LOVE AND SEX
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 16
zureiya ambaye hakika nilimuona mpya tena na mapenzi yake yakarudi na kujikuta nikizidisha mbwembwe nyingi.nikamsukumiza kitandani zureiya ambaye tayari alishakuwa mtupu hana hata alichovaa kujistili.mwanaume nilikuwa tumbo wazi huku nikiwa nimevaa suruali tu baada ya kuvua shati tu.mzuka ukanipanda sana macho yakiwa yanaumangalia zureiya alikuwa naye akiniangalia mimi huku akiyashika maembe dodo yake mawili na kuzidisha kunipa mzuka mkubwa.taratibu nikashusha suruali yangu na kumvamia kitandani kwa kumkandamiza mabusu mbali mbali ambayo yalimpagawisha sana zureiya ambaye alionekana kuvimisi vitu vile adimu.
‘’oooosssss Pablo mwili ni wako huu fanya utakacho.’’zureiya bila ya kuwa na hiyana wala choyo kweli akanipa ruksa kabisa kwamba niendelee na mbwembwe zangu ruksa ambayo sikutaka kuichezea wala kuipoteza ama kuipuuzia kweli nikaendeleea kutawala uwanja ipasavyo.zureiya naye hakuwa nyuma sana nilipokuwa namnyonya maembe dodo yake yeye alikuwa mstali wa mbele yeye alikuwa anachezea koki yangu nakuitoa kabisa kwenye ndugu yangu ya ndani itwayo boxer kama wengine walivyozoea kiziita na kuanza kuichua kifundi na kuzidi kuipandisha hasira.baada ya kuridhika kunyonya madodo mawili yaliokuwa katika kifua cha zureiya yaliosimama vizuri kama kawaida yangu mwanaume nikaanza kumramba ramba zureiya mwili mzima nakusababisha azidishe kelele kisha nikajikuta nikitulia kabisa katika ikulu yake na hapo ndipo nikaanza kupanyonya kabisa kama vampire anavyomnyonya damu mtu.
‘’oooooossssss uwiiiiiii yessss pa……ooooo ho..niiiiii uwiiiii’’zureiya akaendelea kulalamika kama kawaida yake sauti yake ya kutokea puani ilizidi kunipa shamsham na baada ya kuona zureiya ajiweze nikaingiza koki yangu katika ikulu ya zureiya ambaye alitaka kuruka lakini nikamzuia akajikuta akizidisha ukulele wa raha tulionekana kama tunagombana lakini la hasha tulikuwa katika sayari tamu ya ulimwengu mwingine kabisa ulimwengu mtamu wa malavidavi.baada ya purukushani ndefu za hapa na pale wote tukafika kikomo na kuanza kusifiana sifiana.
‘’ooooh baby umebadilika sana kweli wewe ni mrembo umenipa vitu adimu sana.’’nikajikuta nikimwagia sifa kemukemu msichana huyo ambaye ndio alikuwa ni msichana ambaye yeye alinifundisha kamchezo hako kipindi cha nyuma.alikuwa ni mwalimu wangu ambaye nilimzidi ujuzi baada ya mimi kuongezea ujuzi mwingine niliojifunza kwa dada yake.
‘’jamani honey ahsante kusikia hivyo ni faraja tosha kwangu yani nakupenda kweli wewe mwanaume wa shoka.’’naye zureiya akanimwagia za kwangu na kusababisha na mimi nitabasamu kwa furaha na hapo hapo nikamsogelea karibu kabisa nakuanza uchokozi ili tuendelee tena.
‘’baby subiri.’’zureiya akaniambia vile na kunyanyuka na kusababisha nishangae lakini mshangao wangu ukaisha baada ya kumuona zureiya akiufuta mkoba wake na kuufungua mkoba huo kisha akatoa simu iliyokuwa ikiita lakini ghafla nikamuona akishtuka baada ya kuangalia simu hiyo kisha akaipokea haraka na kuiweka sikioni.
‘’ook….dady….yesss…mmmh niii…po …kwa rafiki yangu….noo am sorry dady…give me 20munites nitakuwa hapo baba’’kwa hali ya uoga zureiya akaniangalia kwa makini.
‘’baby we have to goo aaaaaa tuondoke maana baba kanipigia simu yupo nyumbani yaani daah sijui itakuwaje maana anaongea kiukali.’’zureiya akaniambia vile na kusababisha nisiwe na la kusema nikabaki nikumuangalia alivyokuwa anavaa haraka haraka huku mimi nikiwa bado nina uchu naye……….
