CHOMOA NIJAMBE
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, wasome hii hadithi
Sehemu 21
“Abby?!!” mama mchungaji aliniita akiwa amepigwa na bumbuwazi alipotukuta tumegandana, nikiwa nyuma ya matako makubwa ya mwanadada wa kikurya, nimechomeka dudu🍆 langu, nikataka kulichomoa lakini Hilda akanizuia nisichomoe, akiwa amenogewa, nami nikaacha kumtazama mama mchungaji na kumgeukia mwanadada huyo nikiendelea na zoezi langu ambalo sikutaka kulikatisha, aliokota mkoba wake haraka haraka na kuondoka kwa hasira kuelekea nje, akaufunga mlango kwa kuubamiza, nilipandisha mguu mmoja kwenye kochi nikiwa nimeyashika vyema matako yake nikiendelea kukisukuma kiuno
“Ooooooh jamani uuuwiii” alipiga mayowe huku akinigeukia kunitazama, akizungumza mpaka maneno ya kilugha chao ambayo sikuyaelewa vizuri, dakika zikisogea, nusu saa nzima ikikatika nikachomoa dudu🍆langu kwenye uchi wake na kumwaga wazungu💦 ambao walimwagika chini sakafuni huku nami nikijikuta nahema kisha nikamshika tukielekea kitandani ambapo nilimkalisha na kulishika shika dudu langu tena ambalo lilikuwa bado limedinda, akiwa amekaa amepanua mapaja nikapita katikati na kulichomeka kwenye uchi wake taratibu, nikaanza kumalizia zoezi la utamu kwenye uchi nikiwa nimesimama na yeye amekaa kitandani, nikapanda kitandani kabisa nikimrukia kwa juu na kuendelea kumsugua huku nikinyonya matiti yake kifuani, kwa zamu, moja baada ya jingine, mguu wake mmoja nikiwa nimeushika na kuunyanyua kwa juu……
…….
Kulikucha mapema asubuhi nilijigeuza kitandani nankujinyoosha nyoosha mkono lakini nikajikuta nashika mashuka tu na mto na siyo mtu niliyelala nae usiku mzima, nikafumbua macho na kutazama siku mwona mwanadada huyo muuza mboga mboga ikabidi niinuke kitandani na ndipo niliposhangaa kumuona akichukua nguo zake na kupanga kwenye kabati langu la nguo yaani akimaanisha ndiyo amehamia hivyo, haondoki tena
“Wewe unafanya nini hapo?”
“Si napanga nguo zangu, una kabati zuri Abby”
“Unapanga nguo zako, ili?”
“Jamani kwani si tunakaa wote saa hizi, mimi ni wako na wewe ni wangu, chochote unachokitaka nitakupa tu Abby”
“Uliniambia unakaa kwa muda kisha utarudi kwako sijui kwa mume wako, ndo maana nashangaa tu”
“Kwani hunipendi jamani Abby?”
“Lakini wewe mke wa mtu, siwezi kuishi na wewe hapa, tafadhali” nilimwambia akaguna akibinua midomo na kuondoka taratibu kuelekea nje nikatikisa kichwa nikimsikitikia tu, niliinuka taratibu na kuufuata mlango nikimtazama ili nimwone nje alipoelekea, nikaona kivuli kwenye kona kumaanisha amejibanza ukutani ikabidi nisogee taratibu na kwa machale kujua anafanya nini kwenye kona,
“Sasa shoga yangu mbona ile dawa niliitia kwenye maji na hajanipenda ndokwanza ananiambia niondoke, si ulisema ataniambia nikae nae?” aliuliza
“Mh shoga yangu, ulimwekea kweli au?” sauti ilimwuliza upande wa pili wa simu
“Nimeweka tena nyingi tu lakini wala hanishobokei, kanikuta napanga nguo kwenye kabati lake akanishangaa sana”
“Mh umeweka kweli jamani au…”
“Ameweka ila kwa bahati mbaya sijaoga yale maji” nilijibu huku nikijitokeza, Hilda akabaki ametoa macho kwa mshtuko baada ya kuniona nimetokea, rafiki (shoga) yake akakata simu
“Abby kwani ume…ume…” alishikwa ns kigugumizi akikosa cha kuzungumza
“Kumbe hujafukuzwa hata na mume kweli umenidanganya tu Hilda eti?”
