MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 11
Dakika ya 30 tayari mchezaji machachari ambaye kwasasa anachhezea klabu ya Simba alikuwa ameachia shuti kali lililomshinda golkipa na kuelekea langoni ambapo beki wa Timu ya jeshi la polisi aliamua kuudaka kwa mikono.
Kwa sharia za soka ilibidi Yule beki alimwe kadi nyekundu na penati ikawekwa.
Watu wote uwanjani walitulia kimya wakisikilizia penati ile……
Goooooooooooooo!
Timu ya Polisi ilikuwa imefungwa goli moja baada ya mpiga penati kuachia shuti kali lililompiga kipa kicwanii na kurudi uwanjani na kukutana tena na mpigaji wa penati aliyemalizia kwa shuti dogo lililoingia nyavuni bila wasiwasi.
Uwanja ulikuwa umelipuka kwa shangwe za Upande wa JWTZ Kwani walikuwa wanaongoza, walikuwa wakiimba nyimbo nyingi ambazo zilikuwa zinawadhihaki jeshi la Polisi kuwa wao ni wanawake zao.
Polisi walikuwa wamechuukia mno na harufu ya Vurugu ilikuwa inanukia, hasara kwa tiku ya jeshi la Polisi ni kwamba Golkipa wao alikuwa ameumia na kalala chini huku akitibiwa.
Aliamka huku akionekana kuwa mchovu lakini akalazimishwa kucheza kwani hawakuwa na golikipa mwingine.
Kipindi cha kwanza kiliisha kwa timu ya Jeshi la polisi kuwa Ieshafungwa goli Moja.
Shangwe za JWTZ zilikuwa nyingi na walikuwa wanazunguka uwanjani kwa style ya kupiga Kwata huku wakionyesha ishara ya Salute.
Polisi walikuwa wanapeana mikakati mingi ya kukomboa goli huku wakiulizana watapata wapi golikipa wa kuwasaidia.
“Mimi ni Golikipa Mzuri, niko tayari kucheza”
Niliongea kwa kujiamini lakini watu walikuwa wamenikodolea macho tu….
“Kwani wewe ni nani?”
“Mimi naitwa Sam, naishi hapo kwa RPC”
“Wewe ndie ulikuja siku ile ukiw aunaulizia RPC anakaa wapi?”
“Ndio, ni mimi”
….achaneni nae bwana hatuwezi kuchezesha mtu ambaye hatumjui, hata hivyo mchezaji anatakiwa awe askari….
Askari huyu alisikilizwa na hatimaye watu wakanipuuza na kipenga cha kuita wachezaji uwanjani kilipulizwa na wachezaji wakaingia huku wadau na mashabiki wakirudi kwenye mabenchi yao.
Moyoni nilikuwa naumia sana kwani niliona kabisa kuwa nina uwezo wa kuisaidia ile timu lakini hawaniamini.
Mechi ilikuwa imeanza kwa kasi huku Timu ya Polisi ikifanikiwa kurudiha goli kunako dakika ya Tatu tu ya kipindi cha pili.
Hali hii ilisababisha mchezo uwe mkali na wa kuvutia ambapo dakika ya kumi ya mchezo tayari JWTZ walikuwa wameongeza goli na ubao ukawa unasoma 2-1.
Tambo na makelele uwanjani kutoka kwa JWTZ dhidi ya Jeshi la Polisi zilikuwa nyingi sana, upande wa Jeshi la Polisi ukiwa unaongozwa na RPC walikuwa na hasira sana wakitamani goli lirudi.
Dakika ya 26 kipindi cha pili kona iliyokuwa inapigwa upande wa Jeshi la Polisi ilisababisha kuumia kwa mara ya Pili kwa Golikipa wa Polisi ambaye hakuweza tena kuendelea na hapa Polisi wakawa wameweka mikono kichwani wasijue cha kufanya.
Kwa ujasiri nilimuendea Yule Kocha nikamwambia “ nichezeshe mimi, sitakuangusha”
kocha aliniangalia kwa macho ya kidadisi huku akiwa amenikazia sana na kuonekana kunikagua juu mpaka chini kisha akamfwata Kamisaa na kumwambia
“Nabadilisha golikipa”
Kamisaa alifanya mawasiliano ambapo Golkipa Yule aliyekuwa ameumia alitolewa akawa anatibiwa nje na mimi nilikuwa ndani ya Jezi naingia uwanjani.
Kati ya watu walioshangaa mimi kuingia uwanjani ni RPC ambaye alimfwata kocha akimwambia anitoe lakini wakati anamwambia hivyo tayari nilikuwa naruka ruka kwa manjonjo golini kwangu.
Kila mtu alikuwa ananishangaa kwani wengi walikuwa hawanijui. Dakika zilikuwa zimesogea huku nikichomoa mikwaju michache midogomidogo na hatimaye dakika ya 45 ya kipindi cha pili timu ya jeshi la polisi ikarudisha goli na mchezo kuwa 2-2.
Uwanja ulikuwa umelipuka na mimi nilipata ujasiri nikawa napanda mpaka mbele kusaidia mashambulizi kitendo kilichofanya nishangiliwe kupita maelezo.
Mwembwe zangu ziliniponza dakika ya mwisho ya nyongeza kwani nikiwa nimetoka langoni nasaidia mashambulizi ilipigwa kaunta ataki ambayo ilinilazimu nikwatue mchezaji wa JWTZ katika eneo la hatari kwani alikuwa anelekea kufunga.
Nilipigwa kkadi ya Njano na penati ikawekwa, ukweli nilijisikia vibaya sana kwani nilijua lawama zote zitakuwa kwangu na kweli hata kabla ya penati kupigwa niliwasikia wachezaji wa timu yangu wakiongea kwa lawama ambapo nilisikia mmoja akisema
“Kocha nae sijui magolikipa wengine anawatolea wapi, ona sasa anatuponza”
Wakati huu uwanja mzima ulikuwa kimya wakisubiria penati ipigwa nah ii ndio ingeamua mshindi wa leo kwani muda ulikuwa umeshaisha.
Kama kawaida yangu nilikuwa niko Golini naruka ruka kwa mbwembe huku nikienda kushoto – kulia, Juu – chini alafu nawaonyeshea mashabiki ishara washangilie.
Kwa mbali nilimuona VERITY na RAFIKI wakiwa wamesimama sambamba na RPC wanaangalia penati hii.
Moyoni nilijawa na ujasiri wa ajabu huku nikiwa nimeukazia macho ule mira na akili yangu yote ikawa kwenye mpira.
“Prrrrrrrrrrrrrriiiiiiiiiii”
Kipenga kilipulizwa nikamuona mpiga penati mwenye misuli na mwili mkubwa akirudi nyuma hatua kadhaa, akili yangu yote ilikuwa mguuni, kwake, machoni kwake kujua anaangalia wapi na kwenye mpira.