Sikuwa na cha kufanya mwanaume nikanyanyuka na mimi haraka haraka na kuvaa nguo zangu baada ya wote kuhakikisha tupo sawa haraka haraka tukatoka.tukaanza kutembea kuelekea nje lakini kabla hata hatujafika nje nikashikwa mkono na jamaa mmoja mrefu wa kiarabu ambaye alinishika mkono kwa nguvu mpaka nikajikuta nikiugulia.nikabaki namuangalia huku nikijikwamua kuutoa mkono wake ambao ulikuwa ukiniumiza sana kwa wakati huo.
‘’wee vipi.’’zureiya akamwambia Yule jamaa kisha na yeye akaungana na mimi kuutoa ule mkono wa Yule jamaa wa kiarabu ambaye baada ya kumuona naye zureiya akinisaidia mimi akaniachia huku akiniangalia mimi kwa dharau huku akicheka kwa nguvu jambo ambalo lilinikera mimi na zureiya ambaye baada ya kuniachia akaanza kupasika pale aliponishika Yule jamaa ambaye aliniachia alama ya kuviria damu baada ya kuwa alinishika kwa nguvu sana.
‘’mmmh kwani unamjua Yule zureiya.??’’
‘’wala hata simjui ila usiogope maana hawa mimi nawajua huaga wakionaga wanaume wa kawaida wanaongoza na msichana wa kiarabu mrembo kama mimi huaga wanachukia sana.’’zureiya akaniambia maneno yake ambayo kwa namna moja ama nyingine yalinitoa hofu kubwa niliyokuwa nayo ambayo nilidhania labda alikuwa ni mtu ambaye alikuwa anafahamiana naye.baada ya haliile kuisha tukatoka nje ambapo zureiya akachukua taxi ili kuwahi safari ya kwenda nyumbani kwao na kuniacha mimi nikiwa palepale stendi nikisubiria gari kama lakini kabla yay eye kuondoka akanitandika busu matata na kuniachia na baadhi ya hela ambazo sikujua ni bei gani zote nikaziweka mfukoni nakuwaacha watu pale stendi kuendelea kunishangaa kama mara ya mwanzo.nikafanikiwa kurudi nyumbani mapema na nilipoingia tu ndani simu yangu ikapigwa na nilipoangalia ilikuwa ni namba ngeni bila ya hali ya kusita nikaipokea.
‘’halooo wewe nani.’’nikajikuta nikianza mazungumzo baada ya kuona ukimya mzito kwa Yule aliyenipigia.
‘’haloow mzima wewe,’’nikasikia sauti ya kike ambayo baada ya kuitathimi nikaigundua kuwa ilikuwa ni sauti tamu na nyororo ya Halima ambaye alikuwa ni mgonjwa na ilipita kama siku mbili au tatu sijaenda kumuona kwa sababu kumuona kwake kulikuwa kunaniumiza kwa sababu yeye ndio alikuwa chanzo cha mimi kumpoteza rafiki yangu kipenzi Samson ambaye alikuwa tayari kashatangulia kisa mapenzi jambo lililofanya nithibitishe msemo wa nyimbo moja ya ally kiba inayosema mapenzi yanarun dunia.
‘’mimi mzima nambie.’’
‘’pooo tu Halima hapa Pablo naona utaki hata kuja kuniona jamani kumbuka mimi bado nipo hospitali natamani nione sura yako.’’
‘’sio kama sitaki nilikuja siku kama tatu siku ambazo wewe ulikuwa bado haujapata fahamu lakini sasa hivi kulikuwa kuna mambo nayafuatiliwa so ndio maana siku mbili tatu hizi sijaja kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu.’’
‘’sawa bana Pablo pole sana nilisikia rafiki yako Samson alijinyonga jamani niliumia sana kwa sababu ni rafiki yako ambaye mlikuwa mkipendana sana kwa dhati pole sana najua sasa una muwaza sana.’’
‘’ahsante sana Halima kazi ya mungu haina makosa kwa sababu hakuna anayeijua kesho Halima shukuru mpaka sasa wewe ni mzima.’’
‘’kwelii Pablo ila sasa naona itakuwa ni nafasi nzuri sana ya kuwa mimi na wewe kwa sababu yeye kama alikuwa ndio kikwazo kwangu.’’yalikuwa ni maneno ya Halima ambayo kwa hakika yalinikera kupindukia nikajikuta nikijiuliza kwanza mwenyewe yani kifo cha Samson ndio kimekuwa furaha kwa Halima.
‘’weee chizii kweli au kuumwa kwako kuna kupeleka kubaya??’’
‘’jamani Pablo kumbuka mimi nakupenda sana sijamaanisha kama ulivyokuwa ukifikiria wewe pa….’’
