AISEE KUMBE RAHA
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 6
‘’kiufupi maaa kama nilivyokwambia kwamba siku ile magari yalikuwa yamejaa na hakukuwa na hata gari lililokuwa na hata nafasi ya kukaa mama chiku akaniona alipokuwa kwenye taxi sasa akaniita na kuniambia kwanza nilimsindikize akachukue pesa zake kisha atanisaidia kunipeleka nyumbani sasa mama mimi ningekataa wakati mama chiku ni sawasawa na kama wewe mama yangu.’’
Maneno ya uongo yakanitoka na kumuambia mama ambaye ulisababisha avute pumzi na kutafakari baada ya kuona maneno yangu yalikuwa kama ya kweli.kusema vile kulimfurahisha sana mama chiku ambaye alizidi kunitazama kwa macho maregevu huku akionekana kupendezwa na nilivyojibu maswali ambayo alikuwa ameuliza mama.
‘’mmmh jamani haya maana chiku alisema aliwaona mkiwa mmekombatiana.’’
‘’unajua sikia nikwambie mama chiku kitu kimoja chiku siku ile nilikuwa nimekorofishana naye sasa akaona hasira zote hazimalizie kwa ile inshu mbona mimi nimemuelewesha na ameelewa harafu kuna kitu nakiona kinaendelea baina ya binti yangu na huyu mwanao Pablo na wala sio bure.”
‘’aanhaa hamna mama chiku sisi ni marafiki tu.’’hakika mama alionekana kuridhika na yale maneno yaliyosemwa pande mbili baina yangu mimi na mama chiku kisha wao wakaendelea stori zao kama kawaida mimi mwanaume nikaingia ndani nakijibwaga kitandani na kutokana na kuwa na uchovu baada ya kucheza mechi mbili tofauti nikajikuta nikipitiwa na usingizi mkubwa ambao nilikuja kushtuka baada ya kuota ndoto mimi na mama chiku tukifumaniwa na baba chiku ambaye alikuwa ni mwanajeshi, na bila ya kuuliza akaanza kutushushia kipigo cha nguvu mimi na mama chiku ambaye alipoteza fahamu kabisa
Kutokana na kipigo hicho huku mimi nikipasuliwa vibaya usoni na baba chiku ambaye akaanza kunivua nguo zangu na ile anataka kuniingilia kinyume na maumbilie tu nikashtuka na kujikuta nilikuwa naota.majasho yakaanza kunitiririka kwa kasi ya ajabu huku nikihema kwa nguvu kama nilikuwa nakimbizwa.nikainuka na kukaa sawa huku nikiendelea kuitathimini ndoto ile kwa umakini wa hali ya juu ghafla simu yangu ikaita mlio wa messeji haki iliyosababisha ninyanyuke taratibu na kwenda kuichukua.
‘’Mwenzangu pablo sijui itakuaje maana catherini ameshindwa hata kunielewa na hivi ninavyokuambia anataka kuongea na chiku kuhusu alivyotuona mchana tulivyokuwa.’’ Ilikuwa ni messeji ya suzan ambaye nilifanya naye mapenzi siku hiyo na kujikuta tukifumwa wakati tushamaliza na tupo nje tukiwa tumeshikana kimahaba mimi na yeye.haraka nikabonyeza namba za catherini ambaye haraka akapokea baada ya simu kuita kidogo.
‘’haloooow’’
‘’halooow nani mwenzangu ??’’
‘’mimi pabloo’’
‘’pabloo!!! Umepataa wapi namba yanguu????”……………………
‘’wee unajua Pablo gani.??’’
‘’pabloo??..pablo wa wapi??’’catherini akanijibu huku akionekana akiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua nilikuwa ni Pablo gani.
‘’sikia nikuambie mimi mwanaume wake chiku Pablo.’’
‘’haaa wewe Malaya namba yangu kakupa nani??’’catherin akaanza kuwaka baada ya kunijua kutokana na mimi kumuelewesha na kujikuta nikikaa kimya nakumsikiliza catherin ambaye alikuwa kashaanza kunitukana matusi ya nguoni.
‘’sikia sasa catherin kumbuka matusi hayasaidii chochote nina kitu muhimu nataka nikuambie.’’
‘’mmmh kitu gani hicho Malaya wewe unataka kunitongoza na mimi yani hapa moto mwingine Pablo na kaa ukijua muda si mrefu nitakunikisha kwa kumuambia chiku umalaya wako huo.’’
‘’sikia naomba usimwambie chiku nakuomba chochote nitakupa catherini nakuomba’’mwanaume nikapoa nakujikuta nikianza kumbembeleza catherin ambaye mara ya kwanza alisimama katika msimamo wake lakini baada ya kufanikiwa kumlanisha mwenyewe akajikuta akipoa kidogo.
‘’haya sasa mimi simwambii lakini nataka kitu.’’
‘’mmh catherin nambie chochote nitakupa lakini usimwambie chiku please??’’
‘’hahaahahha haya simwambie lakini ukitaka nisimwambie nipe laki sita kesho tutakapoona ukinipa hiyo sitomwambia’’
‘’laki sita sio tatizo nitakutumia sms nikuambie tuonane saa ngapi ili nikija tuongee vizuri nikupatie hizo pesa’’
‘’uwiii jamani nitafurahije Pablo na wala sitamwambia.’’ Nikajikuta nikitabasamu baada ya kufanikiwa kumteka akili catherini akili ambayo yeye kutokana na kuwa na tama ya pesa hakujua kichwani mwangu nilikuwa nimepanga nini.
‘’lakiiii sita hahahaha mweu kweli huyu utaona kesho.’’nilijisemea kwa kujiamini kisha nikaanza kugalagala kitandani huku nikiwa naanza kuona mafanikio Fulani ya kumteka catherini na kumuingiza katika namba ambayo yeye hatotegemea.kesho yake na mapema kidume nikaamka na kukuta messeji ya catherin akinitakia asubuhi njema jambo ambalo lilinifurahisha haraka haraka nikamuandikia messeji kuwa mimi nay eye tukutane siku hiyo saa mbili usiku jambo ambalo hata yeye haliliafiki huku hata sehemu niliyomtajia kwake alipoana pako pouwa kutokana na ukimya wa sehenu hiyo niliyomwambia sehemu ya kujificha.nikamuaga mama nakumuambia kuwa siku hiyo nitachelewa kurudi kutokana na kujisomea siku hiyo chuoni jamno ambalo mama alikubali nilimwambia vile kumtoa hofu kama nikichelewa asipate hofu.mwanaume nikatoka na breki ya kwanza nikafikia m-pesa nakutoa kiasi vha fedha kama laki moja na nusu kisha nikaenda zangu chuo.
‘’baby tunaweza tukaonana leo’’ilikuwa ni messeji ya mama chiku ambayo ilinikera sana na kujikuta nikimuandikia messeji ya vitisho kwamba asinifuatilie na kama akiendelea basi nitamfanyia kitu kibaya ambacho hajawai kufanyiwa maisha mwake.na baada ya hapo nikaendelea na ratiba zangu chuo na ilipotimia mida ya saa moja kamili nilikuwa nishatoka chuoni na breki yangu ya kwanza nikazama ndani ya duka kubwa la dawa{pharmacy}.
‘’enhee kaka nikusaidie nini??’’nikakaribishwa na maneno ya nurse muuza dawa ambaye alikuwa ni mzuri kiasi na kusababisha anivutie kidogo.
‘’daaa dada yangu nina mawazo nataka unipatie dawa ya usingizi.’’nilimuonyeshea sura ya huruma nesi Yule ambaye baada ya kumjibu vile hakuwa na kusema lingine aliipokea hela yangu nakunipa vidonge vya usingizi na kuniandikia jinsi la kumeza kisha akanikabidhi na mimi nikazipokea huku nikimuangalia sana jambo lililosababisha naye ainamie chini.
‘’jamaniii dada nianze peni hiyo mara moja na kikaratasi nina shida mara moja.’’nikamuomba kikaratasi Yule dada kisha naye akakipokea na haraka haraka mimi nikaandika namba yangu ya simu kisha nikaandika maneno ya kumwambia anipigie kisha nikamkabidhi ile karatasi ambayo aliipokea na kuanza kuisoma na mimi hapo hapo nikaondoka duka lile la dawa na hata sikufika mbali ujumbe mfupi katika simu yangu ukaingia ukisema.
