AISEE KUMBE RAHA
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 21
“Hahahaa hata mimi napenda mpira na kuifupi ahsante sana mama kwa kunikaribisha vizuri maana hadi nimesikia furaha sana kwasababu ya ukaribisho umefanya nijisikie kama nipo nyumbani yani ahsante sana.”Bila ya kuwa mchoyo nikatoa shukrani zangu za dhati kwa mama mwenyenyumba ambaye alikuwa akiitwa mama sabra na kushukuru kwangu ukaribisho uliwapendeza sana wapangaji wenzangu ambao wanaume kama mimi ambao walikuja kunipa tano.
“Unajua nini pablo sisi ni ndugu na alichofanya mama nikizuri kwa sababu sote sisi ni ndugu na lazima katika nyumba tuishi vizuri karibu pablo karibu morogoro.”yalikuwa ni maneno ya mshikaji mpangaji mwenzangu ambaye naye alitoa ya moyoni yaliosapotiwa na kila mmoja aliyeyasikia vyema yale maneno na baada ya mazungumzo marefu mimi na wapangaji wenzangu pamoja na mwenyenyumba yalipofikia kikomo kila mtu akachukua muda wake na kuingia katika chumba chake hakika nikajikuta nikipata faraja kubwa ndani ya nyumba ile kwa sababu sikutegemea kuwa kwa mara ya kwanza ndani ya nyumba ya kupanga kupokelewa vizuri na watu walionekana wastaarabu kabisa maana nilikuwa naogopa sana kupanga kwa kipindi hicho baada ya kuweka sana ule msemo kuwa nyumba za kupanga zinamatatizo mengi………….
Maisha ya morogoro yakaanza vizuri na Asubuhi na mapema kesho yake nikaamka na kwenda kuoga haraka na kujitayarisha vizuri nikiwa na udi na uvumba wa kuanza kazi ambayo haikutakiwa nipumzike na bila ya kuchelewa baada ya mimi kumaliza kujitayarisha tu david naye akabisha hodi na mimi nikamkaribisha na yeye akionyesha kufurahishwa na mimi kuwahi kwa sababu alitegemea labda ningeweza kuchelewa kutokana na uchovu mkubwa wa safari ambao labda ungeweza kunisababishia usingizi mzito.
“Daaah pablo sikutegemea yani umeamka mapema na nimekukuta tayari ushajitayarisha hakika nimependa tabia hii.”David aliongezea na kunisifia baada ya hali ile kumfurahisha hali ambayo ilipelekea mwanaume niachie tabasamu la kipekee usoni mwangu baada ya kufurahishwa na maneno yale ya david.
“Daaa ahsante broo david ila ni kawaida maana ni wajibu wangu siunajua tena Mambo ya kazi.”
“Aaaaa safi mdogo wangu nimependa nataka upige kazi uchape kazi kama baba yako anavyopiga kazi haya sasa ila umelalaje usiku wa jana na umepaonaje hapa umepapenda au magumashi tutafute sehemu nyingine.”
“Aaaaaa hapa safi kaka angu safi sana watu wa humu ndani wakarimu wastaarabu hadi raha kiukweli nimepapenda kutoka moyoni na nimefurahi sana daaah nimepapenda.”sikusita kutoa yangu ya moyoni na kumwambia david ambaye naye alitingisha kichwa kuelewa huku akitabasamu.
“Nyie masharobaro nawajua siunaona ulivyopendeza hakia ya Mungu morogoro watachinjwa sana maana wasichana wa huku malimbukeni lakini nakuomba ukienda nao tumia mipira kaka huku inauzwa kibao usiruke mechi kavukavu utaumia ndugu yangu utapotea maana maukimwi sasa hivi nje mimi nakusisitizia tu.”David akaniambia yale maneno kwa msisitizo maneno ambayo yaliniingia kichwa mwangu nakujikuta nikikubali maneno yake yake kwa kumthibitishia kuwa sitamuangusha kwa lolote kuhusu maswala ambayo aliyokuwa akiniambia.Baada ya mazungumzo mafupi wote tukatoka nje kisha mimi nikafunga chumba changu kwa funguo kisha nikaongozana na david mpaka katika ofisi kubwa ya wakala wa tigopesa na mpesa ambayo ndio nilikuwa sasa nimeambia nifanye kazi pale tulipofika david kwa kutumia funguo zake akafungua ofisi ile ambayo ilinifurahisha baada ya kuona ndani na nikajikuta nikifurahia sana baada ya kuona mandhari ya ofisi ile ambayo ilikuwa imejengwa vizuri.wote tukazama ndani baada ya kufungua milango kisha moja kwa moja tukaenda kuketi katika viti ambavyo vilikuwa viwili.
“Mmmmh ofisi hii nzuri lakini nishaanza kuogopa sasa nikuulize swali majambazi hapa vipi.”nikajikuta nikimuuliza swali ambalo cha kushangaza david akaangua kicheko cha nguvu sana baada ya kusikia kile nilichokisema.
“Morogoro hii Majambazi wote hawawezi kuja kuiba hapa kwa sababu ukiwa tu ndani ya duka hili na wewe ndio unafanya biashara hii unawapa watu pesa wanapotoa na kuchukua pesa za watu waoweka kwanza chumaulete yoyote yule aibu kwa namna yoyote duka hili limeoga pablo usiwe na shaka wala hofu na duka langu hili.”Maneno ya david yalinitisha sana lakini sikuyatilia maanani kwa sababu nilijua tu watu wa morogoro wengi ni wanapenda kufanya mambo ya kishirikina.kwa utaratibu david akanielekeza utaratibu mzima wa kufanya vizuri kazi ile ambayo ndio aliyonipa kisha baada ya kumaliza akaniaga na kunitakia kazi njema huku akinisisitizia kuwa atakuja jioni kuja kufunga na mimi ofisi.Mwanaume nikajiweka sawa sawa na kufuta futa vumbi vumbi ndani ya ofisi yangu mpya kisha nikachukua simu yangu nakumtaarifu baba kuwa nimeanza kazi na baba alipokea taarifa ile vizuri huku na yeye akinisisitizia kuwa nifanye kazi kwa bidii jambo ambalo nilimuhakikishia kuwa nitakuwa mchapakazi bora.Lakini ghafla ile namaliza tu kuongea na simu na baba macho yangu yakutua katika uso wa mwanamke mweupe akitembea kwa maringo na alionekana kama mwenye mawazo flani kutoka na jinsi alivyokuwa akionekana taratibu akapiga hatua mpaka katika ofisi yangu lakini akashtuka baada ya kuona sura ngeni.
“Unaonekana una mawazo sana lakini karibu.”Nikajikuta nikianza mazungumzo na yule dada ambaye baada ya kuyasikia maneno yangu akatabasamu na kusababisha nione vishimo katika mashavu yake na kuonyesha kuwa alikuwa na vishimo vya dimpoz katika mashavu yake.
“Jamani wee kaka umenitisha usione nimetabasamu umejuaje kama mimi na mawazo.”yule mwanamke mweupe akanijibu na kusababisha nimuangalie kwa makini na kuregeza macho yangu ambayo yalisababisha yule mwanamke acheke kisha akaangalia chini alionekana kama alishakuwa dhaifu baada ya kuniangalia.
“Hamna kawaida unaonekana tu unawaza na kama sikosei itakuwa umetendwa na mtu labda kimapenzi au.”
“Wala kawaida enhe mimi nataka kuweka pesa sijui salio unalo na vipi devi yupo wapi”
“Wee weka tu na david hayupo sasa mi ndio nitakuwa nakaa hapa now nafanya kazi hapa ofisi yangu hii.”Nilimwambia yule dada ambaye alizama mfukoni na kutoa kiasi kadhaa cha pesa kama elfu sabini na kunikabidhi nimuwekee katika salio lake na mimi sikuwa na hiyana nikazipokea na kuanza kubonyeza namba kwa lengo la kumuwekea.
“Jina Elizabeth julius si ndio.”nikamuuliza yule mwanamke mweupe ambaye alitikisa kukubali swali ambalo nilimuuliza.
“Ndio jina lako hilo.??”
“Yes mimi naitwa elizabeth vipi jina langu baya eee.”
“Hamna jina zuri sana elizabeth ni majina ya watu warembo kama wewe siunaona ulivyo una dimpozz hadi raha.”nilimsifia yule mwanamke aliyejulikana kwa jina la elizabeth ambaye baada ya kumwambia yale maneno akatabasamu kidogo kisha akaniangalia na kunitazama kwa makini.
“Nimependa ukarimu wako sana sijui unaitwa nani wee kaka.”elizabeth akaniuliza swali na mimi nikamuangalia na kumuona elizabeth akiwa amesimama akiniangalia mimi kwa makini.
“Aaaaaa naitwa pablo elizabeth”.
“Anha sawa jamani je unaweza ukanipa namba yako ya simu labda tuwe tunawasiliana na kushaurina na kufajiriana siunajua bwana sisi binadamu……..”
Hakika nikajikuta nikishangaa sana Maana tangia nilipotua katika mkoa wa morogoro hali ilikuwa imebadilika nikajikuta nikijishangaa kwa sababu nyota yangu ilionekana kung’aa sana pindi tu Mwanamke yoyote atakapo niona.Tendo la yule mwanamke elizabeth kuniaomba namba yangu ya simu kulinishangaza sana kwa sababu sikutegemea kwa uzuri wake kwamba angejirahisishia kabisa na kuniomba namba yangu ya simu.Nikajikuta nikaa kimya kidogo nakuanza kuwaza kitu ambacho sikukujua nawaza nini.Nilikuja kushtulia na elizabeth ambaye aliniuliza swali lakini nilichelewa kidogo kumjibu jibu lake.
“Eeee jamani mbona umekuwa kimya ghafla pabilo.”
“Aaaaa hamna bwana kawaida hivi ulikuwa unasemaje eliza.”
“Aaaaa mimi nataka namba yako ya simu nataka tuwe tunawasiliana.”Sikuwa na hiyana kidume nikamtajia namba zangu za simu namba zangu zote mbili ambazo yeye alizihakikisha kwa kuzipiga pale na aliposikia zinaita akafurahia kisha akaniaga kuwa yeye anaondoka na anaomba tuwe na tunachati kwa njia ya uwanja wa messeji jambo ambalo sikumkatalia nikamkubalia kabisa bila ya matatizo.Hakika elizabeth ndio akawa mteja wangu wa kwanza kabisa na ndiye aliyenifungulia mlango wa wateja ambao wengi wao walimininika ofisini kwangu huku wakiwa wanahitaji huduma zile zile ambazo wengine walikuwa wakilipa umeme na hata waliokuwa na ving’amuzi vyao pia walijisogeza na kuja kulipia pale.biashara ikanikolea kabisa na kujikuta siku ya kwanza tu nikaipenda na kwa ile siku moja watu walinizoea na wengine hadi walikuja mara mbili mbili kuweka fedha na kutoa takribani wateja wengi ambao walikuwa wote wanakuja walikuwa wakiniuliza jina langu na mimi sikusita kuwatajia jina langu ambalo lilikuwa ni tatizo kubwa kwa watamkaji ambao wengi wao kiruguru kilikuwa kimewameza sana katika lafudhi zao hadi kifika wengine kuniita pabilii,pabro na kadhalika.Siku ikakatika na jioni bosi wangu ambaye alikuwa rafiki yake kipenzi baba yangu mzazi akawasilia katika ofisi ile ambayo hakika akajikuta akishangaa sana na kiasi cha pesa nilichoingiza katika ofisi ile ndani ya siku moja.
