KHADIJA MTANUKO
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 7
ILIPOISHIA…
“Mmh!, Bibi yako kakuongezea vitu kwakweli, embu endelea kuyakata nikuone.” ? Lily aliongea kwa kunitania, ila kwakuwa nilikuwa sijamaliza kufanya mazoezi yangu na akanikatiza basi me niliendelea kufanya yangu nikimuacha ananikodolea macho.?
ENDELEA…
“Mmh!, mama umeanza kuwa mtamu hatari mpaka nakutamani sasa.” ? Lily aliongea baada ya kuniona ubora niliokuwa nimeanza kuwa nao. ?
“Chezea Bibi kigalula weee!, weuweeee!” ? Nilimjibu na tukaanza kucheka. ?.
Baada ya hapo nikaenda kuchukua dawa yangu niliyopewa na Bibi, ? nikaiponda na kuiweka kwenye Ku*a yangu kama kawaida huku tukiwa tunapiga soga na Lily. ?
“Alafu nimekuletea chachandu shost, najua bibi kashakufunulia huu ukurasa.” ? Lily aliongea ikiwa ni katikati ya maongezi yetu ya kike. ?
“Ulijuaje kama nilitaka kwenda kuzitafuta!, yaani ndo nachokupendea Shoo angu unajua kujiongeza.” ? Nilimpa kichwa Lily na hapo akaanza kujitapa. ?.
“Leo huendi kwa bibi yako?” Aliniuliza Lily. ?
“Mmh!, inamaana hujui ratiba za bibi yako mpaka saivi, kanambia kuna mahali huwa anaenda siku kama ya leo.” ?
“Aah, nishakumbuka, kuna waarabu huwa anaenda kuwapa darasa shoga yangu.”
“Kumbe!” ? Nilihamaki kusikia vile. ?
“Eeh!, ndio alafu wanataka wafanye mpango wa kumpeleka huko kwao sijui ulaya!” ?
“Kufanya nini tena?”. ?
“Kufungua darasa la kufunda watu, bibi yako usimuone vile, anakula hela mpaka basi kwa kazi zake za ugalulaji, ? yaani sema wewe tu umebahatika kwakuwa ni rafiki yangu.” ?
“Mmh!, kumbe hivi vitu vinaukubwa kiasi hiki?”. ?
“Eeh!, ndiyo ulijua havina maana eeh!” ?
“Amna sijamaanisha hivyo Shoga angu, kwanza tuyaache hayo, Mr. Rom anakaribia kurudi ujue!” ?
“Ooh!, mumeo mtarajiwa huyo!” ? Lily alinitania?.
“Ee ndio ulijuwa hawezi kuwa mume?” ? Nilimuuliza. ?
“We si nakujua ugonjwa wako uko wapi, ? yaani sijui ndo utamuacha naye?, ila nakwambia tu mapema, utulie kabisa uache mtanuko wako kwa Mr. Rom.” ?
“Lakini kumbuka we ndo ulinifanya nikawa hivi, we si ndo ulinitafutia yule Suley lakini?” ?
“Me nilifanya vile ili nikusaidie tu na hizo nyeg* zako, kwani huwa unaona raha sana unavyojitom*a mwenyewe na huo mchi wako?.” ? Lily aliniuliza?.
“Hah, nishachoma moto siutaki tena, Hizi nyeg* ntazituliza tu kwa Mr. Rom akirudi.” ? Niliongea na tukabaki tunacheka kwa utani uliokuwa ukiendelea. ?
***
Siku hiyo nilishinda nyumbani na Lily Tukifanya vikazi vya pale na kupiga domo tu?, tofauti na siku zote hata kule dukani kwangu sikuenda, kwani nilijua watu wapo hivyo sikuwa na haja ya kwenda. ?
Kesho yake kama kawaida nilirudi kwa bibi kigalalu na ndo ikawa ratiba yangu ya kila siku kasoro siku hiyo moja kati ya siku 7 za wiki?, na kwa takribani wiki mbili ratiba yangu ilikuwa hivyo?, hatimaye Mr. Rom alinifanyia surprise ya kurudi bila kunitaarifu tena siku nikiwa nyumbani tu napumzika. ?
“Hellow Dija, nipo kwako, uko wapi?” ? Ilikuwa ni sauti ya Mr. Rom akiwa amenipigia Simu. ?
“What?, ina maana umerudi?” ? Nilimuuliza. ?
“Ndiyo nimerudi.”
“Siwezi kuamini acha nitoke nje.” ? Nilimjibu nikijua kuwa ananidanganya kwani siku zote nilikuwa nawasiliana naye akiwa bado mkoani. ?
“Sikudanganyi, nakusubiri hapa nje.” ? Alinijibu na nikaamua kutoka nje kweli, na kama alivyoniambia, kweli nje ya geti nilikuta gari yake na yeye akiwa amesimama mlangoni. ?
Sikuweza kuamini kwa surprise yake, ? na nilishindwa kujizuia, kwa hamu ya kumuona niliyokuwa nayo?, nilimsogelea na kumpa kumbato la kumkumbuka kweli, kwa muda wa mwezi mzima bila kumuona zaidi ya kuongea naye tu kwa simu. ?
“Wow!, umenifanyia kitu ambacho mpaka saivi siwezi kuamini jamani, asa ndo nini kunishtukiza hivyo na usingenikuta je?” ? Niliongea nikiwa katikati ya kifua chake kwa kujidekeza.?
“Nilijua upo ndiyo maana nikafika hapa nyumbani kwako.” ? Rom alinijibu akiwa anashirikiana kunipa kumbato. ?
“Karibu ndani, hapa nje sio mahala pake pa kuongelea.” ? Nilimwambia Rom. ?
“Me ndani siingii, nimekuja kukuchukua tu, twende dinner.”
“Mmh!, mbona unanishtukiza kiasi hicho, hilo swala si ungeniambia tangu muda lakini?” ?
“Hapana Dija, nina mengi ya kuzungumza na wewe, hivyo sitegemei kusikia unasema neno Sii…! kinywani mwako.” ?
“Lakini Rom, jamani Sio vizuri unachokifanya, basi kama ndo hivyo twende ndani mara moja nikajiandae tuondoke, maana sio kwa kunishtukiza huko.” ? Ilibidi niweze kumbembeleza hata aingie ndani kuweka baraka zake lakini alikuwa mgumu mpaka basi. ?
“Hapana me ndani siingii nakusubiri hapa nje.”
“Aanh!, kama ndo hivyo me siendi buana.” ? Ilibidi nijibebishe pale ndo akakubali kuingia ndani kwangu kwa mara ya kwanza. ?
Nilimkaribisha ndani kwangu, ? japo sikutegemea kupata ugeni, na uzuri ndani nilikuwa vizuri, ? hivyo nilimbembeleza na juice na nikamuacha pale sebuleni nikaingia chumbani kwaajili ya kujiandaa ili twende dinner, ? na kwakuwa ilikuwa bado mapema sana muda huo, basi nilikuwa na wakati mzuri wa kujilemba huko chumbani. ?
Nikiwa chumbani kwa mbaali, nilisikia kama sauti ya Lily akiongea na Rom, na baada ya muda akaja chumbani kwangu nilipokuwa najiandaa. ?
“Shoga angu naona leo tumepata ugeni, haya kulikoni?” ? Lily aliniuliza baada ya kuingia pale ndani. ?
“Mmh!, usiniambie kama humjui Mr. Rom buana, amekuja kunichukua twende dinner.” ?
“Kheee!, wewe usinambie unataka kuniacha mwenyewe humu ndani!, alafu kwanza nilikuwa sijamtambua japo nilikuwa nahisi tu kama ndo yeye.” ? Lily aliongea. ?
“Kama ni Kubaki utabaki mwenyewe hapa, kwani we mara ngapi huwa unaniacha hapa ndani na unaondoka?, leo lazima ntakuacha shoga angu, alafu isitoshe mgeni anajisikia vibaya kuwa mwenyewe hapo sebuleni bana, embu twende nikakutambulishee.” ? Niliongea nikiwa nimemaliza kujiandaa na hapo Lily kwa shingo upande akanitengeneza vizuri sehemu niliyokuwa sijaiweka sawa na tukatoka mpaka sebuleni alipokuwa Mr. Rom. ?
“Hey, jamani tumekuacha mwenyewe hapa sebuleni.” ? Niliongea na kukaa karibu naye wakati huo akiwa ananitazama kwa ukaribu zaidi, huku Lily akiwa anatabasamu tu. ?
“Hapana kawaida, nilikuwa nakusubiri wewe tu tuondoke.” ? Mr. Rom aliongea. ?
“Ndo nishamaliza hivyo, aah, Rom huyu anaitwa Lily, ni rafiki yangu, Lily huyu ndiye ubuvu wangu anaitwa Rom.” ? Niliwatambulisha kila mtu amjue mwenzake. ?
“Ooh!, Nashukuru kwa kumfahamu Shemeji yangu, Shem karibu sana, jisikie upo nyumbani japo naona mnataka kunikimbia hapa hata hujakaa sana.” ? Lily aliongea, baada ya kumtambulisha kwa Rom ingawa hakuwa mgeni sana kwake, ila ni jinsi tu walivyokuwa hawajuani vizuri. ?
“Nashukuru pia kukufahamu Mela, nadhani ntapanga siku ya kuja tuongee vizuri, leo wacha nimtoroshe huyu bibie kidogo.” ? Mr. Rom alimjibu Lily na hapo ikabidi tufanye mpango wa kutoka hapo ndani japo, Lily alikuwa analalamika mwenyewe, basi hilo halikuwa tabu kwangu, yaani tulimuacha pale ndani. ?
Safari yetu ilikuja kuishia Break point, ? kama tulivyokuwa tumepazoea na hapo tulipata dinner yetu, tukiwa na maongezi pambe kabisa ya penzi jipya?, na baada ya kumaliza hapo safari yetu ilikuja kutua ndani ya nyumba moja ya kifahari kwelikweli?, tena ikiwa haiko mbali kabisa na maeneo tulipokuwa tumetoka kupata dinner, ilikuwa ni Osterbay , kiukweli Mr. Rom alikuwa sio mtu wa mchezo mchezo, kwamaana ya kujengeka kimaisha. ?
“Karibu sana, hapa ni kwako, jisikie huru.” ? Mr. Rom alinikaribisha pale nyumbani kwake. ?
“asante, nishakaribia inamaana hapa ndani unaishi mwenyewe?” ? Nilimuuliza, kutokana na nyumba kuwa kubwa, alafu anaishi mwenyewe pale ndani. ?
“Ndio, kama unavyoona Dija, labda na huyo mlinzi uliyemuona.” ?
“Anh!, hongera lakini nimepapenda Rom.” ?
“Kama nilivyopapenda kwako Dija.” ?
Tulikaa kidogo, pale sebuleni?, na kutokana na muda kwenda sana, ilimbidi Rom kunikaribisha mpaka katika Utawala wake namaanisha Chumbani?, tena hakunianza tu kwa maneno bali kwa ukorofi wake wa “nikushike wapi ulainike.” ?
Alianza kwa kutaka kiss, ? nikampatia akataka juice, nikammiminia, akataka dodo nikamuachia, akataka tikiti nikampea?, na mwisho akataka Kipapatio nikamwachia, na safari ya kuelekea China ikaanzia hapo, kituo cha kwanza kilikuwa ni kitandani baada ya kutoka sebuleni. ?
Mambo ya kuvuana nguo kiufundi tenaa, ? aah!, nilijua mwanaume si ndo huyu!, kunichezea na kunitekenya tu, hapo nilitekenyeka sana tu?, na kale ka vibe ka kutaka kuchomekwa mapema kalianza kwani nilikuwa na nyeg* za mwezi mzima?, ukilinganisha na zile dawa za bibi kigalula alizokuwa akinipa, yani nilikuwa nazo mara dufu zaidi?, na sikutaka kuwa na haraka ya kumuonyesha aliyonipa Bibi kigalula, bali huo ulikuwa ni wakati wa kumpima Mr. Rom kama kweli ntawezana naye ama ndo kutafuta bwana mpya tena. ?
Japo alikuwa ananikoshaa kwa wakati huo, ? kunipa mipapaso iliyopelekea hata nikaanza kutoa miguno yenye sauti hafifu, ? alijitahidi kwa upande wake, kidogo alikuwa na michezo ya kuridhisha, kwa kuniandaa hilo nilimpa maksi zote, kwani alikuwa mnyonyaji haswa?, tembe yangu alijua kuichezea vizuri hata kunipagawisha, nilipagawa, chuchu zangu alizitendea haki, ? mipapaso ya kiuno kilichokosa chachandu siku hiyo alikishika kikashikika, hata pale alipoona nimeanza kudhohofika, ? basi ulikuwa wakati wake wa kuyaweka maungo yake ya size niipendayo, ? ndani ya kinu kilichokuwa kimebana kwa udhamini wa dawa za Bibi kigalula, kukitengeneza kuwa kinu cha gholofa. ?
Na hapo ndipo nilipoweka umakini wa kuzihesabu dakika?, nyoka wake akiwa pangoni kumtafuta chakula panya, ingawa nilihisi kutekenywa kivilivyo ndani ya Ku*a yangu, ? lakini haikuchukua muda sana Mr. Rom akawa tayari kashalimwaga kwa sauti yake ya kuunguruma kama simba mwenye njaa?, na hapo nikayatega macho yangu kumuangalia Bakari kichwa maji, kama atalala au ataamka kuendelea na kazi yake ya kulipekenya tobo. ?
