CHOMOA NIJAMBE
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, wasome hii hadithi
Sehemu 11
Zilipita sekunde kama tano hivi za kushangaana, nikiwashangaa mchungaji na msichana huyo muumini aitwae Happy, nao wakinishangaa huku msichana mwenyewe akitazama pembeni kwa aibu baada ya kuniona, mchungaji midomo ilimcheza cheza kwa hasira aliponiona,
“Samahanini, sikujua kama kuna jambo huku” niliwaambia na kutoka haraka haraka nikiufunga mlango huo wa chooni, nikatoka nje kabisa mpaka kwenye gari langu dogo nililomwacha mama mchungaji, nikaingia taratibu na kumpa miwani yake
“Mbona umechelewa sana kurudi, hukuiona au?”
“Hamna, niliiona sema nilienda chooni tu mara moja” nilimjibu na kuwasha gari tukiondoka taratibu nikimpeleka huko kwenye mizunguko yake mwanamama huyo ambae alikuwa akinipigisha stori za hapa na pale lakini hasa kuhusu mahusiano akijaribu kunichunguza chunguza nipo na nani kwenye mahusiano kwa sasa lakini wala sikumwambia, niliyakwepa maswali yake yaliyokaa kimtego, tukafika kwenye duka moja akataka kununua vitenge, muda wote nikibaki ndani ya gari bila kutoka nje kwa sababu ya watu anaofahamiana nao wasije wakaniona na kuwaza mambo mengine, safari hii alipotoka alirudi na vitenge alivyonunua na kunikabidhi kisha akasimama mlangoni akiongea na simu huku akiwa amenigeuzia mgongo, akiwa amevas gauni lake la kitenge refu lakini halikuyaficha matako makubwa ya mwanamama huyo ambae sikutaka kumwangalia kabisa kila aliponigeuzia mgongo maana nilijua nitapata tabu mimi mwenyewe pindi tu nitakapomtazama,
“Uuuwiii jamani” alipiga mayowe akiwa amesimama mlangoni wakati pikipiki ilipopita karibu yake ikabidi nigeuke kujua kilichotokea
“Kulikoni?”
“Si haya madereva yasiyojielewa, anapita amenimwagia maji kwenye gauni, mjinga sana yule dereva”
“Pole, ndo tabia zao hao” nilimjibu akiwa bado amesimama mlangoni hajaingia ndani akiwa amenipa mgongo na mbaya zaidi akainama mbele yangu nikimshuhudia kwa macho yangu mawili, matako makubwa yakiwa yameelekezewa kwangu, akijifuta futa maji machafu yaliyorukia kidogo kwenye viatu vyake alivyovaa, mambo yalibadilika kwenye suruali niliyovaa ya kitambaa, dudu lilisimama muda huo huo likinyooka kwenda juu kwa sababu nilikuwa nimekaa kwenye kiti na mama mchungaji akageuka akiingia ndani na ndipo alipotoa macho baada ya kuona kitu kimesimama kwenye suruali yangu
“We Abby, nini hicho?”
“Hamna kawaida tu, vipi ndo tunaenda au?” nilimjibu huku nikiliondoa gari, akaishusha miwani yake taratibu huku akizidi kunitazama, nami nikitazama pembeni kwa aibu huku nikijaribu kuishusha shusha suruali yangu hali itulie
“Kwani imekuwaje Abby” alinishika pajani akinipapasa papasa
“Inatokea tu”
“Kuna kitu anahitaji?”