“Weee pablo unatumia nini ndani ya siku moja umeingiza kiasi chote hiki daaah kweli wewe una nyota ya biashara.”kama kawaida david akaniachia pongezi zangu ambazo zilinifanya kichwa kiwe kikubwaa sana nakujikuta nikijisifia mwenyewe na baada ya yeye david kuridhika akaniachia na funguo za ile ofisi na kunisisitizia kutochelewa ofisi pale kisha akaondoka zangu nakunipa ahadi kuwa ataonekana kesho yeye.Mwanaume baada ya kufunga ofisi katika mida ya kama saa kumi na mbili kuelekea saa moja nikapitia kwa marafiki ambao nilitambulisha nao kupitia david ambao niliwasalimia kisha nao nikaelekea katika kibanda cha kuuza chips nikachukua chipsi.
“Pablo….pablooo…wee pablo simama.”Ghafla nikasikia sauti ya kike ikiniita na mimi taratibu nikageuka kimachale lakini nikauona sura nzuri ambayo ilisababisha nitabasamu alikuwa si mwingine bali ni rozinta mpangaji mwenzangu ambaye alikuwa mzuri kupindukia hasa shepu yake ndio ilizidi kumfanya aonekana ni mrembo wa bei ghali.
“Nambie pablo jamani nakuita weee.”
“Aaaaa kichwa kina mambo mengi mrembo nambie umetoka wapi.”
“Mmmh eti mrembo sasa mimi ninaurembo gani.”sauti tamu ya rozinta hakika ilinikosha kweli kweli hata alipoongea alikuwa akiongea kistaili kama masista duu wa dar-es-salaam hali ile niliipenda sana kutoka kwa rozinta.
“Halafu pablo bwana naomba ule niwe mgeni wako kwako najua umechoka lakini nataka nije kuangalia movie wewe si una dvd au huna.”Maneno ya rozinta yalinishtua kidogo na kujikuta nikisusua kumjibu lakini wala sikumuonyesha hali ile nikajikuta nikitabasamu tu huku nikiwaza kumjibu.
“Aa…aa….aaa…n..jooo tuu itakuwa pouwa.”Nikajitutumua kumjibu rozinta ambaye alifurahishwa na jibu langu ambalo nililitoa kwa tabu mno.rozinta bila ya kuogopa akaniomba na simu yangu ambayo nilimkabidhi kwa sababu aliniambia anaiomba mara moja na mimi nikampatia.Rozinta akajibipu katika simu yangu kisha akanikabidhi simu yangu nakuniambia kabisa kuwa namba yake ndio hiyo na atanitumia messeji mida ya saa tatu kwa sababu alikuwa hataka wapangaji wengine wamuone wakati atakapokuja kuingia chumbani kwangu.sikuwa na haja hata kidogo kumkatalia kwa roho nyeupe nikamkubali kisha wote tukaelekea nyumbani ambapo tulipofika kila mtu akaingia katika chumba chake.Mwanaume kutokana na kuujua ugeni nikaweka sawa chumbani mwangu na kusafisha safisha sawasawa kisha nikaenda bafuni na kujimwagia kisha nikarudi ndani na kurudi ndani mwangu na kula chips zangu ambazo nilizinunua.Lakini ghafla nikiwa naangalia tv yangu mlio wa messeji ukasikika katika simu yangu na nilijua kabisa aliyetuma messeji ile lakini nikaichukua nakuhakikisha kabisa mtuma messeji alikuwa nani.
“Enhe pablo nije.??”alikuwa si mwingine bali ni mrembo rozinta na mi sikuwa na tabu nikamjibu aje na kumwambia kabisa mlango nimeugesha tu na atakapofika asipige hodi aingie tu.hakupita hata dakika tano hamadi Mlango ukafungulia na mrembo rozinta akaingia ndani huku akiwa amevaa kanga moja tu ambayo ilikuwa imelowa maji na kuonyesha alikuwa ametoka kuoga muda huo mfupi aliniangalia na kutabasamu baada ya kuingia kisha akanipa mgongo ambapo yeye alikuwa akifunga mlango macho yangu yakatua katika mzigo wake alioubeba chini ya kiuno chake kipana taratibu kiungo changu kikuu cha siri kikanyanyuka haraka uchu ukanitoka sasa na maneno yote ya mama na baba waliyoniambia yakanitoka baada ya kuona vile.
“Mmmmh huyu rozinta hakia ya Mungu simuachi…
Kidume nikajisemea na kuapia mungu kimoyomoyo huku nikiuangalia mzigo wa rozinta ambaye kwa hakika alikuwa akifanya kusudi kwa sababu kuufunga ule mlango eti ulichukua kama dakika tano.
“Jamani mlango huu mgumu daah.”rozinta akaniambia baada ya kufunga ule mlango lakini kilichonitia kimuemue ni baada ya rozinta kuufunga ule mlango kwa funguo kabisa akionyesha kabisa alikuja ndani ya chumba changu akiwa ameshajiandaa chochote kitakacho tokea.baada ya kumaliza taratibu akanisogea na kuniangalia mimi kwa macho ya kimahaba na mimi wala sikukwepesha macho nikamuangalia kwa hisia kali lakini nikajikuta nikiacha kumuangalia na kutabasamu baada ya kumuona rozinta kama anataka kusita kukaa vile.Mwanaume nilikuwa nimevaa kaoshi na boxer tu ndefu ndefu na nilikuwa nimeketi kwenye kochi ambalo lilikuwa na siti mbili bila ya hiyana rozinta akajisogeza taratibu na kukaa palepale na huku akiangalia naye tv na kusababisha usumbufu katika mwili wangu na kunipa shida kabisa hali iliyopelekea mpaka nichukue mto na kujiziba maeneo ya karoti yangu iliyokuwa imesimama kinoma baada ya rozinta kunigusa gusa na bega lake na kwakua alikuwa ametoka kuoga alisababisha nijisikie kiubaridi fulani.
“Hivi humu ndani hauna cd yoyote maana vipindi vya siku hizi katika television vinaboa kabisa kuangalia jamani.”rozinta akavunja ukimya na kuniambia na taratibu nikanyanyuka bila ya kujibu mpaka katika sehemu ambapo kulikuwa kuna kitabu ambacho kilikuwa kimewekwa cd na kutokana mimi nilikuwa bado sijakikagua vizuri na vile cd alikuwa ameniwekea david nikakuchukua kile kitabu kisha nikamkabidhi rozinta ambaye alikipokea na kufungua kile kitabu.
“Haya chagua cd nzuri hapo tuangalia.”Nilimsisitizia rozinta ambaye hakujibu chochote na akaanza kukagua kagua vile cd.hakika rozinta alijipanga sawasawa akaanza uchokozi wake huku akiwa anachagua cd ghafla akaanza kubadili badili mikao na kusababisha mashine yangu iliyopoa kiubuka tena.Macho yangu hayakukawia katika mapaja yake ambayo yalikuwa wazi na hakika licha ya yeye kuonekana kuona hali ile lakini alikaa vile wala hakujifunika kanga yake ile iliyojifunua ndio kwanza alikuwa bize kuchangua cd.Alitumia kama dakika tano kuchangua cd na alipoipata akanipa
“Hebu weka hii kava lake nimelipenda.”rozinta akaniambia na mimi taratibu nikanyanyuka bila ya kukataa chochote lakini kunyanyuka kwangu nilinyanyuka na ule mto ambao nilikuwa nimeficha kiungo changu cha siri kutoonekana kama kimekasirika.baada ya kumaliza kuweka ile cd nikarudi kitini na kubonyeza play ambapo cd ile ikaanza kuonyesha na ilionekana ilikuwa ni movie ambayo ilianza na mapambano ya kutosha hali ambayo ilivuta hisia zangu na kujikuta nikiwa makini sasa na ile movie na kuacha kumuangalia rozinta ambaye naye alijifanya anaingalia ile movie huku akizidisha kukaa mikao yake ya ajabu na alikuwa kabisa atulii pale katika kochi.
“Hivi pablo nikuulize kitu??”rozinta akanikatisha umakini wangu wa kuangalia ile movie nakujikuta nikigeuka na kumuangalia yeye baada ya kuniambia anataka kuniuliza swali ambalo sikujua swali gani.
“Uliza tu usijali.”
“Mmmmh kwanza punguza hiyo sauti ya tv maana usiku mwingi naona kama makelele.”maneno ya rozinta yalianza kunitisha fulani vile kwa sababu alionekana kama mtu ambaye anataka kitu lakini aliogopa kusema moja kwa moja na aliponiambia vile sikuwa na sababu ya kubisha wala kuuliza nikafata rimoti na kupunguza sauti kisha nikahamia kitandani nimuangalie vizuri alikuwa anataka kusema nini.lakini baada ya mimi kuamia kitandani naye rozinta bila ya kunionea aibu akanyanyuka na kukaa kitandani na kuzidi kunipa wakati mgumu.
“Jamani mbona hivyo sasa mbona umenikimbia pale pablo??”rozinta akaniambia kwa deko huku akijisogeza karibu na kugusana kisha mkono wake akaupeleka katika mto ambao nilikuwa nimeugesha pale katika mashine yangu ambayo ilikuwa imesimama hadi nikawa naumia na kuzidiwa kabisa.
“Pablo nilikuambia nikuulize swali??”
“A…a..nha uliza tu nilishasahau kama ulikuwa unataka kuuliza swali rozinta.”Nilimjibu rozinta vizuri huku nikiung’ang’ania mto wangu ambao rozinta alijaribu kutaka kuutoa pale nilipokuwa nimeuweka.
“Haya jamani hivi kwanini wanaume ni waongo”rozinta akaanza kuniuliza swali huku akinisogelea zaidi na mkono wake akaupeleka mpaka katika bega langu na mimi nikamuacha wala sikumuuliza.
“Mmmh sio wote maana hata wanawake wengi nao ni waongo ila kwanini umesema hivyo.”
“Hamna nimekuambia hivyo kwa sababu maana ila basi bana sitaki kuongea sana hivi una mpenzi.??”
“Aaaaa mimi ni single boy mwezio nilisalitiwa na mpenzi wangu huko dar.”
“Hee jamani yani na uhandsome wote huo msichana anatokea anakusaliti baby..ooo..ops sorry nimekuita baby pablo nisamehe.”swaga za rozinta zilisababisha nishindwe kabisa kuvumilia na kujikuta nikijikaza sana bila ya mafanikio na kubaki nikimuangalia rozinta ambaye aliiona hali ile na kuona hiyo ndio nafasi yake ya kipekee na taratibu akapandisha paja lake la kulia katika sehemu ambapo mimi niliweka mto kisha akanishika kidevu na kunigeuza nimuangalie vizuri huku akiwa anapumua na kusababisha ule upepo alikuwa akipumua uliotoka katika pua zake na kuzidi kunisisimua na kujikuta nikimuangalia kwa hisia kali za kimapenzi.
“Pablooo nataka kukupa mwili wangu usinione kama mimi malaya lakini tangia nilipokuona mara ya kwanza nimekupenda na nakuhitaji uwe mume wa maisha yangu pablo me nakupenda naomba unikubalie”………..
