Mimi Ni Single Mama Wa Mtoto Mmoja
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja nina miaka 23, nilikata mawasiliano kabisa na baba mtoto baada ya kuikataa mimba ikiwa na mwezi1,,nilipoanza clinick kuna doctor nilizoeana nae sana hadi kipindi najifungua alikua kama ndy baba mtoto wangu hata bill hospital alilipa yeye na pesa ya uzazi alinipa alikua ananijali sana mwisho wa siku tukajikuta tumeanzisha mahusiano
Mtoto alipofika miezi 3 akaniambia kwavile baba ake amemkataa basi nimuite kwa majina yake, nikakubali akashughulikia cheti cha kuzaliwa na kadi la clinick tukabadilisha, rasmi mwanangu akaanza kuitwa kwa majina yake, yeye alikua hana mtoto, alisema tukijakuoana anapenda watoto wetu watumie jina moja. Mipango yetu ilikua mtoto akifika miaka miwili tutambulishane nyunbani tufunge ndoa tuanze kuishi pamoja,,,kunakipindi tuligombana hatukuongea kama mwezi1 ila pesa ya matumizi kwa ajili ya mtoto alikua anatoa,badae tukapatana maisha yakaendelea
Mtoto alipofika mwaka na miezi2 akasafiri kwenda kijijini kwao aliporudi alikua kabadilika anahasira muda wote ananifokea bila sababu,nikafatilia nikaja kugundua kuwa ameshamposa mwanamke mwingine nilipomuuliza akasema kipindi tumegombana alitafuta mwanamke wa kumtuliza bahati mbaya akampa mimba, wala hampendi ila wazazi wake wamekua wakali ikabidi atoe posa ili kuwapooza tu ila hawezi kumuoaa atalea tu mtoto wake basi.
Akanibembelezaa weee mwisho wa siku nikatulia, ilipita kama miezi6 siku moja nikasikia anaongea na mama yake anamueleza kuwa kuna binti kampa mimba soon ataitwa baba,,aliponiona akabadilisha mada .nikaja kukagua simu yake wanagroup la familia nikakuta amewaeleza ndugu zake kuwa anayofuraha soon ataitwa baba, kila mtu alimpongeza, nakutaman kumjua huyo mwanamke anaemuheshimisha binafsi niliumia sana ila sikujionyesha asije kusema simpendi mtoto wake, na sikutaka kufatilia tena kuhusu huyo mwanamke wala mtoto maana alikua anaonesha kunijali na mipango yetu ya ndoa ilikua palepale..
Mwanangu alipofika miaka miwili akaja kujitambulisha kwetu “kwa hiyari yake” badae akanipa simu niongee na mama yake nimsalimie mama ake alipokea vizuri na kuonyesha kutamani kunijua akijua mimi ndy mwanamke nilie zaa nae
Siku ananipeleka kwako kunitambulisha walikusanyika ndugu zake woote
Nilipofika mama ake akaanza mbona hamjaja na mtoto kila mtu akawa anamuulizia mtoto alipowaeleza hali halisi walibadilika furaha ikapotea gafla maneno yakaanza sisi hatumtaki huyu aende akaolewe alipozalishwa mawifi ndy midomo kama yote yani maneno ni mengi hawanitaki wanataka aliezaa nae, nilijikaza ile siku ikapita
Baadae mwanaume wangu akaniambia yeye ananipenda sana na hawezi kuniacha na hawezi pia kukosana na ndugu zake kwaiyo atalipa mahari kwetu tuanze kuishi bila ndoa, halafu yule aliezaa nae ndy wafunge nae ndoa, sikumpa jibu la kueleweka,nawaza itakuaje nikikubali kuishi kama mchepuko na ninawaza itakuje nikiachana nae nampenda sana,,mwanagu amesha mzoea anajua ndy baba yake na majina nilishabadilisha nipo njia panda sijui niamue nini naomba ushauri wenu nifanyaje!!


18 Comments
Excellent beat ! I wish to apprentice even as you amend your web site, how can i subscribe for a blog web site? The account aided me a acceptable deal. I had been a little bit acquainted of this your broadcast provided brilliant clear concept
Hello my friend! I wish to say that this post is awesome, nice written and include almost all significant infos. I would like to see more posts like this.
Great awesome things here. I am very glad to look your post. Thanks a lot and i’m taking a look forward to contact you. Will you kindly drop me a mail?
I not to mention my friends were actually going through the good secrets on the blog and then the sudden developed a horrible suspicion I had not expressed respect to the site owner for those tips. Most of the guys came for this reason very interested to read all of them and now have clearly been taking pleasure in them. Thank you for simply being really accommodating and for considering varieties of incredible things most people are really desperate to discover. Our honest apologies for not saying thanks to earlier.
Thank you for your sharing. I am worried that I lack creative ideas. It is your article that makes me full of hope. Thank you. But, I have a question, can you help me?
I like what you guys are up also. Such clever work and reporting! Keep up the superb works guys I have incorporated you guys to my blogroll. I think it will improve the value of my web site 🙂
It’s best to take part in a contest for top-of-the-line blogs on the web. I’ll advocate this website!
Nice blog! Is your theme custom made or did you download it from somewhere? A theme like yours with a few simple adjustements would really make my blog shine. Please let me know where you got your theme. Appreciate it
I have not checked in here for some time because I thought it was getting boring, but the last few posts are great quality so I guess I?¦ll add you back to my daily bloglist. You deserve it my friend 🙂
Hello! I just would like to give a huge thumbs up for the great info you have here on this post. I will be coming back to your blog for more soon.
I wish to show appreciation to the writer for rescuing me from such a issue. As a result of researching through the the net and meeting advice that were not beneficial, I assumed my entire life was done. Living minus the solutions to the issues you’ve resolved through your entire review is a critical case, and the kind which may have adversely affected my career if I had not come across your website. That mastery and kindness in handling all the details was tremendous. I am not sure what I would’ve done if I had not come upon such a solution like this. I can at this moment look ahead to my future. Thank you very much for the impressive and result oriented help. I will not think twice to suggest the sites to anyone who desires guidance on this topic.
Thanks for sharing excellent informations. Your website is so cool. I’m impressed by the details that you have on this web site. It reveals how nicely you perceive this subject. Bookmarked this web page, will come back for more articles. You, my friend, ROCK! I found just the info I already searched everywhere and just could not come across. What a great web-site.
certainly like your web-site but you have to check the spelling on quite a few of your posts. Many of them are rife with spelling problems and I find it very troublesome to tell the truth nevertheless I will surely come back again.
Lovely site! I am loving it!! Will come back again. I am taking your feeds also
Real informative and fantastic bodily structure of articles, now that’s user pleasant (:.
I gotta bookmark this web site it seems very useful very helpful
What i do not understood is in fact how you are no longer really much more smartly-appreciated than you may be now. You are very intelligent. You recognize thus considerably on the subject of this matter, produced me in my view believe it from so many varied angles. Its like men and women aren’t involved unless it’s something to accomplish with Girl gaga! Your individual stuffs excellent. At all times handle it up!
Thanks for some other informative website. The place else may I get that kind of info written in such an ideal means? I’ve a venture that I am simply now operating on, and I’ve been on the look out for such information.