TABIA ZA MKE WANGU ZILIVYONIFANYA NITEMBEE NA HOUSEGIRL
SEHEMU YA 11
Tulibaki tumeduwaa mimi na dada wa kazi (housegirl) Debora tulibaki tumetulia tuli baada ya kusikia sauti ya mke wangu sebuleni
“We Debora uko wapi mbona mlango haujafungwa halafu ndani sebuleni hakuna mtu, unataka tuibiwe?” Joanitha aliongea kwa ukali kama kawaida yake, hajui kumsemesha dada wa kazi (housegirl) vizuri kwa lugha rafiki bila kubwata na kumkaripia
“Kaka Eddy mke wako karudi, nitafanya nini mimi, kazi hii nitaikosa jamani, akiniona humu chumbani kwenu, nimekwisha” Debora aliongea kwa wasiwasi akiogopa
“Tulia Debora, acha hili nitalishughulikia, tulia hivyo hivyo kimya wala usiogope, mimi nipo, nyamaza, ngoja nikamalizane nalo” nilimwambia na kuinuka taratibu nikiufuata mlango, hata mimi nilikuwa na wasiwasi vile vile kuhusu mke wangu lakini nikaamua kujitoa muhanga, liwalo na liwe, atakapogundua kuwa nilikuwa na dada wa kazi (housegirl) chumbani basi namimi nimlipulie bomu lake kuhusu mahusiano yake na mchungaji wetu, Bukuku ambayo mpaka ushahidi wa picha ninao kabisa na video ikiwaonyesha wakiwa pamoja wanajivinjari hotelini, nikaufuata mlango na kuufungua nikamkuta sebuleni akivua viatu vyake virefu kwa tabu akaniona
“Sasa kumbe kuna mtu, maana yake nini mimi naita wee na wewe upo chumbani humo humo umenyamaza tuli, huyu housegirl asiyejielewa nae yuko wapi saa hizi?” aliongea
“Ndo salamu hiyo?”
“Kwani hatukuonana asubuhi mpaka tusalimiane tena Edmund, salamu itakuongezea nini?” alinijibu akisogea taratibu kuja chumbani nami nikiwa nimesimama mlangoni nikijiandaa kumzuia kwanza kisha nimueleze kila kitu kinachoendelea maana akigundua kuwa nilikuwa na dada wa kazi (housegirl) chumbani kwetu basi utakuwa ugomvi mkubwa ambao utanigeukia mimi nionekane mwenye makosa na yeye aonekane hana hatia, hivyo nilijipanga kumuambia kinachoendelea kwake kwanza kabla hajagundua kinachoendelea kwangu,
“Kabla haujaingia chumbani kuna kitu nataka tuzungumze mimi na wewe”
“Kitu gani tena, si ungesubiri kwanza niingie chumbani tena siyo niingie tu, nataka nioge niwe safi ndiyo uniambie hicho unachotaka kuniambia na siyo hapa tukiwa tumesimama, am so tired Eddy (nimechoka sana Eddy) tena ungeniacha kwanza nipumzike kidogo maana kesho mapema mapema ndo ile safari ya kwenda jijini Nairobi nchini Kenya, samahani” alitaks kunipita lakini nikaziba njia
“Kwani hauwezi kunipa dakika tano tu za kuzungumza nawewe kisha ukaendelea na hayo mambo yako yote maana wala sihitaji muda mwingi sana kama unavyofikiri” nilimsisitiza akatabasamu na kunitazama huku akitikisa kichwa chake
“Niambie, huenda bado una mpango wa kunizuia nisiende nchini Kenya kufanya kazi ya Mungu, katika hilo sitakusikiliza wewe ni mwanadamu tu kama mimi”
“Wala sina mpango huo na nimekuruhusu uende tu vizuri na hata ukikaa mwezi mzima basi kaa tu na….”
“Simu inaita subiri” alinikatisha sentensi yangu ikiwa ndiyo tabia yake ya dharau, anaweza kunikatisha maongezi kisa simu tu, siku zote huwa nakasirishwa na tabia yake hiyo lakini sasa nilishaona kawaida tu na isitoshe kuna majanga yangu chumbani nataka kuyaweka sawa, akatoa simu kwenye pochi (handbag) yake na kupokea akiiweka sikioni akageuka na kurudi mlangoni akatoka nje kama kawaida yake kila akitaka kuzungumza na simu, nami nikashusha pumzi na kugeuka haraka haraka nikafungua mlango wa chumbani na Debora aliyekuwa amekaa kitandani kwenye kona kabisa akashtuka na kusimama akijua mke wangu anaingia huku akichezea vidole kwa woga
“Kaka Eddy kuna….”
