CHOMOA NIJAMBE
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, wasome hii hadithi
Sehemu 06
“Karibu sana, umesema unaitwa dada nani vile, nimeshasahau?”
“Naitwa Hilda” aliongea huku akicheka cheka kwa aibu
“Ooh Hilda, sitasahau tena hebu nikupokee beseni”
“Hamna kaka yangu nitalishusha tu mwenyewe”
“Usijali, umechoka sana acha nikusaidie tu” nilimwambia nikilishika beseni lake la mboga za majani na kumtua nikiliweka pembeni chini kisha
“Asante sana jamani”
“Pole, kama unajisikia kujimwagia maji bafuni pita hapo”
“Halafu kweli maana nimechelewa kuamka mpaka nikaacha kuoga nikatoka mbio mbio kuwahi barabarani”
“Uwe huru lakini ngoja nikuletee khanga ya kujifunga”
“Kwani una mke?” aliniuliza aliposikia nataja khanga
“Hapana sina mke, kwanini?”
“Hamna, basi tu”
“Nishaelewa, umesikia nimetajs khanga ndo ukahisi labda nitakuwa nina mke eeh?”
“Hamna kaka yangu”
“Sina bwana ila khanga ni ya dada yangu alikuja akaisahau, mimi nipo single, wewe si ndiye uliyeolewa”
“Unadhani nimeolewa basi kaka, mimi naishi tu na limwanaume limenitoa nyumbani hata mahari halijanilipia mpaka leo”
“Oooh usijali, atakuoa tu”
“Aaah wapi”
“Ila umeumbika sana, hongera”
“Asante jamani kaka na wewe una maneno?” aliongea kwa aibu huku akitafuna vidole vyake
“Ukweli lazima usemwe”
“Eti eeh?”
“Yah, kaoge tu halafu utakuja basi kunipa au?”
“Sawa” aliitikia nikamwacha akaingia bafuni na nguo zake huku akiwa na khanga niliyompa ajifunge akienda bafuni kuoga nikamsindikiza kwa macho nikimtazama matako yake makubwa yaliyokuwa yananesa nesa mpaka alipoingia kabisa, nami nikarudi kukaa kwenye kochi (sofa) langu moja la watu watatu lililojikunja kama herufi ‘L’
Moto ulikua unawaka kiunoni, ndani ya bukta bado dudu🍆linagonga gonga kwa uchu na hasira ya kufukunyua nikaona kama anachelewa kutoka bafuni, nikaona isiwe tabu nikakifuata kijichupa cha mafuta taratibu na kuondoka nacho ili kuelekea bafuni nikichukua na dawa ya kupaka nywele ili kumzugia nikagonga mlango wa bafuni akaufungua kidogo akiwa na povu la sabuni
“Abee”
“Kuna dawa hii ya nywele sijui unatumia”
“Mh sijawahi”
“Ijaribu tu”
“Asante jamani” aliipokea kiganjani nami nikamtekenya kidogo kwenye kiganja akacheka cheka
“Ooh na kuna shampoo nimeiweka hapo juu sijui kama utaifikia ngoja nikutolee” niliufungua mlango wa bafuni na kuingia akajiziba matiti yake kifuani akiwa bado na povu la sabuni huku kwenye uchi wake akipasahau kupaziba nikajifanya sijamwona nikapita mpaka kwa juu na kuitoa shampoo kisha nikageuka na kumwona nikijifanya nimeshtuka
“Jamani kaka” aliongea akijificha na kunipa mgongo akiwa uchi hana nguo, kwa aibu akiwa hajui kuwa ndo anazidi kunitia uchu na kuusumbua mwili wangu zaidi nikamsogelea na kumshika kiuno nikisimama kwa nyuma yake akiwa na povu la sabuni mwilini, dudu🍆 langu likimgusa gusa kwenye kiuno chake
“Vipi naruhusiwa kukuogesha?”
“Jamani kaka, kuniogesha tena?”