Nilipomtazama machoni alipokuwa anakuja niligundua ameangalia sehemu mbili kwa wakati mmoja kisha akautazama mpira, akili yangu ilinituma kuwa sehemu ya mwisho kuangaliwa ndiyo atapigia mpira ule namimi nikawa nimejiandaa kuelekea upande ule.
Shuti kali lilipigwa nikaliendeeeeaaaaaaaaa kisha viganja vyangu viwili vikikumbatia kitu kikubwa cha duara ambacho nililala nacho chini kama nyani.
Nilikuwa nimeokoa Penati na uwanja mzima ukawa umetawaliwa na shangwe za Jeshi la Polisi.
Hakuna aliyeamini pale uwanjani kwamba penati ile haijawa goli, Refa alikimbilia eneo la golini nilipokuwa bado nimelala akiangalia mpira uko wapi.
Watazamaji uwanjani bado walikuwa hawajaamini kwamba mpira ninao kwapani, walidhani kuwa huenda umetoboa nyavu na kupitiliza.
Refarii akiwa bado hajapuliza filimbi ya kuashiria kama ni goli ama sio goli alikuja pale nilipo akainama kisha akanigusha ishara ya kunitaka ninyanyuke.
Nilinyanyuka kwa Madaha makubwa huku nikiwa nimeukumbatia mpira kwa mikono yangu miwili, kitendo hiki kiliamsha shangwe kwa watazaaji wote ambao walikuwa upande wa timu ya jeshi la polisi.
Katika hali ya furaha wachezaji wenzangu walinivamia kwa fujo huku wakinikumbatia hadi kuniangusha chini kwa furaha.
Kitendo cha kuurusha mpira mbele tu refarii alipuliza filimbi ya kumaliza mpira na kilifwata sasa ni hatua ya Penati kwani ilikuwa ni lazima mshindi apatikane na akabidhiwe zawadi kemkem na Kombe.
Manahodha wa timu zote mbili walikuwa katikati ya uwanja wakichagua goli la kuanzia nan i timu ipi ianze kupigiwa penati, shilingi ilirushwa na hatimaye timu ya JWTZ ndiyo ikatakiwa ianze kupiga penati hivyo nilipaswa kuelekea Golini.
Kwa mbwembwe nyingi nilianza kukimbia huku nikizungusha mikono yangu na kuwaonyeshea ishara ya mashabiki wa Jeshi la Polisi kushangilia, nao bila ajizi walilipuka kwa shangwe nyingi.
Uzuri ni kwamba pale uwanjani tayari mashabiki walikuwa wameshajigawa, wengine walikuwa wanashabikia upande wa JWTZ na wengine walikuwa wanashabikia upande wa POLISI. Wananchi ambao hawakuwa wanajeshi wala Polisi nao walikuwa wameshajogawa kwa mapenzi yao na kila mmoja alikuwa ameshachagua kati ya kushabikia JW ama timu ya Jeshi la Polisi.
Nilikuwa nimeshasimama Golini na tayari mchezaji wa JW alikuwa ameshaweka mpira kwenye eneo la Penati akisubiria refarii apige filimbi kisha apige mpiara.
Kama kawaida yangu nilikuwa situlii, nilikuwa naruka kwa mbwembwe mara upande huu mara upande ule, naenda mbele narudi nyuma.
Katika hali ya ajabu sana nilijikuta moyoni nikiwa na hofu sana, “priiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii”
Kipenga kilikuwa kimepulizwa na tayari mpigaji alikuwa amerudi kaa hatua nne nyuma,
Kusema ule ukweli nilikuwa nimelala kulia na mpira ulikuwa kushoto, tayari goli lilikuwa limeingia na mchezaji huyu alikuwa anashangilia akielekea walipo wenzake.
Zamu ya timu yetu kupiga penati niliomba ile penati nikapige mimi, walinikubalia nikaweka mpira kati nikarudi nyuma hatua kadhaa na kuachia shuti kali ambalo lilipaa juu ya goli na kudondokea upande wa mashabiki, maana yake nilikuwa nimekosa penati.
Nilijisikia mnyonge sana na hata wachezaji wenzangu walikuwa waeshika vichwa wakiona jinsi abavyo tulikuwa tunaenda kuukosa ubingwa kwani nilishafungwa penati moja na pia nilikuwa nimekosa penati niliyopiga mwenyewe, nilikuwa naumia kuona yale matokeo yananihusu sana mimi.
Nilijipa ujasiri na kuelekea Golini ambapo safari hii sikuwa na mbwembwe zozote ila nilikuwa makini sana kuwaangalia wapigaji wa penati.
Mpigaji wa safari hii alikuwa ni golikipa wa timu pinzani ambaye alikuwa ameweka mpira na kurudi nyuma hatua tano, aliachia shuti kubwa ambalo liliniuza kabisa nikaangukia upande wa kulia na mpira ukipita kushoto lakini sikukubali, nilirusha mguu wangu mmoja wa kulia ambao uliupaisha mpira na kuurudisha uwanjani kitendo kilichoamsha shangwe nyingi.
Mpigaji wa upande wetu alienda akapiga penati na kufunga kiulaini kabisa hivyo kila timu ikawa imepiga penati mbili, kukosa moja na kupata moja.
Niliirudi golini ikapigwa penati ambayo safari hii niliidaka kabisa kama nyani anayedaka buyu. Watu walishangilia lakini shangwe zao zilizimwa baada ya mchezaji wa upande wetu kupiga penati nje kabisa ya goli na kufanya matokeo yawe 1-1 hadi wakati huu ambapo kila timu imepiga penati tatu.
Nilirudi tena golini ambapoo mpira ulikuwa unapigwa kwa timu ya JW kupiga penati ya nne, penati hii niliipangua kwa mkono wangu wa kulia ambapo mpira ulikuwa umepigwa pembeni juu kabisa kwenye engo lakini niliruuka kama ngedere na kuugusa kwa mkono wangu wa kulia na kuutoa nje.
Shangwe uwanjani kwa Upande wa Jeshi la Polisi zilikuwa nyingi lakini zilizima ghafla kwani kila mtu alikuwa akimtazama mchezaji wa POLISI ambaye alikuwa anaenda kupiga penati ya mwisho ambayo itaamua matokeo.
Nilikuwa nina hofu kwani sikutamani kurudi tena golini kudaka Penati, nilikuwa nasali kimya kimya ili penati ile iwe goli.
Goooooooooooooooooooooooooooooo! Mpira ulikuwa wavuni na uwanja mzima ulikuwa ni shangwe na nderemo kwa upande wa polisi kwani tulikuwa tumeshinda Kombe hili.