“Shiiii, toka haraka nenda chumbani kwako, ameenda nje huyu”
“Sawa!” alijibu na kuokota kitenge chake haraka haraka akatoka kwa wasiwasi mbio mbio na kukimbilia chumbani kwake nami haraka haraka nikaingia chumbani humo na kuchukua manukato (perfyume) nikapulizia chumbani ili kama kuna harufu yoyote ya tofauti basi Joanitha mke wangu asijue chochote kile kilichokuwa kinaendelea chumbani kwetu na muda huo huo Joanitha akaingia chumbani baada ya kumaliza kuongea na simu
“Mbona kuna mapafyumu tena chumbani?”
“Nimepulizia tu nimetamani kuisikia harufu ya pafyumu yako mke wangu kuna ubaya?” nilimjibu akaguna na kukaa kitandani akiutupia mkoba (handbag) pembeni kwenye kona ya kitanda
“Makubwa basi haya hebu niambie hicho ulichotaka kukisema maana sidhani kama nitakaa muda mrefu kuna mkesha mkubwa nimealikwa mahali kuimba na kuna pesa nzuri tu itanisaidia kwenye safari yangu kesho” aliongea nami nikasogea nikae kitandani ili tuzungumze lakini sikupanga kumwambia chochote tena kwa sababu tayari nimeshafanikiwa kumuondoa Debora chumbani ambae ndiye aliyetaka kusababisha nifunguke kila kitu ili kujitetea atakapogundulika kuwa yupo chumbani kwangu, nilipopiga hatua tatu kuelekea kitandani nikakanyaga nguo nilipoinamisha uso kuitazama, ilikuwa ni chup** ya dada wa kazi (housegirl) Debora, kumbe aliondoka na kitenge tu, nguo yake hiyo ya ndani akaisahau kutokana na wasiwasi
“Ohooo hili balaa tena” niliongea kimoyo moyo nikisimama maana nguo hiyo ilikuwa sakafuni chini sehemu ya wazi kabisa na Joanitha akiwa amekaa kitandani mbele yangu akitazama chini tu basi imekula kwangu…..
SEHEMU YA 12
Ilinibidi nisimame kwanza bila kusogea popote baada ya kugundua kuwa chini kuna chup** ya Debora ameisahau wakati alipokuwa anatoka chumbani humo, jambo ambalo huenda lingesababisha ugomvi mkubwa iwapo mke wangu Joanitha angeiona nguo hiyo ya ndani
“Mbona umeganda hapo kama sanamu na huniambii ulichotaka kuzungumza, niambie, maana kilionekana cha muhimu sana mpaka ukataka nighairi mambo yangu yote na nikae kukusikiliza wewe, haya mimi hapa nakusikiliza, fanya haraka nataka niondoke zangu sina muda tena”
“Kwani safari si umesema kesho hiyo ya Nairobi Kenya, sasa leo unaondoka ili iweje na mtu umerudi muda si mrefu?”
“Yaani mwanaume wewe sijui hata ni lini utakuwa muelewa na ndiyo maana wakati mwingine naonekana kama mimi ndiye mkorofi lakini kumbe ni wewe mwenyewe ndiye unanitafutaga maneno, sasa mtu nimeshakwambia kuwa leo nina mkesha nimealikwa kuimba halafu unaniuliza tena jambo lile lile, nikikujibu vibaya nitakuwa nimekosea kweli jamani?”
“Oky samahani kama mwanadamu nilipitiwa”
“Enhee nieleze ulichotaka kusema nakusikiliza”
“Hamna nilikuwa nimekumisi tu mke wangu nikataka kukuuliza habari za huko utokapo, vipi matembezi yenu na mchungaji Bukuku na maandalizi ya safari yameendaje?”
“Vizuri tu, yaani hilo jambo ndilo ulilotaka kuniambia kweli au umebadili gia angani?”
“Wala, ni hayo tu nilitotaka kukuuliza, sina mengineyo”
“Mbona umeganda kama sanamu hapo?”
“Nakutazama wewe mke wangu”
“Nimebadilika uso ama?”