“Hapana hamna kitu”
“Unanidanganya bwana” alinijibu huku akiupeleka mkono wake mpaka kwenye zipu ya suruali yangu akianza kulishika shika dudu 🍆taratibu
“Mama mchungaji?” nilimshangaa huku nikiwa nimeshika usukani, hakuishia hapo akanifungua zipu ya suruali yangu huku akiweka miwani yake pembeni, nikamshuhudia akilitoa dudu 🍆nje likichomoka kwa hasira ndani ya suruali likisimama kama nguzo ya umeme, mwanamama huyo akiwa amelitolea macho akaanza kulishika shika taratibu na hakuishia hapo akasogeza midomo yake taratibu na kuanza kulinyonya mithili ya ice cream huku nikiwa naendesha gari kwa tabu, mitekenyo ya ulimi na midomo ya mwanamama huyo ikinipa tabu, nikaachia usukani mkono mmoja nikabaki na mmoja ambao uliendelea kuendesha mwingine nikanyoosha na kuanza kumshika shika na kumtomasa tomasa taratibu kwenye matako yake makubwa wakati akiendelea kulinyonya na kulisuuza dudu🍆kwa midomo yake, akalipandisha gauni lake refu usawa wa kiuno akibaki na taiti tu aliyovaa ndani akipanda juu ya kiti nami nikaingiza mkono ndani ya taiti na kuanza kushika shika minofu ya matako yake makubwa nikipita mpaka katikati kwenye barabara na kuliingiza dole la kati 🖕ndani ya mkun** wa mwanamama huyo
“Uuuwiiii Abby” alilalamika
“Pole mamy” nilimjibu huku nikitafuta mahali pa kuliegesha gari tusije tukasababisha ajali, ili kazi ianze mara moja, nikalipitisha kwenye njia moja ya kichakani na kulisimamisha, nilikibinua kiti cha mama mchungaji na kumlaza chali akipanua mapaja yake, bila kumvua gauni lake la kitenge nikamvua tu taiti kabisa na kuitupia kwenye viti vya nyuma, kisha nikapitisha midomo yangu taratibu kwenye uchi wa mwanamama huyo ambae na kuanza kuyapitishia ulimi mashavu ya kiungo chake hicho kitamu lakini chenye sura mbaya, nikiupitisha taratibu mpaka katikati,
“Ooooooshhhh uuuwiii” alilalamika huku akihema, akiwa amenishika kichwa, miguu akiwa ameinyoosha mpaka kwenye dashboard, dole la kati taratibu nikaliingiza kwenye mkun** wa mwanamama huyo ambae alitoa macho kunitazama, nikaanza kumchokonoa taratibu mkund**ni huku nikiendelea kumnyonya uchi, nikimuandaa kiujanja lakini nikiwa na wasiwasi sana kama atakubali nimtie kwenye njia hiyo ambayo ndiyo ugonjwa wangu mkubwa na bila kuanza nayo basi sijisikii kama nimefanya mapenzi….
Sehemu 12
Niliendelea kumnyonya uchi huku dole la kati 🖕la mkono wa kulia nikimchokonoa mkund***ni, hali yangu ikizidi kuwa mbaya, mama mchungaji akiendelea kulalamika tukiwa ndani ya gari yangu, nje kukiwa kimya kwa sababu nililipaki pembezoni mwa barabara kwenye kijipori kidogo, miti tu ikitikisika na kuangusha majani yake makavu kwa sababu ya msimu wa kiangazi na gari lilikuwa na vioo vyeusi (tinted) hata mtu angepita nje na hata angejaribu kutuchungulia basi asingeona chochote kile
“Abby uuwiii”
