TABIA ZA MKE WANGU ZILIVYONIFANYA NITEMBEE (NICHEPUKE) NA HOUSEGIRL
SEHEMU YA 21
“Edmund?!” aliniita nami nikabaki nimesimama mlangoni, sikumwitikia nikaingia chumbani haraka na kuvaa bukta yangu na vesti kisha nikarejea nikimkuta bado kinywa wazi akiwa amekaa kwenye kochi (sofa) sebuleni ananisubiri
“Karibu sana” nilijifanya kama siyo mimi, nikakaa kwenye kochi (sofa) jingine baada ya kumkaribisha
“Asante, za tangu muda ule?” alitabasamu wakati akiniuliza
“Njema kabisa, za msibani?”
“Njema, mh Edmund jamani umenishtua?”
“Kwa nini?”
“Ulikuwa unaenda kuoga au?” aliniuliza ikabidi nitabasamu kwanza kabla ya kujibu swali lake, akiwa ameishikilia mada ile ile ambayo mimi nilitaka kuipotezea ili tuzungumze mambo mengine
“Vipi umewasiliana na mchungaji?”
“Aah wapi, nimeachana nao, mimi unafikiri nina muda tena wa kumfuatilia mtu na maisha yake, yeye si anajiona mjanja basi aendelee tu, nimeshachoka maisha ya kupigizana kelele kila siku kwa tabia za mtu zisizobadilika siku hadi siku ndokwanza zinazidi kukomaa tu”
“Pole sana mama mchungaji kwa jaribu zito”
“Unanipa pole mimi tena wakati wote tuna majaribu, halafu Edmund si nimekukatalia habari za kuniita mama mchungaji wakati hatupo kanisani hapa?”
“Oooh samahani, nilijisahau”
“Umewasiliana na huyo mke wako?”
“Hapana, sina mpango wa kuwasiliana nae kabisa”
“Utakuwa umefanya la maana, dawa ya moto ni moto na jino kwa jino, kinachomsumbua mume wangu ni pesa anazozishika siku hizi, kwenye hiyo huduma kubwa waliyompa wazungu aisimamie hapa hapa nchini, sasa siku si nyingi ataangukia pua, yangu macho tu, kanunua gari akaona nitaongea ongea sana akaninunulia gari mimi nikajua zawadi ya mahaba ya mume kwa mke kumbe ni kunisahaulisha tu nisimfuatilie fuatilie sasa hajajua kuwa na mimi ni mwanadamu tena mwanamke mwenye hisia vile vile kuna wakati natakiwa kujiongeza tu”
“Unamaanisha nini mama mchung…oooh sorry nilitaka kumaanisha Paulina”
“We endelea tu, Edmund” alinyoosha mikono yake na kunishika viganja
“Naam”
“Vipi kama na sisi tukalipiza, mimi na wewe usinielewe vibaya lakini, tumeumizwa lazima na sisi tuonyeshe kuwa hatujali na pia tunaweza kufanya lolote”
“Mh hapana, siwezi kufanya kitu kama hicho kwa ajili tu ya kulipiza kisasi, kama wameamua kufanya hivyo na waendelee tu hakuna haja ya kushindana nao kwakweli, mimi nimeshasahau sasa, maisha yangu yanasonga mbele”
“Kwani umeshapata mwanamke mwingine?”
“Hapana, nimeamua tu kuconcetrate kwenye mambo mengine ya kazi na kadhalika”
“Usinielewe vibaya lakini Edmund, sikuwa na maana mbaya kukuambia hivyo”
“Wala usijali mama” nilimjibu nikitabasamu
“Kweli haujanielewa vibaya?”
“Hapana sijakuelewa vibaya”
“Hautamuambia mtu yeyote Edmund itabaki siri yetu tu?”
“Ndiyo usijali, wasiwasi wako tu sasa mimi unadhani nitamuambia nani jamani?” nilimwuliza tukiwa bado tumeshikana mikono na muda huo huo mlango wa chumbani kwa Debora ukafunguliwa akatoka akiwa amejifunga kitenge chake na kutukuta tumeshikana mikono pale sebuleni akatutazama kwa sekunde kadhaa
“Binti hujambo?” mama mchungaji alimuanza
“Sijambo, karibu” Debora alimjibu akipita huku akionekana kutoridhishwa na mazingira aliyotukuta sebuleni, tukiwa tumeshikana mikono, akapita kwa mwendo wake huku makalio yake makubwa akiyatikisa kwa makusudi, mama mchungaji akamkata jicho akimsindikiza kwa macho wakati akipita
“Huyu binti ni nani?”