“Hamna unazidi kupendeza” nilizuga nikiwa nimeikanyaga chup** ya Debora asije akaiona kama ningeinua mguu tu basi chup** hiyo ya rangi ya pinki angeiona vizuri
“Oky mimi ngoja nikaoge niondoke zangu hata kupumzika siwezi tena maana wakati naingia tu muda ule pastor akanipigia tena kunipa taarifa za mkesha ingawa yeye haendi lakini ameombwa niende nikaimbe na kuna pesa nzuri tu” aliniambia huku akibadili nguo zake akaoge nikiwa nimebaki namwangalia tu huku nimesimama pale pale na chupi nimeikanyaga mguuni kwa kuikunja kunja isionekane
“Oooh mchungaji, vizuri” nilitikisa kichwa huku nikiuangalia tu urembo wa mke wangu huyo mweupe ambae mwili wake umekua kama bidhaa adimu ya bei kali isiyopatikana kiurahisi, nikatabasamu akageuka
“Mbona unafurahi, nini kikufurahishacho?”
“Urembo wako tu mke wangu, si kingine”
“Kwahiyo siku zote hunioni au?” aliguna na kuvaa taulo lake akanipita taratibu huku nikimwangalia tu na kumsindikiza kwa macho mpaka alipotoka mlangoni kisha nikashusha pumzi na kutoa mguu nikaitazama chup** ya Debora na kuiokota taratibu na wakati huohuo mlango wa chumbani ukafunguliwa tena ghafla nikiwa na chup** mkononi ambayo niliificha mgongoni haraka haraka kabla hajaiona na kunishtukia, akiwa amerudi ikionekana kuna kitu amesahau
“Umesahau nini?” nilimwuliza akanitazama kwa umakini akionekana kuna kitu anataka aniulize baada ya kuona mikono yangu iko nyuma
“Sabuni” alinijibu kwa mkato na kuchukua sabuni yake ya kuogea kisha akatoka tena nami haraka haraka nikaikunja kunja chup** hiyo kubwa na kuiweka mfukoni kisha nikakaa kitandani na kusikiliza jinsi alivyokuwa akimgombeza na kumkaripia Debora sebuleni alipokutana nae, nami ikabidi nitoke kwenda sebuleni kusikiliza majibizano hayo nikamkuta Debora amenyong’onyea sebuleni amesimama ameegemea ukuta
“Pole sana Debora, umzoee tu”
“Asante kaka Eddy mimi nimekosea wapi mbona kila kazi nimeifanya na nyumba iko safi”
“Ndivyo alivyo haina haja ya kumtilia maanani sana, mzigo wako huu” nilimpa chup** yake mkononi akashtuka na kutoa macho
“Kaka Eddy kumbe…??!”
“Eeh umeisahau chumbani muda ule tena chini”
“Hajaiona kweli?”
“Hajaiona, ondoa shaka, haya kairudishe chumbani panapohusika”
“Pole jamani kaka Eddy ningekuponza uuuwii”
“Usijali” nilimjibu tukiongea kwa kunong’ona, mwanadada huyo wa kisukuma akaondoka mbio mbio kuipeleka chup** yake chumbani akiwa amevaa gauni kubwa na refu baada ya mke wangu Joanitha kurudi nikamsindikiza kwa macho mpaka alipoingia chumbani kwake huku nikitabasamu kisha nikarudi sebuleni na kukaa kwenye kochi (sofa) na wakati huohuo simu yangu ikaita nikapokea, namba ikiwa ni ya mama mchungaji
“Halow Edmund unaendeleaje?”
“Salama mama mchungaji, sijui wewe?”
“Nipo salama, shetani wangu amerudi huku vipi wa kwako amerudi?”
“Ndiyo amerudi pia ingawa anaondoka tena” nilimjibu
“Unamwambia nani kuhusu habari zangu?” nikaulizwa nyuma na nilipotazama nikamwona Joanitha ananitazama akiwa amenikazia uso na hakuishia hapo akanipora simu yangu kabisa……
SEHEMU YA 13
“Joanitha?!” nilimshangaa kwa jinsi alivyochukua simu yangu kilazima kwa kunipora, nikainuka kutaka kumfuata nichukue simu yangu lakini akanizuia kwa kuninyooshea mkono akibaki anasikiliza simu huku akiweka sauti kubwa (loud speaker) ili namimi nisikie kitakachozungumzwa
“Mpendwa Edmund mbona kimya?” mama mchungaji aliita
“Mimi hapa mkewe”
“Oooh Joanitha, Bwana asifiwe”
“Amen mama mchungaji unaendeleaje?”
