MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 21
ILIPOISHIA…
Nisha alikuwa yuko hoi bin taabani, alibebwa mikononi akaingizwa chumbani na kumwagwa juu huku sam akimfwata kwa kumlalia na Nisha hakutaka kuukosa uhondo, aliukamata mhogo wa Sam huku akigugumia kwa sauti za chinichini…ooooh Sam, ooooshhhh, Ingiza Saaaam…oooohhh Tamuuuuu, ashhhhhhhh.
Hapa tayari mhogo ulikuwa umepita hadi ndani na Nisha akaanza kuukatikia taratibu lakini ghafla walisikia mlango ukigongwa….
Kwa mbali walisikia sauti za watu huko nje wakielekezana … “wezi wenyewe wameingia kwenye chumba hiki hapa”.
ESTER alikuwa amepagawa vilivyo, mapigo ya Wazambia hawa yalikuwa ni makali sana kwani tayari alikuwa amelazwa kwenye mapaja ya Chilumba akiwa amebetuliwa hifadhi yake ya Tanga Fresh na chuchu zinapikichwa huku kidole kimoja kikiwa mgodini.
Pembeni alimuona Nisha nae akiwa anafanyiwa mchezo ule ule, roho ilikuwa inamuuma sana Esther kwa kitendo anachofanyiwa Nisha huku akiwa hajielewi kwa Pombe, wakati wote huu Nisha alikuwa kama anaota huku mara kwa mara akilitaja jina la Sam akiamini ndie anamfanyia vitibwi hivyo kume loooh! Ni Egbert tena kutoka Zambia.
Kila wakati Esther alitamani amwambie Nisha aamke lakini alikuwa hawezi kutamka kwa utamu alio kuwa anapatiwa pale.
Ahhhhhh…shhhhhh, ashhhhh miguno hii alikuwa anaitoa Esther ambaye alikuwa anafikia Mshindo, Chilumba kuona hivi akazidisha manjonjo kitendo kilichomfanya Esther afikie Mshindo na kupitiwa na usingizi akiwa kamlalia Chilumba mapajani.
Chilumba kuona vile alimnyanyua Esther na kuzama nae chumbani, huko alimvua Esther nguo zote na kumlaza kitandani huku akilishuhudia Umbo zuri la Esther lakini likiwa na makovu mawili ya Visu mapajani ambayo hata hivyo hayakuharibu mvuto wake.
Chilumba uchu ulikuwa juu sana, alivua nguo zote akapanda kitandani huku akishuhudia Esther akiwa bado kalainika sehemu zake nyeti hivyo akakamata tango lake na kulitumbukiza japo lilikuwa linapita kwa shida lakini mwisho likazama mpaka ndani kitendo kilichomuamsha Esther.
“Noooooo Chilumba Nooooooo”
Aliongea Esther kwa sauti kali iliyomshtua Chilumba huku tayari Esther akiwa amejitoa kwenye tango la Chilumba.
“Esther Why?”
“Sitaki kukuua Chilumba”
“Kivipi Esther…how?”
“Am Victim, (mimi ni muathirika) Chilumba”
“Hapana Esther sio kweli unanitania ”
“Sikutanii Chilumba, sitaki kukuua, nakuona una pete mkononi inamaanisha una mke sitaki niwaue Pliiz”
“Esther unamaanisha unachokisema?”
“Namaanisha Chilumba, ngoja nikuletee vithibitisho”
Esther alitoka kidogo kisha akarudi
“Natumia dawa Chilumba, tena nilisahau kunywa naomba hayo maji nimeze dawa”
CHilumba alimshuhudia Esther akimeza dawa ambazo alizitambua kuwa zilikuwa ARV.
“Namimi niazime hayo maji nimeze zangu”
Esther alipigwa na butwaa baada ya kumuona Chilumba nae akimeza dawa za ARV’s.
“Nawewe ni mgonjwa Chilumba?”
“Ndio Esther”
“OOH pole lakini wewe sio mtu mzuri”
“Kwanini Esther, ”
“Kama ningekuwa sijaathirika ungeniambukiza kwasababu hukuwa na nia ya kunilinda”
“Hapana Esther….”
“Noooo usikatae…ninyi wanaume ni wakatili sanaaa”
Esther baada ya kusema hivyo alianza kulia huku Chilumba akiwa na kazi ya kumbembeleza lakini wala haikusaidia kitu.
Esther alilia na kulia mpaka akatosheka na wakati huu Chilumba alikuwa kamkumbatia akimpiga piga mgongoni.
Esther akiwa kama anakurupuka aliamka kwa kasi na kutoka nje kule walipokuwa wamekaa kwa lengo la kumtafuta Nisha.
“Rose huyu dada kaenda wapi na Yule kaka”
“Wmeenda kulala huko juu”
“My God…namba ngapi wapo?”
“101”
Esther akiwa kama mkichaa aliifwata lift mpaka juu kabisa Ghorofani kilipokuwa chumba namba 101, aligonga mlango bila kufunguliwa akaamua kuusukumiza na bahati nzuri ulikuwa haujabanwa ndani na kufunguka.
Alishuhudia Nisha akiwa uchi huku Egbert akijiandaa kutumbukiza dude lake kwenye ikulu ya Nisha lakini akamuwahi kwani alimsikia Nisha akiguna huku anataja jina la Sam.
“Egbert ni ukatili gani unafanya?”
“Wewe umeingiaje huku kwenye starehe zetu”
“No sitakubali umuingilie mwanamke ambaye hajitambui kwa ulevi, kwanini wanaume mnakuwa wakatili kiasi hiki?”
“Unajua nimeelewana nae nini?”
“Stop lieing Egbert, acha uongo, umeelewana nae nini na saangapi, kwanza wewe mwenyewe msikie tu anataja Sam na sio wewe”
“Tafadhali muache aamke kwanza umuingilie kwa ridhaa yake”
Kwenye akili ya Nisha baada ya kuona starehe zinakatishwa japo ni kama alikuwa anaota yuko na Sam, usingizi ulianza kukatika na kuamka baadae akakutana na mzozo kati ya Esther na Egbert.
Alikuwa anavuta kumbukumbu taratibu ndipo akagundua kuwa kila alichokuwa anakihisi ilikuwa ni ndoto na Yule aliyetaka kumuingilia sio Sam bali ni Egbert,
Alianza kujikagua taratibu na mwishowe akagundua kuwa hajaingiliwa bado.
“Esther naomba tuondoke hapa”
Huku akiwa amenyong’onyea Egbert alishuhudia Esther akiondoka na ndege wake huku wakimwacha na hali mbaya kweli kweli.
Esther aliondoka na Nisha hadi kwenye chumba ambacho alimuonyesha ili alale mpaka kesho yake.
“Lala hapa, hiki ndio chumba ninacholala mimi siku zote.”
Akiwa kalala chumbani kwa ESTHER peke yake alianza kuwaza, mambo lukuki yalipita kwenye akili yake mpaka alipoingia kwenye bar na kuagiza AMARULA kwa kuisikia tu ikiimbwa kwenye mziki.
Aliendelea kukumbuka jinsi alivyokutana na Esther na kujumuika nne kwenye meza huku wakipiga story mbalimbali na kuendelea kulewa.
Kumbukumbu ziliendelea mpaka walipokaa na vijana wawili waliojitambulisha kuwa ni waZambia na hapo akawa hakumbuki tena vizuri kilichoendelea hadi akajikuta yuko chumbani anataka kuingiliwa na Egbert,
Alikumbuka alipokuwa anaota kuwa yuko na Sam, wanapigana na wale wazambia na kuwapiga, wanawachukulia hela na kuhama hoteli kumbe yote alikuwa anaota tu, lakini akagundua kuwa aliyokuwa anayaota ni matendo ya uhalisia yaliyokuwa yanafanywa na Egbert.
Alianza kububujikwa na Machozi akiwaza jinsi ambavyo hisia kali juu ya Sam zilitaka kummtumbukiza kwenye mtego wa Mamba.
…………………………………………….
Sam aliamka asubuhi ya saa kumi na moja na nusu alfajiri huku mawazo yote yakiwa juu ya Nisha akiwaza ni wapi aliko na anafanya nini.
Hakuwa anamuwaza kabisa Rafiki japokuwa alikuwa ametoka kumvisha Pete usiku uliopita.
Aliachana na mawazo hayo akachukua kamba yake akaelekea nje kisha akaanza kufanya mazoezi taratibu ya kuruka kamba, wakati anafanya mazoezi alianza kukumbuka mazungumzo yake na Verity jana yake ambayo yaliishia kwenye kufanya ngono bila kufikia muafaka.