“Eeh Hilda au ni vibaya”
“Hamna siyo vibaya” aliongea kwa aibu huku akiwa bado amejishika matiti yake kifuani kuyaziba akisahau kuwa huku kwingine kupo wazi, nikachukua sabuni na kuanza kumpaka taratibu nikimwongeza povu, nikaitoa mikono yake kifuani na kuanza kumpaka mpaka kwenye matiti yake, akianza kuhema hema nami nikavua bukta na singlendi yangu kimya kimya nikibaki uchi kama yeye, nikamkumbatia kwa nyuma huku nikisogea nae kwenye bomba la maji ya mvua ambalo hakuliona na wala hakuligusa nadhani hakujua matumizi yake, nikalifungulia maji taratibu yakaanza kutumwagikia huku nikiendelea kumtomasa tomasa tukiwa tumesimama, mkono wangu mmoja ukiwa kifuani mwake nayapapasa papasa matiti yake na kuzivuta vuta chuchu, nikamwacha kwanza na kuyafuata mafuta niliyoyaacha kwenye mfuko wa bukta yangu nikarudi nayo na kuyadondoshea mkononi kisha nikajipaka taratibu kwenye dudu langu kulifanya liteleze, huku nae nikimpaka kwenye matako yake makubwa ambayo ndio ugonjwa unaonisumbua haswa na kunikosesha amani, nikamwinamisha akashika ukuta huku nikilifunga bomba la maji taratibu yasije yakaharibu mchezo, kama kawaida nikamwingiza dole la kati🖕taratibu ili kupima oil
“Aaasssh jamani”
“Pole inauma?”
“Hamna umenitekenya”
“Pole taratibu tu” nilimjibu na kumgeuza akiwa ameinama ili atazamane na dudu langu akalishika na kuanza kulinyonya kwa aibu huku nami mkono wangu nikiwa nimeupitisha katikati ya matako yake makubwa nikiwa nimemwingiza dole la kati🖕nikilizungishia kwa ndani, dakika saba zikiwa zinakaribia kukatika na dudu🍆likitetemeka kwa uchu wa kumsugua dada huyo muuza mboga mboga ambae nilimgeuza taratibu na kumwinamisha akashika ukuta tena, taratibu nikaligonga gonga dudu langu kwenye matako yake makubwa na kuanza kuingiza kichwa kwenye mkun** wake,
“Uuuwiii jamani!” alilalamika huku akiwa amegeuka ametoa macho kama anataka kuchomwa sindano na nesi…..
Sehemu 07
“Jamani kaka wewe” dada huyo wa kikurya alilalamika wakati nikilichomeka dudu🍆 taratibu kwenye mkun** wake tukiwa bafuni huku nikilishika shika kwa chini kwenye koroda** zangu nikilisukuma taratibu huku nikihisi raha ya ajabu, mwili ukinitetemeka mithili ya shoti ya umeme, ikiwa ni mambo yangu ambayo nimejikuta nayapenda sana kuliko starehe yoyote ile, hata uchi sikua na uchu nao tena,
“Pole, taratibu tu, taratibu, unaumia?” nilimwuliza
“Hamna kidogo tu” alinijibu, dole la kati nikalipitisha kwenye uchi wake uliokuwa umelowana nikiushika shika tu na kumwinamisha zaidi akipanua matako yake makubwa ambayo ni ugonjwa unaonisumbua unaonifanya niwe mtumwa (addicted) nikamshika vizuri tako la kulia na kushoto mwanadada huyo wa kikurya muuza mboga mboga, nikiwa nimeyapanua na kuyawamba, dudu likiwa limeingia robo tu, likiwa halijapita kwa shida sana kama ilivyokuwa kwa dokta Modesta, yule mwanamama ambae kwake ilikuwa mara ya kwanza kufanya mchezo huo, kwa huyu inaonekana amewahi kuucheza lakini mara chache
“Vipi kwani hujawahi kabisa kufanya?”