‘’mimi ndiye Yule nesi naitwa loveness’’nikajikuta nikitabasamu haraka nikaisave namba yake ile na mara moja nikaendelea na safari yangu kuelekea sehemu nitakayokutana na catherine.mwanaume nikawai kufika sehemu hiyo sehemu ambayo kulikuwa na bar ikiambatana na gesti humohumo.haikuchukua hata muda mrefu catherini naye akajitokeza akiwa kavaa kimini chake kilichokuwa kikionyesha mapaja yake makubwa ambayo yalianza kunitega taratibu.catherini hakuwa mzuri sana ukimuangalia ila alikuwa ana shape mwanana ya kuvutia ambayo ni shawishi tosha kwa kila mwanaume atakayemuona.mwanaume nikamuagazia bia na yeye hakuwa na hiyana akawa anakunywa taratibu huku nikiwa naendelea kumshauri kuwa asimwambie chiku tukio lile nililolifanya.
‘’sitamwambia enhe ila hapa hatuonekani eeee’’
‘’ndioo ni sehemu tulivu hapa hatutoweza kuonekana na mtu yoyote.’’
‘’daaa hivi chooni wapi??’’catherini akaniambia na kusababisha nianze kushangilia sana nikamuelekeza chooni na yeye haraka akaondoka na kuniacha mimi ambaye sikufanya makosa nikachukua vidonge vile vya usingizi na kumuwekea kimoja katika bia yake aliyokuwa kaibakisha kidogo na haraka haraka nikailainisha kidonge kile na kidole changu haraka mpaka kikalainika kisha nikatulia.catherini akarudi kutoka maliwatoni na kama ule usemi usemayo USILOLIJUA NI SAWA SAWA NA USIKU WA KIZA catherini alivyokaa tu tena akaimalizia ile bia yake iliyokuwepo imebakia katika glasi yake ambayo nilikuwa nishamuwekea kidonge cha usingizi nikiwa na lengo kama akinywa basi alale.
‘’enhee Pablo nakunywa bia tatu hapa kwanza nipatie hi…z..o pes…aa uwiiii Pablo naona kichwa kinakuwa kizit…’’kabla hata ajamaliza kuongelea dawa ile ilikuwa ishafanya kazi yake na catherini hakuwa na ujanja taratibu akalala mzima mzima palepale kwenye meza.sikuwa na sababu ya kuchelewesha nikambeba licha ya kuwa mzito sana lakini nikambeba mpaka kuelekea katika vyumba vya kulala vilivyomo katika bar hiyo.
‘’wee huyo vipi mbona yuko hivyo??’’
‘’anhaa wasiwasi wako nini huyu demu wangu wee nipe room’’nikamjibu Yule jamaa wa mapokezi ambaye alionekana kustaajabishwa na mimi nilivyombeba catherini ambaye alikuwa hajitambui.
‘’sio wasiwasi majanga mengi sikuhizi isije ikawa unaenda kumuua mtoto wa watu.’’
‘’hahha hamna amekula sana tungi yani kazianzia nyumbani kijana usiogope.’’nikamjibu kwa kujiamini Yule jamaa wa mapokezi ambaye baada ya kumuambia vile hakuwa na sababu ya kuendelea kunizui akanikabidhi chumba na mimi nikaingia na Catherine ambaye alikuwa hajitambui kabisa.
‘’hahahaa kwisha habari mimi wewe hata sikubaki nakupiga picha za utupu tu halafu ukizingua tu kwa chiku na mimi navujisha hizi’’nikajisema kwa nguvu huku nikicheka baada ya kile nilichokipanga kutimia.taratibu nikamvua nguo zake chiku kuanzia juu mpaka chini na kubakiwa mtupu kabisa kisha nikazama mfukoni na kutoa simu yangu ya Samsung galaxy s3 ilikuwa na uwezo wa kupiga picha na kuchukua matukio ya video.kisha nikaanza kupiga picha nyingi nyingi zisizokuwa na idadi akiwa hana hata nguo catherini kuanzia uso wake mpaka katika unyayo akiwa hata hajitambui.niliporidhika baada ya kumpiga picha zisizopungua mia hivi nikatako kuondoka na kumuacha Catherine akiwa pale lakini nilipozidi kumuangalia vizuri hasa katika maungo yake nyeti hakika mwili ulikuwa ukisisimka balaa hata nilipotaka kukifikia kitasa mkono ukasita miguu ikakataa na macho yakakataa kabisa kutoangalia mwili wa catherini aliyekuwa katika usingizi mnono.taratibu nikajikuta nikianza kufungua kifungo kimoja kimoja.
‘’daa nisipomshughulikia nitaonekana mimi bwege kweli.’’…………
Sehemu Ya 7
Ni maneno niliyojisemea na yaliokuja kichwani mwangu baada ya kuuangalia mwili wa catherini aliyekuwa mtupu ajitambui akiwa nimemlewesha na kidonge cha dawa ya kuleta usingizi dawa ambayo ilikuwa tayari ishafanya kazi yake kwa mwanamke huo ambaye nilitaka kumdhalilisha kwa kumpiga picha za utupu nikiwa na lengo la kumnyamazisha asiendelee kufuatilia mambo yangu hali hii ilitokana baada ya kutufuma mimi na rafiki yake suzan tukiwa tumeshikana kimahaba zaidi.baada ya kumaliza kufungua vifungo vya shati yangu huku macho yangu yote yakiwa katika mwili wa mwanamke huo aliyekuwa mtupu huku akiwa amelala chali tamaa na uchu wa nguo huku jinamazi la pepo la ngono lilizidi kuniingia.Karoti yangu ilikuwa tayari imeshakakamaa baada ya kuona vitu vyake taratibu
nikajisogeza mpaka kitandani na kukaa huku nikiungaliawa mwili huo kwa uchu mkubwa kisha taratibu nikaanza kufungua mkanda wa suruali kwa mkono mmoja huku mkono mwingine sasa ulikuwa umeshatua katika dodo la kushoto lililosimama vizuri na kuanza kulibinya binya na kujikuta mwenyewe nikianza kutoa mguno wa raha baada ya kusikia msisimko fulani hivi baada ya kushika lile dodo.hakika uzalendo ulikuwa umeshanishinda na sikuwa na sababu kabisa ya kuuacha kula tunda la catherini aliyekuwa hajitambui haraka nikavua na suruali na kubaki na nguo ya ndani na kumrukia catherini na kuanza kumnyonya catherini madodo yake yaliosimama vizuri huku nikiingizia vidole vyangu katika ikulu yake.Taratibu nikiaanza kusikia miguno ya mahaba kutoka kwa catherini ambaye mara ya kwanza alikuwa kimya lakini kadiri nilivyokuwa naendelea ndio naye akaanza kutoa miguno ya raha miguno ambayo mimi haikunipa presha yoyote taratibu baada ya kuona viungo vyake Adimu vya catherini vishalainika mwanaume nikingiza karoti yangu katika ikulu yake na kuanza kufanya kwa spidi ya hali ya juu huku mara moja moja ndio nilikuwa napunguza mwendo.
“Oooo…asss……aaaaaa……aaaaaaa…..mmmmhhhh”kwa sauti ya chini chini ya mahaba aliyoitoa catherini ambaye alionekana bado kuchoka na dawa ile ya usingizi mwanaume ndio ilizidi kunipa mzuka kabisa wa kuendeleaa.catherini alikuwa mtamu balaa yani kuliko alivyokuwa suzan,chiku na mama yake yeye mwili yake ulikuwa mzuri na mtamu sana kwa mchezo ule na mimi ndio nikazidi kupagawa hadi kudiriki kuanza kumnyonya mate lakini kilichonifurahisha zaidi ni catherini kunipa ushirikiano kwa kuupokea vizuri na kusababisha gurudumu lizidi kuendelea kwa kasi ya ajabu.ghafla naye catherini akapata mzuka wa ghafla na usingizi wa ile dawa ukamuisha kwa ufundi wa hali ya juu akanilazimisha kulala chali na kuanza kuninyonya karoti yangu kwa ufundi wa hali ya juu ambao sikuwa hata siku moja kufikiria kwamba angekuja kunifanyia vile kisha baada naye kuridhika akakalia karoti yangu na kwa ufundi huo huo akaanza kukatikia karoti yangu.
“Oooohhh Assss yes…yes..”hakika siku ile ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kabisa kufurahia mchezo ule ambao nilipofanya na suzan sukusikia na mama chiku na chiku mwenyewe wote sikusikia.Catherini alikuwa fundi aliyefundishwa katika mambo yale hakika alikuwa anajituma sana na kunionyesha kwa kunipa mambo adimu na matamu.baada ya purukushani ya hapa na pale wote tukajikuta tukipitiwa na usingizi mzito na wote tukalala.
“Paaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa”ghafla katika hali isiyotegemea kibao kikali kikatua katika uso wangu na ndio kilichosababisha nishtuke katika usingizi mzito nilikuwa nimelala.baada ya kuamka na kujiweka sawa kofi lingine likatua tena kofi ambalo ndio liliniweka sawasawa baada ya kofi la kwanza lile kuniamsha lakini nilikuwa bado nimezongwa na usingizi usingizi.Macho yangu yakatua kwa catherini aliyekuwa akihema huku akilia kwa uchungu na nilipomuangalia vizuri kofi lingine likatua tena usoni na kusababisha nipate maumivu na kujikuta nikijishika kwa maumivu.