“Pole mamy” nilimbembeleza huku ulimi wangu nikiuchezesha chezesha kwa kasi kwenye uchi mweusi wa mwanamama huyo wa makamo ambae aliking’ang’ania kichwa changu kwa kukishika nisije nikathubutu kukitoa kwenye uchi wake, nami nilikuwa sina mpango wa kufanya hivyo nilichokuwa nikipiga ni mahesabu tu ya kumfukunyua kwenye mkund** wake ili kupunguza uchu wangu huku mkono mwingine nikilishika shika dudu 🍆taratibu nikiliandaa kwa kazi iliyopo mbele yake, na kimya kimya nikanyoosha mkono wangu kwenye dashboard na kutoa kijichupa cha mafuta ambacho nilianza kutembea nacho kila ninapokwenda ili mambo yakinibadilikia njiani nisikose silaha hiyo ya maangamizi, nikakifungua kwa mkono mmoja, mafuta hayo ya nazi na kuanza kujipaka kwenye dudu🍆 taratibu, kuanzia chini kwenye korodan** mpaka juu kwenye kichwa upara nikiliacha linang’aa huku likiwa limepinda linahemea hemea juu juu, nikaanza kumpaka taratibu kwenye matako yake makubwa mwanamama huyo ambae alikuwa amefumba macho akisikilizia utamu wa kunyonywa uchi ambao nilikuwa bado sijatoa ulimi wangu, nikamwacha akiwa amelowana tepe tepe huku ute ute ukimtoka kwenye uchi nami nikapanda mpaka kifuani mwake nikianza kumpapasa papasa matiti yake yaliyokuwa kifuani nikiyashika shika na kuyatomasa nikishangaa tayari kumbe alikuwa ameshavua gauni lake hilo la kitenge ambalo nilimwacha akiwa amelipandisha juu tu, hata sikujua alilitoa mwilini muda gani, nikasogeza midomo yangu na kuanza kumnyonya matiti yake, moja baada ya jingine kwa zamu, huku miguu yake nikiikunja kwa juu na kumbinua makalio akiwa amelala staili ile ya kifo cha mende, dudu langu nikaanza kulipitisha kichwa chake upara kwenye kuta za uchi wa mwanamama huyo zilizolowana, zikitoa mrenda wa bamia’ unaovutika, huku nikiliingiza taratibu na kuanza kulisukuma, nikizidi kumvuruga mama mchungaji ambae aliendelea kulalamika nami kwa makusudi nikalitelezesha nje dudu🍆 langu na kujifanya limekosea njia kwa bahati mbaya likiishia nje ya mkundu wake, nikifanya kama nataka kulichomeka
“Uuuwiiii Abby wewe, wapi huko?”
“Bahati mbaya tu mamy” nilimjibu huku nikilirudisha tena dudu langu kwenye uchi na kuanza kuzungusha mauno nikimkunia kwa ndani huku akizidisha manung’uniko, nikamshika vizuri nikimbana asije akafurukuta pindi nitakapomchomeka dudu kwenye mkund**** wake nikalichomoa kutoka kwenye uchi nikifanya nimekosea njia tena nikalipigisha hodi kwenye mkund** wa mwanamke huyo kwa mara nyingine tena
“Abby?” alitoa macho
“Samahani mama” nilimjibu, na kuanza kumwingiza taratibu
“Wewe Abby unafanya nini huko?”
“Kidogo tu” nilimwambia nikianza kuingiza kichwa taratibu
“Uuuuwiii wewe Abby dhambi hiyo hebu chomoa, chomoa haraka” alinipigia makelele lakini kwa uchu nilionao wala sikumsikiliza nikazidi kumsokomeza dudu taratibu nikiwa nimembananisha asifurukute
“Utatubu mama, kidogo tu” nilimwambia nikimshikiria miguu yake na kumpanua matako yake makubwa nikiyawamba zaidi na kulizamisha dudu ndani ya mkundu wake
“Abby, sitaki, tokaaaa!” aliniambia kwa ukali, sikujua alipata wapi nguvu nyingi namna ile lakini nilishangaa nikipigwa teke zito begani lililonisukuma mpaka kwenye usukani ambao ilibidi ujipige honi baada ya kuguswa…
Sehemu 13
Nilijikuta nimeegemea usukani baada ya kusukumwa na mama mchungaji
“Samahani mama” nilimjibu huku nikijiweka weka vizuri
“Ndo unataka kunifanya nini huku, we unadhani hilo li dude lako lilivyo refu hivyo litaingia huku, si litanitoboa?”
