ALIJIKUTA MJANJA, SASA MATOKEO NI ……..
Nilipata mwanaume humu tu fb basi akanambia njoo tuonane njoo kwa nauli yako ukifika nakurudishia nikaenda tukacheki afya vzr tu tukalala bas bwana asubuhi naamka hapo kitandani gest nakuta hayupo kasepa nauli hajaach ht sh mia nikampigia akanambia hiyo ndo dawa ya wanawake wa fb Mimi nawakomesha wanawake wa fb kma nyie ukiingia anga zangu naichap nililia Sana walah a asee ndo hakili ikanambia nishaliwa kwa MKOPO asee nililia Sana siku hiyo siwez sahau asikwambie mtu maumivu niliyopata zaidi ya msiba
Kwakuwa Mimi sishindwi kitu nikafika home nikamcheki baba Asante niliinjoi akanijibu unataka Tena nikamjibu ndyo panga siku Nije shoo nimeieleewa tukagombana msamaha yakaisha ikapita Kama siku nikamtumia Kama sh elfu 7000 Kama zawadi tu anunue chochte akafurah akajua hili bwege bas siku ikafika nikaenda nikamwambia naomba unifatie japo chips ninanjaa baba nikamwambia pia naomba nitolee paswed niangalie video
akatoa na simu yake ilikuwa kubwa mno kwakuwa sikumuonesha kinyongo siku Ile ko hakuwa na wasi wasi akaondoka kufata chps nikachukua Pini nikaitoa laini nikaiweka kwenye kiti nikachukua sm aliacha mpka sweta lake nalo nikabeba mpka chaja alokuja nayo nikabeba lakin laini nikaiacha mezani pale kumbe kamwambia mhudumu a asiniruhusu nitoke nje bas Ile nafika kidg kwenye mapokezi Dada ananizuia usiondoke
kasema nikamwambia alipo nihapo chini kafata chips na sm yake hii niyakazi ko boss wake anapiga sana ko siwez jua anashida gani Ila mkoba wangu nitunzie chapu niliuweka vipodozi tu hakikiwemo na chochte sweta nilivaa maana lilikuwa Kali kinoma mtu yyte anavaa Ile kuona pochi naaacha akasema ok mkimbilie uwiii ndo bajaji mbio mpk sehemu flan nikatulia kesho ndo nipande magari e nikalala sehemu kesho nikasepa
Sasa akaweka lain kwenye sm ndogo akanipigia we mwanamke nakuomba rudisha sm yangu Kuna Mambo mengi humo chochte unachotaka nakupa nikamwambia hiyo ndo dawa ya wanaume matapeli we wakunila kwa mkopo Mimi akanambia naenda kuripot polisi nikamwambia nenda nanilikuwa na safari yakwenda Kagera nikauza huko huko hiyo sm Kama laki 3 nanusu walinipa japo ilikuwa Bei ya hasara lakin hainiumizi maana sikuinunua Mimi akanambia huezi kuiuza nakuambia japo box silioni Ila huizi nikamwambia nauza nachochte fanya nasiku nikutwe na lolote ndo siku nitakuonesha kuwa dhuruma kwa mwanamke haindi bure bas nikachukua zangu 3 nanusu laki zangu nikala.kufidia penzi langu wamapovu ruksa kabisa nawala sijali lolote.

