tu!
Rose alidondosha kijiko makusudi aliinama haraka na kumchomekea karatasi ile wangesi kwenye miguu yake aliipachika kwenye mkanda wa sendozi za wangesi!
Wangesi alihisi kitu baada ya Rose kuinuka wngsei nae aliinuka na kuondoka zake baada ya kufika chumbani kwake alichukua ile karatasi na kuisoma Rose aliandika
Wangesi nakuhitaji leo chumbani kwangu nikienda kulala sitofunga mlango wangu na nitalal nimevaa kanga tu hivyo ukifika ufanye utakacho!
Wangesi alipumua kwa nguvu na kujilaza kitandani.
Wangesi alijilaza kitandani huku akitafakari atafanyaje kuhusu ujumbe ule huku alikikumbuka maneno ya mama asubuhi tu kwamba kuliko Rose achezewe bora yeye apigwe
Maneno yale yalizunguka kichwani mwake Mara nyingi zaidi alizidi kupagawa na ujumbe ule wa Rose kwake alihisi asipoenda rose atamchukia na hatoweza kumsemesha
Hatimae usingizi ulimpitia huku akiwa ameshikilia karatasi lile mam na baba rose waliondoka kulala huku Rose akiwaza kama wangesi ataenda au laa
Rose nae hakufunga mlango aliuacha alichokifanya ariulidisha tu kidogo baada ya kusikia sauti ya mama na baba chumbani mwao
Rose alikuwa anatamani sana wangesi aende hakuweza kupata usingizi hata kidogo mbaya zaidi hakufunga mlango hivyo sauti za mama yake chumbani zilimsumbua San baba yake alikuwa anakula mambo!
Alisikiliza kwa muda mrefu sauti zile mama nae alisahau kuwa yuko karibu na chumba cha binti yake tena mkubwa aisee Rose akili zilimruka hakuweza kukaa wala kusimama kwa ufupi hakueleweka yuko style gani
Hisia zilimpanda kwa kasi ya ajabu sana alijigaragaraz kitandani na aliamka na kukaa huku alizidi kumsikia mama yake akitoa sauti za utam kutoka kwa Mme wake Rose alisumbuka San ikafika hatua akawa hajielewi kabisa muda huo alijua kwa message ile wangesi ataenda kumbe muda huo wangesi alisinzia zake hakuweza kustuk tena
Rose aliamua kufungua mlango wake ambo ulikuwa umeludishwa tu kiasi flani alinyata hadi kwenye chumab cha wangesi aliusukuma mlango wa chumbani cha wangesi huku akiwa amevaa kanga tu bila kitu ndani mapajani akiwa ameshalowana kwa maji kutoka kwenye kitumbua chake
Duuuuu mlango wa wangesi ulijiachia alizama moja kwa moja hadi chumbani na kuufunga mlango na funguo Rose alisogea hadi alipokuwa amelala Wangesi alimfunua shuka na kukuta mtalimbo umelala tu alijitemea mate kiganjani na kuanza kuupaka alipanda juu ya Wangesi na kujichomekea mtalimbo ule
Duuuuu wangesi alistuka kutoka usingizini baada ya kuhisi joto kwenye mtalimbo wake hakushangaa na wala hakujiuliza alianza kumgeuza Rose haraka sana Rose alishuka chini na wangesi akawa juu hapo ndipo shuguli ilianza
Rose kwa hamu alizokuwa nazo alipanua miguu zaidi ili mzigo wa Wangesi uzame ndani ya kitumbua cha Rose hapo rose alifurahia sana kupata mpenzi la Wangesi ambaye ndiye dereva wake wakati yuko chini Rose aligugumia kwa sauti ndogo sana
Mmmmmmmh sssssssssh ahaaaaaaa babayyyy nakupenda fanyaaaa endelea kusukumaaa sssss yiiiiiiiiiiiiii aaaaaa taaammmmmm sukumaaa mpenzi wangu