“Hamna sijawahi”
“Mh mbona inaonekana siyo mgeni kabisa, mlango umefunguka bila shida”
“Lile li mwanaume lilinifanyia ila mara moja tu, likataka kufanya tena nikalikataza, liliniumiza tu”
“Oooh pole kama nakuumiza”
“Hapana, wewe unanifanya vizuri tu” alinisifia akipitisha mkono kwa chini na kuanza kuzishika koroda** zangu akizidi kunipandisha mzuka, nami nikaachana na matako yake makubwa kuyashika, nikashika ukuta kama yeye alivyofanya nikiliacha dudu lishinde mechi zake, likiwa linajitegemea, linameremeta mafuta nililolipaka nikimsugua taratibu dada muuza mboga mboga ambae alibaki ameachama mdomo akigeuka akinitazama huku nae akinisomezea matako yake makubwa, tukiwa ndani bafuni
“Oooosh ooooh” niliguna guna nikilalamika kiume wakati utamu umenikolea mpaka kisogoni, matako makubwa na meusi ya msichana huyo wa kikurya aitwae Hilda, yakinesa nesa mbele yangu huku yakiwa yamelimeza dudu nusu,
Sikuwahi kama siku moja ningekuja kuwa mtumwa wa mchezo huu lakini imeshatokea kuwa nimekuwa hivyo, sikuwa na namna zaidi ya kukubaliana na hali halisi, kiuno changu nikipinda na kupandisha mguu mmoja kwa juu nikiunyanyua, kama ungetukuta basi ungeweza kuhisi ni beberu kampanda mbuzi, Hilda muuza mboga mboga aliteleza kwenye ukuta wa marumaru na kujikuta akiinama kabisa na kushika chini sakafuni
“Oooooh uuuwiii jamani jamani” alipiga mayowe, dakika kumi zikiwa zimekatika, nikachomoa dudu langu kwenye mkun** wake nikiwa nimevurugwa, likinesa nesa huku akijishika shika kupapoza nikambebea juu juu na kutoka nae mpaka chumbani, kikiwa hicho hicho ni chumba na hicho hicho ni sebule, mpaka kwenye kochi (sofa) langu kubwa na moja tu la pekee, lililokuwa limejipinda mfano wa herufi ‘L’ nikiyegeuzia matako yake makubwa kwangu, mimi nikiwa bado nimesimama, nikalichomeka dudu tena taratibu ndani ya mkun** wake akashtuka na kutoa macho nikapandisha mguu mmoja kwenye kochi (sofa) na kuendelea kumsugua kwa kasi bila huruma, dakika kumi nyingine zilikatika ukichanganya zile za awali jumla ishirini, uzalendo ukanishinda nikajikuta tayari kojo💦limenibana nikachomoa dudu🍆 na kumwaga wazungu wengi waliommwagikia kwenye matako yake makubwa meusi huku nikitetemeka tetemeka na dudu 🍆bado likihema na kunesa nesa kama
“Uuuuwii ooooh” alilalamika huku akiyapiga piga matako yake makubwa kuyapoza poza
“Pole mrembo” nilimjibu huku nikimpuliza puliza kwenye mkun** wake uliokuwa ukihemea hemea juu juu, dudu🍆wakati likiwa bado limesimama nikalilengesha kwenye uchi wake bila kumwambia, akashtuka na kunitolea macho, nikamkamata shingo nikimkaba bila kumwumiza na kuanza kumsugua kwenye uchi baada ya kumaliza hamu yangu ya mkun** ambayo ndiyo kipaumbele cha kwanza, muda huohuo tukasikia hatua za miguu nje ikionekana kuna watu wamekuja
“Yuko wapi huyo Hilda dada yako, ndo aliingia humu ndani?” sauti nzito ya mwanaume iliuliza kwa amri na kwa lafudhi ya kikurya
“Ndiyo shemeji, aliingia humu kwa mkaka mmoja hivi” sauti ya kike ilijibu kwa hofu na kwa kigugumizi
“Oooh mume wangu huyo” Hilda aliongea kwa wasiwasi nami nikalichomoa dudu🍆haraka kwenye uchi wake, wakati huo mlango ukaanza kugongwa kwa fujo….
Sehemu 08
“Mumeo tena?”
