TABIA ZA MKE WANGU ZILIVYONIFANYA NITEMBEE NA HOUSEGIRL
SEHEMU YA 06
Nilibaki nimetoa macho baada ya kumaliza kuusoma ujumbe huo mfupi (SMS) kutoka kwa rafiki yangu ninaefanya nae kazi ofisi moja, nikashusha pumzi ya wasiwasi
“Moyo wangu uliponituma kuwa kuna kitu kinaendelea cha tofauti kwa mke wangu kumbe wala haujakosea, siku hizi kila siku yuko bize na simu, asubuhi, mchana, jioni na hata usiku, ni nani huyo anayemweka bize muda wote, ni mchungaji kweli yule yule ninayemfahamu mimi hapana lazima kuna mtu huenda mchungaji ni chambo tu na kisingizio, tutaona tu hakuna shida, nitajua tu mbivu ipi na mbichi ipi” nilijiongelesha mwenyewe na kuweka simu pembeni nikakaa kwenye kochi (sofa) na kuegemea kwenye mto huku nikiwa nimejawa mawazo tele kichwani, la kwanza lilikuwa ni kazi ambayo imeota mbawa sasa na sina mshahara na janga la pili lililokuwa linanisumbua ni kuhusu mke wangu Joanitha ambae alikuwa ananiumiza kichwa kutokana na tabia zake za hivi karibuni, ameanza kuwa na safari nyingi zisizokoma, nyumbani siku moja, siku nne zote safari akiwa ni muimbaji wa nyimbo za injili kanisani, akiwa na albamu moja ya kusikiliza (audio) ambayo ni mimi niliyempeleka studio na kumlipia kwa pesa yangu mfukoni wakati huo nilipokuwa vizuri na kumpelekea redioni akasikika na kutambulika na kuanza kualikwa, awali niliona sawa lakini sasa mialiko ilikuwa mingi imezidi kiasi na simu imekuwa ndiyo rafiki na mtu wake wa karibu sana na siyo hayo tu, imefikia wakati mpaka unyumba nanyimwa kama mwanandoa tuliyefunga ndoa halali na takatifu kanisani, siyo siku moja, mbili au tatu, zaidi ya mwezi mzima siujui mwili wa mke wangu na kila siku ni vijisababu tu visivyoisha vya hapa na pale, mara naumwa, mara nimechoka, mara tendo siyo chakula mpaka kila siku, mpaka nikajihisi huenda nikawa sina nguvu za kiume au simridhishi tena sikuhizi na hilo ndilo lililonipa wasiwasi zaidi, mpaka ikafikia kipindi nikatamani kutafuta mwa amke mwingine pembeni yaani ‘mchepuko’ nifanye nae shughuli ili nijijaribu kama kweli siku hizi uwezo (perfomance) umeshuka au kuna sababu nyingine lakini nisingeweza kutoka nje ya ndoa yangu kwa sababu ya maadili niliyolelewa tangu nyumbani na kiimani (kidini)
“Kaka Eddy….!” nilisikia nikiitwa nikageuka na kumuona mwanadada Debora, dada wa kazi (housegirl) akiwa pembeni yangu amesimama
“Oooh naam Debora”
“Mh kaka kwani unaumwa siku hizi mbona unaonekana haupo sawa, kama unaumwa basi kapime ujue afya yako maana unakaa kiunyonge sana mpaka naogopa maana nimekuita tena mara kadhaa haujanisikia na upo hapa hapa mbele yangu”
“Ni mambo ya kawaida tu tuachane nayo, vipi unahitaji chochote kile?”
