MATAKO YAMENIPONZA 11
ONYO: Wakubwa tu wasome hii hadithi
Kulia yani kila nikiwaza nimewakosea nini mimi mpaka wanibake jibu sikupata basi mama yangu akawa ananiambia mwanangu nyamaza Kulia kikubwa awajakuua upo hai,
Maneno ya mama yakanipa nguvu mimi baraka tuishie hapa nikikumbuka naumia mwenzio.
Baraka akaniambia sema amina unajua ukisema ndio yanaisha aya unabaki na amani moyoni niambie amina usiogope nimekwambia sitokuacha ata iweje.
Baraka kiufupi matako yangu aya ndio ilikuwa sababu ya mimi yote aya wanawake wa uku awana matako makubwa kama aya ndio maana mimi nimefanyiwa ivi naomba baraka Leo tulale wote.
Baraka akasema sawa tulale ila sio wote wewe lala na mama kesho nitajua nafanyaje.
Namwambia unataka ufanyaje baraka?
Nataka kuwaonyesha sheria hipo tena…
MATAKO YAMENIPONZA 12
Tena Ilo jambo linaanza kesho Basi baraka alinifariji Sana moyo kidogo ukapw kesho yake baraka akaanza kutafuta ushaidi juma alikuja ndo akampa mambo yote pamoja na wahusika aliwatajia
Mchana akawa anatembea na Kijijini kwetu akakuta na salum
Bro vp?
Pw nambie?
Safi naona umeamua kujirupua!
Amna bhana nimemic kunywa Kule sokoni amna sehemu ya kutulia?
Ipo twende
Tunaendaje wawili ita na rafiki zako mm nataka niwape ofa leo
Pw bro asante ngoja tuwapitie pale
Sawa twende uko baraka anachat na rafiki zake wanakuja kweli wakawapitia rafiki zake Salim wakaenda kwenye kibaa akaagiza kreti la safari walikunywa mbaka saa saa tatu walilewa atali
Oya salum mm nataka kumuowa amina vp unamuonaje?
Baraka uyo dem sio alikuwa analinga Sana akujua sisi wanaume sikumoja tukamfanyia yaani waliongea yote waliyonifanyia mwenzio akawa analekodi
Basi wenzake baraka watatu wakawa wamefika kijijini usiku ule sokoni ndo Kuna stendi akawapokea Kuna dawa walileta wakawawekea kwenye bia walilala ovyo walichofanya waliwavua nguo wakawalaza sokoni harafu baraka akawapeleka wageni gest yy akarudi nyumbani na akunisimulia yy alikuwa analala chumbani kwangu mm nikawa nalala na mama
Mama amina we mama amina amka ukaone mambo
Mmh kufunua pazia kumekucha tukakurupuka na mama hadi nje Kuna kumbe mama sofi
Unanini ww?
Vijana waliombaka mwanao wamekutwa sokoni wapo uchi tena sehemu ya Aja kubwa kunamautelezi cjui wamefanywa nn
Jamani mama alifurahi halirukaluka
Mama kwa nn unafurahi watu wamefanyiwa vby?
Ww alichokufanyiaga umesahau wamekupo mkosi kila sehemu unanyoshewa video mungu atanisamehe leo lazima nikamcheke mwenye kitu nione na yy atanyamaza Kama alivyonyamaza kwako?
Mama amina usiende yaani mwenye kiti kajifungia ndani anaona aibu hadi kutoka nje
Mm machale yakanicheza nikamfuata baraka nikamgongea akaniambia niingie
Baraka ni ww unahusika?
Nahusika na nn?
Kuhusu yaliyotokea sokoni
Kwani limetokea nn?
Ww jana ulikuwa wapo?
Nilikuwa na juma
Mmmmh🙆🙆🙆🙆🙆🙆
MATAKO YAMENIPONZA 13
Nikamwambia baraka ulisema sheria ifate mkondo mbona wewe umefanya ivi wewe ndio umewavua nguo vijana wale walionibaka.
Amina nielewe mimi siusiki kwani wewe umeumia kusikia maadui zako wamefanyiwa kitu kibaya?.
Amna baraka sijaumia ila..
Mama akasema wewe amina usiondoke umweke mgeni chai acha niende na mama Sofi kwa mwenyekiti,
Mama anafuraha kweli kweli wale vijana wamefanyiwa kitu kibaya wakafika kwa mwenyekiti,
Mwenyekiti anasema,
Kubakwa mwanamke sio vizuri japo akibakwa na starehe anapata ila kubakwa kwa wanaume sikubari nasema wagambo wafanye uchunguzi wa kina juu ya hili jambo kuna nini kipo,
Mzee mmoja akasema au mchumba yake amina ndio kafanya ivi,
Mwengine anakataa anasema uyo mchumba wa amina ajaambiwa ukweli juu ya amina angeambiwa ukweli unadhani angempenda akuna mwanaume anayependa mwanamke aliyebakwa.
