LOVE AND SEX
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 1
Mihemo ya hapa na pale aliyokuwa akihema huku akitoa pumzi zito lenye joto ndilo lilizidi kunichanganya na kunifanya nipate msisimko zaidi wa kuendelea kula tunda lake.Nikiwa katika uwanja huo wa sayari ya mapenzi Bado niliendelea kumpa mautunda yangu kwa kuendelea kumlamba kwa anzia shingoni mpaka kwenye kitovu chake na kisha kupeleka ulimi wangu mpaka kwenye ikulu yake na kwa ufundi na taratibu nikaanza kuchezesha ulimi wangu bila ya uoga wowote.
“ooohh!!!, assssh!!!! aaaaaa!!!! ma..ma..!!!ooooh!!!,ba..by..aaaaaa..p”hakika hakusita kupiga kelele ya miguno ya raha baada ya mimi kuzidi kuvuka mipaka katika uwanja wake huku nikitumia ujuzi niliokuwa nao kwa kuendelea kuichezea ikulu yake kwa kuingiza vidole vyangu kama vitatu katika ikulu yake na kusugua sugua kwa kupekecha hali iliyozidi kumpa mori na kumfanya aruke mithili ya kuku anayetaka kuchinjwa na kuanifanya nimshikilie kwa ustadi wa hali ya juu wenye msisimko ulionisisimua sana
“Baa..by…una..sub..iri.nn n..wekeee”sauti ya shinda yenye raha ndani yake akanipa ruksa nimetembelee kabisa hali iliyonifanya niiti mamrisho kutokana na ukweli mpaka alipofikia aliitaji dawa hiyo.sikuwa na muda wa kupoteza nikachukua nanii yangu nakuiweka kwenye ikulu yake taratibu huku nikiendelea kumnyonya denda zito lenye utamu zaidi ya asali.Hakika sikuwa nabudi kumpeleka mbio mrembo huyo aliyekuwa akilalamika kila wakati kutokana na speed kali niliyokuwa nikimpeleka licha ya kuwa na feni kubwa iliyokuwa imewekwa Namba Moja inayozunguka kwa kasi.
Lakini majasho mengi yalikuwa yananitiririka hali iliyomfanya mrembo huyo awe ananifuta kwa kutumia shuka huku akiniangalia kwa macho yake maregevu kama mtu aliyekunywa pombe huku akishindwa kabisa kuutawala mchezo kutokana na mimi kuupania kwa kiasi kikubwa.siku na taka sifa la hasha tatizo lilikuwa Mtoto mwenyewe ana ita kaumbika ukimuangalia tu anakupa hamasa la kuendelea na mchezo.hakika wala sikutulia niliendelea kubadilisha style(mikao)kila pale ninapojisikia huku yeye akifatisha kila ninachofanya
“Baby..Ba..by basi..ooo…unaa..niuaa..aaaaahaa ooooh inaaatosha uiwiiiiiiiii”hakika hakusita kulalamika kutoka na jinsi ninavyompeleka puta nikiwa katika mkao wa chuma mchicha. Niliendelea kumkimbiza huku nakupuuzia kulalamika kwake. Nikiwa katika hali ya kutaka kumbadilisha mikao mingine ghafla nikamuuona katulia tuli huku macho yake yakiwa yamefumba.nilijaribu kumuamsha lakini hakuitika na hata pale nilipojaribu pia kumtingisha ilikuwa kazi bure.kwa hali ya uoga Nikapeleka masikio yangu katika mapigo yake ya moyo lakini hakuna kitu nilichosikia
“Mungu wangu niumeua”nikiwa katika hali ya mshtuko ulisababisha nianze kutetemeka nikajikuta nikutoka pale kitandani na kuanza kuutafuta mlango
“Ngoo!!!,ngoo!!!,ngooo!!!,”lakini kabla hata sijafikia mlango sauti za kugongwa kwa mlango huo niliotaka kutokea ukasikika na kunifanya nipigwe na shoti kali ya umeme iliyosababisha nisamame na kutojua la kufanya huku moyo wangu ukienda kasi zaidi ya saa.Nikiwa katika hali hiyo mlango ukafunguliwa na kuingia jamaa mrefu ambaye hakunipa hata nafasi ya kumtizama akanitandika chuma kikali cha kichwa kilichonipelekea kupiga ukelele mkali wa maumivu
“Mamaaaaaaaaaaaaaaaaa Tiii!!!,tiiii!!!,tiii!!!,”Nilijikuta nikipiga ukelele wa mama kutoka kwenye ndoto niliyoota mpaka katika hali halisi ikifuatiwa na Mlio wa saa ya Alarm niliyoitegesha iliyokuwa ikionyesha saa kumi na moja na nusu Asubuhi.nilijitahidi kunyanyuka lakini majimaji katika boxer yangu niliyovaa wakati nikilala ikiashiria kuwa nilijipiga goli mwenyewe.hakika kwa kipindi kirefu nilikuwa naota ndoto nikiwa nafanya mapenzi hali ambayo iliniumiza sana kichwa changu kutokana hali ile ilinifanya nitamani sana tendo hilo lakini kila nilipojaribu kumtongoza msichana nilikuwa nakataliwa bila sababu ya msingi.katika kipindi hicho ambacho nilikuwa nipo kidato cha nne ndio kipindi ambacho nilianza kupenda wasichana kutoka na marafiki zangu wote wa kiume kuwa na wasichana huku wakati tukiwa tunapiga stori kila mtu alikuwa anamsifia msichana wake katika Nyanja tofauti jambo lililopelekea mimi kila siku kuota ndoto nikiwa nafanya mapenzi kwa sababu ya kuangalia sana video za ngono.
“Pablo mwanangu Amka uende shule unachelewaaa ujue”Maneno kutoka kwa mama ndio yalinishtua kutoka kwenye dimbwi kubwa la mawazo na kunifanya niamke na kwa mwendo wa haraka haraka nikaenda kuoga kisha nilipomaliza nikavaa nguo zangu za shule nilizozinyoosha jana yake na kuvaa kisha nikatoka na kwenda kumimina chai kutokana na mazoea niliyojiwekea kila Asubuhi kunywa chai ili kujiweka Mchangamfu kabla ya kwenda shule.
“Pablo mwanangu nataka leo usinywe chai kwasababu nataka nikutume kwa Anko wako morroco hoteli ukampelekea mzigo wake kisha uende zako mwanangu”
“ooooh mama lakini siunajua shida ya magari halafu unajua Mama nitachelewa shule hapa nilipo nishachelewa magari ya tabu ya buguruni”
“Naelewa mwanangu lakini sina jinsi yani nakuomba tu hata ukichapwa leo usijali mwanangu tatizo nilisahau kukwambia”
“Sawa nipe basi haraka haraka ili niwahi kufika” Sikuwa na budi kumkatilia mama yangu kutokana na kuchelewa kufika shuleni.Mama akanipa nauli kisha bila kuchelewa nikatoka kwa mwendo wa kukimbia mpaka stendi komakoma na kupanda gari la tandika lililokuwa limejazaa sana.nikiwa nimejibana bana safari ya kufika morocco hoteli ikafika kisha nikashuka na haraka haraka nikaanza kuelekea kwa anko kwa lengo la kumpelekea mzigo wake.kutokana na kona kona nyingi za kuchanganya ilinifanya nitembee mdogo mdogo huku kimoyomoyo nikiwa nachukia hali hiyo.ghafla nikiwa nakaribia mtaa wa nyumbani kwa anko sauti nzuri ya perfume nikaisikia ikipita katika pua zangu na kunifanya niisikilizie nakuifuatilia harufu hio nzuri ya perfume na kutua katika msichana wa makamo hivi mwenye uzuri wa kuvutia ukimuangalia anaonekana kabisa alikuwa anaasili ya kiarabu wakati huo alikuwa anakuja nilipo mimi hali ilinifanya nisimame na kuanza kumuangalia jambo ambalo hata yeye Alilioana nilipomuangalia sana niligundua alikuwa amenuna huku mkononi akiwa ameshika mfuko nisioujua amebeba nini ndani yake.Mwendo wake wakinyonga ulitosha kabisa kujua alikuwa anaringa.nikiwa nimemkazia macho akanipita bila hata ya kuniangalia na mimi nikabaki namsindikizia kwa macho hakika niliogopa kumsalimia kutokana na kuwa na bahati mbaya na wasichana nikajikuta nikimuangalia mpaka alipoingia katika nyumba nzuri iliyozishinda nyumba zote mtaani hapo kwa uzuri.kwa hali ya kusononeka nikajikuta nikisimama Nakuingalia nyumba yao huku mawazo mengi juu yake yakiwa yanaanza kunitesa
Sehemu Ya 2
“aaaa unawezaje kumpenda mtu usiyemfahamu”nikajikuta nikiingia katika dimbwi la mawazo huku nikiendelea kujishangaa mwenyewe kwa kumpenda mtu nisiye mjua hata jina lake hakika Miguu yangu ilisita kabisa kutaka kuondoka hapo na kujikuta nikiendelea kuikodolea mimacho nyumba hiyo huku nikiangaliwa na kila mtu anayepita lakini hakuna hata aliyenisemesha.
“We Pablo Pablo vp mbona unashangaa na huku unafanya nini??” alikuwa ni sauti iliyonishtua na kujikuta nikimuangalia anayenisemesha na kumuona Halima rafiki yangu ninayesoma naye darasa moja huku akiwa ni rafiki pekee wa kike niliyekuwa nikiongea naye darasani kwetu.
“aa..aaa halima vp kumbe unakaa huku??”
“Ndio..wangu mzima lakini wapi halafu mbona unashangaa??”
“hamna naenda kwa Anko hapo kumpelekea mzigo wake”
“mmh muda huu haya bana lakini lazima uchelewe au leo unaenda kuchapwa lazima”
“Basi kama vp tangulia na begi langu umuachie Denis”
“mmmmh haya lete”hakika kuonana na halima pale kulinipa faraja kutokana alionekana kama mwenyeji nikampa begi langu na kumuacha akiondoka huku nikipanga cha kumuuliza nifikapo shule…………
Kwa mwendo wa haraka haraka nilifanikiwa kumpa mzigo wake Anko huku salamu tu ndiyo iliyofuata kutokana na kuwa na haraka ya kuwahi shule.Nilifanikiwa kupata gari mapema nilipofika kituoni lakini Foleni kubwa ndio iliyosababisha nichelewe shule na kukuta bonge la mtiti kwa wale wachelewaji hali iliyonifanya nianze kuhofia kuchapwa siku hiyo.Mwalimu mkuu ndio aliongoza kuchapa huko kwa wanafunzi huku akiwa anagawa barua ya kuita mzazi kwa sababu tatizo la uchelewaji lilizidi kukithiri katika shule yetu.licha ya mimi kuelewana sana na mwalimu mkuu kutokana na maendeleo mazuri shuleni lakini hali ya uoga ulichukua nafasi yake kutokana na hasira aliyoionyesha mwalimu mkuu kwa kumchapa kila mwanafunzi fimbo tisa.