Sehemu Ya 12
Pamoja na kucheza mechi moja lakini kamisaa alinitaja kuwa Golikipa Bora wa michuano hii huku akiniita afande Sam. Nilipokea zawadi ya shilingi laki moja kiasi ambacho sikuwahi kukimiliki.
Tulikabidhiwa kombe letu na zawadi ya shilingi milioni tano kutoka kwa wadhamini mbalimbali pamoja na ofa ya kulala kwenye hoteli ya Mbeya Inn ambayo ni ya nyota tano kwa siku mbili huku ukila chochote ukitakacho.
Baada ya mechi ile kulikuwa na tafrija kubwa iliyoandaliwa kwenye ukumbi mkubwa wa Jeshi la Polisi pale Central Mbeya ambapo kulikuwa na burudani nyingi na watu walikuwa wanalewa sana.
Watu wengi walikuwa wanadhani mimi ni Polisi lakini ukweli nilikuwa nao mimi na watu wachache kama RPC.
Siku hii ya leo RPC alionekana kuwa na rah asana kwani uda wote alikuwa akiniita na kunitambuliasha kwa marafiki zake “Kijana wangu huyu, mmemuonaee”
Wakati nimeitwa na RPC kwa ajili ya kunitambulisha kwa marafiki zake nilielekea toilet nilivyoachana na RPC lakini wakati natoka nilishtuka nikivutwa mkono nilipogeuka nikakutana na sura ya Verity akiwa anaonekana amebwia kilevi. Kwani alikuwa amechangamka sana.
Alinivuta kwa nguvu na kunipeleka kwenye chumba ambacho nadhani wanalala wahudumu wa ile Mess ya polisi, alinivaa mdomoni na kuanza kuninyonya kwa fujo kitendo kilichonisisimua sana na kujikuta mtarimbo wangu ukiwa umeinuka kama mnara.
Verity alipandisha gauni lake juu na kukanya ga ukutani kisha akanivuta kwa nyuma na kushika tango langu ambalo alilielekeza mgodini kwake nikaanza kuuchimba, japo nilikuwa niechoka lakini niliuchimba mpaka nikamuona Verity akinidondokea kwanyuma nikamdaka na kumlaza kwenye godoro lililokuwa Chini nikaendelea kuchimbua mgodi kwa kasi ya ajabu kwani nilikuwa nakamilisha mzunguko ambao uliisha kwa ushindi wa timu zote mbili.
Nilishtuka baada ya kusikia sauti nzito ikiongea nyuma yangu nilipokuwa nimemlalia Verity kwa juu….
“Haya amkeni mnifwate huku…Kunguru nyie!”
“Mungu wangu…..” alijisemea Verity!
“Mabibi na Mabwana mliohudhuria hapa siku ya leo naomba tusimame juu”
Ilikuwa ni sauti ya MC akiwaarifu watu waliohudhuria kwenye tafrija hii.
“Kila mtu anyanyue kinywaji chake na amgeukie mwenzake, ukishakinyanyua na kumgeukia mwenzako tuna piga cheers kwa ajili ya timu yetu”
Watu wote walipiga cheers huku wakisindikizwa na vibwagizo vya DJ.
“Msikae…msikae tafadhali mabibi na mabwana, naomba mkiwa mmesimama hivyo Dj atupigie mziki mwanana”
“DJ tupigie MUCHANA ya Kanda Bongo Man, alafu taratibu tukiwa tunacheza tusogee mbele kwa ajili ya kugonga Cheers na Golkipa wetu aliye tupa ushindi siku ya leo SAAAAAAAAM”
Watu wote walivyosikia jina la Sam walilipuka kwa shangwe huku wakicheza mziki kwa fujo zote, Dj alikuwa akitupia Vibwagizo mbalimbali ambavyo viliamsha ari ya watu kushangilia zaidi.
Watu walisogea mbele wakicheza lakini cha ajabu Sam mwenyewe alikuwa haonekani.
“Saaaaaaam popote ulipo njoo mbele hili rhumba ni la kwako”
Pamoja na DJ kuita sana lakini Sam hakutokea kitendo ambacho hakikuwafurahisha watu kiasi kwamba waliamua kurudi na kukaa.
“Sam yuko wapi” mke wa RPC alimuuliza Rafiki.
“Mimi sijui ila hata Verity simuoni hapa”
“Au watakuwa wameenda kufanya ushenzi wao maana huyu Verity huyu king’ang’anizi kama nini, mwenzie hamtaki lakini anamganda tu”
Hawakujua kuwa maneno yote waliyokuwa wanaongea yalikuwa yanasikika kwa RPC na tayari alama ya hatari ilikuwa imeshagonga kwenye akili yake.
“Koplo Miraji ”
“Naam Afande”
“Nifwate”
“Sawa afande”
Japo Koplo huyu alikuwa yuko bwii lakini alijikaza na kuanza kumfwata RPC nje.
“Nakupa kazi naomba ukaifanye kwa uhakika”
“sawa afande”
“Nitafutie mwanangu VERITY kama yuko na Yule hayawani Sam waweke ndani nionane nao kesho”
“Sawa afande”
Katika makoplo ambao walikuwa wanamtaka Verity kwa gharama zote alikuwa ni pamoja na Miraji, pamoja na kumhonga hela nyingi lakini alikuwa hajaona ndani isipokuwa kuchunwa tu.
Aliposikia kuwa yuko na Sam alifurahi sana na aliapia kuwa lazima akamkomeshe huyo Sam pamoja na Verity. Aliapia kuwa akiwakuta lazima atawakomesha.
Mawazo yake yote yalimpelekea kuwa lazima watakuwa wapo sehemu ambayo huwa alikuwa akimpeleka Verity ili amgagadue lakini alikuwa akiishia kumshikashika tu.
Pombe zote zilikatika na kuanza safari ya kuelekea huko, alikunja kona tatu na korido mbili kisha akakifikia chumba cha walinzi na kuzama humo.
Alipokuwa anakaribia kufika alisikia miguno ya mapenzi kuashiria kuwa kuna watu wanafanya yao, alisikiliza kwa makini lakini ajabu alijikuta sehemu zake za chini zikituna na kufura huku zikitikisika kwa hasira.
Aliutafakari urembo wa Verity wivu ukamshika na kuzama ndani lakini alikuta ndio watu wanamalizia japo walikuwa wamelaliana bado.
“Nyanyukeni mnifwate Nguruwe nyie”
Walishtuka na kuinuka huku kila mmoja akivaa nguo zake, katika watu walioogopa kwa mwendokasi ni Sam. Alikuwa akitetemeka lakini hali ilikuwa tofauti kabisa kwa Verity.
“Miraji unataka nini?”
