Clickable WP Image
JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

NILILALA NA KUZAA NA MAMA MKWE BAHATI MBAYA

PART: 06

ILIPOISHIA,

Wakati narukaruka kwa furaha, gafla mlango wa chooni uligongwa….

SONGA NAYO…

“Hee!, nani tena anagonga mlango!” nilitamka kwa sauti ya chini huku nikiwa nimetumbua macho.

Mlango uligongwa kwa nguvu mara ya pili ndipo nilipoingiza simu yangu ndanu ya boxer kisha nikabana matako.

Taratibu kama mwanaume aliyetahiriwa, nilijisogeza mpaka mlangoni kisha nikafugua ndipo nilipokutana na sura ya mke wangu Jesca.

“‘Hee!, unafanya nini mda wote ule?” aliniuliza kwa mshangao.

“‘Tumbo linanisumbua…”

“Ndo limekufanya mpaka unarukaruka!, mpaka nimekosa usingizi…”

“Samahani mke wangu, hata mimi sikupenda kuwa hivi. Nilikunywa Juice kwa mama Ndumbi nadhani ndo imeniletea shida” nilimjibu kisha mke wangu akaondoka.

Baada ya kuondoka, nilifuta picha zote kisha nikajimwagia maji.

Baada ya kumaliza kuoga, nilitupa simu yangu kitandani kisha nikajipakaa mafuta.

Mke wangu aliichukua bahati nzuri haikuwa na password kisha akaanza kuikagua .

“Unaangalia nini?” nilimuuliza

“Hamna tu…” Alijibu huku akiendelea kupekua.

“Haya ukimaliza naomba simu yangu nataka niende kazini mda si mrefu..” nilimwambia.

Mke wangu alijiridhisha kuwa niko salama ndipo aliponikabidhi simu yangu.

Mnamo mida ya saa 12 na nusu ya asubuhi, nilimuaga mke wangu kuelekea kibaruani katika kijiwe cha kuuza kahawa pamoja na magazeti.

Wakati napita sebuleni, nilimkuta mamamkwe tayari ashaamka ndipo nilipomsalimia huku nikitamani kucheka picha zake alizonitumia.

Hisia kali zilinijia kwani alikuwa amejifunga kanga iliyoanzia kifuani mwake.

Ni mamamkwe lakini ukimkuta barabarani unaweza dhani ni binti tena kigori wa miaka 19 au 20.

“Mbaki salama mi naenda kazini..” nilimuaga.

“Sawa uwe na kazi njema…”

Ilipotimia mida ya saa nne ya asubuhi, meseji iliingia kwenye simu yangu kutoka kwa mamamkwe,

“Umeamkaje “

“Nimeamka salama kipenzi changu..sijui wewe”

“Mimi niko poa kabisa…”

“Wafanya nini mda huu?” nilimuuliza

“Ndo napata chai…”

“Ohoo kumbe…, vipi utapata mda kama tulivyopanga jana?”

“‘Mhh..saa ngapi?”

“Nadhani saa 10 jioni..”

“Mida hiyo sidhani labda mida ya saa 6 mpaka saa 9”

“Sawa haina shida, nitakutumia boda akubebe mpaka sehemu nilipo..

“‘Sawa niandalie Chips na Kinywaji kidogo..:

“‘Sawa usijali” nilimjibu .

Ilipotimia mida ya saa 6 za mchana,  nilisogea mpaka MAPAMBANO hoteli kisha nikalipia chumba elfu 30.

Baada ya kumaliza kulipia, mapigo ya moyo yalianza kunienda kasi sana huku maswali mazito yakinizonga kichwani mwangu,

“Hivi akinikataa si nitaabika milele katika maisha yangu yote? , Hivi akinikataa si anaweza kumwambia mwanaye na ukawa mwanzo wa kumpoteza mke wangu?”

Maswali yalikuwa mengi lakini niliamua kufanya maamuzi magumu.

Nilishika simu yangu kisha nikamtumia meseji mamamkwe,

“Mda huu nataka nimtume boda akufate …”

“Subiri nikaoge kwanza kama dakika 10 hivi ndo anifate kwani anapajua ninapoishi?”

“Nyumba namba ngapi unaishi kwani..?”

“Namba 21…”

“Kumbe hapo, hata mimi napajua..”

“Sawa ngoja nioge nikimaliza nakutafuta…”….

PART: 07

ILIPOISHIA,

Sawa ngoja nioge nikimaliza nakutafuta…”..

SONGA NAYO…

Baada ya mamamkwe kunijibu hivyo, nilifungua mfuko wangu uliokuwa na karanga mbichi, korosho pamoja na kitunguu swaumu .