‘’ssshssshsss hishia hapo hapo binti kwanza napenda kukwambia kwamba mimi sihitaji kuwa na wewe kwa sababu wewe ndio chanzo cha Samson kujinyonga naomba tu ukome na ushindwe na uache tena kuniambia upuuzi wako kwa sababu mimi nampenda sana zureiya Yule ndio mwanamke ninaye muhitaji kwa sasa kwa hiyo wewe kama huna sera nyingine mimi sasa hivi sijali kama unaumwa au laaa nakuomba usinifuatilie mimi sikutakiii.’’nikajikuta nikipayuka kwa nguvu na kusababisha mpaka mama asikie maneno yale yalionekana ni kama mwiba kwa Halima ambaye yeye mwenyewe akakata simu bila ya kuendelea chochote.kuongea na Halima hakika kulinikumbushia rafiki yangu Samson nakujikuta nikilia sana.
‘’jamani mwanangu Pablo vipi mbona unalia na mbona unaongea kwa sauti kubwa.’’
Sehemu Ya 17
‘’hamna mama hasira tu kuna mtu ananikumbushia mambo ya Samson ndio nikajikuta nikiwakatika hali hii lakini usijali mama ni mawazo tu nakumkumbuka sana.’’nilimwambia vile mama ambaye alionekana kunionea huruma akanisogelea karibu na kunikombatia na kuanza kunifariji kwa kunipa maneno mazuri ambayo yalikuwa yakinijenga hakika hapo ndio nilikuwa nakumbuka kuwa hakuna kama mama.siku zikaanza kukatika kama mvua mama naye hakutaka mimi nikae nyumbani tu akanianzisha college chuo cha kujifunza computer lakini kilichozidisha kunishangaza nikuwa tangia siku niliyofanya mapenzi na zureiya sikuona messeji yake wala simu na hata nilipojaribu kumpigia hakupatikana na hata nilipojaribu ya dada yake rukaiya hakuna kilichopatikana.wiki kama nne zikakatika na kufikia mwezi kabisa lakini siku moja ijumaa simu yangu ikaita wakati nipo chuoni na nilipoangalia alikuwa si mwingine bali ni zureiya ambaye baada ya kuipokea nikasikia akiongea kama mtu aliyekuwa katika simanzi nzito.
‘’jamani zureiya nimekumiss sana mbona mwezi sasa nakupigia haupatikani vipi tatizo nini baby.’’nilimwambia rukaiya ambaye baada ya kusema vile akanyamaza kidogo kisha nikasikia mtu akihema kwa kwiki ya kama mtu analia.
‘’mmmh jamani baby un alia nini.??’’
‘’pablo sikia kesho njoo nyumbani mpenzi wangu nilikuwa nalia kuwazuga akina mama na baba kuwa sijisikii vizuri kwenda katika shughuli yao ambayo wanaenda kesho Pablo sasa nimefurahi wamenikubalia kwa hiyo kesho mpenzi njoo nyumbani si unapakumbuka baby.’’
‘’jamani usijali mimi kesho nakuja tufanye na kale kamchezo ketu baby maana siku ile tuliishia njiani.’’
‘’hayaaa honey nakupenda sana.’’hakika nikajikuta nikifurahia baada ya kuongea na zureiya ambaye alionekana kuwa hayuko sawa lakini kuongea kwake vile alinipa sababu ambayo hata mimi sikuwa na sababu ya kupinga.Mungu si athumani kesho yake kama Mungu alivyopanga nikamka asubuhi na mapema kisha baada ya kumaliza kazi zangu za kawaida nikamtwangia simu zureiya ambaye alipokea nakuniambia ananisubiri mimi tu na amemiss sana mchezo ule.mwanaume nikajiona mjanja nikavaa pamba zangu ambazo nilizivaa siku ya kwanza nilipoenda kukutana na zureiya nguo ambazo huaga zinanionyeshanga mimi kama mtanashati nahandsome wa nguvu.haraka nikachukua gari ambalo kutokana na kuwa ni jumamosi asubuhi kulikuwa hakuna foleni haraka tu nikafika katika jumba kubwa la kifahari ambalo lipo morocco hoteli na kujengwa katika mtaa ambao alikuwa akiishi pia Halima.kwakujificha jificha nikajiweka sawa kisha nikampigia simu zureiya na kumwambia nimefika na haikuchukua hata dakika nyingi mlango ukafunguliwa na macho yangu yakakutana na ya zureiya ambaye alikuwa kama mtu aliyevimba macho kwa kulia.nikajikuta nikisita kuingia baada ya kumuona katika hali ile lakini zureiya akanishika mkono.
‘’vipii mpenzi unaogopa nini twende honey.’’
‘’mmmh mbona macho yamevimba??’’