“Hii ni amri ya BABA yako kwamba niwaweke ndani muonane nae kesho”
“Broo nisamehe naomba usinipeleke nitakufa mimi, nisamehe kaka Afande”
SAM alikuwa amepiga magoti anabembeleza asipelekwe, hofu yake kubw ailikuwa kukosa kozi lakini pia kuwekwa ndani kabisa kwa kutembea na mtoto wa Bosi.
Alijutia sana na kumlaani Verity kwa hali zote lakini wakati huu Verity alikuwa anajibishana na afande Miraji.
Kirungu cha mgongo kilimshukia Sam ….paaaa! na kumuumiza bega, alitamani apige makelele lakini aliogopa kuita watu zaidi.
Verity alipojaribu kuongea chochote alikatwa mtama akalazwa chini kisha akafungwa Pingu, zoezi hili liliendelea kwa Sam nae akatiwa pingu.
“Haya twende mbele nisije nikawavunja mbavu”
Afande Miraji alikuwa ana mbavu nene na amepanda hewani kisawasawa, alivyoongea kwa hasira hakuna aliyebisha walitangulia mbele na kufwata maelekezo.
Akili ya SAM ilikuwa inawaza kukimbia lakini akili ya Verity ilikuwa inawaza kumhadaa Miraji.
“Miraji naomba unisikilize,”
“Nikusikilize nini”
“Najua umekuwa ukinitaka kwa muda mrefu ila nimekuzingua pia, niko tayari tukafanye hata sasa”
“Yani nikale makombo mimi?”
“Nipeleke nikaoge alafu turudi kwenye mchezo”
Tama ilikuwa imempanda miraji ukichanganya na pombe alizokuwa amekunywa ndio kabisa, alijikuta akisimama bila kujibu lolote.
“Tufanye haraka tusije tukashtukiwa tena” Verity aliongezea.
Miraji kwa uchu na tama alikuwa hana la kujibu zaidi ya kuanza kumsogelea Verity na kumshikashika, alimshika sehem mbalimbali na kumsogezea mpaka kwenye vyoo kisha akamfungua pingu, Sam kuona hivyo nae akawafwata kwa nyuma kisha akawa anashuhudia kinachoendelea pale.
Roho ilikuwa inamuuma lakini alishindwa kufanya lolote na kwa muda huu tayari nguo ya Verity ilikuwa imevuliwa na kuwekwa chini.
“Nifungue basi pingu niondoke zangu”
Ili kuepuka usumbufu afande Miraji alimfungua SAM pingu na kumuacha aondoke zake, lakini Verity alimuita.
“Sam nibebee simu yangu alafu njoo nikunong’oneze”
Sam alimuendea Verity hadi kwenye sikio na kunongo’onezwa, alipoelewa alitoka nje na kusimama akisubiri.
Alikaa kama dakika moja kisha akaingia na kukuta Miraji ameshikilia uume wake anauelekeza kwenye ikulu ya Verity ambaye alikuwa ameinua mguu wake na kukanyaga kwenye sinki la choo huku afande miraji akiwa kwa mbele akijaribu kuupitisha uume wake kwa chini.
Kilichomshtua miraji ni mwanga wa simu ‘chaaa’, mwingine tena ‘chaaaa’, Miraji aligeuka nyuma na kukutana na Sam akiwa ameshikilia simu na kuwaelekezea.
“Afande miraji nimeshapata ushahidi wa kukusemea kwa Baba, naomba uniache”
Miraji alishtuka kwa kujua kuwa kumbe alikuwa ametegwa, alimfwata sam pale alipo ili amnyang’anye simu lakini Sam hakukubali kirahisi ngumi zikaanza.
Sam hakuwa mdogo kwenye ngumi , alikuwa ni kijana shupavu na mwenye nguvu hivyo miraji alikuwa anapata wakati mgumu kwani alikuwa kalewa pia.
Wakati ngumi zikiendelea Verity alifanikiwa kuchukua simu na kuificha kisha akamwambia miraji….
“Naomba utuache tuende kwa amani na hatutakusemea tutaficha siri, ila ukitusumbua tunaweka kila kitu hadharani na utafukuzwa kazi”
Miraji ilibidi awe mpole na kukubali yaishe, aliwaruhusu waende huku akiahidi kuwa anaenda kumwambia RPC kuwa hajawaona ila nao waingie kila mmoja kwa wakati wake kuepuka kugundulika.
Hii ikawa ni nafasi nyingine kwa Sam na Verity kupona! Sam aliapa kuachana na Verity na alikuwa hatamani hata kumuona lakini cha ajabu alikumbana na mtihani mwingine dakika kadhaa baadae!
Sehemu Ya 13
Ilikuwa ni ngumu kuamini lakini ni ukweli kuwa Sam na Verity walikuwa wamepona katika mikono ya Afande Miraji.
………………………
Huyu dogo nitamkomesha na atajua kuwa mimi ni Afande ama sio Afande.
Miraji alikuwa ameamua kumkomesha Sam, Japo alijifanya kuku aliana na yaliyotokea wakati ule ila moyoni aliapia kulipa kisasi.
Lengo lake kubwa alitaka ambambikie Sam kesi ili ikiwezekana hata afungwe jela.
“”Oya si unamjua yule dogo anaekaa kwa RPC?”
“Yupi huyo Afande”
“Yule Golikipa?”
“Huyo huyo”
“Nimeshamjua,”
“Basi leo kanifanyia mchezo wa hatari sana yani huwezi kuamini, na yeye ndio kanipasua mdomo hivi”
“Haaaaa, kwani ilikuwaje?”
Afande Miraji alimwaga kila kitu kwa maaskari wenzake wakati wakibwia bia kwa ofa ya Miraji.
“Mkubwa wala usijali, hiyo kazi tutaifanya, mbona yule ni mtoto mdogo kwetu”
………………….
“Sam nakuomba hapa tuzungumze”
RPC alimuita Sam aliyekuwa ameanza kuogopa kutokana na yale aliyoyafanya.
“Vipi pole na kazi naona umejitagudi sana kubadilisha mazingira ya hapa nyumbani”
“Asante, ni kawaida tu bosi”
“Sawa, sasa nataka nikuahudi kuwa swala lako nalishughulikia kwa hiyo usijali”
“Asante sana bosi,ntashukuru sana nikifanikiwa”
RPC alitembea hatua kadhaa kisha akageuza na kumkamata Sam koromeo kisha akamnyanyua juuu juu na kumuelekezea nyuma ya nyumba.
Sam alikuwa anarusha rusha tu miguu kwani hakuweza kupumua vizuri.
Hakuelewa kuwa kwanini imefikia hatua ile ghafla lakini alizidi kukabwa hadi wakafika nyuma ya nyumba ambapo kulikuwa na mabanda ya Mbwa.