“Ndiyo mume wangu niliyekwambia”
“Ohooo?” nilijikuna kichwa kwa wasiwasi
“Vipi humu ndani mpo au hampo, wewe mama chacha toka nje haraka sana nataka nimwone na huyo kijana uliye nae ili nimkate panga” mwanaume huyo aliongea huku akigonga mlango kwa fujo
“Tunafanyaje sasa jamani, atatuua” Hilda aliongea kwa wasiwasi huku akivaa nguo zake haraka haraka
“Usiwaze, ingia bafuni, mimi nitamtuliza tu na lile beseni lako la mboga mboga wewe nenda nalo huko huko” nilimwambia akalibeba haraka haraka na kwenda nalo bafuni akijifungia nami nikaufuata mlango nikiwa nimeshavaa tayari nikaufungua na kukutana na mwanaume aliyepanda hewani, mweusi ti akinitazama kwa hasira
“Yuko wapi mke wangu mama chacha?”
“Mbona siyo salamu, tungesalimiana kwanza kisha ndiyo tuulizane”
“Nikusalimie wewe kama nani?” aliniuliza nikitegemea kumwona na panga mkononi kama kauli zake za vitisho alizotoa lakini alikuwa mikono mitupu
“Basi yameisha, nikusaidie nini?” nilimwuliza huku nyums yake kukiwa na msichana mwingine ambae ni mdogo wa Hilda aliyekuwa chumbani kwangu, bafuni
“Mke wangu Hilda yuko wapi?”
“Simfahamu”
“Anauza mboga mboga na nimeambiwa alikuja kukuuzia hapa, akaingia na beseni mpaka ndani”
“Mh hapana simfahamu, ila mboga ni kweli alikuja kuniuzia”
“Akaingia na ndani?”
“Hapana, hakuingia ndani” nilimwambia, akamgeukia yule msichana
“Wewe, dada yako aliingia ndani kwa huyu jamaa au hakuingia?” alimwuliza kwa ukali
“Aliingia ndiyo shemeji” alijibu huku akitetemeka, mwanaume huyo akanigeukia mimi na kunitazama kwa hasira akiwa na wasiwasi mkubwa na mimi
“Kama huamini karibu ndani utazame tu, mboga alizoniuliza mkeo zile pale mezani” nilimwambia nikimfungulia mlango zaidi, akaingia kwa kuchungulia akitazama tazama mazingira ya ndani kwangu, akatikisa kichwa kukubaliana na mimi baada ya kutokumuona mkewe huyo,
“Bahati yako” aliniambia
“Umeridhika?” nilimwuliza akatikisa kichwa na kumtaka yule msichana aliyekuja nae waondoke nami nikaurudisha mlango wangu taratibu nikishusha pumzi ya wasiwasi kisha nikaufuata mlango wa bafu na choo cha ndani vikiwa vimeunganishwa humo humo, nikaugonga, ukafunguliwa kidogo na Hilda, dada muuza mboga mboga akachungulia kwa hofu
“Ameshaondoka?”
“Ndiyohayupo, usihofu”
“Uuuwiii ningekatwa vipande vipande leo”
“Pole chukua hii elfu ishirini utaongezea mtaji wa biashara”
“Asante jamani uuuwiii nadaiwa kwenye kausha damu ngoja nikalipie hii” aliniambia akiipokea na kuichomeka kwenye sidiria yake kifuani, ukichanganya na ile elfu kumi niliyompa awali, jumla elfu thelathini
“Usijali”
“Nipe namba yako tuwe tunawasiliana basi kaka yangu”
“Andika tu” nilimjibu akachukua simu yake kiswaswadu na kuandika namba zangu kisha akatoka na beseni lake kwenda kuendelea kuuza ingawa sikujua kama alienda kweli au alirudi nyumbani maana kama hela nilishampa, nami nikaenda bafuni kisha nikakaa kwenye kochi (sofa) taratibu nikiwa mwepesi baada ya kutoa mzigo wa dhambi💦 kiunoni, muda huo simu yangu ikaita nikatazama namba ilikuwa ya yule mwanamama, dokta Modesta, nikaipokea na kuweka sikioni
“Halow mamy”
“Abby mbona kimya hivyo?”
