FUPI TAMU NENE INAKUNA VIZURI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, wasome hii hadithi
Sehemu 13
“ Utajuta kunidharau Fai. Utajuta nakuambia.” Aliniambia.
“ Hii mikwara tu.” Niliwaza. Maneno yake yaliniingia sikio moja na kutokea lingine.
Aliendelea kunichombeza .
“ aaaaaiiii…” Nilishtuka. Alinitia dole nyuma. Kisima changu kilitoa maji.
“ aaaaashiii..john…..taratibuu..…” Niligumia.
Kwa ustadi mkubwa aliniingiza vidole mbele na nyuma.
“ aiiiiii…….” Nililamika.
Maji ukeni yalizidi, nyege zilinipanda na kuvuka kiwango. Kinembe kilisimama kama mlingoti.
“.. Ni.fanyeee…nifanyee….” Nilimwambia.
Ni kama hakusikia nilichomwambia. Aliendelea na manjonjo yake. Hali yangu ilizidi kuwa mbaya. Nilimshika shingo na kumnyonya mate.
“ Niingizeeee…niiingizeeee….” Nilimwambia. Kitendo cha kutoniingiza wakati nimepandisha mzuka kilinipa mashaka.Nijikuta namchukia gafla. Nilijikuta kama napoteza muda bure.
“ Hivi nina kichaa au? Naanzaje kumwambia aniingize wakati ka nyoka kenyewe kadogo ?” Nilijiuliza. Nilimtazama John kwa chuki . Nyege zilinifanya nimchukue.
“ Ulisema utanifanya hadi nijuteee… nifanye sasa…” Nilimwambia.
John hakunijibu, aliendelea kunichombeza kwenye maungo yangu.
Nilimshika kichwa na kumtazama usoni.
“ Kama unawezaaa niiingize hiyo naniliu nione .Usiendeleee kunipandisha nyege bila ya kunipa dozi.”
Hakunijibu wala hakuniiingiza.
“ Aaaaaah! John mbona haunijibu. Sijafika hapa kuandaliwa. Nimekuja kufanywa . Nifanye tafadhali.Acha kunipandisha nyege bila tibaaaaa…”
Nilimtazama nyoka wake alikuwa vile vile, hakuwa na mabadiliko.
“ huyu atanipandisha nyege na kuniacha !” Niliwaza.
“ Niache nikajikande na maji ya moto.” Nilimwambia.
Nilimsukuma pembeni. Bila kutania nilizifata nguo zangu na kuzivaaa. John alinifata na kunishika mkono.Alinitaka nisiondoke.
‘ Kama hutaki niondoke nifanye basi…Nifanye harakaa….” Nilimwambia.
Nilijilaza kitandani na kutanua miguu .
“ Nifanye. Tayari nimeshajaaa nyege .Ona inavyotoa maji na utelezi. Nifanye harakaaaa. Nifanye…” Nilimwambia.
John alinitazama kwa aibu. Aliangalia pembeni. Wala hakunifata kitandani.
“ Hana lolote huyu.” Niliwaza. Nilivaa nguo zangu.Nilipiga hatua kuelekea mlangoni.Alinishika mkono.
“ Umeharibu taratibu . Sasa haitawezekana kufanya tena.” Aliniambia.
“ Hauna lolote. Hebu niache niondoke.” Nilimwambia. Alijaribu kunizuia. Alishindwa. Niliondoka.
Nikiwa njiani akili yangu iliwaza Jambo. “ Aliponiingia mara ya kwanza bila shaka aliniingiza kitu kingine. Kakibamia kake hakana nguvu kama ule ulioningia.” Niliwaza.
“ Sasa inakuwaje! Muda ule nilihisi ameniingiaza naniliua kubwa ,inakuwaje sasa niione ndogo?”
“ Halafu inakuwaje Zakia akimbie kale kakibamia?” Nilijiuliza..
“ Na kama kale kadogo kana nguvu kwanini ameshindwa kunifanya! Mtu tayari nina manyege yangu kwanini hajaniingiza?. Kwanini anakomaa kuniandaa tu.” Niliwaza. Sikupata majibu. Niliwahi nyumbani.
………………….
Nilifika.
Niliwasha moto na kubandika maji.