“Nahitaji tu simu yako uniazime niongee na rafiki yangu mmoja hivi, jumapili nataka kwenda kumtembelea kwao na sipajui maana analalamika kweli tangu nimekuja huku Dar sijaenda kumtembelea hata siku moja wakati na yeye yuko huku huku Dar maana tumetoka kwenye kijiji kimoja”
“Ooooh sawa simu hii hapa chukua”
“Asante kaka natumia dakika mbili tu”
“Hamna Debora, ongeeni tu mpaka mmalize nina kifurushi cha wiki mitandao yote na sijazitumia hata robo, midakika mingi sana wala siimalizi”
“Haya asante kaka” aliipokea simu yangu kwa tabasamu na kuondoka mbio mbio kwenda jikoni akiwa amejifunga kitenge na kukifungia kwa shingoni huku juu akiwa amevaa blauzi, mke wangu Joanitha anapotoka ndipo mwanadada huyo hujiachia kidogo, nikamtazama wakati akiondoka nikiangalia kwa makini makalio yake makubwa yanavyoruka ruka kila alipopiga hatua kukimbia, tamaa yangu ikizidi kuwaka juu yake isivyo kawaida, awali sikuwahi kuwaza kumtamani lakini sasa nilijikuta namtazama kwa muda mrefu mpaka alipoingia jikoni ndipo nami nikarudisha uso wangu pembeni
“Edmund, mke wako kama anakuzungusha malizana na Debora huyo, mtoto nyama nyama, unachokawiza nini……dah sijui atanielewaje huyu msichana kwa jinsi ninavyomuheshimu na anavyoniheshimu na kunichukulia kama kaka yake halafu leo hii nimtongoze, hapana nitavumilia tu kulinda heshima yangu, hakuna namna” nilijiuliza na kujijibu mwenyewe nikainuka na kwenda chumbani taratibu lakini nikasikia sauti ya Debora jikoni ya chini sana wakati akizungumza na mtu tena akinitaja jina langu nikashtuka na kughairi kuingia chumbani kwangu nikaona nikamsikilize jikoni kwa nini amenitaja, nikajibanza na kumchungulia akiwa kwenye sinki la kuoshea vyombo anavisuuza huku simu ameibana begani
“Basi ndo hivyo rafiki yangu nyumba niliyopo nzuri tu ila changamoto ni mwenye nyumba mmoja, huyu mama mh ana gubu siyo la nchi hii, mkali mkali tu muda wote wala hana urafiki na mtu ila huyu baba mumewe ni mkarimu sana yaani na mzuri, ungemwona hee mpaka natamani hata angekuwa mume wangu jamani ningeinjoi sana na ningempa mapenzi yote, anazungumza vizuri na anajali, mkarimu yaani tofauti kabisa na mkewe, yaani mpaka nimetamani awe mume na hata hii namba niliyokupigia na simu ninayotumia ni vya kwake, amesema niongee tu mpaka nimalize sawa, halafu kingine sasa, huyu baba sijui kaka ana lidude hilo loh, taulo lilimuanguka bahati mbaya basi nikaona mambo uuuwiii nimechanganyikiwa mpaka sasa ile picha inajirudia rudia kwenye akili yangu mwenzio uuuwiiii yaani mh yamenikuta makubwa leo mwenzio” Debora alinisifia mbele ya rafiki yake
“Baba unaangalia nini mbona umejificha hapo, unacheza komborela au unamwangalia dada Debora jikoni anavyopika ubwabwa?” Nikasikia sauti ya Erick mtoto wangu ambae alikuwa ameamka tayari amesimama mbele yangu mpaka Debora jikoni akasikia
“Ohoooo huyu mtoto anaharibu sasa”……
SEHEMU YA 07
“Baba kwani unamuangalia dada Debora jikoni anavyopika?” Erick aliuliza tena kwa msisitizo
“Hamna simuangalii yeye naangalia tu kitu kingine, nilikuwa napita tu kwenda huku, umeamka?”
“Ndiyo baba nataka kwenda kukojoa”
“Haya twende nikupeleke uka….”