“Dada wa kazi humu ndani”
“Dada wa kazi ndo anajifunga kitenge tu namna ile si atakutia majaribuni, halafu anavyosalimia sasa kama hataki?”
“Ndivyo alivyo, usimjali sana”
“Haya mambo ya nyumbani kwa watu hayanihusu mimi ngoja niendelee na yangu, nashukuru kusikia hivyo, mimi naenda zangu niletee ule mkoba wangu”
“Kwani si ulisema leo utalala hapahapa?”
“Eeh ni kweli lakini aaah numeghairi usijali kuhusu hilo” alitabasamu nikahisi kabisa kuwa ameona nimemtolea nje alichokitaka ndiyo maana ameghairi hata kulala
“Sawa ngoja nikutoe kidogo”
“Hamna we baki tu, nitakwenda mwenyewe”
“Hapana nitakusindikiza tu usijali” nilimwambia huku akiinuka na mimi nikainuka tayari kumsindikiza, tukatoka mpaka barabarani nikamsimamishia bajaji, akaingia na kunipungia mkono nami nikampungia na kurejea nyumbani nilipofika nikaisikia simu yangu ikiita wakati Debora akiwa bafuni anaoga nikaifuata na kutazama namba ilikuwa ni ya mke wangu Joanitha, nikapokea na kuiweka sikioni bila kuzungumza chochote mpaka yeye aanze maana ndiye aliyenipigia
“Vipi unajisikiaje kuwa kwenye hoteli hii?” nilisikia sauti ya mwanaume ikiuliza, hakuwa mwingine ni mchungaji Bukuku
“Najisikia vizuri kabisa baba mchungaji jamani uuwiii hii hoteli ndiyo nzuri kuliko zile za mwanzo, hapa ndipo nilipokuwa napataka haswa” Joanitha alimjibu wakionekana wanazungumza wakiwa wamelala kitandani maana hata sauti zao zilionyesha kuchoka choka, nilijikuta nimeganda na simu mkononi, hasira na maumivu ambayo nilishayasahau yakaanza kurejea upya, mapigo ya moyo yakinienda mbio na mikono ikinitetemeka…..
SEHEMU YA 22
Nilitaka kukata simu lakini moyo ukasita, sikutaka kuendelea kusikiliza lakini ikanibidi niendelee kusikiliza tu maongezi hayo kati yao wawili, wakionekana kabisa kuwa wapo chumbani tena nikaona sebuleni anaweza akaja Debora kunivuruga nikaingia chumbani na kuufunga mlango kwa ndani huku simu ikiwa bado sikioni, sikujua kama wamepiga kwa makusudi au kwa bahati mbaya lakini ilionekana kabisa wanazungumza wao kwa wao hawana habari na simu iliyopiga kwangu na nikapokea
“Yaani hoteli ni nzuri sana hii yaani sijapata kuona” Joanitha alisifia
“Oooh oky kumbe umeipenda basi nitakuwa nakuleta hapa kila wakati Joanitha, unajua wewe ni mrembo sana yaani mtoto mweupe, una damu ya nguo, una sauti nzuri ya uimbaji yaani dah kila nikikaa hata kanisani nikikutazamaga wakati unaimba nahisi kubarikiwa zaidi kuliko wengine wote yaani”
“Kubarikiwa au una lako jambo?”
“Hahahaha kama jambo lipi jamani?”
“Unajua mwenyewe”
“Hivi kwa nini ukaamua kuishi na mtu kama Edmund yule mume wako mbona hamuendani kabisa, wewe ulipaswa kuwa na watu kama sisi ambao tuna huduma kubwa za kichungaji, huku ninahubiri na wewe unaimba, sasa ukaolewa na mtu hajui hata kusapoti huduma yako hiyo, hata hamuwezi kuongozana wote kama hivi eeh, ulitakiwa kumpata mtu kama mimi ambae mnazunguka kwenye mikutano kutwa nzima mnapiga hela na usiku mnakuja kujipumzisha kwenye sehemu nzuri kama hizi zenye upepo mwanana eeh?”