“Nisamehe sikujua”
“Tuendelee lakini siyo huko, sitaki” aliniambia huku akinipanulia mapaja yake nije nimchomeke tena kwenye uchi wake ili kazi iendelee, nikamsogelea taratibu nikiwa nimenyong’onyea baada ya kunyimwa jicho nikamwingiza dudu taratibu kwenye uchi wake na kuanza kumsugua lakini mzuka ukiwa umepotea kwa sababu mpaka nianze kwanza kwenye mkund** ndiyo mambo huwa mazuri sasa leo ninaanza upande ambao huwa haunisisimui sana (siku hizi maana hapo awali hali yangu ilikuwa ya kawaida tu) aliendelea kulalamika lalamika wakati nilipokuwa namsugua huku gari likinesa nesa lakini kila nilipouangalia mkund** wa mwanamama huyo kati kati ya matako yake makubwa nilizidi kuumia kuukosa, ikabidi nijifariji kwa kumwingiza dole la kati ili wakati namsugua kwenye uchi nipate mzuka wa kuendelea na kazi hiyo isiyo na malipo, dakika kumi zikikatika tukiwa ndani ya gari nikachomoa dudu langu ndani ya uchi wa mama mchungaji na kummwagia wazungu💦 kiunoni na tumboni huku akihema hema mpaka mkund** wake nikiuona kabisa unavyopwita pwita ukizidi kunivuruga akili, nikijikuta nimemwaga mapema kwenye uchi
Nilichofanya ni kumtia dole la kati na kuanza kumchokonoa taratibu nikiwa sijakubaliana kabisa na kitendo cha kuuacha mkund** hivi hivi bila kuusugua, nilikizungushia kwa ndani na sikuishia hapo nikaikamata miguu yake nikiinua kwa juu na matako yake makubwa nikiyanyanyua kidogo, kilichofuata ni kusogeza ulimi wangu katikati kwenye mkund** wake kwa mara ya kwanza nikaanza kuulamba lamba ili kubembelezea nipewe, nikimnyonya taratibu kuzidi kumtia mshawasha, nikiuchezesha chezesha ulimi, mama mchungaji akabaki ananyoosha nyoosha miguu yake akionekana kuzidiwa huku nikinyoosha mkono wangu mmoja na kuanza kulikamata dudu langu nikiliandaa tayari kwa kazi inayofuata, nikatoa midomo yangu nikiacha mkund** wa mama huyo ukipwota pwita na kuvuta ukiwa umelainika ipasavyo
“Abby!”
“Naam”
“Chomeka kidogo tu”
“Hamna usijali, kama haupo tayari nimekuelewa”
“Nawashwa Abby chomeka” alilalamika huku akijishika shika kwenye mkun** wake akijipapasa papasa,
“Taratibu tu” nilimjibu huku nililengesha dudu🍆 langu taratibu kwenye mkun** wake nikitanguliza kichwa huku nikimbembeleza bembeleza
“Uuuwiii jamani Abby”
“Pole mamy, pole” nilimwambia huku nikimsugua taratibu kwa kubembelezea, akiwa hajawahi kabisa kufanya mchezo huo mbaya, mkun** wake ukivuta vuta
“Uuuwiii Abby kwani lote ndo litaingia humu?”
“Hapana siyo lote, kidogo tu kwani unaumia?”
“Hamna siumii ila kumbe na huku tamu hivi?”
“Tamu, ukizoea”
“Mh nani atanizoesha wakati mume wangu hafanyi hivi”
“Mimi nipo kwa ajili yako utakapohitaji kukunwa muda wowote ule”
“Mh jamani oooosh” alilalamika nikiwa nimeyawamba matako yake makubwa yote mawili nimeyashika nikimsokomeza dudu bila fujo, kichwa tu kikiwa kimeingia, nikihisi mwili wote unanitetema kwa raha za mama mchungaji, matako yake mawili makubwa yakizidi kunivuruga wakati nimechomeka katikati na mkono wangu nikichezea chezea vijinyama vya kwenye uchi wake uliokuwa umelowana tepe tepe, mama mchungaji akiwa amefumba macho huku akielendelea kulalamika wakati dudu langu likizidi kuzama kwenye mkund** wake,
“Ooooh yeah” nilijikuta nikiguna kichini chini wakati kiuno changu kikifanya kazi yake ya kumkuna mama mchungaji, dudu likizama nusu nzima, akionekana kuufurahia mchezo huo ambao hapo awali aliugomea kabisa, kiti ndicho kilichopata tabu kikilalamika lakini hatukukijali, nikalichomoa dudu🍆ndani ya mkun** wa mwanamama huyo katikati ya safari
