MATAKO YAMENIPONZA 1
ONYO: Wakubwa tu wasome hii hadithi
mama kwa nn mungu amenipa mtihani huu!?
Amina mwanangu jaribu kuvaaga madira mwanangu uku kijijini polisi mbali mbaka ukwee mabasi na mm Sina hela ya kwenda kuwashtaki nakuinea uruma Ila nashindwa nifanyaje Kama mzazi baba yako angekuwa hai usingepata shida ivi wanatuonea kwa kuwa mm ni mwanamke
Mm naomba niondoke kijijini la sivyo nitakufa kwa marazi
Uwezi kwenda kuniacha peke yangu amina tumebaki wawili tu ukiniacha nitakufa
Nilikumbatiana na mama tukalala mbaka asubuhi
Nikaamka nikabeba ndoo nikawa nawaza kwenda kisimani mama nataka nikachote maji
Hapana mwanangu ngoja niende mm ww utakuwa unafanya kazi tu za hapa
Sawa mama ila uwezi Chota maji kila ww
Mm siitaji kabisa upatwe tena matatizo mwanangu
Sawa mama asante kwa kunijari nakupenda mama yangu
Basi mama akaenda kuchota maji mm nikawa nafagia uwanja nikaangalia mbele nikawaona wakaka watatu wafugaji wananiangalia nilishtuka😳😳nikakimbilia ndani nilikaa mbaka mama alivyorudi
Mama ujaona wavulana wamesimama nje hapo?
hapana mbona awapo mama akatoka tena kuangalia akuona mtu
Amna mtu mwanangu sema uwoga wako tu aya njoo nje tufanye kazi usiwe na ofu Sana utakosa furaha sawa mwanangu
Sawa mama nilitoka nilifanya usafi mama akaniambia niende kuchuma kisamvu Sio mbali na nyumbani nilienda kuchuma wakati nachuma mara nikaona mtu kanishika kiuno nilishtuka😳😳
Amina usishtuke Sana nambia za asubuhi
Nzuri juma za kwako?
Salama vp mbona upo hapa unaenda kuokota kuni?
Hapana nimekuja kukupa pole kwa matatizo uliyopata pole Sana jitaidi usiende sehemu ya polini peke yako harafu jitaidi uwe unavaa nguo ambazo azioneshi umbo lako
Sawa kaka juma nashukuru kwa kunijari
Aya maliza kuchuma nikupeleke nyumbani maana vijana wa uku kijijini kwetu wanatamaa Sana
Nikamaliza kuchuma kisamvu juma akanisindikiza nyumbani tulivyofika mama alimshukuru Sana kwa roho yake Nzuri
Aina shida mama hapa kijijini amna kituo Cha polisi kwa iyo inatakiwa tuwalinde dada zetu
Sawa mwanangu
MATAKO YAMENIPONZA 2
Basi juma akaondoka tukabaki mm na mama nikawa natwanga kisamvu mama anakoleza moto
Mama amina we mama amina!!
Mama unaitwa na jirani yako ausikii!!
Abe mama sofia karibu ndugu yangu samahani sikukusikia
Nilikuwa nakupa taarifa Kuna mkopo wa solar umekuja kijijini kwetu wamefikia kwa mwenye kiti twende tukaone
Sawa ngoja nibadirishe kitenge kimechafuka Sana
Mm nilivyosikia nikatwanga haraka nikainjika jikoni mama alivyotoka akakuta nimeisha bandika nikamwambia mama na mm naenda kuona twendeni wote mama alitaka kunikatalia Ila mama sofia alinitetea tukaenda wote
Tulifika kwa mwenye kiti mama na mama sofi wakaongea na mwenye kiti na wale wanaokopesha wakasaini Basi wakasema watakuja kufunga
Basi tukawa tunaondoka wakati tunaondoka wale wageni mmoja wapo akaanza kumweita mama maana alisikia wakati mwenye kiti anamwita mama
Mama amina samahani akawa anakuja tulipo yule mgeni samahani mama nimesikia unaitwa mama amina uyu ndo amina?
Ndio baba uyu ndo mwanangu wa kwanza na wa mwisho anaitwa amani
Mmh ongera mama mtoto kweli ulizaa sawa mama nimeona utachelewa kufungiwa maana foleni ni nyingi ngoja niweke jina lako mbele kesho waje kukufungia
Sawa mwanangu nitashukuru
Aina shida mama haya mm narudi sawa mwanangu
Mama amina mbona uyu kaka anamwangalia Sana amina ?
