TABIA ZA MKE WANGU ZILIVYONIFANYA NITEMBEE NA HOUSEGIRL
SEHEMU YA 16
“Kaka Eddy mmh aaaasssh” alilalamika akiwa ameshikilia ukuta wa marumaru wa bafuni tukiwa tumesimama nimemwinamisha nikiwa nyuma yake, wote tukiwa watupu, jogoo 🍆wangu akiwa amezama ndani ya kisima chake huku nimemshikilia kiuno nikimshughulikia bila huruma, mguu wake mmoja nikiwa nimeunyanyua kwa juu kidogo kwenye ukuta mdogo wa kusugulia nyayo za miguu nikishuhudia minofu ya makalio yake makubwa ilivyokuwa ikinesa nesa wakati kiuno changu kikifanya kazi ya kujipinda na kubinuka nikimshindilia muhogo wa jang’ombe ndani ya kisima’ chake huku mikono yangu ikiwa imepita kifuani mwake nikiyashika shika na kuyatomasa tomasa matiti yake makubwa, akiwa ameachama mdomo amegeuka nyuma ananitazama huku ametoa macho akipiga kelele na mayowe kana kwamba anachomwa sindano na muuguzi (nesi) au daktari nikamshuhudia akinishika kiuno kwa mkono mmoja wakati amegeuka na kunikandamiza zaidi katikati ya makalio yake aliyokuwa ameyapanua na kutetemeka (vibrate) kisha akageukia ukutani akiwa amelegea na ndani ya tunda🍎lake nikahisi unyevu kumaanisha tayari ameshamaliza mwendo hana ujanja tena nami sikuona sababu ya kujitesa nikamng’ang’ania vyema na kumwaga wazungu’ humohumo kisimani huku nikimkumbatia zaidi kwa nyuma huku nikihema baada ya dakika zaidi ya ishirini za kumwadhibu dada huyo wa kazi (housegirl) bafuni huku maji bado yakitumwagikia mithili ya mvua tukiwa tumelowana
“Pole Debora, nisamehe sana sikuwa na ujanja, nilikuwa nimebanwa, nisamehe tafadhali” nilimwambia huku nikihema na kumugemea ukutani
“Nikusamehe kwa lipi kaka Eddy oooosh, mke wako asijue, akijua mimi nitakosa kazi”
“Usijali, hatojua chochote nawewe tafadhali usije ukamwambia mtu yeyote yule kuhusu mahusiano yetu haya, iwe siri yetu, hata rafiki yako wa karibu usimwambie tafadhali Debora”
“Sitamwambia mtu uuuuwiiii kiuno changu” alilalamika akisimama vizuri, nikalifungulia bomba zaidi na maji yakaanza kutushukia ya kutosha…….
……….
Kunakucha mapema asubuhi baada ya pilika pilika zote za siku ya jana, nilifumbua macho kitandani na kukuta meza ndogo ya kioo ikiwa imewekwa chupa ya chai, kikombe na vikorokoro vingine pamoja na mihogo ya kukaangwa (iliyotengenezwa na Debora mwenyewe) huku akiwa hayupo, nilipoivuta saa yangu ya mkononi nikagundua ni saa moja na nusu inakimbilia saa mbili nikatikisa kichwa huku nikitabasamu na kujinyoosha mara kadhaa kisha nikakaa kitako na kushika bakuli la maji ya kunawa nikitaka kuanza kuonja angalau kipande kimoja cha muhogo
“Kulikoni?” niliulizwa nikatazama mlangoni na kumkuta Debora akiwa amejishika kiuno ananitazama huku amejifunga upande wa khanga fupi, mapaja yote yakiwa nje na mabega wazi
“Aaah nilikuwa nataka nionje tu, za asubuhi Debora”
“Njema, chukua kwanza vile vitu pale, kaoge maji nimekuwekea ya moto bafuni halafu ndo nikuone unagusa chai hapo”
“Debora si naonja tu halafu mimi nakulaga kwanza ndo napiga mswaki kisha natoka”
“Basi mimi ndo nishasema hivyo sirudii” aliniambia na kuubamiza mlango akarudi sebuleni, nikatikisa kichwa na kukifuata kikombe kikubwa cha maji pamoja na mswaki ili kuyafuata masharti aliyonipa nikatoka na kwenda bafuni kunawa uso kisha nikarejea chumbani taratibu na kuanza kujimiminia chai akafungua mlango tena na kusimama akinitazama
“Karibu, mbona husogei kunywa?”