“Abby mbona umechomoa” alifumbua macho, sikumjibu kitu nikashusha kioo cha dirisha la gari na kumgeuza achungulie kichwa dirishani matako yake makubwa akiniachia ndani nikamchomeka tena dudu🍆 taratibu akitoa macho kunitazama ndani nikayashika matako yake yote mawili na kuendelea kumsugua mama mchungaji ambae kichwa alitoa nje ya gari akilalamika huku akiwa ameachama mdomo, kwa mazingira ya hapo hakukuwa na dalili ya mtu kupita, tukisikia tu sauti za magari yakipita upande wa pili barabara kuu, nilimsugua kwa dakika zaidi ya ishirini, mkund** wake ukibaki umelegea nikachomoa dudu langu na kuwahi kwenye dirisha jingine la upande wa pili ambalo nilishalifungua kuliandaa kabisa nikalisogeza dudu dirishani nikifanya kama nakojoa na kumwaga nje wazungu huku nikihema kama niliyekimbizwa na mbwa mwenye kichaa, mama mchungaji akarudi ndani ya gari akiwa hoi anahema na kukaa tako moja
“Pole mamy” nilimbembeleza kwa kumbusu busu, nikasogeza midomo yangu na kuanza kumnyonya matiti yake kifuani taratibu kisha tukavaa nguo zetu tayari kwenda kwangu kwanza, akavae na kujiweka vizuri ili arudi nyumbani kwake, tulipofika nilisimamisha gari nyuma ya nyumba ninayoishi na kuanza kushuka kisha nikazunguka ili kumfungulia mlango, kabla sijafanya hivyo nikasikia mtu akikohoa, nilipogeuza macho kutazama nikamwona mchungaji, mume wa mwanamama huyo akiwa amesimama mbele ya gari….
Sehemu 14
“Oooh mchungaji, karibu sana” nilimwambia huku nikiurudisha mlango asije akamwona mkewe ndani ya gari langu na ikawa balaa juu ya balaa, mama mchungaji nae akatulia ndani ya gari kimya baada ya kusikia sauti ya mumewe nje, kwa bahati nzuri vioo vya gari vilikuwa vyeusi (tinted) visivyoonyesha mtu aliyepo ndani
“Wewe kijana una shida gani?”
“Kwanini tena mchungaji?”
“Umekuja kanisani kwangu kusali au kutafuta mabinti?”
“Kusali, kwanini?” nilimwuliza mchungaji huyo ambae siku za mwanzoni wakati nilipohamia kwenye kanisa lake, nilipokuwa mgeni alikuwa ni rafiki yangu
“Naona kama umekuja kwa lengo lako tu kanisani kwangu”
“Hamna mchungaji nimekuja kusali tu, karibu nyumbani, karibu ndani”
“Siingii ndani, mke wangu umempeleka wapi?”
“Mkeo, yaani mama mchungaji au?”
“Ndiyo”
“Mh sijaelewa maana ya hilo swali lako”
“Utanielewa tu, mbona nimeambiwa ameingia kwenye gari lako na mkaondoka wote?” aliniambia huku akilitazama gari langu kwa umakini
“Oooh nimekumbuka, aliniomba tu lifti nimsogeze mpaka barabarani tukaachana njiapanda”
“Kaa mbali na mke wangu umenisikia wewe kijana?”
“Haina shida mchungaji” nilimjibu huku akinitazama kwa macho makali, akanipita na kuondoka taratibu huku nikimsindikiza kwa macho, alipokunja kona mkewe akafungua mlango wa gari taratibu, akiwa amejawa wasiwasi
“Alikuwa anasemaji yule baba?”
“Alikuwa ananipa onyo tu kuhusu mabinti kanisani, pia amekuulizia”
“Kwani ameniona?”
“Hapana hajakuona”
“Halafu nani sasa aliyemwambia kuwa tumeondoka wote jamani?”
“Itakuwa kuna mtu aliyetuona wakati tunaondoka”
“Mh?” mama mchungaji aliguna, nikamkaribisha ndani, akaingia bafuni ili kuoga kisha akabadili nguo na kuondoka kuelekea kwake nami nikibaki mwenyewe chumbani kwangu, nikiwa mwepesi haswa, bado dokta Modesta akiendelea kunipigia simu ambazo sikupokea kwa sababu sikuwa na mpango wa kwenda kwake siku ya leo….