Alikumbuka jinsi Verity alivyomwambia kuwa ana Mimba yake na kumpa hadhari kuwa endapo anaikataa hiyo Mimba kuwa sio yake basi anaenda kuisingizia kwa mwanaume anayetaka kumuoa na kamwe asije akaenda kudai mtoto kwani atakuwa hamuhusu. Kingine kilichompa mawazo ni utamu wa Verity wakati wa kufanya ngono, alikiri kuwa na wakati mgumu kumsahau mwanamke kama Verity japo ni shemeji yake.
Ilibidi Sam asimamishe zoezi kwanza huku akiwa anatafakari jambo zito kama hilo, mwisho aliona ni bora Verity amsingizie mimba huyo mwanaume anayetaka kumuoa ili kunusuru uchumba wake na Rafiki ambaye ni dada wa verity.
Wakati anaendelea na zoezi alitupa macho yake kando akamshuhudia mchumba wake ambaye ni Rafiki akiwa amekaa huku anamtazama kwa tabasamu mwanana.
Katika vitu ambavyo vilikuwa vinamfanya Sam ajione hakukosea kuwa na Rafiki ni pamoja na Sura ya Rafiki. Alikuwa na sura nzuri sana ya maji ya kunde ama tunaweza kusema weupe wa wastani.
Alikuwa na macho makubwa meupe peee kasoro kwenye kiini tu, alikuwa na meno mazuri yaliyopangika vyema huku kifuani akiwa na embe mchongoko, wembamba wake wa wastani ulimfanya aonekane kama mlimbwende aliyeshinda taji. Tofauti yake na VERITY ni ule unene wa kutengeneza umbo namba nane aliokuwa nao Verity huku Rafiki akiwa ni mwembamba wa wastani.
Alivyomuona amekaa pale kando huku anatabasamu alijikuta akijisikia furaha na fahari kubwa, kabla hajasema chochote alimuona Rafiki akiamka huku amejifunga kanga iliyoonesha umbo lake kwa mbali hadi nguo ya ndani ikawa inaonekana mchoro wake akawa anamfwata.
Sam alibaki amemtolea macho hadi Rafiki alipofika pale akamkumbatia na kumpiga mabusu mdomoni.
“Pole Mume wangu kwa Mazoezi”
“Asante”
“Haya twende ukaoge unywe maziwa”
KItendo cha sam kukumbatiwa vile tayari mhogo ulishataka kunyanyuka lakini akawa anauzuia kwa kupotezea hisia zake.
Alijikuta akitamani kuendelea kukumbatiana na Verity ama ikiwezekana aelekee nae chumbani kabisaa.
Sam alipelekwa mpaka bafuni akakutana na maji ya moto yakiwa tayari huku taulo jeupe likiwa linanukia marashi akiwa ameandaliwa yeye.
“Oga mume wangu mimi niko nje”
Sam alishindwa kusema chochote kwani alitamani abaki na Rafiki pale bafuni ila akashindwa kusema na midomo ikawa inagongana utadhani Yule sio mchumba wake aliyemvisha pete.
Alijikuta akimvuta Rafiki mkono na kumleta kifuani kwake kisha akaanza kumnyonya mate lakini Rafiki akawa anajitahidi kujitoa mikononi mwa Sam.
Kwa kuvutana kule bahati mbaya Sam aliteleza akaanguka chini kwenye tiles PUUUUU!
Nisha alikuwa ameshikilia simu anampigia Sam lakini simu ilikuwa haipokelewi, alituma meseji mpaka zikafika kumi lakini hakuna hata moja iliyojibiwa.
Hasira zilimshika akaamua kufuta namba zote za Sam na simu zote alizopiga akazifuta kwenye rekodi ili asiweze kumpigia tena na ikiwezekana amsahau kwani anachoambulia ni maumivu tu.
Alipomaliza zoezi alijilaza kitandani kisha akaanza kulia.
“Hivi kweli SAM, yani unaacha mimi mpaka nafikia hatua ya kutaka kubakwa kweli”
Nisha alikuwa analia huku anajiongelesha mwenyewe pale chumbani.
…………………
Esther alikuwa Chumbani na Chilumba wakiwa wanafanya ngono bila kinga baada ya kugundua kuwa wote ni waathirika.
Walifanya mapenzi zaidi ya mara nne huku wakiwa hawaiishi hamu, kila Chilumba alipokuwa anamuona Esther akiwa mtupu hisia zilikuwa zinampanda kiasi kwamba anashindwa kuvumilia na kumuendea tena huku anamnyonya midomo na kuipanua miguu kisha anaingiza mhogo wake, kinachofuatia hapo ni miguno ya utamu tu.
Wakiwa wamepumzika walianza kupiga story….
“Hivi Chilumba ulipataje huu ugonjwa?”
“Acha tu nii historia ndefu ambayo iinaniumiza sana”
“Kama tayari ni historia haipaswi kukuumiza”
“Ni ngumu sana kuacha kuniumiza, sikutarajia katika maisha yangu kuja kuishi na haya maradhi”
“Kwani ilikuwaje?”
“Ngoja nikusimulie….”
Kwa ufupi mimi nililelewa kwenye familia ya kikristo na BABA yangu alikuwa ni askofu wa kanisa la Methodist.
Mara nyingi sisi tulikuwa tunashinda kanisani tukiwa na Baba na Mama pamoja na wadogo zangu, hivyo mpaka mimi nakuwa mvulana mkubwa sikuwahi kujihusisha na vikundi vya tabia mbaya.
Niliendelea na tabia hii hadi nilipofika wakati wa kujiunga na sekondari ambapo nilienda kusoma kwenye shule za Kanisa alilokuwa anahudumu baba.
Shule ile ilikuwa ni ya mchanganyiko ambayo inachukua wanafunzi kutoka maeneo mengi ya Nchi ya Zambia, kutoka Bulawayo pamoja na Kinshasa yote na hata nje ya nchi kwani Kanisa lile lilikuwa na waumini wengi ambao walipenda kusomesha watoto wao kwenye shule hizo hizo za kanisa.
Hapa ndipo historia ya maisha yangu ilipobadilika baada ya kukutana na Msichana mmoja wa Zimbabwe aliyekuwa anaitwa Nice Robert.
Nice alikuwa ni msichana mpole sana, lakini pia alikuwa ni msichana mzuri mno, watu wengi walikuwa wanasema kuwa msichana mpole kuliko wote pale shuleni alikuwa ni Nice na Mvulana mpole kuliko wote alikuwa ni Mimi.
Tulipongia kidato cha tatu tayari tulikuwa tumekua vya kutosha na story kuhusu Nice zikaanza kusikika.
Wavulana wengi waliokuwa wanamtongoza Nice walikuwa wanaishia kufukuzwa shule katika mazingira ambayo hata kesi ilikuwa haisikilizwi vizuri.
Baada ya muda ikasemekana kuwa Nice anatembea na Meneja wa Shule hivyo hakutaka kushea na mtu.
Story hizi kwangu zilikuwa hazina mashiko kwani hayakuwa mambo ya kipaumbele change, mimi nilikuwa nachapa kitabu tuuu!
Siku moja nikiwa naingia darasani tukiwa tumetoaka kusali sala ya asubuhi nilikuta Nice akiwa peke yake darasani analia.
Nilimfwata na kumuuliza analia nini lakini hakusema chochote.
Roho ya huruma ilinijia na kujikuta na mimi nikilengwa lengwa na machozi kwani nilihisi Nice alikuwa kwenye uchungu mzito….
“Acha tu Chilumba wewe nenda zako yasije kukukuta makubwa, najuta sana kuzaliwa mwanamke”
Nilishindwa kabisa kumuelewa Nice lakini nikajikuta nikiondoka taratibu hadi kwenye meza yangu nikatoa vitabu na kuanza kujisomea huku wanafunzi wengine wakiwa wamefika ila wanaota jua nje kwani muda wa madarasani ulikuwa bado.
Nikiwa naendelea kujisomea mlangoni nilimuona mtu anaingia lakini akiwa hana unifom nikajua ni Mwalimu, alivyojitokeza vizuri nikagundua ni Meneja wa Shule.
“Ninyi mnafanya nini humu ndani peke yenu?” aliuliza meneja.
Nilijivuta nikisubiri Nice ajibu lakini alikuwa kajiinamia kama mwanzo.
“Najisomea meneja, huyu nimemkuta humu humu analia tu”
“Wewe umejuaje kama analia?”
“Nilimuangalia nikagundua analia”
“Shenzi kabisa, ushaanza kuharibika eeeh, unaleta mapenzi shuleni? Nilikuona tangu mwanzo umemuinamia unamtongoza …sasa subiri”
Kabla sijamjibu chochote meneja alitoka kwa hasira kiasi kilichoniogopesha…
“Lakini nilikwambia Chilumba”
“Kwani mimi nimefanya nini lakini?”