“Umeeonaaa ulivyonifanya umeonaa yani wewe wa kunifanyia hivi pablooo.???” Maneno ya jazba yakamtoka catherini ambaye alikuwa na hasira za hali ya juu akajikuta akinirushia kofi lingine lakini safari hii sikuruhusu nililikwepa kwa ufundi na kutoka pale kitandani kisha nikainama haraka na nakuchukua boxer yangu na kuivaa haraka haraka na ile namaliza tu catherini akanivaa na kunishika shingoni nakuanza kunikaba kwa hasira huku akiniangalia machozi yakianza kumtiririka.
“Umeonaa malaya wewe ulivyonifanyia yani wewe wa kunibaka mimi eeee wewe wakunibaka mimi aaa sikubali nakwambia sikubali.”catherini akang’aka tena kwa hasira ya hali ya juu na kuendelea kukaza mikono yake kunikaba lakini kwa kutumia uanaume wangu nikaitoa mikono yake hiyo na kumsukumiza kidogo nyuma.
“Catherini nimekubaka au wakati umetaka mwenyewe.”
“Unasema nini malaya wewe??”
“Umetaka mwenyewe kwani wakati ulipoingia humu umesahau umeingiaje??”nilimwambia catherini ambaye baada ya kumwambia vile akaanza kujipiga kichwa chake na kuonekana kama mtu aliyetaka kukumbuka kitu fulani hivi mimi mwanaume nilibaki nikimuangalia tu kwa shauku huku taratibu nikaanza kuokota shati yangu na kuvaa huku nikiwa katika nyuso za tabasamu.
“Wee utakuwa umenilisha kitu nisinzie ndio nakumbuka nilienda chooni niliporudi ndio nikashikwa na usingizi wa ghafla kwanini umenifanyia hivi pablo why?? Mimi nimekukosea nini??”
“Wee si unajifanyaga unajua sana kusambaza umbea haya nenda ukamwambia chiku kuwa nimekulala na wewe nenda kamwambia na kuwa nimelala na wewe na suzan pia”niliongezea kwa kumwambia catherini ambaye baada ya kusikia maneno hayo machozi ndio yakazidi kumwagika alionekana kama ni mtu ambaye haamini hali iliyomtekea aliiona hali ile ni kama ndoto flani hivi aliyoita mchana.
“catherini wewe si unajifanya unatamaa sana ooo ukitaka nisimwambie nipe laki tano sijui sita haha hela sikupi na mzigo nishakula na kusema nenda kasema” Niliendelea kumwambia kwa nyodo ya hali ya juu huku nikiwa nimeshika pua wakati nilipokuwa naongea na kuzidi kukasirisha catherini ambaye akasimama ghafla na kuanza kunisogelea taratibu.
“Pabloo umefanya kosa kubwa sana ambalo litakuja kukugharimu katika maisha yako umefanya kosa kubwa sana pablo kwa mimi hapo umegusa moto mwingine mimi nitakufunga jela hakika utaozea jela wewe mwanaume yani umenibaka.”catherini akaniambia kwa hasira lakini maneno yake yale yalisababisha nicheke kwa nguvu sana huku nikimuangalia yeye na kutikisa kichwa changu kuashiria namsikitikia.
“Wee cheka tu kidharau nitakujazia watu kwa kupiga kelele kuwa unanibaka??”
“Hahahahaaha piga bahati nzuri hapa upo bar na hata hivyo ulipokuwa unaingia na mimi umeonekana na tulipokuja humu gesti tulionekana kama wapenzi sasa nashangaa useme sasa hivi nimekubaka wakati tulikuwepo humu kama masaa manne hahaha imekula kwako” nilimcheka tena catherini ambaye hasira zikamshika na kunitandika kibao kingine cha kushtukiza kisha haraka haraka akatafuta nguo zake nilizomvua kisha akavaa.
“Catherini wewe mtamu balaaa hakika nakupenda sana natamani siku nyingine tufanye tena.”
“Nyamaza malaya wewe subiri safari yako ya kwenda jela iwadie”catherini akanijibu kwa hasira kisha baada ya kumaliza kuvaa haraka na kutoka kwa kubamiza mlango.Na mimi sikuwa na haraka taratibu nikavaa nguo zangu zote kisha nikazama mfukoni nakutoa simu yangu nakuanza kuangalia picha zile nilizompiga baada ya kuziona zipo nikajikuta nikikenua kisha na mimi nikatoka ndani ya gesti hiyo na kuangalia saa yangu ya mkononi ambayo ilikuwa ikionyesha saa nne usiku.haraka nikalitafuta gari la kwenda nyumbani na baada ya kulipata nikapanda na kupata siti lakini ile nakaa tu simu mfukoni ikaita na nilipoitoa nakuiangalia alikuwa si mwingine ni catherini kwa kujiamini nikaipokea na kuipeleka sikioni.
“Sikia malaya wewe pablo yani kwanza naenda kituo cha polisi kwenda kufungua kesi ya kubakwa lazima uende jela uwezi kunibaka kisha naiambia familia yako nzima malaya wewe”
“Nenda na nakuomba ufungue whatsapp yake kuna kitu nataka kukuonyesha halafu nitakutumia kiasi cha hela kwenye tigopesa yako ili uwaongezee vizuri hao watu watakaonifunga” kwa hali ya kujiamini nikamwambia catherini ambaye baada ya kumjibu vile akakata simu yake.haraka nikaingia katika whatsapp na kuangalia namba ya catherini ambayo alikuwa anaitumia whatsapp kisha nikaibonyeza sehemu ya kutuma picha kisha nikamtumia catherini picha moja niliyompiga akiwa yupo mtupu kisha nikamtumia messeji.
“Ukimwaga mboga mimi namwaga ugali”ilikuwa ni messeji niliyomtumia catherini nikiambatanisha na picha ile niliyompiga.haikuchukua hata muda mrefu ujumbe mfupi kwa njia ya whatsapp ukaingia na nilipoangalia alikuwa ni catherini akisema.
“Jamani pablo usifanye hivyo please nakuomba nakuomba pablo kumbuka mimi nina wazazi” ulikuwa ujumbe mfupi wa catherin uliosababisha nitoe tabasamu lakini hapohapo nikasikia simu yangu tena ikiita ikiashiria nilikuwa napigia na nilipoangalia tena alikuwa yule yule catherini………..
Sehemu Ya 8
Mwanaume kwa makogo ya hali ya kujiamini nikaipokea simu ile nakuipeleka sikioni.
‘’halooow’’
‘’jamani Pablo kumbuka ulichofanya ujanitendea haki kumbuka mimi ni mwanamke kumbuka mimi nina wazazi ambao kama leo hii watakuja kuishuhudia hiyo picha uliyonipiga itakuwa aibu kubwa sana kwa familia yangu na jamii kwa ujumla.’’chiku akaanza kunilalamikia huku akionekana kama alikuwa analia kutokana na alivyokuwa anaongea na kusababisha ka hisia cha huruma flani kuniingia lakini nikajikuta nikijikazaa kiume.
‘’hahhahaa sasa wewe unavyoodhania nimekupiga picha moja tu.??’’
‘’uwiii jamani Pablo usinifanyie kihivyoo unavyonifanyia wewe sio jamani sema nikupe nini unachotaka ili mradi picha hizo unikabidhi wewe mwenyewe au uzifute.’’
‘’hahahhahahahaha nikuambie ninachotaka utanipa wewe catherini unajua wewe ulikuwa unajifanya kimbelembele sanaa na kujifanya unampenda sana chiku.’’
‘’pabloo usiwe hivyo kabisa kumbuka mimi ni mwanamke upaswi kunifanyia kitu kama hicho.’’catherin akaendelea kulalamika tena na safari akazidisha kilio chake huku akiendelea kuniomba msamaha nimsamehe kwa kumuhaidi kuwa nisivujishe vile picha ambazo nilikuwa nimempiga na nimuambie anipe chochote ninachotaka iwe kama njia ya mimi kuzifuta zile picha.
‘’haya sawa sasa unajua mimi nataka nini kwako??.’’
‘’enheee Pablo niambie chochote mimi poa tu.’’
‘’nataka unipe penzi maana shughuli ya jana ile nimeilewa na upo vizuri sana mimi nataka unipatie penzi.’’nilimwambia vile catherin na kusababisha ukimya mzito kutanda kidogo na kusababisha hata mimi ninyamaze sikutaka kutoa neno lolote nikabaki kimya nikimsikiliza yeye.
‘’pablo mimi niko tayari kukupa kama utanihaidi kuzifuta hizo picha mbele yangu na kuniahidi kutozivujisha.’’
‘’haaa ilo tu usijali vipi utakuwa tayari kwa kamchezo lini tena.??’’