Maneno matamu yakamtoka rozinta akaniambia mimi kwa hisia kali ambayo hata mimi maneno yale yaliniingia barabara masikioni mwangu.sikuwa naamini kabisa uzuri wa rozinta wote eti angenitongoza na niliona jambo geni kwa sababu sikutegemea jambo hilo kabisa maishani mwangu.hakika rozinta alikuwa mzuri sana kupindukia hata wanawake wangu wa nyuma wote niliowai kutembea nao akiongozwa na chiku hakuna aliweyeweza kuufikia uzuri wa rozinta kwa kila kitu kwa yale maneno yake yalisababisha nimuangalie rozinta ambaye alikuwa akisubiri jibu tu kwa shauku macho alikuwa ameyalegeza kama mtu aliyekula kungu.
“Jamani pablo uko kimya sana nijibu unanipenda au niondoke.”rozinta akaniambia vile sasa kwa hasira na kutoa paja lake pale na kukaa kitandani kisha akajiegemea na kulalia mapaja yake na kuanza kulia.Licha ya kuwa hata mimi nilishakolea naye lakini nilikuwa mzito pia kumjibu jibu sahihi kwa sababu maneno ya david kwamba niangalie Morogoro ile kuwa si kila mwanamke basi nichukue tu iliniingia katika kichwa changu maneno ya baba na Mama pia yaliniingia Barabara baada ya kuyakumbuka uoga wa ghafla ukanikumba na hata mashine yangu iliyokuwa imesimama ikanywea taratibu baada ya kuyafikiria maneno ya wazazi ambayo yalikuwa sahihi kabisa kutoka midomoni mwao.
“Rozinta wewe ni msichana mzuri nakubali lakini mimi sitaki kukuchezea najua hata kama umekuja kuniambia unanipenda na hapohapo tufanye mapenzi mimi kufanya hivyo naogopa maradhi mengi siku hizi tutaaminiana vipi sasa.”Nikajikaza kisabuni na kumwambia rozinta ambaye alinyanyua uso wake na kuniangalia huku akiwa analia jambo ambalo lilinishangaza pia kwa sababu mwanamke kunitamkia ananipenda na kutaka kusubiria jibu langu na kulia lilikuwa jambo geni kabisa.
Sehemu Ya 22
“Sasa pablo wee unavyofikiria mimi nina ukimwi au mimi nipo salama na mwezi uliopita tu nilitoka kupima tu nakujikuta nipo safi kwa hiyo wewe usijali kwa hilo pablo najua wewe akili yako ishakupeleka mbali na kufikiria kwamba mimi ni kahaba kwa sababu nimekuambia nitakupa mwili wangu leo kumbuka sio
hivyo ni nguvu ya mapenzi na si kitu kingine.”rozinta akanijibu na kuzidi kunisisitizia kwa maneno yake ambayo yaliniogopesha flani lakini yalisababisha nitabasamu moyoni kwa sababu hata mimi nilikuwa tayari nishakolea na uzuri wa mrembo rozinta.
“Mimi leo sina cha kukujibu nakuomba tu acha nifikirie ro…”kabla hata sijamaliza sentensi yangu rozinta akanyanyuka kwa hasira kisha akajiweka sawa na machozi yakaanza kumtoka upya na bila ya kusema chochote akaanza kuutafuta mlango wa kutokea katika chumba changu.
“Rozinta…roziii weee….rozi.”Nikaita bila ya mafanikio lakini rozinta akuruhusu kunijibu akaminya funguo kwa nguvu na kufyatua loki za mlango kisha akakunja na kitasa na kuufungua mlango kisha akatoka kwa hasira na kuubamiza mlango ule hadi kupelekea mimi kushtuka.
“Ooooh Mungu”Mikono yangu nikaipeleka kichwani na kushika kichwa changu huku nikisimama nikapiga hatua mpaka katika mlango na kuufunga.ilikuwa ndio siku ya kwanza katika maisha yangu kuacha mwanamke akitoka ndani ya chumba changu bila hata ya kufanya naye mapenzi hadi kujikuta nikijishangaa.
“Aiseee pablo mimi nimebadilika sana daaah eti nimemuacha hahaha siamini kabisa siamini kama nimemuacha rozinta tena akiwa na kanga moja wakati nilishaweka nadhiri kama lazima nitaduu naye.”Nikajikuta nikijipongeza hakika niliyaona mabadiliko yangu kabisa maneno ya wazazi kiufupi yalionekana kufanya kazi kubwa kwa sababu katika enzi zangu nilikuwa na sheria moja tu ambayo mara nyingi wanaume wapenda sana kufanya mapenzi walikuwa na misemo kuwa demu akiingia magetoni hatoki.Siku hiyo niliwaza sana na kumfikiria rozinta mrembo ambaye alinitamkia wazi kuwa ananipenda na kujikuta nikichelewa kabisa kulala.Nilikuja kushtusha na mlio wa alarm niliyoiweka iniamshe na nilipoamka ilikuwa ni saa kumi na mbili na dakika arobaini asubuhi nikaamka haraka haraka na kwenda kuoga lakini nilipofika chooni nikakutana na rozinta ambaye naye alitoka chooni kuoga Nilimsalimia kwa ustaarabu wa mtu na yeye akaitikia vizuri tu bila ya hiyana lakini hakuniangalia usoni kidume nikaoga haraka haraka na kuelekea katika ofisi yangu na nilipoingia tu nakukaa kusubiria watoa pesa na wawekaji na walipiaji wa umeme na ving’amuzi.Mteja wangu wa kwanza kama kawaida alikuwa ni elizabeth mteja ambaye siku ya jana yake ndio yeye naye alikuwa wa kwanza akafika na kutabasamu huku akiniangalia mimi na mimi nikamuangalia kwa mapozi hali ambayo ilisababisha elizabeth aangue kicheko.
“Ndio nini sasa pablo nikakutumia messeji hukunijibu.”elizabeth akaanza kuniambia nakubinua midomo yake akiashiria kuwa ameudhika na nilichomfanyia.
“Aaaa jamani nimesahau mwenzio kichwa changu kina mambo mengi nisamehe.”
“Haya bana mimi nimekuja kumtumia mtu pesa hapa.”elizabeth akaniambia vile kisha akanipa pesa na kunitajia namba za yule anayemtumia na mimi nikafanya hivyo kama alivyonielekeza baada ya kumaliza elizabeth akaegemea pale kwenye geti la ofisi huku akiniangalia.
“Vipi elizabeth.”
“Aaaa nataka tupige story pabilo bwana nimeboreka peke yangu nyumbani.”
“Aaanha ngojea nikupe kiti.”Nikanyanyuka kisha nikachukua kitu kimoja na kumtolea nje elizabeth ambaye alikaa na tukaanza kupiga stori za hapa na pale huku tukiwa tunacheka na kila mtu kuonekana kunogewa sana na mazungumzo.
“Ila pablo wee mcheshi sana hadi…nime….”
“Enhe umefanyajee eliza.”
“Aaaaa nikuambie kitu pablo.”
“Enhe niambie elizabeth.”
“Yani mwenzako nimetokea kukupenda kweli yaniii daaaa nakupenda napenda unipe nafasi niwe katika moyo wako.”……….
Yalikuwa ni maneno ya elizabeth msichana ambaye ilikuwa ni siku mbili tu tangia nijuane naye hakika maneno yale yalinishangaza sana nikabaki namuangalia elizabeth ambaye alikuwa akiniangalia kwa makini huku akisubiri nitakachokiongea mimi kwa shauku kubwa sana.
“Unasemaje elizabeth.??”Nikajikuta nikimuuliza tena elizabeth kama vile sikuyasikia maneno yale aliyoyaongea kutoka katika kinywa chake.
“Jamani pablo kwani ukuyasikia nimeongea maneno mengi jamani tena kwa sauti pablo nihurumie.”Elizabeth akaongezea na kuniambia uku akiweka uso wa huruma na kuonekana kabisa kukitaka kitu ambacho aliniambia.Nikajikuta nikitabasamu na kumuangalia elizabeth ambaye baada ya mimi kuachia tabasamu na yeye alikuwa na shauku kubwa.
“Mbona unatabasamu.”
“Hamna nimefurahia tu vipi nikuambie kitu elizabeth mrembo.”
“Nambie tu pablo niambie jamani me naumia.”
“Wewe umenipendea nini mimi.??”
“Cha kwanza nimependea ustaarabu wako,utanashati wako jinsi ulivyo mcheshi na hata jana nilikuwa nakuwaza sana usiku tangia nilipokuona moyo wangu ulikuwa unanidunda sana hadi nikajishangaa unajua mimi nishatendwa na nataka wewe uzibe pengo ambalo linaniumiza moyo wangu.”Maneno ya elizabeth yalisababisha mwanaume niinamishe kichwa chini kiukweli sikuwa hata na mpenda elizabeth na nilimchukulia kama rafiki tangia siku ya kwanza nilipomuona Maneno yale ya kwake yalisababisha pia nizidi kuchanganyikiwa kwa sababu ndio maneno ambayo hata rozinta alinitamkia.
“Hee huku morogoro kuna nini na mimi maana watu wanawake wawili ndani ya siku mbili tu wamenitongoza wenyewe makubwa.”Nikajikuta nikiongea mwenyewe kimoyomoyo huku bado nikiwa nimeinamisha kichwa chini kutakafakari na kudadavua kwa kina maneno ya elizabeth.
“Pabloo.”elizabeth akaita na safari hii nilipomuangalia uso wake ulikuwa na huzuni kubwa hata nilipoangalia katika macho yake niliona kabisa elizabeth kama alikuwa anataka kulia flani vile kutokana na alivyokuwa akiniangalia kwa huzuni.
“enhe nambie elizabeth.”
“Me nataka unambie jibu langu.”
“Aa…mmm…..elizabeth acha nifikirie kwanza.”
“Aaaa jamani pablo ufikirie nini wewe mtoto wa kiume na wewe ufikirie kama mimi maana mimi nimefikiria sana kukwambia wewe ndio mwanaume wa kwanza kabisa kumueleza hisia zangu za moyoni na wewe hushangai siku mbili tu tumeonana nimekwambia nakupenda wee ushangai.”elizabeth akaniambia kwa hisia kali zilizonifanya hata mimi nijikune kichwa changu.
“Kusema ukweli elizabeth mimi…Mwenzio nina Mwanamke mb..ona.”Nikajikuta nikijibu kwa kususua na kumwambia elizabeth ambaye baada ya kusikia maneno yale akaniangalia kwa jicho flani hivi la kama mtu ambaye aliyekuwa haamini kile ambacho amekisikia katika masikio yake.baada ya kumwambia meneno yale taratibu elizabeth akanyanyuka pale alipokaa bila ya kuongea chochote kisha akaonekana kama mtu ambaye anatafuta kitu fulani hivi kutokana alivyokuwa akiangalia huku na huko na baada ya kuonekana kuridhika akageuka na kunipa mgongo kisha haraka haraka akaanza kutembea na kuondoka pale.
“Elizaaaa!!,weeeee elizabeth elizaaaaaaaaaa.”Nikanyanyuka na kuanza kumuita elizabeth kwa sauti ya juu lakini akugeuka mwanaume nikatoka mpaka nje ya ofisi na kuanza kumuita kwa nguvu lakini ilikuwa wapi nikabaki nikimsindikiza tu kwa macho na kwa mbali nilimuona akipotea katika macho yangu baada ya kumuoma akikata na kona.Nikabaki pale nje nikikodoa kodoa macho na nilipogeuka geuka ghafla macho yangu yakatua kwa rozinta ambaye alionekana ni kwa muda mrefu alikuwa akiungalia mchezo ule baada ya kuniona mimi nikimuangalia naye taratibu akaanza kuondoka na hata nilipotaka kujaribu kumuita nikaganda mdomo ukawa mzito sana.