“Kaka Eddy mwache tu mtoto nitaenda kumkojolesha”
“Hapana Debora wala usijipe tabu nitampeleka”
“Hamna, Erick ni jukumu langu, twende mtoto mzuri” alimwambia akimbeba kabisa
“Sitaki nataka baba anipeleke” Erick aligoma kupelekwa chooni na dada wa kazi (housegirl) Debora
“Erick tabia gani hiyo unayoionyesha kumkataa dada hebu nenda nae huko chooni”
“Sitaki mimi baba nakutaka wewe” aliendelea kulalamika huku akimshika shingoni Debora ambae aliendelea kumbembeleza bembeleza kwa bidii mpaka na alipofika kwenye mlango wa chooni akamshusha mtoto wangu huyo mdogo lakini muongeaji sana na akamwacha aende mwenyewe ndani kukojoa kisha yeye akasimama vizuri na kumbe upande wa kitenge aliojifunga shingoni ulikuwa umefunguliwa kwa bahati mbaya na Erick katika purukushani za kumkataa, aliposimama kitenge chake hicho kikaachia akiwa hana habari na akabaki na blauzi tu na chup** aliyovaa nikabaki nimetoa macho nikiwa nimesimama nyuma yake nikitamani kugeuka na pia nikitamani kuendelea kuyatazama makalio yake makubwa mwanadada huyo wa kisukuma
“Umeshakojoa mtoto mzuri?” alimwuliza mwanangu huku akiinama kumfunga zipu yake ya suruali na ndipo alipozidi kunipa mtihani niliposhuhudia makalio yake makubwa yakipanuka mbele yangu akiwa na chup** tu na huku juu amevaa blauzi hana habari ya kinachoendelea, mambo yalishaharibika kwenye suruali yangu, muhogo wa jang’ombe 🍆 ulisimama dede ukinyooka na kupinda kidogo kwenda juu mithili ya ndizi mbivu lakini ukipindia pembeni kutokana na kubanwa na suruali yangu na ndipo alipojiona kuwa hana nguo kuanzia kiunoni kwenda chini akaiokota haraka haraka na kujifunga kitenge chake akageuka kunitazama nami nikamuwahi kabla hajanitazama nikageuka nyuma haraka nikizuga kama sijamuona vile na kujikoholesha nadhani alihisi kuwa nimeshamuona akanipita haraka haraka bila kunisemesha chochote akiwa na mtoto wangu Erick nami nikarejea chumbani kwangu na kujitupa kitandani bado mambo yakiwa yameharibika kwenye suruali, Jogoo🍆 alikuwa hana amani, amejaa njaa ya kula chochote kitu, akipumua ndani ya suruali, ikabidi niivue kabisa suruali na kuitupia pembeni maana safari imeshakufa tayari nikabaki na boksa tu ambayo nayo niliona inanipa tabu nikaitoa na shati na kila kitu nikabaki mtupu sina nguo yoyote mwilini na kwakuwa nilikuwa chumbani sikuona tabu, nikabaki nimelala chali mwili lakini jogoo🍆 akiwa amesimama dede hataki kulala ananesa nesa tu kidogo kulia na kushoto, nikamshika na kumpapasa papasa
“Tulia ndugu yangu tulia usinipelekeshe, nimeoa, vumilia tu ndugu yangu” nilimpoza jogoo🍆 wangu na muda huo huo nikasikia mlango ukigongwa na sauti ilikuwa ya Debora nikavaa bukta tu na kwenda kumfungulia mlango nikakutana nae uso kwa uso macho kwa macho
“Kaka Eddy, simu yako” alinionyesha lakini sikumjibu kitu, akiwa ameninyooshea mkono kunipa simu yangu nikaushika mkono wake na kumvuta ndani chumbani nikaufunga kwa ndani na kumuegemeza ukutani
“Debora” nilimwita kwa sauti ya chini na kuanza kumbusu busu shingoni taratibu
“Kaka Eddy jamani ndo unafanya nini mimi sitaki” alilalamika
“Kidogo tu Debora, siwezi kuvumilia kuendelea kukutazama tu, naumia” nilianza kumshika shika matiti yake kifuani nikimtomasa tomasa taratibu na kuivuta blauzi yake nikiipandisha kwa juu na kuyaacha matiti yake wazi, nikasogeza midomo yangu na kuanza kuyanyonya kwa zamu moja baada ya jingine
“Kaka Eddy jamani unanitekenya aaasshh” alilalamika kwa kudeka huku akikishika kichwa changu akikikandamizia kifuani mwake
“Pole, kidogo tu, kidogo”
“Mke wako akijua nitafukuzwa kazi aaaaasssh”
“Hawezi kujua Debora, hii ni kati yangu mimi nawewe, niokoe, nina hali mbaya sana juu yako, nina hali mbaya Debora”
“Aaaash kaka Eddy sitaki mwenzio aaaaah” alilalamika kwa maneno tu lakini kwa matendo akionekana anakifurahia ninachokifanya maana kichwa changu alikishika kisogoni akiking’ang’ania na kukikandamizia kifuani mwake nisije nikatoa midomo yangu na kusitisha zoezi la kumnyonya matiti yake, mambo yalikuwa mambo na hali si hari kwangu, tukiwa pale pale ukutani nikamgeuza augeukie ukuta na kunipa mgongo, kitenge chake kikaporomoka chini kabisa akabaki na blauzi tu ambayo nimeipandisha kwa juu na chini akibakiwa na chup** ambayo niliishusha mpaka usawa wa mapaja yake nikamwinamisha kidogo akiyapanua makalio yake na kila kitu nikikiona kwa usawa kabisa, haraka haraka nikiwa nimejawa uchu nikashusha bukta usawa wa magoti, jogoo wangu sasa akiwa amenyooka na kuvimba kwa hasira akihemea hemea juu juu
“Samahani Debora!” nilimwambia huku nikimlengesha jogoo🍆 wangu kwenye tunda’ la katikati ya mapaja yake
“Kaka Eddy, kaka Eddy?” mara nikasikia akiniita huku akinipungia mkono machoni nikashtuka, kumbe nilichokuwa nakiona na kukifanya wala hakikuwa kweli ila ni mawazo yangu tu
“Oooh Debora”
“Upo sawa kaka Eddy?”