Nikiwa na hamu ya kuendelea kupata raha na utamu toka kwa Mr. Rom, ? nilijaribu kumchezea Bakari kichwa maji, ili anyenyuke tena, na ikanilazimu nimdumbukize ndani ya bwawa la mate lililokuwa na kitekenyeshi cha kumsisimua aamke tena ili mambo yaendelee?, kidogo niliona anaitikia wito na hapo nikamuona anakasirika tena bila kuficha hasira zake?, hapo nikajipa matumaini tena ya kumtengea na kumuachia yote kwa nyuma, na bila makosa Rom?, akaipenyesha tena mpaka kunako kwa kunatanata kutokana na ule mbano uliokuwako ndani na nje ya kipusipusi, ? na hapo kwa mbaali nikaanza kumsaidia kumpa uno la kumjaribu kama kweli ataniweza ama aongeze juhudi zake asije kusaidiwa na wengine. ?
Mambo yaliendelea kupamba moto, ? lakini hakuwa akinikuna vile nilivyokuwa nataka, yaani alikuwa kama ananionjesha alafu anaacha, yaani alikuwa anawahi sana kutoa uji wake japo ilikuwa inasimama wima tena, ? hakunifikisha pale penyewe lakini alijitahidi kwa namna fulani?, na hayo ni mapungufu madogo tu aliyokuwa nayo ambayo yangeweza kutengenezeka na yakawa sawa, ? na hata yeye bila kumwambia kitu alilijua hilo, na akaniomba nimpe muda atalifanyia kazi, na nilichompendea kwa muda ule alijua kunishtua japo hakujua jinsi ya kunimalizia. ?
Na kwa haiba ya kike niliyokuwa nayo sikutaka kuongea kitu?, nilijifanya niko sawa tu na kwakuwa alinitamkia mwenyewe kwa mdomo wake kuwa hakunifanyia kitu cha kuniridhisha bali nimpe muda atalifanyia kazi, basi niliamua kumpa nafasi ya kufanya vile. ?
Tulioga wote usiku huo?, tukaongea mengi sana japo kwa upande mwingine kiroho kilikuwa kinaniumaa, ? ila nilijaribu kupotezea lakini bado nilikuwa nasumbuliwa na ugonjwa wa kule nyegezi. ?
Hatimaye tulilala na asubuhi?, nilishangaa Mr. Rom akiamka na moto mwingine mpya akiwa ameamua kuniridhisha, na sikujua ule usiku ilikuwa ni uchovu au nini. ? na kitu kilichonishangaza ni kuwa alikuwa na nguvu mara dufu ya jana yake, yaani alipoanza kuniamshia tena nyeg* zangu zilizolala?, akinichezea vilivyo mpaka kunilamba kwake na ule ubaridi wa asubuhi, nikihisi raha na utamu ajabu. ?
Ujuzi wa kucheza na mwili wangu uliongezeka mara dufu ya mwanzo?, nilimuona hata michezo yake ilianza kubadilika na kuendana kabisa na nilivyokuwa nataka, na hatimaye Bakari kichwa maji alianza kupenya katikati ya mapaja yangu na kuingia ndani, ? kuitafuta ovary ilipo kutokana na urefu wake na umoto wake ulioanza kuunguza kila kona na pembe ya manoneo yangu. ?
Nahapo nilianza kutoa ushikirikiano kwa kumfunulia ukurasa wa mwanzo kabisa niliofundwa na Bibi kigalula, nikimpa taratibu kuendana na mikito yake. ?
Na hatimaye alianza kuchochea gia?, kutoka namba moja, mbili mpaka nne, na hapo hakuendelea na gia ya juu zaidi, ? kwa speed yake ile aliweza kuihimili kwa kuigandisha muda mwingi bila kubadilisha, na hapo niliianza kusikilizia utamu kuwasha, utamu kichogoni, utamu ku*ani, ? mpaka utamu Ovarini, na sikuzizuia kelele kwa utamu huo, na nikastaajabu Mr. Rom akinimwagisha Maji bila kutegemea kwa speed yake ile, ? na hapo ndipo alipoongeza teena speed bila kupunguza na kuipandisha toka namba 4 mpaka 5 kisha 6 na break ikaja kukamata kwa kasi naye akalimwaga Uji zitoo la moto ndanii ya Kipusu changu. ?
Nahapo kimoyo kikaniruka kwa furaha ya kupata ile kitu napenda?, japo sikujua hizo nguvu Mr. Rom alizitoa wapi kwani usiku wa jana yake show yake ilikuwa mbovu haswa. ?
“Polee mume.” ? Nilimpa Pole kwa kazi ngumu aliyokuwa ameifanya Muda huo, tofauti na jana yake ambayo sikuweza hata kumwambia kitu kwa shughuli yake mbovu.?
“Asante mke.” ? Alinijibu na tukaendelea na maongezi yetu. ?
Nakumbuka siku hiyo nilishinda hapo kwake, ? kwani ulikuwa ni mwanzo wetu mzuri wa kukutana kwetu na kila mtu alikuwa ana hamu na mwenzake, ? japo jana yake zile hamu nilizokuwa nazo hakuweza kunitoa vilivyo bali asubuhi alinipooza na uji wake mzito ulionitoa maji mepesi ya kuikata hamu?, na mchana wake alijaribu kunitoa kama ilivyokuwa asubuhi kwa bahati ikawa si yake akashindwa kunifikisha, yani alijua kunipa hamu lakini utamu wake nusu nusu usiomalizika. ?
Jioni yake niliondoka kishingo upande, ? lakini sikutaka kuonyesha dalili hizo za kutaka ajue kama sipo sawa na kutoridhishwa na michezo yake Hafifu?, na nyuma nilimuacha pia kana kwamba amegundua jambo yaani ni kama mtu aliyekuwa anafikiria kufanya kitu. ?
“Haya mama naona jana umeyaonja yaliyo mtini mwa Mr. Rom.” ? Lily alikuwa akinichokonoa baada ya kurudi Nyumbani na tukiwa tunaongeza maisha kwa kupeana maongezi ya kike. ?
“Kwani me huwa nakuuliza ukitoka kwa Andrew wako?” ? Nilimuuliza. ?
“Mmh!, we nakujua huchelewagi kunipa malalamiko ya bwana zako walivyo na michezo mibovu, lakini naona leo umetulia tulii hutaki kusema kitu.” ?
Sehemu Ya 8
Lily aliongea, ? kunidadisi juu ya Mr. Rom lakini sikutaka kumwambia kitu chochote, kuhusu Rom niliamua kutulia tu?.
“Tuyaache hayo bwana, vipi kesho una ratiba gani?” ? Niliamua kupotezea mada alizokuwa akiongea muda huo. ?
“Kesho ratiba yangu ni kama kawaida, naenda kutafuta Hela Dija wangu.” ?
“Sawa, hata me ntaenda dukani kwangu maana nimepasusa kweli.” ?
“Kwa Bibi yako Kigalula huendi?” ?
“Kesho ana ratiba zake za kwenda huko kwa waarabu wake.” ?
“Kumbe!, ? nilisahau alafu alikuwa ananiambia ndani ya mwezi huu anaweza kuondoka kwahiyo fanya hima uende ukamalizie yaliyobaki, uwe mtamu kama sukari mama yangu.” ?
“Hilo tena!, na nilivyo na uchu huu, mbona Mr. Rom atanikoma Shoga yangu.” ?
Basi tulizidi kuongea mengi sana, mpaka ulipofika muda wa kujipumzisha?, Nikapumzika.
Asubuhi na mapema kama ilivyo kawaida yangu kabla ya kufanya kitu, niliendeleza ile ratiba yangu ya kufanya mazoezi ya kiuno, ? kwa kucheza mziki na kuyakata vilivyo mpaka raha, na toka Bibi Kigalula aanze kunifundisha namna ya kucheza na kiuno, basi nilizidi kuwa mbobezi haswa. ?
Nilipomaliza kuchangamsha kiuno changu, ? niliingia bafuni na kuoga, kisha nikaanza kujiandaa ili niende kwenye biashara zangu. ?
“Wewe Lily, mpaka saivi bado umelala tu, huendi ulipokuwa unasema?” ? Nilimuuliza Lily aliyekuwa bado anajinyonga pale kitandani akiendelea kuvuta shuka. ?
“Niache nilale bhna, nishaghairi kuondoka, ntakuwepo leo.” ? Alinijibu na akaendelea kulala, sikuwa na jipya tena kwake?, hivyo nilimaliza kujiandaa na kuianza safari yangu mpaka Dukani kwangu na siku hiyo nilishinda huko. ?
Siku hiyo nilikuwa nimeenda kuangalia maendeleo ya biashara yangu ya nguo, ? niliyokuwa nikifanya na nilisaidiana na vijana wangu wa siku zote kuuza pale dukani?, kwa muda niliokaa bila kazi nilianza kutumia Simu yangu nikiangalia ya huko mitandaoni yanavyoenda. ?
Nikiendelea kutumia simu, kuna kitu niliweza kukiona upande wa WhatsApp status ?, na kiliweza kunikumbusha kitu, hivyo nilipata shauku ya kutaka kujua zaidi. ?
Na katika Status hiyo niliweza kutuma ujumbe wa kujibu na kuuliza jambo.?, hakuwa mwingine, alikuwa ni yule mshauri wa afya niliyewahi kuchukua dawa kwake, na kitu nilichokuwa nikimuuliza hakikuwa kingine zaidi ya tatizo alilokuwa nalo Mr. Rom?.
Na kwakuwa niliweza kuona huyo Mshauri wa Afya ameweka vielelezo vya dawa, ? zinazohusiana na nguvu za kiume?, nilishawishika kujua zaidi kama tatizo la Rom lingeweza kuisha kwa dawa zake na ikiwezekana nizinunue kabisa.?
***
Kama nilivyomuuliza alinijibu ipasavyo kwani sikuweza kumficha hali ya Rom ilivyo, ? na alinihakikishia kuwa akiweza kuitumia ile dawa basi Zakari za Mr. Rom zitarudi katika ungangali wake?, na alinipongeza sana kwa suala la kudhamiria kutaka kuichukua dawa hiyo, akidai kuwa. ?
“Wanawake wengi wa siku hizi, ? hawataki kuwasaidia waume zao kujenga afya ya Maumbile yao, ila wanataka tu kupata yaliyojengeka wakisahau kama dawa zipo?, na mwishowe wanaanza kurukaruka, wakidonoa donoa tu hapa na pale ili kupata mwanaume mwingine mwenye uwezo wa kumtosheleza na ni kitu ambacho sio kizuri na hakina uhalisia.” ?
Maneno yake kidogo yalinikamata, ? na yalikuwa na ukweli mtupu ndani yake, kwani nikikumbuka tangu nimejua utamu wa kupeana?, nilianza kubadilisha wanaume kama alivyoniambia huyo Mshauri wa Afya. ?
Basi kwa maneno hayo wala sikutaka tena Mr. Rom awe ni moja wa watu nitakao wapoteza kisa mapungufu yao madogo ya mwili?, na hakika nilidhamiria kutulia kabisa kwa Rom na ninakumbuka siku hiyo nilipitia Kuchukua hiyo Dawa na nikarudi kwangu?, nikitaka kesho yake nionane na Mr. Rom ili nimpatie, atumie kulingana na maelezo niliyokuwa nimepewa na Mshauri. ?
“Nimekumiss sana Rom.” ? Tulikuwa tunaongea kupitia simu, nikiwa nimerudi tayari nyumbani. ?
“Nimekumiss pia, nikwambie kitu.” ? Sauti ya Rom ilisikika kwa upande wake, na maongezi yalikuwa yameanza muda. ?
“Nambie mume.”
“Kesho ntakuwa na safari ya kikazi na nitaenda kukaa muda wa wiki mbili huko niendapo.” ?
“Jamanii, mbona hukusema mapema, na unanishtukiza kiasi hicho.” ?
“Hapana Dija, nimelazimika kufanya hivyo, kama nilivyokuelekeza kazi yangu.” ?
“Anh!, mbona hunitendei haki jamani, alafu isitoshe nilikuwa na shida ya kuonana na wewe ujue.” ? Nilijaribu kuongea hivyo huku kichwani nikiwaza kumpatia ile dawa niliyopewa. ?
“Utanisamehe kwa hilo kipenzi, Tunatakiwa kuianza safari kesho asubuhi.” ?
“Mmh!, kwani utakuwa na nani?” ?
“Nitakuwa na rafiki yangu Andrew!” ?
“Anha!, sawa basi me sina kipingamizi, kama utakuwa na Shemeji yangu sawa, ila nina wivu sana.” ?
“Usiwe hivyo Dija, siwezi kukusaliti huko ninapoenda.” ?
“Sawa, nikutakie safari njemaa.” ?
“Asantee ubaki salama pia.” ?
Basi tuliagana na nikakata simu?, na wakati huo Lily ndo alikuwa anaingia hapo ndani akiwa ameshikilia chakula mkononi mwake. ?
“Shoga angu unanipenda jamani, umeamua kuniletea chakula mpaka huku?” ? Niliongea nikiwa napokea chakula chake alichokuwa ametoka kupika, na mkono wa kushoto akibaki na chake. ?