“Aaaaa sujui na kule nimeharibu.”nikajikuta nikiwaza kwa mbali bila ya kutopata jibu baada ya kusimama pale kwa muda kidogo nikaona isiwe tabu mwanaume nikarudi ofisini kwangu nakuendelea na shughuli zangu kama kawaida.Hakika siku ile pia nilipiga kazi na wateja walimiminika si kidogo pesa iliingia mno sikutegemea kabisa hakika nilijiona nilikuwa na sura ya biashara kwani pesa zilimininika kweli kweli pale ofisi Mida ya jioni david akaja kama kawaida kuchukua mafao hakika na hata yeye akashangaa sana kwa sababu tangia hata yeye alipokuwa anakaa pale kufanya biashara ile hakuwai kuuza kama nilivyokuwa nauza mimi kwa sababu watu wengi walikuja kuweka hela sana na waliokuja kununua umeme nao walikuwa wengi kupita maelezo ukiachilia mbali na wale wa kulipa ving’amuzi ambao ndio walikuwa mmoja mmoja lakini pia na wao walimiminika siku hiyo.
“Aisee unanifurahisha wewe pablo hakika nakupenda sana kijana wangu yani tangia nikae mimi hapa sijawai.baada ya kumalizana na david akaniaga na kuondoka zangu nakuniacha nikifunga funga ile ofisi nilipomaliza nikaenda mpaka katika chipsi lakini wazo jipya likaniingia nikazama mfukoni na kutoa simu yangu nakutafuta namba ya rozinta kisha nikamuandikia messeji.
“Rozintaa mambo vipi mwenzio nina njaa nimechoka kula chips.”Niliandika ile messeji na kumtumia ile messeji rozinta ambaye haikupita hata muda mlio wa Messeji ukaingia na mimi nikaifungua.
“Jamani nimepika wali mwingi na samaki pablo njoo nakuomba uje please njoo kwangu.”Meseji ilirudi na kunifanya nitabasamu kwa furaha hakika nilijisikia raha kweli mwanaume nikarudi nyumbani kisha nikaoga na nilipomaliza mida ya saa mbili mbili nikafunga kwangu kisha kwa hali ya kuibia ibia nikazama ndani kwa rozinta ambaye aliniambia mwenyewe nisipige hodi niingie tu.Lakini baada ya kuingia tu nikajikuta nikiganda mwenyewe baada ya kumshuhudia rozinta akiwa amelala kitandani akiwa amevaa sidiria na nguo ya ndani tu na kufanya umbo lake lionekane kwa vizuri.hakika rozinta alikuwa ni hipsi nzuri kiuno chake kilikuwa kipana na kilibeba mapaja mazuri sana na hata nilipomuangalia niliganda pale mlangoni karoti yangu ikasimama haraka uchu ukaniingia.
“Karibu pablo.”……..
Rozinta akanikaribisha baada ya mimi kuingia nakuganda mlangoni baada ya kumuona akiwa amevaa chupi na sidiria tu na hata nilipoingia hakuonyesha hali yoyote ya mshtuko jambo ambalo lilinishangaza sana lakini nikajikuta nikijichekesha chekesha kisha nikakaa kwenye moja ya kochi kubwa pale kwake.rozinta akajinyanyua vile vile na kusababisha nyuma patikisike na kufanya maumivu yaendelee kisha akachukua kanga yake na kujifunga kuanzia kifuani mpaka katika mapaja yake na alipomaliza akasogelea mpaka katika sufuria sufuria na kuchukua sahani na kuanza kunipakulia chakula.wakati yote yakiendelea mimi nilikuwa kimya na rozinta naye alikuwa kimya pia hakuna kilichokuwa kinaongelewa.
“Unajua siku hizi Morogoro kuna joto sana.”rozinta akavunja ukimya kwa kuniambia maneno yale huku akaninawisha mkono baada ya kuleta bakuli kubwa lenye jagi na kulinyanyua na mwanaume nikaweka mkono na kuanza kunawa maji yale.
“Aaaa kawaida ila dar pamezidi.”Nilimjibu rozinta ambaye akanikabidhi chakula kwa kunisogezea na meza kisha akakiweka na kuniambatanishia na kijiko kisha akafungua kanga yake pale pale na kurudi kitandani na kujibwaga kama nilivyokuta na akachukua simu yake na kuanza kuandika andika na alionekana kama mtu ambaye alikuwa akiandika messeji.Nikaanza kula huku macho yangu mara nyingi yakiwa kitandani kuangalia mapaja ya rozinta makubwa makubwa hakika uchu ulinipanda mpaka kufikia kipindi ladha ya chakula kutoisikia ma kubaki nikimuangalia rozinta huku nikila kile chakula.
“Rozinta.”Mwanaume nikaita na nilipomuita aliitika kisha akaniangalia huku simu yake ameweka pembeni.
“Unajua kupika mashaallah.”Nilimsifia rozinta sifa zake na kusababisha atabasamu sana rozinta huku akiniangalia kwa macho ya kama aniitia vile.
“Jamani ahsante sana pablo kwa hiyo nafaa kabisa kuwa mke wa mtu maana nimechoka ubachelor.”Rozinta akaniuliza swali ambalo lilinifanya niachie tabasamu kavu usoni mwangu.
“Jamani yes unafaaa kuwa mke wa mtu wewe kwa sababu mzuri unajua kupika unapika vinono sana aisee mpaka najisikia raha halafu nimeshiba vizuri.”Niliendelea kumsifia rozinta ambaye alifurahishwa sana baada ya mimi kumsifia vilivyo.
“Rozinta hivi kwanini una mchumba mpaka sasa.”
“Aaaaa Hamna pablo malengo tu ila Nashukuru Mungu nishapata mtu ambaye amenihaidi atanioa na tutaishi pamoja na leo hii amenithibitishia na hapa tunachat daaah nashukuru Mungu upweke umeondoka.” Maneno ya rozinta yalipopenya katika masikio yangu nikajikuta mwanaume nikitumbua macho na nikayatumbua kweli kweli moyo yangu ukaanza kwenda mbio kuliko kawaida sikutaka kuamini kabisa kile anachosema rozinta kilikuwa ni ukweli mtupu nikajikuta nikinywea kabisa na hata kupoteza ladha ya kuongea na kujikuta nikiinamisha kichwa kufikiria sana.
“Vipi Pablo nini Mbona hivyo.”rozinta akaniuliza kwa wasiwasi mkubwa baada ya kuona hali imebadilika ghafla na ukimya mzito ukaingia baada ya kuuliza swali na kujibiwa na majibu ya nyongeza.
“Aa….aaaa…k..umbe hongera Mungu amtupi Mja wake hongera sana.”Kwa hali ya kusua sua nikamjibu rozinta ambaye jibu langu kwake aliangua kicheko cha uchokozi ambacho kiliniuma sana na almanusura nimtukane kwa kicheko kile.
“Jamani Ahsante pablo na wewe lini??.”
“Mimi sijui lini tena maana kile nilichotegemea kimeshayayuka na sina budi kuanza upya.”Nikamjibu rozinta kiunyonge huku nikiyaangalia mapaja yake kwa kuibia ibia.
“Me fala kweli yani daaah mtoto mtamu nimemringia.”Nikajikuta nikijilaumu kimoyomoyo sana palepale na sikuwa na budi tena hakika niliona mkosi mpya umeshaingia.
“Jamani pole mtegemee Mungu utapata wanawake wazuri wapo wengi sana mbona wala usinyong’onyee na wala usijali kaka pablo.”Rozinta akazidi kugongelea msumari kwa kunipa na pole ya nguvu huku akiniita na kaka juu jambo ambalo lilizidisha hasira katika moyo wangu hasira kali.Sikuwa tena na sababu yakukaa taratibu nikanyanyuka na kujiweka sawa huku nikimuangalia rozinta kwa unyonge huku na yeye akiniangalia mimi na kuzidi kunitamanisha haswa.
“Me naenda Bwana Ahsante kwa chakula kitamu kweli nimeinjoy.”Nikamwambia rozinta ambaye hakujibu chochote kisha kiunyonge nikakiendelea kitasa nikiwa na lengo la kufungua nitoke niende kwangu.
Sehemu Ya 23
“Pablooo.”Ghafla kabla hata sijanyonga kitasa ambacho nilikuwa tayari nimeshakishika rozinta akaniita mwanaume nikageuka nyuma na kumuangalia nikamuona amesimama na mkononi akiwa ameshika karatasi kubwa nyeupe baada ya mimi kusimama akaninyoshea mkono na kunipa ishara nirudi pale sikuwa na sababu ya kukataa mwanaume nikarudi pale kwa upole.
“Kaaa kwanza pablo.”nikaambiwa nikae wala sikubisha nikatii nikaa kwenye kochi kisha yeye akanikabidhi karatasi ile ambayo nikaipokea na kuanza kuiangalia ilikuwa imeandikwa nini.Nikakaribishwa na maneno yaliandika HIv and Aids na nilipoona tu vile nikagundua ilikuwa ni karatasi ya majibu ya upimaji wa ugonjwa hatari wa ukimwi hofu ukaniingia nikaanza kutiririka nayo huku mapigo ya moyo yakinidunda kama karatasi yangu “Negative”Nikalitamka lile nelo na katika ugonjwa wa ukimwi lilimaanisha kuwa rozinta alikuwa safi na wala hakuathirika nikajikuta nikitengeneza hali ya tabasamu nikatupa karatasi ile chini nikanyanyuka na kumsogelea rozinta ambaye alionekana kunisubiria.Bila ya uoga mkono wangu ukatua katika ziwa lake la kulia nikalibinya rozinta akaachia ukelele wa mahaba akanikamata shingo yangu na kunivuta zaidi mpaka katika mdomo wake ambao niliupokea vizuri na taratibu tukaanza kunyonyana ndimi zetu…….
Hali ya raha ikachukua nafasi yake pale rozinta kiukweli alikuwa ni fundi wa ajabu katika kunyonyana ndimi ndani ya muda mfupi msisimko wa ajabu ukaendelea kunikamata barabara hisia kali ziliendelea kunishika vilivyo na hata pablo wangu aliyekuwa amesimama dede aliendelea kuwaka kwa hasira na kuzidi kuongezeka.Mikono yangu ikianza kutalii sasa katika mapaja yaliojaa vizuri na nilipoyagusa niliendelea kusisimka vilivyo mtoto rozinta alikuwa na ngozi nyororo kupita maelezo kwa hali hiyo ilipelekea kidume kuchanganyikiwa kama chizi.utamu ukazidi kuongezeka kila sekunde sikuishia hapo nikasukumiza rozinta ambaye alidondokea kitandani na kuanza kucheka kwa haraka haraka nikavua shati yangu bila ya kujali vifungo vya shati vilikuwa vinachomoka au la uchu wa kutofanya mapenzi muda mrefu niliuona mwisho wake baada ya kuvua lile shati ambalo lilikuwa linavifungo na mimi nikalivua kama tshirt bila ya kujali vifungo vinavyotoka na mimi nikajitupa kitandani taratibu na moja kwa moja nikaanza kunyonya kitovu cha rozinta ambaye acha aanze kujinyonga nyonga sauti ya mahaba akaitolea puani na kuzidi kuongeza naksi naksi huku nikiwa na mnyonya kitovu na mikono yangu nikiwa nabonyeza maziwa yake yaliyojaa kwa wastani na kufanya yaongeze msisimko wakati unayashika taratibu nikaanza kushusha chini mkono yangu mpaka nilipofikia katika nguo ya ndani ya rozinta pale nilitulia nikaangalia kwa macho ikulu yake iliyotuna uchu ukanishika na kunikamata vilivyo na taratibu nikashika mikanda ya nguo yake ile ya ndani yenye rangi ya pinki huku rangi hiyo ikifanana na rangi ya sidiria yake aliyovaa na kujaribu kumvua ile nguo yake ya ndani.