“Hamna wewe endelea tu mimi nitakunywa, nipo bize bize leo nimezitoa ndoo zote naziosha”
“Sasa si ungekunywa chai kwanza haraka haraka kisha ungeendelea na kazi yako?”
“Hamna mimi chai yangu si unanijuaga, saa nne ndo nakunywa, haya ngoja nikaendelee” aligeuka kurudi sebuleni lakini kabla hajatoka
“Debora!” nilimwita akageuka kunitazama
“Abee”
“Asante”
“Asante ya nini?”
“Kwa huduma yako” nilimjibu hakusema chochote akatabasamu tu na kuufunga mlango wangu nami nikaanza kunywa chai hiyo niliyoandaliwa chumbani, wakati huo huo simu yangu ya mkononi ikaita nikaichukua na kukuta ni namba ngeni nikaipokea na kuweka sikioni
“Halow!” sauti ya kike ilinisalimia
“Halow habari yako?”
“Njema, samahani nazungumza na bwana Edmund?” sauti ya kike iliniuliza
“Ndiyo nani wewe tafadhali?”
“Ni afisa hapa kutoka mfuko wa fidia wa wafanyakazi, tumewapigia wafanyakazi wote wa kampuni ya (….) kuwataarifu kuwa mtalipwa fidia zenu kila mtu anachodai, kesi yenu mmeshinda” aliongea mwanadada huyo nikabaki nimetoa macho
“Kwahiyo…pesa zangu ninazodai nitazipata??!!!” nilitoa macho nikiwa siamini ninachokisikia, nikiwa ninadai milioni kadhaa ambazo nilishakata tamaa ya kuzipata tena kutoka kwenye kampuni hiyo ya zamani niliyokuwa naifanyia kazi ambayo tulipunguzwa wafanyakazi……
SEHEMU YA 17
“Pesa zako utazipata bila ubabaishaji wowote ila sasa asilimia kumi na tano tu ya pesa zenu itaingia kwenye mfuko wetu wa fidia kama malipo ya kazi tuliyowafanyia” mwanadada huyo aliongea
“Haina shida, hata mngekuwa mnakata asilimia ishirini kateni tu lakini ilimradi pesa zangu nazipata maana nilishazikatia tamaa kabisa, nilikosa support ya wenzangu kwenye kudai, tulihangaika sana mpaka tukatengenezewa zengwe almanusura tufungwe, tulikuwa watatu tu”
“Poleni sana na hatimae sasa wengine wote wanakula matunda ya juhudi zenu, tunachukua asilimia kumi na tano tu kama mkataba unavyosema wala hatuzidishi hapo”
“Sawa asante kwa taarifa nazipata lini?”
“Kesho zitaingia kwenye akaunti yako ya benki, asante kwa kuzungumza nasi, nikutakie kazi njema”
“Nawe pia” nilijibu huku simu ikiwa tayari imeshakatwa na mwanadada huyo, nikaitupa pembeni na kusimama huku nikianza kucheza muziki ingawa haukuwepo, nikifurahia madai yangu ya zaidi ya milioni ishirini ambazo zilijilimbikiza kwa muda mrefu tangu nikiwa kazini,
“Uuuwiii makubwa” nilisikia sauti ya Debora kumbe alikuwa ameufungua mlango ananichungulia nikasitisha zoezi langu la kucheza muziki peke yangu
“Oooh Debora vipi mbona unani…” nilizuga nikijikuna kichwa
“Kumbe kaka Eddy wewe nawe unachezaga muziki nilikuwa sijui, ila unajua kucheza” alicheka akijiziba mdomo
“Hamna kidogo tu”
“Umefurahi nini maana nimesikia kelele tangu huko?” aliniuliza kwa ongea yake ya kisukuma
“Hamna kuna mtu tu nilikuwa namdai vijisenti ndo amenilipa, leo usipike Debora”
“Kwanini nisipike jamani?”
“Nataka tule vitu vizuri vizuri, kuku kwa chipsi na soda na mazaga zaga mengine, moyo wangu una furaha sana”
“Mh ndo kwa sababu ya huyo unayemdai kukulipa pesa yake au kuna jingine tu?”