“Kisa umeona chakula maneno yanakutoka, na huo uvivu wako wa leo ungekifuata Jikoni wewe?” ?
“Basi Shoga angu, usije ukaanza kunisema sasa maana hata huchelewagi kunipasha.” ?
“Ukweli ndo huo wala sikufichi nikupashe kisa?” ?
“Hapo sasa, alafu vipi Andrew kakuaga kama wanaondoka?” ?
“Ndio nimeongea naye wakati nipo huko jikoni” ?
“Aah!, yani safari zao hata sijazipenda kwakweli.” ?
“Mh!, asa unashangaa hilo, na wanakaa wiki 2 tu na wakati Andrew kuna kipindi huwa anaondoka hata mwezi mzima.” ?
“Hata kamaa siku zote hizo huko wanaishije na sie wanatuachaje na Hamu zetu!” ?
“Hizo hamu zako tuu, labda useme kiroho cha wivu kinakusumbua.” ? Lily aliongea na tukaendelea kuongeza urefu wa waisha kwa umbea wetu. ?
Kesho yake nilirudi kwa Bibi Kigalula?, kuendelea kuchezwa unyago?, na nilizidi kujizolea utundu wingi tu na kutambua mengi niliyokuwa siyajui. ?
“Mjukuu wangu, nimeshakupa mengi sana unayopaswa kuyajua, na nimeshakuona umeanza kunoga.” ?
“Kweli bibi?” ?
“Eeh!, ndio kwa hapo sidhani kama kuna bwana ataruka ukiamua kumfungulia kurasa nilizokupa.” ?
“Ni kweli bibi hata mimi najivunia sana kukutana na wewe, ? kwamaana nilikuwa siyajui mengi yani sijui hata nikulipe nini kwa huu msaada wako.” ?
“Usijali kwa hilo, wewe na Lily ni sawa na Wanangu, kwahiyo sitaki kitu kutoka kwako.” ?
“Nashukuru kwa Hilo bibi, alafu nilisikia Lily anasema unakaribia kuondoka hivi ni kweli?” ?
“Ndio, nilitaka kukuambia leo ila umeniwahi tu, wale waarabu niliokuambia wananikamilishia mambo yangu, ? na kama yatakamilika basi wiki ijayo ntakuwa huko nchi za watu.” ?
“Mh!, bibi una bahati sana, yani uzee wako unaenda kuumalizia huko nchi za watu, nimekutamani bure bibi yangu.” ?
“Ningekuwa na uwezo ningewabebeni wewe na Lily mkanisaide huko, lakini ndo hata haiwezekani.” ?
“Si tu tupoo bibi yetu tumejaa tele, yaani ukituhitaji muda wowote sisi tutapanda hayo mapipa tukufuate hukoo.” ? Tulizidi kuongea mengi na mwishoni kuna kitu Bibi Kigalula aliniomba nimsaidie. ?
12???
“Hadija, naomba kama utakuwa na muda kesho kutwa Twende kwetu uzaramoni, ? kuna dawa inatakiwa nikazichukue za kuondoka nazo.” ?
“Bibi hilo tena mbona hata sio la kuniomba.” ?
“Basi haina shida, we hiyo kesho utajiandaa tu twende huko.” ?
“Sawa haina Shida Binti wa zamani.” ? Nilimtania na tukaanza kucheka kwani nilikuwa nimeshaanza kumzoea. ?
Baadae niliondoka, ? na nilipitia sehemu kufuatilia madeni yangu, kwani kuna mtu alikuwa na deni langu?, na safari yangu ilikuwa ni kutoka Magoneni alipokuwa akiishi Bibi Kigalula, mpaka huko mabibo kwa huyo mtu niliyekuwa nikimdai.?, na kwa bahati mbaya sikuweza kumkuta nyumbani kwake, na sikujua kama alinikimbia au vipi. ?
“Hadija…!” ? Nilisikia sauti ya mtu toka nyuma kwangu nikiwa bado nimesimama mlangoni kwa yule mtu mwenye deni langu. ?
“Suley..!” ? Nilihamaki kumuona Suley kutoka nyuma yangu akiwa amejifunga taulo na mkononi ameshikiria ndoo, na ilionyesha ametoka kuoga.” ?
“Vipi tena mbona unatuvamia mtaani kwetu, kulikoni?” ? Aliniuliza Suley. ?
“Kumbe unakaa huku, kuna huyu mtu anakaa hapa nilikuwa nimekuja kumuangalia mara moja.” ?
“Aah!, huyo kwani hauna mawasiliano naye, mbona kasafiri tangu juzi.” ?
“Jamani jamani, watu mbona waongo kiasi hiki.” ? Niliishiwa pozi baada ya kusikia vile, kwani mtu mwenyewe aliniambia yeye yupo hapo nyumbani kwake. ?
“Basii ndo hivyoo, karibu ndani kwangu upooze hata kiu.” ? Suley alinidokeza na kwa vile nilikuwa nimetembea sana basi nikaona sio mbaya japo alinibembeleza sana kuingia ndani kwake. ?
“Dija siku hizi umeadimika, yani hatutafutani tena.” ? Suley aliongea huku akitoa Juice kwenye Friji yake ndogo baada ya kuingia ndani akamimina kwenye glass na kunipatia.?
“Anh!, mambo mengi Suu..!, Alafu we mwenyewe ndo hivyo kama navokujua, ni wa gharama kama nini hata sikuwezi.” ? Nilimjibu nikiwa napokea ile glass ya Juice.
“Aaah!!, hapana bwana, siku hizi sina jeuri hiyo tena, si unaniona nimehamia uswahilini huku.” ?
“Wewe huyo!, Kwani kule ulipokuwa unaishi haukuwa kwako?” ?
“Hapana Dija, yalinikuta makubwa nikakimbia kulee.” ?
“Weee!, yapi tena?” ?
“We acha tu, nilifumwa na wenye mali zao kama unavyojuaa.” ?
“Haha, we naye umezidii.” ? Niliongea nikiwa naendelea kunywa ile Juice. ?
Suley aliinuka na kitaulo chake pale alipokuwa amekaa ili aende chumbani kwake?, lakini wakati anainuka kwa bahati mbaya lile taulo likajifungua na kudondoka chini?, kitu kilichonifanya macho yanitoke baada ya kuangalia utupu wa Suley, na nikajikuta najawa na tamaa. ?
***
Suley alipoona nimeganda kutazama nyeti zake, ? basi akanifanyia makusudi bila hata kuliokota lile taulo lake, na badala yake alinisogelea mpaka nilipokuwa, kisha akaanza kunishawishi tuingie ndani ya mchezo. ?
Nilijikuta mgumu kutokukubaliana na ile hali ya kutoa ushirikiano kwa Suley?, juu ya kuingia ndani ya mchezo rasmi, lakini Suley alikuwa ameshayatambua madhaifu yangu hivyo akakaa pembeni yangu, ? katika sofa lake na akaanza kunipapasa Ujapa wangu uliokuwa na Kimin-skate kilichokuwa kimevutika juu. ?
“Suley niacha buana niende, me sipo tayari kwa hili.” ? Nilijikuta natoa sauti hafifu kumkatalia Suley kile alichokuwa anakifanya lakini ye ndo kwaanza alizidi kuniamshia mashetani yaliyo lala. ?
“Jamani suu…mmh!, usinifanyie iii….voooo lakini mwenzako naa….mtu wangu tayari.” ? Nilizidi kujitetea lakini yeye ndo kwanza alifikisha ulimi wake shingoni kwangu?, akianza kuitekenya shingo huku mkono wake wa kushoto ukizidi kusogelea manoneo yangu? na wakati mkono wake wa kulia ukiwa umenizunguka mgongoni kuja mpaka kuzishika Chuchu zangu zilizoanza kusimama vilivyo kwa kuichochea safari ya kwenda nyegezi. ?
Nilishindwa kujizuia kwani tayari hata Chupi yangu ilianza kulowa kwa zile nyeg*,? nikajikuta natulia kama maji mtungini, na hapo nikajiachia ili Suley anichezee vizuri, na kwa kumpa nafasi huko?, alianza kunipunguza nguo zangu kwani yeye tayari alikuwa uchi, ? na nikaanza pia kutoa ushirikiano kwa kumgusagusa nyeti zake huku yeye akihangaika kunitoa Top niliyokuwa nimeivaa. ?
Sehemu Ya 9
Aliponitoa ile Top, juu nikabaki wazi, na hapo nikamuona Suley Macho yakielekea kwenye Shanga zangu nilizokuwa nimezivaa, ? akitamani kuniuliza jambo lakini akamezea na kuendelea kuninyonya Chuchu zangu?, na mikono yake ikifanya kazi ya kumalizia ile Stake yangu na Chupi iliyokuwa tayari imechafuka kwa ute. ?
Tulibaki wote uchi tukiwa bado kwenye Kochi na hapo?, Suley akapana nafasi ya Kuzama chumvini, napo huko alikutana na Ku*a yangu ikiwa imebana tofauti na tulivyowahi kukutana mwanzo?, alizidi kushangaa kwa madiliko yale, na hapo ndipo akazidisha kunilamba Kichochezi Utamu changu?, nikisikilizia utamu Kunoga, Utamu Nichovye, Nataka Tena, yote yalikuwa yakinizunguka kichwani kwa kulambwa kule. ?
Nilimsukuma kumtoa kichwa chake, ? alichokuwa amekigandisha pale Ku*ani na hapo nikamtengea style ya kumuachia tako nikiwa juu ya sofa yeye akiwa amesimama. ? Nikimaanisha Nipo tayari kuliwa, sikutaka tena aendelee kunichezea. ?
Lakini kabla hajaanza kufanya chochote, ? alikimbilia mlangoni na kuufunga kwa kitasa chake kisha akarudi tena mpaka pale nilipokuwa, ? nikisubiri kuwekewa dozi yake, na bila kupoteza muda?, aliingiza taratibu katika Ku*a yangu ya Ghorofa tofauti na ile ya mwanzo na kwa kubana bana basi alianza kunipa taratibu? mpaka speed ikaanza kuongezeka kutokana na utamu ulivyozidi kuchochea.. ?
Nilianza kutoa miguno taratibu, ? kutokana na kale ka utamu kalikokuwa kameanza kuchochea, na kidogo kidogo nilianza kumuonyesha ufundi wa bibi Kigalula?, yaani huko nyuma nimuachia uno likimwambia “Huyu ndo dija sasa, sio Yule wa siku zote.” ? Basi nilianza kumsikia Suley akianza kulalamika kwa miungurumo yake utafikiri anataka kufa kwa ule utamu wa kumnyongea Kalio. ?
Haikuchukua Muda Nikamkojolesha Suley?, aliyekuwa akiniwezea siku za huko nyuma lakini safari hii alikutana na Upinzani wa hali ya juu. ?
Tena ilikuwa ni ukurasa wa kwanza tu, akaanza kuomba kupoa bado mapema. ?
Sikutaka ajione ameshindwa?, nilichukua taulo lake na kumfuta kisha nikaanza kumchezea Pipi yake taratibu, na sikutaka hata kutumia mdomo wangu?, bali nilicheza na mkono pamoja na vidole vyangu, na nilipoona inakuwa ni ngumu pipi yake kuinuka tena?, niliamua kuichukua na kuanza kuipitisha juu ya Ku*a yangu kama naisugua na baadae kidogo nikaanza kuichovya katika ule uteute? na kuipitisha kwenye Kinemb* huku nikiwa namtekenya pumb* zake akiwa amejilaza, na hapo ilisimama tena kwa kasi kunitaka tena. ?
Akiwa amelala vilevile kwenye kochi, ? nikiwa juu yake, nililengesha mwenyewe pipi yake kwenye Manoneo yangu na hapo nikaanza kujitom*esha juu yake. ? wakati huo yeye nikimuachia alambe embe zangu, na nilijipa balance na kuanza kumpa tena yale mauno ya mwanzo na safari hii?, nilianza kukatikia kwa mnato, yaani mpaka nikahisi namtesa Suley aliyekuwa anazidi kuguna kwa wakati huo wote. ?
Nilimpa baadhi ya michezo tu ya kiufundi, ? iliyomfanya adate na kupagawa kwa kiuno changu kilichokuwa kimepambwa kwa chachandu zilizokuwa zimenikaa vilivyo ? yani kama ni kumtesa nilimtesa haswa wala si utani, kwani hakuwa akichukua muda sana namkojoza?, na kama ningekuwa Kahaba basi siku hiyo Suley angekuwa danga basi hata Mali ningemilikishwa. ?
“Mh!, Dija umejifunzia wapi haya mambo, kunitoa jasho kiasi hiki utafikiri ndo kwanza nayajua mapenzi leo.” ? Alikuwa ni Suley akiongea baada ya safari ndefu ya kumdatisha, asiambulie kunifunga hata goli moja. ?
“Wala me sijajifunza mahali ni ubovu wako tu na ushamalizwa nguvu na mijimama yako.” ?
“mmh!, hapana bwana, ila ni michezo yako tu, kwanza nimependa kiuno chako ulivyokipamba.” ?