‘’hahaha jamani baby si kilio cha jana ili wale waondoke.’’maneno ya zureiya yakanilainisha na kujikua nikizama ndani ya jumba hilo la kifahari na kukaribishwa na magari manne ya thamani.
‘’mmmh mbona magari yote yapo au kuna kamchezo lakini haaa hakuna kitu kama hicho.’’nikajikuta nikijisemea kimoyomoyo nakujikuta nikipotezea imani ambazo zilikuwa zinanijia.mwanaume kwa hali ya kujiamini nikazama ndani na kwenda kukaa kwenye kochi kama baba mwenye nyumba vile.lakini nilipojaribu kumuangalia zureiya hakika alionekana kabisa kuwa hakuwa poa kabisa jambo ambalo lilinipana wasiwasi.
‘’p…aa..b.lo jisikie upo nyumbani vp nikuletee juice au maji.’’
‘’baby chochote nitakunywaa.’’nikajikuta nikijibu kwa kujiamini na zureiya akaondoka kwenda kuniletea kinywaji na kuniacha mimi katika sofa kubwa huku kukiwa kuna tv kubwa sana ya flatscreen ambayo ilikuwa ikionyesha picha la kihindi kwa wakati ule.lakini ghafla bila ya kutegemea nikamuona rukaiya akija na kukaa kwenye kochi machozi yakiwa yanamtoka hali iliyosababisha mimi kushangaa na kumuangalia huku mapigo ya moyo yakienda mbio.zureiya naye akaja mkononi akiwa ameshika glasi ya juice naye akiwa analia akiongozana na mwanamke wa makamo ambaye alikuwa amefanana naye vilevile ikiashiria alikuwa mama yake.akanisogelea taratibu zureiya nakunipa ile juice ambayo hakunipa mkononi aliniwekea karibu kabisa nilipokaa mimi ambapo kulikuwa kuna meza.yule mama naye akakaa kwenye kochi huku akiniangalia kwa chijo kali la hasira hali iliyosababisha nianze kutetemeka kama nasikia baridi.nikiwa katika hali ya mshangao huku macho yangu yakiwaangalia Yule mama,rukaiya na zureiya ghafla jamaa mmoja mrefu akatokea pale sebuleni na nilipomuangalia sura yake nikaikumbuka alikuwa ni Yule jamaa aliyenishika na kunibinya mkono kule palmbeach.
‘’hiyo juice nikwaajili yako Pablo au unataka uletewe damu,’’……………
Ghafla nikasikia sauti nyingine besi ambayo ilisababisha nigeuke sehemu ambayo niliisikia ikitokea macho yangu yakagonga na sura moja ya kizee ya kiarabu ambaye kwa asilimia mia moja alikuwa kafanana sana na zureiya kuliko hata Yule mama aliyekuwa akiniangalia alionekana kabisa ndio alikuwa baba wa familia ile yani baba yake zureiya na rukaiya ambao kwa wakati ule walikuwa kimya huku machozi yakiwa yanawatoka.ghafla baada ya kumuangalia vizuri nikajikuta nikishtuka sana na kuanza kutetemeka huku majasho yakianza kunitoka ghafla kama nilikuwa nimekimbia sana vile kilichosababisha nishtuke sana ni baada ya kuangalia katika mikono ya Yule mzee wa kiarabu ambaye alikuwa mkono wa kulia kashika kisu na mwingine alikuwa ameshika bastola.
‘’aiseee nimekwisha.’’nikajikuta nikijisemea kimoyomoyo huku mikono nikiweka kichwani kwa masikitiko makubwa majasho yakiendelea kunitiririka kama mvua mwanaume uzalendo ukanishinda nikaanza kudondosha machozi ambayo yalisababisha kilio kizidi kupamba moto kwa zureiya ambaye alikuwa kanipeleka katika mtego ambao nilikuwa nimeshanasa na kutoka hapo ilikuwa si rahisi
‘’hahahahahaha Pablo mbona unalia kijana??’’yule mzee akaongezea huku akijisogeza kabisa karibu na pale nilipo kisha akatafuta sehemu ya kukaa akakaa huku akiniangalia mimi katika kochi ambalo lilikuwa likiangalia na kochi nililokaa mimi.hakika Yule mzee akaanza kuniangalia kwa umakini kuanzia juu mpaka chini kisha akaangua kicheko cha nguvu sana kisha akamuangalia mke wake kwa jicho la hasira sana.
‘’mama zureiya aibu gani hii katika familia yetu na mimi nilikuwa nakuambiaga chunga watoto angalia watoto ona sasa wote hawa watoto wanamimba hivi niambie mwenyewe nikufanye nini.??’’yule mzee akaendelea na kunishtua baada ya kusema zureiya na rukaiya wanamimba jambo lililofanya moyo uzidi kunienda mbio baada ya kusikia kauli ile ambayo moja kwa moja mimi nilishajua kuwa zile mimba zao wote wawili.