“Nipo sawa tu”
“Simu yako hii nakupa, asante kaka Eddy”
“Oooh usijali”
“Kaka Eddy uuwiii?!!?” alishangaa akiniangali chini nilipojitazama nikaona jinsi bukta yangu ilivyokuwa imepanda juu, jogoo🍆 akiwa ameipandisha kabisa kutokana na kunyooka kwa kupinda kuelekea juu…..
SEHEMU YA 08
“Oooh samahani Debora” ilibidi nigeukie nyuma baada ya mwanadada huyo kuniona jinsi bukta yangu ilivyovimba mbele kwa ajili ya mawazo ya ajabu ajabu niliyomuwazia nikiona kama ananipa penzi na kumbe wala, alikuwa tu amesimama mlangoni ananipa simu nikaipokea kinyume nyume akaondoka nami nikaufunga mlango na kurejea kitandani taratibu, nikakaa kitako na kuivuta bukta yangu hiyo ya mpira kiunoni nikijitazama jinsi mambo yalivyobadilika, nikahema na kuchukua simu nikatafuta video yoyote ya kufurahisha mtandaoni ilimradi tu nipoteze mawazo ya kimapenzi yanayonikabili juu ya dada wa kazi (housegirl) kidogo ikawa afadhali maana tulikuwa wawili tu nyumbani, chochote kingeweza kutokea kama ningeendelea kuwaza ninayoyawaza na hatimae nikachukua nguo zangu chafu ili nikafue, siku hizi kufua lazima nifue tu mwenyewe kwa sababu mke wangu hakuna kazi anayoifanya ndani zaidi ya kujipodoa na kuondoka, hata mapishi yake sijawahi kuonja muda mrefu sana, mwaka sasa hakai jikoni yeye akirudi ni kula na kulala tu, nachokula ni cha dada wa kazi, nguo siyo zangu tu hata zake mwenyewe kufua hafui hata siku moja zaidi ya kumpa dada wa kazi azifue, kutwa vidoleni kuweka kucha za bandia, tabia zilizokuwa zikinikera tena makucha yenyewe marefu
Mke wangu ni mtu ambae siku hizi amekuwa na kiburi, hapendi kabisa kuelekezwa chochote, yeye anaona kila kilicho sawa kwake basi na kwa wengine ni sawa tu, ukijaribu kumkosoa au kumuelekeza basi lazima tu aanzishe ugomvi, jambo ambalo lilinifanya niwe mkimya mara nyingi hata ninapoona ameharibu ili kuepusha mizozo isiyo na sababu,
Nilipotoa nguo nje taratibu nikaelekea dukani kununua sabuni ya kufulia na niliporejea nikashangaa kukuta nguo zangu zimewekwa kwenye beseni kubwa na kulowekwa tena kwa sabuni,
“Debora!” ilibidi nimuite
“Abee kaka?” alikuja mbio mbio, na ndiyo kawaida yake kila nikimuita lazima akimbie mara moja
“Mbona umenilowekea humu nguo zangu mimi sikutaka kufua mapema sana”
“Nakufulia kaka acha tu”
“Unanifulia nguo zote hizi, hapana ni nyingi sana acha tu nitafua mimi mwenyewe”
“Hamna kaka Eddy kwani wewe unaziona nyingi hizi wala siyo nyingi ni chache tu nazimaliza mara moja tu”
“Debora?”