“Hamna mbona sipo kimya, nipo”
“Nimekutafuta, nakupigia simu hupokei, nakutumia meseji haujibu”
“Nilikuwa nina kazi kazi sasa sijaziona, ndo kwanza nimeshika simu sasa hivi yaani”
“Oooh vipi naweza kuja maana leo nipo nyumbani sijaenda kazini hospitali maana bado wanapafanyia marekebisho, au wewe uje basi tukutane mahali”
“Sawa jioni jioni hivi nitakuambia au?”
“We nawe mpaka jioni kweli au hujamisi mambo yangu?”
“Nimeyamisi sana ila jioni kutakuwa na utulivu sana”
“Oooh kumbe, basi isiwe jioni iwe usiku ili tulale wote tukeshe mpaka asubuhi sawa?”
“Haina neno”
“Leo nimekuandalia mambo mazuri sana, utapenda Abby, si unajua jana ofisini pale sikujipanga”
“Nakuelewa mamy”
“Njoo unifir** leo nina hamu yaani nilikuwa sijawahi huo mchezo lakini umenikuna jana uuuwiiii mpaka nahisi kutaka na kutaka tena”
“Nakuja leo kwa ajili yako” nilimjibu, simu yake ikakatika, nikaitazama na kuguna tu huku nikilipapasa papasa dudu langu taratibu ndani ya bukta niliyovaa lililokuwa limelala doro…
Sehemu 09
Sikujua nilipitiwa na usingizi saa ngapi pale kwenye kiti lakini niliamka muda ukiwa umeenda, jioni ikiwa imeingia, nikatazama saa ilikuwa saa kumi jioni, nikainuka kwenye kochi na kukumbuka kuwa nina ratiba ya kwenda kanisani kwenye mazoezi, nilijiandaa na kuondoka taratibu nikiwa nimejiunga kwenye kwaya moja ya vijana kwenye kanisa geni nililojiunga, nilipofika nilikuta wanakwaya wachache ndiyo waliofika nikajiunga nao ili kuwasubiri wengine wafike na tuanze mazoezi, nikiwa napenda sana muziki, nikiwa nimekaa kwenye benchi alikuja msichana mmoja aitwae Stella ambae ni kiongozi wa kwaya, akakaa pembeni yangu huku akitabasamu
“Mambo kaka Abby”
“Safi Stella, za wewe?”
“Njema, leo maajabu, umekuja kwenye kwaya?”
“Ndiyo leo nipo free sasa si unajua ubize bize tena wa vijana”
“Kweli, karibu, tena leo umekuja siku nzuri ndo tunaanza wimbo mpya”
“Ooh basi nina bahati sana, ila stepu za kucheza msiweke ngumu sana”
“Stepu za kucheza lazima ziwe za moto moto”
“Wengine sisi wazito Stella, tutakimbia kwaya yenyewe bure”
“Hamna bwana usikimbie kwaya kwani si utajifunza tu na utaelewa jamani Abby?”
“Aaah mimi siyo mwepesi wa kuelewa kucheza, kuimba sawa, labda mpaka mtu anifundishe muda mrefu sana ndo nielewe maana kichwa changu kigumu na mwili wangu mzito kwenye kucheza”
“Mh mzito wapi, mbona wewe mwembamba tu, ungekuwa mnene je?”
“Siyo mzito kwa maana ya unene, hapana ila ni mzito yaani kwenye kucheza”
“Oooh nitakufundisha mimi usijali, nitakusimamia na kuhakikisha mpaka unajua kucheza”
“Mh unifundishe wewe tunayekutana mara moja kwa wiki unadhani ndo nitaelewa Stella, siyo rahisi”
“Hamna, naweza kuja kwako nikakufundisha mpaka ukaweza, kwani kazini unarudigi saa ngapi?” aliniuliza huku akicheka cheka na kutazama pembeni
“Sina muda maalumu kwa sababu ishu zangu ni za binafsi, nimejiajiri kwa hiyo hata muda wa kurudi basi najiamulia tu”
“Basi ukiwa nyumbani wewe utanishtua niwe nakuja kukufundisha stepu mpaka ujue”
“Mh Stella utaweza?”