Aliachiwa akatua chini kwa mgongo ‘tii’
Alivyojaribu kuamka alikutana na Kofi kali lililomfanya aanguke tena chini ‘puu’.
Alinyanyuliwa akakatwa ngwara iliyomnyanyua juu juu kama nyasi zilizokutana na fyekeo kisha akagonga kichwa kwenye ukuta na kutokwa damu.
“Umekuja hapa si kwa ajili ya kut..mba binti zangu, ukirudia tena nakuua”
Sam alibaki anashangaa uwezo wa mapigo aliokuwa nao RPC kwani mapigo aliyoyapata hajawahi kuyaona, nguvu alizokuwa nazo wakati anamshika ilikuwa ni kama amebanwa na koleo huku akiwa amenyanyuliwa juu kama karatasi.
Wakati anatafakari na kusikilizia maumivu alinynyuliwa tena na kusukumwa hadi kwenye gari kisha akazamishwa ndani gari likawashwa mpaka ofisini kwa RPC.
Aliachwa ndani ya gari kwa muda kisha akarudi afande miraji na maaskari wengine wawili ambao walimchukua mpaka hospitali.
Pale hoapitali Sam alipewa huduma za majeraha aliyoyapata kichwani kisha akarudishwa nyumbani akiwa amefungwa mabandeji kichwani alipojigonga ukutani.
Sam hakutaka maongezi na mtu yeyote, aliingia ndani akaangalia fedha zake alizopewa baada ya kushinda mechi kisha akaanza kupanga namna ya kutoroka kwani alikuwa na fedha za kutosha.
Alipanga atoroke usiku huo huo na hivyo hakutaka hata kutoka sebeleni wala kuongea na mtu yeyote.
Mda wote Rafiki alikuwa akitamani kumuona Sam lakn alikuwa amejifungia ndani, alitaka kuingia lakini aliogopa kumponza Sam kwani alimjua baba yake na alijua kuwa mda wowotw atarudi.
Alivumilia sana akisubiri lakini sio sam aliyetoka nje wala kukaa tu sebuleni.
Verity alikuwa amenyong’onyea ndani kwake akiogopa kumfwata Sam kwani aliona A -Z alichofanyiwa Sam hivyo alijua wakati wowote nae yatamkuta.
…………………..
Saa nane usiku Sam alikuwa mlangoni anasikilizia kama kuna mtu yeyote anaetembea kwenye korido ili atoroke zake, wakati huu alikuwa anatiririsha machozi kwa yale aliyokuwa anakumbana nayo lakini alivyovuta kumbukumbu jinsi ambavyo amewala watoto wa RPC alijiona anastahili chochote. Aliguta machozi akanyonga mlango.
Owa tahadhari kubwa alikuwa anaelekea nje na tayari alishafungua milango na yuko kwenye uwanja wa garden, alimtaimu mlinzi akakanyaga ukuta na kujirusha hadi nje “tii”.
“Unakwenda wapi usiku huu na kwanini unatoroka?”
Sam hakuamini alichokuwa anakiona,
Kwa mara nyingine alikuwa mikononi mwa RPC, Sam alidhani huyu jamaa ni mchawi lakini kumbe kila alicholuwa anapanga kukifanya kilishajulikana mapema.
Sam alibebwa usiku huohuo hadi kituoni na kisha kukabidhiwa kwa afande Miraji.
” Huyu mtashinda nae humu mpaka usiku mumpeleke nyumbani kulala, apangiwe kazi ngumu”
“Sawa afande, waliitikia akina Miraji”
Kwa mara nyingine Sam alikuwa mikononi mwa Afande miraji.
Mkokola Saidi, Stellah Francis, Mery Sadock Maureen Junior, Tom Mwambs, Cecilya Cecil,
Kwa mara nyingine Sam alikuwa mikononi mwa Afande Miraji, hakujua kitakachoendelea lakini aliisikia amri ya RPC kwamba apewe kazi ngumu na awe anarudishwa nyumbani usiku.
…………………..
Ratiba ya Sam ilibadilika na akawa ni mtu wa kurudishwa nyumbani kila siku usiku na asubuhi anachukuliwa.
Kazi zilikuwa ngumu sana kwani kila asubuhi alikuwa anapelekwa kufagia maofisini kisha jikoni, alikuwa anafyeka maeneo mbalimbali ya kituoni hadi inafika usiku anakuwa amechoka sana.
Kwa amri ya RPC ilikuwa Sam apewe kazi ngumu lakini awe anapewa chakula cha kutosha, lakini mambo yalikuwa kinyume mno, kwakuwa Afande Miraji alikuwa na chuki nae alikuwa anampa kazi ngumu bila kumpa chakula.
Hii ilimfanya Sam achoke sana, haikupita hata wiki Sam alikuwa amedhoofu mwili na kuwa mwembamba, alikuwa anaunda mikakati ya kutoroka kila siku lakini mazingira yalikuwa magumu sana.
Ulinzi kwake ulikuwa wa hali ya juu na nikama vile afande Miraji hakupangiwa kazi nyingine kwani kila siku na kila mda alikuwa na Sam pekee.
…………………………..
RPC alikuwa na hasira sana juu ya Sam, kuna wakati alikuwa anakaa mwenyewe ofisini na kukagua simu yake kisha laptop yake na kisha anajikuta hasira zinampanda kiasi cha kutaka kuua.
Hasira zilipompanda sana alinyanyua simu yake na kuitafuta namba ya afande Miraji na kuanza kumpigia simu…
“Eeenh Afande”
“Shkamoo”
“Shkamoo nini…huyo kima uko nae hapo hadi sasa?”
“Ndio niko nae”
“Leo mzidishie dozi mara kumi”
“Hahahaaaa SAWA AFANDE!”
Hakuna kitu kilimfurahisha afande Miraji kama kuambiwa azidishe dozi ya Mateso kwa Sam.
Alichokifanya alimuita rafiki yake mkubwa
“Oyaa Gwakisa njoo unisaidiie kazi”
“Kazi gani tena wewe”
“Wewe njoo tu ila uje na Msuba”
“Poa”
Ndani ya dakika chache afande Gwakisa alikuwa amefika pale alipokuwa Miraji…
Walichukua misokoto ya Bhangi kisha wakaanza kuvuta huku wanapiga story kadhaa.
Miraji alimuelezea Gwakisa kuhusu kazi iliyoko mbele yake na kumuomba Gwakisa amsaidie lakini Gwakisa hakuamini.
“Huamini nini sasa”
“AAGH siamini aisee, isije tukatoa dozi hapa alafu tukapata matatizo”
“Subiri nimpigie umsikie mwenyewe”
“Haloo Afande”
“Unapigapiga nini wakati nimesema utoe dozi na uizidishe mara kumi, ina maana hujaanza mpaka saivi, au nikugeuzie kibao”
“Hapana afande nilitaka tu kukujulisha kwamba ndio naanza”
“Haya toa Dozi kamili sitaki ushoga shoga mimi”
“tii tiii” simu ilikuwa imeshakatwa!