“Mbona wifi Joanitha ananipaga nguo nyingi sana tena zaidi ya hizi kaka Eddy, wewe wala hujawahi kunipa nguo zako nikufulie”
“Nakuhurumia ni nyingi hizo na una majukumu mengine Debora?”
“Majukumu yangu yaliyonileta hapa ndo haya wala usijali kaka Eddy kama una nguo nyingine niongezee tu nitafua zote”
“Haya asante sana Debora, ndo hizo hizo tu nguo zenyewe, mimi naenda barabarani tu hapo mara moja, narudi”
“Haya kaka Eddy uninunulie basi zawadi”
“Zawadi tu wala usijali”
“Haya asante sana kaka” alinishukuru na kuinama kuanza kuzikusanya nguo zangu huku akiimba wimbo wa bongofleva na kucheza akiyatikisa makalio yake makubwa nami nikiondoka huku namtazama kwa umakini huku nikijikuna kichwa, dada wa kazi huyu siku za hivi karibuni akiwa ameanza kunichanganya akili yangu almanusura nijigonge kwenye mti wa mlonge kutokana na kumwangalia muda mrefu na ndipo nilipoongoza njia mpaka barabarani kwenda kutoa akiba yangu ya shilingi elfu hamsini kwenye simu niliyobaki nayo, baada ya kuitoa nikaanza kutafakari zawadi ya kumbebea Debora kama alivyoomba nikijikuta mawazo yote kwa mke wangu Joanitha yanaondoka, nikaona duka la simu na kuna simu ndogo za tochi na vitufe (buttons) nikaulizia bei na kupata za elfu ishirini, nikanunua moja kwenye boksi lake ikiwa mpya na kuitia kwenye mfuko safari taratibu ikaanza kurudi nyumbani, nikamkuta hayupo nje ameingia ndani nilipofika sebuleni nikamkuta akiwa anajifunua kitenge alichokivaa ili akifunge vizuri akiwa hajaniona, amenigeuzia mgongo, akajishika kwenye makalio yake makubwa akiivuta chup** yake iliyokuwa imeingia ndani akiitoa kuiweka vizuri
“Mh mh mh” nikaguna, akashtuka na kugeuka
“Kaka Eddy mara hii umesharudi?”
“Yap yap nimerudi”
“Mbona mapema” alijichekesha chekesha kwa aibu akijishtukia akihisi nimemuona alichokuwa anakifanya
“Nilienda kutoa pesa tu”
“Zawadi yangu ya big bom iko wapi?”
“Kafue tu kwanza halafu nitakupa”
“Mh nilikutania tu kaka Eddy kumbe umeniletea kweli?”
“Utajuaje kama namimi nakutania tu, kafue halafu tutaongea” nilimwambia akanipita haraka haraka kuelekea nje akaendelee kufua nami nikakaa sebuleni na kukaa kwenye kochi (sofa) na muda huohuo simu yangu ya mkononi ikaita, kutazama namba ilikuwa ni ngeni, nikaipokea na kuweka sikioni bila kuzungumza kwanza
“Hallow!” sauti ya mwanamke iliongea kiunyonge na huku ikiwa na kwikwi ya kilio
“Halow habari?”
“Siyo salama, naongea na Edmund?”
“Ndiye mimi, nani mwenzangu?”
“Mama mchungaji Bukuku”
“Oooh Bwana asifiwe mama mchungaji, za siku nyingi?” nilimwuliza mwanamama huyo ambae nilikuwa namfahamu na aliwahi mpaka kuja nyumbani kwenye ibada ya nyumbani (zone) na mumewe
“Siyo wakati wa Bwana asifiwe huu, hivi mke wako Joanitha ananitafuta nini mimi Edmund?”
“Mke wangu, kivipi?”
“Mke wako kila siku kuongozana na mume wangu, kanizidi mpaka mimi na nimekuja kugundua kuwa anatoka na mume wangu kimapenzi” mwanamama huyo aliniambia kauli ambayo ilinifanya mwili mzima ushikwe na ganzi, nikashindwa kuzungumza kwa sekunde kadhaa nikibaki nimeishikilia simu…..
