PENZI LA MZUNGU LILIVYONIHARIBIA MAISHA
SEHEMU YA 06
ONYO: Wakubwa tu ndio wasome hii hadithi 🔞
Tuliendelea kunyonyana mate taratibu pale kitandani mimi na mwanamama Meranda, raia wa nchini Scottland, nchi iliyo kwenye muunganiko wa tawala za Malkia wa Uingereza (U.K) mkono wake ukiwa ndani ya shuka akilishika shika na kulipapasa papasa dudu langu lililosimama ndani ya nguo ya kulalia (pajama) niliyovaa nami mikono yangu ikiwa kifuani mwake kwenye matiti nikiyashika shika na kuyapapasa papasa kimtindo, nikiamsha nyege za mama huyo wa kizungu zilizolala, ambae alionekana ni siku nyingi sana hajapigwa dudu.
“Danny!” aliongea kwa sauti ya chini huku akihema hema.
“Yes mamy”
“Fuck me hard (nitomb** sana, nitomb**)” aliniambia neno hilo zito kwa kiingereza
“Worry not, I am here for, until you satisfied (usijali nipo hapa kwa ajili yako mpaka uridhike)” nilimjibu huku nikimbusu busu shingoni, mwanamama huyo akajitoa usoni kwangu akifunua shuka na kuingiza kichwa chake ndani ya shuka akalikamata dudu langu ndani ya shuka akilitoa kwenye pajama niliyoivaa kupitia uwazi wa zipu lakini usio na zipu, akaanza kulinyonya taratibu kichwa chake kikiwa ndani ya shuka lakini mwili wake mweupe ukiwa nje, nikanyoosha mkono wangu na kuanza kuyapapasa papasa makalio yake aliyonielekezea nikiona vyote, uchi na mkun** wake vikiniita ita, mwanamama huyo akiendelea kulinyonya dudu langu kwa fujo mithili ya ice cream ya kijiti, watoto wakiita ‘lamba lamba’ na alipoona anabanwa banwa na nguo ya kulalia (pajama) niliyovaa akalitoa shuka lote na kuanza kunivua nguo hiyo ndefu ya moja kwa moja na kuitupa pembeni akiniacha uchi kama alivyo yeye, yule paka wake chini alikurupuka usingizini na kutuona kitandani tumevuana nguo akatutolea macho na kuinuka taratibu akaanza kuondoka chumbani, nadhani alikuwa ana akili na amefundishwa, anaelewa kabisa kuwa hatakiwi kuwepo muda huo ambao watu wanataka kufanya mambo yao.
Mwanamama Meranda hakutaka kusikia wala kuelewa chochote alikuwa bize na dudu langu nami nikiendelea kumpapasa papasa matako yake aliyoyapanua mbele yangu nikaingiza kidole cha kati kwenye mkun** wake taratibu kikaanza kuingia,
“Ooooh Danny fuck you, fuck you son of the bitch (Danny mshenzi wewe una…)” alinitukana kizungu huku akiacha zoezi lake na kunigeukia akinitazama nami nikamchapa kibao kwenye matako yake kwa mkono mmoja huku mkono mwingine dole la kati likiwa limezama kwenye mkun** wake nikilizungusha taratibu na kidole gumba nilikuwa nikichezea chezea vijinyama nyama vya uchi wake kwenye mkono huo huo ambao dole la kati lipo ndani ya mkun*** akageuka na kuendelea kunyonya dudu langu nami nikayavuta makalio yake usoni mwangu tukiwa tumekaa mzungu wa nne, kichwa chake kipo kwenye mapaja yangu akinyonya dudu huku akizirusha rusha nyuma nywele zake nyingi zilizokuwa zinamziba uso nami midomo yangu ikiwa kati kati ya mapaja yake kwenye uchi wake nikimnyonya taratibu na kuingiza ulimi wangu ndani ya uchi wake nikiuzungushia na kuuchezesha chezesha kwa ndani kwenye kuta laini, mwanamama Meranda akihangaika hangaika na kurusha rusha miguu ambayo nilimshika huku akiacha kulinyonya dudu langu na kunigeukia akiwa ameachama midomo analalamika kama msichana mdogo huku amenitolea macho, dakika zaidi ya kumi zilipita, uchi wa mwanamama Meranda mzungu wa Scottland ulikuwa umetepweta mpaka unatoa vijipovu tu, nikamsukuma wakati alipokuwa amepagawa analinyonya dudu langu kwa fujo akalala chali nami nikasogea kwa juu yake na kupita katikati ya mapaja yake na kumchomeka dudu taratibu
“You wanna me to fuck you, yeah?” nilimwambia wakati dudu langu linazama kwenye uchi wake taratibu, nikijua kuwa wazungu ni kawaida yao kupiga makelele wanapofanya mapenzi kitandani nami sikuwa nyuma kuanzisha mazungumzo ili mama huyo wa kizungu apate anachokitaka kwa staili yao
“Yeah fuck me Danny, oooh Fuck oooh!” alilalamika nikasogeza mdomo wangu kwenye midomo yake na kuanza kuchukua mate (denda) taratibu wakati dudu langu likiingia bila fujo kwenye uchi wa mwanamama huyo uliozungukwa na vijinywele vifupi vifupi na madoa madoa mekundu….