“Hadi na wewe Pablo unaanza kuchelewa unaleta mchezo eeee”ni sauti ya mwalimu mkuu Johnson na kuzidi kuniogopesha kutokana na kuniuliza kiukali zaidi.nilinyanyuka na kuanza kujitetea kwa kumueleza ukweli kabisa jambo ambalo lilimfanya mwalimu mkuu atulie kidogo na kuanza kutafakiri nini cha kufanya kuhusu mimi.kwa hali ya huruma aliniruhusu niingie darasani huku nikiwa siamini amini na kuwaacha wanafunzi wengine wakiwa wanalalamika na kuacha msala mzito dhidi yao.niliingia darasani na kumkuta mwalimu wa bailogia akiwa anafundisha ambaye baada ya kuniona akaanza kuniuliza baadhi ya maswali ya kwanini nilichelewa aliniruhusu nikakae na moja kwa moja nikaenda kwa halima na kuchukua begi langu huku nikimwambia Nina mazunguzo na yeye ikifika mapumziko.Mungu si athumani mapumziko ikafika na kwa haraka kabisa nikamfuata halima ambaye alikuwa bado yuko katika darasa lake akiendelea kuandika notes alizoacha mwalimu ubaoni
“Halima eee inakuaje?”
“Poa pablo hivi ule msala umeupitaje maana leo mwalimu mkuu alikuwa anawatandika watu waliokuwa wamechelewa”
“Aaa tuachane na hayo mimi nilikuwa nina shida halima”
“Hee shida gani tenaaa babuu?”
“Pale nilipokuona ndio mitaa yenu ile??”
“yeah nina kaa pale pale mtaa ule ule vp kwani”
“Daa basi leo nimeona msichana mzuri wa kiarabu anakaa nyumba nzuri nzuri pale kwenu sio siri nimetokeaa kumpendaa sanaa”
“Hahaaaaaahahahahaha pablo bana yule anaitwa zureiya bana ila utaweza nikuonganishie Maana washikaji kibao Mtaani wamemshindwa kutokana na swagga za yule mtoto kumuingia vigumu”
“Daaa nionganishie halima fanya hivyo”
“Pouwaaa hebu nipe namba yako ili tuongee vizuri leo” Hakika mafanikio ya kumpata zureiya msichana ambaye sio siri uzuri wake ndio ulinipagisha ukanijia kichwa changu huku nikimtumia halima ambaye aliniambia kuwa alikuwa ni rafiki wa karibu ndio ulinifanya nijipe moyo.hakika siku hiyo iliishi haraka sana huku katika siku hiyo nikiwa shule mawazo juu ya zureiya ndio yaliniandama sana kichwa changu huku kila nifunguapo daftari kwa lengo la kusoma niliiona picha yake kubwa katika daftari langu na kunifanya nishindwe kabisa kusoma.saa ya kuondoka ili wadia huku nikiendelea kumkumbusha halima kuhusu inshu tuliyoongea na kuniahidi ikifika saa mbili usiku ndio atakuwa naye na kunifanya nijiandae.nikafika nyumbani nikiwa na shauku kubwa ya kusubiri saa mbili kufika.kama ilivyohada mida ya saa mbili kama na nusu hivi mlio wa simu yangu ukaita na kunifanya niache kula na kwenda kuikimbilia simu yangu na kuona jina la halima katika kioo cha simu yangu.kwa hali ya kudunda kwa moyo nikajikuta nikiipokea huku mapigo yangu ya moyo yakienda kasi sana
“Haloo pablo”
“halima vp”
“Pouwa basi huyu hapa zuu kama vp ongea naye”nikiwa na shauku kubwa la kusikia sauti yake ghafla simu yangu ikazima na kutokana na kuisha chaji.nilijikuta nikipandwa na hasira huku nikijilaumu na kwenda kuichomeka simu yangu katika chaji lakini kabla hata yakuichomeka simu yangu chaji umeme ukakatika na kunifanya nizidi kuishiwa nguvu huku nikienda njee na kukuta umeme kote umekatikA
“Daa tanesco hawa maboya kweli”Nilijikuta nikiwalaumu tanesco huku muda mwingine nikijilaumu mimi kwa kusahau kuweka simu yangu katika chaji.Nikiwa katika shauku kubwa ya kusubiri umeme lakini mpaka mida ya saa tano usiku umeme ulikuwa bado haujarudi na kunifanya Nilale siku hiyo nikiwa na manung’uniko makubwa kutokana malengo yangu ya kuongea na mtoto mzuri zureiya kuanza kuingiwa na vikwazo vidogovidogo.kama kawaida tena Asubuhi na mapema nikaamka nakukuta umeme usharudi nikachomeka simu yangu chaji kisha nikaenda zangu shule.halima hakusita kunilalamikia kuhusu suala ya kukata simu huku akinilaumu na kutosikiliza maneno niliyokuwa najitetea.Furaha kubwa alinionyesha halima Alinipa namba yake ya simu nakunifanya furaha yangu izidi kipimo na kumkombatia jambo ambalo yeye lilimsisimua na kubaki akiwa ananiangalia kwa macho ya kulegea kisha nikamtoa buku mbili ya kama kumpa pongezi kwa kuweza kunipa namba.Siku hiyo nilichelewa kurudi shule kutokana na kazi za kufanya kuwa nyingi za kufanya masahihisho ya mtihani tuliofanya siku hiyo.ilipofika mida ya saa mbili nikaichukua simu yangu na kuichukua namba ya zureiya iliyokuwa nimeiandika katika daftari langu nikaisave katika simu yangu kisha kwa hofu kubwa yenye kusababisha kudunda kwa moyo nikaipiga.Nilipiga namba hiyo ambayo iliita tu lakini haikupokelewa kama Mara tatu na kunifanya nibaki katika hali ya unyonge.Nikiwa katika hali ya mawazo yaliochukua nafasi kama nusu saa Mlio wa messeji ikasikika katika simu hali ilionifanya kwa haraka haraka nifungue sms hiyo
“We nanii kwani mbona usiku”Nilijikuta nikinywea baada ya kusoma messeji hiyo.nikiwa katika harakati ya kujibu messeji hiyo simu yangu ikaanza kuita na Nilipoangalia jina ilikuwa ni namba ya zureiya.kwa hali ya hofu kutokana na kuhisi yaweza kuwa labda mzazi wake nikaipokea
“hallooow………..
“Halloow we nani Mbona unanisumbua.”
“m..imii….pa..b..lo rafiki yake halima”Nilimjibu zureiya aliyeonekana kuwa na ukali kidogo kwenye kuongea.baada ya kumjibu ukimya mzito ukatalawala kama dakika moja huku kila mmoja akionekana kuogopa kumuanza mwenzie
“O..oo..kumbe wewe..enhe nambie”
“Mzima wewe zureiya”
“yeah mimi mzma lete story wangu”
“Daah una sauti nzuri sana”
“Hahaahha jamani kawaida mbona sasa sikia nikuambie kitu mimi nakuawaga free kuanzia Ijumaa so usiku mwema wangu nicheck kuanzia siku hiyo”
“Ooo daah nawe pia”.hakika ilikuwa ni siku ya furaha sana kwangu kutokana na kuongea na msichana niliyetokea kumpenda ghafla bila ya kutegemea huku kupata fursa ya kuongea ilikuwa ni kama bahati sana katika maisha yangu.furaha yangu sikusita kuionyesha kwa halima baada ya kwenda shule huku nikimuahidi kuwa ninaweza kumpata kutokana na kuongea Naye vizuri halima akusita kunipongeza kwa hatua niliyopita huku akinisisitiza na kuniambia tabia nzuri za halima.Hakika sikusita kusubiri kwa shauku kubwa baada ya kufika ijumaa ambapo ndani ya mida ya saa mbili usiku nikaweka salio na kuanza kumpigia zureiya huku nikiwa na shauku ya kuongea naye.Simu iliita sana mpaka ikakatika lakini sikusita kuendelea kumpigia huku nikiamini atakuwa labda yupo bize na kazi zake za nyumbani.Nikiwa katika hali nyingine ya kupiga ghafla sms ikaingia na nilipoiangalia ilikuwa ni ya zureiya nikajikuta kwa haraka haraka nikiifungua huku nikiwa na utayari mkubwa wa kuisoma messeji hiyo
“WE NANI?? NAKUOMBA UKOME KUNISUMBUA UMENISIKIA PLEASE NAKUOMBA NINA MUME WANGU NIPO NAYE PLEASE USHINDWE” nikajikuta Naanza kulengwalengwa na machozi kutokana na messeji hiyo iliyotumwa na Zureiya jambo ambalo lilinifanya niishiwe nguvu.nikajikuta nikizima simu yangu na kupanda kitandani huku nikianza kutokwa na machozi kutokana na kumpenda sana zureiya.hakika hali ilikuwa mbaya kwa upande wangu baada ya kuendelea kujibiwa majibu mabaya na zureiya ambaye alikataa katakata kuipokea simu yangu huku akinikataza kabisa kumpigia simu na kumtumia messeji.Hali ile ilinitia unyonge huku nikishindwa kabisa kumueleza ukweli Halima ambaye kwa mara kwa mara alikuwa akiniulizia kuhusu maendeleo yetu mimi na zureiya jambo ambalo lilizidi kuninyong’onyesha na kunifanya nishindwe kujuzuia na kujikuta nikimuhadithia mchezo mzima halima ambaye alionekana kuhuzunika na habari hiyo na kuniahidi kunisaidia huku akiniambia shughuli nzima ataicheza yeye.siku nyingi zikakatika huku halima naye kuwa bize na masomo kwa sababu kilikuwa ni kipindi cha mwezi wa sita kipindi cha mtihani sikuendelea kumsumbua kutokana na hali hiyo.baada ya kumaliza mitihani tukafunga shule na sisi form Four tukipata likizo fupi kutokana na kujiandaa na mtihani.Nikiwa katika likizo hiyo siku moja usiku nikapigiwa simu na halima ambaye alionekana na furaha kuongea na mimi huku akiwa na taarifa kubwa ya kuniambia.
“Pabloo ee zureiya anataka kuongea na wewe Jumamosi Njoo Nyumbani” habari hizo za janeti zikanitia uoga mzito sana huku nikiwa na tahadhari kubwa ikanibidi niendee kufanya shopping kariakoo na huku nikijipanga kwenda kuonana na Zureiya.siku zilizidi kwenda haraka huku mawazo yakiendelea kunitawala kichwa changu kutoka na kuwa na bahati mbaya ya wasichana nikiwa katika umri wa miaka kumi na nane nilishatongoza wasichana karibia kumi na kuishiwa kukataliwa vibaya vibaya na jambo lilikuwa naliofia na kukataliwa na zureiya na kuamini kama nitakataliwa basi litanitesa sana na kuniaribia hata masomo yangu kutokana na ukweli kwamba zureiya alikuwa ni msichana ambaye namuhitaji
“Daa sijui itakuaje.”…….