SEHEMU YA 09
“Mama mchungaji unazungumza kuhusu nini?”
“Kwahiyo haunielewi ninachokizungumza Edmund, naongea peke yangu hapa au, namzungumzia mkeo Joanitha kwanini atembee na mume wangu, haoni hata aibu?” mwanamama huyo aliongea kwa jazba akionekana amejawa hasira na ametoka kulia kwa sababu ya kwikwi aliyonayo
“Mama mchungaji tafadhali usipaniki, hebu shusha pumzi na nielekeze vizuri kuhusu hizo habari maana hata mimi siku hizi za karibuni nimekuwa simuelewi elewi mke wangu Joanitha lakini haimaanishi kwamba ndiyo anatoka na mumeo, hayo ni mageni kwangu hebu nieleweshe, umejuaje mambo hayo?”
“Edmund, mume wangu kila siku safari za huduma siku hizi haziishi, basi angalau tuongozane na mimi mkewe mama mchungaji, ananikwepa kila siku hataki kuongozana na mimi, sababu juu ya sababu, kila siku maneno tu ananipanga hili ananipanga lile, najiuliza shida ni nini hasa haijulikani, kwanini anikwepe na wakati mimi ni mkewe wa ndoa na ni mama mchungaji…..?!” alimeza mate kidogo na kisha akaendelea….
“….sasa nikajua anaenda peke yake huko kwenye huduma kumbe kila siku anaongozana na mke wako Joanitha, dada yule ninavyompenda na wewe mumewe mnajua jinsi ninavyowapenda sana sasa hata taarifa sina kuwa wanaongozanaga wote kila safari, wewe una taarifa hiyo Edmund?”
“Mh mimi nilikuwa najua kidogo tu lakini kwa sababu ni huduma ya injili ya uimbaji aliyonayo mke wangu nikaona hakuna ubaya wa kuanza kumuhisi hisi vibaya nisije nikakosea hasa ukizingatia yupo na mtumishi wa Mungu”
“Nimegundua kuwa wakati mwingine wala hawaendi kwenye huduma Edmund, kuna mama mchungaji mwenzangu mmoja aliwakuta hotelini huko wanaogelea kwenye maswimingipulu sijui manini akanipa taarifa yaani namsubiri tu arudi nyumbani hapa akirejea tu ni mimi na yeye na mpaka ushahidi wa picha ninao wa kinachoendelea kati ya mkeo na mume wangu Bukuku” mama huyo aliongea nami nikabaki nimeganda kama sanamu nikihisi mwili hauna nguvu kutokana na taarifa hizo zilizonikereketa nikijihisi hasira
“Nitumie hizo picha mama mchungaji”
“Sawa baada ya dakika chache utaziona na video kabisa ya mke wako na mume wangu wakiwa wanakula raha hotelini na huku tukijua wanaenda kwenye huduma, mke wako nilitaka nije hapo nimfundishe adabu lakini nikakumbuka kuwa kuna mwathiriwa mwingine kama mimi nae ni wewe ndo maana nikajivika ujasiri kukuambia Edmund maana haunaga mambo mengi kaka wa watu ni mtulivu sana katika ndoa yako, nimekutaarifu tu kuwa unaishi na shetani nyumbani na shetani mwingine ninaye huku nyumbani, na kingine nachokuomba ni hiki, mambo ya mume wangu tafadhali wala usihangaike nayo naomba uniachie mimi mwenyewe nitamalizana nayo huku na ndiyo maana sikutaka kuficha kitu nikakwambia wazi wazi”
“Usiwe na shaka mama mchungaji, mimi ni mwelewa sana na nimekuheshimu kwa ujasiri wako wa kuniambia mpaka habari za mume wako, sitakiuka mapatano yetu”
“Asante sana Edmund, ngoja nikutumie” aliniambia nikamkatia simu na kuitupia pembeni kitandani, nikaufuta uso wangu nikitafakari kwa kina niliyoyasikia kutoka kwa mama mchungaji wangu, kwenye kanisa ninalosali mimi na mke wangu Joanitha ingawa mimi nina muda mrefu sijaenda kanisani, muda huohuo ujumbe mfupi (SMS) ukaingia whatsapp nikaufungua kiunyonge kutazama na ndipo nilipokutana na picha za mke wangu akiwa na mchungaji na video moja ikiwaonyesha wakiwa kwenye bwawa la kuogelea (swimmingpool) hotelini, nikashindwa kuendelea kutazama nikabaki nimeishika simu lakini macho yakitazama pembeni kwa hasira na muda huohuo mama mchungaji akapiga tena nikapokea
“Nadhani umeona Edmund?”