SEHEMU YA 07
“Uuuuwiiiiii ooooh Danny, do you enjoy it sweet boy? (unainjoi kijana mzuri)” aliniuliza wakati nikisukuma dudu ndani ya uchi wake
“Yeah, nainjoi sana tu mamy” nilimjibu huku midomo yangu nikihamishia kwenye matit** yake kifuani nikiyanyonya moja baada ya jingine huku televisheni kubwa ya chumbani kwake ikiendelea kuonyesha ile filamu ya ngono (X) aliyokuwa akiangalia peke yake na kujaribu kutimiza haja zake za kimahaba kwa kutumia uume wa bandia (dildo) ambao ulianguka kitandani mpaka chini ukiwa hauna kazi tena baada ya dudu halisi la mwanaume kuchukua nafasi hiyo,
Niligara gara na mwanamama huyo mzungu juu ya kitanda chake kikubwa cha sita kwa sita, lisaa lizima likakatika nikimshughulikia na tukimaliza kwa mtindo wa kukaa, nikiwa nimekaa kitako kitandani na yeye akiwa amenikalia nimempakata huku tukitazamana na kunyonyana mate, akichuchumaa kama aliyekalia choo cha mafiga mawili, cha shimo akiruka ruka juu ya dudu langu lililosimama imara na kupinda kidogo mithili ya ndizi, mimi mwenyewe nikiwa na rangi ya maji ya kunde lakini dudu likiwa jeusi tii, nikilitafuta bao la pili wakati uchi wa mwanamama Meranda ukianza kukauka ute baada ya kumwaga mara kadhaa,
“Oooosh Danny you are a monster, fuck you, fuck! (Wewe ni lishetani, una… una…)” alinitukana huku akitoa macho na sauti zisizoeleweka nikajua tu kuwa anataka kushusha mzigo nami mzigo wangu ukikaribia nikajikuta nakunja sura bila kupenda huku nikimbana kiuno, wote tukashusha mzigo kwa pamoja huku tukihema kama tumekimbizwa, pamoja na hewa ya ubaridi ya kiyoyozi (A.C) iliyokuwemo chumbani tulijikuta kijasho chembamba kikitutoka, midomo yetu ikakutana tena na kubadilishana mate (denda) kisha mwanamama Meranda akajitupa pembeni huku akihema na kujishika kifua, mapigo ya moyo yakimuenda mbio mbio huku uchi wake ukiwa mwekundu mpaka kwenye mapaja akiwa amebadilika rangi kutokana na heka heka hizo za kusuguliwa na dudu langu
“Pole mamy”
“Uuwiiii Danny” alishusha pumzi bila kuzungumza kitu chochote akinishika shika kidevu na kutabasamu.