“Embu tuachane na hayo, nipeleke bafuni nikaoge mie.” ? Nilimkatisha Suley habari zake alizokuwa ameanza kunipa na nilijawa na kiburi kwakuwa tayari nilijua hawezi nitishia kitu kama mwanzo alivyowahi niliza?, ila wakati huu nilimuweza na tena sio kumuweza tu, Hakunitosheleza hata kidogo. ?
Basi alinipa maji na akanielekeza bafuni, ? nikaenda kuoga kisha nikarudi na kuvaa nguo zangu zilizokuwa pale sebureni bado. ? nikiwa namalizia kuvaa nguo nilisikia mtu anabisha hodi, na sauti ya mbishaji ilikuwa ya kike, ? na hapo nilimuona Suley akitoka chumbani kwake mbiombio mkononi akiwa ameshikilia pafyumu?, na hapo nikamuona anafanya haraka haraka kupulizia pale sebuleni, na kupaweka sawa. ?
Baada ya kuweka mazingira ya pale ndani vizuri ndipo akaenda kufungua mlango. ?
“Karibu mpenzi.” ? Nilimsikia akitamka hivyo na ikanibidi nitulie kwanza, nikakaa kwani nilikuwa nataka kuondoka lakini nisinge pishana na huyo mpenzi wa Suley. ?
“Yaani napiga hodi muda wote huu huni……heee!!” ? Aliongea yule mdada na akakatiza kauli yake kwa kushangaa, mara baada ya kuniona pale ndani. ?
“Suley muda wote huo nagonga mlango kumbe ulikuwa na huyu malaya?” ?
“Aah!, Honey embu tulia kwanza usitake kufanya mambo kwa kukurupuka.” ? Suley aliongea na ile kauli aliyoniita malaya iliniuma sana. ?
“Usiniambie kitu mimi, haiwezekani yaani unathubutu kuniletea mwanamke hadi ndani kwangu?” ?
“Usifike huko huyo si unavyomfikiria huyu ni….” ?Suley kabla hajamalizia kuongea, yule dada alimkata kauli tena. ?
“Tena ishia hapohapo, sitaki kusikia kitu chochote kuhusu huyo mbwa.” ? Baada ya kumjibu hivyo alitaka aanze kunifuata pale nilipokuwa, kwa jazba alizokuwa ameanza kuwa nazo lakini Suley alimzuia?, na sikutaka ugomvi naye nikaamua kutoka pale ndani baada ya kupata upenyo nikiwaacha wanalumbana.?
“Ntakukamata siku tu we Malaya mbichi, usiyejua hata kuvaa Chupi.” ? Nilisikia sauti ya yule dada na yakifuatiwa na matusi wala sikutaka kusimama tena?, kuhofia kupakazwa nuksi za watu kusema Tunagombania Bwana.?
Siku yangu iliingiwa na nuksi haswa, ? hivyo sikutaka tena kupoteza muda, nilichukua usafiri mpaka nyumbani kwangu. ? Nilipofika nilimkuta Lily yupo anafanya mambo yake. ?
“Yaani shoga angu leo nimepakazwa Shombo asikwambie mtu.!” ? Ilikuwa ni kauli yangu ya kwanza kunitoka. ?
“Kulikoni tena mama?” ? Aliniuliza Lily. ?
“We acha tu, si nimekutana na Suley leo, kilichotokea hata nimuone hapo leo hii Simsemshi.” ?
“Kwanini?”
“Shoga angu nimepigiwa Vikelele vya Kuchukua bwana wa watu hatari.” ?
“Yamekuwa hayo tena Shooo…!” ? Lily aliacha kile alichokuwa anakifanya na kutega sikio vizuri ale ubuyu wa siku hiyo. ? ikabidi nianze kumhadithia yote yalinisibu. ?
***
“Shoga angu umeshindwa hata kuvumilia Rom arudi jamani?, asa hata kama hiyo ndoa itafungwa si itakaa wiki tu ushaanza kutembea na walinzi wake?” ? Lily alianza kunisema ikabidi nianze kujitetea. ?
“Hapana Sio ivoo?, Shoga angu leo nimepitiwa tu hata sikuwa na lengo hilo, ila ntajirekebisha tu, lazima ntatulia tu kwa Rom”. ?
“Wakutulia wewe huyo?” ?
“Ndio ntabadilika tu Lily wangu, Acha nikaoge nitoe hizi nuksi kwakweli.” ?
“Haha, na una nuksi kweli.” ? Lily aliongea na nikainuka pale nilipokuwa nimekaa na kwenda bafuni kuoga. ? Niliporudi ikabidi nipumzishe kwanza kichwa kwa kulala na sikutaka usumbufu kutoka kwa Lily. ?
Baadae nilikuja kuamshwa na simu ikiwa ni usiku mrefu kidogo, na mpigaji wa simu hiyo alikuwa ni Bibi Kigalula. ?
“Dija mama, pole kwa kukuamsha saivi?, nilitaka nikwambie kuwa ile safari yetu haitakuwa kesho kutwa?, itakuwa ni kesho saa 2 asubuhi, naomba ujiandae ila hatutamaliza siku 2 kule.” ?
“Anha!, sawa bibi hilo usiwaze kesho ntawahi kufika hapo nyumbani.” ?
“Sawa basi tutawasiliana.” ? Alionge na kukata simu kisha nikaanza kujivuta kivivu-vivu, ? pale kitandani tena njaa ikiwa inananisokota kweli na Lily hakuwemo ndani. ?
Nilipoamka nikaenda mpaka sebuleni Nikamkuta Lily anaangalia Series zake. ?
“Lily na hao wakolea wako huwachoki tu?” ? Nilimuuliza akiwa busy kutazama luninga. ?
“Yaani Dija hapa hunibandui mpaka nimalize kuangalia, Enhe kulikoni..! Nikajua ndo hutaamka mwenzangu.” ?
“Njaa ndiyo iliyoniamshaa, hapa nahisi utumbo hauna hata chembe ya kitu.” ?
“Na nilijua tu utaamka na hizo njaa, chakula kipo jikonii.” ?.
“Afadhali siku hizi uvivu wa kupika umeacha, na saa 6 hii mabanda yote yashafungwa huko nje sijui ningekula nini leo!”
“Ungekula usingizi wako, embu nitolee fujo zako me sielewi kinachoendelea kule.” ? Lily aliongea ikabidi nimuache na ulevi wake?, nikaenda mpaka jikoni na kuchukua chakula kisha nikarudi pale sebuleni. ?
“Bibi kanipigia Simu ujue, ? sikukwambia kama kesho tunaenda huko kwenu kuchukua dawa zake za kuondoka nazo huko anapoenda?” ? Nilianzisha tena maongezi nikiwa naendelea kula yeye akiwa busy na Luninga. ?
“Hapana hujaniambia, alafu mbona we na bibi yako siku hizi mnakuwa wasiri kiasi hiko?, mpaka mnanishtukiza ivo, si mngesema mapema ili twende wote?” ? Aliongea Lily. ?
“Jamanii, ilitakiwa twende kesho kutwaa, yaani hata me kaniambia leo muda huu kama ratiba imebadilika.” ?
“Basii bwana, me sitaenda mahala nitakuwepoo tu, si mmeamua kuniacha.” ?
“Yamekuwa hayo tena Shoo.” ?
“Ndioo kwani mnarudi lini?” ?
“Kasema hatumalizi siku mbili.” ?
“Loh!, yaani bora hata Andrew wangu angekuwepo ningeenda kulala kwake?, asa hayupo hapa ntabaki mwenyewe na huu mtaa ulivyo hata siuelewi kabisaa.” ?
“Tutawahi kurudi Bwana alafu me mbona huwa unaniacha wiki nzima na sisemi kitu, iweje wewe leo utake kukataa kubaki hapa ndani?” ?
“Uogaa tatizo.” ?
“Na ole wako uingize danga ndani, tutakosana kwakweli.” ?
“Aka!, Andrew ananitosha me sina nyeg* kiasi chako.” ? Lily aliongea na hapo tukabaki tunapiga vijistory vya kawaida na baada ya kumaliza kula, ? nilirudi chumbani na kuanza kujiandaa kwaajili ya ile safari ya kesho yake. ?
Siku iliyofuata asubuhi na mapema niliwahi kuamka?, ili niwahi foleni za siku hiyo zisije kunichelewesha kufika nyumbani kwa Bibi kigalula?, na niliweza kufika kwa muda kama tulivyokuwa tumepanga?, na hatukuweza kukaa sana pale nyumbani alikuja dereva aliyekuwa ametumwa na ile familia,? alipokuwa anaenda Bibi Kigalula akiwa na gari, hivyo safari iliweza kuanza ya kuelekea pwani. ?
Tukiwa ndani ya gari?, tulikuwa tunapiga story za hapa na pale huku nikijikuta mgeni wa njia na sehemu tulipokuwa tukielekea, ? kwani sikuwahi kutoka nje ya jiji?, kuelekea huko pwani, bali nilibaki kuwa na maswali mengi yasiyoisha. ?
Nashukuru tulifika salama huko tulipokuwa tukielekea?, kwani safari haikuwa ndefu kiivo kiasi cha kutuchosha?, bali ilikuwa ya kawaida hata tukapata muda wa kutembea tembea kidogo kuujua mji wao?, ingawa nilizoea kukutana na mambo ya kimjini lakini huko sikuweza kuyaona kabisa?.
Matembezi yetu nikiwa na Bibi Kigalula?, huku yule dereva tukimuacha nyumbani kwao Bibi, ? na huko tulipokuwa tukienda ilikuwa ni kuzitafuta hizo dawa kwa rafiki zake waliokuwa nazo, ? kwani yeye hakuwa na muda wa kuingia porini kuanza kuzitafuta?, bali alirahisisha hivyo ili ikiwezekana siku ya kesho yake tuweze kugeuka. ?
Tukiwa katika mihangaiko hiyo, ? kuna nyumba tuliweza kufika Bibi kigalula akaingia ndani huku mimi akiniacha naongea na simu nje kwani nilikuwa nimepigiwa simu na wafanyakazi wangu wa Dukani?, kunielekeza haja zao kama ilivyokawaida ya biashara, na wakati naendelea kuongea na simu huku nikitupa macho yaliyokuwa yakigonga kingo za huko na huku?, mara nikawaona watu wawili kwa mbali waliokuwa wamenipa mgonga na kwa haraka haraka walionekana kuwa ni watu waliokuwa wanakuja upande niliokuwepo?, lakini wakageuza na kuanza kutafuta mahala pa kujificha kwa kuongeza mwendo uliokuwa ukionyesha vizuri migongo yao. ?
Mmoja kati ya watu wale niliweza kumfananisha kabisa na Mr. Rom?, lakini kwa akili zangu za kawaida na nilivyokuwa nimeielekeza akili yangu katika maongezi ndani ya simu, basi nilipuuzia kwa kile nilichokuwa nimekiona. ?
Nilipomaliza kuongea na simu nikaingia ndani alipokuwa bibi kigalula na mwenzake wakiwa wanaongea mambo yao hata sikuyaingilia?, lakini kati ya maongezi yaliyonifanya nitege masikio vizuri yalikuwa ni haya nilipomsikia Kigalula akimuuliza mwenzake kuwa. ?
“Siku hizi umeacha kabisa kuwatengeneza vijana wa kiume ungangali wao?” ? Bibi kigalula alimuuliza mzee wa makamo kwa muonekano wake ukionyesha kuwa anajua mambo mengi kuliko. ?
“Hapana sijaacha, nina vijana naendelea nao kama kawaida?, wametoka hukohuko mjini kwenu.” ?Yule mzee alimjibu Bibi Kigalula. ?
“Wako wapi sasa mbona siwaoni?” ? Bibi aliuliza. ?
“Wametoka kidogo walienda kunyoosha viungo, lakini kwa muda waliotoka hapa wanakaribia kurudi.” ?
“Aah!, basi sawa me ngoja nikuache ndugu yangu, ? nikamuone mama yetu kule kama atakuwa na hizo dawa ulizokosa, lakini kwa hizi ulizonipa zitanisaidia huko mbeleni.” ?
“Mama atakuwa nazo, na muda huu atakuwa karudi kabisa.” ?
“Basi ngoja tukuache, huyu ni binti yangu.” ?Bibi kigalula aliongea na kuanza kunitambulisha kwa yule mzee, kisha tukamuaga na kuondoka. ? na nyuma nilimsikia akimwambia Bibi kigalula kuwa Baadae usiku atamfuata nyumbani kwake atakuwa na maongezi naye, ? na sikutaka kujua maongezi yao ila akili ilinipeleka kabisa kuwa yatakuwa ni maongezi ya kitandani wala si mengine.?
Wakati tunatoka tulipitia upande mwingine wa ile nyumba tofauti na kule tulipoingilia, ?, nililiona gari nililokuwa kama nalitambua na akili ya moja kwa moja akiangukia kwa Mr. Rom na hapo nikaanza kuunganisha matukio ya kumuona mtu kama yeye?, alafu pia kuhusu aina ya gari aliyokuwa akipenda kuitumia kati ya gari zake, yaliendana sana. ?
Ikanibidi nichukue simu na kumpigia rafiki yangu Lily kumuuliza kuhusu Andrew na Rom ili tu nijidhihirishe kwa kile kitu.?
“We Lily, hivi Andrew alikuaga anaenda wapi na Mr. Rom?” ? Lilikuwa ni swali langu la kwanza kumuuliza baada ya kupokea simu yangu?, kitu kilichomfanya Bibi Kigalula kuniangalia na kuanza kufuatilia maongezi hayo na Lily. ?