“We amini hivyo, mchana usipike kabisa kabisa yaani”
“Sawa nakusikiliza wewe, mbona chai hujamaliza?”
“Aah imetosha asante, toa tu vyombo” nilimjibu akaguna na kuingia chumbani akiinama kutoa vyombo nikamtazama kiwizi wizi wakati akiwa ameinama anatoa vyombo nikanyoosha mkono na kumshika kwenye makalio yake makubwa nikimpapasa papasa
“Jamani??” alilalamika
“Nini tena?”
“Si wewe hapo huoni unachokifanya wakati mwenzako natoa vyombo nikivunja je?”
“Nitanunua vingine, nikwambie kitu Debora?”
“Niambie tu” alinijibu akiwa ameinua vyombo tayari mikononi
“Wewe ni mrembo sana sana”
“Mimi, mh, unanisifia au unanisimanga tu?”
“Kwanini nikusimange Debora, nakusifia toka moyoni”
“Asante” alijibu huku akitazama pembeni kwa aibu na kuzungusha macho yake
“Yaani ana bahati sana huyo mwanaume atakayekupata na kukuoa, kwanza unajua kazi zote, pili una mwili mzuri, tatu una ukarimu mwingi mno mno, ana bahati sana huyo mwanaume atakayekuja kukuoa na nitamsimamia mimi mwenyewe ila sidhani kama nitaweza kumsimamia, najiongelesha tu maana itaniuma sana tu” nilimwambia na nikashangaa tabasamu la Debora limeondoka ghafla na uso wake umekunjamana
“Umemaliza?” aliniuliza
“Naam nime…”
“Mstcheeeeeeewwww!” alinisonya sonyo refu na kuondoka kwa hasira akiwa na vyombo vyake vya chai mikononi mpaka akanigonga begani
“Debora, Debora….mbona amekasirika ghafla hivi, duh namimi nimeongea utumbo gani tena?” nilijiuliza huku nikijikuna kidevu baada ya mwanadada huyo kuondoka, wakati nilipotaka kutoka kumfuata nikasikia simu yangu ikiita nikaichukua na kutazama namba ilikuwa ni ya mama mchungaji, nikapokea na kuiweka sikioni
“Halow Edmund?”
“Mama mchungaji, unaendeleaje?”
“Naendelea vizuri tu eti hii njia ya bondeni au hii ya huku ndo ya kuja hapo kwako maana nimepita siku nyingi sana sijaja huko nimepasahau kabisa”
“Unakuja nyumbani kwani?”
“Ndiyo, nimetokea huku kumwona mshirika mmoja anaumwa nikaona nipitie na kwako nije kukuona, hii njia ndo inanichanganya”
“Achana na hiyo ya bondeni, njoo na hii moja kwa moja mpaka kwenye transfoma, tazama kushoto utapaona nyumbani, nasimama hapo nje”
“Haya asante” alijibu na kukata simu
“Mama mchungaji anakuja nyumbani tena, kutafuta nini?” nilijiuliza mwenyewe huku nikiitazama simu yangu na kuishia kuguna, na hazikuzidi dakika mbili nikasikia muungurumo wa bajaji nje nikatoka kuelekea sebuleni na kufungua mlango nikamwona mama mchungaji akishuka kwenye bajaji na khanga mkononi huku akiwa amevalia gauni fupi lilioishia juu ya magoti ikionekana khanga hiyo alijifunga alipotoka lakini cha ajabu hapa kwangu hakuivaa aliishika mkononi, akamlipa dereva bajaji na kuja taratibu
“Edmund”
“Naam mchungaji karibu sana, nilimjibu huku nikiwa namshangaa kwa jinsi alivyovaa, siyo kawaida, mara nyingi ni mwanamama anayevaaga magauni makubwa na marefu hasa yale ya kinaijeria na maremba yake kichwani
” ugeni wako huu nilitaka nishinde hapa leo, lakini nikiwa kwenye bajaji nimepigiwa simu kuna habari za msiba wa dada wa mshirika mmoja yule anayeimba kwaya mweusi yule sasa itabidi niende kwanza lakini usiku nakuja kulala hapa kwako, niwekee tu mkoba wangu huu, msibani naenda na khanga na simu tu” aliniambia akinipa mkoba (handbag) mkubwa
“Kulala kwangu?” niliishangaa kauli hiyo ya mama mchungaji nikibaki nimetoa macho…..