“Naendelea vizuri kabisa nikadhani bado naongea na Edmund mume wako maana nilikuwa namtia moyo hapa na kumsihi sana kuhusu huduma yako, kamwe asije akakuvunja moyo au kukuzuia kwa jinsi ambavyo siku hadi siku unazidi kukua kihuduma”
“Amen mama mchungaji, najaribu kumwelewesha mara nyingi sana lakini kuna wakati anakuwa kama haniamini kama ninaenda kwenye huduma anajua sijui naenda kwenye mambo machafu yaani bora hata wewe umemshauri kwakweli”
“Joanitha unamwambia nini mama mchungaji, ndo nini kunichongea?” nilijifanya kama nimekasirishwa na maneno yake hayo
“Nakuchongea nini wakati ni kweli, haunizuiagi wewe kwenda kwenye kazi ya Mungu, sema mwenyewe mbele ya mama mchungaji asikie”
“Jamani Edmund mwanangu usifanye hivyo, usimzuie mke kwenda kwenye kazi ya Mungu, ndipo baraka zinapotokea huko, siku hizi anapata mialiko mingi sana, hata mimi mume wangu hapo awali alipoanza kazi ya Mungu nilikuwa namzuia lakini sasa nimemwacha afanye atakavyo kwa sababu najua kuna baraka nyingi kwenye kazi ya Mungu” mama mchungaji aliongea akinishauri huku Joanitha mke wangu akiwa ameniwekea simu nimsikilize, akiwa hajui kuwa mimi na mwanamama huyo tuna siri zetu nyuma ya pazia tunazozifahamu kuhusu yeye na mchungaji
“Sawa mama nimekuelewa, siku hizi wala simsumbui, nimeshapata somo tayari”
“Haya wanangu muwe na siku njema, Mungu awabariki sana”
“Amen mama mchungaji” Joanitha alijibu na kukata simu kisha akanirudishia
“Umeridhika?”
“Sana” alinijibu kwa mkato na kuondoka kwa madaha kuelekea chumbani kuvaa ili aondoke, nikatikisa kichwa kumsikitikia kisha nikakaa kwenye kochi (sofa) taratibu na muda huohuo ujumbe mfupi (SMS) ukaingia kwenye simu yangu kutoka kwa mama mchungaji, ukisomeka;
“VIPI EDMUND SIMU UNAYO WEWE SASA?”
“NDIYO MAMA MCHUNGAJI, SIMU NINAYO MIMI, ASANTE KWA KUCHEZA NA AKILI YA JOANITHA MAANA NILIDHANI ANGEGUNDUA AINA YA MAONGEZI TULIYOKUWA TUNAZUNGUMZA NA KUMBE UKAMCHENGA”
“NILISHAJUA TU, SAWA USIJALI TUTAZUNGUMZA WAKATI MWINGINE, NGOJA NIMUANDALIE NGUO HUYU MWANAUME INGAWA NINA MACHUNGU MOYONI LAKINI NAJIKAZA TU, NAJUA KUWA ANAKWENDA NA MKEO LEO HOTELINI NIMEONA MESEJI KWENYE SIMU YAKE, NITAFANYA JAMBO AMBALO HATOSAHAU KWENYE MAISHA YAKE YOTE”
“TARATIBU MAMA MCHUNGAJI, TARATIBU” Nilimjibu na wakati huohuo mke wangu akatoka chumbani akiwa ameshajiandaa tayari
“Naenda, nadhani kuonana ni wiki ijayo” aliniambia na kunibusu kwenye paji la uso
“Safari njema” nilimwitikia akatabasamu na kutoka taratibu akiwa na mkoba wake mkubwa, alipotoka nikaenda kusimama mlangoni nikimtazama nikashangaa akiwa hajaita pikipiki yaani ‘boda boda’ ndiyo kwanza akaanza kutembea mita kadhaa na kwa mbali nikaliona gari la mchungaji Bukuku likiwa limesimama linamsubiri nikashusha pumzi na kuufunga mlango nikirejea ndani, nilipogeuka mwanadada Debora akiwa amesimama kwenye mlango wa chumbani kwake akinitazama, akaingia chumbani kwake haraka haraka baada ya kumwangalia na kuufunga mlango, nikasogea na kumgongea mara kadhaa akanifungulia kwa wasiwasi
“Abee?” alitazama pembeni kwa aibu
“Erick amelala?”