***
“Alinambia wanaenda Dodoma, vipi kwani?” ? Aliniuliza. ?
“Mh!, mwenzangu si nimefananisha watu huku tulipo.” ?
“mmh!, Dodoma na Pwani wapi na wapi Dija..?, labda, duniani wawili wawili.” ?
“Inawezekana labda ikawa hivyo.” ? Nilimjibu na nikakata simu kisha nikampigia Simu Mr. Rom aliyekuwa anadai bado yupo Dodoma?, ikabidi nijitahidi tu kuamini kishingo upande. ?
“Vipi Dija umemuona wapi Andrew?” ? Bibi kigalula aliniuliza kwakuwa alikuwa anamjua kupitia Lily, hapo ikabidi nimwelekeze nilivyomfananisha?, hata Bibi naye alikataa kuhusu hicho kitu kuwa kisingewezekana, basi safari yetu tuliendelea nayo mpaka kwa huyo mtu, Bibi kigalula alikuwa akimwita mama, ? na huko tulichukua Dawa na kurudi katika makazi alipokuwa amejenga Bibi, yaani tulipokuwa tumefikia. ?
Usiku mida kama ya saa 4 hivi?, yule mzee alikuja pale nyumbani kwa Bibi kigalula kama alivyokuwa amemuahidi Bibi mchana wake?, na walianza maongezi yao ambayo sikutaka kuyaingilia hivyo nikaamua kwenda kujipumzisha katika chumba nilichokuwa nimepewa kwa siku hiyo?, na huko nilikuwa nikipoteza muda kwa kuchezea simu yangu, mpaka pale nilipokuja kupitiwa na usingizi?, lakini baadae usiku sana nilishtushwa na sauti zilizonifanya niweze kuamka na kusikia zinatokea wapi. ?
Nilipoamka nikiwa na maluwe ya usingizi, ? niliweza kusikia sauti hizo zikitokea katika chumba cha jirani?, zilizonifanya niweze kusisimka kwa aina yake ile ya utokaji wake?, na hazikuwa sauti za kutisha bali zilikuwa ni sauti za mahaba zilizokuwa zikitoka chumba hicho?, nilijikuta naanza kuingiwa na shauku ya kutaka kujua ni mtu gani kwa usiku ule alikuwa akifanyiwa michezo ya kumliza kiasi hicho. ?
Sikutaka kubaki nyuma niliamua kutoka taratibu kwa style ya wizi wizi ili nisiweze kusikika?, kwani hapo ndani nyumba ilikuwa na vyumba vitatu tu?, hivyo nilipotoka, mguu uliweza kutua katika mlango wa chumba kilichokuwa kikitoa sauti zile, na cha kushangaza nilikuta mlango uko wazi kilichokuwa kimeziba ni pazia tu?, na ndani yake ukitokea mwanga wa mishumaa iliyokuwa inamulika vizuri kitanda kwa kukizunguka? na sikujua ina maana gani baada ya kupekua Pazia lile?, lililoniruhusu kuangalia kile kilichokuwa kikiendelea hapo ndani kwa mwanga hafifu uliokuwamo. ?
Nilimshuhudia Bibi kigalula akiwa ndiye muhusika namba moja?, aliyekuwa juu ya mwili wa yule mzee niliyewaacha wakiongea. ? Bibi kigalula akijishughulisha kwelikweli kwa kiuno chake kilichokuwa kimelembwa kwa chachandu?, kumpatia kile alichotaka mzee wa watu?, aliyekuwa akishirikiana vyema na Bibi Kigalula kayafaidi yale Tuliyotumwa kuyafanya hapa duniani. ?
Ama kweli uzee si udhaifu wa mwili, ? hata kama mwili ukichoka kuna baadhi ya sehemu hubaki na ungangali wake, ? kama nilivyoweza kumuona yule Mzee akimgeuza geuza Bibi kigalula? kama kitumbua ama chapati ilimradi tu iweze kuiva ipasavyo, na kila mtu alikuwa busy kumkamata mwenzake?, hakuna mtu aliyekuwa akimuachia nafasi kubwa mwenzake ya kumtawala?, kwani ilikuwa kama mashindano ya kutaka kujua ni nani atayeanza kumlowesha mwenzake. ?
Loh!, uzee kweli una mambo?, na kua uyaone yaliyo matamu mtini mwao, nilistaajabu kuwaona wakizidi kugeuzana kila aina ya mikao?, ukiachana na kitandani mpaka katika pembe za vitanda zilizoanza kuchochea milio adimu ya chaga na kulegea kwa kitanda hicho?, kwani niliwaona kila mtu akizidi kumpa kile alichokuwa akikijua?, na hapo ndipo nilipoweza kuona ni jinsi gani yule mzee alikuwa akicheza na zile Chachandu za Bibi kigalula zilizokuwepo kiunoni mwake, kuashiria ualimu wake aliokuwa nao. ?
Hapo ndani ilikuwa ni milio ya kuufaidi utamu wa kupekechuliwa, ? na kupekecha tundu na ilikuwa si haba hata kidogo, yaani mafundi wawili walikutana?, wajuao kuzitumia dawa zao vizuri na sehemu zao nyeti zilizokuwa zikisikika kwa mbali kulalamika ikisindikizwa na milio ya mapaja pale ilipokutana na maungo ya Bibi Kigalula?, aliyekuwa anaonekana hataki kushindwa mapema kiasi hiko kwani alizi kuvikata viuno mithili ya taili la baiskeli lililopinda. ?
Kwa kuchovya na kuchovyeka?, Kwa kubana na kuachia?, kwa ukelele na ukimya hiyo yote ilikuwa ni kuisikilizia tamu mpaka pale nilipomsikia Yule mzee akitoa muungurumo kama simba?, kuijulisha mbuga kuwa ameshapata utamu wa Ku*a toka kwa Mgalulaji aliyemshinda mchezo na kukubali kulitoa Bao zito ndani ya Kipapatio cha Bibi Kigalula, ? aliyekuwa akishirikiana kuitoa miguno na pole baada ya kupata joto la manii ya mzee huyo. ?
Na nikamuona vizuri mzee yule akichomoa nyeti zake? zilizokuwa bado simesimama zikitaka kuendelea na jambo husika, ? lakini kabla ya kuendelea nilimuona Mgalulaji akirukia sehemu hizo na kuanza kuzilamba utafikiri paka mwenye njaa kumuona panya akijipitisha mbele yake. ?
Yule mzee alikuwa amenipa mgongo huku Bibi Kigalula akiwa anabugia nyeti zile, ? na hapo nikamuona mgalulaji kama anatazama mlangoni, ? nilipokuwa na nadhani aliweza kuniona lakini akafanya kama hajaniona, ? na sikujua kama ndiyo lengo lake kufanya vile mpaka akaacha mlango wazi akijua kuwa ningeweza kuamka ama lah.!. ?
Alipoweza kutambua kuwa nipo pale mlangoni alijifanya kukaa vizuri, ? yaani kumuweka mzee yule upande ili niweze kuwaona wote vizuri kutoka usawa nilipokuwa. ? Na kama lilivyokuwa lengo la bibi kigalula kunionyesha michezo inavyopaswa kufanywa, alizidi kuchezea lile Dubwasha la mzee yule, ? nikiwa nimeanza kuliona vizuri kwa marefu na mapana yake, likiingia na kutoka mdomoni mwa Bibi kigalula?, na kwa kuonyesha lilikuwa tayari limesharudi katika ubora wake baada ya kuongezewa nguvu ya ziada na Mgalulaji. ?
Nikamuona Mgalulaji akigeuka na kumtengea Yule mzee kwa mkao wake wa kubetuka, magoti yakiwa kitandani?, mikono yake akiwa ameitanua upande wake wa mbele?, nyuma akimuachia yule mzee Kun*u lililokuwa nimenoga vilivyo kwa kufichwa na tako lake Kubwa lililokuwa limeanza kupigwa makofi na yule mzee?, na kichwa cha Mgalulaji kilikuwa kikiangalia mlangoni nilipokuwa huku yule mzee asiwe na habari yoyote kama kuna kitu kinaendelea pale mlangoni. ?
Basi walizidi kuonjeshana, ? huku upande wangu hali ikiwa taabani kwa kuusikia muwasho niliokuwa nikihisi unanimeng’enya huku Ku*ani?, nikihisi kubana mapaja hata kuanza kuchafua Chupi yangu niliyokuwa nimeivaa?, na wakati naendelea kuyatazama yaliyokuwa yakiendelea kule kwa Bibi kigalula?, nilihisi kutokwa na wazimu kwa lile jambo?, nikitamani kuingia pale ndani hata nikatulizwe midadi yangu ya Nyeg* zilizokuwa zinazidi kunitawala?, nikikosa kabisa mambo yale yaliyokuwa yakiendelea kwa Bibi Kigalula, nikitamani ule ufundi wa yule Mzee. ?
Wakati naendelea na kukodoa macho kule ndani, ? nyuma nilihisi mkono wa moto ukinishika pajani huku mkono mwingine ukikizunguka kiuno changu kuutafuta upenyo wa kuingilia kutokana na kanga niliyokuwa nimeifunga?, na shingoni nilihisi kulambwa na ulimi wa motoo, ? ulionisisimua haswa nikishindwa kabisa kusema kitu, hata ile nguvu ya kuongea jambo nilishindwa?, teena pale mkono wake wa kulia ulipopata nafasi ya kuingia ndani ya kanga yangu na kukutana na kinena?, upande wa juu kilichokuwa kimevimba mithili ya nyama iliyokunywa maji?, basi ule mkono ulianza kufanya kazi ya kutafuta manonea yangu?, kwa kuanza kuchokonoa sehemu iliyokuwa imelowaa haswa kwa ute wa nyeg* zile nilizokuwa nazo. ?
Mshikaji wa huko kunako hata sikumtambua kwa muda huo?, na alivyokutana na Ku*a iliyoloa basi aliutoa mkono wake huko kunako na kuninyenyua kutoka pale mlangoni?, kuniingiza katika chumba kingine kilichokuwa hapo ndani, na ndipo niliweza kumtambua kuwa ni yule dereva tuliyekuwa tumeenda naye?, basi nikamshukuru Bwana Shetani wa ngono kwa kumtuma malaika wake wa kunituliza Nyeg* mshindo zilizokuwa zimenipanda?, kiasi cha kutamani niingie kwa yule babu akatukune mtu na mwanafunzi wake lakini bahati ilidondokea kwa huyo Malaika wa Ngono kuja kunibebelea mpaka katika chumba alichokuwa amelala siku hiyo. ?
Kumbe Dereva naye hakuwa amelala? kwa kelele zile na nahisi naye alitoka kuvizia ili aangalie kile kilichokuwa kikiendelea katika chumba jirani, ? na bahati ikawa yake kuniokota mimi mtumwa wa ngono niliyewake Shetani mahaba mwenye kunisahaulisha utukufu uliye wake yeye mwenye enzi yote, ? na kunipa pepo baya la kuniamshia hamu zangu zisizoisha mpaka pale nitakapo pata wa kunituliza mapepo hayo. ?
Na malaika wa Ngono mwenyewe aliyeshushwa kunisaidia haja zangu alikuwa ni huyo Dereva. ?
Basi aliponiingiza ndani ya chumba kile?, akiwa na hamu iliyokuwa imamjaa tele, alinitupia kitandani na kuvua mavazi yake mepesi aliyokuwa ameyavaa usiku ule?, uliokuwa ukitawaliwa na baridi kwa upepo uliokuwa ukitoka Bahari ya hindi kudhihirisha msimu na kipindi cha baridi?, basi alipomaliza kuvua akanirukia kwa haraka zake za kuhofia nisije kukimbia pale chumbani?, ile hali nyeg* zangu zilizidi kunisumbua mara dufu ya mwanzo, baada ya yule dereva kunichokonoa. ?
Kwa haraka zake aliivuta ile kanga yangu?, na kuiweka pembeni kisha akanivua chupi yangu iliyokuwa imebakia pekee mwilini?, na hapo akaanza kulitafuta tundu ndani ya kiza kile, na kwakuwa hivi vitu viwili vikikutana vinakuwa mithiri ya sumaku na chuma basi viliweza kugandana?, bila kizuizi cha kiga na hapo akaanza kuchovya kulitafuta joto kwa kifo chake cha mende alichokuwa amenikalisha, ? na kama ilivyokawaida yangu sikutaka kuanza kumuonyesha yale niyajuayo, ? mpaka pale nilipoona kuwa anaweza kunifikisha mahala kwa kuikata hamu yangu. ?
Taratibu nikaanza kuuvuta utamu uliokuwa ukija na kukata?, kutokana na aina ya mtu mwenyewe aliyekuwa akicheza na tundu lililozoea kuchokonolewa na miti minene ukiachana na kikuni chake kilichokuwa kifupi kinene, ? chenye utamu nusunusu usiokuwa kamili?, na nilipoona mkunaji hanipi kile nilichokuwa nikikitaka, basi nilimsukuma na kumlalia juu yake?, kisha taratibu kukikamata kimpini chake kifupi na kukilengesha kunako?, ikiwa na kuanza kumpa mitekenyo ya papo kwa papo kulingana na ukunaji wake hafifu aliokuwa nao. ?