“Aaah nilifuataga visenti tu si unajua kipindi kile alikuwaga na vihela hela”
“Oooh kumbe, basi hapa kwangu umefika, utakula utakavyo na utapata kila utakacho, ilimradi mke wangu mama mchungaji asijue kinachoendelea kati yetu na siyo yeye tu, hakikisha hakuna mtu yeyote anayejua kinachoendelea kati yetu, ibaki siri ya watu wawili tu”
“Mie tena nitamwambia nani, halafu tusibadili mada vipi kuhusu gari langu, nimeona mkeo umemnunulia gari juzi juzi, langu lini?”
“Ooooh aah nimesahau kabisa kukuambia”
“Ukaona bora kumnunulia mkeo gari kuliko mimi?”
“Hamna siyo hivyo, nakupromise wiki ijayo lazima nikununulie gari, lile mke wangu nimemnunulia ili kumnyamazisha tu maana alishaanza kunifuatilia fuatilia na maswali kila kona mara akague simu zangu na kunihisi hisi na kugombana gombana, nikaona nimpige gari afunge mdomo na kweli kafunga mdomo saa hizi haongei tena, halafu gari lenyewe ni gari basi, mkweche tu ule nimeununua kwa mtu unamsumbua kila siku, ila wewe wiki ijayo tutaenda showroom kuchagua kitu new kabisa, mwimbaji kama wewe unatakiwa utembelee gari”
“Natunza maneno yako, ohoo mimi siyo mtoto wa kunidanganya”
“Siwezi kukudanganya bwana Joanitha hebu nibusu kwanza”
“Mmmmmwaaaah”
“Asante sana lakini…?”
“Lakini nini?”
“Vipi mumeo akikuona na gari jipya hatooo??!”
“Hatofanyaje, kwani si anajua kuwa nina mambo yangu, nazunguka kufanya huduma halafu ujue sipendi habari za kumtaja taja Edmund kwenye maongezi yetu, mbona mimi simtaji taji mama mchungaji wala kuulizia habari zake, unaniudhi sana”
“Basi Joanitha mtoto mzuri ndo umenuna, usinune bwana nitazame basi eti”
“Sipendi ooooh kumbe nimelalia simu na imejibonyeza mama yangu” Joanitha aliongea na haraka nikakata simu kabla hajagundua kuwa iko hewani (online) nikaitupia kitandani na kukaa kitako nikijiinamia kwa hasira baada ya kusikia mazungumzo yao hayo yaliyonitibua tena yakinipa hasira maradufu, nilishaanza kusahau lakini kumbukumbu zimeanza kunijia tena, wakati huo huo ujumbe mfupi ukaingia kwenye simu yangu nikaivuta na kuutazama ulikuwa unatoka kwa mama mchungaji, ukisomeka
“NIMEFIKA SALAMA NYUMBANI EDMUND ILA TAFADHALI USINIFIKIRIE VIBAYA KWA YALE NILIYOKWAMBIA SAWA?” Alionekana bado ana wasiwasi
“USIJALI, TUNAWEZA KUKUTANA LEO USIKU?” nilimjibu
“USIKU, WAPI EDMUND NGOJA..” alijibu kwa meseji na wakati huohuo akanipigia simu akionekana haamini nilichomwambia
“Mama mchungaji”
“Edmund umesema kwamba?”
“Natamani kupata muda na wewe leo”
“Oooh leo usiku nitakuwa na mkesha wa akina mama mahali lakini naweza kughairi nikasingizia chochote kile nisiende”
“Hapana, nenda, ila kesho asubuhi tunaweza kuonana popote tu mimi na wewe wawili tukazungumza na kula bata pamoja”
“Umesema kweli Edmund?”
“Kwanini nikudanganye?”
“Siamini, sawa nitakuambia, kesho asubuhi nina nafasi tu ya kutosha” alinijibu nikamkatia simu ambayo niliitazama na kuiweka pembeni
“Hakuna haja ya kuendeleza ustaarabu tena, this is too much, lazima mchungaji ulipie” niliapa huku nikijitazama kwenye kioo cha kabati langu la nguo, mazungumzo kati ya mchungaji Bukuku na mke wangu Joanitha yakijirudia rudia kichwani mwangu…….