‘’mmmmh baaada ya siku mbili kupita bby.’’mwanaume nikajikuta nikikenua baada ya kuniita tena na baby juu nakusababisha nijisikie furaha sana nakuona kazi nilikuwa nishamaliza kwa catherin ambaye nilijikuta nikinogewa na sukari yake niliyoionja pasi na ridhaaa yake.mwanaume nikafika nyumbani na siku hiyo hakika nilikuwa naziangalia picha za catherin tu akiwa mtupu nakujikuta picha hizo nikiziamisha mpaka katika laptop yangu ya kujisomea nakuziangalia karibia usiku kucha.kesho yake ilipowadia tukajikuta tukichat sana nakupanga siku ya pili yake tukutane na kuendeleza gurudumu la kufanya naye mapenzi.siku hiyo wakati nachat naye nilienda chuo mapema na kutoka mida ya mchana mchana ambayo ile natoka tu getini nikakutana na msichana mzuri kupindukia ambaye cha kushangaza akanisogelea huku akitabasamu sana na kuniacha katika mshangao wa hali ya juu.
‘’pabloo.’’katika hali ya kushangaza akalitamka jina langu nakuniacha katika dimbwi zito la kujiuliza maswali kanijuaje huyu nami sikusita nikajisogeza karibu yake nimjue zaidi.
‘’enhee nani mwenzangu.??’’
‘’jamaniii mimi naitwa shasha Pablo naelewa umenijui lakini mimi nakujua sitaki nikuchoshe shika namba yangu.’’nikajikuta nikishangaa msichana mzuri kama Yule kunipa namba yake kirahisi vile na kilichonishangaza zaidi yeye kunijua.
‘’mmmmhhh wallah mwaka huuu wangu eee mungu unipe nini mimi yaani nitawachinja sana.’’nikajikuta nikijisema kimoyo moyo huku nikijisifia na haraka haraka nikaondoka pale chuo nakupanda gari la kuelekea nyumbani.wakati nipo ndani ya daladala nilipotaka kutoa nauli konda akaniambia nimelipiwa jambo ambalo lilinishangaza na kujikuta nikimuuliza na kumuomba anionyeshe aliyenilipia nauli.baada ya kuonyesha macho yangu yakatua katika sura ya mama chiku ambaye baada ya kukutana macho kwa macho akaachia tabasamu ambalo lilinikera na kujikuta nikimpotezea flani hivi lakini tulipokaribia maeneo ya nyumbani watu wengi wakashuka na kusababisha mama chiku kupata nafasi na kuja haraka haraka nilipokaa mimi nakuanza kuniangalia huku akitabasamu lakini mimi nikampotezea na kujifanya kama sijamuona vile nakuwa bize na simu yangu.
‘’jamaani Pablo mpenzi mbona unisemeshi??’’
‘’aaaa shikamoo mama chiku.’’
‘’jamani wewe ushalala na mimi ushaona utupu wangu eti leo unanisalimia mpenzi.’’
‘’haya niambie ‘’
‘’hapo shwari sasa mzima sikia mimi nilikuwa nakuvizia wewe nikaona unaongea na msichana mmoja mrembo pale nilikasirika mpaka basi sikia sasa msalimie mama yako mimi nashuka hapa ila nimekumiss sana nakuomba tuonane hata keshokutwa tukumbushie.’’yalikuwa ni maneno ya mama chiku ambaye baada ya kuniambia akashuka katika gari lile na kuniacha mimi nikiwa bado nipo kwenye gari.baada ya kufika nyumbani mwanaume nikaanza kuwasiliana na catherini ambaye yeye akanielekeza sehemu ya mimi naye kukutana.nakumbuka siku hiyo pia niliwasiliana na chiku ambaye naye cha kushangaza akaniambia eti nionane naye keshokutwa yake akitaka tufanye kale kamchezo.kesho yake tena ikawadia mwanaume ilipotimia muda wa jioni kama kawaida nikajisogeza mdogo mdogo mpaka katika sehemu tuliyopanga kuonana na catherini ambaye baada ya mimi kufika naye hakukawia naye akafika kisha tukashikana kimahaba tayari kabisa kwenda gesti.kabla hata ya kwenda gesti tukapitia dukani na kununua kondom tayari kabisa kwa mtanange lakini ghafla kabla hata hatujaenda popote majamaa watano nisio wajua wakajitokeza na kunifata mimi nakunizunguka hali iliyosababisha nipatwe na mshangao.
‘’nyiee vipii.’’mwanaume nikajitutumua kung’aka kiume lakini hakuna aliyenijibu na bila ya kutegemea ngumi kali ikatua katika paji la uso wangu na nilipojaribu kutaka kujishika kwa maumivu nikapigwa mtama mkali ulionipeleka chini mzima mzima na kusababisha nianze kugalagala kwa maumivu na hata nilipotaka kunyanyuka teke lingine likatua mgongoni na kunirudisha chini.
Sehemu Ya 9
‘’hivyoo hivyooo mpigeni mwanaharamu huyo Malaya kwanza msachini mfukoni ana simu nina shida nayo.’’kwa mbali nilisikia maneno ya catherini ambayo sikuyaamini kabisa nakujikuta nikitoa macho baada ya kugundua kuwa catherini alikuwa tayari kashanifanyia mchezo ambao sikutegemea kabisa.baada ya catherini kusema vile mmoja kati ya wale majamaa akanisogelea karibu na kuzamaa mfukoni nakutaka kuchukua simu nilipojaribu kuzuia wasiitoe simu yangu teke lingine likatua usoni na kusababisha ukungu mzito utande katika macho yangu………………
Hakika teke lile likanizimisha kabisa nakuzimia papo hapo.nilikuja kushtuka nikiwa naburuzwa na wale majamaa ambao waligawana kuna wengine walikuwa wamenishika mguu wengine mikono na nilijaribu kuangalia nyuma macho yangu yakamuona catherini ambaye alikuwa naye nyuma akiwa ameshika simu yangu ya samsung galaxy akiwa anaibonyeza bonyeza jambo ambalo liliniuma sana.
“Jamaani nani huyo mbona mnamburuza hivyo??” Yalisikika maneno kutoka upande ambao nilipojaribu kuangalia nikawaona akina mama ambao walikuwa wanashauku kubwa ya kutaka kujua kwanini walikuwa wananiburuza vile.
“Huyu ni mwizi tumemkamata alikuwa ameiba simu yangu” katika hali nisiyoitegemea nikasikia sauti ya catherini akisema maneno yale ambayo kwa hakika yaliniumiza vilivyo na kunitia hasira ambayo bado nusu nilitaka kuanzisha mtiti lakini nikajikuta nikijikausha vile vile kama nimezimia kwa kuogopa makubwa ambayo yangeweza kunitokea.hakika wala sikutambua walikuwa wananipeleka wapi kwa sababu muda mwingine walikuwa wananiburuza kabisa kwenye ardhi chini na kusababisha niumie kwa kukwaruza na kokoto na hali ambayo iliniuma kabisa ni pale waliponitipitisha katika maji machafu ambayo niliyaoga mwili mzima lakini cha kushangaza hakuna aliyenionea huruma wala kushtuka hakika walikuwa wakiendelea kutembea na kuongea stori zao zingine.
“Wewe kama mwizi huyo mwekeni tumfundishe adabu maana wamezidi hao wanarudisha maendeleo”ilikuwa ni maneno ya mwananchi mmoja ambaye aliuliza nimefanya nini na kujibiwa na catherini na mmoja baadhi ya wale majamaa waliokuwa sita kujibu kama mimi ni mwizi na wanapoenda huko wataenda kunishughulikia.
“Hivi huyu catherini ni binadamu kweli au shetani??” Nikajikuta nikijiuliza swali ambalo nilikosa jibu sikutegemea kwamba catherini angekuwa na roho ya kinyama kiasi kile licha ya mimi kumfanyia ubaya ambao ulikuwa haustahili katika jamii.hakika nilijiona kabisa kuwa nimekwisha na hapo ndipo msemi wa watu wa Mwanaume leo umeingia choo cha kike ndio ukaja katika kichwa changu nilitamani kufungua bakuli langu kwa kulia lakini nilipokumbuka kwamba walikuwa wananitambulisha kila sehemu wanapoulizwa kwamba mimi ni mwizi nikajikuta nikitulia kimya na kufumba macho yangu kwa kuvumilia kuburuzwa kila sehemu ambayo wale majamaa na catherini walipokuwa wakipita.safari ikagota katika moja ya jumba bovu ambao wote kwa pamoja wakaingia mule na kunibwaga kama mzigo vile.