“I wanna go home, I think they are in so much worry about me since last night (nataka kwenda nyumbani, nadhani wana wasiwasi sana kuhusu mimi tangu jana usiku)”
“So early Danny, let us spend a moment (mapema sana Danny, tukae pamoja kidogo tuinjoi)”
“I will be back (nitarudi)”
“Kweli Danny?” aliniuliza kwa Kiswahili
“Kweli mamy”
“Usinidanganye”
“Siwezi kukudanganya” nilimjibu na kumbusu shavuni kisha nikataka kushuka kitandani lakini akaniwahi na kulishika dudu langu kwa mkono wake, lililokuwa linaning’inia, nikamtazama huku nikitabasamu, akasogeza uso wake na kulibusu akaniacha nikashuka kitandani taratibu na kuelekea kwenye bafu humo humo ndani ya chumba chake cha kulala, nikatazama bomba la mvua likiwa ni la kubonyeza vitufe, nikabonyeza kimoja kwa kubahatisha tu yakanimwagikia maji ya moto, nikapiga kelele za kushtuka nikiyakwepa na kuzima, nikasimama pembeni na kutazama tena vizuri, kukiwa na mahali pa kuchagua maji, ya moto, baridi au ya uvugu vugu, nikajaribu tena yakatoka ya baridi, nikajaribu cha mwisho yakatoka ya uvugu vugu vikiwa vitufe vya rangi tofauti havijaandikwa maelezo yoyote yale, akaingia haraka haraka chumbani
“Danny are you oky?(upo sawa)”
“Yeah I just switched the hot water intead of cool water (nilibonyeza maji ya moto badala ya vuguvugu)”
“Oooh sorry I didn’t tell you about these buttons and their colours, I forgot (samahani sikukwambia kuhusu hivi vitufe na rangi zake, nilisahau)”
“Usijali mamy”
“Ngoja namimi nikoge, hi nikoge au nioge?”
“Nioge”
“Oooh waooo I just like tu speak Swahili, nioge (napenda sana kuongea Kiswahili)” alifurahi na tukaoga wote huku nikimtekenya hapa na pale kisha tukatoka tukarudi chumbani nikaenda kule kwangu kwenye chumba cha watoto wake na kuvaa nguo zangu kisha nikamkuta sebuleni
“Niko tayari mamy bye, baadae”
“Shika hii itakusaidia nauli” aliniambia akinipa noti ya dola mia mbili ya kimarekani ambayo ni sawa zaidi ya shilingi laki nne kwa pesa za kitanzania
“Yote hii nauli tu?”
“Yeah, urudi basi usiku Danny, I have something speacial for you”
“Sawa haina shida nitakuja, asante kwa pesa” Nilitabasamu nae akatabasamu nikamsogelea na kumbusu tena kinywani (mdomoni) kisha nikatoka taratibu kwenye nyumba (appartment) yake hiyo nikayapita magari yake matatu, mawili makubwa na moja dogo kabla sijafika getini
“Danny” aliniita, nikasimama
“Yeah?” nilimwitikia na kugeuka, nikimwona amesimama mlangoni akaniita kwa mkono, nikarudi mbio mbio mpaka aliposimama,
“Take this (chukua hii)” alinipa ufunguo wa gari
“For?(kwa ajili ya)” nilimwuliza kabla ya kuupokea
“Look at that car, small one (tazama lile gari dogo kabisa)”
“I see it (naliona)”
“That is yours from now (ni lako kuanzia sasa)”
“What?(nini)” nilipigwa butwaa baada ya kusikia kauli hiyo kutoka kwa mwanamama huyo wa kizungu…
SEHEMU YA 08
“Mbona umishangaa sana Danny?” mwanamama Meranda aliniuliza nikiwa na ufunguo wa gari mkononi
“Aaamh nimeshangaa tu kuwa hili gari niendeshe tu nilirudishe au umemaanisha nini?”
“Memaanisha ni ya kwako Danny, ilikuwa ya watoto wangu lakini waliichoka sana wakataka niwanunulie nyingine kabla baba yao hajachukua wao na kupeleka Scottland, it is yours”
“Dah”
“Don’t you need it? (Huitaki)”
“No, I really need it, ila nashangaa tu sijategemea, asante sana”
“Usijali lakini kwa sharti moja tu”
“Naam, lipi hilo mamy?”