SEHEMU YA 23
Niliitupa simu tena kitandani baada ya kumaliza kuzungumza na mama mchungaji kisha nikajilaza chali na muda huo huo ujumbe mfupi (SMS) ukaingia tena kwenye simu yangu nikaivuta na kutazama nikakuta nimeseji kutoka benki, nikaifungua na kutoa macho baada ya kuona ujumbe wa muamala wa pesa nikitaarifiwa kuwa kwenye akaunti yangu ya benki kumeingizwa takribani shilini milioni ishirini na tano na senti kadhaa
“Yeeees!!” nilishangilia na kujikuta nikisahau kwa muda habari za mke wangu Joanitha na mchungaji ambazo zilinipa kizunguzungu, nikashusha pumzi na kuirudisha meseji pembeni na wakati huo huo mlango wa chumbani kwangu uligongwa nikaufuata (kwa sababu niliufunga kwa ufunguo kwa ndani) nikaufungua na kukutana na Debora akiwa amesimama mbele yangu
“Chakula” aliniambia kwa mkato na kutaka kuondoka, nikamuwahi na kumshika mkono kumzuia
“Vipi mbona kama unaonekana kuna jambo limekukwaza?”
“Hakuna, nipo sawa tu”
“Mh Debora hakuna siku ambayo umewahi kukubali kuwa haupo sawa, unaniambia upo sawa wakati macho yako yanaonyesha wazi kuwa haupo sawa?”
“Hayo ni mawazo yako tu, mimi nipo sawa”
“Basi vizuri kama upo sawa nisikulazimishe” nilimwacha na kutaka kurudi chumbani
“Kwanini mlishikana mikono, mlikuwa mnafanya nini pale?” aliniuliza
“Wapi?”
“Si na yule mwanamke?”
“Hamna mbona hatukuwa tunafanya chochote, tulikuwa tunazungumza tu”
“Oooh mnazungumza tu ndo mpaka mshikane mikono?”
“Ndiyo, sasa mtu akikushika utakataa na kuutupa mkono wake Debora?”
“Hamna nitaushikilia vizuri tu” alinijibu na kuanza kuondoka taratibu wakati huo huo simu yangu ikaita chumbani nikaifuata na kutazama namba ilikuwa ni ya Joanitha, nikapokea na kuiweka sikioni
“Edmund”
“Jaonitha”
“Kwema mume wangu?”
“Kwema kabisa”
“Salama kabisa kabisa?”
“Salama salimini sijui wewe huko na majukumu ya kihuduma”
“Tupo sawa kabisa”
“Naam niambie”
“Nilikuwa nakusalimia tu”
“Asante sana kwa kunikumbuka”
“Erick yupo?”
“Hapana amechukuliwa na huyu mama jirani hapa wa nyumba inayofuata anayopendaga kucheza na binti yake wameenda kwa ndugu zao huko”
“Oooh kwahiyo umebaki mwenyewe tu na huyo Debora?”
“Yap kabisa”
“Sawa, msalimie huuo Debora, ahakikishe nyumba ni safi muda wote mini nitarudi wiki ijayo bado nipo huku tumeunganisha mikutano kama minne hivi”
“Sawa pole sana, we pambana tu mke wangu hata kama mwezi mzima mimi naangalia hii nyumba”
“Mh unaongea toka moyoni?”
“Ndiyo toka moyoni kabisa na ku….”
“Babe unaongea na nani?” nilisikia akiulizwa na mwanaume kabla sijamalizia sentensi yangu na haikuwa sauti nyingine ila ni ya mchungaji Bukuku, haraka Joanitha akakata simu nisije nikasikia kinachoendelea, namimi nikaizima kabisa asije akanipigia tena, nikatoka chumbani na kwenda mezani kula chakula kisha nioge niende nikachomoe pesa kidogo benki kwa ajili ya kununua mahitaji ya nyumbani, madogo madogo, wakati nikiwa nataka kunawa, Debora akaja na kuliwahi jagi akaanza kuninawisha huku akiwa amepiga magoti kama ilivyo asili yao
“Asante” nikamshukuru na kuanza kula huku akiwa amekaa kwenye kochi (sofa) dogo bado amenikunjia sura, nikamtazama tu bila kumsemesha chochote akiwa amejifunga upande wa khanga tu, fupi iliyoishia juu ya mapaja
“Mbona kama unataka kutoka?”