“Yanii huyu wala msimuue washikaji mmnafanyizia huku tukimrekodi”nikajikuta nikishtuka baada ya kusika maneno ya catherini ambaye alionekana kuwa na furaha na kusababisha mwanaume nianze kutetemeka na kuwa makini kwa kuwaangalia kwa kuibia ibia kwa kufumbua macho huku nafumbua huku nikiwa nawaangalia wale majamaa ambao wakaanza kuyachomoa mapanga yao waliyokuwa wameyaweka kiunoni na kusababisha nizide kupata hofu.
“daa mwanangu nina ugumu sana yanii leo nitauchapa mzigo wa huyu jamaa huyu anayejifanya yeye kingunge yani hapa aisee sister tulikuwa tunaugumu hela ya kununua mademu hatuna si unajua”presha ikazidi kupanda baada ya kusikia maneno yale.
“Mmmh yani wananifanya kinyume na maumbile.??” Presha ikazidi kupanda moyo ukazidi kunidunda kama saa ya stopwatch inavyokwenda kasi baada ya kusikia maneno ya mmoja kati ya wale majamaa akimwambia catherini huku wakipigina viganja kwa furaha kubwa huku wakicheka kwa kicheko cha nguvu.
“Oyoo nani anaanza??”
“Naanza mimi mwanangu ngojea nianze kikutifua nyie pigeni bange wanangu”
“Aaahaaa mimi bana nianze”
“Nyie vipi acheni kwanza subiri nianze mimi nina ugumu wa kitambo”mwanaume nikayasikia maneno ya wale majamaa ambao walikuwa wakibishana nani anaanza kuniingilia kimaumbile.
“Poaaa Nguchilo poa anzaa”wale majamaa wakajikuta wakikubali nani aanze kuniingilia mimi kimaumbile ambapo akachanguliwa jamaa mmoja aitwaye nguchilo ambaye alikuwa na mwili hafifu hafifu alionekana hali hiyo ilisababishwa na bange anazovuta.yule jamaa akanyanyuka na kumpa bangi yake mtu mwingine kisha akanyanyuka na kuchukua panga lake taratibu kunisogelea mimi.Mwanaume nikajikausha kimya huku moyo ukiwa unazidi kunidunda huku kwa kujiiba iba nikiwa namuangalia yule jamaa anayefahamika pale kwa jina la nguchilo ambaye alikuwa anatembea taratibu akiwa anafungua zipu ya suruali yake iliyochakaa chakaa.Baada ya kunifika akalichia lile panga karibia kabisa na mkono wangu wa kulia kisha akaniugeuza nyuma ambapo nilikuwa nimelala kifudifudi.yule jamaa taratibu akanivua mkanda na kuanza kushusha suruali yangu taratibu ambapo kafanikiwa kuimaliza kuivua.macho yangu yakamshuhudia catherini akiwa anachekelea na akasogelea karibu kabisa na kuanza kurekodi yule jamaa ambaye baada ya kunivua suruali akaanza kucheka kicheko cha kejeli.
“Unatakiwa kufa kiume wee mwanaume”sauti ya ghafla ikanijia kichwani changu na kujikuta mwanaume haraka nikichukua lile panga pasi na catherini aliyekuwa bize kumrekodi yule jamaa ambaye baada ya kunivua suruali alikuwa akiongea maneno flani ya kijamaica huku akimuangalia kujua.
“Haya inatosha mfanyizie basi” nikamsikia catherini akimuambia yule jamaa ambaye akajibu.
“Hahha haya huyu bwege nilitaka nimpige mabapa azinduke lakini kwanza ngojea nimtifue huku nyuma naona atazinduka tu kwa mziki wangu nitakaomuenyesha.”yule jamaa akasema kwa kujiamini kisha akashusha boxer tayari kabisa kuinama chini.Mwanaume haraka nikatumia nguvu kwa kujibiringisha na kusababisha yule jamaa aliyetaka kuniingilia kurudi nyuma baada ya kujibiringisha na kuachia teke lililompata tumboni.nikajikuta nikipata nguvu za ghafla na kunyanyuka kisha nikanyanyua lile panga na haraka huku nikikimbia nikamsogelea catherini ambaye baada ya tukio lile akajikuta akipiga kelele nikamtashia kama nampiga panga na yeye kutokana na uoga akajikuta akiziba uso na mimi haraka nikapata nguvu na kumkwapua ile simu yangu nakufanikiwa kuichukua.Jambo lile lilishangazwa sana na majamaa wengine waliokuwa wakivuta bangi na kusababisha haraka kunyanyuka na kuanza kunikimbiza huku mikono yao ikiwa imeshika mapanga lakini walikuwa wameshachelewa kutokana na mimi kuanza kutimua mbio haraka na kujikuta nikipenya kidirisha ambacho wala sikutegemea kupenya.baada ya kupenya katika kidirisha nikajikuta nikiaanza kukwea ukuta wa lile jumba bovu ambalo kutokana na ukuta wake kuwa mbovu nikajikuta nikidondoka na ukuta ule lakini nguvu zingine za ghafla zikanijia na haraka nikasimama nakuanza kutimua mbio.
“Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kamaaata huyoooooo” nikiwa kabla hata sijafika mbali ghafla sauti ya kuitwa mimi mwizi na nikamatwe nikasikia.hofu ikazidi kutanda na kujikuta nikikaza miguu yangu na spidi ya kukimbiaa.
“Jaamani mwiziiiiiiii,kamaaaaataaaaa mwizi huyoooo,mwiziiiiiiiii huyo,mwiziiiiiiiii”sauti zikazidi kuongezeka wananchi wakaanza kujitokeza kuangalia mwizi ni nani.mwanaume nikiwa nimevaa boxer na shati yangu nikaanza kuongeza spidi ya kukimbia kwa kupiga hatua ndefu.lakini nikiwa bado nakimbia jamaa mmoja akanitokea kwa mbele na haraka akataka kunipiga mtama lakini nikajikuta nikiruka mtama ule nakuongeza spidi ya kukimbiaa.
“Maaaaamaaaaaaaaaaaaa” Ghafla bila ya kutegemea jiwe kubwa la kokoto likatua barabara kwenye kichwa changu na palepale damu zikaanza kuvuja kama maji.Nguvu zikaanza kuniisha na kujikuta nikitaka kudondoka lakini cha kushangaza nilipotaka kuinuka nikajikuta nikidondoka kabisa maumivu ya kupigwa lile jiwe likachukua nafasi yake kabisa.na Nilipojaribu kuinua kichwa changu kuangalia Niliwaona watu kibao wakiwa wengine na mawe,fimbo,mapanga na magongo wakiwa wananifata huku wakiwa wanakimbia karibu kabisa kunifikia……………..
Mwanaume nikajikuta nikianza kukataa tamaa hakika lile jiwe la kichwani lilinivunja nguvu na kusababisha nisikie kizunguzungu kikali.mawe mengi yakaanza kumiminika kutoka kwa watu ambao walikuwa wakinikimbilia ili watakaponifikia waanze kunishushia kipigo.
“Simama hapo hapo mbwaa wewe!!”kwa mbali nikasikia sauti ya moja kati ya mamia ya watu waliokuwa wakinikaribia lakini baada ya kuangalia wingi wa watu waliokuwa wamebeba silaha kali za maangamizi nikajikuta nikiingiwa na nguvu ya ajabu ambayo sikujua imetokea wapi.
“Unaweza kimbiaaa unaweza”ghafla nikasikia sauti ikiniambia sauti ambayo sikujua ilikuwa imetokea wapi na sehemu gani lakini sauti hiyo niliisikia kabisa ikipenywa katika tundu za masikio yangu mawili nakujikuta kwa mara nyingi tena nikinyanyuka na kuanza kutimua mbio kali.
“Puuuuuuuuuuuu!!!” Jiwe lingine zito likatua mgongoni mwangu na kusababisha maumivu makali na kujikuta nikibonyea chini lakini ile nabonyea tu jiwe lingine kubwa likapita karibia kabisa kichwani na kama Mungu tu nilipoinama chini jiwe hilo likapita.Nikajikuta nikizidisha mbio kali ambazo hata wale waliokuwa wakinikimbiza nikajikuta nikiwaacha mbali lakini kitu kingine kilichokuwa kinanisaidia pia ni njia za uchorochoro ndio uliofanikisha kuwakimbia wale wananchi waliokuwa na hasira kali wakiambatana na wale majamaa wa mwanzo ambao walikuwa wanataka kunifanyizia.Mwanaume hakika niliabika sana nilikuwa nimevaa shati na boxer tu kutokana na suruali ile kuvuliwa na yule jamaa ambaye alikuwa anataka kuniingilia kinyume cha maumbile mkononi nilikuwa nimeshika simu ya samsung galaxy s3 ambayo licha ya misukosuko yote ile nilikuwa nimeshika mkononi na hata nilipoiangalia ilikuwa nzima.Hakika nilionekana chizi kwa kila mtu niliyekuwa napishana naye hii ilitokana na shati yangu ambayo ilikuwa na matope ambayo yalisababisha na wale majaamaa waliokuwa wakiniburuza kama mzigo chini nilikuwa pekupeku kabisa kila mtu alikuwa akiniangalia na kuninyooshea kidole.