Nusu saa mbele niliyachukua na kwenda bafuni. Kwakutumia kitambaa safi nilijikanda ukeni.
“mmmmmmm…mmmmmmm…” Niligumia.Maji ya vugu vugu yalisaidia kupunguza mzuka niliokuwa nao.
…………………………….
Siku ya pili yake.
Asubuhi nikiwa natoka chumbani kwangu, nilikutana na binamu mlangoni.
“Hawa wanaume sasa wamekuwa wakatili sana.” Aliniambia.
“ Kwanini?”
“ Kuna tukio limetoa usiku wa leo kwenye lodge ya pale juu. Nashindwa kulielewa kabisa.”
‘ Tukio gani?”
“ Kuna muhudumua kafanywa vibaya kweli. Yaani jamaa kamfanya hadi sio poa.
Yule dada anaweweseka mpaka saizi.”
‘ Mmmmh! nani huyo aliyemfanya hivyo? Ni mwanaume wake au?”
“ Sio mwanaume wake. Kuna mgeni alipanga pale. Inasemekana alikuwa na mpenzi wake ila mpenzi wake aliondoka kabla hawajafanya lolote, hivyo alimtongoza muhudumu na kulala naye.”
“ Ngriiiiii….’ Kengele ya hatari ililia kichwani kwangu.
“ Huyo mwanaume ni nani? Ni john au?’ Nilijiuliza.
“ Lakini hapana. Haiwezekana akawa John. Kanyoka kake kadogo sana. Hakawezi kumfanya mtu mapaka ikawa shida hivyo.” Niliwaza.
Nikiwaza hayo, gafla, alitokea mtu nisiyemtegemea.Alikuwa anahema. Ni kama alitoka kukimbizwa.
“ John…..” Nilijikuta nimetamka.
Sehemu 14
Nikiwaza hayo, gafla alitokea mtu nisiyemtegemea.Alikuwa anahema. Ni kama alitoka kukimbizwa.
“ John…..” Nilijikuta nimetamka.
“ mmm…mmmmm…mmmmmmm” Alihema kwa nguvu John.
“ Kuna nini “
Kabla hajanijibu, alipitiliza ndani.
“ eeeh! Wewe kaka vipi? Hebu toka. Toka ndani kwangu harakaaaa…” Aliongea binamu.
“ John huo si utaratibu. Unaingiaje ndani bila ruhusa. Sio sawa kabisa.” Nilimwambia huku nikimfata kwa nyuma.
“ Kimetokea nini kwanza?”
‘ mmmmm…mmmmm…” Alihema.
Gafla, tulisikia kelele nje.
“ Atakuwa kaingia hapaaa…” Kijana mmoja aliongea.
John kusikia sauti, haraka aliinama na kuingia chini ya meza. Nilimshika na kumvutia nje ya Meza. Nilimpa ishara aingie chumba cha mbele. Nilifatana na binamu kutoka nje.
“ Kuna nini?” Binamu aliwauliza wale vijana.
“ Kuna kijana tunamtafuta. Hamjamuona hapa?” Walituuliza.
Binamu aligeuka kuniangalia. Nilimbinyia jicho.
“ Hakuna tuliyemuona hapa.” Aliwajibu.
“ Daaah! katupotea wapi? “ Waliulizana wale vijana.
“ Jamaa inaonekana anadawa kiboko sana. Ningempata lazima angenipa.” Aliongea kijna mwingine.
“ Ningeipata dawa yake suzy angenikoma sana.Yule demu kanichafua sana mtaani. Kanitangazia simfikishi.” Aliongea Kijana mwingine tena.
Huku wakiendelea kuzungumza waliondoka. Ile kuondoka tu. Binamu alinishika mkono na kunivutia pembeni.
“ Unauhusiano gani na huyu mtu?”
‘ Nitakuambia bina, acha tumsikilize kwanza .” Nilimwambia. Nilimwacha Binamu akiwa kasimama nikaingia ndani. Niliingia kwenye chumba nilichomwambia John aingie. Ajabu, hakukuwa na mtu.
“ Ameenda wapi tena?” Nilijiuliza. Niliangaza kushoto na kulia sikuona mtu.
Gafla, John alijitokeza uvunguni.
“ eeeeh! Ulijificha uvunguni.”