‘’lakini baba zuu eeee mimi………’’
‘’kimya wewe pumbafu nimekwambia unijibu nikufanye nini mwanaharamu mkubwa wewe.’’ghafla bila ya kutegemea Yule mzee akanyanyuka na kumtandika kibao kikali mama zureiya na rukaiya na kusababisha Yule mama atoe ukulele mkali na hapo hapo damu zikaanza kumtoka mdomoni na kusababisha akina zureiya wapige makelele ya vilio lakini yalinyamazishwa na vibao vikali kutoka kwa Yule baba ambaye alionekana kutokuwa na huruma kabisa muda huo.
‘’haya sasa ninaanza na maswali kwa zureiya nambie hiyo mimba umekupa nani ndio huyu mbwa pablo sio??’’yule mzee akamrukia ghafla zureiya nakuanza kumkaba kwa nguvu nakumuuliza swali la kwamba mimba ile amempa nani.zureiya akaanza kupapalika kwa nguvu nakurusha miguu huko huko huku akitaka kujaribu kujibu lakini alishindwa kutoka na nguvu aliyoitumia kumkaba.
‘’jamani baba zuuu utamuua jamani mwanao muachee!!!’’mama zureiya akang’aka na kumsogelea Yule mzee ambaye ndio alikuwa baba yake zureiya na kuanza kuangaika kwa lengo la kumtoa baba zureiya asifike mbali katika kumkaba huko.
‘’paaaaaaaaaaaaaaa’’kibao kikali kikatua usoni mwa Yule mama zureiya na kumrudisha alipotoka kibao ambacho alipigwa na baba yake zureiya ambaye alimuachia zureiya ambaye alikuwa akikohoa kwa nguvu kutokana na kuingiwa na kabali ile.hakika mimi miguu iliisha ganzi nikabaki naangalia tu huku machozi yakiwa yananitiririka sana mikono yangu ilikuwa ipo kichwani sikuwa na la kufanya hakika nilitulia tuli nikiangalia yote na hata wala sikunyanyua hata mkono kufanya lolote nikabaki kimya kama mtu aliyebemendwa.
‘’hayaaa sasa narudia swali nani aliyekupa mimba hiyo ya mwezi mmoja??’’yule mzee akauliza tena
‘’babaa ni pablooo…’’zureiya akajibu swali lile na kusababisha Yule mzee aangue kicheko tena cha nguvu sana kisha akageuka na kuniangalia mimi kisha katika hali nisiyoitegemea akanikonyeza na kusababisha nishtuke.
‘’safiii kumbe kidume yupo hapa shekheeee nimependa sana kukufahamu Pablo kijana mdogo.’’yule mzee akaniambia na kusababisha na kuzidisha hofu itande nikabaki nakodoa macho nisijue nini cha kufanya.baada ya kujibiwa na zureiya Yule mzee akamgeukia rukaiya aliyekuwa kimya akiwa anatetemeka kama mtu anayesikia baridi kali huku akilia kilio cha kwikwi.
‘’haya nawe dada mtu una mimba ya mwezi mmoja na wiki nne inakaribia miezi miwili hebu nambie maana familia yangu sasa inachezewa na vidudu ambavyo sasa naanza kukivalia njuga mwenyewe nambie kwanza mwanaharamu gani kwanza kakutia mimba hiii ambayo tukichelewesha itaniletea aibu kubwa kwa sababu nishakula mahali ya mtu na sheria ulitakiwa uwe bikra lakini ukaamua kuruka ruka haya nataka uniambie kwanza ni nani alitekupiga na kukuharibu uso wako uliojariwa na allah[s.w]’’
‘’[kimya]’’hakika rukaiya baada ya kuulizwa vile yeye akakaa kimya nakuzidi kumtia hasira baba yake ambaye alizidi kuwa mwekundu usoni kutokana na hasira kali aliyokuwa nayo huku akimuangalia rukaiya aliyekuwa akiangalia chini.
‘’rasheed niletee ule mkia wangu wa taa haraka.’’yule mzee akamtua Yule jamaa aliyenishika mkono kule palmbeach ambaye alikuwa ametulia kimya akiusoma mchezo.baada ya kusikia hivyo haraka akageuka na kuingia sehemu ambayo sikujua alikuwa kaingia wapi.haikupita hata dakika Yule jamaa muarabu aliyeitwa rasheed akatoka huku mkoni akiwa ameshika mkia ule wa taa ambao ulikuwa una mimba na kuja kumkabidhi Yule mzee ambaye hakurembea akamrushia rukaiya na kumchapa mguuni rukaiya ambaye akaachia ukulele mkubwa sana wa maumivu baada ya kupata maumivu makali ya kuchapwa na mkia ule.