Siku ya miadi ikafika na Asubuhi na mapema kabisa nikajiandaa kwa kumaliza kufanyafanya kazi za nyumbani ambazo nilizozizoea kufanya kisha mida mida ya kama saa sita nikaanza kujiandaa.kabla hata sijamaliza kujiandaa messeji katika simu yangu ikaingia na nilipoisoma ilikuwa ni ya halima
“Oy fanya fasta basi kuja”nilikuwa naingalia angalia sana messeji hiyo huku moyo ukinienda mbio hofu kubwa bado iliendelea kutawala katika nafsi yangu huku nikiwa na Asilimia ndogo kabisa ya kukubaliwa.Bila ya kuchelewa nikamuanga mama kuwa ninaenda kwa rafiki yangu kisha kwa haraka haraka nikawai stendi na kufanikiwa kupata gari lililojazaa jambo lililosababisha kutokaa baadhi ya vituo kutokana na gari hilo kujaa watu wengi.
Sehemu Ya 3
“konda moroko shusha”kwa kujiamini kabisa nikamwambia konda na kumpa nauli huku nikiwa nimebanwabanwa na watu na kushuka salama baada ya kushuka nikatulia kidogo pale kituoni na kuanza kujiangalia angalia na kujiweka vizuri kutokana na siku hiyo kuhisi kama nimependeza licha ya kutosifiwa na mtu yoyote mpaka nilipofika pale hata mama aliishia kuniangalia bila ya kusema chochote.kwa mwendo wa haraka haraka nikaanza kukatiza mitaa huku nikiwa na hofu sana na kuangalia kila sehemu zilizokuwa na vioo na kujiangalia angalia.Nilipoanza kukanyaga mitaa ya akina halima ndipo moyo wangu ulipozidi kunienda mbio sana huku nikijaribu kujiweka hali ya kujiamini kwa kuongea maneno ya kuwa mimi mwanaume ili niondoe hali ya uoga.nilifika mpaka katika umbali kidogo na nyumba ya akina zureiya nakuanza kuangalia angalia huku nikichukua simu yangu na kuanza kuitafuta namba ya halima kwa lengo la kumpigia.
“Pablooooooooo”sauti kutoka nyuma yangu ikanishtua na kunifanya nigeuke na kumuangalia aliniita na kumuona halima aliyekuwa katika hali ya kutabasamu kisha akanisogelea na kunishika mkono kisha nakuuanza kutembea naye kwa kumfuatisha kila sehemu anayopita.kwa kupitapita vichochoro kwa mwendo mfupi safari yetu ikagota katika kibaraza kilichopo katika kichorochoro hicho ambacho kilichokuwa akina pita pita nyingi za watu.katika kibaraza hicho nilimuona mrembo mkali aliyekuwa akiniangalia baada ya kufika ambapo baada ya kuvuta kumbukumbu ndio nilipogundua alikuwa si mwingine bali ni zureiya mrembo ambaye kama ukimuangalia huto gundua mapungufu yake katika urembo wake na uzuri kama ukimuangalia.Nikiwa katika hali ya hofu nilitoa tabasamu hafifu na kumuangalia zureiya ambaye pia naye akaachia tabasamu zito lenye madimpozz mashavuni na kunifanya nizidi kuingia.
“Jamaani eee acheni niwaache nakuja sasa hivi” halima aliaga kwa haraka haraka kisha kwa sauti ya chini chini ambayo zureiya hakuisikia akanambia muda ndio huu maliza sasa kisha akaondoka na kuniacha mimi nikiwa bado nimesimama.nikajizoa zoa na kukaa na kumsogolea zureiya aliyekuwa anaangalia pembeni kisha bila hiyana nikaanza kuanzisha mazungumzo.
“Mambo vp zureiya”
“Pooua palo nambie”
“Haha jamani sio palo ni pablo bana”
“Hahaha sawa pablo nilisikia una shida na mimi haya nambie sasa nakusikiliza”
“Oouk pouwa unajua nini yani tangia siku ya kwanza nilipokuona sio siri nilitokea kukupenda sana yani ni…n..lijikuta tu nakupenda kutokana na muonekana wako ulivyo unaonekana mkarimu,mstaarabu yani nimekupenda.”
“hmmm pablo unanichekesha sana jamani sasa hivyo mkarimu sijui mstaarabu umevijuaje wakati haunijui kiundani??”
“Aaa yani siku ya kwanza tu nilipokuona niliviona katika ndani ya moyo wangu kupitia macho makali yenye kuchuja kizuri na kibaya hebu nakuomba nijibu unanipenda au unipendi zureiya au nikupe muda??”
“muda unataka unipe muda muda gani sasa wakati muda wenyewe ndio huu.sikiliza pablo mimi sikupendi na wala hunivutii hata kidogo yani siwezi kutembea na mwanaume kama wewe nashangaa mtoto wa kiume unavyojisumbua kunitumia messeji zako yani unanikera ndio maana nikamwambia halima akuite ili nikupe vidonge vyako yanii nakuchukia SIKUPENDIIIIIIII.”Maneno yale yaliingia moja kwa moja katika moyo wangu na kunifanya niachie tabasamu lenye machungu huku machozi yakianza kunilenga lengaa……..
Moyo wangu haukusita kuniuma kutokana na maneno yale ya zureiya huku nikijitahidi kuyazuia machozi yaliokua yanachuruzika katika mashavu yangu jambo ambalo sikutaka kabisa kutokea lakini nilishindwa kuyazuia machozi hayo.nilimuangalia zureiya kwa macho ya huruma na kusababisha yeye angalie pembeni baada ya mimi kuwa namuangalia.licha ya kukataliwa lilikuwa si jambo geni kwangu lakini kukataliwa na zureiya kuliniumiza sana moyo huku rekodi yangu ya kukataliwa ikifikia kumi na moja ya kwamba nishatongoza wasichana kumi na moja lakini wote waliishia kunipa majibu yale yale.
“Hivi kwa nini mimi kila siku nakataliwa??,au mbaya daa nyota yangu chafu eee??Why me kila siku nakataliwa na wasichana tofauti tofauti au kwa sababu sio sharobaro nini?? wasichana kumi na moja kumi na moja daa hata mmoja licha ya kujiamini sana au sina swagga nzuri??basi bana sitaki kupenda hovyo hovyo sitatongoza tena msichana mmh ila nitaweza kweli?? yah nitaweza kiubishi ubishi”Kichwa changu kiliendelea kujiuliza maswali kimoyomoyo maswali ambayo hayakuwa na majibu kisha nikakata ushauri wa kutotongoza msichana mwingine.baada ya maneno ya zureiya yale sikutaka kutia hata neno nikanyanyuka na mdogomdogo nikaanza kuondoka bila ya kuongea chochote jambo ambalo hata halikumshtua zureiya aliyekuwa anaangalia pembeni na kuondoka kwangu alikuwa hajaniona.nilimaliza kichochoro kile na kumuona halima akiwa amekaa katika kibaraza kilichokuwa kinaangaliana na kichochoro kile.nilimuangalia halima nakuhakikisha ajaniona kisha nikaondoka kwa haraka ya ajabu ili asinione kutokana angeniuliza matokea ya majibu baina ya mimi na zureiya.Nikafika stendi na kukuta basi jeupe bila ya kupoteza muda nikapanda na kukua siti ya mwisho kabisa.nikiwa ndani ya basi kila nilipokuwa nakumbuka maneno ya zureiya niliishia kudondosha machozi yalionifanya macho yangu kuwa mekundu.hakika sikuwai kujua kuwa mapenzi yanauma hasa ukikataliwa na msichana ambaye unampenda kupita maelezo.nikiwa ndani ya gari simu mfululizo zikaanza kuingia na nilipokuwa naangalia zilikuwa ni za halima na zureiya siku na hamu tena ya kupokea simu yoyote zote nikaziacha mpaka zikakatika zenyewe kisha nikazima simu yangu kutokana na kuhofia kuipokea kutokana na kumpenda sana zureiya.sikutaka tena kuisikia sauti yake hata papo hapo namba yake ya simu nikaifuta huku nikiwa najisahaulisha kuikumbuka.nilifika nyumbani na kumkuta mama yangu akiwa nje barazani akiwa anapunga upepo nikamsalimia kisha nikataka kuingia ndani lakini baada ya kuniona tu aliniita baada ya kugundua sio sawa.
“Pablo mwanangu unaonekana una tatizo vp kwema huko utokako.”
“ndio mama mbona sina tatizo.”
“Mmmh hamna nambie kama unatatizo usipo nambia mimi utamwambia nani.”
“yeah ni kweli nimemkumbuka sana baba leo ni miaka miwili sasa inakaribia tangia atutoke na siku ya leo nimejikuta nikimkumbuka sana” hakika niliamua kubadilisha mada kwa kumchomekea mama ambaye baada ya kugusia kukumbuka kifo cha baba yangu aliyekufa kwa ajali ya gari mada ambayo mama hakutaka kuchangia kitu akaniruhusu mimi kuingia ndani na mimi kuingia ndani ambapo moja kwa moja nikaenda mpaka chumbani kwangu nakujibwaga kitandani huku nikiamua kupoteza mawazo kwa kuimba nyimbo za michael jackson ambazo nilihisi kama zitakuwa msaada kwangu kwa kupotezea kumbukumbu ya kukataliwa kwangu.hakika siku zilisonga kwa ilivyo mipango niliyoweka kwamba tangia kukutaliwa na zureiya matumizi ya simu nilipunguza huku mwanamke niliyekuwa naongea naye alikuwa ni halima tu na mara moja moja sana na tangia siku zile hakuniuliza chochote tuliishia kupiga story za kawaida tu hasa kutokana kipindi hicho kilikuwa likizo muda mwingine tulikuwa tukishauriana mambo ya masomo tu huku kila mtu akichangia lake.sikutaka kupokea namba yoyote ngeni kwa kuhofia labda zureiya anaweza kupiga na kusababisha mimi kuongea naye tena sikutaka jambo hilo litokee.siku moja jumapili siku ambayo jumatatu yake ilikuwa siku ya kufunguliwa kwa shule karibia zote baada ya likizo fupi ya mwezi wa sita.licha ya mimi kujiandaa karibia ni vitu vyote nilijikuta nikisahau baadhi ya vitabu ambavyo nilikuwa navihitaji na kujikuta naenda kariakoo bila kupenda.nilifika kariakoo na kufanikia mapema kabisa na kupata vitabu nilivyokuaa navihitaji.nikiwa katika harakati za kutafuta usafiri wa kurudi ghafla nikiwa stendi nikazibwa macho kwa nyuma baada ya mtu huyo kupitisha mikono kwa nyuma na kuniziba macho yangu.hali ile ilinishangaza na kunifanya kwa taratibu nikaanza kuitaka kuitoa mikono hiyo ambayo baada ya kuishika mwili wangu ukaanza kusisimika kutokana na mikono nyororo ya mikono hiyo iliyonisisimua zaidi.kwa polepole nikaitoa nikiwa nageuka na kuangalia ni nani aliyekuwa ameniziba Mungu wangu nilikutana na aliyekuwa akitabasamu jambo lililonifanya nishangaee…
Macho yangu yakatua katika tabasamu pana lenye vidimpoz katika mashavu mazuri yalioambatana na lipsi nzuri za kudenda akiwa kavaa baibui na kuficha nywele zake kwa mtandio alikuwa si mwengine bali zureiya.moyo wangu ukaanza kudunda kwa kasi na kujikuta natoa tabasamu hafifu huku uzuri wake uliokuwa umeongezeka kwa nilivyomuoana ulizidi kuwa maradufu.nilikuwa kama zuzu kwa kubaki kumuangalia mrembo huyo ambaye alizidi kuonyesha nyuso za furaha baada ya kuniona hali iliyofanya nishindwe kabisa kunyanyua mdomo wangu na kuongea
“Pablo mzima dear?”Alivyoniita dear ndio alizidi kunichanganya huku mwanaume nikionekana nauma meno kama mwanamke ambaye ndiye mara ya kwanza anatongozwa.