“Hamna, kweli nimefukuzwa” aliongea huku akitazama chini kwa aibu
“Sasa mbona jana nimekusikia kuwa umemkimbia tu yule mwanaume ili uje kuishi na mimi hapa na ukaniwekea dawa kwenye maji ili nikupende uendelee kukaa hapa, kwani mimi sikupendi jamani?”
“Kwani unanipenda Abby?”
“Nakupenda lakini hatuwezi kuishi wote, shika hii rudi kwa mume wako” nilitoa noti ya shilingi elfu kumi nikimpa mkononi
“Jamani naomba niendelee kuishi na wewe mimi nakupenda kuliko hata lile lijanaume”
“Shika, siwezi kukaa na mshirikina humu ndani!” nilimwambia kwa ukali mpaka akashtuka na kuipokea, nikimkazia uso, akanipita taratibu na kukimbilia ndani, nikamfuata na kumtazama asije akaniibia, akaweka vitu vyake na kubeba mabegi yake nikimsaidia kuondoka, huku akiwa anajisonya sonya na kuangalia angalia mazingira ya chumbani kwangu humo, nikamwitia boda boda, akapanda na kuondoka ingawa hakuwa anaishi mbali sana, nikabaki mlangoni nimejishika kiuno tu na muda huo huo simu yangu ikaita kutazama namba ilikuwa ya yule mwanamke niliyemgonga, nikapokea na kuweka sikioni
“Halow”
“Za habari yako mama Feisal?”
“Salama sijui wewe?”
“Nipo salama tu”
“Feisal alitaka akusalimie anaumwa umwa hapa”
“Oooh poleni, mpo nyumbani?”
“Ndiyo nipo nyumbani”
“Basi nakuja kuwaona muda si mrefu utanielekeza”
“Karibu sana” alijibu na kukata simu, nikarudi ndani na kuifuata chupa yangu ya mafuta nikaitazama tazama nikihisi tu kuwa huko lazima pachafuke, nikaitia mfukoni kama silaha yangu….
Sehemu 22
Kwa maelekezo ya mwanamke huyo, mama Feisal, nilifika kwenye nyumba anayoishi na kuliacha gari mita kadhaa, akiwa amepanga, alisimama kunitazama nikitokea anipokee akiwa yeye na mtoto wake huyo wa miaka sita, akanikaribisha ndani taratibu, nikakaa kwenye kochi (la kawaida, la foronya)
“Karibu hapa ndo nyumbani, Fei msalimie anko” alimwambia mtoto wake
“Shikamoo”
“Marahaba hujambo?”
“Sijambo”
“Pole, nini kinauma?” nilimwuliza mtoto huyo huku nikimshika na kumvuta karibu
“Tumbo lilikuwa linauma”
“Oooh pole sana, chukua hii” nilimpa biskuti kubwa ya chokoleti niliyomnunulia, akaipokea na kufurahi kisha akaondoka mbio mbio kukimbia nje kwenda kucheza
“Wewe Fei mbona humshukuru anko?” mama yake alimuita
“Mwache bwana akacheze, angekuwa mtu mzima sawa”
“Lakini ndo atajifunza tabia mbaya, ngoja nikuandalie chai basi, unakulaga mihogo ya kuchemsha?” aliniuliza huku akiiweka weka vizuri hijabu (nikabu) yake kichwani tukiwa tumebaki wawili tu
“Hakuna ninachobagua, vyote nakula, hata visivyoliwa” nilimjibu akatabasamu, nikiwa nimeongea kwa fumbo, akiwa amevaa kijora na kujifunga kwa khanga juu, kichwani akiweka weka vizuri hijabu (nikabu) yake, akaja na chupa ya chai akaiweka na kikombe na sukari kisha akalifuata sufuria chini la mihogo akiwa na sahani mkononi akainama kunipakulia nami nikapata fursa ya kuyatolea macho matako yake makubwa, dudu likidinda na kusimama dede ndani ya bukta niliyovaa, mate yakinijaa mdomoni, mawazo yakienda mbali nikiwaza namna nitakavyomuweka mwanamke huyo nimfanyie mchezo mchafu’ kama ambavyo hisia zangu zinanituma, akageuka na sahani ya mihogo na kuja nayo mpaka mezani akashtuka akitoa macho alipoona bukta yangu imevimba na kupanda juu
“Yote hii ni kwa ajili yako mama Fei” nilimwambia huku nikimshika mkono
“Jamani mimi nimefanyaje?”