“Aa….aa……..si…taki b..waana.”Rozinta akanizuia na kusababisha nishangae kidogo maana uchu ulivyokuwa umenikamata nilishangaa kidogo kisha nikajaribu tena kutaka kumvua lakini hali ilikuwa ile ile akakataa akanyanyuka na kunisukuma kidogo jambo ambalo sikulitegemea na niliona kama ndoto.
“Eeeee vipi tena baby wangu.”Nililalamika na kumwambia rozinta ambaye alikuwa akiniangalia kwa hasira na kuzidi kunichanganya.
“Wee vipi nani baby wako.?”
“Aaaa una nini Mbona sikuelewi.”
“Unielewi nini sasa nimekuambia sitaki “
“Aaaaa sasa hutaki nini rozinta jamani.”
“Weee nimekukataza nini nimekuambia sitaki kufanya mapenzi maana sikuamini sasa hivi.”
“Uniamini nini sasa jamani.”
“Kama ulivyokuwa uniamini mimi na mimi sikuamini sasa mpaka ukapime na wewe ndio tutafanya.” Maneno ya rozinta yalinifanya niachie pumzi ndefu huku na tabasamu la juu huku jasho jembamba likiwa linanitiririka kwa muda ule tu niliokuwa nafanya naye rozinta ambaye aligoma baada ya mimi kutaka kumvua nguo yake ya ndani.
“Sasa rozinta mimi niko safi salama salimini nilipotoka nimepema niko safi kabisa tufanye mwenzako nimezidiwa tufanye kidogo halafu twende nikakuonyeshe majibu yangu na mimi.”Nikamwambia rozinta ambaye alipokea habari ile kwa kuachia msonyo ambao uliniweka wakati mgumu na kusababisha nimshangae kwa sababu sikuwai kumuona rozinta akiwa na hali kama ile ilikuwa kitu kigeni kwangu.
“Unaumwa wewe au kwanza naomba uende uniache nilale.” Hakika niliona rozinta amenipatia siku ile na wala sikutegemea aliponiambia niondoke sikuwa na la kupinga nikanyanyuka pale kwenye kiti ambapo nilikuwa nimekaa wakati nilipokuwa nakula kisha nikachukua shati langu na kufata mlango nikiwa na lengo la kutoka.
“Pablo….”rozinta akaniita nikasimama na kugeuka na kumuangalia rozinta ambaye alikuwa akiniangalia.
“Pole na usiku mwema.”Hasira zilizidi kunipa mwanaume baada ya rozinta kuniambia maneno yale ya kejeli lakini sikuwa na ujanja nikatoka chumbani kwake huku nikiwa na uchu mzito uliosababisha unisumbue nikaenda mpaka katika chumba changu huku nikiwa na hasira na uchu mkubwa ambao ulisababisha na Mambo aliyonifanyia rozinta ambayo sikuyategemea.Kama ujuavyo uchu ukiwa umebana sana nikaone isiwe tabu wala shida nikachukua kopo na sabuni kisha nikaweka na maji ya mengi nikatoka kuelekea chooni nikiwa na lengo la kwenda kupiga hata puchu ili nijiridhishe na nafsi yangu.
“Mmmmhhh oooossssss uiiiiii oooooo aiyaaaa uuuuuu uuiwuiii mmmmh aaaaaaa….”lakini Nilipofika chooni nikasikia sauti za miguno ya raha kutoka katika choo cha kwanza ambacho ukiingia maeneo ya chooni lazima uanzie hiko.Miguno ile ilinisisimua na kusababisha niweke ndoo yangu ya maji ile niliyoibeba kisha taratibu nikapalamia ule ukuta na kuanza kuchungulia mule ndani alikuwa ni nani.Macho yangu yakanitoka baada ya kuona samira yule msichana ambaye alikuja kunigongea chumbani kwangu nakunitaarifu kwamba nilikuwa naitwa ndiye aliyekuwepo katika choo kile akiwa yupo peke yake chooni na kwa wakati ule alikuwa akijiingiza mwenyewe kiungo cha siri cha kiume bandia katika ikulu yake na kusababisha mwanaume nitumbue macho na udenda kuzidi kunitoka kwa sababu sio siri yule samira ambaye alikuwa mtoto wa mama mwenye nyumba hakuwa mzuri sana ila alikuwa na shape nzuri na alikuwa akitamanisha balaa.Akili yangu ikaniruka na bila ya kuleta nikashuka chini pale nilipopanda kuchungulia na baada ya kutua chini nikashika kiuno changu na kushusha pumzi ndefu na kumwangalia pablo mwangu ambaye licha ya kuvaa taulo lakini bado alichomoza kwa hasira kali baada ya kukasirishwa na rozinta ambaye alinifanyia kitu ambacho sikukitegemea.
“Jeee niingie au.”Nikajiuliza swali na uchu ndio ulipelekea niamue vile baada ya kutafakiri vile huku akili yangu ikiwa imeshavurugika nikakata shauri ya kuingia katika kile choo ili niende nikampatie dawa yule shamira ambaye uchu naye ulikuwa umeshika na kuamua kujiridhisha sasa mwenyewe kwa kutumia kifaa bandia
“Aaaaaaa ngojea nimshughulikie.”.
Nikakata shauri ya kuingia chooni nikasogea karibu kabisa mpaka katika mlango lakini nilipotaka kujaribu kuufungua roho ikasita na hofu ikaniingia vilivyo na kujikuta nikishindwa kuingia.Hofu ile ilipelekea mpaka nichukue ndoo yangu kopo langu na sabuni na kuelekea chumbani kwangu huku kile nilichokipanga kwenda kukitimiza kule chooni nikikipuuzia kabisa.Hakika nilinyong’onyea sana siku ile na niliumia kweli kweli siku ile hali iliyopelekea mpaka usiku nilale kwa tabu.Hata hivyo siku inayofuata nilichelewa kuamka baada ya kuchelewa sana kulala kutokana na uchu ulizidi kipimo mpaka kupelekea kujichua mwenye kwa kutumia rosheni mpaka nilipofikia mshindo ndio nikapata na usingizi ambao ulikuwa mzito na kupelekea nichelewe kuamka lakini haikuwa tatizo kwa sababu hata nilipoelekea ofisini kwangu na nilipofungua niliendelea vizuri na biashara ile niliyokuwa nimeajiriwa na kufanya vizuri tu kwa sababu wateja wengi walikuwa tayari wameshanizoea na kunipenda.Mida mida ya mchana Nikamuona elizabeth kwa mbali akipita na wala siku ile hakuja hata kunipatia salamu kutokana na majibu niliyompa kumuuzunisha moyo.Hali ya upweke ukaniingia hadi na mimi kwa wakati ule na hata nilimtegemea rozinta labda angeweza kunitatulia haja zangu lakini na yeye maneno yake aliyoniambia kuwa yeye ana Mtu na amempa malengo ya kumuoa yaliponirudia kwa wakati ule yalininyong’onyesha na kunikera vilivyo.Siku ile nilipiga kazi mpaka jioni na david wala hakutokea alinipigia simu na kuniambia mzigo wote wa pesa nikae nao mimi kwamba yeye atakuja kuchukua kesho baada ya kumaliza kazi zangu nikaelekea nyumbani huku nikiwa na mawazo kibao na Nilipofika nikazama chumbani kwangu kisha nikalala.Nikaja kushtushwa na Mlango wangu ambao ulikuwa unagongwa sikujua nani nikaamka taratibu na kwenda kuufungua mlango nikakuta uso kwa uso na rozinta.
Sehemu Ya 24
“Vipi niingie??”
“Unataka nini rozinta.??”
“Aaaaaa kuongea na wewe jamani.”Nikamruhusu rozinta ambaye siku ile hakuvaa kanga moja alivaa dira lake ambalo lilimpendezesha vilivyo na kuonekana mrembo zaidi ya siku zote aliketi kwenye kochi nikifutiwa na mimi nilienda kuketi kwenye kochi nakumuangalia rozinta alikuwa amekuja na kitu gani kwa siku hiyo.
“Pablo nimekuja kukuambia samahani kwa yale yote ya jana yaliyotokea maana halikuwa kusudio langu kufanya vile ilikuwa sijui shetani alinipitia lakini kiukweli jana nilikunywa pombe ndio maana nikawa vile.”rozinta akaniambia maneno yale ambayo yalinisabisha niyakumbuke ya jana na kupelekea niachie msonyo wa nguvu huku hasira zikinirudia baada ya kuyakumbuka yale aliyonifanyia rozinta.
“Kawaida nishakusamehe mbona kawaida najua ulilipiza kisasi.”
“Hamna pablo me nisamehe sitarudia na kumbuku nakupenda.”
“Hee na mwanaume wako uliyesema anakuoa vipi.??”
“Nilikuwa nakudanganya na kukutania please nakuomba unisamehe pablo.”
“Nishakusamehe.”
“Je unanipenda maana mimi nakupenda nataka uwe mume wangu.”Maneno ya rozinta kwa namna moja ama nyingine yakaibua raha zangu mpya na kusababisha nitabasamu na kumuangalia rozinta kwa macho ya kimahaba huku furaha yangu ikiongezeka.
“Rozinta nakupenda pia nakupenda sana.” Rozinta baada ya kusikia maneno yale akanisogelea mpaka pale katika kitanda na kukaa katika mapaja yangu na kunipelekea mdomo ambao nikaupokea nakuanza tena kunyonyana denda lakini nilipojaribu kumshika kifuani akanigomea.
“Pablo ukitaka tufanye hivi baby nataka wewe ukapime kesho jumapili si ofu.”
“Aaaaa poa kesho tutaenda kupima usijali bby.”Nikamuahidi rozinta kwamba tutaenda wote tukapime huku nikiwa na hofu kwa sababu tangie nifanye mapenzi na suzan kipindi kile sikuwahi kwenda kupima.baada ya kupiga sana stori mimi na rozinta ambaye kwa wakati huo tukawa tayari tushakuwa mtu na demu wake akaniaga na kuondoka zake na kuniachia mabusu mazito mazito yaliokonga moyo wangu kwa kweli na yaliniacha kwa wakati mgumu sana lakini nikajitutumua kuvumilia.Kama tulivyopanga asubuhi kulipokucha niliamka mapema na kumpigia simu david.
“Inakuaje broo.”
“Poa pablo unaendeleaje leo off mwanangu kwa hiyo si utakuwa nyumbani tu maana sijui kama leo nitakuja shemeji yako amenibana sana pablo.”
“Hamna mimi leo natoka kaka.”
“Hee unatoka?? Hahaha unapajua wewe Morogoro mpaka utoke au ushapata pua unaenda kulibatua morogoro hii siku hizi imebadilika tumia kinga.”