SEHEMU YA 18
“Mama mchungaji umesema unakuja kulala kwangu baadae au nimesikia vibaya?”
“Ndiyo nakuja kulala kwako hapa halafu mambo ya kuniita ita mama mchungaji nawewe Edmund bwana kila mtu ajue kama mimi mama mchungaji na hili gauni nililolivaa kwani jina langu jamani?”
“Hamna nimezoea tu hivyo”
“Nakuja kulala kwako leo, tuzungumze mengi yanayotuhusu, si unajua sisi ndo waathiriwa wakuu, wewe mke wako na mimi mume wangu sasa kwanini tusikae pamoja tukazungumza na kujifariji kidogo machungu ya kusalitiwa, naenda msibani tutaonana baadae” mama mchungaji aliniambia na kuingia tena kwenye bajaji ile ile ambayo tayari alishamlipa pesa na kuondoka kwa kasi akiwa ameniachia mkoba (handbag) wake mkubwa ulioonekana kuwa na nguo ndani
“Makubwa haya, duh?” nilishangaa huku nikiutazama mkoba (handbag) huo nikatikisa kichwa na kugeuka nyuma nikakutana uso kwa uso na Debora ambae alikuwa na dodoki la kuoshea vyombo mkononi
“Alikuwa anasemaje yule mwanamke sijui mama mchungaji na leo mbona amevaa kinguo cha ajabu kulikoni?”
“Aaaamh alikuja tu kumtazama mke wangu Joani….”
“Na sipendi unavyotamka mkeo sijui mkeo na usidhani kama nimesahau ulichokizungumza muda ule bado ninalo moyoni”
“Debora mbona unaku….”
“Na huo mkoba wa mama mchungaji imekuwaje umebaki nao wewe?”
“Aah ameniambia kuna mizigo ya mk…. Joanitha sijui nguo ndo amemletea”
“Vizuri” Debora alijibu na kugeuka kwenda ndani haraka haraka akionekana bado ana hasira kuhusu kauli yangu niliyomwambia muda ule ya ‘mwanaume atakaemuoa’ nikamwita lakini hakugeuka wala kuniitikia akaongoza moja kwa moja mpaka jikoni alipokuwa anasuuza vyombo nami nikaingia humo humo jikoni
“Debora una nini lakini?”
“Sina kitu” aliniambia huku akiisuuza sahani kwa hasira nikamfuata na kumshika kiuno kwa nyuma
“Debora, kama nimekuudhi nisamehe tafadhali”
“Niache” alinitoa mikono kwa nguvu lakini sikumwacha aitoe nikamshika mikono kwa nguvu
“Sitakuacha mpaka useme neno, uniambie ni wapi hapo nilipoteleza, au kukuambia muda ule kuhusu mwanaume atakayekuoa kuwa atakuwa na bahati sana kukupata wewe?”
“Mwanaume atakayenioa, kama nani?”
“Debora, si utaolewa lakini kwani wewe utaishi hivi kuwa dada wa kazi muda wote, hautakuwa msaidizi muda wote hapa, utatoka na kupata kazi nyingine nzuri yenye maslahi au biashara nyingine ya kufanya na mimi naweza kukuongezea pesa uka…”
“Nikafanyaje, niondoke au?”
“Hamna sijasema uondoke, nimemaanisha ufanyie kitu kingine”
“Sitaki kufanyia kitu kingine, nitafanya kazi hapa hapa labda unifukuze”
“Naanzaje kukufukuza kwa mfano?”
“Na pili sitaolewa na mwanaume mwingine yeyote yule mimi nakutaka wewe, nakupenda wewe” aliniambia kwa msisitizo na kugeuka kuendelea na shughuli yake ya kusuuza vyombo
“Debora?!”
“Ndo nishasema hivyo, sirudii kauli yangu”
“Lakini mimi nimeshaoa tayari nina mke wangu nawewe unalijua hilo”
“Utajua mwenyewe ila mimi nishasema, nataka kuishi nawewe tu”
“Nimeoa lakini Debora tafadhali usiwe hivyo”
“Kama ulijua umeoa kwanini sasa ukanifanyia vile?”
“Kukufanyiaje?”
“Kwanini ukalala na mimi?”