“ Naomba nisaidie Fai. Kwa siku kadhaa nikae hapa. Mambo yakitulia nitaondoka kurudi nyumbani.” Aliniambia.
“ Ukitaka nikusaidie niambie ukwei.Kitu gani kimetokea?”
‘ Wananisingizia.Wanasema nimembaka muhudumu wa lodge. Ila mimi sijafanya hayo. Sijabaka mtu . Nazani unajua mimi sio mbakaji.”
“ Lakini kwanini wakutafute wewe? Halafu inaonekana wanataka dawa yako. Hivi ni kweli unatumia dawa?”
“ aaaa…aaaaaa….aaaa…eeee….” Alijiuma uma bila kuongea lolote. Nilimfungia chumbani nikatoka nje. Nilimwambia binamu akija Mtu kumuulizia aseme hayupo. Niliondoka kuelekea Lodge.
……………………….
Lodge nilikuta watu wengi.Kila mmoja aliongea lake.
“ Nyoka gani wa kumfanya vile? Huyu hajafanywa.” Aliongea kijana mmoja.
Niliwapita.Nilijipenyeza penyeza mpaka ndani.
Nikiwa kwenye varanda, nilikutana na dada wa mapokezi.
‘ Eeh! Halafu jana usiku si ulikuja na yule jamaaa? Afadhali ulikimbia, ungekubali akufanye ungejuta.Nenda chumba cha mwisho ukamuone mwenzio alivyofanywa.” Aliniambia.
“ Mmmmmh!” Niliguna.
Nilipiga hatua mpaka chumba cha mwisho. Nilisukuma mlango na kuingia. Nilimkuta dada mmoja akiwa kalala chini na kutanua miguu. Mwenzake alikuwa akimpepea na kanga.
“ Inamaana toka alivyofanywa usiku naniliu yake inawaka moto hadi saizi?’
Nilijiuliza.
“ Unashida gani?’ Aliniuliza yule dada aliyekuwa anampepea mwenzake.
Kabla sijamjibu, aliingia dada wa mapokezi.Aliwaeleza mimi ndiye mtu wa kwanza kuingia na yule mwanaume .
“ Mmmmh! yaani ulifanya mapenzi na yule kaka na bado upo sawa?” Waliniuliza.
Niliwatazama bila kuelewa niseme nini. Nikiwa nawatazama, nilikodoa macho katikati ya mapaja kuungalia uke wa yule dada.
“ Eeeeh!” Nilistaajabu. Ulikuwa kama wangu baada ya kutoka kufanya mapenzi na John.Haukuonesha kama ametoka kufanya mapenzi.Pamoja na damu kutapakaa ukeni pake, lakini uke wangu haukutanuka. Ulikuwa umebana kama hajafanya mapenzi.
“ Ukiangalia uke wake unaweza kuzani hajafanywa.” Aliongea yule dada.
Gafla, shauku ilinipanda zaidi. Bila kuaga niliondoka kurudi nyumbani. “ Huyu John leo atanieleza. Kwanza ni lazima atakuwa mchawi tu.”
Niliwaza.Nilitembelesha kurudi.
……………..
Nikiwa nakaribia.Nilisikia sauti iliyoniacha mdomo wazi.
“ ..aaaaaashiiiii…aa….”
“ Niiingizeeee…niiingizeeeeeeeee…….” Nilimsikia Binamu akipiga kelele.
“Anafanya mapenzi na nani? Hapa si nilimwacha na John.” Niliwaza. Haraka nilipiga hatua kuelekea dirishani.
“ MUNGU nisaidie ninachowaza kisiwe chenyewe.” Nilijiambia. Nilisogea dirishani na kuchungulia ndani.
“ eeeeeh” Nilishtuka.
Sehemu 15
“ Eeeeh!..” Nilishtuka.
Binadamu alikuwa amewekwa staili ya mbuzi kagoma. Niliyaona makalio ya mwanaume. Sikumjua nani.
“ Huyu John au?” Nilijiuliza.
“…aaaaaa…..aaaaaiiiiiishiiii…” Binamu alilalamika.
“ Huyu nani?” Nilijiuliza tena.
“ aaashiiiiiii …J…..nifanye kwa raha zakooo……..” Alilalamika Binamu.