…………………….
Dozi aliyokuwa anapata Sam ilikuwa ni ya kumtoa mtu roho, alikuwa amening’inizwa juu chini, yaani kichwa chini miguu juu kisha analowanishwa na maji na kusindiliwa mangumi.
Kama ungebahatika kumuona Sam kwa wakati huu ungeweza usile nyama tena, alikuwa amechakaa kama mfuko wa nailoni uliotoka mdomoni mwa Ng’ombe.
Ilikuwa ni ngumi, viboko, mateke, na kila aina ya vipigo. Walipoona wameridhika na kipigo walimfungulia kamba bila kumshikilia na kumfanya aanguke chini kama mzigo huku akiwa katanguliza kichwa.
…………………………
RPC alikuwa ofisini anakunywa Viroba Vya Konyagi ili kuondoa mawazo lakini kila alipokuwa anarudia kuangalia video alizokuwa nazo kwenye simu yake na kwenye laptop hasira zilikuwa zinazidi.
Sehemu Ya 14
Aliumia sana kuona kuwa kijana aliyemfadhili ndani ya nyumba yake leo hii ametembea na watoto wake wote wawili
Katika mambo ambayo hakuna aliyekuwa anayajua pale nyumbani ni kwamba nyumba nzima ya RPC ilikuwa imefungwa na kamera za CCTV kuanzia ndani mpaka nje, hakuna mtu eyote aliyejua isipokuwa yeye mwenyewe.
Nikweli kuwa kuna wakati alikuwa anaangalia matukio ya nyumbani na hata kuwaona mabinti zake wakiwa uchi lakini kwakuuwa ni watoto wake hakuona shida yeyote, siku aliyoona wakifanya mapenzi na Sam tena wote wawili roho ilimuuma sana.
Alikuwa anajisemea mwenyewe kwenye kichwa chake kuwa ni heri mara mia angekuwa anatembea na mmoja kati ya wale mabiniti zake lakini kitendo cha wote wawili kuwa wanatembea na Sam aliona ni fedheha kubwa sana.
Alirudi tena akaona jinsi mwanae RAFIKI alivyokuwa anatolewa bikra na Sam huku akitokwa damu nyingi akahisi kuwa mwanae alikuwa anatendewa isivyo haki na kusahau kuwa hata yeye aliwatoa Bikra wasichana wengi tu!
Alivyoendelea kuangalia ilifika hatua akamuona Sam akiwa amesimama na mkewe huku akionekana anamshika eneo la kitovu na kusugua sugua.
Kwa RPC kumuona mkewe anamshika Sam eneo la kitovu huku Sam akiwa kifua wazi ilikuwa ni uzalili uliozidi kiwango.
Moja kwa moja aliamini kuwa Sam kala watoto wake wote na mke wake pia, alirusha ngumi akavunja meza ya kioo ‘aaaaaaaarrrrrrggggh’!
Alichukua bastola yake akatoka nayo kwa lengo la kwenda kumfumua Sam ubongo.
Alitembea kwa kasi hukua akiwa ameshikilia bastola yake tayari kwa kuua, alipokuwa anatembea huku bastola iko nje nje Afande mwingine ambaye alikuwa na cheo chini ya RPC alianza kumuita lakini mawazo ya RPC hayakusikia sauti hata kidogo.
RPC aliendelea na safari mpaka akafika pale waliko akina Afande Miraji….
Alitupa macho huku nakule lakini hakumuona Sam, akawauliza “Yuko wapi huyu nguruweeeeeeee?”
Hakuweza kumtambua Sam kwasababu alikuwa amechakaa na mwili wote ulikuwa umeloa damu huku akiendelea kukohoa damu pale chini alipo.
“Huyu hapa”
Afande Miraji alionyesha kwa kidole.
RPC alionekana kushtuka alipomuona Sam vile lakini alivyokumbuka aliyoyafanya hasira za viroba zikampanda tena akaanza kumfwata Sam huku amenyoosha bastola yake….
“paaaaaa…paaaaa….paaaaaa” Milio ya risasi ilisikika!
Kila mtu alikuwa ameelekeza kichwa chake pembeni asione jinsi ambavyo ubongo wa Sam ulikuwa unamwagika chini.
Pamoja na mateso ambayo Miraji alikuwa anatoa kwa Sam lakini hakuwa na uthubutu wa kuweza kumuua.
Aliogopa kuua japo alikuwa askari, moyo wake ulikuwa unadunda kwa kasi sana kwani hakuwahi kumuona mtu anakufa na hakudhani kuwa angeona mtu anauwawa mbele yake.
Mtu pekee aliyekuwa na uwezo wa kuchukua hatua alikuwa ni Afande Mbaruku ambaye alikuwa na cheo chini ya cheo cha RPC, alivyoona hali aliyokuwa nayo RPC alijua kuwa hakukuwa na usalama hivyo aliamua kumfwata nyuma nyuma.
Alipomuona anamfyatulia Risasi mtu aliyelala chini amechakaa na kutapakaa damu ilibidi aushike mkono wa RPC na kuuelekezea ukutani ambapo risasi zote ziliishia ukutani hadi Bunduki ikabaki haina kitu.
Walianza kunyang’ang’anyana Bunduki, Afande Mbaruku hakujali kuwa Yule ni bosi wake yeye alichotaka tu ni kuhakikisha kuwa mtu anabaki salama.
Maskini Sam wawatu walikuwa hajui chochote, alikuwa anakoroma pale chini huku damu zikiwa zinamtoka puani na mdomoni.
……………..
Sam alikuwa kwenye gari ya POLISI mkoa wa Mbeya anakimbizwa Hospitali.
Japo alikuwa ameshapata huduma ya kwanza kwenye Hospitali ya polisi pale makao makuu lakini ilibidi akapate huduma zaidi kwani hali yake ilikuwa hairidhishi.
Gari ilikuwa inakimbia kwa kazi huku dripu zikiwa zimening’inia kwenye mikono ya SAM.
Huku nyuma ofisini alikuwa ameketi RPC na msaidizi wake ambaye ni Afande Mbaruku wanajadiliana.
“Nikweli kakukosea lakini njia unayotumia kumuadhiibu sio sahihi”
“Sio sahihi kivipi eeenh…au kwasababu sio wewe?”
“Ndio inawezekana ni kwasababu sio mimi ndio maana nafikiria kwa busara kuliko wewe…hivi unadhani ukimuua hapa, tena kwenye eneo la kazi utakuwa salama wewe? Hicho cheo chako unataka utuachie eeenh?”