“P..ooa zureiy.a mzima wewe?”
“mimi sio mzima wangu naumwa”
“mmh unaumwa nini sasa mbona unazunguka huku kariakoo”
“Naumwa ugonjwa wa kukimiss wewe halafu nikiwa sielewei kwanini unijibu messeji zangu na haupokei simu yangu najua makosa yangu ni kukwambia vile na yale kweli yalikuwa maneno ya karaha but nisamehe siku zile sikuwa fresh please naomba unisamehe kwa kauli yangu niliyokutamkia” hakika niliisi kama ni ndoto kutokana na jinsi zureiya alivyokuwa ananiomba msamaha huku akionyesha uso wa huzuni.nilidhania kama nipo ndotoni lakini kila nilivyozidi kuvuta hisia ndiyo nilivyozidi kuamini huku nikishangaa msichana mzuri mwenye asili ya kiarabu leo alikuwa ananiomba mimi msamaha daa kweli ilikua ni zari tena la mentali.
“Mmh msamaha wa nini wakati kawaida tu zu..”
“Hapana mimi naumia mtu anayenipenda namkwaza jamani please sema umenisamehe au haujanisamehe”
“Nisakusamehe mbona”
“oooh jamani waooo”zureiya alisema hivyo na kuja kunikombatia bila ya kuona haya yoyote ya watu waliokuwepo kituoni wakisubiria magari.hakika kwa mara ya kwanza tangia nizaliwe nikajikuta nikisisimka baada ya kupata kumbatio zito kutoka kwa mrembo zureiya baada ya kugusanisha matiti yake yalikuwa makubwa kiasi yenye kuvutia na kugusisha katika kifua changu na kunifanya nisisimke kuliko siku zote huku karoti yangu ikichukua nafasi yake ya kusimama na kunifanya nifumbe macho kwa muda nikiwa katika kombatio hilo.
“Ouk mpenzi jamani nimefurahije kukuona pablo yani sasa chukua namba yangu hii mpya hebu lete simu yako.” nikiwa katika furaha ya hali ya juu nikampa simu yangu zureiya nakuiandika namba yake katika simu yangu kisha akajipigia.
“Ni save nani mpenzi au honey au baby lipi zuri.”
“duu zureiya bana save hata laazizi” alimaliza kusave kisha kwa furaha kubwa iliyoniingia ni baada ya zureiya kuniaga kwa sababu yeye alikuwa bado hajamaliza shopping kisha nakunipiga busu zito lililoniacha mdomo wazi.kisha akaondoka.
“Watoto wa siku hizi bana hawana hata aibu yani mbele ya umati tena mtoto wa kike anambusu kijana wa watu.eeew” nilimsikia mmama mmoja anasema hivyo lakini mimi nikampotezea kutokana na furaha iliyokuwa na mshangao ndani yake.nilisubiria basi kwa udi na uvumba baada ya kupata nikaanza kumtext zureiya ambaye hakuchelewa kurudisha kisha wote tukajikuta katika chatting nzito.nilirudi nyumbani nikiwa na furaha ya hali ya juu huku nikiwa siamini kabisa yaliotokea nilihisi labda ni ndoto lakini picha halisi ilikuja kweli.nakumbuka siku hilo sikulala licha ya kesho yake ilikuwa shule lakini mimi na zureiya tukaongea usiku mzima huku kwa maneno yake matamu akaniambia kwamba ananipenda kuliko mwanaume yoyote yule duniani na kuniahidi kuwa hatanisaliti kwa namna moja au nyingi na kunifanya nijisikie furaha iliyopita kifani.siku zikasonga huku mawasiliano mimi na zureiya yakizidi kukomaa huku wote kwa pamoja tukizingatia sana masomo na kuweka muda maalumu wa sisi kuongea ambapo ilikuwa ni kuanzia ijumaa mpaka jumapili.siku moja alhamisi nikiwa katika harakati za kujisomea kwenye mida ya kama saa nne usiku ghafla messeji ikaingia messeji ambayo iliniacha hoi kidogo.
“Baby jumamosi hamna hata watu nyumbani wote wanaondoka kuanzia mfanyakazi na kuniacha mimi nyumbani sasa kusema ukweli mimi mwenzio yani nawashwa kweli yani baby please nakuomba baby jumamosi njoo nyumbani hatutoweza kuwasiliana kesho ijumaa kutokana na ndugu zetu wote wanakuja na wengine wanalala na mimi so mpenzi njoo mimi mwenzio nawashwa sina wakunikuna zaidi ya wewe bye bye mwaah i love you.” hakika nikajikuta nikishusha pumzi nzito na kukumbwa na mawazo kidogo.hakika sikuwai kufanya mapenzi hata siku moja ni picha tu za ngono ndio nilikuwaga naangaliaga kipindi cha nyuma lakini niliachaga kitambo kuangalia.da kilichonizidi kuniogopesha ni mimi kuingia kwao katika jumba lao la kifahari duu nilikuwa katika mtihani mzito na hakika sikutaka kabisa kumuangusha zureiya katika suala lolote kutokana nampenda sana………………..
Mawazo na tumbo joto lilizidi kuniunguruma baada ya kufikia ijumaa ambapo ilibaki siku moja tu kwenda kwa kina zureiya.siku hiyo hata masomo darasani hayakuniingia kutokana na presha iliyozidi kunitawala katika kichwa changu.hakika sikutaka kwa namna moja ama nyingine kuonekana mimi mgeni katika kufanya mapenzi licha ya kuwa mgeni nilitaka nionekana mkongwe kidogo pale nitakopokutana na zureiya msichana ambaye kwa muda mfupi alinionyesha mapenzi mazito kuliko nilivyotegemea.siku hiyo nakumbuka tulirudi mapema sana shule nafasi ambayo siku hiyo niliitumia kwa kuangalia video za mapenzi ili kujiweka ufundi na ujuzi wa kumuonyesha zureiya kesho yake.
Sehemu Ya 4
“Mimi mwanaume bana nitaogopa ogopa mpaka lini??” ni maneno niliyokuwa nayasema mara kwa mara pale yanapokuja mawazo ya kama tukifumwa itakuaje Najua kuwa zureiya alikuwa ana uwezo mkubwa wakatoka kwao kutokana na kuchungwa mno mtu ambaye alikuwa na uwezo wa kumtoa ni halima tu ambaye kwa kipindi hicho nilikuwa naongea naye kawaida tu na wala sikutaka ajue kwamba kwa kipindi hicho nilikuwa na uhusiano na zureiya.Muda kama ulivyokuwa unajieleza majira ya kama saa tatu tatu usiku messeji katika simu yangu ikaingia.niliangalia kwa tahadhari na kukuta ilikuwa ni ya zureiya messeji ambayo kabla ya kuifungua nilipata shauku kubwa ya kuisoma kutokana na siku hiyo nilikuwa napiga simu ilikuwa haipokelewi.
“HI LAAZIZ WANGU AS I TOLD YOU(KAMA NILIVYOKUAMBIA) YANI LEO USIKU NYUMBANI KUANZIA BABA MAMA WOTE WANAENDA HARUSINI MIMI NIMEZUGA KUWA NINA KAZI NYINGI SHULENI NDIO MANAA SIJAENDA KWA HIYO NINA BAKI NA DADA TU AMBAYE ANAJUA KUWA WEWE KESHO ASUBUHI UNAKUJA KWASABABU NILIMWAMBIA KUHUSU WEWE NA YEYE KESHO ANAONDOKA ASUBUHI PLEASE NAOMBA UJE DONT DISSAPOINTED ME(tafadhari usiniangushe) I LOVE YOU BABY USISAHAU KUJA” hakika baada ya kusoma messeji hiyo ndefu nikajikuta nashusha pumzi zito huku nikijikuta nikienda mbali kifikra na kuanza kufikilia itakuaje kesho yake ambayo kwangu mimi ndio itakuwa kwa mara ya kwanza nafanya mapenzi.yaani masaa siku hiyo yalienda kama masihara tu nilikuja kushtuka saa kumi na mbili na nusu asubuhi ambapo bila ya kupoteza muda nikaanza kujitaarisha na kujiweka sawa.kisha mida ya saa moja moja na nusu nikanywa chai na kumuaga mama kuwa siku hiyo tulikuwa tunaenda kudiscuss masomo shuleni.Mama yangu alikuwa anapenda sana mimi kusoma kwa bila hiyana akanipa nauli na mimi bila ya kupoteza muda nikachomoka kwa haraka haraka na kwenda kupanda gari ambalo halikukawia stendi likaondoka haraka haraka.nikiwa ndani ya gari messeji ya uko wapi iliyotumwa na zureiya ndio ilizidi kunipa amsha amsha na kuzidi kujipa moyo na kujisema kama maji ukiyashazuliwa ni wajibu na sharti uyaoge.kama ilivyoaada mida ya saa mbili mbili asubuhi nilikuwa nishafika katika jumba lao ambalo baada ya kufika nikasogea mpaka kwenye geti lao na kuanza kugonga huku nikibonyeza switch ya kengele iliyowekwa katika geti lao.nilimshukuru mungu kwa kiasi kutokana na mida hiyo watu walikuwa wachache katika mitaa yao na licha ya kugonga gonga kwangu hakuna aliyetilia maanani kugonga kule.ghafla nikiwa katika harakati za kugonga mlango ukafunguliwa na kukuta na zureiya ambaye aliachia tabasamu zito huku akijing’atang’ata mdomo kichwani alikuwa kaachia nywele zake ndefu ambazo siku hiyo ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuziona zilizozidi kunipa amsha amsha nilishuhudia kiuno chake cha namba nane kutokana na kanga aliyovaa huku nikishudia kitovu chake kwa mbali kutokana na kishati kifupi alichovaa mwili wangu ukaanza kunisisimuka kabla hata ya kuingia ndani.