‘’nakuambia unijibu mwanaharamu wewe usie kuwa na haya.’’yule mzee akang’aka kwa hasira kisha akajiandaa na kutaka kumpelekea mwingine.
‘’baaaaaa basiii nasemaaaaaa usinichape haya nambie.’’rukaiya akamwambia Yule mzee huku akiwa amenyoosha mikono kuomba msamaha Yule mzee ili asimpige tena
‘’hayaa nambie ni nani aliyekupa mimba hiyo??..’’
‘’iiiiiiiiiiii baaaaa nisameheee ni pabloooooo.’’rukaiya akajibu na kusababisha Yule mzee atoe macho na sii yeye peke hata Yule mama naye alitoa macho kwa mshangao zureiya aliyekuwa amelala kwenye kochi huku machozi yakimtoka akanyanyuka haraka na kutoa macho alionekana kuto amini nakubaki akishangaa na kuniangalia mimi ambaye sikuwa na la kuongea niliinamia chini.
‘’baaaaaa,maaaa nisamehenii zuu mdogo wangu nisamehe pia pabloo hana makosa kwa sababu mimi ndio nilimlazimisha afanye hivyo kwa kumtisha kwamba nitamsemeaa kwa baba kama anatembea na zureiya baaa naomba msamaha wako kwa sababu sikujua nilitendalo na hata huyu Pablo ni Malaya kwa sababu ndio amesababisha nipigane kwa kumgombania yeye na mwanamke mwingine ambaye alikuwa ana mahusiano naye na…..’’kabla hata hajamaliza kuongea zureiya akanyanyuka na kumvaa rukaiya nakuanza kumshishia makonde mazito hali ambayo sikuitegemea.purukushani zikaanza baba na mama wa akina zureiya na rukaiya wote wakajikuta wakiingia kugombelezea ambapo baada ya Yule mzee kumtoa zureiya akamkandamiza ngumi kali ya shingo zureiya na kusababisha zureiya azimie hapo hapo.
‘’baabaaaaa zuuu umeua umeuaaa mwanangu zuuuu amkaaa mamaaa yangu amka.’’mama zureiya akanyanyuka baada ya kumuona zureiya amezima na kuanza kumtingisha akifuatiwa na rukaiya ambaye naye akaanza kumtingisha zureiya ambaye alikuwa kimya macho kayafumba.mwanaume kila nilipotaka na mimi kuamka miguu yote iliisha ganzi nikabaki nikiangalia tu huku machozi yakiendelea kushamiri.
‘’mdogo wanguuu amkaaaaa’’rukaiya naye aliendelea kumtingisha rukaiya kwa nguvu lakini wapi.ghafla milio miwili ya mkia wa taa ikasikika na kutua katika migongo ya rukaiya na mama yake ambao kila mtu akaruka pembeni na kuanza kuugulia maumivu kwa kutoa mayowe kama wamefiwa vile.
‘’rasheed hebu muangalie huyu mzima au kashakufa’’yule mzee akamwambia rasheed ambaye yeye alikuwa akisubiri oda tu kutoka kwa mzee Yule ndio afanye akamsogelea karibu zureiya kisha akainama chini na kupeleka masikio yake katika mapigo ya moyo ya zureiya.
‘’mzee mzima sema mapigo yake ya moyo yapo mbali sana anatakiwa apate hewa.’’
‘’safii msogeze pale kisha muashie feni atazinduka tu.’’yule mzee akamwambia rasheed ambaye haraka akatii akambeba zureiya aliyekuwa ajitambui nakumpeleka sehemu aliyomuambia kisha akawasha feni na kurudi palepale alipokuwa mwanzo.
‘’hayaa nyie nendeni vyumbani kwenu haraka.’’yule mzee akawambia rukaiya na Yule mama ambao hawakuwa na la kutia neno wote wakatoka pale kwa kukimbia lakini akawiita tena na haraka wakarudi.
‘’hebu mchukueni zureiya mkampepe muakikishe anapata upepo washeni feni na fungueni madirisha huku mkimpepea.’’mzee akawaambia rukaiya na mama yake ambao haraka wakamsogelea zureiya na kumbeba kisha wakaondoka naye hapo sebuleni na kutuacha mimi.yule mzee ambaye ndio baba halali wa rukaiya na zureiya na rasheed ambaye alinikamata mkono palmbeach huku akiniangalia kwa macho makali.
