JOIN US WHATSAPP
CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM
CLICK HERE
Mwana Sayansi Aliyeteseka Baada Ya Kupinga Uwepo Wa Mungu
Haka kajamaa kalikuwa kagenius sana, kamwanasayansi kamoja hivi, kanaitwa Stephen Hawking baada ya kupata vihela akaibuka na kusema hakuna Mungu…Mungu is just a fiction tu kisa tu kaliwapiga fiksi watu kwamba kuna maisha huko mars.
Mungu alitaka kumuonyesha tu.
Halafu wala hakuichukua roho yake mapema, alimuacha ateseke kwa miaka mingi sana.
Yaani aliteseka na kuteseka mpaka Mungu alipoona nimekunyoosha vya kutosha aya izraeli kachukue roho yake bado nina deni naye huku
Alikufa akiwa kwenye hali hii.

Wanasayansi wakisoma sana…wanaibuka na kusema HAKUNA MUNGU, na ukitega sikio kuwasikiliza utasema kweli.
Guys! Achaneni na hizi propaganda za wanasayansi.