Sehemu Ya 22
“Usiwe mbishi Chilumba, ulipaswa kunisikiliza”
“Lakini nilikusikiliza nikaondoka zamgu kosa liko wapi hapo”
“Chilumba nakwambia utafukuzwa shule”
“Kwakosa gani Nice…nakuhakikishia Mungu atanilinda”
“Hata mimi nimechoka sasa, nimechoka kuwa mtumwa Chilumba…safari hii wakikufukuza naanika ukweli wote…kwanza ngoja nije hapo”
Nice aliamka akaja mpaka nilipo akkanikumbatia na kuanza kuninyonya mdomo, alininyonya nikawa najitoa kwake kwani sikuwahi kufanya mambo kama yale na niliogopa sana kama nikikutwa itakuwaje.
Kile kitendo kilinifanya nikapata hisia kali sana nikajikuta nikinogewa na kuanza kumpapasa Nice pale pale darasani, nilikuwa nina hisia kali sana ukizingatia kuwa ilikuwa ni siku yangu ya kwanza kukumbatiwa na msichana.
Huku tukiwa tunashikana Nice aliniambia…
“NAKUPENDA SANA CHILUMBA”
“nakupenda sana Nice”
“Wakikufukuza shule naondoka nawewe, utaridhia”
“Niko tayari Nice”
Utamu wa mwili wa Nice na ugeni wangu kwenye ulingo ule vilinifanya nikawa najibu mambo bila kufikiria, kuja kushtuka darasa limejaa wanafunzi
“Mungu wangu, nimeisha mimi” nilijisemea mwenyewe.
………………………
“Chilumba Bosco unahitajika ofisi ya Dean!”
Mwalimu wa Nidhamu aliniita nikiwa nasoma hesabu darasani, sikuwa na jambo jingine kichwani kwangu, nilijua kabisa kuwa naenda kwenye kesi.
Niliamka huku kila mtu akiniangalia kwani wengi walijua kuwa sina shule naenda kutimuliwa.
Nikiwa na mwendo wa taratibu uliojaa majuto nilitembea mpaka ofisi ya Dean nikagonga mlango nikakaribishwa ndani, wakati naingia nikakutana na Meneja mlangoni akiwa anatoka oofisini pale.
Alinitazama kwa jicho kali kisha akanisukumiza kwa nguvu kitendo ambacho hakikuonekana na mtu yeyote hadii nikajingonga ukutani kisha akaondoka zake.
…………………………….
Nikiwa na barua yangu mkononi wanafunzi walikuwa wamejazana pale mstarini huku nikisomewa adhabu ya kuchapwa fimbo sita na kufukuzwa shule japo nitarudi wakati wa mitihani ya kumaliza shule tu!
Wanafunzi wenzangu walikuwa kimya wakiwa wamenyongo’onyea kwani walikuwa wananionea huruma mno.
Gari ya shule ilikuwa inanguruma huku dereva akiwa anasubiria nimalize taratibu anipakie niende zangu nyumbani.
“Kabla hajaondoka tunamuomba Mwalimu Kolly aje ampe fimbo zake kisha akapande kwenye gari arudi kwao”
Wakati nataka kuchapwa fimbo shule nzima ilipigwa na butwaa baada ya kusikia sauti ya Nice ikiongea kwa nguvu “stoooooop”
Wakati anasema hivyo alikuwa anakuja mbele kiasi kwamba kila mtu akawa anamtazama yeye.
“Please kabla hamjaanza kumchapa Chilumba naomba muanze namimi, kwanini kosa nifanye nae alafu aadhibiwe yeye tu”
“Kabla hamjaanza kumrudisha nyumbani nipeni na barua yangu niondoke mimi wa kwanza na ikiwezekana mmuache chilumba asome kwani hana hatia”
“Frankly speaking….Nimechoka kulazimishwa ngono na MENEJA COSTANTINE, sikuja hapa kufanya mapenzi, nilikuja kusoma lakini shetani COSTANTINE mnayemuita meneja ameamua kunidhalilisha kwa kunilazimisha kulala na mimi kila wakati”
“Nawaomba sana mtende haki, tutaondoka sisi lakini dunia itajua na itahukumu hata kabla Mungu haja hukumu…niadhibuni mnipe barua yangu nifwatane na Chilumba”
Minong’ono na miguno ilianza shule nzima na kuhamia kwenye makelele huku vurugu zikitaka kuanza, walimu na walinzi wa shule walijitahidi kutuliza hasira za wanafunzi zilizoamshwa na maneno ya Nice lakini haikuwezekana.
Baada ya Lisaa limoja shule ilikuwaa inawaka moto huku kikosi cha zimamoto kutoka makao ya Bulawayo kikiwa kinajitahidi kuuzima ule moto na kuwatuliza wanafunzi kwa mabomu ya machozi.
Yote haya yalikuwa yamesababishwa na mimi na Nice.
Nikiwa nimesimama na wenzangu tunajadiliana jinsi Nice alivyojitoa mhanga walikuja askari wawili wakanikamata na kunitia pingu kisha wakanibeba hadi kwenye gari nikakutana na Nice akiwa nae kavaa Pingu katulia ndani ya gari.
Gari liliwashwa hadi kituoni kisha kila mmoja akaingizwa sehemu yake na kuachwa huko
Masaa yalisogea kwa kasi na njaa ikawa imenikamata vilivyo, nilitamani aingie askari yeyote ili angalau anipatie hata simu nimtafuta baba yangu nimueleze kile ambacho kimenikuta ili angalau anitoe humu kwenye mbu, Joto, Njaa, Harufu kali, Giza na kila aina ya kukosekana matumaini.
Giza lilianza kuingia na hatimaye nikajua kuwa tayari ni usiku, sikupatwa na usingizi hata kidogo bali niliteseka usiku kucha mpaka nilipokuja kutolewa mida ya saa tatu asubuhi nikiwa nimechoka na njaa kali.
Nilikutana uso kwa uso na Baba yangu akiwa na Mama yangu ambao wote walimwagikwa na machozi,
Niliwakimbilia nikawakumbatia huku nikilia kama mtoto, baba alikuwa anataka kuzungumza lakini maneno yakawa yanakwama.
“Imetosha mwanangu, imetosha sasa…twende nyumbani” alisema baba.
Niliamka ili niondoke lakini ghafla nikapata kumbukumbu za Nice, nikamshika baba mkono na kumweleza.
“Noo Baba, sikuja mwenyewe hapa, nimekuja na mwenzangu. Je yeye ana hali gani na anatokaje?”
“najua mwanangu, twende kwanza nyumbani alafu nitakweleza, kesi yake ni tofauti kidogo”
Sikukubali kirahisi, nilimsihi baba sana mpaka tukarudi kwenda kumuona Nice, haikuwa kazi rahisi lakini hatimaye tulionana nae na alikuwa imara sana, hakuwa na wasiwasi.
“Chilumba wewe nenda wala usiwe na wasi wasi, nimefanya kile ambacho moyo wangu ulitamani nifanye, kwasasa niko tayari kwa lolote”
Nilimshangaa sana Nice na nilishindwa kumuelewa kwa urahisi ila nikajikuta nikivutwa na baba ili twende, niliondoka huku nikilia na nilimuhakikishia Nice kuwa nitaruudi tena!
……………………………….
Baada ya kumsihi sana baba hatimaye aliridhia mimi kwenda kumuona Nice huku nikiwa nimetangulizana na Baba.
Tulifika na kumkuta Nice akiwa kachoka kiafya japo saikolojia yake ilikuwa imara sana, baada ya kusalimiana nae Baba aliniambia nikae kando ana mazungumzo binafsi na Nice.
Nilitii nikakaa kando, baada ya muda baba aliniita na kunieleza kuwa Nice amemueleza mambo mengi sana ambayo hana budi kuyafanyia kazi, aliahidi pia kuwa ndani ya siku chache atahakikisha kuwa Nice anatoka pale.
Siku ambayo tulirudi na BABA kwa ajili ya kumchukua Nice tulikuta anapelekwa mahakamani akiwa anashitakiwa kwa kosa la kusababisha fujo shuleni pamoja na uharibifu wa mali za fedha nyingi kwa mamilioni.
Baba hakuridhika, alitafuta wanasheria ambao walisimamia ile kesi na hatimaye Nice akatoka huku MENEJA akihukumiwa kifungu cha miaka thelathini gerezani.
…………………………………..
Niliamua kumuoa Nice baada ya kumaliza chuo na nilikuwa na furaha sana kwa hatimaye Nice kuwa mke wangu. Nilikuwa nampenda sana na nilimuahidi kuwa sitamgusa mpaka siku ya ndoa yetu, Nice aliridhia akasubiri namimi nikasubiri kwa kipindi kirefu bila kufanya ngono, kumbuka kuwa hadi wakati huu nilikuwa sijawahi kulala na mwanamke yeyote.