“Hamna amechukuliwa na yule mama jirani anayekujaga kumchukua ili wakacheze na mtoto wake”
“Namimi nitacheza na nani?”
“Kaka Eddy jamani kwani wewe mtoto?” aliongea kwa aibu huku akichezea vidole nikaufungua mlango na kuingia ndani kabisa huku akirudi kinyume nyume, nikaufunga kwa ndani
“Mimi mtoto pia” nilimjibu na kumvuta mkono nikasogea nae kitandani na kumsukuma kwa hasira kutokana na anachonifanyia mke wangu Joanitha, nikavua tshirt nililovaa na kulitupa pembeni
“Kaka Eddy mke wako akirudi tena je?”
“Haitabadilisha chochote kati yangu na yako” nilimjibu akiwa amelala chali kitandani nami nikapanda kitandani na kumlalia kwa juu…..
SEHEMU YA 14
“Kaka Eddy jamani?” alilalamika
“Nini Debora?”
“Mke wako akirudi tena mimi naogopa”
“Wa kupaswa kuogopa ni mimi na wala siyo wewe” nilimjibu na kuanza kumtomasa tomasa kila kona ya mwili wake huku nikimbusu busu shingoni akiwa anahangaika hangaika, nikampandisha tena blauzi yake kwa juu na kuyaacha wazi matit** yake makubwa yenye chuchu nyeusi tii nikaanza kuyanyonya taratibu kwa zamu moja baada ya jingine huku nikiuchezesha chezesha ulimi wangu kwenye chuchu zake nyeusi
“Aaaasssh kaka Eddy unanitekenya mwenzio!” alilalamika huku akitazama pembeni kwa aibu lakini mikono yake ikiwa imeshikilia kichwa changu
“Pole, kidogo tu” nilimjibu huku nikiuteremsha ulimi wangu taratibu kutoka kifuani mwake mpaka maeneo ya tumboni nikautuliza hapo na kuanza kuichezesha chezesha ncha ya ulimi wangu ndani ya kitovu chake huku mikono yangu yote miwili nikiwa nimeinyoosha kifuani mwake nikiwa nimeyashika matiti yake yote mawili, la kulia na la kushoto nikiyaminya minya na kuyatomasa tomasa huku vidole vyangu vikiwa vimeshika chuchu zake zilizovimbiana, Debora alibaki akiguna guna na kulalamika huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi nikiona jinsi kifuani panavyopanda na kushuka isivyo kawaida, nilikuwa nausafirisha ulimi wangu kuelekea chini bondeni kwenye tunda 🍎lake katikati ya mapaja au kwa jina jingine kisima’ ili nikautulize ulimi wangu hapo lakini nilishachelewa nilipakuta pakiwa pamelowana chapachapa mpaka panatoa vijipovu, hapakuwa na haja tena ya kusogeza ulimi wangu ambao ungekutana na mrenda wa bamia’ nikautuliza ulimi wangu kwenye nyonga zake nikizibusu busu zote za upande wa kulia na wa kushoto, Debora akishtuka shtuka kama anapigwa na shoti ya umeme, kitenge chake alichojifunga kikiwa chini na nikamshuhudia akiivua blauzi yake mwenyewe bila kuambiwa, akibaki mtupu kama alivyozaliwa nami nikamalizia bukta yangu taratibu, jogoo🍆 aliyekuwa amesimama amebanwa ndani ya bukta akachomoka kwa hasira alipoachiwa kifungoni ili apate hewa nje na wala sikuchelewa taratibu nikapita katikati ya mapaja ya Debora na kumwingiza jogoo wangu ndani ya kisima’ chake,
“Uuuwiiii kaka Eddy jamaniiii!” alitetemeka tetemeka
“Pole unaumia?”