“Kwanini nisiweze”
“Sawa nitakulipa usijali”
“Unilipe kisa?”
“Si tuition ya nyumbani ya step”
“Aaah jamani ndo unilipe?”
“Eeh si utatoa muda wako na…”
“Stella?!” sauti ilimwita kwa ukali kabla hajamalizia sentensi yake, tukageuka na kumwona mchungaji akituangalia kwa macho makali, hasa mimi
“Naam baba” alimwitikia
“Njoo” alimwita Stella akainuka na kumfuata, sikujua walichozungumza lakini nilimwona Stella akiondoka mbio mbio, akionekana kama alikuwa anasemwa kitu na mchungaji ambae alinifuata mimi pale nilipokaa
“Shikamoo” nilimsalimia kwa sababu ni baba mtu mzima
“Kwanini unapenda kukaa kaa na mabinti, chunga sana, nitakufukuza kanisani kwangu” alinikemea kwa ukali kisha akaondoka taratibu akiwa amejawa hasira nami nikabaki kimya nimezubaa tu natazama kinachoendelea, sikuweza kujibu chochote mbele yake kwa kumuheshimu tu maana kama kufuatwa ni mimi niliyefuatwa na msichana huyo na wala sikumfuata
“Alikuwa anakuambia nini mchungaji?” niliulizwa nikageuka na kutazama pembeni nikamwona mama mchungaji, mke wa mchungaji na pochi yake akiwa amesimama huku amevaa gauni la kitenge
“Oooh mama, shikamoo”
“Usijali, vipi bado umekuja kwenye kwaya, maana kuna mahali nilitaka unipeleke mara moja”
“Wapi mama?”
“Kuna mahitaji nahitaji nikanunue”
“Haina shida mama, nitakupeleka”
“Ila mchungaji asijue kama tunaondoka wote kwa gari lako, mimi natangulia” aliniambia huku akitabasamu, akageuka na kuanza kuondoka, kwa bahati mbaya mwanamama huyo nyuma alikuwa kumbe wale wale, matako makubwa yalitikisika ndani ya gauni lake refu la kitenge linaloburuzika mpaka miguuni, huku akiwa amejifunga remba kubwa kichwani, dudu langu likasimama muda huo huo kwenye suruali yangu ya jeans niliyovaa mpaka nikajiziba kwa leso maana suruali ilijichora kabisa kwa sababu ya kubana ‘modo’
“Kwanini mama mchungaji anataka twende safarini na mumewe asijue?” nilijiuliza mwenyewe huku nikijikuna kichwa….
Sehemu 10
Niliendelea kukaa kwenye benchi ndani kanisani huku nikichezea chezea simu yangu wakati huo wanakwaya waliendelea kuongezeka kwa ajili ya mazoezi, nikamwona Stella akirudi huku amekunja uso, akisonya sonya na kuja kukaa karibu yangu,
“Vipi kwema utokako huko?”
“Yule mzee yule sijui ananitafuta nini mimi?”
“Kwanini?”
“Si kaniita eti ooh Stella sitaki nikuone na yule kijana mgeni mgeni, ni muhuni yule anaonekana kabisa, atawaangusha dhambini”
“Nani muhuni, mimi?”
“Ndiyo wewe”
“Duh hatari”
“Eeh mi hata simuelewi, baada ya hapo akaanza eti vipi usiku tunaweza kupata mahali pazuri pa kukaa pamoja tukaongea na kula chakula, sasa mimi nikabaki namuangalia, sema namuheshimu tu”
“Sasa si mchungaji jamani kakualika chakula cha usiku Stella, mbona unamuwazia mabaya jamani?”
“Chakula cha usiku hiyo kwio, asimualike mkewe anialike mimi, yaani yule baba ana tabia mbaya wewe muone tu kwenye masuti yake, halafu sasa alivyo mkali kwa mambo ya wengine halafu ya kwake giza tu”
“Duh?”