………
Mapema asubuhi kulikucha baada ya usingizi mzito wa usiku, nikiwa mwepesi baada ya kupata shoo kutoka kwa mama mchungaji, simu ndiyo iliyoniamsha usingizini nikaitazama namba ni ya mama mchungaji akiwa amenipigia sana, nikampigia tena ikaita na kupokelewa
“Halow”
“Abby mbona kimya hujaamka bado?”
“Sijaamka bado, ndo nataka niamke, kwani saa ngapi saa hizi?”
“Saa hizi ni saa mbili”
“Duh kumbe, nime…”
“Ni nani huyo uliyemmisi?” sauti nzito ya mwanaume ilimwuliza kwa ukali, ikionekana ni mumewe mchungaji, ikabidi nikate simu yake haraka haraka, kabla sijaishusha chini, simu nyingine ya dokta Modesta ikaita, nikapokea na kuiweka sikioni
“Mbona unanifanyia hivyo Abby jamani, hupokei simu zangu, hujibu meseji, nimekukosea nini?”
“Wala hakuna ulichonikosea ila…”
“Ila nini, au hukupenda nilivyokupa, mimi sijui ndomana nikakupa vile endelea kunifundisha fundisha hivyo hivyo, nitazoea tu”
“Mh jamani mbona siyo hivyo, nilikuwa tu bize bize ndiyo maana, nikaona nikipokea simu yako nitakupa ahadi ya uongo”
“Sawa bwana, ukaamua kuniacha mwenyewe nateseka, haina shida, naenda zangu kazini saa hizi”
“Oooh nisamehe bwana, mimi leo ningekuja sema tu kwa sababu unaenda kazini ndiyo maana nikaona kama uta…”
“Njoo Abby”
“Lakini si unaenda kazini?”
“Hamna naweza kutega leo, lakini kama unakuja kweli niambie”
“Mh utege kazini tena jamani?”
“Niambie ukweli Abby, unakuja au hauji?”
“Nakuja”
“Asubuhi hii hii, na ukinidanganya ohooo”
“Usijali mama najiandaa hapa nakuja muda si mrefu”
“Nakusubiri” mama huyo mtu mzima, daktari alinijibu na kukata simu, nikaitazama na kuitupia pembeni na ni kweli leo nilidhamiria kabisa kwenda kwake kwa sababu jana nilishamaliza hamu zangu kwa dada muuza mboga za majani na mama mchungaji ndomaana sikutaka kwenda kwake, nilijiandaa na kutoka nikaingia kwenye gari langu dogo na kuondoka,
Wakati nikiwa nimeingia barabara ya sokoni, mbele yangu kulikuwa na gari dogo la vinywaji likivishusha kwenye maduka, limesimama barabarani kabisa lakini pembeni kwenye upande ninaopita, nilipolipita kwa bahati mbaya mbele kulikuwa na mwanamke akivuka ambae hakuchungulia kwa tahadhari kabla hajavuka, nikampigia honi na kufunga breki nikijikuta namgonga….
Sehemu 15
Haraka nilishuka kwenye gari na kumkimbilia mwanamke huyo mwenye beseni lake la matunda ambae alikuwa ameanguka chini na si mimi tu mpaka watu waliokuwa sokoni hasa wafanyabiashara pamoja na wapita njia wakaja kushuhudia ajali hiyo niliyoisababisha, wengine wakilizunguka gari langu wakitaka kulivunja vioo kwa akili zao za kijinga na wivu uliowajaa lakini wengine wakawazuia kufanya hivyo hasa mzee mmoja
“Hebu acheni kutaka kuharibu gari la watu bila sababu ya msingi, kwani huyu kijana amekusudia kumgonga, huyu mama ndo mwenye makosa alikuwa anavuka kwa kukimbia bila kutazama gari upande wa pili kwa sababu lile lilimziba na wala hajagongwa, amesukumwa tu kwa sababu huyu kijana aliwahi kufunga breki” mzee huyo alinitetea wakati mwanamke huyo mnene akiinuka pale chini na beseni lake la matunda likiwa limepasuka, ndizi, matango na matunda mengine yakiwa chini na mengine yakikanyagwa na mengine yakiokotwa na watu wasio na huruma
“Upo sawa dada?” nilimwambia akiwa ni wa makamo tu ila mwili wake mkubwa na bahati mbaya sasa nyuma alifungashia haswa, matako yake makubwa yalitikisika wakati akiinuka na kujifunga khanga vizuri, ikabidi nitazame pembeni maana kitendo tu cha kumwangalia nyuma tayari kilishanichafulia hali ya hewa
“Nipo sawa tu jamani, usijali mdogo wangu”
“Hujaumia popote?”