Niliendelea kujizungusha juu ya kimpini chake ili kuruhusu utamu utawale? na uzidi kuongezeka kwa kuikamilisha raha ya tendo, ? ingawaa hakikuwa kikifika mahala ninapotaka, kikipelea tu katika mashavu yangu ya ku*a?, yaliyokuwa yakikisugua vizuri kichwa chake, kitu kilichomfanya dereva atoa ukelele utafikiri mwanaume mwenye pepo zake? kutoka upande wa magharibi, ? na hapo alijinyoosha na kukakamaa utafikiri mtu anayetaka kufa na kuweza kulitoa bao lake zitoo?, kudhihirisha hakuwahi kufanya hicho kitu kwa miaka na ingelikuwa mchana?, ningemuona vizuri akihangaika kuyachambua mashuka na kuyabana macho yake kwa kiini legevu, ? lakini kwakuwa ilikuwa ni usiku niliishia kuhisi miguu yake kuruka ruka na kujiinua sehemu ya kiuno chake yaani kuizamisha yotee na kukojolea humoo. ?
Baada ya hapo alinyooka kama mtu aliyefariki kwa utamu wa ngono?, wenye chachu kwa mtu kama mimi niliyezoea kumalizwa haja zangu mpaka mwisho lakini kwa kale kampini kake hakakuweza kuniridhisha kitu. ?
“Wewe” ? Nilimsemesha baada ya kuona kimya kwa muda mrefu, huku nikimtikisa na hapo nikaona anajivuta kuamka. ?
“Unaendelea?” ? Nilimuuliza. ?
“Nimechoka siwezi tena.” ? Alinijibu na hapo nikaona shughuli hakuna tena kwani hata kimpini chake kilikuwa kishasinyaa, ? hata kama ningeamua kukiinua ningetumia hata mwaka, nikaona hapo shughuli si yangu tena, ? yaani nikabaki na hamu zangu nikijutia kwanini nisingeingia katika chumba cha Bibi kigalula kula yaliyomema ya yule mzee. ?
Yani yule dereva na ujana wake alishindwa nguvu na mzee yule aliyekuwa hapoi kwa shoo yake yenye shabiki mmoja niliyekuwa mlangoni muda ule?, nikatolewa na malaika wa ngono niliyejua atakuja kunisaidia kumbe ilikuwa ni mawazo yangu na mkosi wangu tu. ?
Niliamua kuchukua kilicho changu hapo ndani na kutoka, kuelekea katika chumba changu, ? nikimuacha yule dereva akiwa amelala hoi, kwa kazi yake aliyokuwa anaiona ni ngumu kwake kumbe mbovu kwangu. ?
Basi nilipofika chumbani kwangu nikajifuta tu, ? kwaajili ya usiku ule na kuamua kujitupa kitandani huku nikiwa nimetega sikio upande wa chumba cha bibi kigalula?, ambacho nilisikia tu minong’ono ambayo sikuweza kuitambua kwa maneno na ni dhahiri kuwa walikuwa tayari wameshalidhishana vya kutosha?, kuliko mimi niliye na mkosi wa kuambulia kupakazwa shombo tu na kuachwa na hamu zangu, basi nilipitiwa na usingizi ambao sikujua hata umetokea wapi. ?
Asubuhi nilipokuja kushtuka?, muda ulikuwa umenda kidogo, ? na aliyekuwa amekuja kunishtua alikuwa ni Bibi Kigalula, aliyekuwa akigongea mlango, na nilipoamka nilienda kumfungulia, na akaingia hapo ndani. ?
“Dija umeamkaje, mbona mchovu sana.”
“Me mzima bibi, ni usingizi tu niliokuwa nao, jana nilichelewa kulala.” ?
“Kilichokuchelewesha nini Dija wangu, wakati huku kwetu saa 2 tu kushapoa.” ? Bibi Kigalula alikuwa anataka kujua jambo toka kwangu, ndiyo maana akaanza kuniuliza maswali yale. ?
“Nilikuwa nachezea simu tu Bibi.” ? Nilijaribu kumdanganya wakati alikuwa anajua kila kitu kilichotokea jana yake. ?
“mmmh!, dijaa.” ? Aliguna kupingana na maneno yangu na huenda hata wao waliweza kutusikia wakati nipo na yule dereva. ?
“Ninii Bibi lakini, mbona unaguna hivyoo?” ?
Sehemu Ya 10
“Hakuna kitu, embu amka ukajiandae twende kuchukua zile dawa za jana zilizobaki, tuwahi kurudi mjini leo.” ? Kigalula aliongea kupotezea yaliyotokea jana yake na akatoka hapo ndani akiniacha na baada ya muda kidogo nilitoka nikiwa nimejifunga kanga na mswaki niliokuwa nimeshikiria mkononi na wakati natoka hapo chumbani, ? macho yalitua moja kwa moja kwa Dereva aliyekuwa akitoka chumbani kwake, ? huku uso wake akiuinamisha kuashiria upweke wake, nahisi alikwisha yatambua madhaifu yake. ?
Tulisalimiana kibabe tu?, bila marembo ya aina yoyote na nikatoka nje, jua likiwa limeanza kuichoma ardhi vilivyo?, na nilienda kuchota maji yaliyokuwa karibu na nyumba hiyo kisha nikaenda kutoa janaba la mshenzi yule dereva aliyeshindwa kunichomeka valvu yake vizuri akasababisha upepo wangu ukawahi kupungua, na usinifikishe nilipokuwa naenda..!!. ?
**
Basi baada ya kujiandaa tuliweza kwenda kuchukua zile dawa alizokuwa akizisema?, na baadae tulifanikiwa kurudi mjini salama, na mambo hayo ya dawa yakiwa yamekamilika?, yaani kifupi Bibi kigalula alikuwa amefanikisha kile alichokuwa amekifuata kule kwao?, na hata akaanza kujiandaa na safari yake ya kwenda nchi za watu?, kuwafunda hao nyani weupe wasiojua mambo ya kiafrika na tiba zetu. ?
“Dija na Lily, nimekuja hapa kuwaaga?, tutaonana Panapo majaaliwa, natamani twende wote huko lakini nashindwa sehemu ya kuanzia, ? ila kuna kitu nilikuwa nimefikiria kama kitafanikiwa basi ntakuja kuwachukueni.” ? Bibi Kigalula alikuwa akiongea hayo wakati tukiwa katika maongezi yetu?, baada ya yeye kuja kututembelea pale nyumbani. ?
“Mmh!, Bibi jamani fanikisha basii uje kutuchukua hata na sisi tukashangae miji ya watu hukoo, ? tushachoka mambo ya waswahili huku, uongo dija?” ? Lily alikuwa akiongea na tukazidi kuongea mengi. ?
Nakumbuka siku iliyofuata? tuliweza kumsindikiza Bibi kigalula airport akiwa na wenyeji wake huko aendapo?, na habari za Mgalulaji kuliwa na Mzee wa Kiafrika zikaishia hapoo?, labda huko alipokuwa akienda angepata wazee wengine lakini si kwa yule mzee mtundu aliyekuwa akigalagazana na Bibi Kigalula kiasi kile. ?
Baada ya kumsindikiza Airport, ? tuliweza kurudi huku vinywa vyetu vikiishia kumtaja Bibi Kigalula, ? aliyetufundisha mambo ya Kitandani vilivyo kwa muda mfupi sana, ? ingawa Lily ndiye alikuwa bora kunizidi kutokana na Kukaa sana na Bibi yule lakini hakuwa bora zaidi katika vitu baadhi nilivyoachiwa na Mgalulaji kwa bidii zangu kwani Lily alikuwa mvivu ?
Basi maisha yaliendelea kama kawaida, ? na ratiba zangu zikarudi kama mwanzo, nikaanza kuwa busy na biashara yangu ya kuuza nguo?, katika duka langu lililokuwa Kariakoo. ?
Baada ya zile wiki mbili alizosema Mr. Rom kuisha basi aliweza kurejea tena mjini akidai kuwa ametoka kazini kumbe ndivyo sivyo. ?
Yaani Mr. Rom alivyoondoka na alivyorudi, ? alikuwa ni mtu wa tofauti sana namaanisha katika uwanja wa upambaniaji wa Penzi na ubabe wake?, kwani aliporudi alinionyesha vitu tofauti sana, ? ambavyo kiukweli viliweza kunibadilisha kabisa na vilinifanya nikatulia kabisa kwake, ? hata sikutamani tena kuwa na mwanaume mwingine, yaani Mr. Rom aliniteka safari hii. ?
Najua wengi watauliza sana kuhusu huyu Mr. Rom ni nani?, lakini kwa hili siwezi kusema kitu juu yake, kwa ufundi na na mambo ya pwani, Mr. Rom aliyajua haswa?, na ni ndani ya wiki 3 tu aliweza kubadilika kiasi cha kunifanya nizibe mdomo hata nishindwe kuongea tena Kwa Nyeg* mshindo zangu alizojua kuzimaliza.?
Acha nikujuze zaidi?, Ukimzungumzia Mr. Rom, ni mtu ambaye siwezi kumuongelea mimi kama Dija, ? labda akisema yeye unaweza kumuelewa zaidi, ? lakini ni mwanaume mwenye kila aina ya sifa ya kumtuliza mwanamke ndani hata kama alikuwa na mapepe, ? kiasi changu, Kwanza alikuwa anajiweza kitandani katika sifa zake nizipendazo?, ni Handsome ikiwa ni kivutio changu?, ana mali ikiwa ni kuonyesha ulijari wake? na mwisho kabisa namwita ni Mr. Rom-Romantic. ?
**
Wahenga husema Jungu kuu halikosi kuwa na ukoko, la hasha me nasema Jungu kuu halikosi kuwa na mzizi. ?
Hata Lifu halina mshindo, ? mambo hutokea bila taarifa acha nikwambie kitu leo labda kitakufumbua kwa namna moja au nyingine. ?
Naitwa Ramsey wengi wanapenda kuniita Rom, ? ni mmiliki wa kampuni ya uuzaji na usambazaji wa bidhaa na vifaa vya umeme jijini Dar-es-salaam na mikoani, kimaisha nimefanikiwa nikiwa bado kijana tu, ? naweza nikasema niliokota dodo chini ya mpera, nina kila kitu ambacho mtu anatamani kuwa nacho, ? lakini nimekosa kitu kimoja kuweza kukamilisha hivyo vyote, kitu chenyewe ni kumpata mke bora. ?
? Wazazi wangu wamekuwa wakinisihi sana kutafuta mke, hata kudiliki kunitafutia mke kwani miaka imezidi kwenda bila kujihusisha na mahusiano ya aina yoyote, ? nimekuwa nikijiweka busy sana na biashara zangu hata kusahau kabisa kama kuna kuoa, lakini pia sikupenda kuwa na haraka kwa hilo swala, hivyo niliamua kutulia ili hata nikipata mke basi awe ni mke kweli, sio mfano wa mke. ?
? Siku moja nikiwa nimetoka katika kazi zangu za kila siku, ? ikiwa ni mida ya usiku mwepesi muda wa kupata chakula kwamaana ya dinner, niliamua kwenda Break point, ? ada estates kinondoni kwaajili ya kujipatia chakula changu kwakuwa nyumbani kwangu sikuwa na tabia ya kujipikia mara kwa mara. ?
? Niliagiza chakula changu nilichokuwa na hamu nacho kwa siku hiyo?, kisha nikaanza kula taratibu bila kuwa na haraka ya aina yoyote ile, ikiwa ni kuifaidi radha ya chakula hicho. ?
? Nikiwa naendelea kula, kidogo macho yaliganda kuwatazama warembo wawili waliokuwa wakiingia hapo restaurant na kukaa mbele kidogo ya nilipokuwa, ?
Macho yangu hayakusita kumtazama mmoja kati ya warembo wale, ? alikuwa ni msichana mmoja kwa kumtazama sura na maumbile yake yaliyoendana sana na kwa jinsi alivyokuwa amevalia min skate yake iliyokuwa ikionyesha mapaja yake yenye rangi vyema, ? kiukweli nilijikuta naganda na kupatwa na butwaa baada ya kumuona. ?
Nilijikuta nazidi kumuangalia sana hata pale alipokuwa ameketi, ? na kula chakula chake, kwa muonekano wake alikuwa ni mwanamke mwenye rangi ya mtume kidogo, ? sura yake iliyojichonga vilivyo, mwenye kifua cha wastani, kiuno chake kilichobebwa na kujichonga kwa shape yake namba 8, tembea yake iliniacha hoi, ? na kwa jinsi alivyokuwa akitafuna chakula chake nilihisi kudumbukia ndani ya pendo. ?
?Macho yake yaliyoanza kuniangalia mpaka nikijihisi kushtuka kwa jinsi alivyokuwa akiniangalia kisha kutoa tabasamu, ? akiwa na rafiki yake katika meza moja kiukweli nilijisemea moyoni mwenyewe. ?
“Huyu mwanamke ameumbika, akinipa nafasi lazima niseme neno juu yake.” ?
Niliendelea kula, huku jicho la wiziwizi likizidi kumtazama.? mpaka pale nilipomaliza kula, nikatoka nje na kuanza kumsubiria mrembo yule atoke ili niongee naye. ?