Siku ya ndoa ilipofika kama kawaida shamrashamra zilikuwa nyingi mno, nilikuwa ninatamani sana masaa yasogee ili nikamvuue Nice gauni lake lile na kufanya nae ngoni kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu.
Hatimaye kila kitu kilikamilika na tukawa tunaelekea hotelini ambapo ndiko mapumziko yetu yalikuwa yamepangwa kwa wiki nzima.
Ilikuwa ni hoteli nzuri sana ambayo ilikuwa pembeni kidogo ya mji wa Lusaka kandokando ya mto mkubwa wa Zambezi.
Tuliingia chumbani tukiwa wawili tukakutana na kiyoyozi safi huku kukiwa na kitanda kikubwa chenye mashuka meupe peee, kulikuwa na kila aina ya thamani za kuvutia ndani ya hiki chumba kiasi kwamba nilikuwa najiona kama niko peponi.
Nilimtazama Nice alivyo mzuri anang’aa usiku ule ndani ya vazi lake la harusi, alikuwa ananiangalia kwa tabasamu zuri lililojaa machozi ya furaha asiamini kama mimi nay eye tumefikia pale tulipo kwa siku ile.
Nilimtazama Nice kwa seunde kadhaa kisha sikuweza tena kuvumilia, nikamfwata pale alipo nikaanza kulifungua gauni lake vifungo, nikatoa kile cha juu kinachofunika uso na kile ambacho kiko kama kikoti cha pinki,
Sikuishia hapo, nilishusha zipu ya gauni lake na kulifanya limwagike chini kwenye zulia jeupe kama lile gauni.
Nice hatimaye akabaki akiwa amevaa sketi laini nyeupe ya less material kwa ndani na sidilia ya kuwaka waka.
Tayari mapigo yangu ya moyo yalikuwa juu mno na muhogo ulikuwa umesimama kama mkuki. Niliishusha ile sketi ya Nice ambaye bado alikuwa analia na hatimaye Nice akabaki na kufuli ya pinki na sidilia ile ya pinki lakini ya kuwaka waka.
Uchu ulikuwa juu mno, na Nice bado alikuwa anabubujikwa na machozi, nilikuwa siyajali machozi yake bali nilikuwa nina hamu ya kuingiza mwili wangu kwenye mwili wake kwa mara ya kwanza.
Niliitoa sidilia ya Nice na kuiweka pembeni nikkakutana na vitu vyenye umbo la V, kwenye kifua chake kuonyesha kuwa Nice alikuwa na matiti yaliyosimama na kuchongoka sawasawa huku yakiwa makubwa kiasi.
Sikuweza tena kuvumilia ila nilimsogelea Nice karibu na kuipeleka mikono yangu kwenye mashavu yake na kuyapangusa machozi yake kisha kwa upole nikamwambia.
“I LOVE YOU NICE”
“I LOVE YOU CHILUMBA”
Nilimkumbatia Nice kwa mahaba ya moyoni kisha nikaanza kumnyonya midomo yake huku nikimpapasa kila eneo la mwili wake.
Niliweza kutembeza viganja vyangu kila kona ya mwili wa Nice kisha nikamlaza taratibu kitandani na kumlalia kwa juaa huku nikiendelea kumnyonya midomo yake. Nilihamia kwenye maziwa ambayo pia nilikuwa nayanyonya kama mtoto mdogo.
Niliishusha mikono yangu na kupapasa sehemu ya ndani ya mapaja ya Nice ambaye sasa alikuwa anatetemeka mwili mzima, nilikuwa napandisha mikono yangu taratibu mpaka kwenye ikulu ya Nice nikaanza kuichezea kitendo kilichomfanya Nice aanze kuweweseka,
Niliichezea na hatimaye taratibu nikazamisha kidole ndani ya mgodi na kukutana na joto kali ambalo lilizidi kuamsha hisia zangu na kujikuta nikitamani niingize muhogo wangu lakini niliendelea kuchezea eneo hili huku nikigusa sana eneo la juu kidogo lenye kitu kigumu chenye umbo kama la harage.
Hapa ndipo nilimuona Nice akijikunja kama anakata roho kisa akarusha maji maji ya moto na kutulia, Nice alinyanyua uso wake na kuniuliza “Chilumba umejifunzia wapi”
Sikumjibu nilikamata muhogo wangu na kuutumbikiza taratibu hadi ukazama wote kitendo kilichomfanya Nice aanze kunyonga kiuno chake.
Hikuisha hata dakika moja nilitema wazungu wengi mno lakini nilikuwa bado niko imara na mchezo uliendelea ka kasi mpya.
Siku ile hatukulala kabisa kwani kazi ilikuwa ni ngono tuuuu… mpaka inafika saa kumi nambili asubuhi tulikuwa tumechoka na kupitiwa na usingizi ambao ulitufanya tuamke saa tatu na kuoga kisha kupata kifungua kinywa.
……………………………..
Mwezi ulikuwa umekatika na nusu yake….Nice alikuwa hajisiiaa vyema tukaamua kwenda hospitali, Nice alikuwa mjamzito wa Mwezi mmoja kitendo kilichonifurahisha sana lakini daktari aliniambia anahitaji kunicheki afya yangu.
Sikuwa na wasiwasi sana lakini muda wa majibu ulipofika nikawa na wasiwasi kwani nilizisoma saikolojia za madaktari nikagundua hazikuwa sawa kabisa.
“Mkeo ana maambukizi ya VVU, ila wewe uko salama, tunahitaji muende mkaishi pamoja pasipo kushirikiana mapenzi ila upendo uwepo pale pale kisha baada ya miezi miwili uje tukupime tena”
Maisha yalibadilika kabisa ndani ya nyumba, nilimhurumia Nice sana aliyekuwa analia muda wote huku akiapia kuwa hajawahi kufanya mapenzi maisha yake yote zaidi ya kufanya na MENEJA. Alimlaani kwa maneno mengi sana akidai kuwa meneja aliamua kumtumia kingono kwani ndiye alikuwa anamfadhili pale shuleni kwakuwa ndugu zake walikuwa hawana uwezo.
Nilishindwa kujizuia na kujikuta nikilia sana kwa kile kilichmpata mke wangu, nilimuahidi kuwa nae bega kwa bega na tangu siku ile sikukubali kukaa nae mbali nikihofia anaweza hata akajiua.
Tofauti na alivyotarajia nilimuonyesha upendo kuliko hata ule wa awali, nilimpenda sana NICE na uwepo wake ulikuwa faraja mno kwangu hata kama ana matatizo ya VVU.
…………………………
MIEZI MIWILI ILIKATIKA
Nilikuwa hospitali nikipokea vipimo na majibu yalionyesha kuwa na mimi nimeambukizwa VVU, iliniuma sana lakini sikuwa na sababu ya kumlaumu NICE ila nilimsihi tufuate masharti na tulee watoto tutakaojaliwa.
Sehemu Ya 23
Maisha yaliendelea huku maisha yetu yakiwa bora kwani tulikuwa na biashara na mali z akutosha, tulikuwa tayari na watoto wawili wa kiume ambao walikuwa wazima wa afya njema.
Mali zote tuliandika kwa majina yao na maisha yalikuwa mazuri sana, nilimpenda mno mke wangu nay eye pia alinipenda sana.
Kutokana na kuwa na biashara nyingi niiamua kuacha kazi ya uhasibu na kuamua kuhudumia biashara za familia yangu.
Nilikuwa na miradi mpaka nje ya nchi na mara kwa mara nakuja Tanzania kuchukua mizigo bandarini hasa ya magari na Vipuri kutoka Dubai na Japan.
Siku ambayo sitaisahau katika maisha yangu ni siku ambayo nilikuwa nimeenda THAILAND kwa ajili ya kuchukua mizigo yangu na kurejea Zambia usiku wa saa nane.
Nilichukua Tax mpaka nyumbani kwangu kisha nikafungua geti kwa funguo nilizookuwa natembea nazo mimi.
Kitu kilichonishtua nikukuta gari ikiwa imepaki hapo nje kwenye ukumbi, nilishtuka lakini nikajua labda tumepata mgeni.
Nilifika kwenye mlango wa kuingilia ndani nikafungua kwa funguo za ziada nilizokuwa natembea nazo mimi, nilipofika sebuleni nilikuta kukiwa hovyo mno kwani makochi yalikuwa yamechanguliwa na kulikuwa na harufu ya Pombe.
Nilishtuka sana kwani nilikuwa sielewi ile hali, nilipiga hatua mpaka mlango wa chumbani kwangu lakini nilisita kutokana na sauti zilizokuwa zinasikika zikiashiria watu wanafanya mapenzi na sauti ninayoisikia ni sauti ya Nice akiwa anafanya mapenzi.