“Mimi ananitaka, na kuna kadada kamoja kanaitwa Happy ameanza mazoea nako na sijui kama hajakipitia bado”
“Basi ana hatari sana mzee wetu huyu, hakumaliza mambo ya ujana”
“Kwani muda ule alipokuja kuniita hakukuambia chochote?”
“Alinionya tu”
“Si unaona sasa, na….mh mama mchungaji anakuangalia wewe au mimi?” Stella aliniuliza kwa sauti ya chini, nilipogeuka kutazama mlangoni nikamwona mama mchungaji akiwa ametukazia macho, hasa Stella
“Oooh sorry, ananiita mimi, kuna mahali anataka nimpeleke” ilibidi niinuke taratibu na kwenda kumfuata mama mchungaji ambae alitaka mimi na yeye tuongozane kwenye safari yake, Stella akainuka kinyonge nae akienda kwa wanakwaya wengine, wasichana wenzake waliokuwa wamekaa upande mwingine, mama mchungaji akiwa hataki mumewe ajue kama tunatoka wote, alitangulia kwenye gari langu dogo aina ya Toyota Vitz kimya kimya na kwa bahati nzuri lilikuwa na vioo tinted, asingeweza kuonekana na nililipaki nyuma ya kanisa
“Mama” nilimuita nilivyofungua mlango
“Panda twende”
“Tunaelekea wapi?”
“Kufanya manunuzi, kuna vitu nataka unibebee na gari”
“Haina shida, vinaenda nyumbani au?”
“Ndiyo nyumbani”
“Mh sasa si atakuona nitakapokupeleka?”
“Mpaka awepo, leo ana wageni hapa”
“Oooh sawa”
“Ulikuwa unazungumza nini na Stella?”
“Aaamh mambo ya kwaya tu”
“Abby, wewe ooohooo”
“Kwanini mama, mbona kama una wasiwasi?”
“Visichana hivi vinavyoimba kwaya vikina Stella sijui vikina nani ni vimalaya, vitakuchafua na utabaki hutamaniki, vina tamaa sana na hela na hivi vimekuona na gari ndo kabisa”
“Nipo makini mama usiwe na wasiwasi na mimi kabisa”
“Yangu macho tu, uuuwiii nimesahau kitu muhimu sana”
“Nini tena mama?”
“Miwani yangu, ofisini, nenda haraka kaichukue”
“Mzee si atakuwa ana kazi zake humo ndani akiniuliza je?”
“Hayupo, nenda tu kanichukulie” alinijibu, nikatikisa kichwa na kutoka kwenye gari kwenda kumchukulia miwani, nilipofika nikagonga mlango mara moja tu lakini niliposikia kimya na kwa sababu nilishahakikishiwa kuwa ndani mchungaji hayupo nikafungua mlango huo usio na kelele na kuingia mzima mzima, nikatazama tazama na kuiona miwani mezani kwa mchungaji, kukiwa na kiti chake kikubwa cha matairi cha kuzunguka, vyote vya kiofisi, sikujua kama ni ya mchungaji mwenyewe au ni ya mkewe mimi nikaifuata tu na kuichukua huku simu yangu ikiendelea kuita kutoka kwa mwanamama dokta Modesta nadhani alitaka kujua nimefika wapi kama makubaliano yetu tulivyopanga kukutana nikamle tena, akiwa ameshanogewa na mchezo huo mbaya’ lakini sikutaka kupokea kwa sababu sikuwa na mpango wa kwenda leo kumfukunyua mitako yake mikubwa,
Nilipochukua miwani hiyo nikahisi mkojo umenibana ghafla, nikakifuata choo cha ndani cha humo humo ofisini ili nikashushe, nilipofika kwa kuwa nilijua hakuna mtu ndani nikaufungua tu mlango bila hata kubisha hodi na ndipo niliposhtuka na kutoa macho nilipomshuhudia mchungaji akiwa na msichana mmoja mwanakwaya aitwae Happy akimshika shika, na wao wote wawili wakashtuka baada ya kusikia mlango umefunguliwa ghafla, wakanitolea macho hasa mchungaji….
Inaendelea…….