“Unashangaa nini pablo ingia mpenzi” zureiya aliniambia hivyo huku akinivuta ndani na mimi kuingia ndani hapo na kukaribishwa na mandhari nzuri ya bustani zilizotengenezwa vizuri huku nikishuhudia swimming pool ambayo mimi kwa mara nyingi nilikuwa nazionaga kwenye hoteli tu.
“Karibu laaziz wangu hapa ndio kwetu nyumbani ninapoishia jumba leo lipooza hamna hata watu kwa hiyo leo ni siku ya mimi na wewe kuu.. ” zureiya aliniambia hivyo na kunikaribisha katika sofa kubwa katika sebule yao kubwa iliyopambwa vizuri na tv kubwa flat screen na mwanaume kujikuta nikitoaa macho makubwa kama nimebanwa na mlango huku shingo yangu nikiiingaisha kwa kuangalia huku na kule katika sebule hiyo.nikaribishwa kwa juice nzito na kukataa chai kutokana na kushiba kisha zureiya akaniaga na kwenda kuoga na kuniacha mimi pale pale sebuleni nikiiangalia tv.ilipita kama dakika kumi na tano baada ya zureiya kuniaga kuwa anakwenda kuoga ghafla nikiwa katika hali ya kuangalia tv zureiya akatokeza akiwa kavaa chupi tu na sidiria na kuja mpaka mbele na kuiziba tv niliokuwa naiangalia.Macho yakanitoka baada ya kumuangalia zureiya ambaye sio siri ukiachilia mbali na uzuri wake lakini msichana huyo alijaaliwa hata umbo lake alikuwa na shepu ya maana huku akijaaliaa matiti mazuri yaliokaa vizuri katika kifua chake macho yake yalikuwa mekundu huku akiniangalia mimi na kuanza kunisogelea taratibu na kuzidi kuniweka katika hali ngumu kutokana tayari alikuwa kashaniamsha hisia zangu.akanisogelea mpaka pale kisha bila ya kuuliza akapiga magoti na kuanza kunichezea koki yangu ambayo ilikuwa iko ndani ya suruali.aliichezea chezea kwa muda kisha akanifungua zipu na kuitoaa kabisa na kubaki akiniangalia machoni huku kwa taratibu akaanza kuiramba ramba kisha akaidumbukiza yote mdomoni na kuanza kuinyonya kama ananyonya pipi na kunifanya mwanaume niaanze kutoa miguno ya raha na kuanza kuangaika angaika kwa muda.juhudi zake za kuninyonya zilizidi kuongeza na kuzidi kuniweka katika hali ya raha ambazo tangia nizaliwe sijawai kupata.sikusita kutoa miguno ya raha hali ambayo ilimfanya zureiya asimame na kuniangalia kwa muda.
“Unaonekana mgeni baby hivi ushafanya mara ngapi mpaka sa..” kabla hata zureiya alijamaliza kumaliza kuongea ghafla mlio wa honi ya gari ukasikika baada ya gari hilo kuingia ndani kwenye geti.wote tukajikuta tukiangika na kutoa jua la kufanya kwa wakati huo…………
Kukuru kakara za hapa na pale zilizidi kuendelea huku mimi nikivaa kabisa shati langu niliyokuwa nimeivaa huku naye zureiya akivaa vaa vizuri kanga yake kutokana alikuwa ndani ya chupi na sidiria tu aliongea kwa ishara tu na kuniamrisha nitulie huku yeye akiendelea kuchungulia chungulia dirishani na kuniacha nikiwa na hofu kubwa huku moyo wangu ukiwa unadunda kwa saa.hakika kumbukumbu za zureiya ziliniokoa kwa namna moja ama nyingine baada ya kukumbuka kwenda kuchukua viatu vyangu nilivyovua katika mlango wao kisha akanichukua mkuku mkuku mpaka katika chumba chake na kuniweka chini ya uvungu wa kitanda kisha akatoka.kwa muda waka nusu saa niliendelea kukaa ndani ya uvungu wa kitandani bila ya mafanikio ya kutoka kwa sababu ndani ya muda huo sikusikia zureiya.nikaanza kumuomba mungu aniokoe katika balaa hilo ambalo kama kweli linatokea basi nitakuwa nimekwisha.nikiwa katika mawazo huku nikiendelea Na maombi mazito ghafla mlango ukafunguliwa nikajikunyata na kuzidi kusogea mwisho kabisa wa kitandani chini ya uvungu.
“Nimeshakuona hahaha toka haraka iwezekanavyo haha baby muoga wewe” ilikuwa ni sauti ya zureiya iliyonifanya nishushe pumzi zito sana na kutoka katika chini ya uvungu.ile natoka tu zureiya akanirukia huku akichilia kanga lake aliyovaa na kubaki kama kawaida akiwa na sidiria na chupi.
“Alikuwa nani kwani??”
“Mmh ni haloo wangu yule yani mjomba alikuwa kaja kuniambia kuwa leo watarudi usiku sana baby kwa hiyo ww kuondoka jioni nataka nikufundishe utamu wa asali kutokana na wewe nakuona mgeni sana”
“Ooo maana moyo wangu unaenda mbio kama nakimbizwa bana”
“Usijali baby mimi mjanja na wala hata ingekuwa nani tusingeweza kubambwa” zureiya akaniangalia kwa muda kisha akanianza kunifungua vifungo vya shati niliyokuwa nimevaa huku akaninyonya nyonya masikio na kushuka kwenye shingo huku mimi nikianza kumbinya binya makalio yake yalikuwa makubwa kiasi na kuzidi kunirudisha katika hisia.zureiya akanisukumiza mpaka katika kitanda ambapo mimi nikalala kisha yeye akaja juu na kuanza kunifungua mkanda wangu kisha na kunivua suruali yangu nikishikiliana na mimi niliyeimaliza.Akaja kunivaa kwa kupeleka mkono wake katika karoti yangu na kuanza kunishika shika kisha akaingiza mkono wake ndani ya boxer yangu na kutoa karoti yangu na kuendelea utundu wake kwa kuanza kuninyonya tena kwa ufundi na kuzidi kunipagawisha na kubaki mimi nikianza kutoa miguno ya raha.aliendelea vizuri kwa muda kisha akaniamrisha ninyanyuke na kuniambia ni mnyonye matiti yake yaliokaa vizuri ambapo bila ya kuchelewa nikaanza kuyanyonya kwa pupa na kusababisha anaanze kutoa migunoo ya raha Miguno ambayo ilizidi kunipa hamasa na kujikuta nikipeleka mkono wangu katika ikulu yake na kuzidisha kelele zake na kumshuhudia akihema juu juu kama mtu anayekimbizwa.nilimnyonya mpaka nilivyohisi inatosha kisha nikamlaza kutoka na yeye kuonekana kama kaishiwa nguvu.kisha nikamvua chupi yake na yeye bila ya haraka akanyanyuka akiwa katika mfumo wa kulala na kunishika kichwa changu na kukipeleka mpaka katika ikulu yake kisha yeye akalala na kuniacha mimi nikiwa macho yangu yakiangalia ikulu yake iliyokuwa imekasirika kwa kutuna.hakika vitu hivyo ilikuwa ni mara yangu ya kwanza nilikuwa naangalia movie tu za ngono ambapo ikifika sehemu ya ya kumnyonya mwanamke sehemu yake ya siri nilikuwa naonaga uchafu flani hizi na kuahidi kama nikikutana na
/ msichana sitamnyonya lakini kwa wakati huo nilikuwa sina budi kufanya hivyo kwa hali ya kufumba macho nikashuka taratibu na kuanza kunyonya kwa ufundi wa kutumia katika picha zetu zile huku nikichezesha chezesha ulimi wangu kwa ustadi wa hali ya juu.
“Asssss ooooo p…aaa….b…oo…mmmmhhhhhhhj aaaaaaaaa.oooooooo…ue…ndeleeeeeeeeeeaaaaa….” kwa shida ya hali ya juu zureiya alikuwa akitoa miguno ya raha ya hali ya juu huku akiwa ana kunja kunja shuka na kuangaika angaika huko na huko katika kitandaa alikuwa ana shika shika mara mto mara anishike kichwa na kuzidi kunifanya mimi nizidi kuendeleaa kwa kunyonya kama nakula embe na kuzidi kumpagawisha zureiya.Nilifanya vile kwa muda mpaka zureiya aliponambia sasa tuanze kazi baada ya yeye kuwa hajiwezi.kwa taratibu taratibu nikaanza kupeleka nanii yangu katika ikulu yake na kuizamisha yote na kuanza rasmi kuingia katika uwanja mpya kabisa wa sayari ya utamu wa mapenzi huku ikiwa ni kwa mara yangu ya kwanza kufanya hivyo.kadiria nilivyozidi kusukumiza gurudumu ndio kasi yangu ilizidi kuongeza na kuzidi kumpagawisha zureiya alikuwa naye hayupo nyuma alikuwa akifanya kila awezavyo kwa ujuzi wake.nilikuwa mgeni lakini nilionekana kama fundi ambaye ni mjuzi kabisa wa mambo hayo huku kila mkao anaotaka zureiya nilikuwa nakabiliana nao na kumpagawisha zureiya ambaye hakusita kunimwagia sifa kedekede zilizidi kunipa sifa mpaka mwisho wa raundi ya kwanza hakuna aliyeonakana kumaliza wala kuchoka kila mtu alikuwa anahitaji kuendelea na wote hatukusita kufanya hivyo zureiya aliendelea kunipa vitu vipya na kuzidi kunipa hamasha wote tukajikuta tukikaa mikao mingi style kama ishirini.tulianza kama mida ya kama saa nne na mchezo mzima ukaisha saa kumi jioni ambapo mimi na zureiya kwa pamoja tukaenda kuoga huku na kuanza kutaniana na kucheka kwa pamoja.hakika ilikuwa ni siku ya furaha sana kwangu na kiukweli nikajikuta nikijiona mwanaume sasa kamili baada ya pongezi nyingi kedekede kutoka kwa zureiya ambaye kwa kila wakati alipokuwa ananiangalia alikuwa anatabasamu sana
“Hivi pablo ukiongea ukweli kabisa kutoka kwa Mungu hivi mpaka leo hii ushafanya mapenzi na wasichana wangapi..??”
“Hahaa mmoja tu zureiya ambaye ni wewe mpenzi”
“mfyuuuu hebu kuwa mkweli bana usitake unikasirishe yani mimi ndio msichana wa kwanza unamanisha leo ndio mara yako ya kwanza kufanya mapenzi??”
“Ni kweli sasa unataka niseme niliwai wakati sikuwai youre the first girl kufanya naye mapenzi is true wewe ndio wakwanza.”nilimwambia kisha nikamsogelea na kutaka kumbusu lakini akanizuia.
“sasa mbona fundi kiasi hicho.??”
“Fundi wa nini sasa”
“hahahahaha unajifanya ujui ulichonifanyia muda si mfupi uliopita??