Miguu ilinyongo’nyea na kujikuta nimekaa chini, nilijipa matumaini nikasema huenda sio Nice nikaamka na kufungua mlango ambao ulifunguka bila kikwazo,
Nilimshuhudia mke wangu akiwa juu kitandani miguu iko mmoja mashariki na mwingine magharibi alafu juu yuko MENEJA anachochea kwenye ku..m ya mke wangu.
Nilipata kizunguzungu na kuanguka chini nikapoteza fahamu hadi niliposhtuka nikiwa hospitali, baada ya hapo nikaamua kuishi maisha haya ninayoishi sasa japo bado Nice ni mke wangu na tunashirikiana kulea watoto!
Esther alimpa pole Chilumba na kumwambia “Pole sana sasa sikiliza na mimi mkasa wangu”
Nilipomaliza darasa la saba dada yangu aliamua kunichukua nikaishi kwake ili nisome masomo ya Sekondari, hii ilikuwa ni baada ya makubaliano ya kifamilia ambayo yalishinikizwa na kaka zangu ambao waliona nikiendelea kukaa kule kijijini ninaweza nikaharibika kitabia.
Walihofia hili kwani watu wengi walishaanza kupelleka posa kwa baba yangu wakiomba wanioe kutokana na uzuri niliokuwa nao, kutokana na tamaa za wazee wangu alionekena kuridhia mimi niolewe.
Kaka zangu ambao wengine bado walikuwa masomoni walimsihi sana dada yangu anichukue nikae nae ili aniepushe na madhila ya kuolewa kule kijijini.
Maisha yalianza upya nikiwa nakaa mimi na dada yangu, mme wake na mtoto wao mdogo wa miaka miwili, nilisajiliwa kwenye shule moja ya kutwa iliyokuwa jirani na hapo nyumbani nikaanza kidato cha kwanza.
Shule ile ilikuwa ni ya mtu binafsi ambayo ilikuwa inalipiwa ada kubwa japo sio sana kwasababu nilikuwa ninakaa kutwa na ilikuwa ni shule ya kawaida tu.
Siku ziliendelea kusogea taratibu huku nikiyazoea maisha ya shule pamoja na kuishi kwa dada yangu, nilimzoea shemeji kiasi kwamba hata dada asipokuwepo tulikuwa tunakaa na kupiga story kwa furaha na mambo yalikuwa yanaenda tu bila shida yeyote, nilimpenda sana s hemeji yangu kwani alikuwa mkarimu, mcheshi, mwenye huruma lakini pia alikuwa ananiheshimu sana na kuipenda familia yake.
Maisha kwakweli yalikuwa mazuri sana na nilikua na kunawiri katika umbo la kuvutia na sura, mara nyingi shemeji yangu alikuwa amezoea kuniita mke na mimi namuita mume hata mbele za dada na hakuna aliyekuwa na maan atofauti isipokuwa tu utani na ucheshi.
Siku moja ambayo nilikuwa nimerudi shule mapema ikiwa ni siku ya ijumaa shemeji aliwahi kurudi nyumbani huku akiwa hana raha kabisa.
“Mme wangu shkamoo”
“Marhaba mke vipi mambo”
“Poa tu, mbona leo mapema alafu kama vile huna raha mme wangu”
“Ah wala usijali najisikia tu kichwa kinauma, vipi mke wangu mkubwa hajafika bado”
“Mh jamani mme wangu, si mapema sana saivi atakuwaje amerudi kazini”
“Oky kama kuna juisi naomba ninywe nikapumzike kidogo”
Nilimuandalia shemeji juisi nikampa akanywa huku kasimama kama vile anakunywa maji mpaka anamaliza juisi yote hakushusha glasi kisha akaniaga na kuingia chumbani kwake.
Baada ya muda kidogo dada alinipigia simu kuniuliza habari za hapo nyumbani nikamwambia kuwa ni nzuri tu na shemeji yaani mme wake tayari amesharudi kalala ndani.
“Karudi? Mbona mapema sana?”
“Amesema tu anajisikia vibaya kalala ndani”
“MMH mbona sasa hajaniambia chochote?”
“Sijui ila mimi kanikuta hapa nilivyomuuliza mbona mapema ndio akanijibu hivyo”
Dada alikata simu kisha nikaisikia simu ya shemeji ikiita huko chumbani nikajua kuwa ni dada atakuwa ameamua kumpigia mume wake.
Baada ya masaa kama matatu hivi dada alirudi kisha akaingia chumbani kwa mme wake ambapo niliwasikia wakiongea taratibu kisha mimi nikawa naendelea na kazi zangu kama kawaida.
……………………………..
Baada ya kama wiki nzima ya kutokumuona shemeji akienda kazini niligundua kuwa kampuni ambayo alikuwa anafanya kazi shemeji kama mhasibu illikuwa imefungiwa leseni ya kazi kwasababu ya kusababisha ajali na kudaiwa kukwepa kodi.
Shemeji yangu alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya usafirishaji wa mizigo kama mafuta na bidhaa zingine lakini pia na ilikuwa na mabasi ya abiria.
Habari za chini ya kapeti ni kwamba mmiliki wa kampuni alikosana kisiasa na viongozi wa serikali baada ya kuonekana anaukaribu na wapinzani hivyo wakaanza kuhujumiana kiasi kwamba madereva wakawa wanasababisha ajali za makusudi kitendo kilichofanya wafungiwe leseni za biashara pamoja na kudaiwa fidia ya mabilioni ya fedha.
Kiufupi ni kwamba walikuwa wanafilisiwa, na hapa ndipo mambo yalianza kubadilika kwani shule niliyokuwa nasoma ilionekana kukosa usajili kutokana na kukidhi vigezo hivyo ikawa inalazimu nihamishiwe shule nyingine.
Siku moja nikiwa namlisha mtoto niliikia mzozo huko chumbani kwa dada wakiwa wanazozana na mUme wake, nilivyosikiliza sana nikagundua kuwa ule mzozo ulikuwa unanihusu mimi. Dada alikuwa anamwambia shemeji atoe hela ili nihamishiwe shule nyingine nzuri lakini shemeji alidai hana fedha kwa wakati huo na kiukweli shemeji alikuwa hana hela na nilijiuliza ni kwanini dada hataki kumuelewa shemeji.
Siku ile walibaki wamenuniana na sikumuona shemeji akitoka kuja kula chakula, roho iliniuma sana na nilitamani nimwambie dada aache lakini nikakaa tu kimya ili kuepusha shari zaidi, kesho yake dada aliamka na kwenda kazini huku akimuacha shemeji kalala ndani.
Ilipofika mida ya saa nne nikaamua kwenda kumgongea shemeji, baada ya kitambo kidogo aliamka na kufungua mlango huku akionekana kachoka sana.
“mme wangu njoo unywe chai”
“usijali, sijisikii kunywa ch”
“HAPANA mume wangu, jana usiku hujala na mpaka saivi bado hujala chochote, tafadhali nakusihi uje”
“Shemeji aliniangalia kwa jicho la huruma kisha akasema …nakuja”
Nilimuandalia maziwa, mikate na mayai pamoja na juisi ambapo alivyokuja alikunywa na kuniambia ahsante kisha akaenda kukaa kwenye makochi na kuwasha TV.
“Shemeji hivi kwanini dada hataki kukuelewa kuwa kwasasa huna hela?”
“unamaanisha nini mke wangu” shemeji alishtuka mimi kumwambia vile, nadhani alijua kuwa sijui chochote.
“hapana mimi sipendi anavyokulazimisha unilipie ada wakati anajua hali unayopitia kwa sasa”
“Wala usijali mke wangu, yataisha tu na shule utaenda mambo yakikaa vizuri…wewe tulia tu dada yako mimi namjua”
Nilikaa nikajuta kwanini nimemwambia shemeji vile kwani ilionekana kama amekosa amani baada ya kujua kuwa kumbe naelewa kila kitu kinachoendele pale nyumbani. Ila maisha yaliendelea hivyo hivyo.
……………………………………
Siku moja dada alinipigia simu akaniambia nimfwate Sinza Kijiweni, alinitumia shilingi elfu ishirini akaniambia nichukue bajaji kutokea Tegeta ili niwahi kufika. Nilijiuliza dada kwanini aniite kule lakini nikajiandaa ili niende, nilimuaga shemeji kwa kumwambia kuwa dada ameniita shemeji akaishia tu kuguna.
Badala ya kuchukua bajaji niliamua kuchukua boda boda ambayo ndani ya dakika chache ilinifanya nifike kwenye eneo ambalo dada alinielekeza.
Nilipofika alinipokea akanipeleka sehemu ambayo alikuwa amekaa na baba mmoja hivi mrefu na mnene akiwa amevaa jeans na shati la mikono mirefu akaikunja huku chini akiwa amevaa viatu vya ngozi vya kisasa kabisa, kwakweli alionekana kuwa nadhifu.