“Anytime when I need you just be here, understood?(muda wowote nitakaokuhitaji uwe hapa, umenielewa)”
“Understood (nimekuelewa)”
“Oky safari njema” alitabasamu
“Ubaki salama” nilitabasamu na kuondoka taratibu nikaingia kwenye gari hilo dogo aina ya Toyota IST, uzuri nilikuwa nimesomea udereva kwenye chuo kimoja binafsi cha udereva na nilikuwa na leseni nyumbani nikaliondoka na kumpungia mkono huku nae akinipungia mkono, taratibu nikatoka kwenye nyumba hiyo nikiwa bado siamini kama nimepewa gari hilo liwe la kwangu, niliendesha kwa kasi sana nikiwa nimejawa furaha nikaingia barabara kuu kwa uangalifu mkubwa nikipunguza mwendo kwa sababu nina muda mrefu sijaendesha hasa baada ya kumaliza mafunzo ya udereva, bado purukushani za barabara kuu nilikuwa siwezi kuzimudu ipasavyo, huku mfukoni nikiwa na dola za kimarekani mia mbili (zaidi ya shilingi laki nne za kitanzania) muda huo huo simu yangu ikaita mfukoni ikabidi nipaki gari pembeni ili nipokee kwanza kwa sababu nisingeweza kupokea huku naendesha gari, bado nilikuwa muoga na siyo mzoefu, alikuwa ni rafiki yangu, Joel ambae tulimaliza wote elimu ya kidato cha sita lakini yeye akafanikiwa kuendelea na masomo ya chuo kikuu
“Oya home boy upo pande zipi jamaa yangu?” aliniuliza
“Aaamh nipo barabarani”
“Njoo basi home hapa maana leo birthday yangu nimewaalika alika ninyi rafiki zangu mje kunipa kampani na mpaka shem Glory nimemualika na ameniambia yuko njiani anakuja, kuna mambo ya misosi, keki, champaigne, nyamachoma”
“Poa ngoja niende home kwanza maana sijarudi tangu jana usiku”
“Ulikuwa kwa Glory nini jamaa yangu unatoa shoo?”
“Hamna, nilikuwa na majukumu kidogo”
“Basi freshi, usiniangushe”
“Siwezi kukuangusha Joel” nilimjibu, akakata simu nami nikaliondoa gari na kulirudisha barabarani, nilipitia kwenye ofisi za kubadilishia fedha (Bureau de change) na kubadili dola hizo mia mbili za kimarekani nikipata lakini nne na kadhaa za kitanzania kisha nikaanza safari kwenda nyumbani, nilipofika nililiegesha nje na mama akawa wa kwanza kutoka ndani akisimama mlangoni akinishangaa wakati nashuka kwenye gari hilo
“Danny?”
“Mama, shikamoo”
“Hebu, hilo gari ni la nani na tangu lini umeanza kuendesha magari, unajua wewe au unataka kutuweka roho juu juu?”
“Mama umesahau kama niliendaga driving school baba alinipa hela?”
“Ulienda ndiyo lakini sikuwahi kukuona hata siku moja unaendesha haya madude”
“Basi ndo nimeanza kuendesha mama”
“Ingia ndani humo halafu uje unieleze jana usiku ulilala wapi na kwanini utuweke roho juu juu, umeanza tabia za kihuni siku hizi eti?”
“Hamna mama kuna kazi tu nilipata sasa ndo ikanilazimu niifanye usiku usiku mpaka niimalize”
“Kazi gani?”
“Kamata hii kwanza” nilimshikisha elfu thelathini,
“Wewe Danny kumbe una hela eeh?”
“Ndo za kazi ya jana, hii elfu ishirini umpe mzee” nilimwongezea pesa jumla ikawa hamsini
“Nampa elfu kumi tu, namdai baba yako hela nyingi sana na hataki kunilipa, na siyo elfu kumi hapa atapata elfu tano tu” mama aliongea huku akizikunja noti hizo na kuzifungia kwenye kitenge alichokivaa
“Kwanini nipewe elfu tano, hayo madeni yanahusiana na nini na hela yangu ya leo?” baba aliongea, kumbe alimsikia mama
“Mtajuana wenyewe hapo mimi simo” niliingia chumbani taratibu nikimkuta mdogo wangu wa kike amelala chumbani kitandani kwangu, akiwa anasoma sekondari na ikiwa ndiyo kawaida yake, nikamwekea elfu kumi pembeni kisha nikabadili tshirt tu na kutoka taratibu ili niende kwenye sherehe (party) ya rafiki yangu niliyoalikwa, nikijikaza nisichechemee, mama asije akaniuliza maswali na hata michubuko ya jana nikiiziba kwa tshirt ndefu ya mikono mirefu, niliwaaga nikiwaacha bado wanaporana pesa ikiwa ni sehemu ya maisha yao kugombana kwa utani, nikawasha gari na kuondoka moja kwa moja mpaka mbele ya nyumba ya kina Joel, nikiwakuta marafiki wengine walioalikwa wakiingia, ikiwa imepangwa mchana, niliposhuka kwenye gari
“Danny?!” nilisikia sauti ya msichana ikiniita nyuma nikageuka kumtazama ndipo nilipomwona Glory msichana niliyempenda sana akinitazama kwa mshangao….