“Mimi ndio natakiwa nikuulize ya kwamba mimi ni mwanaume wako wa ngapi kusex naye..??”
“Ooo wewe watatu sasa wengine wawili nilishaachana nao”
“Duu watatuu pouwa tu” nilijifanya kama nasikitika baada ya zureiya kuniambia kuwa mimi nilikuwa mwanaume wake watatu kufanya naye mapenzi kwa lengo la kumuona atafanya nini nilimuona zureiya akibadilika kidogo kisha akanisogelea karibu na kunikombatia kisha nakunibusu.
“Pablo tatizo wewe ulichelewa sasa baby ila nakuomba kitu kimoja mimi sio mwanamke wa kuchezea chezea nakuomba usiniachae jamani please nakuomba??”
“usijali i cant leave you mpenzi.” asikukwambie mtu utamu wa mapenzi bwana ni mwanzo wake siku hiyo nilikuwa kisha mida mida ya saa kumi na moja na kama na nusu nikaanza kujiandaa kwa lengo la kuondoka.nikiwa nimeshavaa nguo zangu huku naye zureiya akivaa baibui kwa lengo la kunisindikiza ile tunataka kuufungua mlango tu.ghafla macho yetu yakashuhudia kitasa kikijinyonga kuashiria kama kuna mtu anaufungua mlango.milio ya kufutwa kufwa vumbi za viatu vilisikika kabisa masikioni mwangu huku moyo wangu ukaanza kunidunda na kuanza kutumbua macho.
“Mtumee”nilimsikia zureiya akisema neno hilo huku akiniachia mkono alionishika na wote tukabaki kuangalia ni nani aliyekuwa anaingia………………
Majasho yakaanza kunitoka kwa muda mfupi kuliko nilivyotegemea miguu yangu yote ikafa gamzi hali iliyomkuta na zureiya ambaye kwa wote kwa pamoja tukajikuta tukisimama tusijue la kufanya.Mlango ukafunguliwa aaaa sura ya mrembo mwingine aliyefanana kabisa na zureiya akaingia lakini naye akashtuka baada ya kutuona sisi hali iliyomfanya asimame na kutuangalia kwa shauku kubwa.
“Uuuuuups dada rukaiya nimeshtuka mwenzio nilijua tusafumwa leoo haahahahaha Ahsante mungu weeee pablo ni dada yangu huyo.”
“oooh kumbe huyu ndio shemu pabloo jamani karibu yani mimi naingia wewe ndio unataka jamani daaa”
“Hahaha hamna jamani siku nyingine nitakuja”
“Mmh haya shemu mimi naitwa rukaiya ukipenda niite rukie” dada yake zureiya aliyekuwa makamo kabisa na zureiya akanipa mkono huku akitoa tabasamu ambalo lilinipa hisia tofauti lakini nikaopokea mkono wake na kupotezea flani hivi lakini nikashtusha na Mkonyezo aliotoa rukaiya ambao zureiya hakuuona Nikabaki kutoa na mimi tabasamu feki na kuachia mkono wake huo ambao ulikuwa umeshikana na wake.nikamuaga kisha mimi na zureiya tukatoka na zureiya akaanza kunisindikiza mpaka stendi ambapo bila ya kuwa na aibu zureiya akanikombatia pale pale stendi na kuanza kuninyonya denda lililowaacha watu wengi wakiwa na Mshangao huku kila mtu akisema lake baada ya tukio hilo lililonifedhehesha hata mimi kwa namna moja ama nyingine.kupata kwangu gari la haraka liliniwezesha kufika nyumbani katika mida ya saa moja kasoro Ambapo baada ya kufika nyumbani na kumkuta mama akiangalia tv nikaanza kumrukia rukia na kumkombatia mama huku nikibusu mashavu yake jambo ambalo lilimfariji.
“unaonekana una furaha sana Mwanangu nambie una nini…kinachokufurahisha nambie”
“hamna mbona kawaida muda mwingine furaha inakuja tu yenyewe najiona niko Mbali..nakupenda sana”
“Mmh haukosagi cha kuongea Mwanangu wewe haya bana Nenda basi ukale.” nikajinyanyua pale kisha mdogo mdogo nikaelekea chumbani kwangu na kwenda kujibwaga.Hakika furaha niliokuwa nayo ilifuka kipimo furaha yangu iliyopitiliza baada ya kufanikiwa kufanya mapenzi na zureiya msichana ambaye kwa urembo tu alikuwa ana “A” Ilinifanya mimi nijisifie tena na kujiona kidume cha mbegu haswa.nikiwa katika hali hiyo zureiya akanipigia simu tukaendelea kuongea Mambo ya mapenzi yetu kama kawaida na kilichozidi kuniweka uhuru katika nafsi yangu ni pale aliponiambia kuwa Mimi nilikuwa Mwanaume Fundi sana katika Mapenzi.hakika siku ziliyoyoma sana tangia nilivyofanya Mapenzi na zureiya ilipita kama Miezi miwili nilikuwa sijaongeaa naye hii ilitokana na Mimi kujiandaa na Mitihani yangu ya form 4 iliyokuwa ikikaribia.hakika kwa ubinafsi niliumia kwa kutowasiliana naye lakini kwa upande wa pili zureiya yeye hakuwa na kinyongo na mimi bali alizidi kunipa moyo wa kukaza buti na kunishauri sana nizingatie masomo na nisiutumie muda mwingi kumuwaza yeye.siku moja ijumaa siku ambayo kwa mimi niliona muda muafaka wa kuongea na zureiya nikamtafuta zureiya kwa kumpigia simu Ambayo baada ya kupiga simu iliita kidogo kisha ikakatwa Niliendelea kupiga tena lakini hali ile ile iliyotokea tena.Moyo wangu ukaanza kuniuma Baada ya hali ile kujirudia kwa muda na nilipiga Mara kama Hamsini iliendeleaa kuita kisha inakatwa.roho yangu ikaanza kuniuma baada ya hali ile na kujikuta nikipandwa hasira za ajabu iliyotaka kusababisha iwe nusu nimuandikie messeji ya matusi.hali ile ikaendeleaa mpaka katika mida ya saa nne usiku mpaka nilipoamua kulala na kujikuta nikipitiwa Saa hiyo hiyo na usingizi mzito.Ghafla katika mida ya saa saba usiku simu yangu ikaitaa na kutokana na kelele kali kutoka katika simu yangu nikajikuta nikiamkaa muda huo na nilipoangalia saa nilikuja kugundua ilikuwa ni kama saa nane kuelekea saa tisa usiku.Nilijikuta nikiangaza macho na kukaa kitako baada ya screen yangu ya simu kuandika Laaziz wangu ikimaanisha alikuwa si mwingine bali alikuwa ni zureiya.Nikiwa katika hali ya kuutoa usingizi nikaipokea na kuiweka sikioni huku kumbukumbu ya kukatiwa simu zangu kutoka kwake ikaja haraka katika kichwa cha fikra yangu na kujikuta usingizi wote kuisha na kuwa na shauku kubwa ya kuongea naye.
“Ba…b..y ni.ni..na m..atatizo..” ghafla moyo wangu ukaanza kunidunda baada ya kusikia sauti hiyo ya zureiya ambaye aliyesikika kwamba anaongea huku kama analia tena akiwa na wasiwasi hata ule usingizi uliobaki ukaisha nakujikuta nikisimama kabisa huku nikiishikilia Simu vizuri.
“Matatizo gani tena??”
Sehemu Ya 5
“Yani baby sijui nikuanzie wapi Njoo unichukue nipo buguruni hapa stendi naogopa kubakwa na…….” akiwa bado hajamaliza kuongea simu yake ikakatika na kuniweka mimi katika hali mbaya baada ya kupiga simu yake tena na kuambiwa ilikuwa haipatikani.Maswali mengi yaliandamana kichwa changu na kuanza kujiuliza usiku wote huu tena saa nane usiku ilikuaje kuaje mpaka zureiya yupo buguruni.kichwa changu kikaaza kufikiria kama labda atakua ananitania lakini kulia kwake kulimaanisha kabisa kwamba mtu huyu alikuwa na matatizo kweli.Bila hata ya kujiuliza sana nikavaa nguo zangu usiku huo huo kwa lengo la kwenda kumchukua zureiya buguruni lakini kila nilipokuwa nafikiria gari Nitapata wapi nilikuwa nakosa jibu. umbali komakoma mwananyamala mpaka buguruni ulikuwa mrefu sana hata uoga ukaanza kuniingia baada ya kufikiria vibaka,majambazi na labda sungu sungu wanaokamata watu wanaotembea usiku.lakini nilipomfikilia zureiya Jukumu la kutoka nyumbani hapo tena kwa Kutoroka ilinijia katika kichwa changu.Baada ya kuvaa viatu nikaanza kunyata nyata na kufanikiwa kuufungua mlango na kuufunga kwa utaratibu wa hali ya juu kuepuka kukuru kakala zitakozomshtua Mama aliyekuwa kalala muda huo.lakini baada ya kuufunga mlango huo nikakaribishwa na vibration ya simu yangu iliyovaibrate katika simu yangu iliyoashiria kuwa kuna sms iliyokuwa imeingia na kunifanya nigande pale pale na kuifungua.
“pablo ni matatizo kweli ujue hapa nilipo nimejificha katika duka moja kwa nyuma hapa buguruni stendi nakuomba njoo unichukue tutaongea vizuri ukija.” nikaisoma messeji ile iliyonifanya nitoe muhemo mkali sana na kutoa pumzi ndefu kisha nikaanza kutembea kwa mwendo wa kunyata mpaka kufikia geti na kulifungua kwa umakini wenye uangalifu wa juu na kufanikiwa kuufungua bila ya kelele na kufanikiwa kutoka nje.mishale ya saa yangu ikasoma saa nane na nusu nikaingia mtaani nakuanza kutembea kwa mwendo mdogo mdogo wenye haraka flani hivi huku macho yangu yakiwa yanaangalia huku na huko.Kutoka ninapoishi mpaka katika stendi kulikuwa na kuambali mrefu kidogo na kuna michoro choro mingi sana ili kuifikia stendi.hali ilikuwa kimya huku kiza kizito kikitawala niliendelea kuvuka kichoro baada kichoro huku nikimuomba Mungu aniepushie balaa kutokana na usiku ni hatari sana hasa katika mitaa yetu yenye kesi nyingi na unyan’ganyi na ubakaji.Mfukoni nilikuwa nina elfu tano tu ambayo sikuisahau kuibeba ambayo ilikuwa ni kama akiba yangu niliokuwa nayo.hakika sikuwai kutegemea kwamba ningekuja kumpenda msichana kiasi hicho mpaka kujikuta nikiweka hatarini maisha yangu ya kutembea usiku mzito bila ya uoga huku nikijikuta nikikubaliana na hali yoyote ile itakayo nitokea.Mungu si Athumani jamani nikajikuta nikifanikiwa kufika stendi ya mabasi bila ya kukutana kizingiti chochote na kukuta watu watatu wakionekana kama wanasubiria gari kutokana na kusimama katika stendi hiyo.