“Ndiyo natoka kidogo sitachelewa kurudi”
“Kwahiyo mimi nibaki na jumba lote hili peke yangu, twende wote”
“Tutatembea siku nyingine Debora, leo baki hapa kuna zawadi nzuri nakuletea”
“Kweli?”
“Kweli kabisa”
“Namimi utakuta chakula kizuri nimekupikia usiku, au ungependa kula nini?”
“Mimi chochote ambacho utanipikia nitakula, ili mradi kimepikwa kwa mkono wako, pesa hii hapa niliyobakiwa nayo” nilimpa elfu kumi na tano
“Mh yote hii?”
“Mbona ndogo kama ukibakiza basi ni yako ya vocha” nilimwambia nikitabasamu akahama kutoka kwenye kochi (sofa) alilokaa na kuja kukaa nilipo, akanishika mkono na kuniegemea
“Nakupenda sana Edmund”
“Asante Debora, mimi pia” nilimjibu akanibusu shavuni na kuinuka taratibu kuelekea jikoni, nikamsindikiza kwa macho mpaka alipotokomea,
Lilikuwa ni penzi tu la kupooza machungu kwa ajili ya anayonifanyia mke wangu Joanitha lakini sasa nilihisi kuanza kuzama mazima kwa mwanadada huyu wa kisukuma kila nilipomtazama niliwaka tamaa ya kutamani kufanya nae ‘jambo’ nikajikuta naacha chakula kabla sijamaliza na kuinuka kumfuata huko huko jikoni nilipomkuta akiosha vyombo vichache huku akiimba wimbo mmoja wa bongofleva nikamfuata kimya kimya na kumshika kiuno kwa nyuma akashtuka
“Jamani umenishtua”
“Pole sana” nilimjibu na kuanza kumbusu busu shingoni
“Jamani naosha vyombo mwenzio aaah”
“Utaosha tu usiwaze lakini kwanza nioshe mimi moyo wangu usuuzike” nilimjibu na kumgeuza taratibu tukatazamana nikasogeza midomo yangu kwenye midomo yake na kuanza kunyonyana mate (denda) kisha nikampandisha juu ya sinki la kuoshea vyombo na kupita katikati ya mapaja yake makubwa huku nikimshikilia kiuno nikiwa nimesimama na yeye amekaa, nikamfungua upande wa khanga aliovaa na kuacha matit** yake wazi nikaanza kunyonya moja baada ya jingine, nikijikuta kama masihara nimeanza kuzama mazima kwenye penzi la dada huyu wa kazi (housegirl) siku haipiti bila kutamani tamu’ yake…….
SEHEMU YA 24
Kama wahenga wasemavyo, ‘chovya chovya humaliza buyu la asali’ na ndivyo ilivyokuwa kwangu kwa dada wa kazi (housegirl) ambae tangu tukutane kimapenzi alianza kuona wivu uliopitiliza kwangu, akijiona kama mama mwenye nyumba sasa, akinihoji katika kila ninalolifanya, iwe kupokea simu, kupata mgeni, nilikuwa simuelewi lakini taratibu sasa nikaanza kuelewa somo, jikoni tulinyonyana mate (denda) kwa dakika kadhaa akiwa amekaa juu ya sinki la kuoshea vyombo nililompandisha mimi mwenyewe kwa mikono yangu miwili huku nami nikiwa nimesimama na kupita katikati ya mapaja yake akiwa amejifunga upande wa khanga ambao niliushusha tu na kukibakiza wazi kifua chake matit** yake yakinitazama
“Nakupenda sana Debora”