“Samahani dada ninashida na wewe mara moja.” ? Nilimsemesha yule dada alipotoka akiwa na yule rafiki yake aliyeonyesha kuwa na haraka sana kuliko mwenzake na aliondoka akaniacha na mwenzake,? hivyo nilichukua nafasi hiyo kujivika ujasiri wa kuongea naye?.
“Samahani sana kwa kukuchelewesha, aaaah kama hutojaliii…mmmh, un..unaa usafari?” ? Niliongea kwa kusitasita kidogo kutokana na macho ya yule dada, yakinifanya nipoteze kabisa ujasiri. ?
?“Usafiri sina kaka, ndo nilikuwa nataka nichukue saivi niondoke, kulikoni!” Yule dada alinijibu sauti yake ikizidi kuyakamata masikio yangu.?
“Ooh!, sawa naweza nikakusogeza kidogo mpaka unapoenda?” ? Nilijaribu kumuomba ili nipate nafasi ya kuongea naye vizuri. ?
?“Aanh!, sio mbaya kwakuwa sikai mbali sana itakuwa vizuri.” ? Alinijibu na nikatabasamu kusikia vile kisha nikamfungulia mlango wa gari nikimuomba aingie na akafanya hivyo kama nilivyotaka. ?
? Nilifurahi sana baada ya kuanza kuona matumani ya kuweza kumpata mrembo yule. ?
Niliingia ndani ya gari na yule dada akanielekeza anapoishi, ? na bila kujali nikaanza kuondoa gari kuishika njia. ?
“Umependeza sana, unaitwa nani vile.” ? Nilimuuliza wakati tukiwa njiani huku nikitupia jicho la wizi wizi katika upaja wake uliokuwa wazi, kutokana na nguo aliyokuwa ameivaa kujivuta upande wa juu, akizidi kunikamata akili yangu. ?
“Niite Khadija au Dija” ?Alinijibu kifupi huku sifa yangu kwake ya kupendeza akijifanya kama hajaisikia. ?
“Ooh!, jina lako linavutia sana kama ulivyo, naitwa Ramsey au Rom ningependa sana tuwe na ukaribu kama hutojali.” ? Niliongea kujaribu kuweka ukaribu na mrembo Dija. ?.
“Ooh, Ramsey jina zuri pia.” ? Dija alinijibu kisha akatulia kidogo kunisikiliza. ?
“Aah, sijui utakubaliana na ombi langu la kuwa na ukaribu?” ? Nilizidi kumkumbushia. ?
“Sio mbaya dear, itakuwa vizuri.” ? Alinijibu na nikafurahi sana kisha nikampa simu yangu aniandikie namba ya simu yake, ? na akafanya hivyo na kuipiga namba yake ili aisave namba yangu kwake, ? na tukiwa tumekaribia kufika sehemu niliyokuwa nampeleka tulizidi kuongea machache ya kufahamiana. ?
“Mr. Rom me nimeshafika, asante kwa usafiri wako.” ?Dija aliongea baada ya kufika sehemu aliyokuwa akiishi, ukweli nilijikuta nimetekwa na mrembo Dija hasa kwa uchangamfu wake uliozidi kuniteka. ? kitu kilichonifanya nizidi kupagawa. ?
Sikutamani tuagane lakini kwakuwa muda ulikuwa umeenda sana, nililazimika kumuacha aende tu, kikubwa mawasiliano nilikuwa nayo. ?
Nilimwangalia sana mwanamke huyu, ? pale alipogeuka na kutembea akiniachia maungo yake ya nyuma yaliyonona vilivyo, kitu kilichozidi kumpandisha daraja la ulimbwende. ?
?Macho yangu yalikoma kumwangalia pale alipoingia ndani ya geti la nyumba aliyodai kuwa amepanga hapo, ? hivyo sikuwa na la ziada niliamua kuondoka na kuishika njia kuelekea katika makazi yangu. ?
?Ndani ya gari nilibakiwa na marashi yaliyokuwa yakinukia vizuri kumuwakilisha mrembo Dija. ?
Nikijisemea “Lazima nimpate, Nimempenda sana na Sikuwahi kupenda kama hivi, kiukweli ni mrembo anafaa kuwa Mke wa maisha yangu.” ?
? Nilifika Nyumbani kwangu, nyumba iliyokuwa kimya sana isiyokuwa na mtu ndani zaidi ya mlinzi getini, na nilifika nikiwa na shauku ya kutaka kumwambia Jambo Khadija, ? hivyo nilipotulia, niliamua kumtafuta kupitia Simu yake, nikajikuta navuta pumzi ndefu kabla ya simu ile kupokelewa. ?
**
“Hallow Mr. Rom, umefika salama?” ? Ilikuwa ni sauti ya Hadija mara baada ya kupokea simu yangu. ?
“Nashukuru nimefika salama Miss Dija, vipi hali yako.” ? Nilimjibu. ?
“Yah!, niko poa hofu wewe na familia yako.” ? Alinijibu Hadija kuongeza upana wa mada. ?
“Me nipo vizuri Dija.” ? Nilimjibu kifupi huku kichwani nikifikiria jinsi gani ya kumuanza .?
“Wengine je?” ? Alizidi kuongea na nilijua ni kipi alichokuwa anakilenga kuniuliza. ?
“Ni wazima wapo huko mikoani, ni wazazi lakini Dija najua ulicholenga ni nini.” ? Nilimjibu kisha akatulia kidogo kunisikiliza. ?
“Nilikuwa nakujulia hali, ila ningependezwa sana tukutane kesho tuongee vizuri zaidi Miss.” ? Nilijikuta nimeongea hivyo lakini shida yangu nilihitaji kumueleza papohapo. ?
“Aanha, muda gani na wapi.” ? Aliuliza. ?
“Ningependelea jioni na sehemu ntakujulisha kesho hiyohiyo.” ?
“Ooh! Kwa jioni itakuwa vizuri ntakuja.” ?
“Nitashukuru kwa hilo Dija, naomba usiniangushe ninalo neno juu yako.” ?
“Mmh, usiwaze mpendwa ntakuja tu, ila unanitisha ni vizuri ungenidokeza.” ? Aliongea lakini nikaona haina haja ya kumwambia mapema hiyo. ?
“Hapana tutaongea kesho yote pia sio vizuri kuongea kwa simu.” ?
“Mr. Rom unanifanya niiwaze sana hiyo kesho.” ? Alinijibu nikajikuta nafurahia kusikia hicho kitu. ?.
“Usijali ni jambo la heri kabisa rafiki.” ?
“Ok sawa nikutakie usiku mwema.” ?
“Asante miss kwako pia.” ?
? Niliagana naye, kichwani ikizidi kubaki taswira ya mrembo Dija, aliyezidi kuniteka kwa uongeaji wake, ? sikutaka kujua yupoje wala sikujali tabia, bali nilichoamini mimi, ni kuwa nimempata mtu sahihi kwangu nitakaye tengeneza naye maisha.?
Siku hiyo nililala usingizi wenye ndoto nyevu zenye matamanio juu ya mtu aliyeanza kuichanganya akili yangu?, hata nikitamani kesho yake ifike mapema ili awe mikononi mwangu. ?
Usiku wa manane?, nikiwa ndani ya ndoto niliweza kushtushwa na mlio wa simu yangu na simu hiyo ilikuwa imetoka kwa ndugu yangu niliyefuatana naye, ? na haikuwa kawaida kabisa kunitafuta muda mbaya kama ule, ilinibidi nichukue ile simu na kuiweka sikioni baada ya kuipokea. ?
“Hallow bro, kulikoni mbona usiku sana” ? Niliongea sauti iliyokuwa na uchovu ndani yake, ? na baadae nilijikuta nasisimkwa na mwili kuniishia nguvu kabisa baada ya kusikia taarifa mbaya za msiba wa baba yangu mzazi, ? kitu kilichonifanya nisiweze kufanya chochote zaidi ya kuendelea kuishikilia simu yangu sikioni. ?
Niliishiwa nguvu kwakweli na sikuwa na jinsi wala kuyaamini maneno yale haikuwa rahisi, ? dah! Nilihuzunika sana kumpoteza mzee wangu aliyekuwa ameanza kuyala mafanikio yangu hapo karibuni. ?
Ilibidi niweze kuwasiliana na rafiki yangu wa kiti cha kwanza Andrew?, kumueleza kile kilichonisibu ili ikiwezekana kesho yake asubuhi na mapema tuweze kusafiri jijini Mbeya?, kwaajili ya msiba huo, na namshukuru sana Rafiki yangu tulikuwa tukishirikiana kwa mambo mengi hivyo msiba huo aliweza kuuchukulia kama wake, ? pia hakuwa yeye tu niliwasiliana na watu wengi kuwataarifu, kama ilivyokawaida msiba wako ni wa watu wote. ?.
Asubuhi na mapema tuliweza kukutana kwaajili ya kuianza safari, ? na kwakuwa usafiri wa magari yetu binafsi ulikuwepo basi haikuwa tabu kusafiri, ? na sikuwa na rafiki yangu peke yake katika safari hiyo bali watu wengine wengi niliokuwa nikifahamiana nao, ? wakiwemo baadhi ya wafanyakazi wangu na safari ilitulazimu kutumia gari za ziada ukiachana na gari yangu pekee ilimradi tufike katika eneo husika. ?
Kutoka Jijini Dar-es-salaam mpaka jijini Mbeya ni kipengele kidogo, ? na ililazimika kufika mida ya jioni na wakati wote huo njiani sikuwa ni mtu mwenye furaha kulingana na hali hiyo, ? hata usafiri sikuweza kuendesha kabisa ingawa nimekuwa nikifanya hivyo mara kwa mara lakini wakati huu, sikupata kabisa hata hamu ya kuendesha kutokana na mawazo niliyokuwa nayo. ?
Na tukiwa njiani niliweza kupata muda angalau wa kumjulisha Hadija kitu kilichokuwa kimenisibu, ? kwani tayari nilikuwa na ahadi naye ya kuweza kuonana naye siku hiyo, hivyo isingekuwa vyema kutoweza kumtaarifu, ? na ni mtu ambaye kidogo aliweza kunipa faraja wakati wa magumu hayo, akizidi kujipa nafasi kubwa ndani ya moyo wangu, ukweli ni kuwa mapenzi yana nguvu sana. ?
Nashukuru tulifika salama jijini mbeya,? na kama zilivyo taratibu za msiba basi ziliendelea na kesho yake tuliweza kumsindikiza baba yetu kipenzi katika makazi yake ya kudumu ?na kilichokuwa kimebaki ilikuwa ni taratibu nyingine za msiba na za kifamilia. ?
Mara baada ya kila kitu kukamilika na baada ya kuanua matanga?, watu walianza kuondoka wakiwemo wafanyakazi na ndugu nilioongozana nao katika safari hiyo?, na ilinibidi nibaki na familia yangu kwa muda, akiwemo mama yangu kipenzi aliyekuwa na pengo kubwa la mumewe, hivyo sikuweza kuondoka nikabaki hapo nyumbani kwa takribani mwezi mzima. ?
Ndani ya mwezi huo mmoja niliutumia kuweka baadhi ya mambo ya pale nyumbani vizuri, ? nikihakikisha siku ya kuondoka mama yangu huku nyuma asipate shida kabisa, ? na nilipenda sana kuondoka naye jijini dar-es-salaam ili akapumzike huko, lakini alikataa kabisa kufanya hivyo, akidai jiji hilo hataliweza na alikwisha lizoea jiji lake. ?
Majonzi huja mara moja na hatimaye kubaki ni historia na mapito, ? na hata ukikumbuka huwezi kupata maumivu kama siku ya kwanza, ? hivyo kifo cha mzee wangu tulikiacha kipite kwani njia yetu ni moja na hatukuwa na la kufanya zaidi ya kukubali kile kilichotokea, na hata mama alianza kuizoea ile hali ya upweke. ?
Siku moja nikiwa nimeshaanza kuyasahau yale yaliyotokea, niliamua kumpigia Hadija. ?
“Hellow Mr. Rom” ? Ilikuwa ni sauti ya kumtoa nyoka pangoni ya mrembo Dija. ?
“Yes, Mambo Dija.” ?
“Poa za huko.” ? Hadija alizidi kunijulia hali na tukazidi kuongea, ? kisha baada ya maongezi mengi ikiwemo kunipa pole na kunipa moyo niliamua kumweleza kile nilichokusudia kwa siku nyingi. ?
“Unajua nini Hadija.” ?
“Nambie Rom.” ?
“Natamani sana siku moja nipate mke wa kufaana naye, ? na kati ya warembo wenye sifa za kuvutia zinazonifanya nivutiwe kila mara kwa maongezi, kuwaona na hata kuwa karibu nao, ? wewe ni mmoja wao ambaye ningependa sana tusiwe watu wakuwasiliana tu, ? bali kuijenga familia iliyo bora, kwani tayari siwezi sema wala kuongea kitu kwako na siwezi kuficha nimenasa kwako, nitakuwa najinyima haki endapo nitazificha hisia zangu kwako, ? naomba tuanzishe mahusiano hata ikiwezekana tuweze kufunga ndoa, naomba sana uweze kufikiria juu ya hilo unanitesa kiukweli na utakuwa hunitendei haki endapo utaufanyia udhulumati moyo wangu kwa kukataa hili neno?, nakupenda Dija na ninamaanisha kwa nikisemacho, kwani kwako sina ujanja, nakuomba tamka neno la kuufufua moyo uliopondeka kwako tafadhari.” ?