SEHEMU YA 09
Mwanadada Glory, msichana niliyempenda sana na niliyemuweka kwenye akili yangu kuwa huenda siku moja akaja kuwa mke wangu wa ndoa aliniita akitokea nyuma na akionekana kunishangaa aliponiona nashuka kwenye gari hilo dogo, akiwa ameongozana na rafiki yake wa kike
“Oooh Glory” nilitabasamu, nikijikaza moyo wangu usikumbuke machungu niliyoyapitia kwake
“Una gari au umeazima?” aliniuliza
“Nimeazima” nilimjibu akatabasamu na kunipita na rafiki yake huyo aliyekuwa wameongozana ambae alinisalimia kawaida, nami nikafunga mlango wa gari hilo taratibu nikaelekea ndani kukiwa kumewekwa muziki, Joel aliniona tangu niliposhuka kwenye gari
“Oya ndinga yako ile au macho yangu tu yana ukungu ukungu sioni vizuri?”
“Ya kwangu bro”
“Tangu lini?”
“Ni bahati tu za kwenye maisha”
“Aaah lazima tupige ruti mwanangu utakuwa unaniazima azima nikapige maruti ya kinyamwezi”
“Mchawi mafuta tu, yaani hiyo ndinga wewe tu”
“Hapo ndo napokupendea mshikaji wangu Danny tangu shuleni hujuagi kumkunjia mtu yaani” Joel aliniambia huku tukiingia ndani, tuliwapita Glory na wasichana wengine waliokuwa wamesimama mlangoni, macho ya Glory yakiwa kwangu, akinitazama sana na nikamwona yule mtu wake niliyemfumania nae akija haraka haraka akionekana amejawa hasira kupita kawaida akamshika Glory kwa nguvu na kumvuta pembeni mpaka wasichana wenzake wakamshangaa kijana huyo
“Umefuata nini hapa Dominick, niache” Glory aliongea tukimsikia maana alionekana kubanwa mkono
“Yule jamaa Dominick unamfahamu?” nilimwuliza Joel
“Hapana, ndo nilitaka kukuuliza wewe kama unamfahamu maana mimi niliyemualika ni Glory tu maana ndiye namjua ni mtu wako sasa mbona unamwacha mshikaji anamvuta vuta vile?”
“Yule ndiye mtu wake kwa sasa, siwezi kuingilia mapenzi yao hata kidogo”
“Yaani na wewe mzembe Danny, unakubalije mtoto mkali kama yule anachukuliwa na jamaa mwingine mwanangu na upo tu unatazama?”
“Kama maamuzi ni ya Glory mwenyewe mimi nifanyaje kaka mkubwa?” nilimwuliza Joel na wakati huo huo simu yangu ikaita mkononi, nikamuomba radhi kwa ishara ya mkono nikasogea pembeni kwenda kupokea namba ikiwa ni ya mwanamama wa kizungu, Meranda
“Hi my Love?”
“Daniel where are you? (Daniel uko wapi)” aliongea kwa sauti ya chini
“At home, why such a voice, are you okay? (mbona sauti hiyo, upo sawa kweli)”
“Am not oky Danny (sipo sawa)”
“Why? (kwanini)”
“I miss to you to suck on my V, just come over, right now (nimemisi kunyonywa uchi na wewe, njoo sasa hivi)”
“No, sasa hivi nina kazi kidogo, nitakuja baadae baadae”
“Danny nakutaka sasa, sipendi mambo ya baadae, hakuna muda ya kupoteza, utakuja hukuji?”