“ Yote yako…..Nifanye utakavyoo….”
Jamaa alijikunja akawa anamfanya kiupande upande.
“ aaaaa.hapo…hapo..aaa…ha…po…a..hapo…..”Alilalamika Binadamu.
Baaada ya kumuangalia kwa muda mrefu.Licha ya kunionesha mgongo. Nilimjua yule jamaa. Alikuwa Juma, ambaye ni fundi kujenga jirani yetu . Mara nyingi alikuwa akija pale nyumbani. Sikuwahi kufikiria kama anauhusiano na Binamu.
“… na…ko…jo…aa.……” Alilalamika Juma.
Haraka binamu alijigeuza shingo na kumvamia mdomoni. Alianza kumnyonyoa ulimi. Walinyonya huku wakigumia kwa mahaba.
Kwa mbali naniliu yangu ilianza kuvuta kwa ndani.
“ Najipa nyege bila sababu.” Nilijiambia. Nilitoka dirishani na kuelekea chumbani kwangu.Sikumkuta John. Niliinama kuchungulia uvunguni. Hakuwepo.
‘ Kaenda wapi huyu?” Nilijiuliza huku nikijilaza kitandani.
“ aaaaa…aaaaaa….” Kelele za mahaba kutoka chumbani kwa binamu zilinifikia. Nilijiziba masikio.
“ aaaishiiiii…aaaaa…hapo….aaaashiii..aaaaaiiiii…” Niliendelea kuzisikia. Niliamua kusimama na kutoka nje. Niliongoza njia kuelekea nisikokuelewa.
…………………..
Nikiwa mbali kidogo na nyumbani nilikutana na Fred. Rafiki yangu wa utotoni na shemeji yangu kwa shoga yangu wa utotoni aitwae Zena.
“ Fred za miaka?”
“ Safi Fai, shwari?”
“ Mi nipo poa, naona unanawili tu. Bila shaka shoga yangu Zena anakuhudumia vizuri .”
“ Aaaah! kwani hujasikia? Mbona zena nilishaachana naye .”
“ Kwanini sasa mliachana? Au ndio yale maneno ya mtaaani?”
“ Maneno ya mtaaani? Maneno gani?” Aliniuliza.
“ Kuna story niliwahi kuzisikia kuwa unaliaga wakati wa tendo. Watu wanasema Zena alikuacha kwa sababu hiyo.” Nilimwambia.
Badala ya kunijibu aliangalia chini kwa aibu.
“ eeeeh samahani shem. Nimeongea maneno makali sana. Naomba nisamehe shemeji yangu.” Nilimwambia.
“ Usijali, ila naumia sana kuambiwa hivyo.Hivi shoga yako alianzaje kunitangazia maneno ya uongo kama hayo? Ona alivyonichafua. Hadi watu ninao waheshimu mnajua. Mbona hii aibu sana.”
“ Hupaswi kuwaza hayo. Hupaswi kuumia kwa maneno ya kuzingiziwa.”
“ Hapana. Hayo maneno yananikera sana. Kila anayeniambia huu upuuzi lazima nimthibitishie kuwa sipo hivyo.” Aliniambia. Alinisogelea na kunishika shingo.Alileta mdomo wake mdomoni kwangu na kuanza kuninyonya mate.
“ mmmh! “ Niliguna na kumsukumia pembeni.
“ Mambo gani haya?”
Hakunijibu. Alinisogelea na kunishika kiuno.Alinivutia kwake na kuanza kunichombeza maeneo mbali mbali ya mwili wangu. Nilikuwa mpole.Nyege nilizozipata baada ya kushudia mechi ya shangazi na Juma zilinifanya nisifanye kitu.
“aaaa…usinishike hapo…aaaa…aaiiiii…” Nililalamika.
Ni kama nilimwambia aongoze manjonjo hivi, sekendu kadhaaa tu nilijikuta nipo hoi. Alinishika mkono na kunivutia kwenye kichaka pembeni. Sikuwa mbishi. Nilimpa uhuru afanye atakacho.
“ Aliyekuambia naliaga alikudanganya. Utaona le. Me uwa siliagi.” Aliongea huku akinichojoa nguo.
Alijitemea mate mkono na kumpaka nyoka wake. Alinishika vizuri na kutaka kuniingiza.