“Unanipa tabu kila nikikutazama”
“Mh jamani mimi ni..” kabla hajamalizia sentensi yake nikamvuta na kumkalisha kwenye mapaja,
“Kidogo tu” nilimnong’oneza sikioni huku nikichomoa noti mbili nyekundu za elfu kumi kumi, yaani elfu ishirini na kumwekea kifuani kwenye matiti yake
“Basi ngoja nikafunge mlango”
“Acha tu nitaufunga” nilimjibu na kuinuka nikaufuata mlango taratibu na kuufunga nikimwacha kwenye kiti kisha nikarudi na kukaa kando yake na kuanza kumshika shika mapajani, kiunoni na kwenye matiti kifuani huku akitazama tazama pembeni kwa aibu,
“Jamani unanitekenya”
“Pole, kidogo tu” nilimjibu huku akinyoosha mkono wake na kunishika shika dudu lililokuwa ndani ya bukta yangu nikamshika mkono na kuutumbukiza kabisa mkono wake ndani ya bukta yangu, akalikamata kabisa dudu🍆nyama kwa nyama, nikaishusha bukta kidogo na kulichomoa dudu nje likiwa limedinda likinesa nesa akaendelea kulipapasa papasa na wakati huo nikiupeleka mkono kwenye matako yake makubwa na kuanza kuyaminya minya, akainuka taratibu na kwenda kitandani nyuma ya kochi kikiwa ni chumba kimoja tu nami nikamfuata huku nikivua bukta yangu taratibu na boksa nikibaki na nguo ya juu tu nikamvuta khanga aliyojifunga akibaki na kijora tu ambacho nilikipandisha na kumwacha mapaja wazi na ndani akiwa na bukta nyingine amevaa ambayo niliivuta na kumwacha wazi nikitazamana na matako yake makubwa ambayo niliyaona tangu siku ya kwanza kabisa niliponusurika kumgonga na gari akageuka huku akinitazama wakati nikiendelea kumshika shika na kumpapasa papasa taratibu, nikayashika yote mawili, tako la kulia na la kushoto na kuanza kuyachezea chezea nikiyatikisa tikisa na kumshika kwenye uchi wake akaguna huku akinitazama, sikutaka kupoteza muda nikakitoa kijichupa cha mafuta kwenye bukta yangu niliyoiangusha chini baada ya kuivua na kuanza kulipaka dudu langu taratibu kisha nikaanza kumpaka kwenye matako yake makubwa mpaka nilipohakikisha yameng’aa, nikasimama na kupanda kitandani, sikutaka kuuliza nikalilengesha dudu moja kwa moja kwenye mkun** wake, akageuka na kunitolea macho
“Mbona huko jamani?!!”…..
Sehemu 23
“Kidogo tu, kidogo” nilimwambia huku mikono yangu nikiipitisha mpaka kifuani mwake kwa chini na kumtomasa tomasa matiti yake ndani ya kijora alichovaa, nikaanza kusukuma taratibu bila haraka huku akiwa ameachama mdomo akinitolea macho wakati nazamisha dudu🍆kwenye katikati ya matak** yake, tukiwa wawili tu chumbani, mtoto wake akiwa ameenda kuwalingishia wenzake biskuti ya maziwa niliyomnunulia
“Oooooh ooooh uuuwii jamani jamani jamani” alilalamika wakati nikifanya yangu kutuliza nyege zangu zilizokuwa zikinisumbua, tukiwa juu ya kitanda, nikalichomoa kwa dudu na kumwacha kwanza apumue vizuri kisha nikalipiga piga kwenye tako lake la kulia na kulichomeka tena taratibu na kuendelea kumsugua mpaka lilipoingia nusu akiwa ameshikilia mbao kubwa ya kitanda ya upande wa kichwani, nusu saa ikikatika mpaka nilipochomoa na kumwaga 💦wazungu juu kwenye matako yake makubwa na wengine wakimrukia mgongoni, nikashuka na kukaa chini, kijora hata sikujua alikivua saa ngapi, akaja na kunikalia juu huku tukihema kila mmoja, nikalilengesha dudu kwenye uchi wake safari hii likazama na tukaendelea na safari yetu huku kitanda kikilalamika lalamika mpaka tulipomaliza safari akinilalia kwa juu huku akihema lakini kuhema kwake hakukuwa kwa kawaida, nilimshuhudia akianza kuunguruma kama mnyama