“Oooh samahani basi kama nimekukosea ku…”
“Hamna sijasema umenikosea ila mimi nakupenda ndo maana, sawa nitondoka hapa”
“Sijasema uondoke Debora nadhani umenielewa vibaya tu, mimi nilichosema ni kwamba…”
“Haina haja ya kuendelea kuniambia” alijibu na kuacha kusuuza vyombo moja kwa moja akakimbilia chumbani nikamfuata nyuma nyuma huku nikimuita lakini hakutaka kuniitikia wala kugeuka kunitazama huku mkono wake mmoja ukiwa ndani ya khanga aliyojifunga, akaingia chumbani kwake na kutaka kujifungia kwa ndani lakini nikamuwahi na kuufungua mlango na ndipo akachomoa kisu kumbe alikificha ndani ya khanga na kujiwekea shingoni akitishia kujiua
“Debora?!!” nilitoa macho nikishangazwa na tukio hilo analotaka kulifanya……
SEHEMU YA 19
“Debora ndo nini hicho unachotaka kufanya?!” nilimwuliza kwa mshangao akiwa amekishika kisu hicho alichotoka nacho jikoni kimya kimya akitishia kujiua
“Najiua mimi, najiua kama hunitaki na hautokuwa wangu, nakupenda sana kaka Eddy nakupenda sana nielewe”
“We Debora shusha basi kwanza hicho kisu chini ndo tuzungumze”
“Niambie, utaniacha huniachi?”
“Sikuachi”
“Utanipenda hunipendi?”
“Debora nisikilize basi kwanza nachotaka kukwambia rafiki yangu, mambo gani hayo unayoyafanya jamani, kosa langu ni nini, kukuambia nimeoa au, kwani ni uwongo, si kweli na wewe unajua?”
“Mimi nakupenda pia usinifanyie hivyo sasa unaposema kuwa nikipata mwanaume sijui atakuwa na bahati sijui nini ina maanisha siyo wewe?”
“Basi lete hicho kisu kwanza, mbona unafanya mambo ya ajabu Debora?” nilikichukua kisu hicho taratibu mkononi mwake, akakiachia na kukaa kitako kitandani kwa hasira huku akinikata jicho nami nikakaa pembeni mwake na kumshika begani
“Niache” aliutoa mkono wangu
“Sawa basi naona nakuwa kero kwako, utakaponihitaji utaniambia” nilimjibu na kuinuka kutaka kuondoka na ndipo akaudaka mkono wangu nikamgeukia na kutikisa kichwa changu, akanirudisha kitandani kwa kunivuta nikakaa kitako
“Kwahiyo mke wako akirudi tutakuwa hatufanyi tena?”
“Kwanini tusifanye Debora?”
“Najua utaniacha kwenye mataa utakuwa haujali tena kuhusu mimi”
“Wala hakuna kitu kama hicho Debora, mimi nawewe mapenzi yetu kama kawaida, kuhusu hilo wala usijali, kwani chumba chako sikijui kilipo Debora?”
“Unakijua lakini….”
“Shiiiiiii, hauna haja ya kuwaza ya kesho, ya leo ndiyo muhimu sana” nilimnyamazisha kwa kumuwekea kidole mdomoni kisha nikakitoa na kumsogezea midomo yangu taratibu mwanadada huyo wa kisukuma ambae alifumba macho yake nikambusu midomoni mwake na kuifungua kabisa nikaanza kumnyonya mate (denda) akanogewa na kunishika shingoni akinizuia nisije nikalisitisha zoezi hilo namimi wala sikuwa na mpango wa kulisitisha, tukaangukia kitandani tukiwa tumeng’ang’aniana, huku taratibu nikikifungua kitenge alichojifunga mwilini na kuanza kumpapasa papasa matiti yake kifuani, Debora akawahi kwenye bukta yangu na kuingiza mkono akamkamata jogoo🍆wangu aliyesimama imara tayari kula chakula