Miyuuuuu, iliingia yote. Sikushangaaa. Nilianza kukizungusha kiuno .
“ aiiii….aashiiii..iiii…” Niligumia kila alipoingiza vizuri.
“ Si nilikuambiaaaa….mimi siliiii…mimi siliiiii huko…mimi siliiiii…” Aliongea Fred huku akinifanyaaaa.
“ ..ni kweli Fred..Haya nifanye sasa..aiiii……..” Niligumia.
Kadri muda ulivyoenda utamu ndivyo ulivyozidi.Uke wangu ulijaa utelezi. Naniliu yake iliteleza kama kambale. Niligumia na kukata kiuno kama nipo kwenye mashindano.
Muda ulivyozidi kwenda mbele, ndivyo Fred alivyokuwa ananionesha maajabu. Alinyanyua mguu wangu juu. Alilala kwa pembeni kidogo.Alijitemea mate mkononi na kujipaka kwenye naniliu yake.
Aliniiingizaaaaa tena.
Ajabu, ile kuniingiza tu…..
Sehemu 16
Ajabu, ile kuniingiza tu. Aliniangukia mzima mzima.
“ Eeeeeh!” Nilishangaaa. Nilimsukumia pembeni. Kama mzigo alianguka chini.
‘ Fred..fred….” Nilimwita huku nikimtikisa. Macho aliyatoa kama kaona mzimu. Hakutikisika wala hakuonyesha dalili ya kuelewa kinachoendelea.
“ Amezimia?” Nilijiuliza. Nilijilaza kifuani kwake na kusikiliza mapigo ya moyo .
Alikuwa amezimia. Haraka nilivaa nguo zangu. Akili yangu iliniambia nikimbie. Niliangaza kushoto na kulia .Hakukuwa na mtu.
Nilijiandaa kutimua mbio. ile nimenyanyua tu mguu , Mguu wangu ulishikwa. Niligeuka haraka kutazama nyuma.
“ unanikimbia?” Aliniuliza Fred. Alikuwa amepata fahamu.
‘ Niache niende.” Nilimwambia.
“ Hapana. Hauwezi kuondoka mpaka tufanye .”
“ Tufanyaje wakati ulizimia. Afya yako ni dhaifu.”
“ Sikuzimia. Hizi ni swaga tu. Sema hukuelewa.” Aliniambia. Alisimama na kunisogelea mdomoni. Alitaka kuninyonya mate. Nilimsukuma pembeni.
“ Hapana Fred. Kwanza nilifanya makosa kutaka kufanya mapenzi na wewe. Wewe ulikuwa mpenzi wa rafiki yangu . Sio busara kufanya mapenzi na wewe.’ Nilimwambia.
“ Lakini si ulisema naliaga.Nataka nikuoneshe siliagi.” Aliniambia huku akinipapasa mkono wangu. Nilimtazama bila kuelewa nifanye nini.
“ Huyu mshenzi anaweza kunifia hapa. La msingi ni kuchukua hatua. Kuendelea kumchekea anaweza kunipa matatizo. Hata kama ninanyege sipaswi kuwa rahisi kwake.” Niliwaza.
Nilitafuta upenyo.Niliupata. Nilitimua mbio. Hatua kadhaa mbele nilidakwa na mtu ambaye simfahamu.
“ Nimekukamata. Mlikuwa mnafanyana kwenye shamba langu. Ndio mana sipati mazao. Mnaweka gundu shambani kwangu.” Aliniambia.
“ Mimi nilikuwa sifanyani. Yule alikuwa anataka kunibaka .”
“ Acha kujitetea kipumbavu. Mlikuwa mnafanya mapenzi. Hapa mguu kwa mguu nakupeleka ofisi ya kata”
“ Unipeleke ofisi ya kata kwa kosa gani?”
“ Kosa ni kufanya mapenzi hadharani.Tena kwenye shamba la mtu. Hili ni kosa kubwa sana kisheria.” Aliniambia. Alinishika mkono na kunivuta.
“ Usinidhalilishe hivyo.Naomba nisaidie. Sitarudia tena.”
Wakati jamaa akiwa bize na mimi. Fred pale chini alisimama na kuvaa nguo zake. Badala ya kuja kunisaidia alitimua mbio.