“Nakupenda pia Edmund” tuliambiana huku tukitazamana akanirukia nami nikamdaka ili nimbebe na safari moja kwa moja ikaanza kuelekea chumbani akiwa mikononi mwangu, nikiwa nimeshaghairi safari yangu ya kwenda kuchukua pesa, tulipofika nilimtupia kitandani akilala chali kuichomoa khanga yote aliyojifunga nikaitupia chini akibaki mtupu kama alivyozaliwa akapanua mapaja yake nami nikajua anachokitaji nikachuchumaa taratibu na kupitisha kichwa changu katikati ya mapaja yake kwenye tunda🍎 nikausogeza ulimi wangu na kuanza kuipitisha ncha taratibu kwenye kuta za pembeni za kisima’ chake hicho kilichokuwa kinapumua pumua nikifanya kama naingiza ncha ya ulimi na kuitoa huku mikono yangu nikiwa nimeinyoosha mpaka kifuani kwenye matiti yake nimezishika chuchu zake zote mbili kwa vidole nazichezea chezea bila kuziumiza
“Edmund uuuuuwiii jamani” alilalamika huku akihema hema kama aliyekimbizwa akihangaika kunyoosha nyoosha miguu yake nami nikisogeza mdomo mzima kwenye tunda🍎 lake nikautuliza na kuanza kuingiza ulimi wangu mpaka ndani kabisa nikiichezesha chezesha ncha ya ulimi wangu kwenye kijipele cha ndani ya kisima’ chake akapiga makelele kama anayepigwa huku akitoa macho nikiwa nimembananisha vizuri na hazikuchukua hata dakika tano nikawahi kutoa midomo yangu akakojoa kojo lile la hamu nikaona akiwa tepetepe huku akihema kwa kazi nikautembeza ulimi wangu taratibu nikiupitisha kwenye kitovu na kuupandisha juu huku nikiivua suruali yangu na boksa, nikiviangusha chini, mtalimbo 🍆 uliokuwa umesimama umepinda kwa juu nikampandia kwa juu akiwa amepanua mapaja yake nikauingiza kisimani taratibu huku akinishika kichwa na kukikandamizia kifuani mwake nikaanza kumnyonya matiti yake moja baada ya jingine kwa zamu huku nikikizungusha kiuno taratibu nikiuzungushia mtalimbo kwa ndani hasa kwa upande wa juu
“Nakupenda sana Debora aaaashh nakupenda” maneno yalinitoka leo nikihisi kama nimeanza kuwehuka
“Nakupenda sana Edmund wewe unajua hilo, nakupenda zaidi uuuuwiiiii” alipiga kelele akilalamika…….
……
Mlio wa simu uliniamsha kutoka usingizini nikanyoosha simu kutazama alikuwa ni mama mchungaji amenipigia, nikakumbuka ahadi niliyomuahidi jana, nikamtazama Debora bado alikuwa anauchapa usingizi amejaa yeye kitanda kizima, usiku wa jana alilala chumbani kwangu tukarudia tena mchezo’ mwingine, sasa nikiwa nimejiweka mazima kwa mwanadada huyo wa kisukuma ambae wakati wowote alikuwa tayari kwa ajili yangu, nikamfunika shuka vizuri kisha nikatoka kwenda sebuleni kupokea simu
“Halow!”
“Edmund, umeamkaje?”
“Salama kwema huko?”
“Kwema kabisa, vipi tutakutana kama ulivyoniahidi?”
“Yap tutakutana, wapi sasa unapodhani ni pazuri kukutana?”
“Popote pale ila pasiwe mahali ambapo nitaonekana si unajua tena mimi ni mama mch…”
“Naelewa usijali, sawa najiandaa hapa nakuja utaniambia mahali panapofaa kukutana”
“Sawa nakusubiri Edmund, tutawasiliana”
“Haina neno mama” nilimjibu
“Mama gani huyo mnayepanga kukutana?” niliulizwa nikageuka nyuma na kukutana na Debora akiwa amesimama kwenye mlango wa chumbani akinitazama
“Kumbe umeamka mammy?”
“Eeh nasubiri jibu”
“Kuna biashara tu flani tunaenda kuzungumza, nitakwambia nikirudi unaweza kuendelea kupumzika tu Debora” nilimjibu akaguna
“Mh mambo mapya hayo ndo kwanza nayasikia, biashara na mama tena, mwanamke?”