“Hamnaaaaa” alifumba macho nami taratibu nikaanza kukitumia kiuno vyema bila fujo kumsukuma jogoo aliyeingia nusu tu nikitengeneza njia, Debora akiwa bado amejiziba uso, nikaona akianza kukinyonga kiuno chake taratibu ingawa kilikuwa kigumu akijiongeza mwenyewe, nikakishika kwenye nyonga akiwa amepanua mapaja nami nimepita katikati shughuli ikaanza kitandani kati yangu na dada wa kazi (housegirl) jambo ambalo sikuwahi kuliwaza kama litatokea, kutoka nje ya ndoa yangu lakini sikuwa na jinsi kwa sababu mwili ulikuwa unadai kucheza mchezo’ na wa kucheza nae ndiye huyo Joanitha ambae wala hakuwa anajali chochote kuhusu mimi zaidi ya mambo yake na mchungaji
“Mmh aaaaawiiiii uwuuuuu” alipiga mayowe wakati kasi yangu ya kumshughulikia ilipoongezeka huku nikiwa juu ya kifua chake, dakika ya kumi ikiwa imekatika, ulichanganya na hasira nilizonazo kwa mke wangu na muda mrefu ambao sijapata kitu hicho’ basi leo ilikuwa shughuli pevu kwake, nilimkamata shingo bila kumuumiza nikimbananisha asifurukute, nikimshindilia kama nalima bustani kwa jembe butu’ Debora akabaki ametoa macho akirusha rusha miguu, nikasogeza midomo yangu kifuani mwake na kuendelea kumnyonya matiti yake kwa zamu moja baada ya jingine huku jogoo🍆 wangu akiwa bado ndani ya kisima’ anachota maji bila kata ya kuchotea ghafla nikashangaa kitanda kinalowana kwenye magoti yangu wakati nikiwa namshughulikia, nilipotazama kwa umakini kumbe Debora alikuwa ameachia kojo la kawaida baada ya kuzidiwa……
SEHEMU YA 15
Debora alitazama pembeni kwa aibu baada ya kulimwaga kojo la kawaida baada ya kuzidiwa na kushindwa kujizuia, siyo kojo lile la tendo hapana ni lile ‘orijino’ kabisa lile lenyewe
“Waaaaaooooh!” nilitabasamu huku nikiwa nami ndiyo nashusha mzigo wa dhambi’ nje kwenye mapaja yake nikiwa nimeshafika kwenye kilele cha raha baada ya dakika zaidi ya kumi na tano (robo saa) ya kumshughulikia
“Samahani kaka Eddy nimeshindwa kujizuia”
“Usijali ni kawaida tu”
“Nimechafua mashuka, usinifikirie vibaya” aliongea kiunyonge, nikasogeza uso wangu karibu yake na kumbusu shavuni
“Wasiwasi wako nini Debora, ya kawaida tu haya wala usijali, inuka” nilimshika mkono na kumwinua taratibu akakaa kitako lakini bado akitazama pembeni kwa aibu na kuokota kitenge chake akajifunika nami nikasimama na kuchukua leso nikimfuta futa jogoo mwenyewe, akainuka kitandani huku akichechemea na kutaka kutoka chumbani kimya kimya huku akitazama pembeni nikamshika mkono kumzuia asiendelee na safari yake
“Kaka Eddy niachie”
“Unaenda wapi sasa bila kuniaga Debora?”
“Naenda kuoga”
“Ngoja basi nikusindikize”
“Hamna nitaenda tu mwenyewe” alikataa na kuuachia mkono wangu akatoka haraka chumbani ili aelekee bafuni akiwa amejifunga kitenge nami nikatoka kumfuata nyuma huku nikiwa na bukta yangu mkononi na ndipo tukasikia mlango wa sebuleni ukigongwa, tukasimama na kutazamana kwa sekunde kadhaa, Debora akiingiwa na wasiwasi mwingi akijua ni mke wangu amerudi tena
“Siyo Joanitha, asingebisha mlango nenda tu kaoge” nilimwambia na wakati huohuo mlango ukafunguliwa baada ya mtu huyo kubisha mara mbili tu na ndipo Debora akakimbia mbiombio kuelekea bafuni nami nikaufuata mlango, akaingia jirani yangu aliyemchukua mtoto wangu mdogo, akinikuta na bukta tu nimevaa huku nikiwa kifua wazi
“Oooh baba Erick, hodi”
“Karibu jirani, unaendeleaje?”