“Nimeona mama mchungaji asante” nikamkatia simu na kuitupa pembeni nikajitupa kitandani nikilala chali na kutazama juu kwenye dari nikiwaza mengi, huenda sababu ya mambo yangu kiuchumi kuyumba ndiyo maana mke wangu Joanitha ameamua anipige za uso
“Kaka Eddy, kaka Eddy amka chakula tayari” nilitikiswa tikiswa na kufumbua macho nikamwona dada wa kazi Debora akiwa ameingia chumbani kwangu kuniamsha
“Oooh Debora kwani saa ngapi saa hizi?”
“Saa tisa mchana kaka”
“Saa tis, kumbe muda umeenda, kwahiyo nililala tangu saa tatu mpaka saa hizi mbona hukuniamsha?”
“Nilijua umepumzika tu”
“Hapana nilipitiwa na usingizi, oooh zawadi yako ile pale kwenye mfuko kaifungue tu uitazame” nilimwonyesha akakimbia mbio mbio na kuchukua mfuko akaufungua na kukutana na boksi ambalo nalo alipolifungua akakutana na simu ya mkononi
“Kaka Eddy, hii simu ya nani?”
“Kwani nimekwambia ufungue nini Debora jamani?”
“Kwani ndo zawadi uliyoninunulia”
“Una maswali magumu ujue, kama hujaipenda ilete”
“Hamna mimi nilijua utaninunulia tu vi biskuti vi pipi vya kumung’unya kumbe umeninunulia simu kwa hela yote hiyo jamani?”
“Kwani simu hizo zina bei kubwa, mbona kitu kidogo tu, nimeona unahangaika simu kuwasiliana nikaona nikurahisishie kazi” nilimjibu nikiwa nimeinuka na kukaa kitako kitandani
“Jamani asante sana kaka Eddy asante uuuwiiii kwa zawadi kubwa” alinikimbilia na kunikumbatia kwa nguvu pale kitandani kutokana na uzito wake nikajikuta naanguka chali na yeye ananilalia kwa juu huku mikono yangu nikijikuta namshika kiunoni tukabaki tunatazamana usoni…..
SEHEMU YA 10
Tulibaki tunatazamana usoni mimi na dada wa kazi, Debora ambae alikuwa amenilalia kwa juu tukiwa kitandani baada ya kunirukia kwa nguvu kutokana na zawadi ya simu mpya niliyompa ingawa ni ya vitufe (buttons) na tochi
“Samahani kaka Eddy” alijishtukia na kutaka kuinuka atoke lakini nikamshikilia kiuno safari hii nikiwa nimejitoa ufahamu sitaki kumuachia
“Bila samahani Debora vipi umeifurahia zawadi?”
“Ndiyo ni nzuri sana kaka Eddy jamani sijui hata nikiurudishie nini kama shukrani yangu umekuwa bosi wangu mzuri sana, unanilipa kwa wakati yaani ni zaidi ya bosi” aliongea akifurukuta kutaka kujitoa juu yangu nikiwa nimembana kiuno ipasavyo
“Kuna kitu unaweza kunipa kama shukrani Debora”
“Kipi kaka Eddy hebu jamani umenishika niachie nikachambue mboga ya usiku”
“Mboga nitakusaidia kuchambua leo, kifikirie hicho kitu ambacho unaweza kunipa kama shukrani, kipo”
“Mh kaka Eddy jamani?”
“Vipi nakuumiza Debora?”