“Sijaumia, halafu wala hujanigonga ni presha tu na wasiwasi wa kugongwa ndo maana nikaanguka”
“Oooh pole sana, kama umeumia basi nikupeleke hospitali”
“Hapana sijaumia”
“Gharama ya hivi vitu ni shilingi ngapi?”
“Hayo matunda ni elfu ishirini tu ila usijali ni bahati mbaya”
“Hapana lazima nivilipe dada usijali, hii hapa elfu hamsini”
“Mh yote hii jamani?” aliniambia mwanamke huyo ambae alikuwa amevaa hijabu (nikabu) kichwani akionekana ametokea sokoni kununua vitu hivyo ili auze kwa kutembeza (kuchuuza) majumbani
“Eeh usijali, yote hii, itakufaa pia katika mambo mengine”
“Asante” alijibu huku watu wakienong’onezana na wengine wakirudi kwenye shughuli zao baada ya kuona hakuna maafa katika ajali hiyo,
“Usijali, jamani asanteni sana kwa kujali” niliwashukuru watu na kurudi kwenye gari huku yule mwanamke akinitazama sana, yule mzee aliyenitetea nisiharibiwe gari langu na watu wenye hasira zilizochanganyika na wivu nilimpa shilingi elfu tano ya asante, nikaingia kwenye gari langu na kuanza kuondoka taratibu lakini wakati nampita yule mwanamke nikasimamisha gari karibu yake
“Kama kutatokea tatizo lolote kama maumivu, basi nipigie simu, andika namba zangu ni sifuri…” nilimtajia namba akaandika na kunishukuru kisha nikaondoa gari kwa kasi, safari kuelekea kwenye fremu zangu za biashara ya saluni na vipuri vya magari kisha nikaenda moja kwa moja nyumbani kwa dokta Modesta ambae kila mara alikuwa akinipigia simu akitaka kujua nipo wapi, alionekana kuwashwa haswa, kwa maelekezo kupitia simu nikafika mpaka mbele ya nyumba yake, aliniruhusu kufungua geti ambalo hakulifunga nikalifungua mwenyewe, yeye hakutoka, na gari sikuliingiza kwenye uwa wa nyumba hiyo nililiacha nje kabisa kwa tahadhari, nikaingia ndani mwenyewe na kulifunga geti kisha nikapandisha mpaka ndani na kuufungua mlango wa kuingilia sebuleni nikakutana na alama zilizobandikwa chini kwa karatasi nyekundu zilizochongwa kama mshale zikinielekeza pa kwenda, nikahisi ndiyo chumbani kwa mwanamama huyo nikaanza kuzifuata taratibu mpaka ziliponifikisha kwenye mlango mmoja zikiishia hapo, nikagonga lakini sikufunguliwa, nikaufungua mwenyewe na kuingia ndani ya chumba hicho taratibu
Nilimkuta mwanamama huyo akiwa kitandani ananisubiri, amekaa mkao wa mtoto anayetambaa huku matako yake makubwa ameyageuzia kwangu na kunipanulia kabisa, akiwa amevaa chupi nyekundu ambayo aliishusha usawa wa mapaja, matako akiyaacha wazi na kunipanulia mkund** wake huku mdomoni akiwa na pipi ya kijiti anaimung’unya akinirembulia macho yake na kuyatikisa tikisa matako yake makubwa yaliyonesa nesa mbele yangu, suruali yangu ikiwa imeshavimba tayari, dudu likiwa limesimama linataka kuitoboa kutokana na mapokezi hayo ya mitego
“Karibu Abby” aliniambia huku akiniita kwa kidole
“Nimeshakaribia” nilimjibu huku nikivua shati langu taratibu tayari kuusogelea msosi huo uliokuwa umekaa tayari kupakuliwa na kuliwa…..
Inaendelea………..