NDOA YA SITA, SINA MTOTO, MGANGA AMENIAMBIA…..
Habari Raha Special, naomba unipostie nipate ushauri, mimi ni mwanamke wa miaka 44, lakini sijawahi kushika ujauzito wala kuwa na mtoto naumia sana, kwani sjawahi kuwa na furaha kabisa nimekaa kwenye ndoa hii sasa ni ya sita wanaume tofauti wote wananiacha kisa sizai.
Mwezi wa kwanza nilienda kumtemberea mdogo wangu huko kijinini, akanishauri kuna mganga anatibu shida kama hizo nikakubari nikaenda turipofika mganga akanipima na kioo akasema mayai ninayo ila yako mbari akaniambia kama ninania nimperekee laki sita nitapona kabisa. Wakati huo mm sikuwa nahela nikarudi kusubiri hera yangu ya mchezo nikapokea nmepata hiyo laki sita.
Nimerudi kwa mganga, cha ajabu ananiambia dawa mpaka nilale nae ili anipitishie dawa asafishe njia, jaman naomba munisaidie sina hamu nakula sishibi mwenzenu


8 Comments
I¦ve learn a few just right stuff here. Definitely price bookmarking for revisiting. I surprise how so much attempt you place to make this type of magnificent informative web site.
Wow! This blog looks exactly like my old one! It’s on a totally different topic but it has pretty much the same layout and design. Superb choice of colors!
Good info and right to the point. I am not sure if this is actually the best place to ask but do you guys have any ideea where to employ some professional writers? Thanks in advance 🙂
wonderful post.Never knew this, appreciate it for letting me know.
You made some clear points there. I looked on the internet for the issue and found most guys will consent with your website.
I really appreciate this post. I?¦ve been looking everywhere for this! Thank goodness I found it on Bing. You’ve made my day! Thx again
Hey very cool site!! Man .. Beautiful .. Amazing .. I’ll bookmark your website and take the feeds also…I’m happy to find a lot of useful info here in the post, we need work out more strategies in this regard, thanks for sharing. . . . . .
Hello, i believe that i saw you visited my web site so i got here to “return the desire”.I am trying to in finding things to enhance my website!I guess its adequate to make use of some of your concepts!!