Nilijikuta naongea kwa hisia sana kumweleza mrembo Hadija, ? kile kilichokuwa kikinisibu na kumuomba hata ikiwezekana tufunge ndoa siku hiyohiyo japo isingewezekana?, na sikutaka kuongea naye kwa simu lakini uvumilivu ulinishinda kabisa nikaamua kuuachia moyo wangu huru nikisubiri neno kutoka kwake ili nifarijike. ?
Nahisi nilikuwa ni mtu mwenye bahati sana, ? baada ya kubahatika kumpata mrembo Dija, kitu ambacho kwangu kilinifanya niweze kufuharia? na sikuweza kuamini kama kweli nimeweza kumpata, ? baada ya yeye kukubali ombi langu, nikitamani kabisa kurudi siku iliyokuwa inafuata lakini kwakuwa sikuweza kukamalisha baadhi ya mambo, ilinibidi nitulie kwanza. ?
Na kama ulijuavyo penzi jipya?, jinsi linavyoweza kumpeleka mtu vibaya, kila mara nilihisi kufarijika nikiwa nawasiliana na Dija, ? nikihisi ni ndoto na ilikuwa ni kama uongo na nikiota, kwani umbali wetu ndio uliofanya niweze kuona hivyo. ?
“Mwanangu Rom, ? inamaana unataka na mimi nimfuate baba yako, kabla sijamuona mkwe wangu?” ? Alikuwa ni mama yangu kipenzi tukiwa katika maongezi akiwa tayari kashaizoea hali ya Ujane. ?
“Hapana mama, ? mkwe wako yupo we subiri tu siku ntamleta hapa nyumbani, yaani hata sikwambii siku hiyo ntakushtukiza tu.” ?
“Mwanangu nitafurahi sana kumuona, ? lakini usije kuniletea mnyama hapa nyumbani kwangu, akakutesa.”
“Hapana mama kwa hilo usihofu, ni mtu mwema na atanitunza mama.” ?
“Basi me hata sina pingamizi mwanangu kama umeshathibitisha huyo mtu anakufaa, sina neno tena.” ? Tulibaki tukiongea, na kupanga mengi na mama yangu?, ikiwa ni kuirejesha furaha yake iliyopotea kwa muda baada ya kumpoteza, mumewe. ?
Siku hazigandi?, na baada ya kumaliza mwezi mzima, hatimaye nikarejea jijini Dar, Jiji lenye kila aina ya kionjo cha maisha, ? uswahili ukiwa umetawala vilivyo, na sikutaka kumwambia Dija kama nimerejea bali niliamua kumfanyia Surprise, ? baada ya siku iliyofuata nikiwa nimepumzika, niliamua kwenda kumchukua nyumbani kwake, ? nikidhamiria siku hiyo Dija akalale kwangu, ? kwani nilikuwa nimemkumbuka sana, ukichanganya na Penzi jipya lililokuwa bado la motomoto. ?
Na kwakuwa nyumbani kwake alikuwepo?, basi nilimpigia simu na akatoka akiwa haamini?, kama kweli nilikuwa nimesharudi, hivyo nilimlazimisha niweze kuondoka naye, ? na akaomba nimpe muda wa kujiandaa, kisha tukaondoka hapo nyumbani kwake, tukimuacha rafiki yake Lily. ?
“Unajua sikutegemea kabisa kama ungenishtukiza kiasi hiki?, hata sikutegemea kabisa kama ungekuja muda huu bila taarifa.” ? Alikuwa ni Dija tukiwa ndani ya gari, baada ya kutoka Dinner, tukielekea katika makazi yangu, nikipokuwa nikiishi.?
“Dija, nilikwambia lakini kama nakaribia kurudi, kwahiyo sioni kama nimekushtukiza mpenzi.” ?
“Mmh!, ungesema buanaa, hata nijiandae kukupokeaa.” ?
“Na ndiyo maana nikaja kwako, Dija.” ? Niliongea na Tukazidi kuongea, mpaka tulipofika katika makazi yangu. ?
Nilimuona Dija akianza kushangaa nyumba, ? na mazingira ya pale ndani, ? ukilinganisha na ukiwa wangu wa kuishi mwenyewe pale ndani tofauti na mlinzi?, hivyo maswali hayakuwa machache kwake bali ni mengi yaliyoweza kuurefusha usiku ndani ya nyumba, tukiwa sebuleni. ?
Wakati tukiendelea kuongea, ? kimya kidogo kilitawala mara baada ya kuruhusu hisia zetu kushirikiana na macho kuongea kwa vitendo?, kitu kilichofanya tuingie katika maongezi mengine yenye minong’ono, miguno na kurupushani. ?
Kwani nilimsogelea pale alipokuwa, na kutaka anipe juice ya kuikata kiu yangu, na nikazipokea lips laini na nene zenye umoto wake, ? ukilinganisha na kisima chake cha maji kilichokuwa kimejaa tele. ?
Mikono yangu ilianza kufanya kazi ya kupapasa paja lake na kisogo chake huku nikiendelea kupata majii toka kisima domoni, ? nilipoona haitoshi, mkono mmoja ulianza kufanya kazi ya kuzitegua nguo zake alizokuwa amezivaa za mitego, na kurupushani ikaendelea tukiwa bado pale sebuleni. ?
Na hatiamaye juhudi za mikono zilifanikiwa kuzitoa nguo zake zilizokuwa upande wa juu, ? akibakiwa na ziwa victoria lililokuwa linanishawishi kuogelea?, na kwakuwa jua la usiku ule, liliniruhusu kuogelea, basi nilitoka pale kisima domoni?, na kudumbukia ziwa victoria na kuanza kuogelea kwa kulambaa ardhi na mchanga wenye mawemawe chini ya kabisa ya ziwa. ?
Nilizidi kuonyesha umaridadi wangu niliokuwa nikiujua wa miaka mingi huko, ? lakini kutokana na mambo yangu kuwa mengi mno?, sikuwa mbobezi sana wa kucheza na mwili wa Dija, lakini kwa kidogo nilichojaaliwa niliweza kujitahidi kwa upande wangu. ?
Mambo yalitupeleka mpaka chumbani, ? baada ya kuona kama sebuleni hapata nifaa, ? nilimnyenyua na kumkimbizia Chumbani, na huko nikaendelea kucheza na mwili wake?, huku yeye akinifanyia vimichezo vya chini chini utafikiri mtu anayepiga simu kwa kubipu, akitegemea kupigiwa. ?
Nilitoa macho na kupagawa baada ya kuona maumbile ya chini ya Dija?, yaliyokuwa yamejichonga vyema, kunitamanisha hata nianze kuigundua chumvi ya kisima cha Iraq huko Qumuani, iliyonilazimu niibugie kwa kumtafutia radha malaji mwenzangu, ? na nashukuru nilifanikiwa hivyo, hata nikamuona Dija akiwa amelegea kabisa?, na hapo ndipo nilipoona ni wakati wa mimi kudumbukia ndani ya kisima Qumuani tena ili nifaidi na kutimiza yale tuliyokatazwa kuwa tusizini?, lakini kwangu kwa muda huo tafsiri ilinijia kichwani kuwa..!
“Endelea kuzini Utamuoa na hiyo sio zinaa ni majaribio yako kabla ya ndoa.” ?
Basi nilianza kuziweka dhakari zangu ndani ya kisima Qumuani?, na hapo nikaanza kujirusha huko ndani japo niliingia kwa tabu kutokana na nafasi ya Kisima na upenyo kuwa ndogo, ? nikilazimisha mambo tu mpaka pale ilipokubali, na kuanza kujisugua ndani humo. ?
Nilihisi raha ya kubanwa ndani kwa ndani, ? nikizidisha mwendo kwa kuchochea, nisijue kuwa mwenzangu ananihesabia dakika zangu, ? na wala sikuchukua muda mrefu, nikajikuta nalimwaga uji zitoo lililokuwa limekaa ndani kwa miaka, bila kutoka, ? na hatimaye nikalitoa kwa shangwe na utamu mpaka kisogoni. ?
Lakini nilipomaliza hivyo, ? nilimuona Dija akinitolea jicho fulani la kufanya nijiongeze kuwa hakufika mahala popote, hivyo nikaanza kujiona mnyonge, ? na hapo nikamuona tena akianza kujaribu kuifuta pipe ya maji iliyokuwa imeloa, na kuibugia ili iweze kurudi katika hali yake ya ungangali. ?
Kwa bahati yangu ilikubari kurudi katika hali ya kutaka tena, ? baada ya juhudi za Dija kufanya kila alichokiweza kunirudisha katika ubora wangu, na hapo akanitengea chakula tena kuniachia sehemu zake za nyuma, ? na bila pingamizi nilianza tena kusugua ndani ya kisima, safari hii nikijitahidi kumridhisha Dija. ?
“ivo, ivoo Room..!,” ? Nilisikia Sauti yake nyororo ikimtoka, iliyonifanya nizidishe kuchochea moto uliokuwa umeanza kukolea, ? nisijue kama utazima mapema tena, na wala haikuchukua masaa, wala saa, ? wala nusu saa, walau ni robo nusu saa ambayo haikuzidi hata dakika 5 nikalimwaga tena. ?
Nilianza kujihisi mnyonge kwa hali hiyo, ? nikitamani kumridhisha Dija lakini nikishindwa kwa sababu nisizozijua, ? kwani huko nyuma sikuwa mbovu kiivo kusema kwamba hata nishindwe kufanya yaliyo mema kitandani ya kumfurahisha Dija. ?
Ingawa jogoo kweli alikuwa anawika, ? ikiwa ni juhudi za michezo ya Dija kujaribu kumwinua, lakini alikuwa hakai sana anakufa kabla ya kuchinjwa, ? na mpaka pale tulipokuja kumaliza, ikabidi niongee na Dija kinagaubaga. ?
“Honey!, samahani kwa kilichotokea, najua sijakutendea haki, ? pia sijapenda kuwa na hali hii kwani sikuwa makini sana na afya yangu, nilikuwa busy tu na kujijenga kimaisha nikisahau…..!!
nikisahau kabisa kama mwili unahitaji nini, ? nadhani wewe ni muelewa Dija, naomba unipe muda kuhusu hili suala ntalimaliza na litakuwa sawa, ila naomba sana usijisikie vibaya.” ? Nilikuwa nikijitahidi sana kumuelekeza Dija anielewe, kwani hata kwa upande wangu nilikuwa nayajua madhara endapo sitamridhisha Dija kitandani yatakuwa vipi. ?
“Ok Rom, nimekuelewa kwa hilo, na ni hali ya kawaida kwako?, kutokana na kazi zako, lazima mwili utadhohofika, ila niahidi tu kama wakati mwingine hautakuwa hivi.” ?
“Ooh!, nashukuru kwa hilo, naimani ntalifanyia kazi, Dija.” ?
Basi tulikubaliana na tukazidi kuongea usiku ule, ? tukaoga pamoja, na kulala kama mume na mke, ingawa usingizi ulikuwa ni wa mang’amung’amu sana. ?
Asubuhi niliposhtuka nilihisi kupapaswa mpini wangu, ? uliokuwa umetuna vilivyo, kutokana na hali ya ubaridi na kijoto hafifu cha asubuhi hiyo, ? kilichoifanya damu yangu kuchangamka na mpini wangu uweze kupokea damu vilivyo kutoka kila kona ya mwili nikijihisi mwenye nguvu sana kuliko usiku wa jana yake. ?
Akili na hisia za tendo zilinitawala, ? zikinituma niweze kufanya kile Dija alichokuwa anakipenda, ? kwani kwa hali ile ya ubaridi na joto hafifu ukichanganya na damu iliyokuwa imechemka haswa, viliniruhusu kushiriki tendo kwa wakati huo. ?
Nahisi asubuhi ya siku hiyo ilikuwa ni njema sana kwangu?, na ni asubuhi iliyoweza kunipatia heshima kwa upande mwingine, ? hata nikaweza kuthubutu kumfikisha Dija mahala pale, baada ya yeye kuanza kunichokonoa na kulimezea mate tango langu?, lililokuwa limekomaa vyema na tayari kwa kuliwa na msaidizi wake chumvi toka kisimani mwa Dija. ?
“Ooops!!!, Mmmmh” ? Ilikuwa ni miguno tu ndani ya kiwanja kilichotawaliwa na wachezaji wawili, ? mmoja akiwa na hamu ya kutaka kumlipa mwezake magoli aliyokuwa amefungwa jana yake, ? tena akiwa nyumbani kwake, basi kwa hamu ile nilikuwa najitahidi kuzisogeza karibu hisia zake zenye muwasho ndani yake?, kwa kusugua, kulamba na kutekenya kona zote za Kipapatio cha Dija, hata kabla ya kuingiza mpini wangu. ?
mechi ilienda vyema, magoli yakiwa ni bila bila, wote tukiwa hoi, tukajilaza kitandani, usingizi mzito ukatuchukua.
Asante kwa kufuatilia chombezo hili la Khadija Mtanuko


1 Comment
Hello, i believe that i saw you visited my site thus i came to “return the choose”.I’m trying to in finding things to improve my website!I guess its adequate to make use of some of your ideas!!