Dada alinitambulisha kuwa Yule ni bosi wake na alimueleza shida zangu na kwamba yuko tayari kunitafutia shue na atanilipia ada.
Sikuwa na cha kusema isipokuwa kushukuru, waliniagizia mapochopocho nikala na kunywa kisha tukarudi nyumbani huku nikiwa najiuliza maswali mengi kichwani kuwa kuna nini zaidi ya ubosi hadi nilipiwe ada? Kingine ni maongezi kati ya dada na Yule bosi hayakuonekana kama ni kati ya mtu na bosi wake….taa nyekundu iliwaka akilini mwangu lakini nikamsihi mungu isiwe kama ninavyofikiri.
……………………………………
Baada ya wiki moja nilichukuliwa na kupelekwa shule Moja iliyokuwa maeneo ya Sinza Kumekucha iliyokuwa inaitwa DAR ES SALAAM INTERNATIONAL SCHOOL. Ilikuwa inalipiwa ada ya shilingi milioni mbili kwa mwaka na ada ililipwa yote nikaanza masomo.
Likizo ilipofika nilirudi nyumbani nikakuta hali ya dada na shemeji ni tete kwani walikuwa hawaongeleshani na hata shemeji alionekana hana furaha na mimi pia. Alikuwa amenuna tu na hata tabasamu lilikuwa la kulazimisha, baada ya siku kadhaa shemeji alisafiri kwenda mkoani katika hatua za kuhangaika na maisha hivyo pale nyumbani tukabaki mimi, dada na mtoto wao.
Katika hali ya kushanga za ni kwamba ilipofika saa sita usiku dada alirudi akiwa kalewa huku akiwa na Yule mtu aliyesema ni bosi wake na wakalala pale ndani, roho iliniuma sana hadi sikupata usingizi usiku kucha, nilijiona kuwa sehemu ya yale maovu ya dada kwani mwanaume Yule ndio ananilipia ada mimi.
Sehemu Ya 24
Siku zilisogea na hatimaye shemeji akarudi, siku shemeji aliporudi dada alikuwa katoka hivyo shemeji aliniita akaniambia niketi kuna mambo anataka kuniuliza.
“Mke wangu hivi ni nani anakulipia ada?”
Swali hili lilinifanya nibabaike sana kwani kila jibu nililotaka kujibu niliona kuwa lina madhara kwa dada ama kwangu na ama kwa shemeji pamoja nan doa yao kwa ujumla.
“Niambie tu mke wangu”
“Mimi dada aliniambia kuwa ni nyie wawili mnajichangisha”
“AAAAH shemeji….usintanie bwana hebu niambie ukweli, au nawewe unahusika kwenye haya yanayoendelea”
Kauli ile ya shemeji ilinifanya ninying’onyee kweli kweli lakini nikamjibu kuwa…. “hapana sihusiki”
Wakati huo tulimuona dada akiingia kutokea kazini akatukuta tukiwa tumakaa pale kibarazani kisha akanisalimia mimi bila kumuamkia shemeji.
“Vipi unaongea nini na huyo mtu, achana nae njoo unipokee mizigo”
Dada ndiye alitoa ile kauli, niligeuka nikamtazama shemeji mwenye roho ya masikitiko kisha akaniambia “Nenda Esther mpokee dada yako”
…………………………………………
“Umeniua mke wangu…..umeniua mimi”
“We vipi bwana, nimekuua na nini sasa hebu niachie makelele mimi”
“Mke wangu toka nimekuoa sijawahi kukusaliti, leo naambiwa nina VVU, Nimeupata wapi kama sio kwako, umeniua mke wangu”
Ni makelele niliyoyasikia toka chumbani kwa dada wakizozana na shemeji, mapigo ya moyo yalinidunda kwa spidi ya Subaru hadi nikataka kuanguka, nilijiuliza….. “Shemeji ana ukimwi?”
Nilijua kwa asilimia zote kuwa Dada ndiye kampa shemeji ukimwi.
“Mbona mimi sina huo ukimwi, mbona sina?”
“Umepima lini mama Kelvin, umepima lini?”
“Twende tukapime, una maukimwi yako huko alafu unanitaja mimi, na nikiuta tu kweli unao sitakaa na wewe humu ndani, sikai na mtu wa ukimwi mimi”
“Sawa twende mke wangu”
Walibebana mkukumkuku kisha baadae wakarudi wote wakiwa wamenywea, dada alikuwa amesononeka mno na nadhani alijua fika kuwa yeye ndio ameleta ule ugonjwa kwenye nyumba yake.
“Fredy umeniua na fedha zako”
Dada alijisemea huku wote tukiwa tunamsikia na kugundua kuwa kumbe Yule mwanaume aliyekuwa anatembea na dada anaitwa Fredy!
“Mama Kelvin tama zako zimeleta Janga, ila lazima nawewe nikuumize”
…………………………………………
“ina maana Verity ana Mimba ya Sam, mungu wangu mbona mitihani mikubwa kwangu hii.” (alikuwa anajiuliza Rafiki akiwa mwenyewe analia bafuni)
Sam alirudi akamkuta Rafiki yuko kwenye hali ambayo sio nzuri, hakuwa amechangamka kitendo kilichomdhihirishia Sam kuwa kuna jambo halijakaa sawa.
“Vipi mamy, mbona uko hivyo”
“Kwani nikoje baba”
“Hujioni jinsi ambavyo huna raha”
“No niko sawa Sam”
Rafiki alijitahidi kujichangamsha ili kupotezea huzuni aliyokuwa nayo moyoni kwani tangu mwanzo alishajua kuwa Sam ametembea na mdogo wake ila akakubaliana na hali hiyo hivyo hakukuwa na jipya isipokuwa hili la mimba lilimfanya ajisikie vibaya.
“Njoo mke wangu nikupe Mimba”
“Hahahaaaa, unipe mimba kwani wewe ndie unaepanga mimba iingie ama isiingie”
“Sasa ni nani, ni mimi kwani mimi si ndio naweka mbegu”
“Mbegu gani Mungu ndie anapanga”
“Pamoja na yote lakini mimi mbegu ninazo njoo nikupe Mimba bwana tuzae mapema tukiwa vijana”
“assssssshhhh”
Rafiki alishtuka baada ya nyonyo yake kubinywa.
“Bwanaaaa”
“Bwana nini”
Rafiki alikuwa analalamika lakini tayari kanga aliyokuwa amejifunga ilikuwa imewekwa chini na amevutwa kifuani mwa Sam ananyonywa midomo.
Sam alifanya zoezi la kunyonya midomo ya Rafiki huku mikono yake ikiwa imeshika kiuno cha Rafiki.
Alikuwa anazungusha mikono yake kwenye kiuno cha Rafiki kisha akaishusha mpaka kwenye makalio na kuyabinya kitendo kilichomfanya Rafiki awe anasogeza kiuno mbele kwa utamu.
Aliendelea na zoezi lake ambapo sasa aliunyanyua mguu wa Rafiki na kuuweka kitandani kitendo kilichompa upenyo wa kuifikia ikulu ya Mkewe huku wakiwa bado wamesimama, wakati wanaendelea kunyonyana midomo mkono mmoja ulikuwa ikulu na mwingine unasavei kiunoni na kifuani, Rafiki nae alikuwa ameshikilia Tango la mmewe analichua huku akigugumia kwa mahaba asssshhhh, ahhhhhhhh, shhhhhhhhh sam nakupenda mme wangu oooohhhhhhh…..
Rafiki alikuwa kashika kitanda na Sam yuko nyuma yake amembinua na kukikamatia kiuno anakita mtarimbo kwenye ikulu ya Rafiki.
Kwa kuwa Rafiki alikuwa na nywele ndefu sam alizishikilia kwa nyuma huku akiinama na kuufikia mdomo wa Rafiki ambaye sasa kiuno alikuwa amekibinua haswa na ikulu kufikiwa kwa urahisi na mashambulizi kuendelea kwa kasi …. Baada ya dakika kadhaa nguvu zilimuishia Rafiki ambaye alidondoka kitandani kuashiria yuko kwenye hali ya kufika kilele.
Sam alimwendea akamgeuza style ya kimisionari ambayo mwanamke anaangalia juu na mwanamme anaangalia chini wakiwa wamekumbatiana huku miguu ya mwanamke ikipita na kufunga kiunoni mwa mwanamume, sam aliendeleza mashambulizi huku ananyonya nyonyo za Rafiki.
Sekunde kadhaa mbele Rafiki alifika mwisho ambapo sam nae aliufikia kwa kupishana dakika chache, Kwakuwa Sam bado alikuwa na nguvu aliendelea bila kusitisha zoezi ambalo lilichukua karibu lisaa limoja na hatimaye wakawa wamemaliza na kupitiwa na usingizi mzito.