“Hivi kweli mtoto nimlete kwangu ili nimsaidie alafu anitom…ee mke wangu na watoto wangu?”
“Unasemaje? Kafanyaje?”
“Kaio..ba familia yangu yote”
“Mhhhh….”
Baada ya Afande Mbaruku kusikia vile aliguna kwani hakuweza kuamini kile ambacho alikisikia mdomoni kwa RPC.
“una uhakika na unachokisema Afande?”
“Sasa unadhani nimechanganyikiwa au… hii…hii” RPC alikuwa analia.
“una uthibitisho afande?” Afande Mbaruku aliuliza kwa sauti ya upole kwani hata yeye alishaona uzito wa swala lililokuwepo mbele yake.
RPC alichukua laptop yake na kuwasha video iliyokuwa inaonyesha kila kitu kilichofanywa pale kwake na Sam
Afande Mbaruku aliangalia kila kitu huku nayeye matamanio yakimshika kwa Jinsi wale mabinti walivyokuwa wazuri na wanaovutia.
Sehemu zake za siri zilikuwa zimenyanyuka haswa lakini alijitahidi kubana miguu ili asijulikane.
Pamoja na kila kitu alichokiona lakini akili yake ilinasa jambo ambalo aliliona pale.
Aliisogeza ile laptop karibu na RPC na kumwambia…
“Naomba unisikilize afande”
RPC aligeuza shingo yake na kuanza kumsikiliza Mbaruku….
“Hapa nimegundua kitu kwa kuitazama hii Video”
“Umegundua nini?”
“Yule kijana hana hatia”
Sehemu Ya 15
“Kama hana hatia naomba umpeleke kwako akaifanye na familia yako pia ili tuwe sawa”
“Huko unaenda mbali sana, hebu nisikilize”
“Huyu kijana hana hatia kwa sababu alikuwa analazimishwa…angalia vizuri jinsi alivyokuwa anakataa na jinsi alivyokuwa anashawishiwa”
“Alafu kingine wewe umeangalia vibaya hii video…hajatembea na mke wako labda kama una ushahidi mwingine”
Wote kwa pamoja walirudia kuiangalia ile video na kwa kiasi flani RPC alirizika kuwa Sam kwa upande mwingine hakuwa na hatia lakini bado hasira za watoto wake kufanywa na mwanamme mmoja tena ndani kwake aliona kama ni fedheha.
“Sasa wewe usiumie ….nakupa huu ushauri na ninaomba uutekeleze utakusaidia”
“Ushauri gani huo…?”
Mbaruku alichukua mda mrefu kumshauri RPC ambaye kwa shingo upande alikubaliana nae na kisha wakaondoka kwenda Hospitali.
“KAZI HII NIACHIE MIMI” Mbaruku alimwambia RPC baada ya kumaliza kumshauri.
………………………………
Wiki mbili zilikuwa zimekatika kwa Sam kuwa Hospitali akitibiwa…Nyumbani kulikuwa hakukaliki kati ya Verity na Rafiki…walikuwa wanatamani sana kumuona Sam lakini kipigo ambacho kila mmoja kwa siri na kwa wakati wake alipata kutoka kwa baba yao hawakuthubutu hata kidogo kumuulizia Sam.
“Naomba unielewe Verity…nakutaka uachane na Sam na sitaki kusikia habari zake, siku nikisikia nitakuua pamoja nae.”
“Nisikilize Rafiki… unajua wewe ndie BINTI yangu mkubwa na ninakutegemea wewe, hebu achana na Sam urudi chuoni ukasome, mwanaume mwenyewe hana kazi yeyote alafu awe na wewe si mkosi huo, Vumilia mwanangu utapata mwanaume mwingine la sivyo nitamuua huyo Sam.”
Kila mmoja alipewa Wosia wake kutoka kwa Baba yao.
……………………………………..
Sam hakuamini macho na masikio yake siku ambayo alijikuta akiandaliwa kwa ajili ya safari.
Alikuwa amenunuliwa begi kubwa na baadhi ya nguo huku akiambiwa ajiandae kwa safari kesho yake.
Asubuhi kulivyokucha lilikuja Gari la RPC likiwa liko na dereva pekee na Sam akaambiwa apakie humo.
Bado alikuwa haelewi anaenda wapi hadi pale alipokuja RPC kwa dirishani na kumwambia.
“Unaenda CCP Moshi kwa ajili ya Mafunzo ya Uaskari… wewe umechelea na tayari wenzako wako mbele kwa mwezi mzima”
“Ukaonyeshe juhudi, ukifeli shauri yako ila tumewaambia kuwa tayari una mafunzo ya awali
………………………..
“Sam!”
“Naam!”
“Kwanini ulikuwa unataka kutoroka”
“Naogopa kufa?”
“Unaogopa Kufa?”
“Ndio”
“Kwani uliambiwa unakufa saivi”
“Nimeambiwa unataka kuniua”
“Umeambiwa nanani”
“Mimi mwenyewe najua kuwa unataka uniue”
“Nikuue? Hapana unakosea”
“Samahani sana Baba, sikupanga kukukosea, nilijitahidi sana nisikukosee lakini nimeshindwa…nisamehe sana sikutaka iwe hivyo, naomba usiniue…usiniue Baba nipe nafasi tu hata niondoke nikajaribu kutafuta maisha kivingine”
RPC alikuwa anamwagika machozi usoni kwa kile alichokuwa amekibeba moyoni na maneno aliyokuwa anasikia kutoka kwa Sam.
Haikuwa kazi rahisi kwake lakini alikuwa akimpenda Sam, aliishi nae kwa adabu na heshima na kila kitu aliona ni makosa ya kibinadamu isipokuwa alikuwa anajihisi kudhalilika.
“Sikuui Sam…ila umenifanyia kitu kibaya sana, umewatom…b..a watoto wangu wote wawili, najisikia fedheha sana”
“Hapana Baba sijafanya hivyo!”
“Paaaa…”lilikuwa ni Kofi lililotua kwenye shavu la Sam
“Unakataa nini Sam? Unataka nikuonyeshe Video ulizokuwa unawatom..ba watoto wangu eenh? Unafikiri nafurahia kuziona sindio?”
“Nisamehe Baba lakini haikuwa Ridhaa yangu, sitarudia tena”
“Hata usiporudia umebakisha nini sasa, tena huyu Mkubwa umemtoa Bikra kabisa, si utanidharau sana mimi na familia yangu eeenh?”
“Hapana Baba, nakuheshimu sana na ninaipenda familia yetu hii, siwezi kukudharau hata siku moja”
“Usiongee tenaaaaaa, nyamazaaaaa una bahati sana nimeuelewa ushauri wa Mbaruku, na lazima niuzingatie na lazima uutekeleze”
Nenda kalale kesho jiandae kwa Safari!