‘’pabloooo,pabloooo,pabloooo eti pablooo hahahahaa una jina zuri sana mrembo na leo umeingia ndani ya nyumba safi nitakupa mahaba kama ulivyowapa wanangu na kuwatia mimba basi na mimi nitahakikisha na wewe nakupa mimba nikishirikiana na rasheed hapa hebu ngojea.’’mzee Yule akaniambia vile kisha akazama mfukoni na kutoa simu ambayo akabonyeza namba Fulani kwa tabasamu.
‘’haloooo…….kijana wangu hebu njoo hapa na wale wenzako wawili ndani ya dakika muwe mshafika.’’niliyasikia maneno ya Yule mzee kisha akaomba aletewe maji ya baridi na rasheed ambaye haraka akaenda mpaka kwenye fridje na kurudi na maji ya baridi ambayo alipompa Yule mzee aliyashindilia kama mtu anayegombana.baada ya kumaliza kunywa akanisogelea karibu kabisa.
‘’nambie mrembo eee umeumbika wewe mashaallah.’’nikajikuta nikiongeza kilio cha kulia baada ya Yule mzee kunitusi hakika nilikuwa nasikiaga tu kwamba kuna baadhi ya waarabu wanatabia mbaya nilijua uongo lakini hali aliyokuwa akinionyesha ilinitisha kwa sababu alikuwa ananishika shika usoni na kwenye mashavu yangu na kudirika kabisa kushuka kwenye kifua changu nakuanza kunishika eti kwenye vimaziwa vyangu vidogo nakusababisha nizidishe kabisa kuangua kilio.
‘’wee shoga unalia nini kwa nini unalia kumbe unijui subiri nikuonyeshe.’’yule mzee akaniambia vile na bila ya kutegemea akaanza kunishambulia kwa kunipa ngumi mfululizo za pua za kichwa na kusababisha nianze kuugulia kwa kupiga makelele.
‘’rasheed njoo umkamate mikono huyu bwege.’’yule mzee akamwambia rasheed ambaye haraka akanisogelea nakunishika mikono yangu vizuri na kumuacha Yule mzee akinishindilia mangumi yasiyokuwa na idadi na akaona haitoshi akachukua na kile kisu nakuanza kunichoma choma visu vya mgongo na baada ya kuridhika akachukua bunduki na kunipiga na kitako cha bunduki hadi nikazimia.nikaja kushtuka nikiwa {uchi]mtupu kabisa kama mnyama nikiwa nimefungwa kama yesu vile lakini katika mtindo tofauti nilikuwa nimeguzwa nyuma huku mikono yangu ikiwa imefungwa katika mabomba flani ya chuma ambacho bomba la kulia ulifungwa mkono wa kulia na bomba la kushoto ulifungwa mkono wa kushoto.nilikuwa nimefungwa ndani ya chumba ambacho kilikuwa hakina kitu chochote zaidi ya mimi na yale mabomba.ni mwanga wa taa tu ndio uliniwezesha kufahamu nilipo na kuanza kuangaza macho katika chumba hicho ambacho kwa wakati huo sikuwa najua nimefikaje fikaje nikabaki naangaza angaza macho tu lakini nilipoangalia chini nikaona damu nyingi zimetapakaa hadi kunifikia miguuni mwangu.ghafla nikiwa nashangaa kumbukumbu zikarudi na kukumbuka kuwa mara mwisho nilipigwa na kitako cha bunduki na baba yake rukaiya na zureiya.lakini kukumbuka huku kulianza kunipa tabu nyingine nikajikuta nikianza kusikia maumivu makali sana katika makalio yangu na hata nilipoangalia vizuri kutokana na kuwa mtupu pale niliona damu zilikuwa zikitoka huko nyuma na kusababisha nianze kupiga kelele kubwa baada ya kugundua kuwa baba yake rukaiya labda na wenzake walikuwa wameniingilia kinyume na maumbile.nikajikuta nikiangusha kilio cha nguvu baada ya kugundua hilo na hata damu hazikutoka nyuma hata usoni zilikuwa zikimiminika kutokana na kupigwa mangumi na baba yake rukaiya na hata nilihisi maumivu makali mgongoni hii ilitokana na kuchomwa visu na mzee Yule Yule.