“Za saa hizi jamani”Nilijitutumua kuwasalimia wale watu niliowakuta pale stendi ambao kwa bahati nzuri salamu yangu ikaitika kwa hali ya Amani kabisa.
“Vp mdogo wangu mbona usiku sana sisi wenzio watu wa sokoni tunataka tukapokee mizigo yetu buguruni je wewe waenda wapi??”
“Mimi mwenyewe naelekea huko huko kuna sehemu Nimeitwa kuna tatizo”
“Oohoo basi itakuwa vyema..tupo pamoja”Hakika nikaanza kusikia Amani katika moyo wangu baada ya kugundua na wao wanaelekea buguruni na kujikuta nikijiachia kabisa stendi kwa kusubiria gari huku mawazo yangu sasa yakianza kumulika kwa zureiya ambaye kila nilipokuwa na vuta picha ya yeye kuwa buguruni usiku huo nilikuwa bado sipati taswira.Tukafanikiwa kupata gari baada ya kukaa stendi hapo kwa muda wa dakika kumi na tano na ilikuwa kama Mungu tu kutokana na gari la kwanza la kuchukua Abiria lilipotekea lilikuwa ni la buguruni.wote tukapanda na gari nzima abiria tulikuwa watatu tu na hapo ndipo nilipoanza kumpigia simu zureiya.simu ambayo iliita kwa muda kisha ikapokelewa.
“Zureiya mimi ndio nipo kwenye gari sasa nisuburi hapo hapo”
“Mmmh kwenye gari??? unaelekea wapi mbona usiku huu” Jibu lile alilonijibu likaniweka katika hali ya mshangaoo wenye butwaa na kunifanya nigande kidogo kuzungumza na hasira ikaanza kunipanda kidogo kidogo.
“Wewe si umeniambia upo buguruni una Matatizo ndio nakuja hivyo nipo kwenye gari”
“Jamani,Jamani baby pole duu its just jokes tu mume wangu nakutaniaaa”
“Nini wewe demu msengee ni.
“Yani pablo unanitukana kwa kuniambia mimi msengee”
“Ndio msenge Malaya wewe yani unanifanya mpaka nahatarisha maisha yangu kwa kukupenda wewe unaniactia upo buguruni yan…” Nikiwa katika jazba nzito iliyochanganyika na hasira kali moureen akakata simu baada ya hasira kunizidi na kujikuta nikimtukana kutokana na hasira zilizozidi kikomo kunitawala kabisa kwa wakati huo.Nikiwa ndani ya gari hilo mida ya saa tisa na nusu usiku Nikanyanyuka haraka na kusimamisha gari kutokana na wakati huo tayari nilikuwa nishafika kinondoni studio huku tukiwa vile vile tulivyokuwepo ndani ya gari hilo.Nikatoa noti ya elfu tano nakumpa konda ambaye akanirejeshia chenji iliyobaki na kunisusha pale pale studio ambapo kwa wakati huo kulikuwa hamna watu kabisa barabara ilikuwa nyeupe na ya kutisha sana.Baada ya kushuka nikaanza kukimbia mbio ndefu huku kwa tahadhari kubwa huku shingo yangu ikiwa inaangalia huko na huku.moyo wangu ulizidi kunienda mbio cha kwanza niliogopa sungusungu pili niliogopa majambazi au wakabaji ambao mida hiyo ilikuwa ndio mida yao ya kazi na maeneo ya kuanzia kinondoni mpaka kwetu komakoma ambako kulikuwa hakuna umbali sana ndio uliongoza kwa vitendo hivyo.Nikiwa kabisa nakaribia kuingia komakoma ghafla sauti nzito ya mluzi wenye kuashiria kama naitwa ukasikika katika masikio yangu na kunifanya nipate uoga na kujikuta nikisimama kwa hofu.
“Oyaaaaaaaa mwanaaa inakuaje na mbona mbiombio usikuuu huu halafu wewe yanki tu unatoka wapi dogo??”
“Hamna braza nina matatizo”
“Matatizo wapi unaniua boya halafu hamkosagi mitonyo nyie madogo kama nyie wazee wa klabu wazee wa kujirusha” aliongea yule jamaa aliyeonekana kama mvuta bange kutokana na lafudhi zake za uongeaji kisha akaingiza mfukoni na kuchomoa kisu kidogo jambo ambalo likanipa hofu kubwa na kuzidi kutetemeka.sikutaka mpaka aanze kuongea tena mwenyewe nikazama mfukoni na kutoa noti za elfu mbili mbili na kukabidhi jambo ambalo lilionekana kumfurahisha kidogo na kucheka kwa nguvu na kuzidi kuniweka katika hali ya wasiwasi
“Sasa sikia dogo unaelekea wapi??”
“Naelekea hapo mtaa wa pili.”
“Sawa basi twende nikusindikize siunajua mida mibaya hii na wewe najulikana kote huku wenyewe wananiitaga the mafia boy usije wakakudedisha bure. Hakika Maneno ya yule jamaa yakanirudisha katika hali ya kawaida lakini kwa hali flani nilikuwa bado nina wasiwasi kidogo kutokana na jamaa mwenyewe alivyo alikuwa anaogopesha.Kwa mwendo wa haraka haraka wenye stori za hapa na pale kutoka kwa yule mvuta bange zilisababisha nifike nyumbani haraka huku kwa msaada wa kunisindika akanifikisha mpaka katika nyumba yetu kisha akaniaga na kuondoka zake.kwa kutumia njia ile ile nikafanikiwa kuruka ukuta na kuingia ndani na kwa mwendo wa kunyata nyata ukaniwezesha kabisa kuingia chumbani kwangu ambapo baada ya kufika nikajibwaga kitandani na kuanza kuchekecha kichwa changu kilichaaanza kutawaliwa na maswali mengi yasiokuwa na Majibu husika.
“Daa ila nilimtukana lakini sijui itakuaje maana baada ya kumtukana akakata simu kuashiria nimemkera.sijui nimuombe msa
aha daa lakini yeye ndio mwenye makosa sana kanikosea sana utani gani ule??ambao ungehatarisha maisha yangu??” hakika maswali hayakuisha kabisa mpaka kulipokucha sikupata hata lepe la usingizi kutokana na kuwaza sana.Nikajikuta nikiandika messeji ndefu ya kumuomba msamaha lakini nilipokumbuka kuwa alinikosea sana nikajikuta nikipotezea na kujifariji kuombwa msamaha labda.Hakika kama mchezo vile wiki ilikatika na sikupokea simu yoyote ya zureiya wala messeji jambo ambalo liliniumiza kwa kiasi kikubwa na kuamini kuwa nilikuwa sipendwi na mrembo huyo.kila nilipokuwa nakumbuka siku niliyofanya naye mapenzi nilijikuta nikishindwa kabisa kujizuia kulia kutokana na kumpenda sana.licha ya hayo yote kutokea lakini roho yangu ilikuwa ngumu kabisa kupigia simu na wala kumtumia messeji pale tu nilipokumbuka kuwa Alinifanyia mchezo mbaya ambao yeye hakutaka kuniomba radhi.kama yeye alivyouchuna nikajikuta na mimi namchunia kabisa na kudiriki kufuta Namba yake na kubaki nikiumia moyo wangu pale tu nilipokuwa nakumbuka kipindi kifupi cha Mapenzi yetu tuliyoyapitia.siku zikazidi kukatika na kujikuta nikimsahau zureiya baada ya kupitia miezi miwili hali hiyo ilisababishwa na kujiandaa kwa mtihani wa mwisho wa kidato cha nne ambao ulinifanya nikitumia muda mwingi kukazania masomo yalioniweka hali ya ubize na kunifanya nisiwe na mzuka hata wa kushika simu yangu.ila siku Moja nikiwa nasubiria gari la Nyumbani baada ya kutoka shule nikiwa standi nagombania magari yaliokuwa yamejazaa kutokana na watu wengi waliotoka makazini mwao.Ghafla nikiwa katika hali ya Mshangao Nikakombatiwa na msichana ambaye kunikombatia huko kulivuka mipaka baada ya kupeleka kabisa mdomo wake katika kinywa changu nakujikuta nikimzuia kutokana na wanafunzi wenzangu walikuwa pale na miongoni mwa watu ambao walishangazwa sana na kitendo kile na kujikuta nikimsukumiza kidogo na kumuangalia ni nani aliyenifanya vile.Macho yangu yakakutana na mrembo aliyekua kavaa dera zuri la kuvutia huku machoni kwake akivaa miwani ya meusi ambayo aliivua na kujikuta nikipata mshangao mkubwa na moyo kuanza kunidunda kwa kasi kidogo.Baada ya kumuona dada yake zureiya rukaiya aliyekuwa akitabasamu huku hakikosa aibu kitendo alichofanya kilichowapa maswali mengi wazee na watu wengine wenye heshima ambao wakaanzisha mada kuniongelea.Maswali ya haraka haraka ya kujiuliza ilikuwaje dada yake zureiya kufanya vile kunikombatia kisha nikanipa denda ambalo sio siri lilinisisimua ndio likanipa wakati mgumu na kujikuta na mimi nikitabasamu kidogo na kumuangalia.
“Hee jamani pablo shemu kwanini unamtesa mdogo wangu unajua kakonda kwa ajili yako.anakutumia messeji ujibu anakupigia simu upokei.”
“Daa sijashika simu muda nipo bize na masomo yangu siunajua bado mwezi mmoja tu”
“Oooo sasa unasubiri nini hapa”
“gari la kwenda nyumbani”
“Aaaaa haya twende basi tukachukue bajaj nitakulipia pia nitakusindikiza mpaka kituoni kwenu kisha mimi nitarudi”
“A..aa…aa….s..awa basi twende” nikajitutumua kijibu kisha nikawaaga washikaji wenzangu ambao walikuwa wananiangalia huku wengine wakinisifia kwa kunipa majina mengine ya sifa kutokana na kuongozana na mtoto wa kiarabu rukaiya dada yake zureiya.tukachukua bajaj hapo hapo kituoni na kuanza kuondoka na huku tukipiga stori za hapa na pale.Lakini kilichozidi kunishangaza ni pale mrembo huyo aliponisogelea karibu kabisa kisha akanyanyuka na kunikaria katika mapaja yangu kisha akageuka nakuniangalia na kujikuta nikitaka kuongea lakini akaniwahi kwa kuniziba mdomo kisha bila ya aibu akaupeleka mdomo wake katika mdomo wangu na kuanza kunyonyana denda ndani ya bajaji hiyo na kusababisha dereva wa bajaji huyo kuwa katika wakati ugumu baada ya kumshuhudia akituangalia angalia kupitia kioo cha bajaj hiyo kilichopo mbele.
“pablo Nakuomba achana na mdogo wangu hajui mapenzi yule atakutesa njoo kwangu nitakupa penzi muda wowote unakao niitaji please nakuomba usiniangushe kwa hili”……..