“Hamna hauniumizi ila unanitekenya kunishika hivyo kiunoni naomba nitoke” alilalamika nikamgeuza haraka na kumweka chini akiwa na blauzi na kitenge tu amejifunga
“Utoke uende wapi Debora, vipi hauna chochote unachotaka kuniambia?” nilimwuliza nikimtazama machoni akiwa kwa chini akiwa wa baridi ametoka kuoga muda mfupi uliopita, akatazama pembeni kwa aibu akiogopa kunitazama
“Hamna kaka Eddy jamani, nilikuja kukuamsha tu ukale chakula”
“Basi mimi ninacho cha kukuambia Debora” nilimjibu na kumwacha nikainuka kitandani nae akakaa kitako nikaufuata mlango na kuufunga kwa ndani
“Mbona unafunga mlango?”
“Kwa sababu sitaki mtu yeyote atusumbue sumbue” nilimjibu na kurudi kitandani na sikutaka kumsemesha semesha tena maana hali yangu ilishabadilika na mambo kwenye bukta yaliyashachafuka, nikavua nikamsogelea na kuchuchumaa mbele yake
“Kaka Eddy ni…”
“Shiiiii, naomba hii iwe siri yangu mimi na wewe tu usije ukamwambia mtu yeyote tafadhali nilindie heshima yangu” nilimwambia huku nikikipandisha kitenge chake na kuanza kumpapasa papasa mapaja yake taratibu niliyoyaacha wazi
“Kaka Eddy jamani mbona hivyo, mke wako akijua je?” alilalamika huku akinyonya kidole na kugeuza macho pembeni, nikamsukuma akaangukia kitandani chali nami nikamfungua kitenge chake na kukivuta pembeni nikakitupa chini akabaki na chup** tu ambayo nayo niivuta mpaka usawa wa mapaja na akitazama pembeni kwa aibu na ndipo nilipokutana na tunda’🍎 lake uso kwa uso nikamshika mapaja yake na kuyapanua kulia na kushoto ili nilione kabisa likiwa limezungukwa na bustani yenye nyasi fupi fupi, sikusita kupitisha kichwa changu na kupitisha ulimi kwenye tunda taratibu nikifanya kama naonja kama lina chumvi ama sukari, akashtuka
“Aaasssh kaka Eddy?” alilalamika
“Pole!” nilimjibu na kumshikilia vyema asifurukute kisha nikaanza kuichezesha ncha ya ulimi taratibu kwenye tunda’🍎 lake huku jogoo🍆wangu ndani ya bukta akiwa amesimama dede anapumulia juu kwa juu akiwa ana hali mbaya ana njaa kweli kweli
“Uuuuwiiiii uwiiiii jamani jamani kaka Eddy nakufa, nakufa mwenzio” alilalamika kwa Kiswahili akichanganya na maneno ya kisukuma ambayo sikuyajua maana yake, akitoa macho na kuhangaika hangaika akinishika kichwa changu akitaka kubana mapaja baada ya spidi ya ulimi wangu kwenye tunda🍎lake kuongezeka, nikiungiza mpaka ndani kidogo na kuutoa nikiuchezesha chezesha haraka haraka, nikiupitisha kwenye kuta za pembeni za pande zote mbili na nikiusafirisha kutoka ncha ya kusini mpaka ya kaskazini na kutoka kaskazini na kuurudisha kusini kwenye tunda🍎 hilo linalodaiwa kuwa ni tunda tamu kuliko matunda yote duniani lakini kwa wakati huohuo likiwa ndilo tunda 🍎lenye sura mbaya (kimwonekano) kuliko matunda yote duniani
Niliendelea kulinyonya tunda🍎bila kumhurumia malalamiko yake akiwa ametoa macho anatamani kubana miguu mpaka nilipoona tunda🍎 linatoa utomvu’ nikatoa midomo yangu nikimwacha Debora hoi ametoa macho huku mapigo ya moyo yanamuenda mbio, taratibu nikaanza kuusafirisha ulimi wangu uliokaa kwenye tunda🍎kwa zaidi ya dakika kumi nikiupandisha juu ukatulie kwenye matit** kifuani mwa mwanadada huyo na muda huo huo tukasikia mlango wa sebuleni ukifunguliwa na sauti ya mlio wa simu ambao niliutambua, ilisikika, ilikuwa ni simu ya mke wangu, Joanitha inaita, Debora akatoa macho nami nikasitisha zoezi langu kwanza
“Hii nyumba kuna watu kweli, mbona mlango uko wazi na ndani kweupe?” Joanitha alijiuliza sebuleni alipoingia, tukiwa tumesimamisha zoezi letu chumbani……
Inaendelea