“Jamaani khaaa dunia hii ona washamroga mtoto wawatu yule basi ukute yule alikuwa anataka kutoka wadau wamemroga” niliyasikia maneno ya mzee mmoja ambaye nilipompitia karibu yake aliyasema maneno yale ambayo yaliniumiza kwa sababu sikuwa chizi wala kurogwa na mtu yoyote bali ni majanga ambayo hata siku moja sikuwai kuyategemea.Safari yangu ya kutembea ikagota katika stendi ya magari ambayo kwa hakika nilitembea umbali mrefu sana kufikia hapo na hakika niliwapoteza na hata pale sikutegemea kwamba wangenipata sehemu ile.cha kusangaza sasa kila gari niliyotaka kupanda hakuna konda aliyeniruhusu kuingia kutokana nilivyokuwa nanuka na uchafu niliokuwa nao kwa kuwa nilikuwa nayajua maeneo hayo mdogo mdogo nikaanza kutembea kuelekea kwa moja katika rafiki yangu ambaye nilikuwa nasoma naye chuo ambaye pia alikuwa akikaa maeneo kama hayo.mwanaume nikatembea kwa umbali mrefu kidogo nikajikuta nikifikia maeneo kwa rafiki yangu ambaye nilipoangalia maeneo yale nikamuona rafiki yangu akiwa kwenye salooni ya maeneo yale akiwa na marafiki zake wakiongea nakucheka taratibu mwanaume nikasogea mpaka pale lakini nilipofikia tu kila mtu akawa anashika pua na miongoni mwao wakawa wananiambia niondoke
“Jamani wewe fala toka hapa chizi weweee unanuka hebu toka mwanangu tutakuzingua” nikayasikia maneno yaliotoka mdomoni kwa rafiki yangu aitwaye ramadhani ambaye mguu ule ulikuwa ni wa kwake nilimfuata yeye kwenda kumuomba msaada.
“Mwanangu ramsey mimi pablo” Nikajikuta nikisema kwa nguvu na kusababisha ukimya kutanda ramadhani akajikuta akishangaa na kunyanyuka kisha akaniangalia kwa umakini na kujikuta akishika mdomo na kutumbua macho kuonyesha alikuwa haamini anachokiona.
“mwanangu pablo vipi mbonaaaa aaaaaha siamini vipi mwanangu umepatwa na nini mbona hivyo??”ramadhani akajikuta akipayuka na kuniambia mimi huku akiwa haamini na kusababisha mpaka wengine waliokuwa wakiniambia niondoke kuniangalia kwa umakini na kustaajabishwa na hali ile.
“Daaa mwanangu ni hadithi ndefu ujue kama vipi mwanangu nipeleke nyumbani kwenu uniepushie aibu hii” nikajitutumua kumwambia ramadhani ambaye hakupinga hata neno moja haraka bila ya kujali akanishika mkono na taratibu akanipeleka mpaka kwao ambapo yeye alikuwa akiishi katika ghetto lake.Tulipofika haraka akanichemshia maji ya kuoga ambayo baada ya kuchemka akanipelekea chooni na mimi nikaaenda na kuanza kuoga.Hakika nikajikuta nikipiga ukelele mkali baada ya kujimwagia kopo la kwanza la maji na kusababisha kuibua maumivu ya vidonda vingi nilivyoumia na kusababisha hadi rafiki yangu ramadhani kuingia chooni.
“Vipi mdau paplo kuna nini mwanangu??”
“Daa hamna kaka vidonda vinauma nilivyoumia.”
“Kwani umefanyaje kijana??”
“daaa ni stori ndefu sana ramso”Hakika kwa pale ndio nilipomjua rafiki yangu ramadhani alikuwa ni rafiki wa kweli hakika alinisaidia kabisa kufanikisha zoezi la kusafisha vidonda vyangu.kisha baada ya kumaliza akanipa moja kati ya suruali yake na flana ambazo nilizivaa kisha ramadhani akaaenda dukani na kuninunulia chakula ambacho aliponiletea nilikifamikia haraka haraka kama Mtu ambaye hajala muda mrefu.kisha baada ya kumaliza taratibu nikaanza kumwambia stori nzima stori ambayo ilimuacha katika maswali mengi ya kujiuliza.
“Mmmh kaka kwanza polee maana demu huyo amekupata kweli.”
“Daa ahsante ramadhani yani kwanza ningebanduliwa pili Ningekufa ujue kwa sababu kama nilivyokwambia demu akaniitia watu kwamba mimi mwizi”
“Daaaah aisee cha kubaki tumshukuru Mungu kwa sababu upo hai”Hakika niliongea mengi sana na ramadhani ambaye naye alinishauri sana nimsamehe catherini na kumpotezea jambo ambalo halikuingia kabisa akilini nilibaki tu nikimkubalia tu juu kwa juu lakini hasira dhidi ya catherini ilibaki ndani ya moyo wangu.kwa upendo aliokuwa nao mwanangu ramadhani bila ya hiyana alinikodishia taxi na kuilipia kabisa taxi ambayo haraka ikanifikisha nyumbani majira ya jioni jioni.ile naingia ndani nikakutana macho kwa macho na mama ambaye kwanza alionekana kushangaa kwa jinsi nilivyovaa kwa sababu sikutoka vile pili alishangaa na baada ya kuona nina alama alama na plasta katika kichwa changu.
“Mmmmh wewe umefanyaje mbona plasta mbona hivyoo mmmh umefanya nini wewe??”mama akaniuliza nakusababisha mwanaume niangalie chini.
“Mama kweli nimepatwa na majanga kwa sababu kuna mtu amenisakizia na kuniitia mwizi na kusababisha watu waanze kunishambulia lakini bahati nzuri nikafanikiwa kuwaponyoka Mama”
“Mungu wangu jamani Mwanangu twende hospitali kwanza kabla ya kuendelea na mambo mengi utanihadithia vizuri.” Kwa hali ya uoga mama akaniambia vile na sikuwa na sababu ya kupinga.mama akaanza kujiandaaa na kuniacha nikiwa nimelala sebuleni haraka mwanaume nikaachukua simu yangu ambayo nilikuwa imezimika tangia kwenye varangati kule kisha nikaiwasha na simu ikawaka.nikaenda haraka sehemu ya picha kuzingalia zile picha bahati nzuri nilipoziangalia nikakutana na zile picha za catherini akiwa mtupu nikajikuta nikitoa tabasamu hafifu kisha haraka nikawasha data na kuonganisha kwenye internet ambapo taratibu nikaingia ukurasa wa facebook na kuingia katika ukurasa wa page iliyokuwa ikipitiwa na watu wengi tayari kabisa kuziposti picha za catherini akiwa mtupu.
“Hahaha sasa amekwisha nyau huyu mdogo”………..
Sehemu Ya 10
Nikajikuta mwanaume nikishusha pumzi ndefu baada ya picha zile kuziseti vizuri na zikaa kabisa kupostiwa katika ukurasa wa facebook nikajikuta nikiachia tabasamu pana baada ya kubakisha sehemu moja tu ambayo iliandikwa post ikimaanisha tuma yani nikibonyeza hapo basi picha zile ambazo nilikuwa nishaziweka sehemu ile ambazo zilikuwa kama kumi basi zilikuwa zinaenda na kuonekana katika ukurasa mkubwa wa facebook.
‘’mojaaa……mbili……….tatu….nn…eee tan…..’’mwanaume kwa mbwembwe nikajikuta nikihesahau moja mpaka tano ili nitakapofikisha tano basi nibonyeze ile sehemu ya post lakini kabla hata sijamaliza kusema tano simu yangu ile ikaita na nilipoangalia alikuwa si mwingine bali ni chiku.
‘’haloow chiku nambie.’’
‘’jamani baby Pablo nimekumiss upo wapi.??’’
‘’nipo nyumbani lakini naumwa chiku.’’
‘’nini tena mbona majanga jamani honey.’’
‘’mmmh kwani kuna nini tena.??’’mwanaume nikajikuta nikimuuliza chiku kwa mshangao huku nikiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua kile alichokuwa anataka kuniambia.
‘’yanii hapa usiku huu naelekea hospitali nimechanganyikiwa shoga yangu catherini amelazwaa hali yake mbaya nasikia eti alikunywa sumu ya panya.’’baada ya kusikia vile moyo wangu ukafanya paa mwanaume nikajikuta nikinywea kabisa na kupoa baada ya kusikia maneno yale ya chiku ambaye alikuwa akiongea kwa sauti flani ya masikitiko makubwa.
‘’daaaa aisee poleni sana.’’
‘’pablo baby nambie unachooumwa maana nimeshachanganyikiwa.’’