Waliamka baadae sana wakiwa na njaa kali ambapo waliagiza chakula ambacho kila mmoja alikitamani lakini ajabu walishirikiana kwa kila mmoja kula chakula alichoagiza mwenzake kwa pamoja.
Walikaa wiki nzima wakiwa honeymoon ambapo kila siku mchana na usiku walikuwa wanafanya ngono kwa raha zao.
Sam alishamsahau Nisha na Verity na sasa alikuwa amejaa kwenye penzi zito na mkewe, alikuwa ammpenda na kumuona ni mwenzake, ni ubavu wake, ni mkewe lakini pia rafiki yake ambaye akikaa nae mbali kidogo anamkumbuka na kummisi.
……………………..
Hatimaye walirudi nyumbani na maisha yaliendelea kwa raha mustarehe yakiwa yamegubikwa na mapenzi mubashara.
Miezi ilisogea na hatimaye Verity alijifungua mtoto wa kike, mtoto Yule alikuwa mzuri kweli kwani alikuwa na afya njema.
Taarifa za kujifungua kwa Verity ziliifikia familia ya Sam na Rafiki kwa namna tofauti, Sam alifurahi akijua kuwa huenda mtoto aliyezaliwa ni wake japo hana mamlaka nae.
Rafiki alitaka amuangalie mtoto ili kama anafanana na sam basi atajua kuwa mtoto ni wa Sam, na ukweli huu ungemuumiza sana.
“nasikia Verity amejifungua”
“Eeeh kumbe” sam alijifanya hana taarifa wakati alishatumiwa ujumbe na Verity.
“Kwani hujui?”
“sijui wewe ndio wa kwanza kuniambia”
“Itabidi twende tukawaone ”
“Lini sasa”
“Hata kesho”
“Mhhh twende keshokutwa ndio siku nzuri kwanza ni wikiendi”
“Sawa”
“Basi ukawanunulie zawadi tuwabebee”
………………………………….
Sam na Rafiki walikuwa nyumbani kwa Verity na mumewe Gwakisa wakiwa wameenda kuwatembelea, walipokelewa vizuri wakakaribishwa chakula kisha wakaambiwa wasubiri sebuleni mama na mtoto wanajiandaa watakuja kujumuika nao.
Baada ya muda waliitwa sehemu ambayo ilikuwa imeandaliwa kwa ajili ya wageni wanaokuja kumtizama mzazi.
“Karibuni jamani”
“Ahsanteni….dah hongera mdogo wangu kwa kupata baby girl”
“Asanteni jamani sasa ni zamu yenu”
“Mhhhh sisi bado kidogo”
Walikaa kisha wakapewa mtoto wampakate akiwa amefunikwa nguo na kuacha uso kidogo.
Wakwanza kumshika Yule mtoto ni Rafiki ambaye alimfunua uso wote ukawa wazi kwa lengo la kumchunguza,
Alijikuta akishtuka kiasi kwamba hadi mikono ilimtetemeka, mtoto alifanana mno na Sam, kuanzia maumbile ya kichwa na jinsi nywele zilivyojichora kwenye paji la uso , aina ya uchekaji na tabasamu, pua na midomo mpaka masikio ilikuwa ni kama copy iliyotolewa kwenye photocopy machine mpya kabisa.
Sehemu Ya 25
Sam nae alipopiga jicho kwa mbali alikuwa kama anajiangalia kwenye kioo kitendo kilichomfanya mapigo ya moyo yadunde kwa kasi ya umeme.
Sam alimtazama Verity kwa jicho la kuiba na kukutana uso kwa uso kwani Verity nae alishatamani kujua jinsi Sam atakavyopokea muonekano wa Yule mtoto.
Walivyokutana macho Verity alimminyia jicho Sam kisha SAM akakwepesha jicho haraka sana ili kitendo kile kisijeonekana na Rafiki ambaye hata hivyo aliziona action zote kisha akaamka na kumkabidhi sam mtoto.
“Shika mtoto wako Sam umtazame”
“Mtoto wa nani?” sam aliuliza.
Rafiki alitaka kujibu lakini alisitisha alichotaka kusema baada ya kumuona Gwakisa akiingia, kisha akanyamaza.
Walipiga stori nyingi lakini katika moyo wa Sam na Rafiki walikuwa wanawaza mambo mengine kabisa isipokuwa kwa Verity ambaye alikuwa anajua kila kitu kinachoendelea.
………………………………………….
Katika siku ambazo Gwakisa alifurahia ni baada ya kusikia mkewe amejifungua, alifurahi sana kwani katika umri wa miaka 34 aliokuwa nao alikuwa hajapata mtoto na aliona ni nafasi nzuri kwa yeye kuitwa baba kwani hata marafiki zake walikuwa wameshapata watoto na wengine walikuwa na watoto zaidi ya mmoja.
Alipopata nafasi na yeye kuitwa baba aliona ni nafasi adimu na nyeti sana, alimnunulia mtoto nguo na mahitaji mengine vinavyofikia thamani ya milioni moja.
Chumba kizuri cha mtoto kilikuwa kimeandaliwa kwani kwa nafasi ya meja aliyokuwa nayo jeshini ilimpa nafasi ya kumiliki kipato cha kutosha.
…………………………………..
Katika mambo ambayo wanawake hawajui ni kwamba Mungu amewapa nafasi adhimu sana ya kujua siri ambazo wanaume inabidi watafute kwa tochi.
Siri hii ni ile ya kumtambua Baba halisi wa mtoto, siku zote mwenye uhakika wa asilimia zote ni mwanamke.
Na ndio maana mtoto anapozaliwa mwanamke shauku yake ni kujua kuwa ni wa jinsia gani na ama anafanana nayeye ama amefanana na Baba yake wakati mwanaume anataka aangalie zaidi ya hapo, anaangalia jinsi gani amefanana nae ili ajithibitishie kuwa ni wake hata kama anamuamini mkewe kiasi gani, ndio maana wanaume wengi hujisikia fahari sana wakiwa wamefanana na watoto wao sana.
Hali kadhalika kitu cha kwanza kwa Gwakisa japokuwa alikuwa na hamu sana ya kuitwa Baba lakini haikutosha, alipomchukua mtoto kitu cha kwanza ni kumkagua amefanana nae ama vipi.
Alimkagua kuanzia kichwani mpaka miguuni lakini hakuona alichofanana nae, alikagua macho pua, viganja, kucha lakini wapi.
Wazo lililomjia ni kwamba huenda amefanana na mama yake lakini pia hata alipojitahidi kumfananisha na mama yake hakuona kuwa wamefanana sana.
Aliamua kuachana na fikra mbaya na kuamua kusubiri mtoto akue huenda akaonyesha sura halisi.
Kila siku zilivyosogea na mtoto kukua alionekana kufanana na mtu ambaye Gwakisa anamjua kabisa lakini anashindwa kuelewa ni nani.
Siku moja aligundua kuwa mtu anayefanana na mwanae kwa kiwango kikubwa ni Sam….ghafla alijikuta akikosa raha na kuanza kuoanisha mambo ambayo alishakuwa na wasiwasi nayo, alikaa akapata wazo kisha akaiendea simu ya mkewe aliyekuwa anaoga bafuni na kuanza kutafuta alivyojua yeye mwenyewe!
Miezi ilikuwa imekatika na hatimaye mwaka ukawa umeisha, Rafiki alikuwa akijisikia vibaya kichefuchefu kingi kiasi ambacho aliamua kwenda hospitali.
Alienda hospitali akiwa na mme wake (SAM) hadi hospitali ambayo ilikuwa na daktari bingwa, kwakuwa mda ulikuwa umesogea sana na hawakuwa wamepata matokeo chanya ya ndoa wakahisi huenda ana Mimba.
Walipofika vipimo vilichukuliwa vizuri na alionekana kuwa hakuwa na tatizo lolote na wala hakuwa na Mimba.
Wasiwasi ulikuwa mwingi kwani kwa muda wa zaidi ya mwaka ambao walikuwa wamekaa ndani ya ndoa lakini hakuna mimba ilikuwa sio ishara nzuri hata kidogo, aliyekuwa na wasiwasi sana ni Rafiki ambaye alijiona ana tatizo kwani kwa imani yake aliamini kabisa mtoto wa Verity kazaa na Sam, ushahidi aliokuwa nao ni ule mfanano na simu aliyopigiwa sam kutoka kwa Verity.
Hofu yake ilikuwa kubwa na alihisi huenda ana tatizo.
“Vipi mwanangu naona Shem siku hizi ananawiri kweli, ndoa imejibu nini?”
Sam alikuwa na marafiki zake wanapiga story kisha mwenzie akaingizia ishu hiyo
“Acha zako wewe, unapenda kufwatilia sana mambo ya wenzako, unadhani kila mtu anapenda kuzaa zaa kama wewe”
“Ohoo kuzaa ni nafasi adimu, kuna watu wanazeeka hawajawahi kuitwa baba”
“Sasa nani mzee hapa?”