“Aaaa natoka na dada mmoja kasema nimsindikize na anataka kunionyesha mazingira huku siunajua nishatengeneza marafiki wa hapa na pale kaka.”
“Aaaa sio mbaya ushauri wangu usiruke kavu nitaendelea kusisitizia ila usipotee mimi nitakuja kesho ila mzigo wa pesa upo salama”
“Ndio mkuu.”
“Chukua kidogo pesa na wewe ukatanuue mdogo wala usijali.” Nilimalizana na david jamaa ambaye kwa kweli amenisaidia sana mpaka nilipofikia pale na alikuwa ni bosi wangu ambaye pia alikuwa rafiki mkubwa wa baba yangu na ndiye aliyenisaidia kuificha aibu yangu iliyonikumbuka katika jiji la dar.Baada ya kujiandaa mimi na rozinta tukatoka kisiri siri yani mimi nikaanza ikifuatiwa na rozinta aliyekuja baadae kama dakika tano kwa sababu tulikuwa tunataka tusijulikane pale kama labda tuna mawasiliano kuogopa maneno ya watu ambayo labda wangechukulia katika mtizamo tofauti.Safari yetu ilikuwa ikieleka katika kituo cha afya kwenda kupima afya zetu mimi na rozinta ambaye alikubali tena naye akipima ili anithibitishie kama yeye alikuwa mzima kabisa.Tukachukua bajaj na kuelekea katika kituo cha afya na haikuchukua hata lisaa limoja tukafika katika kituo cha afya na kusababisha mwanaume nianze kuwa na uoga uoga mkubwa sana kwa sababu ilikuwa ni kipindi kirefu mimi kupima afya yangu na Nilipokumbuka nyuma kuwa idadi ya watu wengi niliotembea nao ambao walihesabika kama Chiku,suzan na mama chiku pia catherini ambaye nilimlewesha kabla sijafanya naye wote nilifanya bila ya kutumia mpira maalumu ambao mara nyingi jamii inashauriwa kuitumia kuzuia Mimba na hata magonjwa ya hatari ya ngono ikiwepo na ukimwi.Tukafika mapema na licha ya kuwa jumapili na wala hatukukuta foleni tukaingia na kupokelewa vizuri tu na mama ambaye ndio alikuwepo pale katika kile kituo cha afya.
“Karibuni wanangu nimependa mmekuja pamoja na wawili ili kuja kuangalia afya zenu ni vizuri kwani nyie si mtu na mpenzi wake.?”
“Ndio mama.”aliuliza yule mama na kujibiwa kwa mbwembwe zote na yule na rozinta lakini mimi sikujibu mzuka uliisha kabisa hofu ilizidi kutanda moyo ulikuwa unanidunda.Yule mama hakuongea Mengi akaitwa rozinta na kuingia na yule mama katika chumba maalumu na kuniacha mimi pale ndani tulipoingia na kuniwekea picha za mambo ya ukimwi kama wanavyofanyaga katika vituo vya afya.wakachukua kama dakika kumi rozinta akatoka na kuniambia mimi mama yule ananiita sikupinga nikaondoka na kuingia ndani nilikaribishwa vizuri na yule mama ambaye pia alitabasamu sana baada ya kuniona.
“Karibu uketi kuwa huru na hapa Mwanangu jisikie upo Nyumbani eee.”
“Sawa mama.”
“Naomba kidole chako.”Yule mama akaniambia na mimi nikanyoosha mkono wangu wa kushoto na yeye akanikamata kidole changu na kunipaka spirit kisha akanichoma sindano na kisa akaichukua kioo na kuchukua kioo kisha akabinya kile kidole sehemu alipopachoma ambapo palikuwa panatoka damu aliporidhika na damu iliyodondokea katika kile kioo akaniachilia na pamba katika sehemu aliponichoma.
“Haya nenda kijana wangu tufanye uchunguzi kisha majibu tutayatoa mkiwa wawili wewe na mpenzi wako.”yule mama aliniambia mimi nikanyanyuka na kutoka nje na kwenda kukaa na rozinta ambaye alikuwa ananishika shika mikono yangu na kuniongelesha na kunipigisha stori ambazo nilikuwa wala sitoi ushirikiano.Hofu kubwa ilikuwa ndani ya moyo wangu moyo ulizidi kudunda mpaka kufikia sehemu kutaka kuondoka ilikuwa hofu ya kuambia mimi muathirika ndio ilichukua nafasi yake kwa sababu ya kufanya mapenzi na watu wengi.lisaa limoja na nusu likapita yule mama afya ambaye baada ya kutochoma sindano hakutoka sasa akatoka akiwa katika hali ya umakini katika uso wake.
“Haya wanangu nawaombeni wote muingie ili myapokee majibu yenu.”…….
Baada ya kusikia yale maneno ya yule mama wa kile kituo cha afya tukasimama mimi na rozinta ambaye alikuwa wa kwanza kusimama haraka haraka akiwa anajiamini kuliko mimi ambaye nilikuwa mnyonge kupitiliza.Hofu kubwa ilikuwa katika kusikia majibu yangu na hali hiyo ilipelekea nikose na nguvu majasho yakawa yananitiririka kama mtu ambaye alikuwa ndani ya chumba chenye joto kumbe wala.Baada ya kujiungia tukakuta yule mama ameshatayarisha viti viwili ambavyo ile tunaingia yule mama akaonyesha ishara ambayo ilituambia tukae na sisi wote wawili mimi na rozinta tukakaa kitiifu kupita maelezo.
“Haya wanangu wapendwa nimependa mlivyokuja kupima mkiwa wote wawili kwa hakika mmefanya uamuzi sahihi katika mauhusiano yenu nani hatua muhimu yakuthibitisha kuwa uhusiano wenu ni thabiti sana.”Alianza yule mama na kuendelea na kusababisha wote tumsikilize kwa makini ingawaje mimi nilikuwa na hofu kupita maelezo.
“Sasa basi kama mmeamua kufanya hivyo ni vyema sana je ningependa kuanza na swali dogo tu kwa bibie hapa rozinta hivi utakaposikia kwamba huyo mpenzi wako pablo utajisikiaje.”maswali yakaanza na la kwanza akaambiwa rozinta ambaye baada ya kuulizwa swali lile ukaingia ukimya mzito ambao uliniogopesha sana lakini sikuwa na la kuongea ni kakaa kimya nakumsikilizia rozinta ambaye dakika tatu zikapita bila ya rozinta kujibu.
“Mmmmh vijana nyie wa siku hizi haya nisingependa kuwauliza maswali mengi sana ninaweza kuwachanganya akili ngojea niende straight to the point kwa kuwatangazia majibu yenu naanza na rozinta.”
“Rozinta.”
“Abee Mama.”
“Kwa vipimo vyetu tulivyopima inaonyesha kabisa kwamba wewe ni salama kabisa huna maambukizi yoyote yale ya ukimwi.”Ilikuwa ni taarifa ambayo niliitegemea kwa sababu rozinta alishanionyesha cheti chake kikionyesha ni salama kabisa baada ya kupima siku mbili nyuma yake.
“Haya sasa na wewe pablo.”yule Mama akaniita na kusababisha hofu izidi kuchukua mkondo wake uoga ulinifanya nisimame na kusababisha wote yule mama na rozinta kushangaa lakini nikajifanya nafunga mkanda vizuri vile kisha nikaketi kimya majasho yakizidi kunitoka kama nimefumaniwa vile.
“Mmmmh pablo unajua kuwa na ukimwi sio mwisho wa kuishi na pia kuna njia siku hizi salama tu unaweza hata ukatumia na mpenzi wako endapo utakuwa umeathirika kuwa na ugonjwa huu haumaanishi kama eti ndio wa kufa muda wowote vipo vidonge vya kuweza kurefusha maisha na ukaishi vizuri kama wengine.”Maneno ya yule mama yalitosha kabisa kunivunja nguvu na kutamani hata kulia niliiona kabisa nilikuwa nimeshakwisha kutokana na risala yake aliyokuwa akinipa kwa kuniambia Kwa mbali nikawa namuangalia rozinta kwa jicho la kuibia na yeye alionekana akihema juu juu kama anakimbizwa pia naye alionekana kuwa na hofu kupitiliza na kuonyesha alikuwa ana hamu kubwa ya kusikia kile atakacho kihitimisha yule Mama ambaye baada ya kuongea maneno yale akaniangalia kisha akarudia kuitazama karatasi yake.
“Ukweli ni kwamba pablo weee nii…niii….msafi kabisa na wala haujaathirika.”Hali ya furaha ikalipuka ndani mule nikajikuta nikishindwa kuizua furaha yangu nikanyanyuka na kuanza kuruka ruka kwa sababu nilikuwa siamini kama kweli nitakuwa mzima kutokana na uzinzi mkubwa nilioufanya katika jiji la dar-es-salaam.Rozinta naye hakuwa nyuma baada ya kusikia majibu yangu na kuniona nimesimama na ruka ruka naye akajiunga na mimi kwa kunituliza kwa kunikombatia na palepale tukaanza kunyonyana ndimi mimi na rozinta kimahaba zaidi palepale na kukatishwa na Mama afya yule ambaye naye alikuwa katika uso wa tabasamu baada ya kutuona wote tukiwa katika hali ile.
“Jamani vijana wangu najua mmefurahi sana na mnapaswa kufurahi lakini majibu haya ya leo yanaweza kubadilika kama utashirikiana na Mtu vitu vyenye ncha kali na muathirika wa ukimwi,kupiga mswaki wa mtu muathirika,kufanya mapenzi na mtu ambaye ameathirika hata kunyonyana kama mlivyofanya hapo hakika jamani kuna vitu vingi vya kuviepauka sana wanangu na mnatakiwa muwe makini kupita maelezo.”Yalikuwa maneno ya yule mama yaliyotufanya tutulie kidogo baada ya kuyasikia maana yalikuwa na ukweli mtupu kwa sababu yale aliyoyasema kama ukiyakosea basi utaweza kusababisha hatari.yule mama alipomaliza kuongea mimi na rozinta tukamuaga yule mama ambaye bila ya aibu akatupa boxi kubwa la condom na kuambatanisha na majarida ambayo tuliyachukua na kuondoka nayo.furaha ilikuwa furaha kweli kweli kati yangu na rozinta baada ya kutoka katika kile kituo cha afya huku kila mtu akiwa na majibu salama ambayo hayakumkwaza mwenzake tukaenda kukodisha bajaj kurudi nyumbani.
“Sasa pablo leo mapema jamani mpenzi tufanye kamchezo kale.”alisema rozinta maneno yale ya uchokozi uchokozi huku akipapasa katika mapaja yangu na kusababisha pablo wangu kupata msisimko wa hali ya juu.
“Mmmh unazingua wewe juzi umenibania mwenyewe na leo unaweza ukaniambia nije halafu ukajifanya ooo mara ooo..”Nilimjibu rozinta kama mtu ambaye niliyekuwa sitaki ombi lake na maneno yangu yalisababisha rozinta apoe kidogo na kuniangalia kwa huruma akinionyesha kuwa alikuwa anataka kulia.