‘’aaa kawaida ni kichwa tu basi baadae.’’nikajikuta nikimaliza mazungumzo haraka huku moyo ukinienda kasi ajabu hakika moyo wangu ukapooa kabisaa na hata ile dhamira yangu ya kutaka kupost picha zake zile za utupu nafsi yangu ikagoma kabisa nikajikuta tu nikibonyeza kidude cha cancel cha kuzuia ile.roho ya ghafla ya huruma ikaniingia.
‘’lakini huyu Malaya alitaka kunisababishia kifo.’’ghafla nikajikuta nikiyasema yale maneno kwa hasirabaada ya kukumbuka lile varangati alilonisababishia catherini ambapo alidiriki kabisa kunikamatisha na mateja ili wanifanyizie na pia hadi alipothubutu kabisa na kudiriki kuniitia mimi mwizi.
‘’mmmh ila lakini kusema kweli ngoma droo maana nilimfanyizia na mimi aaaaaa ngojea kwanza nimuache lakini hizi picha sizifuti najua tu Yule demu tu achelewi nyodo akileta nyodo nitakula mzigo tena na kuzivujisha tena.’’nikajikuta nikiongea mwenyewe na kujikuta nikiacha kabisa kuposti zile picha na kuzibakisha mule katika simu nikiwa nimejilaza kama kawaida mama akatokea akiwa tayari kabisa kashajiandaa na akanishika mkono kwa lengo la kwenda hospitali kuangalia katika mwili wangu je kuna sehemu niliyoumia ndani kwa ndani.kwa hofu kubwa aliyokuwa nayo mama haraka tukafika hospitali kwa kutumia usafiri wa haraka taxi ambayo ilitusaidia kufika haraka.mwanaume nikaenda kupiga x-ray katika mwili wangu na majibu yakatoka hamna sehemu yoyote niliyoumia ndani kwa ndani na nilikuwa shwari tu.
‘’vipii hapo umefanyaje.’’yule daktari aliyekuwepo mule akaniuliza swali baada ya kuona plaster iliyobandikwa vibaya kichwani na kuniangalia makini usoni ambapo nilikuwa na mikwaruzo.
‘’daaa daktari nilidondoka tu lakini najisikia poa.’’
‘’haya nivyema lakini utakapokuwa unajisikia maumivu sehemu yoyote uliyoumia useme kijana.’’
‘’sawa daktari asante kwa ushauri wako.’’niliagana na Yule daktari kisha nikatoka nje na kuondoka na mama ambaye alishukuru sana baada ya kusikia kuwa sikuwa na matatizo
‘’enhe nambie vizuri mwanangu nani aliyekusababisha majanga hayo mpaka unaitiwa mwizi mwanangu.’’ile tunafika nyumbani baada ya kutoka hospitali ambapo majibu yalikuwa mazuri kwamba mimi sikuumia baada ya varangati lilinitokea mama akaniuliza swali baada ya mara kwanza kutomjibu kama alivyokuwa akitaka.
‘’ndio hivyoo mama kuna mdada wa chuo nilikuwa namdai sasa leo baada ya kutoka chuo nilienda kwa rafiki yangu ramadhani kuna flash yangu naenda kuchukua nikakutana naye sasa mimi nikaanza kumuambia anirudishie hela yangu akaanza kunihibu nyodo hasira zikanipanda si nikamnyang’anya simu yake kwa hasira basi akaniitia mwiziii watu wakaja kibao.’’
‘’heee makubwa sasa ndio akuuiie mwizi ungekufa mwanangu?? Huyo lazima nikamshtaki.’’kwa kutumia uongo nikamdanganya mama ambaye baada ya kumuambia vile hasira kali zikampanda na kujikuta siku hiyo hiyo kutaka kwenda kuchukua rb polisi.nikajikua nikitumia nguvu nyingi kumtuliza mama na kumshauri mama ili asiendee.
‘’sikia mama malipo hapahapa duniani na aliyekufanyia ubaya mlipizie kwa wema mama haina haja ya kukasirika yote mitihani tu ya mungu.’’baada ya kumuambia maneno yale mama akatulia na kuniambia niende kupumzika na kunisifia maneno yale niliyoyasema.mwanaume nikaenda katika chumba changu ambapo nilipofika nikapigia simu na ramadhani rafiki yangu ambaye alinistili baada ya kupata misukosuko na kunipa nguo zake ili nivae baada ya kuchafuka na kuwa na boxer baada ya kufanikiwa kuwakimbia mamia ya watui waliokuwa na hasira kali.
‘’mwanangu ahsante sana kwa msaada wako.’’
‘’usijali kamanda one love Pablo halafu huyo demu mwanangu ukikaa fresh lazima tukampige mtungo mwanangu ila pumzika kesho tutaongea vizuri.’’yalikuwa maneno ya ramadhani ambayo yalinifanya nitabasamu kisha baada ya kumaliza kuongea naye palepale nikapitiwa na usingizi mzito wa ghafla
‘’Ngooo..!!!,ngoooo!!!,ngoooo!!!’’nilijikuta nikishtuka baada ya kusikia mlango wa chumba changu ukigongwa na nilipoamka nikachukua simu yangu nakuangalia saa ambayo ilikuwa ikionyesha saa tatu asubuhi.mwanaume nikanyanyuka nikaenda kufungua mlango na kumuangalia mgongaji alikuwa si mwingine bali ni mama ambaye mkononi alikuwa ameshika kikombe chai na vitafunwa.
‘’shikamoo mama.’’
‘’marhaba mwanangu unaendeleaje.’’
‘’naendelea vizuri sana mama usiwe na wasiwasi
‘’basi kunywa chai kwanza ndio ukaoge mwanangu maana ila wamekuumiza mwanangu vipi hapa walikupiga na jiwe nini mwanangu.’’mama aliniambia vile huku akinishika sehemu niliyopigwa na jiwe na kusababisha intake kuzimia.nikamtuliza mama kwa kumhakikishia niko salama kisha nikanywa chai na baada ya kumaliza nikaelekea kuoga.
‘’jamaani mwanangu leo umekuja kutuona woaooooo mwanangu haujambo.’’nikiwa chooni ghafla nikasikia sauti ya mama kama akimkaribisha mgeni mwanaume haraka haraka nikaoga fasta fasta kisha ile natoka tuu nikamuona chiku akiwa kabeba mkoba wake na kuingia katika chumba changu.
‘’mmmh huyu leo kaja nyumbani’’nikajikuta nikijisehemea huku nikienda haraka haraka katika katika chumba changu ambapo ile naingia tu nikamuona chiku akiwa na simu yangu hali iliyosababisha moyo wangu uanze kudunda kama saa.
‘’jamani bby umemaliza kuoga halafu ujue mimi sina picha yako kabisa hebu ngojea niangalie katika sehemu ya picha.’’maneno ya chiku yakasababisha roho yangu idunde huku nikiwa na taulo langu tu jeupe nikamvamia chiku na kumnyang’anya simu yangu kwa tekiniki ili asiende maeneo ya picha kwa maana kulikuwa na zile picha nilizompiga catherini kisha nikazuga kwa kuanza kumpiga mabusu huku nikimlaza kitandani kabisa huku mimi nikiwa juu ya mwili wake.
‘’jamani….p…..aaaaoooooooo’’ghafla chiku akaanza kutoa miguno ya raha baada ya mwanaume kuanza kumpapasa katika mapaja na kuanza kumrainisha.
‘’pablooo ooooossss aaa subiri bwana wee unaumwa mchezo unawezaaaa.??’’……………
Chiku akiniuliza swali lililosababisha niachie tabasamu pana kisha nikaacha kumpiga mabusu nakumuangalia kwa umakini wa hali ya juu.
“Mmmh mbona kimya sasa??”chiku akiniuliza swali lingine huku akiwa anashika shika Nywele zangu kichwani lakini akajikuta akikosea step na kunishika kichwani sehemu niliyopigwa jiwe na kusababisha mwanaume niache mguno wa maumivu baada ya mkono wake ule kunitonesha na kusababisha chiku aniangalia vizuri na kugundua kuwa kulikuwa kuna plaster niliyofungwa na ramadhani kichwani ambapo kulisababishwa na kuitiwa mwizi na rafiki yake catherini ambaye kuniitia vile ndio kulisababisha nipigwe jiwe na watu wenye hasira kali.
“Jamanii hapo umefanyaje baby mie mbona haujaniambia mpenzi” chiku akaniuliza tena huku akinyanyuka sasa nakuniangalia mimi niliyekuwa namuangalia nikiwa natabasamu.
“Hamna hapa bahati mbaya nilijigonga sehemu ndio nikaumia.”
“Hee jamani pole basi hiyo itakuwa ndio imekuletea homa mpenzi” chiku akanipa pole na kusogea pembeni kidogo na nilipokuwa mimi kisha akauchukua mkoba wake aliokuja nao na kutoa simu yake huku akiwa anaibonyeza bonyeza.