“Hahahahaaaaaa umepanik brazaaaa, fanya mambo mtie Mimba mtoto Yule bado mbichi, shauri yako utasaidiwa”
“Dullah tuheshimiane mwana, mambo ya ndani kwangu hayakuhusu”
“Poa sam natania tu mwana ila …. Majibu broo ndoa inataka majibu wanawake wanasuburi nderemo na vigelegele”
“Unazingua sasa mimi naondoka zangu”
“Hahahahaaaaa nenda Baba ukatie mimba brooo, huku usikae sisi wenzio tayari tunaitwa Dadiiiii”
Maneno aliyokuwa anaongea Dullah alidhani ni utani lakini yalikuwa yamemuumiza sana Sam kiasi kwamba njia nzima alitembea akiwa na mawazo lukuki.
Ndani ya akili yake aliamini fika kuwa mkewe ndie mwenye shida kwani yeye alikuwa na uwezo mzuri tu wa kuingilia mwanamke na alikuwa ana sifa zote za kiume kwani hadi kutia mbegu shinani alikuwa anatia hivyo alihisi ardhi anayoweka mbegu ndio ilikuwa haina rutuba.
Alitembea njia nzima mpaka nyumbani akamkuta mkewe akiwa kajiinamia kwa mawazo, kila mtu alikuwa na mawazo yake na hakuna aliyemsemesha mwenzake.
Sam alikuwa na njaa lakini ham ya chakula hakuwa nayo, aliwasha TV aangalie mikanda lakini alikuwa hata haelewi anachokiangalia.
“Sam mme wangu”
“Unasemaje”
“Jamani mbona unaniitikia hivyo”
“Ulitaka nikae kimya?”
“Kwani vipi baba mbona kama una hasira”
“Nikiwa nazo utazishusha”
“Mhhh kama kuna tatizo tuambiane”
“kwani wewe umeniitia nini”
“Chakula mme wangu”
“Nakuja wewe endelea tu”
Rafiki aliondoka huku akiwa na mawazo lukuki akiwaza ninini kimemfanya mmewe awe kwenye hali ile, alidhani amekerwa lakini mbona hajamkera yeye mpaka amnunie na kumjibu vibaya?
Kwa mlolongo wa mawazo aliokuwa nao alijikuta akidondosha chozi.
Sam alitoka akamkuta mkewe akiwa kwenye hali ile kitendo kilichomfanya aingiwe na moyo wa huruma huku akijiona huenda amemkosea sana mkewe.
“Mbona uko hivyo?” sam aliuliza
Rafiki alijifuta machozi haraka kwani hakujua kuwa Sam alikuwa anamuona, “No niko sawa tu Sam”
“ oky chakula basi mke wangu”
“Sam aliwekewa chakula akaanza kula huku mkewe nae akiwa anakula taratibu”
“Samahani Rafiki kama nimekujibu vibaya mke wangu”
“Usijali ila kama kuna tatizo tuwe tunashirikishana”
“sawa haitajirudia”
“Ila mme wangu wewe majibu ya daktari kwamba sina Mimba wewe umeyachukuliaje?”
“Sasa mimi ningeyachukuliaje labda? Ndio hivyo hivyo”
“Hivyo hivyo kivipi?”
“Kwamba huna Mimba”
“Mhhhh unajua lakini mwaka na zaidi vimekatika? Watu watakuwa wanatutazama tu na huenda wanajiuliza”
“Hata mimi kwakweli najiuliza kwanini hushiki mimba”
“Labda nina tatizo mme wangu”
“Inabidi uende hospitali”
“Nitaenda kesho”
“Itakuwa vizuri”
………………………………………….
Pamoja na rafiki kuhudhuria hospitali nyingi na kufanyiwa vipimo vya kutosha majibu ni kwamba alionnekana kila kitu kwake kilikuwa sawa na hakuwa na tatizo lolote. Hapo ndio aliwaza kuwa ana shida gani mpaka asishike mimba.
“Usiwaze sana dada yangu, wewe si umeolewa?”
“Ndio”
“Basi mje na mme wako”
“MMMH mme wangu hana shida yeye tayari ana mtoto”
“Sio sababu dada, wewe njoo nae tu, sio matatizo yote yanakuwa ni ya kuzaliwa, mengine humtokea mtu wakati wowote na haijalishi mwanamke ama mwanaume”
“Sawa dokta nimekuelewa”
Rafiki alirudi nyumbani baada ya kupitia kazini kwake na kuweka mambo yake sawa, njiani alikuwa anatafakari jinsi gani atamueleza Sam ishu ya kwenda Hospitali kupima.
Alibuni njia mbalimbali hatimaye akapata wazo ni jinsi gani atawasilisha ujumbe wake,
Alipofika nyumbani alimkuta Sam amekaa nje anapunga upepo.
“Karibu mke wangu, habari za kazi?”
“Nzuri je za wewe?”
“Njema tu, hebu shika hii”
Sam alimkabidhi mkewe bahasha iliyokuwa na barua ndani, mkewe aliifungua na kuanza kuisoma.
Aliposoma na kumaliza aliona mme wake amechaguliwa kwenda Kenya kwa ajili ya Kozi za kipolisi ambapo atakaa miezi sita na hatimaye atapata likizo ya miezi miwili na kwenda tena kumalizia miezi mingine sita, kozi hiyo anatakiwa asafiri siku ya kesho yake.
Kwa Rafiki hili lilikuwa ni Pigo mubashara, kwani alitamani ake zaidi na mume wake ili wapate nafasi ya kujaribu kupata watoto na waende hospitali pia.
“Daaah…”
“Nini tena Rafiki?”
“Kwahiyo unaenda?”
“Fursa hiyo mke wangu, unataka niiache wakati wenzangu wananionea wivu na wengine wanafanya kuloga ili waipate?”
“Dokta ameniambia kesho twende wote hospitali?”
“Huyo dokta mjinga nini mwambie mimi sina tatizo au ni….”
Sam alitaka aropoke kuhusu yeye kuzaa na Verity ila akaishia njiani baada ya kujishtukia…. “wewe endelea kuhudhuria matibabu mpaka nitakaporudi utakuwa umepona”
…………………………………………
Miezi miwili ilikuwa imekatika tangu Sam aende kozi ya kipolisi huko Nairobi Kenya, Rafiki alikuwa amemmisi sana mme wake kiasi kwamba kila wakati alikuwa anaibusu picha yao ya ndoa.
Mawasiliano yalikuwa vizuri tu kwani ilikuwa haipiti siku mbili ama tatu bila ya kuwasiliana kiasi ambacho kiliwasaidia kuondoleana upweke.
Siku moja jioni Rafiki baada ya kutoka kazini alipokea simu yenye namba ngeni….
“Haloo nani mwenzangu”
“Mimi Kelvin, habari za kwenu?”
“Nzuri tu, wewe ni Kelvin yupi?”
“Kelvin dokta, niliyekuwa nakutibu tatizo lako”
“OKEY vipi habari za kazi, namba yangu umeipata wapi?”
“Aaaaaah jamani, kwahiyo hujapenda mimi kuwa na namba yangu”
“Hapana sio hivyo, simu ni kwa ajili ya mawasiliano lakini ni lazima nijue namba umetoa wapi kwasababu sijawahi kukupa wala wewe hujawahi kuniomba”
“Oky kama ni sawa tu mimi kuwa na namba yako basin i vizuri, siku ile ulivyokuja kwenye detail zako uliandika nmba za simu”
“Kwahiyo ndio ukazichukua humo?”
“Yes”
“Mh basi asante kwa salamu, nakutakia kazi njmema”
“asante, hivi tatizo lako ulipata suluhisho?”
“Bado ila nimesitisha kwanza kwasababu mme wangu amepata safari ya kikazi”
“Oooh ameenda wapi tena”
“Nje ya nchi”
“Oh sawa unaweza kuja hospitali tukachek tena ili kujiridhisha inawezekana tatizo likawa lilijificha, ni vizuri kujihakikisha”
“Sawa nije lini?”
“Njoo Kesho saa nane mchana”
“Nitakuja saa tisa kwasababu nina kikao kazini”
“Oh kwani unafanya wapi kazi”
“Niko hapa hazina ndogo”
“sawa nikutakie kazi njema na wasalimu huko kwenu”
“Nawe pia”
…………………………………………
Nyumbani kwa RPC kila mtu alikuwa anastaajabu jinsi mtoto wa Verity anavyofanana na Sam, mama mtu ndie alikua wakwanza kushtukia huo mchezo kwani toka awali alishahisi kuwa Verity ana Mimba ya SAM.
INAENDELEA