“Salama kabisa jamani pole kwa kukusumbua naona ulikuwa umepumzika mwenyewe” aliniambia mwanamama huyo huku akicheka cheka na kuniangalia kwenye bukta yangu kiwizi wizi, jogoo 🍆 wangu akiwa hajalala vizuri baada ya kutoka kula’ vitamu vya dada wa kazi (housegirl)
“Hamna hujanisumbua, karibu sana, pita tu ndani”
“Hamna ndani siingii nilikuja tu kukuomba niende na Erick safari yangu maana nimejaribu kumrudisha lakini mtoto wangu analia kweli hataki waachane yaani wanavyopendana na binti yangu uuuwiii”
“Usikute huko mbeleni tukawa tunaitana wakwe jirani”
“Kwakweli maana siyo kwa kuliliana huko”
“Lakini kuondoka na Erick si atakusumbua huko jamani?”
“Nani Erick mtoto wako, wala hasumbui, tangu muda ule sijamsikia akiita mama wala baba, yeye anacheza tu vizuri muda wote na kula nimempa chakula anakula wala haringi ringi kama binti yangu yaani mtoto wako anaweza kukaa na mtu yeyote bila taabu, tutarudi kesho”
“Kukojoa je maana anaachia kojo huyo akilala”
“Kuna mtoto asiyekojoa baba Erick, mtoto katika umri huo asipojikojolea basi ana matatizo hata binti yangu anajikojolea na mipira siku hizi ipo”
“Kama wewe umesema mimi ni nani nikatae, ongozana nae tu hakuna shida”
“Vipi mama Erick yupo nimuage na yeye?”
“Hayupo amesafiri, nitamuambia bila shaka na yeye hanaga shida nawewe hata nikimweleza kuwa mtoto yupo kwako haulizagi tena mara mbili mbili”
“Haya asante baba Erick kapumzike tu”
“Haya karibu tena jirani” nilimjibu akatabasamu na kuondoka taratibu huku akigeuka tena kuniangalia mara mbili mbili nami nikaufunga mlango kwa ufunguo kwa ndani na kurudi tena mpaka bafuni niliposikia sauti ya maji, Debora akioga, sikumgongea nikaufungua tu mlango
“Kaka Eddy!” nilimkuta akiwa mtupu hana nguo amelowana chapa chapa huku amejiziba matit** yake kifuani kwenye chuchu nisimwone
“Naweza nami kuoga?”
“Ninatoka sasa hivi aligeukia ukutani akishindwa kuendelea kuoga mwanadada huyi mwenye aibu sana nami macho yangu yakagonga kwenye makalio yake makubwa yaliyokuwa yanachuruzika maji akiwa amesimama chini ya bomba la kuogea la mvua lakini halitumii, nikamsogelea taratibu
“Mbona unaogea ndoo wakati bomba la mvua lipo?”
“Sijalizoea”
“Sasa utalizoea lini Debora?” nilimwuliza huku nikilifungua na maji yakaanza kuchuruzika taratibu yakimmwagikia akiwa na mapovu ya sabuni nami nikiwa na bukta nimevaa, nikaushika mkono wake na kuichukua sabuni aliyoishika nikaanza kumpaka taratibu nikiyasambaza mapovu kwenye kila kona ya mwili wake
“Unanitekenya kaka Eddy jamani” alilalamika huku akicheka cheka wakati nilipokuwa nampaka povu la sabuni makwapani huku maji kidogo yakitumwagikia kama manyunyu ya mvua nikiwa nimesimama nyuma yake, tayari bukta yangu nilishaitoa mwilini na kuitupia chini, jogoo🍆 wangu akiwa amesimama imara amepita katikati ya barabara ya makalio yake makubwa namsugua sugua taratibu
“Kidogo tu jamani si nakusugua” nilimnong’oneza sikioni huku nikimbusu busu shingoni na kulifungulia bomba zaidi mapovu ya sabuni yaondoke, nikamshika mabega na kumwinamisha apinde mgongo huku mguu wake mmoja nikiupandisha kwa juu kwenye kijiukuta cha kujisugulia nyayo za miguu ili nipate nafasi ya kutosha na wala sikulaza damu nikamwigiza jogoo🍆 wangu taratibu ndani ya kisima’ chake na kuanza kumsugua bila haraka
“Uuuuwiiiii mmh kaka Eddy, nitajikojolea tena jamani”
“Kojoa tu wala haina shida, napenda navyoona mkojo wako mrembo nilimjibu nikiwa nimesimama kwa nyuma yake, nikiwa sitaki kuichezea siku ya leo ambayo hamu zangu zinatulizwa baada ya siku nyingi za kukaa bila kuziondoa…….
Inaendelea