kilicho mbele yake akamtoa nje ya bukta na kuanza kumshika shika mpaka chini kwenye madafu mawili’ yaliyokuwa yananing’inia akainuka mzima mzima na kunisukuma nilale vizuri huku akihema kama aliyekimbizwa, akanivua bukta yote na kuitupia pembeni akautazama mtalimbo🍆 wangu kwa sekunde kadhaa na kuukamata kwa hasira kama anataka kuuvuta auchomoe kisha akasogeza mdomo wake mzima na kuanza kuunyonya kama anamung’unya bumunda, nikabaki namtazama namna alivyokuwa amekazana kuunyonya mtalimbo🍆nikidhani ni zoezi la dakika moja au mbili lakini dakika tano nzima zikakatika ndiyo kwanza akibadili mikao tu mpaka chini kwenye madafu yanayoning’inia aliuinua mtalimbo kwa juu na kuyameza nikawa na wasiwasi mizimu ya kwao usukumani isije ikampanda akayang’ata na kuyameza kabisa ikawa balaa nami nikapanua miguu zaidi kumpa nafasi huku nikimpapasa papasa nywele zake kichwani alizosuka mtindo wa ‘twende kilioni’ nikaona dakika kumi zinakatika akiwa ndo kwanza kama amelianza zoezi ikabidi nimshike kichwa kujaribu kumtoa ili tuingie kwenye zoezi jingine lakini wapi aliushika mtalimbo 🍆 wangu akigoma kuuachia,
“Debora imetosha” nilimwambia
“Mh mh” aligugumia tu huku akiwa ameumeza mdomoni ametoa macho anazidi kuumung’unya akionekana hana dalili ya kuutema na kulisitisha zoezi
“Debora mpenzi wangu” nilimbembeleza maana niliona sasa naweza kumwaga mzigo kabla hata hatujaanza zoezi lenyewe, nikageuka upande wa kulia akageuka na mimi akiwa bado ameung’ang’ania, nikarudi kushoto nae akarudi na mimi na nikamwona ametoa macho akiyapandisha juu kana kwamba ni mtu anayepandisha mashetani au mwenye kifafa
“Ohooo lishakuwa balaa hili, amepatwa na nini huyu?!” nilibaki nimetoa macho baada ya zoezi langu la kumchomoa kushindikana ikabidi nitulie tu nikijikaza nikimwacha aendelee na shughuli yake lakini nikijitahidi kujizuia nisije nikamwaga mzigo mapema kabla hatujaanza mchezo mwishowe akauachia mtalimbo 🍆 wangu na kulala pembeni chali huku akihema akiwa amefumba macho akitetemeka tetemeka na kujinyonga nyonga kama nyoka ikabidi nishuke haraka kitandani nikijiandaa kukimbia maana matendo aliyokuwa akiyatenda hayakuwa ya kawaida……
SEHEMU YA 20
“Debora umepatwa na nini tena?” nilimwuliza akafumbua macho na kunitazama, akiwa ametulia tuli yeye mwenyewe akionekana haelewi kilichomtokea
“Kaka Eddy?”
“Naam, vipi upo sawa?”
“Nipo sawa, nakupenda” alinyoosha mkono akitaka nimshike lakini nikawa bado nina wasiwasi yasije yakajirudia yale matendo aliyonionyesha sekunde chache zilizopita kama siyo dakika moja, sikumpa mkono
“Una tatizo lolote?” nilikaa pembeni yake taratibu
“Hamna nilijisikia tu raha ya ajabu hiyo inanitokeaga, akili ikawa kama haipo hapa”
“Mh unanitisha Debora”
“Hamna usiogope njoo tu tuendelee, leo tarehe ngapi kwani?” aliniuliza huku akiushika mtalimbo 🍆 wangu ambao ulikuwa umelala doro kwa sababu ya wasiwasi
“Leo tarehe thelathini na moja na kesho tarehe moja kuna nini kwani?”