Mama sofi akamwambia mama wewe kaa kimya tuone mwenyekiti atafanya nini.
Mama akasema acha nione ila akitaka kunijua mimi nani acheze na mgeni wangu.
Mama sofi akaona kuna ulakini mbona mama akuwa mkari sana juu yangu zaidi aliishia Kulia Leo anataka kuwa mkali kwa mgeni akakaa kimya nia aone nini kitaendelea..
Mama aliludi nyumbani akakuta nimeinjika chai arafu sijaifunikia akaniambia,
Mwanangu chai itanuka moshi uwe unafunikia juu.
Basi nachukua mfuniko nainama kufunika chai naona baraka ananiangaria jicho la kunitamani matako yangu kwa sababu makubwa Basi yamemvutia nilivyoinama.
MATAKO YAMENIPONZA 14
baraka akawa anazuga zuga kama aniangari na mimi sijui kilinikuta nini nikajifanya napepea moto yani nimeinama zaidi nizidi kumdatisha baraka naona baraka macho kayatoa 🙄 mimi nikasema kimoyoni wewe sababu umenipenda Leo utakura kwa macho mpaka usiku uniambie nije chumbani kwako,
Kwa makusudi nayatingisha matako yangu kumbe kaka juma na yeye yupo nyuma yangu mimi simuoni najua yupo baraka tu na mama yupo ndani,
Basi mara nasikia sauti ya mama wewe amina nyanyuka uepue chai iyo tayari.
Kumbe ananinyanyua kiakili kashamuona kaka juma ananiangaria.
Na mimi nikahipua chai nikaenda kumimina kwenye vikombe tukanywa na mihogo,
Usiku nikamvizia mama kalala nikaenda chumbani kwangu kumgongea baraka nimshawishi nimpe japo utamu naona ananipenda kweli pamoja na unyama niliofanyiwa yeye kanipenda mimi nilijua sitopendwa tena,
Baraka akafungua mlango mimi nikaachia tenge makusudi namwambia baraka tulale wote,
Baraka akaniambia..
MATAKO YAMENIPONZA 15
Amina sitaki kumuudhi mama wewe nenda kalale mimi na wewe tutaenda mjini mambo yetu tutafanya mjini sio hapa.
Mimi nikaondoka chumbani uku naona baraka ataki kufanya labla anaisi mimi ni muathirika au vipi yani nawaza mwenyewe ila sina uhakika baraka ananiwazia nini Basi tulilala mpaka asubui,
Kaka juma akaja akamchukua baraka akampeleka shamba uko kuchimba nae mihogo yani baraka anasema,
Juma mimi namuoa amina kabisa,
Na juma anamwambia muoe amina ana tatizo ila vijana wale ndio wamempa doa tu amina ila Mungu amewalani.
Yani kaka juma ajui mpango ule wa kuwadharirisha ulipangwa na baraka,
Sasa mwenyekiti anataka alishuparie jambo la wale vijana wale vijana wenyewe wanaona aibu kutoa ushahidi jambo limekaa vibaya,
Basi mimi nawaza kwanini baraka asinidonyoe japo kidogo maana yeye si ananipenda,
Basi nikasema kimoyoni kwa sababu analala chumbani kwangu Leo nitamwambia nataka kubadirisha nguo ila aniveshe yeye mchumba wangu nitamvizia mama kaondoka namtega ili anifanye.
Kweli mama aliondoka kwa mama sofi na kaka juma akaondoka,
Mimi nikamwita baraka chumbani Nikamwambia nataka univeshe nguo,
Baraka akasema…
MATAKO YAMENIPONZA 16
Mimi nitakuvarisha Siku nikikuoa.
Basi alitoka nje mimi moyoni niliumia sana,
Baraka alipoona kijijini mambo yamekaa sawa akaondoka akaniambia nakuja kukuoa kabisa,
Mama alipewa ahadi ya mimi kuolewa,
Na mama akafurahi sana akawa ananilinda nisiwe natoka natoka mimi ni mchumba wa mtu,
Sasa nashangaa moyoni naanza kumpenda kaka juma yani nikikaa bila kumuona sisikii raha natamani nimuone tu,
Marafiki zangu walionitenga walisikia nataka kuolewa si wakaona waje kunizoe tena hili wajue kama nimetumia dawa au nini.
Yani wanataka kunichimba chimba mimi,
Basi tulikaa na kaka juma wao wakaja sasa mama awapendi kweli,
Sasa hapo kaka juma awapendi awezi kuwafukuza,
Ila mama…