Rose aliendelea kutoa sauti ya mahaba kwa Wangesi aliyekuwa akiendelea kumfany Rose atakavyo yeye maana alimgeuza geuza kama ulavyo samaki aliacha tu mkia masikio alinyonya na shingo akanyonya kila sehemu ya mwili wa Rose alovyonya kitu ambacho kilimpagawisha Rose ni kunyonywa masikio
uwiiiiiiii wangesiiiiiiiiiiii utaniuwaaaaaa kwa rahaaaaaa zakooooo shishishishishishiiiiiiiiiiiiiii tammmmmmmm sssssssss ahaaaaaaa alinyonya masikio huku akiendelea kusukuma mtalimbo wake nje ndani ,nje ndani
Hakika Rose alifanya alivyokuwa anataka wangesi afanye baada ya kuutumikia ujinga kwa muda wa saa moja wote walifika walipokuwa wanapataka hasa Rose alihisi kuna mzigo ameutua maana alikuwa mwepesi sana zaidi ya alivyokuwa akijichua
Rose alifurahia sana alimshukuru wangesi kumtimizia alichokuwa akikitaka aliamka na kwenda kuoga ili aende kulala muda huo baba na mama walikuwa wameshasinzia!
Rose aliondoka kwenda chumabin kwake akiwa na furaha sana maana alikuwa hajafanya vile kwa muda mrefu kama ujuavyo maisha ya boarding yanavyowatesa watu kwenye hisia kali
Rose alisinzia kwa raha mstarehe sana akiwa hana pressure yoyote alisinzia San hadi akapitiliza muda wa kujiandaa kwenda shule mama alivyoamka asubuhi alienda kumuamsha lakini Rose kwa uchovu alidai anumwa hivyo anataka wangesi ampeleke hospital kwanza
Mama rose hakuwa ngumu aliamua kutumia gari la Mme wake kwenda kazini na Rose nae alijiandaa kwa ajili ya kwenda hospital muda huo alisema Wangesi hapajui huku nampeleka sehemu nyingine tukasuguane hadi basi
Mimi siumwi ni ujanja tu wa kutaka vitu kutoka kwa wangesi wangu!
Waliingia kwenye gari huku Rose alimuangalia Wangesi kwa jicho la kulegeza mlemle ndani ya gar Rose alimuomba Wangesi amchumu baada ya hapo safari ilianza
Waliendaa kama mwendo wa sasa moja hatimae Rose alisema wamefika hospital Wangesi alipoangalia vizuri aliona maandishi makubwa yameeandika NILE RIVER GUEST HOUSE.
Wangesi aliwaza sana wakati anawaza hivi Rose alishuka na kumuacha Wangesi ndani ya gari yeye aliingia ndani kwa ajili ya kuulizia chumba alipata chumba namba 77 alifanya malipo na aliweka oda ya chakula huku alijisemea leo nataka nimuoneshe kuwa Mimi ni mtoto wa boss wake
Nataka nimdatishe hadi asahau kufanya kazi iliyomleta nyumbani akae akiniwaza tu Mimi baada ya kumaliza malipo alitoka na kumuendea Wangesi kwenye gari
Wangesi alishuka na hakutaka kuhoji sana maana alijua kinachoenda kufanyika mle ndani wangesi alifunga milango na kuegesha gari lake vizuri aliingia ndani chumbani
Huko Rose alivua nguo zote na kubaki na nguo ya ndani wangesi alikaa kitandani akiwa bado anashangaa Rose alitembea kwa madaha sana mle chumbani huku akinyonya vidole na kujipapasa mwili wake alishika chuchu zake akizilamba
Wanges alitaka kunyanyuka ili avue nguo lakini Rose alimfuata na kumlaza kitandani na kuanza kumvua nguo zote alimaliza kazi ya kumvua Wangesi na alimsogeza vizuri
Rose alianza utundu wake wa kumchezea Wangesi huku akitoa sauti nyembamba sana yenye mawimbi ndani yake wangesi alichanganyikiwa na kujikuta akiongea kilugha chao ambacho Rose haielewi.