“Debora, nikirudi nitakuelekeza” nilimjibu na kwenda bafuni kuoga nikimwacha amesimama pale pale ananitazama akiwa bado hana imani na mimi nikaoga na kujiandaa nikimwacha ananiandalia chai ambayo niliikataa na kuondoka moja kwa moja nikachukua bajaji safari kwenda kuonana na mama mchungaji ambae aliniita, njiani aliniambia niende nyumbani kwake kwanza ambapo nilipingana nae lakini akanihakikishia kuwa mazingira ni salama nikafika mpaka nje ya geti la nyumba hiyo ambalo nililikuta limerudishwa tu nikalifungua kama alivyoniambia kwenye simu na kwa ndani ya geti kulibandikwa kijikaratasi kilichoandikwa ‘FUNGA GETI KWA UFUNGUO KISHA FUATISHA MISHALE HIYO INAPOKUELEKEZA’ nami nikafanya hivyo nikiukuta ufunguo getini nikatazama chini na kuona mishale ya makaratasi ya rangi nyekundu iliyobandikwa sakafuni kunionyesha muelekeo nikaifuatisha ikiwa imebandikwa kwa kufuatana mpaka ndani sebuleni na ikakunja mpaka mbele ya mlango wa chumba cha kulala uliobandikwa kijikaratasi kilichosomeka ‘FUNGUA TARATIBU NA KARIBU NDANI’ nikafuata maelekezo na kuufungua mlango huo nikamkuta mama mchungaji akiwa amekaa kitandani akiwa amevaa chup** tu na sidiri*** akinisubiri
“Karibu Edmund!” aliniambia kwa tabasamu huku akiwa amekunja miguu nne……
SEHEMU YA 25
“Mama mchungaji?!!” nilibaki najikuna kichwa
“Edmund karibu sogea huku” aliniambia
“Mh hapana mimi nitakaa sebuleni tu usijali” nilimjibu ikabidi ainuke na kuanza kunifuata taratibu mpaka pale niliposimama akanishika begani
“Eddy kwani kuna shida gani na sisi tukalipiza walichotufanyia, uliniahidi jana kuwa tutaonana leo lakini mbona kama haupo tayari?”
“Unajua kuwa wewe ni…”
“Shiiiiiii, nakukatazaga kila mara kuzungumza hayo, kwani na mimi sina hisia, acha na sisi tulipize, tuinjoi, unadhani nitalipiza na nani tena kama siyo wewe muhanga mwenzangu” alinishika mkono akinisogeza mpaka kitandani na kunikalisha kisha na yeye akakaa mapajani mwangu nikimpakata nikamuangalia usoni nae akanitazama kwa tabasamu huku akinipapasa papasa mgongoni
“Unadhani hii ni njia sahihi?”
“Kwangu mimi ni njia sahihi sijui wewe”
“Kama kwako ni sahihi basi nami sina pingamizi, jana niliwasikia wakizungumza” nilimwambia mama mchungaji huku nikimtoa mapajani mwangu nikasimama na kumgeuza nikamsukuma akalala chali nikaishika miguu yake yote miwili, wa kulia na kushoto na kuiinua juu kabisa nikamvua chupi yake haraka haraka na kuitupia chini akabaki na sidiria tu
“Umewasikiaje?” aliniuliza wakati huo nikiwa nimetazamana na tunda🍎 lake huku nikiwa nimeipanua miguu yake nimeinyoosha mashariki na magharibi
“Nadhani walipiga simu kimakosa na kuanza kuongea kuhusu sisi hasa mimi, wakiwa kitandani hotelini” nilimjibu huku nikiusogeza mdomo wangu kwenye tunda🍎 lake na kuanza kumnyonya taratibu nikivivuta vuta vijinyama bila kuviumiza
“Wali…pi..ga simu uuuwiii Eddy” aliguna guna huku akitikisa tikisa miguu
“Yap kwa bahati mbaya, wapo hotelini wanakula bata, acha na sisi tule bata hapa hapa nyumbani”
“Ndo maana nikakuita uje Eddy kwa sababu siwezi kulipiza na yeyote yule zaidi yako uuuwiii wewe jamani” alilalamika akiinua kichwa kunichungulia