‘’mpooooooo wapiiiii nyieeeeee mnasubiri niniiiiiiiiii niuweni tu.’’nilijikuta nikilalamika kwa kilio cha nguvu,huku nikiwa natetemeka kwa hasira kali.nilimkumbuka mama yangu hapo na hata sikujua ilikuwa ni saa ngapi muda huo kwa sababu nilitoka nyumbani Asubuhi na kumuaga nitarudi mapema hapo ndipo nilipokumbuka wosia wake kuwa Pablo wasichana wapo usikimbilie utafika muda muafaka.niliendelea kuyakumbuka maneno mengi ya mama ambaye sikujua kwa muda huo alikuwa na hali gani kwa kutoonekana kwangu.nikiwa katika kulia huku nikipiga makelele ghafla lango kubwa likafunguliwa na nikajikuta nikigeuza shingo kuangalia ni nani aliyefungua mlango nikaona sura ngeni kabisa ambaye naye alikuwa ni muarabu pia.baada ya kufungua mlango akaanza kuniangalia kwa kusikitika na kujikuta akidondosha chozi ambalo kwangu mimi lilinitia hasira.
‘’niuuuuuuue sasa niuee unasubiri nini.’’nilijikuta niking’aka kwa kukata tamaa huku nikipiga kelele nyingi na kufanya mishipa yangu kuonekana Yule jamaa muarabu akanisogelea.
‘’kijaana hauna sababu yakukata tamaa kwa sababu nipo kwa ajili ya kukusaidia wewe kurudi nyumbani ambapo unatakiwa uondoke kabisas usionekane’’yule jamaa akaniambia vile kisha akazama mfukoni nakutoka na kisu kisha akasogea upande wa kulia niliofungwa nakukata kisha akahamia upande mwingine wa kushoto na kukataa na kusababisha nidondoke.hakika sikuweza kunyanyuka na kutembea miguu ilikataa kutokana na maumivu ya sehemu ya nyuma katika makalio.kwa huruma ya Yule jamaa akanisaidia na kwa huruma yake akanibeba na kutoka na mimi nje huku akikwepa kiufundi kabisa walinzi wengine waliokuwa wakinilinda nisitoroke au labda nisitoroshwe na mtu yoyote.baada ya kufanikiwa kutoka katika kile chumba na lile jumba ambalo nilikuwa nimepelekwa tukafikia katika gari ambalo mimi nilikuwa bado nipo vile mtupu na mida hiyo ilikuwa ni usiku mnene Yule jamaa akaniingiza katika gari kisha akaanza kuliendesha kwa kasi ya ajabu.
‘’kijana nimekusaidia kwa sababu unahitaji msaada.msaada wangu huu najua utanigharimu maisha yangu lakini sitojali nimeamua kukusaidia wewe kwa sababu unaonekana bado kijana mdogo walichokufanyia wale ni mazito kwa sababu wamekuingia kinyume na maumbile na tena walikuwa wanataka wakirudi wakukate na sehemu ya siri kisha wakuue mimi nakusaidia kwa sababu sina muda mrefu wa kuishi wazazi wangu wote wamekufa kama ukimwi na hata mimi nakufa kwa ugonjwa huo.’’yalikuwa ni maneno ya Yule jamaa akaniambia huku akilia na kuniangalia mimi kiuruma lakini maneno mengine sikuyasikia baada ya usingizi mzito kutandaa
BAADA YA MWAKA KUPITA
Milio ya sauti za ndege warukao kwenye miti na upepo mwanana uliokuwa ukivuma nakusababisha mtikisiko wa majani vilitosha kabisa kunipa nguvu kubwa ya kuendelea kulima na kutojali majasho mengi yaliokuwa yakinitoka kutokana na kulima kwa umbali mrefu.yalikuwa ni maisha yangu mapya ambayo Mungu alinipangia tena kuishi na nilikuwa nikiishi na babu yangu mzaa mama yangu ambaye naye alitangulia mbele za haki na kumfuata baba ambaye alianza yeye kutangulia awali.kifo cha mama kilikuwa kimesababisha na mimi licha ya muumba kupanga kwa sababu kifo chake kilisababisha na kupatwa na mshtuko baada ya kunikuta hospitali nikiwa hoi na mimi kumwambia mkasa mzima hadi kuingiliwa kinyume cha maumbile ndio kulisababisha na kuzua mshtuko mkubwa kwa mama ambaye alikufa hapohapo.nilichukulia na babu na hata nilipotafuta matokeo yangu ya kidato cha nne nilifeli hii ilitokana na mimi kujiingiza na Maswala ya wasichana kipindi cha mwisho kabisa nilipoingia tu kidato cha nne.hakika maisha yangu yalikuwa ni ya upweke licha ya kuwa na babu ambaye alikuwa akinipa faraja sana.hakika mkasa ulionipata sitaweza kusahau na mengine nilibaki na vitendawili tu kichwani kwangu kwamba je rukaiya na zuraiya ambao wote ni mtu na dada yake je walijifungua au walitoaa mimba nilizowapa.hakika maisha ni kama kitendawili kwa sababu yanabadilika wakati wowote.
THE END (MWISHO)