………………………………
Sam usiku kucha alikuwa hana raha, alikuwa anawaza anaenda safari ya wapi, mawazo yake yote alijua anafukuzwa pale nyumbani.
Kingine kilichokuwa kinampa mawazo ni hali ile iliyokuwa imemtokea pale nyumbani, alijuta sana kwa kila kitu kilichotokea na alitamani kurudisha siku nyuma ili yale yaliyotokea ayazuie yasitokee.
Alimuwaza sana Rafiki ambaye alikuwa ameshampenda lakini hakukuwa tena na uwezekano wa kuonana nae, kila jina la Verity lilipomjia akilini alililaani sana kwani aliamini ndilo lililomuingiza matatizoni.
Mwili ulikuwa umechoka kwa mateso na kadhia alizopitia lakini alijipa ujasiri kuwa kila kitu kitakaa sawa tu.
Alishapaki mabegi yake yote kwani aliambiwa ajiandae kwa ajili ya Safari kesho yake lakini pia akilini mwake alikuwa anatafuta namna nyingine ya Kutoroka.
Japo usiku uliopita alijaribu kutoroka lakini akakamatwa na RPC lakini hakukata tama, alitaka kujaribu tena.
Katika mambo ambayo alikuwa hajui ni kwamba RPC alikuwa ametega kamera za CCTV kwenye nyumba yote.
Kila alichokuwa anakifanya kilikuwa kinaonekana kwa RPC.
Ilipofika mida ya saa Nane usiku aliamua kutoroka, alifungua dirisha na kuruka hadi nje, wakati anazunguka kutafuta sehemu yenye wepesi aruke ukuta alikutana uso kwa uso na RPC.
“Ingia ndani ukalale upumzike kwa ajili ya Safari”
Sentensi hiyo alipoisikia aliamua kurudi ndani na kulala kwani alijua kuwa amezungukwa pande zote.
********************************
Gari ilikuwa inachanja mbuga kwa kasi sana na wakati huu walikuw wanakaribia kufika Makambako.
Mpaka inafika saa nne mchana tayari walikuwa wamefika Iringa, Dereva aliona njia ya kupitia Chalinze ni ndefu hivyo akaamua kukatisha Mtera ili apitie Dodoma.
Waliingia Dodoma na kupita Singida, kisha Manyara hadi walipofika sehemu inaitwa Magugu walishuka wakanunua mchele mwingi wakapakia kwenye cruiser, walikula nyama choma na ugali kisha safari ikaendelea.
Waliipita Minjingu na hatimaye wakaingia Arusha kupitia Simanjiro.
Masaa yaliendelea hadi walipoingia Arusha ikiwa tayari ni saa nne usiku.
Hawakutaka kupumzika sana, waliingia sehem wakachukua chipsi mayai na soda za Kopo kisha safari ikaendelea hadi walipofika Moshi ikiwa tayari ni saa sita Usiku.
Safari hadi nyumbani kwa Mkuu wa Chuo cha Polisi Moshi ilikuwa nyepesi kwani hapakuwa mbali kutoka pale Moshi mjini.
Walienda kwa Mwendo wa taratibu hadi walipofika kabisa kisha wakasimamishwa getini na walinzi ambao walikuwa ni maaskari wa Mafunzo pale pale Chuoni.
Walijitambulisha wakakaguliwa kisha wakaruhusiwa kuingia ndani baada ya Simu iliyopigwa kuwapa amri ya kupita.
“Poleni sana na safari”
“Asante sana”
“Kijana mwenyewe ndio huyu hapa eenh”
“Ndio huyu”
“Lete Vyeti vyako haraka sana”
Ilikuwa ni saa saba usiku lakini hawakuruhusiwa kulala isipokuwa usajili ulikuwa unaendelea.
Tarehe zilibadilishwa na kuonekana aliripoti na wenzake kisha akaumwa na kupata ruhusa.
Baada ya kila kitu kukamilika alipewa miongozo kadhaa ya kuishi kule chuoni kisha usiku ule ule akapelekwa Chuoni kuendelea na Mafunzo.
…………………….
Katika watu ambao walikuwa hawana furaha alikuwa ni Rafiki, hakujua kuwa Sam ameenda wapi,na ameenda kufanya nini.
Alitamani kumuuliza mama yake japo kupitia kwenye simu lakini aliogopa kufanya vile.
Masomo yalikuwa hayapandi kwasababu ya Sam lakini hakuwa na uwezo wowote wa kujua alipo, mbaya zaidi hata kwa akina Sam ambapo ndio asili yao hakupajua.
Alijikaza kisabuni mpaka alipofanya mitihani yake ya Mwisho ili arudi nyumbani na kufanikiwa kuimaliza salama.
Alifurahia sana akijua huenda atakaporudi nyumbani anaweza akajua chochote kuhusu Sam.
Siku ya siku aliporudi nyumbani alikuta hali ambayo sio ya kawaida, kulikuwa na watu wengi wakiwamo ndugu wa karibu na Majirani ambapo kwa hali ya kawaida ilionekana ama kama hakuna sherehe basi kuna msiba!
Mafunzo ya uaskari yalikuwa yamepamba moto katika chuo cha Upolisi CCP Moshi, Sam alikuwa anahenyeshwa usiku kucha.
Katika hali ya kumfanya aendane na wenzake alikuwa akipewa mafunzo ya ziada ikiwa ni pamoja nay ale ya Darasani na mazoezi ya ukakamavu.
Katika Mambo ambayo wengi hawafahamu ni kwamba katika mafunzo ya Uaskari masomo ya darasani yana nafasi kubwa kuliko hata yale ya Misuli ama ya kutumia nguvu.
Somo ya “Introduction to national laws” utangulizi katika sharia za nchi ni somo ambalo lilikuwa linapata kipaumbele sana katika mafunzo ya uaskari.
Askari lazima ajue sharia za nchi ili aweze kumbaini mvunja sharia, lazima ajue sharia za nchi ili aweze kuzisimamia na kulazimisha zifuatwe.
Somo lingine ambalo linahusu darasani sana ni somo la usalama barabarani, lazima askari ajue sharia za barabarani kwani siku moja anaweza kuongoza magari barabarani na kusimamia usalama katiaka usafiri.
Masomo mengine kama nidhamu kwa kazi, utii kwa wakubwa kazini, taaluma mbalimbali pia ni masomo ambayo Sam alikuwa anakaa darasani kuyasoma.
Uzuri ni kwamba pamoja na kuwa Sam alikuwa ameingia kwa kuchelewa lakini alikuwa anafanya vizuri sana kwenye mitihani kiasi kwamba wakufunzi walikuwa wanampenda sana.
INAENDELEA