“Nakuja, sasa hivi”
“Hurry up, ninataka kutoka”
“Sawa” nilimjibu akakata simu, nikashusha pumzi huku nikijikuna kichwa maana alinibadilikia na kuniambia kwa ukali baada ya kumgomea kwenda
“Una demu mzungu au ndo mbwembwe tu?” Joel kumbe alikuwa nyuma ananisikiliza
“Mzungu”
“Mh umpate wapi?”
“Historia ndefu kaka, yaani hapa natakiwa kuondoka sasa hivi”
“Uende wapi sasa?”
“Kuna dharura kidogo, ameniita”
“Ooh ushaanza kuzingua, sasa si ungemchana tu kuwa utaenda baadae?”
“Hapa kwenyewe nimemwambia lakini ameniambia kuna jambo la maana sana anataka kuniambia, ila nitarudi usiwaze”
“Mh hurudi wewe Danny ndo imetoka hiyo”
“Kwani sherehe mpaka saa ngapi?”
“Mpaka usiku, baba na mama hayupo ndo maana nikawaita ninyi washikaji tukeshe leo”
“Basi usikonde, usiku mimi lazima nije hapa”
“Fresh usizingue Danny”
“Siwezi kuzingua” nilimjibu tukipeana tano’ kisha nikatoka taratibu kwenda nje kwenye gari niondoke kwenda kumsikiliza mwanamama Meranda ambae asubuhi ya leo nilitokea huko huko kwake, nilipofungua mlango wa gari tu ili niingie
“Oya” niliitwa nyuma nikageuka na kumwona Dominick akija, mwanaume wa sasa wa Glory, yule niliyemfumania nae chumbani,
“Naam” nilimwitikia na kumsubiri mpaka afike
“Mambo vipi?” alinisalimia aliponikaribia karibu
“Shwari tu, niambie” nilimjibu huku nikitabasamu, cha ajabu nilishtukia nikitandikwa ngumi ya shavuni iliyoniingia kisawasawa
“Dominick??” nilimwona Glory akiita huku akija mbio mbio, wasichana na wavulana wachache waliokuwa nje wote wakatugeukia kujua kulikoni…..
SEHEMU YA 10
Nilibaki nimejishika shavuni nikiugulia maumivu ya ngumi hiyo ambayo sikuitarajia kabisa, ambayo ilishuka kwenye shavu langu bila taarifa na huenda ningejua ningeikwepa
“Domi ndo unafanya nini?” Glory alimfuata akimshika mkono kumvuta
“Niache wewe mwanamke, si uliniambia kuwa umeshaachana na huyu mwanaume anakufuata fuata na kukusumbua sumbua sasa mbona mmealikana hapa, nani aliyemwalika mwenzake, maana mimi sijaalikwa nimekufuatilia nyuma nyuma tu mpaka nikaja hapa, kumbe hukutaka kunialika kwa makusudi ulikuwa na mambo yako na miadi yako na huyu Ex wako?” alimwuliza kwa hasira, nikibaki nimeshikwa na bumbuwazi kusikia kauli hiyo
“Hebu njoo tuongee huku Domi na ndiyo maana sikukualika nilijua tu wewe ni mtu mmoja asiyependa amani kabisa, angalia sasa unavyojiaibisha mbele za watu?”