Alimgeuza geuza Wangesi kitandani pale na alilamba kila sehemu ya mwili wa Wangesi na baada ya kuhakikisha wangesi ameshalegea alimruhus na yeye amchezee hapo ndipo fujo ziliongezeka zaidi Mara tatu ya fujo za Wangesi
Sehemu Ya 7
Maana Wangesi hakutaka kuonekana mshamba kulingana na umri wake alimchezea rose ipasavyo na mwisho alimalizia kwa kupiga deki kwenye kitumbua cha Rose aliendelea kupiga deki na alihakikisha Rose amelegea huku akiongea lugha ya kiingereza ooooh my Gooooooodiii sheeeeeetiiiiiiii sssssssss very niceeeeeee hineyyyyyy I love duuuuu babyyyyy my gooooooodiiiiiiiiii
mmmmmmmmm taaaaaaaaammm ahaaaa sssssssss ahaaaaaaa mmmmmmmm taa taa taaaa mmmmmmmmn babyyyyyy uwiiiiiiii sheeeeeeeetiiiiiiiii alirusha muguuu huku na kule
Rose alikunja shuka na mito muda huo alianza kumtaja mama yake uwiiiiiiii mamaaaa yanguuuuuu uwiiiiiiii utaniuwaaaaa Wangesi iiiiiiiii wanguuuuuu alijikunja ovyo ovyo huku Wangesi aliendekea kupiga deki kitumbua cha Rose
Baada ya kuhakikisha Rose yuko mlima Kilimanjaro alimgeuza kama samaki na kuanza kupiga deki nyonga yake uwiiiiiiii Rose aliiuona mlima Kilimanjaro Mara mbili gafla hapo ndipo Wangesi alianza kufanya penzi kwa Rose
Alimgeuza na kudumbukiza mtalimbo wake uliokuwa mkubwa kiasi uwiiiiiiii sssssssh wekaaaaaa pole pole basssiiiii pssssssss shiishiiiiiii sheeeeetiiiii nakupendaaa weeeeee mmmmmh sssssssss tammmmmm yakooooooooo
Wangesi aliendelea kushindilia mzigo wake Mara kadhaa na alianza kuhisi wazungu wanamtoka Wangesi ajikunja kuhakikisha wazungu wanamtoka vilivyo alimaliza na kujitupa kitandani huku akiwa napumua kwa kasi sana na Rose naye mapigo ya moyo yalienda mbio sana
Baada ya kupumzika Rose alimvuta Wangesi kifuani kwake baada ya muda aliuchukua mkoba wake aliyachukua mafuta ya kufanyia masaji alimpa Wangesi huku Rose alilala kifudifudi
Wangesi nae alianza kumpaka pole pole huku akimwambia maneno matam alimpaka mafuta Yale sehum zote za mwili wake!
Baada ya masaa kama mwili muhudumu aliwaletea chakula Wangesi aliinuka na kuchukua chakula Rose aliamka na kuanza kula chakula kile.
Walikula baada ya kumaliza walioga na kujindaa kurudi nyumbani walitoka nje na kuingia ndani ya gari wangesi aliendesha kutoka mazingira Yale ya Guest baada ya dakika kadhaa mama Rose na mme wake walifika pale kwa ajili ya kupata chakula cha mchana
Maana ndio sehemu yao ya kupata chakula endapo siku hio hawajisiki kwenda nyumbani.
Walikaa na kuagiza chakula alikuja muhudumu aliyewahudumia Rose na Wangesi muhudumu baada ya kumuona mama Rose alishituka sana na kumwaga chakula chini maana walikuwa wanafanana na Rose alihisi ni jini kitu ambacho mama Rose alishangaa na kumuuliza kulikoni?.