“Pablo naomba unisamehe haikuwa kusudio langu kufanya vile.”rozinta akapoa lakini mimi nikamtoa hofu kwa kumuambia nimemsamehe na kukubali ombi lake kwa sababu hata mimi nilikuwa sijiwezi uchu wa mapenzi ulinichukua kabisa kwa sababu ilipita muda kidogo kutofanya mapenzi.Kama kawaida yetu safari hii mimi nikaanza kutangulia nyumbani na kumuacha rozinta ambaye aliniaga anakwenda kwa rafiki yake ambaye alikuwa akiishi mitaa ile ile ili kuwapoteza watu wasijue kama mimi na rozinta wapenzi.Nikafika nyumbani na kuweka mambo sawa kabisa na nikaenda pia na kuoga kujiandaa kabisa na mechi na haikupita hata muda mrefu rozinta alinitumia messeji kuwa yeye anaoga na niache mlango wazi.Ilikuwa ni mida ya saa kumi jioni kuelekea kama saa kumi na moja mimi nilikuwa tayari nimevaa nguo yangu ya ndani tu boxer na kumsubitia kwa hamu rozinta.Ghafla mlango ukafunguliwa na kufungwa haraka kisha aliyefunga mlango akifunga vizuri kwa kuzungusha funguo katika kitasa ugeni wake niliutarajia na alikuwa siwingine bali ni rozinta ambaye kama anavyopenda alikuwa ndani ya kanga moja baada ya kumaliza kufunga akanisogelea karibu na aliponifikia akasimama na kuniangalia kisha taratibu akaichia kanga yake yote.
“Wooooooooow.”Neno likanitoka kabisa uchu ukazidi kupanda baada ya kumuona rozinta akiwa kama alivyozaliwa na alikuja pale akiwa hana hata nguo ya ndani alikuwa amevaa kanga tu bila ya kuvaa na nguo ya ndani.Mwanaume nikakurupuka na kunyanyuka pale nilipokaa lakini nikarudishwa palepale na rozinta ambaye alinisukuma.
“Jamani ndege wako mwenyewe kwanini umshikie manati.??”…………
Sehemu Ya 25
Rozinta aliniambia kwa sauti ya mahaba huku akipanda kitandani na kunilalia juu na kuanza kuninyonya shingo yangu kwa ufundi ambao ulinimaliza kwa kweli.Mimi haraka nikaanza kumpapasa rozinta kuanzia katika mgongo wake mpaka kushuka katika makalio yake ambayo baada ya kufika hapa nikaganda na kuanza kuyabinya binya makalio yale malaini yaliosababisha kuniongezea mzuka sana.Rozinta baada ya kuridhika kuninyonya shingo akanyanyuka kidogo na kunipa shurubati ya mdomo kidogo na kuniacha na kuhamia mpaka katika kifua changu na kuanza kuninyonya kama mtu anayekula embe kisha akawa ananinyonya kushuka chini mpaka kufikia katika kitovu changu hapo pia akapanyonya kwa ufundi na kunipa mzuka na kushindwa pia kujizuia nakujikuya na mimi nikigugumia kwa raha baada ya utamu kuzidi.Mrembo rozinta akahamia kwenye kiuno changu hapo akatulia kidogo na kuangalia pablo wangu alivyokuwa amesimama kwa hasira sana.Kwa kutumia mkono wake wa kushoto akaanza kunipapasa katika pablo wangu huku akiniangalia akiwa anatabasamu kisha akashusha ile nguo yangu ya ndani boxer na kutoa pablo wangu na kuanza kunichua kwa kutumia mkono wake wa kushoto alifanya vile kwa muda wa kama dakika moja tu na alipotosheka akaweka nywele zake vizuri akainamisha kichwa chake mpaka katika karoti yangu na kuanza kuninyonya taratibu hali iliyosababisha nijisikie raha kupita maelezo.Rozinta alikuwa ni fundi kwa hakika alionekana kutokuwa na papara katika jambo lake alilokuwa anafanya kwa hakika alinishangaza kwa sababu licha ya mara nyingi nilipokuwa nafanya mapenzi na mwanamke wengi wao walikuwa wananinyonya karoti yangu ilikuwa kawaida lakini unyonyaji wa rozinta ambaye alikuwa ananinyonya kama ananitafuna kwa hakika alizidi kunimaliza na kusababisha nisitulie nakuanza kuangaika mara nitake kuinuka mara nilale.Rozinta alipotosheka na baada ya kuona sasa karoti yangu ilishakuwa imesimama barabara na kuongezeka ukubwa uliokuwa thabiti kabisa mwenyewe akajiachia na kulala chali kisha akanionyesha ishara ya kuniita pale alipolala yeye baada ya kumaliza kunyonya karoti yangu.Nafasi yangu iliporejea sikuwa na makosa nikanyanyuka na kumuangalia rozinta aliyekuwa tayari kashapanua miguu yake huku mkono wake mmoja akiwa anajishika katika matiti yake na mwingine akiwa anachezea ikulu yake kwa kujiingiza vidole huku akilalamika mwenyewe kimahaba.Nikamsogelea pale haraka nikampelekea mdomo wangu nakuanza kumnyonya denda la nguvu mdomoni kisha nikahamisha mkono wangu katika titi lake la kushoto na mkono wangu mwingine nikatoa mkono wake uliokuwa unachezea ikulu yake kisha nikaanza kumsugua mimi kwa kuingiza vidole vyangu na kusugua kwa nguvu na kusababisha rozinta apige kelele kama anauliwa vile huku akijinyonga nyonga kiuno chake kipana.Sikuishia hapo kwa sababu hasira za ghafla zikapanda na nikaamua kabisa nimkomeshe baada ya kumsugua sana rozinta ambaye alionyesha kama kupoteza nguvu kabisa nikaanza na mimi kumnyonya katika kituvo chake na kuhamia na kwenye ikulu yake na kuanza kumnyonya bila ya wasiwasi na kuanza kuchezesha ulimi wangu katika kinanii chake.
“Oooosssssss aaaaaaaa pa….paaa..
.ulik…uwa wapi sikuzote hizo….ooooooo….uuuuuu….baby….na..ku…penda pablo nakupenda.”Rozinta akaanza kulalamika kwa nguvu sasa kwa ule ufundi ambao kwa hakika alionekana kama hajawai kukutana nao tangia aanze kufanya mapenzi.Hapo mimi bichwa likawa hilo baada ya kuona rozinta sasa amepagawa na mimi na niliona kabisa nilikuwa nimeshamkomesha kutokana na yeye kujifanya nunda sana.Nilipoona sasa nimetosheka na mambo niliyokuwa namfanyia nikakamata msumari wangu vizuri kisha bila ya kuomba ruksa nikauzamisha katika ikulu ya rozinta ambaye baada ya mimi kuingiza akawa ana hema kwa nguvu sasa nikaanza taratibu kuingiza na kutoa karoti yangu katika ikulu yake kwa madaha na ufundi mkubwa hali iliyoonekana kama kumchosha rozinta ambaye akanipa na upendeleo kwa kuniambia niongeze mwendo wangu.ruksa ile niliyokuwa naitamani sasa ikawadia mwenyewe akaniruhusu bila hata ya kuomba maana mara ya kwanza niliona kama nitamuumiza.
“Huyu anijui sasa subiri.”Nikajisema mwenyewe kimoyomoyo na nilipoona sasa nafasi niliyokuwa naitamani imewadia kwa kasi nikaanza kuzungusha gurudumu bila ya kujali nilianza kumpeleka puta rozinta kama vile nimechanganyikiwa.Uchu wangu wa kutokutana na Mwanamke kwa kipindi kirefu sasa kiu yake ilipatikana nikaanza kumpelekesha mtoto wa watu nikiwa katika ya miguu yake miwili ambayo alikuwa ameichanua na kuniapitisha mimi katika nifanye yangu.Nikaona haitoshi baada ya kuona sasa ule mkao wa kishamba nikatoka pale katika kisha nikaukamata mguu wa kulia wa rozinta na kupitisha katika kiuno changu kisha mmoja nikaubakisha pale chini nakuanza kumkanda rozinta ambaye alikuwa analalamika na wala kutotulia alizungusha kiuno chake kwa utamu niliokuwa nampatia bure kabisa bila ya yeye kuulipia.Nilifanya vile bila ya huruma nilikuwa namuendesha mchaka mchaka rozinta mpaka kufikia rozinta kutoa machozi yake kutokana na kazi niliyokuwa nafanya.jasho lilizidi kunitiririka lakini sikujali niliendelea kumridhisha rozinta ambaye alionekana kupagawa kabisa
Baada ya kutosheka na mkao ule safari iliyofata nikakamata miguu yote barabara kisha mguu wa kulia nikaupeleka mpaka katika bega la kulia na mguu wa kushoto nikaupeleka katika bega la kushoto na kumuelekeza rozinta aishikilie miguu yake na yeye akanisikiliza akaikamata miguu yake na kusababisha ikulu yake ionekane juu kidume nikanyuka kidogo na kuingiza karoti yangu pale na kuanza kufanya kama najaza upepo.
“Uwiii…maamaaaa….pab..lo utaniua.”…
Rozinta akalalamika baada ya kuona hsali inamuelewa kwake baada ya mimi kuzidi kumpa mautundu adimu hajawai kupewa.Maneno yake hayakunizuia kufanya kile nilichokuwa nafanya badala yake nikaongeza mwendo na maneno yale niliona kama sss niendeele na spidwi.
“Aasssssssss….mmmtmmhhhh aaaa uwiiiiiis Mama….aaa.sssss pa..b.pa...blo
“Rozinta aliendelea kulalamika bila ya mafanikio hali iliyopelekea kumuonea huruma nikatoa karoti yangu pale kisha nikamgeuza rozinta nikamuwekea mto na kumuambia ulalie ule mto na kumuweka staili ile ya chuma mchicha staili ambayo hata mimi nilikuwa naipenda kupita maelezo.Baada ya kumuweka vizuri rozinta ambaye alikilaza kichwa chake katika mto na kuinua kiuno chake juu na kupiga magoti na kuniachia kila kitu nyuma mzee mzima sikufanya makosa yoyote nikaendelea na dozi yangu isiyokuwa na msamaha nikapeleka karoti yangu katika ikulu yake na kuanza kumuendesha mbio na kumsikilizia rozinta ambaye hakuwa tayari naye kukaa buree akaanza kukizungusha kiuno chake huku mimi nikiendelea kuingiza ndani na nje karoti yangu ambayo safari hiyo nilikuwa naipeleka karibia na mwisho na kusababisha malalamiko kuzidi kuongezeka.katika chumba changu hakika kiligeuka kama sehemu ya kelele na hilo wala kwa wakati ule sikulifikilia niliendelea kumpa dozi rozinta na wala hatukuwasha hata mziki wowote labda kusema wapangaji wenzangu ambao huwa wanapitapita kutoweza kusikia.Safari ya mshindo kwa rozinta ilipowadia mimi nilikuwa bado nifanya yangu sikuonyesha kuchoka kabisa nilijiona bado nina nguvu kupita maelezo na niliendeleza spidi ile ile.
“Aaaaaaaa jamani pablo inatosha tupumzike kidogo uwwiiii aaaaaa….”
“Aaaaaaaaaaaaa tulia bwana bado kidogo.”Nilimjibu rozinta na kuendelea kumpa dozi ambayo ilizidi kabisa na baada ya muda mrefu na mimi nikafika tamati yangu na nilipofika mimi nilikuwa hoi licha ya kutaka tena kuendelea maana uchu ulikuwa bado upo hamu yangu ilikuwa palepale lakini nikaona nipumzike kidogo.