“Hali ya catherini Ni mbaya pablo wee acha tu” chiku akaniambia vile na kusababisha mwanaume nikumbuke yale maneno aliyoniambia chiku usiku kuwa catherini alikunywa sumu nikajikuta nikimsogelea catherini karibu kisha nikamshika kiuno chake kipana na kuanza kumnyonya nyonya masikio na shingoni.
“Assssss……bana pa..blo…nimekwambia unaweza umekaa kimya”
“Aaaaa catherini sasa anaendeleaje??”
“Aaaa si nakwambia hali yake mbaya sana maana amekunywa sumu ya panya na ilibaki kidogo tu angekuwa amekufa na sasa tunaongea mengine.”
“Daaah aisee wewe unadhania chanzo cha yeye kunywa sumu ni nini??”nikajikuta nikimuuliza swali chiku swali ambalo mimi nililijua kabisa jibu lake kuwa alikuwa anaogopa mimi nitazivujisha picha zake nilizompiga akiwa mtupu.
“Aaaa jamani sijui na wala hata sielewi imekuwaje yaani alikuwa anataka kuniambia kitu maana alinitumia messeji hizo zilizokuwa zinaniweka njia panda lakini nilipokuwa tu najaribu kumpigia sikumpata na messeji zangu wala hakujibu mpaka anapatwa na matatizo haya honey”chiku aliniambia vile huku akinilalia katika kifua changu huku mimi nikiwa namchezea nywele zake.
“Sasa baby”
“Poa pablo niambie”nikajikuta mwanaume kamzuka cha kufanya mapenzi kakinipanda lakini hali yangu nilikuwa naijua mimi mwenyewe mwili ulikuwa unaniona kutokana na sekeseke.
“Au basi”Nilimjibu kiunyonge chiku ambaye alikuwa tayari kashajua nilichokuwa nataka kusema akabaki ananiangalia kwa tabasamu ya hali ya juu na kusikitika.
“Wewe ni wako pablo tutafanye siku nyingine ukipona tu.”
“Hamna kwani mimi nilitaka kukwambia nataka tufanye wee vipi”
“Mmmh muone hahahahaa”hakika siku hiyo nilishinda siku nzima nyumbani huku tukiwa watatu tu yani mimi,chiku na mama ambaye alionekana kufurahiswa sana na tabia nzuri na hekima aliyekuwa nayo chiku ambaye hakuwa nyuma siku hiyo alipika na kufanya shughuli nyingi za nyumbani na kumsaidia mama ambaye hakusita kuporomosha pongezi nyingi nyingi kwake baada ya kufurahishwa na mambo aliyokuwa akiyafanya chiku.baada ya kufika jioni chiku akaniaga kwa kunikandamiza mabusu mbalimbali ambayo mama hakuyaona kwa sababu mimi ndiye niliyekuwa namsindikiza mpaka kituoni.siku mbili zikapita kutoka ile siku ya chiku siku hiyo hakika nilikuwa na nguvu za ajabu zilikuwa zimerudi hali yangu ya kiafya ilikuwa imeshaimarika mwanaume nikamuaga mama kuwa naelekea chuo na mama hakuwa na budi ya kukataa jambo hilo zaidi ya kunisihi tu nitakapojisikia vibaya basi nimpe taarifa ile atafute uwezakano wa haraka akanichukue.baada ya kutoka nyumbani mida kama ya saa tano hivi nikachukua simu yangu ya mkononi na kumpigia Suzan rafiki yake chiku na catherini ambaye naye nilikuwa tayari nishamfanyizia kwa kufanya naye mapenzi baada ya yeye kunirubuni kuwa nitakapofanya hivyo basi ataniombea msamaha jambo ambalo alifanikiwa na kusababisha mpaka chiku anisamehe.
“Jamani pabloo haloo nimefurahi umenikumbuka.”
“Aaaaaa pouwa tu sasa unasemaje.??”
“Naam pablo nambie mimi sina usemi zaidi ya kumiss penzi lake ulilonipatia siku ile.”
“Enhee hapo hapo sasa nilikuwa nakuambiaje leo una muda tukutane palepale kwa siku ile.”
“Yanii kwa wewe muda ninao wangu wee niambie saa ngapi.”
“Mmmh saa mbili usiku” nilimwambia suzan ambaye alionekana kufurahia kisha mimi nikakata simu huku nikiwa na tabasamu.nikajisogeza mpaka nikapanda gari la kuelekea chuo lakini katika hali ya kutotegemea nikakutana na Mama chiku ambaye baada ya kuniona akatabasamu na kunifata mpaka sehemu niliyokuwa nimekaa.
“Hee mimi Nina bahati kweli yakuonana na wewe yani nina hamu balaa”mama chiku akaniambia kwa sauti ya chini hali iliyosababisha nimuangalie kwa umakini nikajikuta nikisikitika na kumuangalia tena mama huyo ambaye mwanae alikuwa ni mtu wangu.
“Daaah sasa mama y…”
“Mmmmmmh mimi sio mama yako pablo mimi ni kama demu wako halafu nimekuja kugundua kitu pablo unatembea na chiku.” Mama chiku akaniambia vile na kusababisha niangalie chini kwa sababu hata mimi sikutegemea kama mama chiku anajua kama natembea na mwanae nikainua sura yangu na kumtazama mama huyo ambaye baada ya kuniambia vile akawa ananiangalia huku sura yake akiwa ameikunja kama mtu aliyekuwa na hasira kali.
“Sasa basi Pablo nakuruhusu kwa moyo mmoja kutembea na Mwanangu lakini kwa sharti moja
“N…aa..mm..”
“Haujasikia au dharau na sharti hilo ni kama nikiitaji penzi kutoka kwako basi wewe huna budi la kukataa”
“Saw.a..sawa Mama eeee baby”
“Hahahahaha jamani niite baby ndio Pablo na sharti lenyewe linaanza leo twende tukale raha bana Nikupe vitu ambavyo chiku nimemueleza mimi unajua mimi fundi sana pablo haya niambie siku ile ulijisikiaje??”
“Pouwa tu mama chiku aaaa samahani ni baby” nilijibu kiunyonge na kusababisha mama chiku kufurahia sana baada ya kufanikiwa kuniteka hisia.sikuwa na sababu ya kukataa kwa sababu pia mama chiku hakuwa tu ni mama mzee bali alikuwa ni mama wa makamo aliyekuwa ameumbika haswa nyuma alikuwa amefungasha kichuguu cha maana ambacho kilikuwa ni kizutio kikubwa kwa mwanaume yoyote mkubwa rijali atakapomuangalia.Macho yake yalikuwa ni makubwa kiasi kama ya mwanae chiku kwa sifa hizo hata sikutaka kujutia kwa kufanya naye mapenzi nilijikuta Nikikubali matokeao tu ya kukubali atakacho mama chiku.
“Tushuke hapa tuchuke bajaji pale twende gesti moja hivi nzuri”licha ya mimi kuwa na safari zangu nikajikuta nikizibadilisha na kukubali tu matokea tukasimamisha gari katika kituo kisha mimi na Mama chiku tukashuka na kuchukua bajaj ambayo ilikimbia kwa kasi mpaka eneo la tukio ambalo tukashuka na Mimi nikatangulia ndani haraka kwa kuogopa kuonekana kama siku ile na kumuacha mama chiku ambaye akikuwa akimlipa yule dereva wa bajaji.baada ya kuingia katika gesti ile nikakaribishwa na kukaa sehemu ya mapokezi haikuchukua hata dakika nyingi mama chiku akatokea huku akiwa ameshika pochi yake ndogo mkononi na alipofika pale akaniangalia kwa tabasamu kisha akanikonyeza lakini mimi nikatulia kimya bila hata ya kumsemesha.akalipia pale mapokezi kisha akaelekezwa chumba cha kuingia.
“Twende zetu mpenzi” kwa sauti ya mahaba mama chiku akaniita na kusababisha yule jamaa alitupa chumba kumuangalia mama chiku ambaye alikuwa sasa akifanya kusudi kwa kutingisha wowowo lake na kusababisha yule jamaa atikise kichwa.Mwanaume nikajikuta nikitabasamu kisha nikanyanyuka taratibu na kumfuata mama chiku.
“Chaliiii” kabla hata sijafika mbali na pale mapokezi yule jamaa wa mapokezi akaniita na mimi sikuvunga nikarudi.
“Nambie.”
“Aisees ule mzigo wa kwako mamaaa weee hataree ndio unaenda kuufanyia kazi chaliii yangu.”nikajikuta nikicheka baada ya yule jamaa kuniambia vile kisha nikasikita baada ya kuona yule jamaa anaongea vitu kuzidi umri wake.
INAENDELEA