“Sasa nijiaibishe mara ngapi, kuja tu kwa kukufuata nyuma nyuma bila kukaribishwa tayari ni kuaibishwa Glory, sikia wewe jamaa huyu kama alikuwa demu wako basi ni kipindi kile na siyo sasa acha kumfuatilia fuatilia, sasa hivi ni demu wangu, hayo magari yaki ya kuazima usitumie kama ndo gia wakati muuza matunda tu wewe” alimwambia Glory na kunionya na mimi
“Kosa langu mimi ni lipi bro mpaka unitandike ngumi kiasi hicho mbona hakuna chochote kinachoendelea kati yangu na huyu Glory tena?” nilimwuliza huku watu wakiwa wamejaa wakitutazama akiwemo Joel mwenyewe
“Usijifanye hujui kitu, nyie ndo mnatumia magari yenu ya kuazima kushawishi mademu ili wawapende tena huo ni use(..)” alitukana, ikabidi Joel anifuate ili kuingilia kati ugomvi huo
“Sasa bro mi nadhani ungeondoka tu maana sijui hata umetokea wapi, umekuja tu unafanya fanya fujo zako hapa, ungeenda tu ili amani iwepo” Joel alimwambia huku akimshika begani
“Niache, mimi sijaja peke yangu hapa na sitaondoka peke yangu, nimekuja na Glory na nitaondoka nae” alimjibu Joel huku akiutupa mkono wake
“Domi, sijaja na wewe mimi hapa nimekuja peke yangu na nitarudi peke yangu, samahani tena nikome”
“Unasemaje wewe mwanamke, tunaondoka kama tulivyokuja” jamaa huyo alimshika Glory mkono akimvuta kumlazimisha waondoke kilazima,
“Niache Domi, niache nimekwambia”
“Sikuachi, tunaondoka wote” Dominick alimjibu akimvuta kwa nguvu, watu wote wakiwatazama mpaka wapita njia barabarani, wakiwasikitikia nikiwemo mimi ila wengine wakinong’ona kuwacheka, Joel akanifuata taratibu
“Naona laana ya kukuacha inamtafuna Glory, mimi nilipowaalika nilijua bado mpo wote, mbona hukuniambia kaka, yote haya yasingetokea maana Glory nisingemwambia chochote”
“Nisingeweza kukwambia kwa sababu ni hivi karibuni tu, ni jana tuseme ndiyo nimeachana na Glory”
“Dah?”
“Baadae nitarudi, ngoja nikaonane na huyu mtu kwanza”
“Haina noma” Joel aliniitikia nami nikawasha gari na kuondoka taratibu kwenda kwa mwanamama mzungu, Meranda ambae tangu anipigie kuniita hakuthubutu tena kufanya hivyo, alipiga simu mara moja tu na ilikuwa imeshatoka, nilifika mpaka mbele ya geti la nyumba (appartment) aliyopanga nikapiga honi kuomba kufunguliwa, geti la nyumba hiyo likafunguliwa ndani ya sekunde hiyo hiyo niliyopiga honi mpaka nikashangaa jinsi mtu aliyenifungulia yaani mlinzi alivyofanya haraka lakini nilivyolipitisha gari getini ndipo nikagundua kuwa hakukuwa na mtu aliyenifungulia geti kama nilivyodhani ila lilijifungua lenyewe nilipopiga honi tu na nilipoingiza gari likajirudisha na kujifunga taratibu kumaanisha geti hilo lina sensor maalumu ya kulitambua gari hilo kwa sababu ni la humo humo, niliposhuka kwenye gari nikamwona mwanamama Meranda akiwa amevaa suti full na suruali yake chini bwanga na viatu vya visigino virefu ‘mchuchumio’ akilifuata gari lake kubwa akionekana ana safari
“Mummy!” nilimkimbilia mbio mbio na kumshika mkono maana alinipita kama hanioni vile, akageuka na kunitazama kwa macho ya hasira
“Ni saa ngapi sasa hivi?” alinionyesha saa yake aliyovaa mkononi
“Am sorry, nilikutana na foleni za barabarani, I mean traffic jam” nilimwangalia machoni huku akitikisa macho kunisikitikia
“You know what Danny, I gave that car because when I need you at anytime, you must be here ontime in a hurry, understood? (Unajua nini Danny, nimekupa gari hilo ili muda wote ninaokuhitaji uwe hapa kwa wakati na kwa haraka, sijui unanielewa)”
“I know mammy I know, just only few minutes (najua mama najua lakini ni dakika chache tu)”
“I was so horny just why I called you, I didn’t bear with it, just go back home now (nilikuwa na nyege sana, sikuweza kuvumilia, rudi tu nyumbani)”
“Huwezi nisamehe kwa dakika chache tu mamy?”
“I can’t and its all over between me and you (siwezi kukusamehe na hakuna chochote tena kati yangu mimi na wewe)” aliniambia na kuingia ndani ya gari lake
“Mummy mummy just give me another chance to correct my mistakes (mama nipe nafasi nyingine kusahihisha makosa yangu)” nilimwambia lakini akavipandisha vioo vya gari lake taratibu na kuliondoa kwa kasi, nikalikimbiza mbio mbio bila mafanikio, geti likajifungua na gari hilo likatoka nikibaki nimejishika kiuno, nikishangazwa na uamuzi wake huo kisa tu nimechelewa dakika chache ambazo hata kujua ni ngapi…..
Inaendelea….