“Pole mamy, pole kidogo tu” nilimjibu nikiwa nimepitisha ulimi wangu nimeuingiza ndani kabisa ya kisima chake nikiuchezesha chezesha taratibu na kidole changu cha kati kisicho na ukucha nikaanza kukizamisha kwa mpalange’ kikaingia nusu kwenye mlango wa nyuma’ wa mama mchungaji nikakiingiza chote kimtindo nikianza kukizungushia kwa ndani huku ulimi wangu nikiendelea kuuchezesha chezesha kwenye tunda’ lake, nikiua ndege wawili kwa wakati mmoja nikafanya kama nataka kumkuna kwa meno lakini nikiwa siyagusishi kwenye ngozi hiyo laini ya ndani nikigusisha midomo tu huku nikifyonza kama navuta juisi na kuachia, nikifyonza na kuachia, mwanamama wa watu nikazidi kumvuruga
“Eddy ooosh uuuuwiiii jamani jamani mimi” alipiga mayowe nikauchezesha chezesha ulimi wangu kwa kasi isiyo ya kawaida kisha nikautoa bila taarifa akainuka kama anataka kukaa huku akipiga mayowe, kichwa changu nikakitoa katikati ya mapaja yake kwenye tunda🍎na kukipandisha juu nikiishia kwenye nyonga na kuanza kumbusu busu pande zote kulia na kushoto huku kidole changu cha kati kikiwa bado hakijatoka ndani ya mlango wake wa nyuma kimezama naendelea kukizungusha na kumchokonoa na wakati huo kidole gumba cha mkono huo huo nikisugua sugua kwenye kuta za nje za kisima’ chake, nikashuhudia vijipovu vyepesi vikitoka kwenye kisima cha mama mchungaji huku kifua chake kikiwa kinapanda na kushuka kwa kasi kutokana na mapigo yake ya moyo kwenda mbio
Nikavua suruali yangu taratibu na boksa huku nikimsaidia kuvua sidiria aliyokuwa ameibakiza kifuani nikaichomoa na kutupa pembeni nikamalizia kuvua tshirt na vesti nikavitupa navyo pembeni nikamgeuza alale ubavu nami nikalala hivyohivyo ubavu kwa nyuma yake nikaukamata mtalimbo🍆 wangu na kuuchomeka taratibu ndani ya kisima’ chake huku mguu wake mmoja nikunyanyua juu na mkono mwingine nikiupitisha kwa mbele kifuani mwake nikianza kumshughulikia taratibu
“Eddy uuuuwiii aaaah”
“Naam mamy” nilimwitikia huku ncha ya ulimi wangu ikiwa sikioni mwake nikiichezesha chezesha kutokea nyuma wakati nikimshindilia mtalimbo’ uliozama wote huku madafu yangu yaliyokuwa yamebaki nje yakiruka ruka na kugongana, dakika ya tatu ilipita, tano, kumi na hatimae dakika ishirini nzima, mwanamama huyo akiwa hana hali akageuza shingo kunitazama nyuma nikamuwahi midomoni na kuanza kuchukua mat** (denda) taratibu, tulihama mkao tukakaa mkao wa kuinama almaarufu ‘doggstyle’ kwa lugha ya Kiingereza, mwanamama huyo akiwa amelaza kichwa chake na kifua kwenye mto mkubwa wa kulalia niliomwekea nikiendelea kufanya mashambulizi kutokea nyuma huku kauli za mumewe mchungaji na mke wangu walipokuwa wanaongea wawili zikijirudia kichwani na kuzidi kunitia hasira ambazo zililigharimu tunda la mwanamama huyo nikiwa nimeshacheua’ mara moja sasa natafuta ya mara ya pili huku yeye akiwa ameshamaliza kisima kimeanza kukauka nami nikiwa nimempanda kwa juu mgongoni kama jogoo na tembe nikamaliza zoezi hilo huku kijasho chembamba kikitutoka pamoja na kuwa na pangaboi (feni) juu ya dari lililokuwa likizunguka, karibia lisaa lizima likiwa limekatika akalala kifudi fudi akinyooka nami nikachomoa mtalimbo🍆 wangu na kulala pembeni yake
“Pole mamy” nilimbembeleza kwa kumpapasa papasa kifuani kwenye matit**
“Asante Eddy pole nawewe”
“Mimi ni…” kabla sijamalizia sentensi yangu tukasikia mlango wa sebuleni ukibamizwa kumaanisha kuna mtu ameingia wote tukakaa kimya kusikiliza kama ataongea
“Huyu mwanamke katoka amekwenda wapi?” tulisikia sauti ya mchungaji Bukuku sebuleni
“Ufunguo ame…?” mama mchungaji alijiuliza akinitazama mimi kwa mshangao…..
Inaendelea