“ Jamaa amekukimbia.” Aliniambia .
“ Nisaidieeee…”
“ Nitakusaidia ukiwa tayari kunisaidia .”
Kabla sijamjibu aliniingiza mkono ikulu . Niliudaka na kuutoa.
“ eeeh! Kumbe hautaki. Twende ofisini.” Alinishika mkono na kunivuta.
“ Hii mbona aibu.Kupelekwa ofisini kwa kesi ya kufanya mapenzi maporini? Mbona aibu sana.” Niliwaza.
Nilimshika mkono na kumtaka tuongee. Alikataaa. Aliniambia ni lazima anipeleke kijijini.
“ mmmh! Hapa hamna namna?” Niliwaza.
Niliamua kutumia silaha ya asili. Nilimvutia kwangu na kumnyonya mate.
“ Mambo si haya.” Aliniambia. Hakushangaa. Alijibu mapigo. Alichombeza sehemu hatari.
“ Ashiiiiiiiiii…” Niligumia.
“ ..Ta…ra..ti…buuuu…..” Nilimwambia.
Haraka alivua shati lake na kulitandika chini. Alinishika na kunikalisha chini. Alinivua nguo za chini. Alivua zake kisha akanisogelea . Alimshika nyoka wake na kuniwekea mdomoni.
Sikushangaa.Nilianza kuimba naye.
‘’’…..tamuuuu…” Nilimwambia.
“ aaaaa….aaaaaaa….aaaaaa…” Alilalamika.
Alinitanua miguu.
‘Eeeeeeeh!” Alishtuka baada ya kukiona kisima changu. Aliniangalia usoni kisha akaguna.
“ Vipi?” Nilimuuliza.
“ Hamna kitu. Naomba vaa nguo zako uondoke…” Aliniambia.
Sehemu 17
“ Niondoke kivipi?” Nilimuuliza.
“ Nimegairi. Vaa nguo zako uondoke.” Aliniambia. Alisimama na kuvaa zake.
“ Hii inamaaa gani? Huyu sio mtu wa kwanza kuniambia niondoke baada ya kuona kisima changu. Kina nini!.” Niliwaza. Nilikumbuka tukio la Husein na mkewe. Nilikumbuka pia tukio la Mke wa John na jamaaa yake.
“ Hata kuzimia kwa Fred inawezekana kuna uhusiano na kisima changu?” Niliwaza.
Yule mkaka aliondoka.Aliniacha nikiwa na mengi. Kinyonge nilipiga hatua kurudi nyumbani.
“ Hakuna anayefanya mapenzi na mimi mpaka mwisho. Wengi wanaishia njiani.
Wengine wanagairi kabla hata ya kuniingia.” Nilizidi kuwaza.
Nikiwa nakaribia, nilikumbuka kitu.
“ Nilimwacha binamu na jamaa yake wanavuja amri ya sita. Nikienda si nitawakuta bado?” Nilijiliuza.
Nilijipa moyo. Niliamini watakuwa wamemaliza. Nilitembelesha kuwahi.
Nikiwa nakaribia nyumbani, kwa mbali nilimuona Zena. Mpenzi wa zamani wa Fred.
“ Ngoja nimuulize. ” Nilijiambia.
Nilimsogelea.
“ Shogaa za siku..”
“ Safi shoga yangu. Naona umekuja kutusalimia.” Aliniambia.
“ Nimeona nije kuwatembelea mara moja moja. Unajua hapa ni nyumbani.Sipaswi kukaa sana bila kuja.”
“ Wazima lakini?”
“ Mmmmh! huko wazima shoga yangu sijui nyie huku. Vipi shemeji yangu Fred mzima?” Nilimuuliza.
“ Aaaaah! Fred mbona nimeachana naye kitambo sana. Sina mahusiano na Fred.
Mwanaume gani analia kama mtoto.Shughuli ikikolea analia kama msiba banaaa.”
“ Kwahiyo umemuacha kwasababu ya kulia tu?”
“ Ndio shoga yangu. Nilivumilia nikachoka . Nikaona changu nini? Ni bora nitafute mtu mwingine. Kibaya zaid ni jinsi anavyolia.Angekuwa analia kwaswaga kidogo ningevumulia. Lakini yeye analia vibaya.”