Me sijui we twende nyumbani amina kuwa makini mwanangu
Eeeh mama amina umeanza muache mtoto kama atapendwa muache aolewe
Ataemuowa mwanangu nani na aibu ile akuna jasiri ataeweza kumuowa mwanangu
Mm
Basi mm nilikuwa kimya tu mbaka tukafika nyumbani tukapika tukala usiku ukaingia tukalala asubuhi nilichelewa kuamka nikaamka saa tatu nikatoka nje na kaka tu nikaenda chooni kabra sijatoka nikasikia sauti ya gari nikatoka ILi niangalia gari kijijini kwetu linaenda wapi
Nilikutana na watu wa solar ndo wamekuja kutengeza wakazima gari wakanisalimia nikaitika kea aibu nikaogopa kutembea kuingia ndani nilikuwa sijavaa kitu ndani na wao walikuwa wananikodolea maji😳😳nilisimama tu kumbe mama
MATAKO YAMENIPONZA 3
Nilisimama nikawa naogopa kuingia ndani kumbe mama alikuwa kuchota maji alivyorudi akanikuta nimeganda tu na kanga akajua tu naona aibu akatua maji nje akanipa kanga aliyokuwa nzinga nikaa akawasalimia wote awakuitika walikuwa bize kuniangalia mama akaniambia ingia ndani mm nikaenda ndani akasalimia tena wakaitia kwa kushtuka
Pooh mama samahani nilikuwa mbali kimawazo mmeamkaje?
Salama tu sijui nyie
Atujambo tumekuja kufungia solar
Sawa wanangu karibuni Sana amani njoo mm nikatoka nilikuwa nimeisha vaa gauni langu la kishamba limekomaa Ila umbo langu lilikuwa limejichola
Mm naenda kubeba maji baki na wageni
Sawa mama
Nilibaki na wageni Kuna uyo mgeni mmoja alikuwa alimwambiaga mama atasogeza jina lake mbele ILi awai kuwekewa solar jamani alikuwa ananiangalia atari akasogea nilikuwa jikoni nakoka moto
Amina umeamkaje
Salama tu uku naona aibu
Unamiaka mingapi?
20
Baba yuko wapi?
Amefariki
Kwa iyo unaishi na mama peke yake?
Ndio
Sawa!mm ninashida ya kuongea na ww sasa cjui wapi tutaonana?
Ongea na mama akikubari sawa tutaenda kuongea
Sasa unazani siwezi kumuomba mama yako ngoja arudi nimuombe mm mwenyewe
Basi mama akarudi akatua maji wale wakaendelea na kazi Ila yy ata afanyi yeyote anaangalia tu
Mama amina pole na kuchota maji
Asante mwanangu yaani visima viko mbali Sana yaani shida tu
Ngoja tukakuchotee na amina tupe ndoo mbili
😳😳Hapana yametosha mwanangu wala usijari
Mama mm naomba kuongea na amini nakuaidi nitamrudisha salama kabisa
Sawa Ila naomba muwe makini sijui jina unaitwa nani
ooh naitwa baraka mama
Sawa muwai kurudi amina ebu beba ndoo mbili kaka yako baraka akupeleke kisimani
😳😳Nilisita kidogo badae nikakubari nikabeba ndoo ndogo mbili tukaanza safari ya kisimani
Tukaenda umbali kidogo!amina ebu tukae hapa kimvulini nataka kuongea na ww
Basi tukakaa pale stori
Amina mm nakupenda nataka nikuowe na ndoa kabisa
😳Hapana mm nimeishaaribiwa maisha siwezi kuolewa historia yangu nikikusimulia uwezi ata kukaa karibu na mm🙆
MATAKO YANANIPONZA 4
kwani umepatwa na nini?
Amna kitu nitakwambia Ila kwa sasa sipotayari kukwambia kwa sasa
Sawa Ila jua nakupenda Sana nataka nikuowe nikubarie tafazari
Nitakwambia nipe mda nitakujb
Sawa nisubirie kwa mda gani?
Nipe wiki moja itatosha
😳😳Mbona mbali ivyo me nitakuwa nimeisharudi mjini
Sawa Ila naitaji mda wa kufikiri ILi
Sawa basi nikienda mjini nitarudi uku kwa ajiri yako
Sawa karibu tena twende tukachote maji mama atakuwa na ofu
Sawa twende
Amina amina
Abee alikuwa juma anakuja tulipo vp kaka juma kunatatizo uko mbona mbio ivyo?