Hakika maneno aliyokuwa anayatamka rukaiya huku akiendeleaa kunibusu katika baadhi ya sehemu kama shingoni huku akiendeleaa kunilamba lamba kwa katika masikio yangu yalizidi kunisisimua huku maneno yake yakutaka niachane na zureiya msichana ambaye nampenda kupita maelezo ndiyo yalizidi kunichanganya na kuniweka katika wakati mgumu hasa ukiangalia uzuri aliokuwa nao rukaiya mrembo ambaye sio siri alikuwa anachuana vilivyo na mdogo wake zureiya hasa katika sekta ya shepu ambayo rukaiya alimzidi kidogo zureiya.Macho yake yakurembua yakiambatana na midomo yake mekundu iliyokuwa tayari kabisa kunyonywa denda vilitosha kabisa kuniweka katika hali mbaya sana na kujikuta nikimzuia rukaiya baada ya kutaka kuvuka mipaka kwa kutaka kunishika nanii yangu iliyokuwa katika hali ya hasira kutokana na utundu utundu aliokuwa ananifanyia rukaiya tukiwa ndani ya bajaj ambayo ilikuwa inakaribia kabisa kufika kituo cha nyumbani.
“Pablo yani sijiwezi au kama vp sasa hivi twende ukanipe Mambo kama uliyompa zureiya katika guest yoyote nzuri iliyokuwepo mitaa hii si unakujua vizuri huku.??”
“Heee rukaiya aaa…siku nyingine bana mimi siwezi kwa sasa ukizingatia nina mitihani inanikaribia please tuta….”
“Ssssshhh unajua sitaweza kukuachia Mpaka ukubali ombi langu yani sitaweza basi nihaidi jumamosi hii tukutane sehemu unitimizie Azma yangu”.Hakika katika maisha yangu yote niliyokuwa nikiishi kabla ya kukutana na zureiya sikuwahi hata siku moja kufikilia kama itakuja kutokea mitihani kama hiyo kutokana na rukaiya kuning’ang”ania sana nikajikuta nikikubali na kumpa namba yangu ya simu huku yeye akinisisitiza kuwa nisiongee kabisa na Mdogo wake la sivyo atakuja kumwambia baba yake inshu hiyo jambo ambalo likanishangaza hasa nilipoanza kujiuliza ni kwanini rukaiya anafanya vitu kama vile.bajaj ilipowasili kituoni komakoma nikashuka huku nikishindikizwa na busu zito kutoka kwa rukaiya ambaye alibaki mulemule katika bajaj ambayo baada ya mimi kugeuza kisogo iliondoka.katika Pande mbili tofauti nikaanza kufikiria vitu viwili ambavyo vikaanza kunichanganya cha kwanza kumuacha zureiya ilikuwa jambo ambalo lilikuwa gumu licha ya kuwa niligombana naye na nilikuwa na lengo la kusuluhisha tofauti zetu pindi tu nitakapomaliza mtihani lakini pili jambo lingine lililozidi kuniweka katika hali ngumu ni kutembea na dada yake zureiya rukaiya ambaye naye pia alinipa mkwara mzito kwamba nisiongee tena na zureiya na kuzidi kunitisha kwamba nitakapofanya hivyo basi atalifikisha jambo la mimi kutembea na zureiya kwa baba yao.kwa mwendo wa kujisogeza sogeza nikafanikiwa kufika nyumbani na kutomkuta mama ambaye kwa wakati huo alikuwa kazini na mimi nikajitupa kitandani nilipofika chumbani kwangu na kujikuta nikipatwa na usingizi mzito ulionichukua gafla huku nikiwa hata sijabadilisha nguo zangu za shule.Nilikuja kushtusha na sauti ya mama ambaye alikuwa akinitingisha tingisha nikiwa pale kitandani huku akiniita.
“Pablo vp unaumwa mbona umelala ukiwa na nguo za shule.??”
“Hapana mama uchovu tu wa masomo siunajua tena”
“Mmmh haya basi amka ukachukue maji ukoge uwe vizuri mimi napika sasa hivi ili ule ujisomee”
“Sawa mama” nikajikokota na kuamka na kuvua nguo zangu za shule na kuvaa taulo kisha nikaenda kuoga na nilipomaliza nikachukua simu yangu ambayo kwa kipindi cha kama miezi mitatu nilikuwa siitumii na kuiweka katika chaji kisha nikaenda kwanza kula baada ya mama kunambia kuwa msosi ulikuwa tayari na baada ya kumaliza nikarudi katika chumba changu kisha nikaitoa simu yangu kwenye chaji ambayo haikuwa bado haijajaa na kuiwasha.Lakini cha kushangaza baada ya kuiwasha tu simu ikaita na nilipoingalia ilikuwa ni namba mpya iliyokuwa haijaseviwa jambo lililosababisha nianze kuhisi kuwa namba ile ilikuwa ni ya rukaiya.
“Haloow”
“Haloow nambie mpenzi wangu pablo rukaiya hapa” hakika kama nilivyodhania ilikuwa kweli ni sauti ya rukaiya ndio ilisikika katika speaker na kusababisha nianze kuvuta pumzi ndefu na kujifanya nikijikohoresha pasipo na sababu na kukaa kimya kama alivyokaa kimya rukaiya aliyekuwa akinisikiliza.
“Vp pablo mbona kimya mbona hauongei.”
“Hamna rukaiya me sina cha kuongea nakusikiliza wewe tu”
“ooo sawa kama nilivyokuambia tulipokuwa kwenye bajaj achana na zureiya kwanza wala hakupendi ndio maana kwa makusudi akakudanganya na kukufanyia michezo ya kijinga ukiwa na mimi utafaidi vingi kwanza kwa muda mrefu nilikuwa natafuta penzi tamu nahisi kwako nitalipata kuanzia jumamosi nataka tukutane twende tukafanye yetu umenielewa lakini usiogope kuhusu zureiya kwanza hatojua pili nataka kuanzia leo umsahau nitakua bize simu kwa siku mbili hizi kutokana na kubanwa na kazi so tutaongea vizuri ijumaa kupanga tutakutana wapi jumamosi love you bye”Nikajikuta nikishusha Pumzi ndefu baada ya kumuelewa na kumsikia vizuri rukaiya ambaye sikujua sababu ilikuwa ni nini mpaka kufikia kunipenda kiasi kile na kuamua kudiriki kabisa kutaka kunitenganisha mimi na zureiya ambaye kwa wakati huo tulikuwa tumegombana na kati yetu hakuna aliyemuanza mwenzio kwa lengo la kusuluhishana. kiusema kweli hata mimi sikuwa tayari kabisa kumuomba msahama kutokana zureiya alinifanyia masihara ambayo yalitaka kuhatarisha Maisha yangu na yeye pia nilihisi kuwa hakuwa tayari kuniomba msamaha kwa sababu nilimtukana ndio kilikuwa ni kisa kilichosababisha yeye anikatie simu pindi nilipokuwa namtukana na tangia siku hiyo yeye hakunitafuta na mimi sikumtafuta.siku zilikatika kwa haraka sana hali iliyonishangaza sana kutoka jumatatu siku niliyokutana na rukaiya mpaka kufikia ijumaa siku zilienda haraka mno na kunifanya nianze kuhisi labda mawazo niliyokuwa nawaza kwamba siku nitakayokutana na rukaiya na kwenda kufanya nae Mapenzi.hakika siku hiyo ijumaa ilienda vizuri tu na nilienda shule salama nakurudi salama na nilipofika nyumbani kama kawaida nikawasha Simu yangu nikiwa na lengo la kupokea simu ya rukaiya kama miadi ilivyokuwa.Nikiwa katika hali ya kusubiri kama kawaida simu ikaita kwa upole nikaichukua na kuanza kuangalia jina la mpigaji huku nikiwa nishajiwekea kuwa ilikuwa si ya mwingine bali ilikuwa ni ya rukaiya.Ghafla moyo wangu ukaanza kunidunda baada ya macho yangu kuona jina la Laaziz wangu likijiandika katika simu yangu likiashiria kuwa alikuwa si mwingine bali ni Zureiya ambaye kwa kipindi cha miezi miwili mitatu kilipita bila ya yeye kunipigia simu wala kunitumia messeji Nikiwa katika hali ya uoga uoga nikaipokea simu hiyo kisha nikaiweka sikioni na kutulia.
“Hallow pablo za siku mpenzi” kwa mara ya kwanza baada ya miezi miwili kupita nikajikuta mwili ukinisisimka baada ya zureiya kuongea kwa sauti yake iliyokuwa nyembamba na kujikuta nikitulia kidogo kumjibu kisha nikamjibu.
“Nzuri tu mzima wewe??”
“uzima ni utolee wapi pablo kwanza kabla ya yote nakuomba unisamehe baby Am sorry kwa yale yote yaliotokea laaziz wangu kumbuka nilikuhaidi kuwa nitakupa moyo wangu kwa kukuthibitishia vitu vingi ambavyo cha kwanza ni kukupa penzi langu ambalo watu wengi waliitaji nilikataa nakupa wengine please baby nakuomba unisamehe.sahau yote yaliotokea nisaheme kwa yale yote niliyokufanyia baby nakuomba kesho jumamosi tukutane palm beach hotel upanga pale nina mazungumzo na wewe nimekumiss pia nataka kukuona usiku mwema leo baba yupo naogopa atakuja kunisikia bure i love please dont ignore(nakuomba usipuuzie).” Akili yangu ikaanza kuvurugika kabisa baada ya zureiya kukata simu na kunifanya nibaki na Mshangao huku mawazo katika kichwa changu ndio yalizidi kuniandamana.Nikiwa bado nafikiria nini cha kufanya Messeji katika simu yangu ikaingia na nilipoangalia Moyo wangu tena ukaenda kwa kasi baada ya kuona jina la dada yake zureiya rukaiya ndiye aliyetuma messeji.Nikavuta pumzi kisha nikabonyeza kitufe cha kufungulia messeji ambapo baada tu ya kufungua nikaanza kusoma messeji kwa umakini.
“Hello dear natumaini uko pouwa sasa basi kesho nataka tukale raha Palm beach hotel nataka uje tupeane utamu siku nzima mpaka jioni Onyo kama hautokuja pablo kama hautokuja pablo narudia?? utajua jeuri ya pesa ya baba yangu itavyokuja kiutafuna familia yenu”Nikasoma messeji hiyo nakujikuta nikiishiwa nguvu kabisa hasa aliponambia kuwa nitajua jeuri ya pesa ya baba yangu.Nakilichozidi kuniacha katika ndimbwi zito la mshangaoo ni kuwa sehemu aliyoitaja zureiya anayotaka tuonane ndio hiyohiyo anataka rukaiya tuonane hapohapo na kuzidi kubaki njia panda…..
INAENDELEA


2 Comments
nice
Pretty! This was a really wonderful post. Thank you for your provided information.