“ Duuuuh! Mimi nilijua labda kuna lingine. Maana nilisikia ulimwacha kwakuwa anazimia wakati wa tendo.” Nilimwambia kwa mtego.
“ Hapana shoga yangu! Fred wala hazimiii,. Shida ya Fred ni Moja tu.Nayo ni kulia.
Majibu yake yalimaanisha kuzimia kwa Fred kumetokana na mimi, wala sio kwamba anatatizo
“ Kwa hiyo Fred alizimia kwasababu yangu! Kitu gani kilimfanya azimie?” Nilijiuliza moyoni. Sikupata majibu. Niliagana na Zena nikaelekea nyumbani.
Nilimkuta Binamu anatoka bafuni kuoga.
“ Saizi mwepesiiiiiiii ..kama karatasi…” Nilimwambia.
“ Kwanini unasema hivyo?” Aliniuliza.
“ Mmmmh! Binamu bana. Kwani mimi mtoto. Yale mambo si tunafanyaga ili kupunguza uzito au?”
“ Kumbe ulikua unapiga chabo! Tabia mbaya kunichungulia mwenzio.”
“ Halafu yule mtu niliyekuacha naye hapa yuko wapi?” Nilimuuliza.
“ Mmmh! Yule mtu hata sielewi. Ameondoka kiutata sana. Kwanza ni nani yule? Kwanini wale vijana walikuwa wanamkimbiza?.” Aliniuliza. Kabla sijamjibu . Aliniuliza nilichogundua baada ya kwenda lodge.
Nilimueleza.
Niliongea naye story mbili tatu.Nilimwacha nikaingia chumbani kwangu. Kichwa changu kilikuwa na maswali mengi kuhusu alipo John. “ Hivi John ananini? Kwanza ametokaje hapa? Pia inakuwaje kale kakibamia kake kaharibu watu? Zakia akimbie na chupi? Yule dada wamfanya hadi wampepe? Inawezekana vipi kale kakibamia kakafanya yote haya? Halafu mbona ilipo ingia kwangu haikuwa kama kale kakibamia? Aliiniiingiza nini?” Niliwaza.
Nilijiuliza mengi. Kubwa zaidi lililoniumiza kichwa ni kitendo cha wanaume kughairi kufanya mapenzi.
“ Kuna nini kwenye uke wangu kinachowafanya waghairi?”
“ Kipi kilichomfanya Fred azimie?” Nilijiuliza. Nilikosa majibu. Nilivua nguo zangu na kukitazama kisima changu bila majibu.
“ Au mke wa John na yule Jamaa yake wamenifanyia kitu? Mbona haya mambo zamani hayakuwepo?” Nilijiuliza. Nilijilaza kitandani huku nikiwaza.
…………………………
Usiku wa manane.
Nikiwa nimelala ,nilihisi kitu Sehemu zangu za siri. Taratibu nilifungua macho kutazama.
Sehemu 18
Nilifungua macho kutazama. Huwezi amini.Nilimshuhudia john akikinyonya kisima changu.
“ Eeeeh!” Nilistaajabu.
kabla sijafanya lolote. Aliniziba mdomo.
Nilijaribu kujitingisha nimtoe nilishindwa. Niliutikisa mwili wangu na kujaribu kumsukuma . Nilishindwa pia.
“ Hatupaswi kutumia nguvu nyingi kusukumana . Ni vyema hizo nguvu ukazitumia kwenye kazi iliyokuwa mbele yako.” Aliniambia.
Kwa ishara ya kichwa nilimwambia aniachie sitapiga kelele. Aliniachia.
“ Maneno yako yaliniumiza sana. Nahitaji heshima kutoka kwako. Naomba tufanye kile tulichoshindwa kukifanya lodge.” Aliniambia.
“ Kuna vitu nahitaji kuvijua.” Nilimwambia.
“ Vitu gani?”
“ Ni kuhusu hicho kibamia chako. Kwanza yule dada wa lodge umemfanyaje fanyaje? Au ndio dawa kama walivyosema wale vijana? Na inakuwaje umfanye hadi kumtoa damu halafu uke wake uwe vile vile?”
“ Na hilo sio yeye tu. Hata mimi ulivyonifanya. Nilijiangalia na kuukuta uke wangu upo vile vile.” Nilimwambia.