“Aaaaaaaa pablo tulale kwanza kidogo tupumzike.”rozinta akanisisitizia na mimi sikuwa na sababu nyingine ya kupinga nikamsikiliza na wote tukalala kama mke na mume rozinta kichwa chake kilikuwa katika kifua changu.Nilikuja kushtuka baada ya kuamshwa sana na Rozinta ambaye alipofanikiwa kuniamsha akaniambia kuna kitu anataka kuniambia
“Nambie rozinta.”
“Pablo me na njaa bwana kama vipi kanunue chips.”rozinta aliniambia vile na kusababisha nijikusanye na kunyanyuka na kuvaa nguo zangu kisha nikachukua baadhi ya pesa ambazo zilitosha kabisa kununua chips sahani mbili kisha nikatoka.Safari ya kwenda kununua chips ikaanza baada ya kutoka nje na nilipofika mbele kuelekea kununua chakula nikakutana na mpangaji mwenzangu wa kiume ambaye akanisamamisha.
“Inakuaje Pablo unajitenga sana kijana.”
“Hamna braza kawaida nambie.”
“Aaaa shwri unaelekea wapi maana kuna kitu nataka kukuambia.”
“Naelekea hapo kununua chakula.”
“Anha sasa nisikilize kwa umakini pablo me nakuonea huruma halafu nimeona wewe mshikaji umeona leo nimewafuma live wewe na rozinta mkiwa mnakombatiana nini ila mimi nakushauri tu na kukwambia kuwa Yule Rozinta sio demu hakufai malaya yule na mimi bwana namjua mshikaji flani hivi ana mapesa.”
“Aaaa rozinta mimi rafiki yangu mbona tulikombatiana kirafiki tu si jana ulituona.”
“Haya mimi nimekuambia tu kama msamalia mwema siunajua tena.” Maneno ya yule jamaa yaliniingia kabisa kichwani na kusababisha nisimame kama dakika baada ya kuambiwa na kumsindikiza kwa macho yule mpangaji mwenzangu ambaye hata jina lake nililisahau licha ya kunitajia Nikajikuta nikinywe kabisa na kuelekea katika chips huku nikiwa na Mawazo mengi.Nilifika kwenye kubanda cha kuuza chips na kuagiza huku nikiwa na mawazo Yale maneno ya Mpangaji mwenzangu yaliandama kichwa changu sana na kujikuta nikiyafikiria.Mwili wangu niliuona kabisa unapoteza nguvu na nilikaa pale kusubiri chips kama dakika arobaini nilipokabidhiwa chips zangu nakageuka na kuelekea nyumbani huku nikiwa na hasira sana kwa sababu ya rozinta kunidanganya lakini ile nafika tu karibia na pale nyumbani nikakutana uso kwa uso na Samira msichana ambaye nilimuona kwa macho yangu baada ya kumchungulia chooni akiwa anajiridhisha mwenyewe na aliponiona tu akanisimamisha.
“pablo nina maongezi na wewe kidogo.”Yalikuwa maneno ya samira yaliosabisha nitulie kumsikiliza samira ambaye nilipomuangalia nilitamani hata kumwambia kile alichokifanya chooni.
“Haya enhe niambie.”
“Mmmh sema pumzika ila kesho nina mazungumzo na wewe kuna kitu nataka unisaidie.”samira alihitimisha maneno yake bila ya kusema alichokuwa anakihitaji jambo ambalo halikuniumiza kichwa kwa sababu kulikuwa kuna jambo jingine ambalo lilikuwa limenikasirisha.Nikaingia Chumbani kwangu kwa hasira hali iliyosababisha hata rozinta ashtuke na nilikuwa nahema juu juu huku sura yangu nimekunja kwa hasira hali iliyosababisha rozinta atumbue Macho na Hofu kubwa kumshika hadi kupelekea kujiweka vizuri kwa kujifunika na shuka kutokana na yeye kuwa hana Nguo.
“Rozintaaa.”……
Nikamuita rozinta kwa hasira jambo ambalo lilionekana kuzidi kumtia hofu.
“Abee.” Rozinta akaitia huku akinitazama kwa umakini wa hali ya juu jambo ambalo lilianza kunifanya presha yangu kushuka taratibu baada ya kuambiwa maneno yale kuhusu rozinta na mpangaji mwenzangu.Kwa hakika macho ya rozinta yaliokuwa makubwa kiasi yalizidi kunimaliza na hata alivyokuwa akiniangalia kwa shauku kubwa ya kutaka kujua nini nilichomuita kwa hasira.Hasira zangu taratibu zikapungua na kutulia kimya kama sio mimi niliyemuita rozinta ambaye alikuwa wakati huo kitandani.
“Aaaaa kwanza yule jamaa atakuwa muongo maana alisema eti ana ukimwi wakati nimeenda kupima naye yupo salama.” Maneno hayo yalinijia kichwa changu na kusababisha nipoe kabisa na hata nguvu yote ile niliyotumia kumuita kwa hasira ikapungua kabisa na kugeuka tabasamu niliachia tabasamu pana ambalo likaonekana kumtoa hofu rozinta ambaye alishusha pumzi.
“Ndio nini wewe jamani kunitisha namna hiyo Mwenzako sipendi.”Rozimta akaniambia vile na mimi wala sikumjibu nikamsogelea na kumpiga busu la shavu kisha nikasogea mpaka katika kabati langu na kutoa sahani mbili na kuweka zile chips katika kila sahani moja nikafungua frigi na kutoa chupa mbili za soda ambazo zote nikazingua na moja nikakaa nayo mimi na nyingine nikampa rozinta ambaye aliipokea na kukaa vizuri na wote tukaanza kula.Chakula kwangu kwa hakika hakikupita vizuri kwa sababu ya rozinta ambaye alikuwa akila chakula kwa mapozi na kunitega sasa kwa kukaa mikao ya hasara hasara iliyosababisha nione kila kitu kwake kutokana na yeye kuwa kama alivyozaliwa pale.Uzalendo ukanishinda baada ya hali yangu kuwa mbaya msumari wangu ulisimama ile sana mpaka kufikia wakati kuuma nikaacha chakula changu nilichokuwa nakula kwa kukiweka pembeni kisha nikamsogelea rozinta kitandani ambaye naye akaacha kula na kunipokea kwa mabusu mazito mazito yaliyoturudisha katika mtanange mzito ambao haukuwa na refa ambaye labda angezuia rafu mbalimbali zilizokuwa zinajitokeza.purukushani za hapa na pale zikaanza sasa na kwa muda ule rozinta hakutaka kabisa nimpelekeshe kama mwanzo nilivyomfanya baada ya kupigana sana mabusu ambayo yalisababisha kila mtu amsike mwenzio sehemu za hapa na pale rozinta kwa wakati huo akaniambia nilale jambo ambalo nikalikubali kisha yeye akanikalia kwa juu na kupiga magoti na kuukalia msumari wangu vizuri kisha akaanza kukizungusha kiuno chake kwa kasi ya ajabu hali iliyosababisha mimi nipagawe sasa.Kwa hakika raundi ile ambayo kila mtu sasa alishiba rozinta alitaka kunikomoa kabisa jambo ambalo sikulitaka litokee na mimi nikajibu mapigo yangu kiufundi na kusababisha nirudi dimbani na kuanza kuutawala mchezo ule mzuri ambao ulisababisha nimwagiwe sifa kadha wa kadha na rozinta ambaye huku nikiwa nampa mapigo akadirika hadi kuniambia nimuoe kwa sababu ya raha nilizokuwa nampatia bila ya kumnyima.Tulipomaliza raundi ile ya mbili hakuna aliyelala tena wote tukaonganisha na raundi ya tatu ambayo ilituacha hoi Rozinta hakutaka kabisa kuondoka chumbani kwangu licha ya kumwambia sana aondoke chumbani kwangu muda ule wa usiku ili kuepusha wapangaji wengine pamoja na Mwenye nyumba kujua lakini swala langu likagonga mwamba rozinta alisimamia msimamo wake na mimi sikuwa na la kupinga usiku huo ukaisha na wote tukalala pamoja.Asubuhi na mapema nikaamka lakini kwa bahati nzuri nikakuta tayari rozinta ameshaondoka chumbani kwangu kama kawaida nikachukua maji katika ndoo na kuelekea chooni kuoga nilipofika tu maeneo ya chooni uso kwa uso nikakutana na mpangaji mwingine ambaye alinisimamisha kabla ya mimi sijaingia chooni.
“Pabloo si ndiooo eeee “
“Ndiooo jomba inakuaje “
“Aaaaa shwari tu mwanangu kuna kitu nataka kukuambia maana usije ukapotea muda si mrefu hapa morogoro hivi lengo lako kuja huku kufanya nini kijana mwenzangu.”Mpangaji mwenzangu akaniambia na kusababisha nitue ndoo yangu na kuiweka chini baada ya kuishika mkononi Maneno yake yalinishangaza sana.
“Mmmh sasa kwanini unasema hivyo.??”
“Aaaaa mimi nakuambia tu huyo rozinta unayetembea naye hafai mwanangu hafai ana ukimwi halafu anajiuza yani wana kibao wanamjua anajiuza Mwanangu yani kama umelala naye yani namaanisha umefanya naye mapenzi tena kavu kavu ujue Basi umekwisha tena umekwisha kabisaa Maana leo nimemshuhudia Asubuhi akitoka katika geto lake.” Maneno ya yule mpangaji mwenzangu yalinishtua sana alikuwa ni mpangaji wangu wa pili kuniambia vile hali iliyosababisha nishangae sana yale aliyoniambia yalipenya sana masikioni Mwangu na kujikuta nikikosa la kuongea na kubaki nikitumbua macho tu.
“Utakapotaka Kujua Afya yako kijana nitafute mimi nikupeleke mjini kupima maana hospitali nyingi za huku za upimaji wa ukimwi anawahongaga.” Mshtuko wa nguvu ukanipata moyo wangu ukawa unadunda kwa kasi ya ajabu kuliko maelezo baada ya mpangaji mwenzangu kunidokeze yale maneno akaondoka na kuniacha nikibaki kujiuliza maswali mengi ambayo kwanza yalinisababishia kichwa changu kuanza kuuma.kiunyonge nikaingia chooni na kuanza kuoga huku nikifikiria mambo mengi ambayo yule mpangaji mwenzangu aliyoniambia.
“Mmmh lakini kuna kitu.”Ghafla nikiwa naoga nikapata mawazo mapya ambayo niliyaona kama yatanifariji.
“Aaaaa nishakumbuka unajua katika maisha ukisikiliza sana Maneno ya watu mwisho wa siku utafanikiwa Maana najua sehemu nyingine watu ni wambeya sana kupita maelezo maana vile vipangaji vinajuana na wala sitamuuliza hata neno rozinta wangu maana nitamsumbua na kumkera nampenda Rozinta wangu waniache mie.” Nikajisemea peke yangu nikiwa nipo chooni naoga hakika kile nilichoambiwa nikakipotezea kabisa na kusahau ule msemo uliokuwa na maana kubwa kuwa Lisemwalo lipo na kama halipo basi laja baada ya kumaliza kuoga nikatoka na hali mpya kabisa hasa ya kufanya kazi na nilipofika kazini katika ofisi yangu nikakuta messeji ya rozinta.
“Bby samahani jamani sijakuaga wakati nilipotoka nimeenda kazini bby ila nitawai kurudi nikupikie mume wangu.”…………..
INAENDELEA


1 Comment
great points altogether, you simply gained a brand new reader. What would you suggest about your post that you made a few days ago? Any positive?