Amna nilimuuliza mama akasema umekuja kisimani niliogopa nikajua uko peke yako
Amna Niko na baraka
Sawa vp uko salama
Niko pw
Uyu anaitwa baraka wamekuja kufunga solar baraka uyu juma ni kaka yangu wa hiyari namshukuru Sana ananisaidia Sana Sina Cha kumlipa zaid mungu mwenyewe nampenda kaka yangu ananichukulia kama dada yake wa tumbo moja yaani
Ni vzr nashukuru kukufahamu juma uwendelee na moyo uwo uwo
Asante karibu kijijini kwetu baraka
Asante nimekaribia
Ngoja niwaache nilijua yuko peke yake
Tuongezane kwa pamoja tu aina shida juma
Sawa nikajua nitawabana bhana si unajua tena nataka shemeji mm dada yangu amina amekuwa😂😂😂 utani kidogo uku tunaenda kuchota maji tukarudi nyumbani mm sikubeba ndo ndio moja kabeba juma nyingine kabeba baraka
Karibuni wanangu leo ninabahati mungu kaniongezea watoto wa kiume wakatua maji juma akawa anaondoka mama akamzuia kunywa kwanza chai mwanangu
Mama asante nimeshiba nitakula siku nyingine
Aiwezekani kabisa kaa hapo mama akatandika mkeka kumbe alichimba mihogo akaweka akawaita mafundi wote waje kuchukua mihogo tulikuwa pale tukashiba mafundi wakaendelea na kazi
Mama naomba kuongea na ww badae
Sawa mwanangu Ila kunanini?au amina kakutukana uko kisimani?
Hapana mama
Sema baraka Kama kakosea nimseme amina
Hapana mama
Sawa karibu mda wowote jisikie uko nyumbani
Baraka akanisogelea umeona mama yako ananipenda mm lazima nikuowe tu ata kama utaki kuniambia mambo yako🙆
MATAKO YAMENIPONZA 5
Basi tukala muhogo tukashiba juma akaondoka mafundi nao wakamaliza kazi wakaondoka tukabaki mimi na mama
Amina baraka kisimani alikuwa anakwambia nn?
Aliniambia ananipenda anataka aniowe
Wewe ulimjb ñn?
Nilimwambia anipe mda nimjb na yy alikubari
Sawa ngoja tusubuti badae cjui anataka kuongea nn natamani mwanangu upate bwana utoke kijijini hapa
Bwana gani ataniowa mm mama watu watamwambia tu vitu nilivyofanyiwa
Tuachana na hayo mwanangu tuandaa mboga ya mchana Ayo tumuachie mungu
Sawa Basi tukafanya maandalizi tukapika jioni saa kumi na mbili nipo chumbani napanga mama alikuwa sebleni
Odi odi
Karibu karibu ndani
Hapana mama tukae nje siku nyengine nitaingia ndani mama
Sawa mama akampa kigoda amina niletee mkeka nikatoka nje na mkeka nikatandika tukakaa
Karibu mwanagu
Asante za saizi tena?
Zuri mwanangu za toka mda ule?
Salama Amina Kilamlya vp?
Safi
Mama samahani Kama nitakuwa nimekukosea kwa kuongea haya mm nampenda amina nataka nimuowe tuanzishe familia
Kwani amina mwenyewe ulimwambia?
Ndio nilimwambia alisema nimpe mda nimekubari kumpa mda Ila naic Kuna jambo anataka kuniambia Ila anasita kuniambia
Usijari ikifika mda atakwambia labda anaogopa kwa kuwa bado amjazoeana
Sawa mama ila mm kesho kutwa nitaondoka nitarudi mjini baada ya wiki nitakuja kufuata jb
Sawa mwanangu karibu
Basi baraka akampa mama laki moja naaa mama hii itakusahidia kipindi sipo na hii soral nimeishailipia udaiwi tena
Asante mwanangu mungu akubariki sana
Na ww amina hamsini hii ikusaidie izo siku me sipo
Mm nikakataa kuchukua mama akanilazimisha kupokea nikapokea nikampa mama
Aya mm naenda mama
Sawa mwanangu jisikie uko nyumbani njoo mda wowote mama kwa hela tena🤣🤣🤣
Baraka akaondoka mama mbona unapokea hela za watu wakati bado sijamkubaria?
mwanangu uyu anakupenda kweli we uwoni afazari uwondoke kijijini hapa we uchoki kuoneshwa vidole
Njiani baraka akakutana na vijana wa kijijini kwetu
Bro vp?
Safi za saiz?
Pw tunaona umetoka kwa amina!!
Ndio