Kabla hajanijibu niliendelea.
“ Halafu Mkeo aliwahi kuniomba dawa ya kukutibu kibamia chako .Pia kuna shoga yangu anaitwa Ashura. Aliniambia alikataa kufanya mapenzi sababu ya kibamia chako.” Nilimwambia.
“ Kwahiyo?”
“ Kwahiyo nataka kujua, inakuwaje mkeo akalalamika na baadhi ya watu wakakulalamikia halafu wengine uwafanyae mpaka wajute?”
“ Mmmmh! nani niliyemfanya hivyo?”
“ Mbona unanirudisha nyuma. Nilishakutajia. Zakia ulimfanya mpaka akakimbia.
Muhudumu wa lodge naye hivyo hivyo.”
“ Njia ya kuyajua hayo yote ni kufanya mapenzi.Usingeleta dharau na kuondoka lodge saizi ungekuwa umeshajua. ” Aliniambia.
Kauli yake iliufanya moyo wangu ukae njia panda. Upande mmoja uliniambia nikubali kufanya , upande mwingine uliniambia anaweza kuniharibu ikawa aibu.
“ Hapana. Nipunguze uwoga.Kale kakibamia kataniharibu vipi?” Nilijiuliza.
“ Dawa ya kujua kila kitu ni kufanya naye .Hakuna dawa nyingine zaidi ya hiyo.” Nilijiambia. Bila kupoteza muda nilimvamia. Nilimshika kichwa na kuanza kumnyonya mate.
“ Hapana.Mambo hayaendi hivyo Fai. Kama umekubali naomba tulia. Tulia na ufate maelekezo yangu.”
“ Maelekezo.Kwenye mapenzi kuna maelekezo?”
“ Ndio, kila mwanaume anautaratibu wake. Utaratibu wangu sitaki ufanye lolote. Nataka ukae kama gogo. Tena ikiwezekana ufumbe macho. Kama hutaki kufumba macho naomba tuzime taaa.”
“ Mmmmh! mbona kama kuna kitu hutaki nikione?’
“ Ni utaratibu wa kawaida .Kama unataka kuenjoy penzi langu itakupasa kuufata.” Aliniambia.
“ Sawa .Nitafumba macho.Lakini jua kibamia chako nilishakiona Kule lodge.” Nilimwambia.
“ Ishu sio kukiona kibamia.” Aliniambia.
Alinilaza kitandani.
Nikiwa nimefumba macho, taratibu alianza kunipapasa .Akiwa ananipasa nilihisi ubaridi Fulan, ni kama alikuwa ananipaka mafuta. Nilitamani nifungue macho nione lakini nilijizuia.
Taratibu alianza kunilamba ikulu .Mishipa ya ikulu ilianza kupata joto. Ilivuta. Aliendelea kuuchezesha ulimi huku akizibinya chuchu zangu. Kwa kutumia ulimi alinilamba kutoka ikulu hadi kwenye kitovu. Alikitemea mate kitovu na kukinyonya .
Mwili wote ulisisimka.Alikiacha.Taratibu aliendelea kunilamba mpaka kifuani. Alilibinya ziwa moja na kuanza kulinyonya.
“ aaaaaa….aaaaashiiiii….” Niligumia.
Aliniacha. Alishuka kitandani. Alinivuta mikono yangu nikanyanyuka . Alinikumbatia kwa nguvu na kuanza kulinyonya shingo langu, alilinyonya kwa nguvu huku akinipapasa mgongoni, wakati mkono wa kushoto ukinipapasa mkono wake wa kulia ulikuwa ikulu.
Aliniingiza kidole cha kati.Alikiingiza hadi ndani kabisa.
“ mmmm….mmmm….” Niling’ita.
Aliniachia.Alinilaza kitandani na kunitanua miguu.
“ ..na…na…ku..i..ngi..za…sasa….” Aliniambia.
Nilitulia tuli.Akili yangu iliwaza ananiingiza nini.Ni kale kakibamia au lah.Pia niliwaza kitatokea nini? Je naye atazimia kama Fred au lah.
Shauku ya kujua ilikuwa kubwa.Nilishindwa kuvumilia.Taratibu nilifumbua macho na kuchungulia.
INAENDELEA…………..