Yule Dada alisema kuna mdada ametoka hapa mnafanana kila kitu rangi,sura ,mwili na urefu kusema ukweli!
Mama Rose alisema au umechanganyikiwa Dada
Hapana ametoka hapa akiwa na gari aina ya NOAH
Mama Rose na Mme wake walingaliana na kusema huenda umechanganya Dada embu tuletee chakula kingine hapa tunahisi njaa
Yule Dada alisema ukimaliza kula unipatie namba zako siku akija hapa nitakupigia simu uje ukae sehemu umuone yaani mnafanana .
OK haina shida mama Rose aliitikia lakini huku aliwaza huenda ni Rose huyu baba nae alikaa kimya akitafakari na kujisemea huenda ni mwanangu kweli maana anafanana na mke wangu!
Walikula walivyomaliza walilipa na kuanza safari ya kurudi nyumbani baada ya kufika nyumbani mama Rosé kwa kumkomoa mwanae Rose alimuita Rose na kusema nipe karatasi ya hospitalini nione unaumwa nini huku alimuangalia kwa hicho la ukali!
Baada ya Rose kuulizwa kadi ya hospital aliinama chini na kusema mama leo Mimi sikutoka nyumbani maana niliona itakuwa usumbufu nilimeza tu vidonge vya kichwa nikalala lakni muda huu niko vizuri sina shida mama yangu!.
OK wangesi yuko wapi?
Wangesi baada ya kuona Mimi siendi shule alienda kusafisha bustani ya Maua nadhani muda huu yuko huko anaendelea na kazi
Sawa nimekuelewa sasa uwe unaenda shule maana shule ndio mkomboz wako sawa mwanangu .
Sawa mama!
OK nenda ulale pole mwanangu
Asante mama .
Mazungumzo kati ya mama na Rose yaliisha rose alimuangalia mama yake na kumtolea ulimi ishara ya dharau mama alikuwa kamgeuzia kisogo hivyo hakuona alivyofanyiwa na mwanae
Rose alienda kulala alipofika chumbani alicheka sana na kujisemea nimetoka kula raha kwani wew usiku siunapewa na baba na Mimi ngoja niendelee kula ahahahaha uwiiiiii wangesi wew utaniuwa kwa mtalimbo wako huo mkubwa
Ukiingia unabana hadi naenjoy ni maneno ya Rose chumbani kwake baada ya kumaliza kuongea alijitupa kitandani na kujipiga piga kwenye kitumbua chake akisema hii Mali ya Wangesi maana anajua kuichezea hii kitu!
Kule kwenye bustani baba yake Rose alimfuata Wangesi na kumsalimia Wangesi aliitikia na baba Rose alianza mazungumzo kidogo kwa kumtega Wangesi
Aisee kijana nimeona mwanangu Rose amekua sasa na sipendi wavulana wanchezee maana nategemea awe mtu mkubwa sana hapa nchini hivyo nimetoka kwa mtaalam kutengeneze dawa hii itabidi aoge Leo ili kila atakae tembea nae awe anakwama na kama ameshaanz kila aliyetembea nae ataanza kuozo mtalimbo wake!
Heeeeee!! Baba unasemaje,? Alihoji Wangesi kwa kumtole macho baba Rose
Baba Rose alicheka ahahahahahah! Kijana wangu mbona unashangaa .
Hapana baba kawaida tu lakini utakuwa umemharibia sana maana akijijua kuwa yuko hivo ataweza kujinyonga na kujiona sio binadam
Atakuchukia sana embu muache maana amekuwa na atajilinda kumbuka utakuw umemuharibu mtoto kisaikilojia mzee mzee wangu!.
Mmmmmh mbona unaongea sana vipi umeashapita nini au
Ahahahaha ahahahaha baba yule Dada yangu na isitoshe mdogo wangu hivyo siwez kufanya hivyo
INAENDELEA