“Ndo inanitokeaga hali hiyo kila mwisho wa mwezi” alinijibu huku akiupapasa papasa mtalimbo 🍆 akiusimamisha tena ili tuendelee
“Hapana Debora imetosha isije ikajirudia tena kumbuka tarehe thelathini na moja bado na siku haijaisha”
“Hamna bwana inanitokeaga mara moja”
“Debora usijali kesho nayo siku tuta…” kabla sijamalizia sentensi yangu tayari mwanadada huyo alishanisukuma nikalala chali kisha akapanda mzima mzima juu yangu akinikalia kiunoni akamshika jogoo🍆 wangu na kumuingiza yeye mwenyewe kwenye kisima chake kilichokuwa kimelowana tepetepe, jogoo🍆akazama bila kizuizi chochote mpaka ndani, yakibaki madafu mawili tu yananing’inia nje
“Aaaaasss kaka Eddy nakupenda” alilalamika akiwa amefumba macho yake na kuanza kuruka ruka juu ya mapaja yangu, nami nikamshika kiuno kwa mkono mmoja na mkono mwingine nikimshika matit** yake kifuani yaliyokuwa yananing’inia, nikiyapapasa papasa na kuyatomasa tomasa, akayasogeza mpaka usoni mwangu nami sikufanya ajizi nikaanza kuyanyonya kwa zamu, moja baada ya jingine huku zoezi la kumsugua kwa mtalimbo 🍆likiendelea, Debora akilalamika na kuguna guna, dakika zikisonga huku nikimpiga piga mabao ya kimahaba mwishowe nikamgeuza yeye na kumuweka mtindo (style) ya mtoto anayetambaa huku mimi nikikaa kwa nyuma yake nikipiga magoti, na kuulengesha mtalimbo 🍆kwenye kisima chake katikati ya minofu ya makalio yake makubwa, ukapenya, akaguna, nikiwa nimepiga goti moja na mguu mwingine nikiwa nimeukunja kama nataka kuanza mbio za riadha nikaanza kuusukuma taratibu huku nikiwa nimemshikilia kiuno
“Ksiiii ksiiii ksiiiii!” kitanda kilitulalamikia wakati zoezi letu likiendelea lakini hakuna aliyekijali kati yetu, nikiendelea kula tamu’ ya dada wa kazi (housegirl) huyu ambae tulimwita moja kwa moja kutoka mkoani Mwanza na kumtumia nauli, mkoa ambao mke wangu Joanitha ndipo anapotokea ila yeye akiwa siyo msukuma,
Nadhani tiba hii ingawa haikuwa sahihi lakini ilinisaidia kabisa kuondoa maumivu na mawazo ya mke wangu kuhusu kinachoendelea kati yake na mchungaji Bukuku, siku mbili hizi sikumuwaza kabisa yaani hata kumfikilia nadhani ni kwa sababu tayari nilishapata pa kumaliza haja zangu na hisia zangu, kwa msichana wa kisukuma ambae kumbe na yeye muda wote alikuwa akinipenda penda lakini akiogopa kuniambia akiishia tu kumweleza rafiki yake, udada wa kazi ukawa udada wa kazi kweli kweli, ndani ya nyumba wawili tu tumebaki, muda wowote nilipohitaji penzi nilichofanya ni kumchokoza tu na mambo yalijipa, sikuwahi kutoka nje ya ndoa yangu hata siku moja na hakuna kitu nilichokiogopa na kukihofia kama hicho lakini sasa taratibu nimeanza kukiona cha kawaida kabisa,
Nilimshughulikia mpaka nilipohakikisha hakuna hata chembe ya hamu iliyobaki au kwa lugha isiyo na tafsida ‘nyeg**’ mpaka nilipohakikisha mwili umebaki mwepesi kama karatasi, lisaa limoja na dakika chache Debora akiwa hoi hana hali akiwa amelala na usingizi ukampitia hapo hapo safari hii ikiwa ni chumbani kwake, mpaka nikagundua kumbe mapenzi hata yawe masaa kumi na mawili mshinde kitandani ukimpa mwanamke anachokitaka lakini bila ya pesa bado ni kazi bure ni sawa na kuchimba lami barabarani kwa mikono, ndiyo sababu Joanitha kwa sasa hashikiki, nikachungulia kama hajalimwaga kojo la kawaida tena kama jana lakini safari hii kojo alilolimwaga siyo lile la kawaida la wote ila kojo la kike, ikabidi nimfute fute kwa kitambaa wakati akiwa usingizini nikashuka kitandani na kuelekea sebuleni taratibu huku nikiwa kifua wazi na nguo sijavaa chochote kwa sababu nilijua tuko wawili tu ndani lakini nikashtuka na kufunga breki nilipomkuta mama mchungaji akiwa sebuleni amekaa kwenye kochi (sofa) huku akichezea simu yake haraka nikageuka kutaka kurudi chumbani kabla hajaniona,
“Edmund?!” aliniita kwa mshangao alipoinua uso wake, kumbe alikuwa ameshasikia sauti ya mlango wa chumbani nilipoufungua, nikaganda kama sanamu nikiwa nimempa mgongo bila ya kugeuka…..