“Kulikoni tena?” nilimwuliza
“Wewe umemfanyaje huyu, kwanini umemfanya nyuma tuambie” aliniambia nikabaki namshangaa tu
“Mama Fei hebu acha masihara yako na…” kabla sijamaliza kauli yangu nikajikuta nazabwa kofi zito la shavuni
“Unasema masihara wakati umemfanyia huku nyuma, leo utatueleza” aliniambia akinishika kichwa changu akikivuta kwa nguvu nami nikajua hapa lazima kuna tatizo nikamtoa mikono yake na kushuka haraka kitandani nikichukua nguo zangu na kuvaa huku akinifuata akionekana kama aliyechanganyikiwa, akiwa amepandisha mashetani au kwa lugha iliyozoeleka ‘Kiti’ nilivaa huku nikizunguka zunguka kumkwepa asinifuate lakini akapanda mpaka juu ya meza na kunirukia kwa hasira nikiwa nimeshavaa, nilichofanya ni kumuwahi na kumsukuma kabla hajanishika akaangukia kwenye meza kama mzigo wa kuni, nikaufuata mlango na kuufungua kisha nikaufunga kwa nje huku nikihema, wapangaji wenzake wakiwa nje walibaki wananishangaa tu, nikimwacha amepandisha Kiti’ wake moja kwa moja nikaingia kwenye gari na kuondoka kwa kasi ya upepo wa kisulisuli
Nikiwa katika mwendo wakati nikiingia barabara kuu nikamwona mama mmoja pembeni mwa barabara akiwa ana mzigo kwelikweli ameufungasha nyuma, ukitikisika tikisika ndani ya gauni lake ambao sikuwahi kuuona kwa yeyote akivuka barabara ikabidi nifunge breki na kusimamisha gari ili avuke nami nipate fursa ya kumwangalia vizuri
“Piipiiiiiiiiiiiii!!” honi kubwa na kali ya gari nilipigiwa na kutazama nyuma ni lori la makontena mawili likija nyuma yangu nilipotazama mbele sikumwona yule mwanamke kumbe kulikuwa hakuna mtu anayevuka ni mauza uza tu ikabidi niwahi kulizungusha gari na kulitoa barabarani nikilipisha lori hilo lililotoka mteremkoni, likanipitia ubavuni almanusura linigonge gari langu likaacha barabara na kwenda kuuvamia mti pembeni, nikawahi kufunga breki kabla sijaugonga, wapita njia na watu wengine wakaja mbio mbio kujua kama nimepona kwenye ajali hiyo lakini nikawaambia nipo salama,
“Leo matako makubwa yangeniua, kifo kilikuwa nje nje sitaki tena” nilijiapiza mwenyewe wakati nikiliondoa gari langu taratibu likiwa limebonyea mbele kidogo kwa sababu mti niliugusa, nilitembea na gari mita kadhaa nikaona mkutano wa kanisani nje pembeni, nikashuka taratibu ili kwenda kusikiliza baada ya kunusurika kifo nikakuta mchungaji amewaita watu mbele kuwaombea sala ya toba nami nikajiunga nikiwa nimeapa kabisa kuwa sitarudia michezo yangu tena
“Haya wote mnaotaka kutubu nifuatisheni maneno haya sema baba nimekuja kwako mimi mwenye dhambi, nisamehe, sitarudia tena, nitakuwa mtu mpya, dhambi zangu za zamani naziacha nakuwa kiumbe kipya, ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya, amen” aliongea kwenye kipaza sauti na sisi tukimfuatisha huku mimi nikiwa nimefumba macho nimekaa nyuma nyuma
“Amen” nami niliitikia na kufumbua macho yangu kisha nikatazama mbele nikiwa nimesimama nyuma ya mama mmoja nikiwa nimeshatubu lakini nikahisi kitu kinanigusa chini na dudu langu lilishtuka na kusimama nilipoinamisha kichwa kutazama kumbe ni matako makubwa ya yule mama aliyesimama mbele yangu
“Hivi mimi nitapona kweli hili tatizo?!!” nilijiuliza mwenyewe nikijikuna kichwa na kusikitika, yule mama akageuka na kunitazama
“Nini hicho kinanigusa gusa?” aliuliza huku akinitazama nami nikatoa macho nikikosa cha kumjibu….
MWISHOOOOOOOOOO