Nilivitafuna kwa pamoja huku nikiwa nimefumba macho kwa uchungu na harufu ya kitunguu swaumu.

Mda si mrefu, mshipa wangu ulisimama kwelikweli mpaka nikawa najiogopa mwenyewe.

“Mhh..leo lazima atasimulia hata wajukuu wake, nitamfanya anikukumbuke katika maisha yake yote” nilitamka kisha nikaanza kuangalia mtandaoni style ili itamfaa zaidi.

Katika style zote, niliipenda style ya mbuzi kagoma, .

“Hii..hii lazima aite maji mma..” nilijisema.

Mda si mrefu huku nikiwa nimejigalagaza kitandani kwa hamu ya aina yake, meseji iliingia kwenye simu yangu kutoka kwa Mamamkwe,

“Nishamaliza kuoga sasa”

“Ohoo…unafanya nini sasa?” nilimuuliza huku nikiwa nimeshikilia mshipa wangu ambao ulikuwa na njaa kwelikweli

“Ndo najipakaa mafuta…:”

“Ohoo natamani nikupakae mafuta!, umevaa nini?”

“Sijavaa chochote…”

“Nitumie hata clip nione..”

“Mhh si utaniona tu..kwanini unaharaka hivyo?

“Hata kidogo tu..”

“‘Sawa ila nakutumia kidogo sana”

“Sawa ..”

Ndani ya dakika 3, alinitumia clip ya sekunde 30 ndipo  nilipohisi kutoboa godoro kwa upwiru

Kusema kweli mamamkwe alikuwa ameumbwa na kuumbika, mapaja yake yenye ngozi laini yaliyonona mithili ya Kajala, yalinimaliza.

Clip hiyo iliishia sehemu ya kitovuni ambapo alikuwa ameweka kipini kama cha Paula.

“Daah!, hapa sasa hachomoki maana nishamuona kila kitu . Kama ni aibu basi ishakuwa” nilitamka mwenyewe kisha nikampigia simu boda aitwaye Sebo amfate nyumbani Makoka.

“Mda huu boda atakupigia simu anakufata” nilimtumia meseji mamamkwe.

“Sawa nimemsubiria..”

Baada ya dakika kadhàa, nilishuka chini kisha nikaongea na mlinzi wa MAPAMBANO HOTEL,

“Kuna mgeni wangu anakuja, utamuelekeza chumba namba 25 froo ya tatu..”

“Sawa wakiume au kike?” aliniuliza

“Ni mke wangu …”  nilimjibu huku nikiwa nimeweka mkono mfukoni ili mshipa wàngu uliokuwa umetuna usionekane.

“Sawa haina shida..” alitamka kisha nikarejea chumbani .

Baada ya dakika kadhaa nilimpigia boda,

“Bado tu?” nilimuuliza

“‘Ndo tunakaribia hapo kama dakika tano…”

“Sawa mlete mpaka hapa MAPAMBANO HOTEL afu ataelekezwa na mlinzi apande mpaka  froo ya 3 chumba namba 25”

“Sawa. .” Boda alijibu kisha nikakata simu.

Mapigo ya moyo wangu yalianza kwenda kasi sana huku nikiwa sijui nini kitatokea chumbani humo kwani mamamkwe alikuwa hajui kama anachati na mimi.

Hayawi hayawi sasa yalikuwa,.

Boda alinitumia meseji,

“Oyaa mwamba nishafika kwahiyo mzigo wangu napataje?”

“‘Nitakugei nikitoka hapa maana siwezi kutoka ndani kwa sasa”

“Unaharibu sasa jombaa…”

“Hapana usijali nitakuongezea hata ya maji. Shukrani sana…”

“Baridaa…”

“Sawa mpe maelekezo aje mpaka chumba namba 25 froo ya 3”

“‘Ok”

Bila kuchelewa, nilivua vest yangu nikabaki kifua wazi, nikavua suruali na kubaki na boksa iliyokuwa imetuna kana kwamba imewekewa mguu wa mtoto mchanga.

Nilivuta pumzi , huku nikiangaza huku na kule ndipo mlango ulipogongwa….

PART: 08

ILIPOISHIA,

Nilivuta pumzi , huku nikiangaza huku na kule ndipo mlango ulipogongwa….

SONGA NAYO….

“Fungua mlango uko wazi”  nilitamka hukumapigo ya moyo wangu yakinienda kasi sana mithili ya kinyonga aliye kwenye msitu unaoungua moto.

Mda huohuo, mlango ulifunguliwa ndipo nilipokosa chakuongea mara baada ya mboni za macho yangu kukutana anana kwa ana na mamamkwe.

Mamammkwe naye aliyekuwa amevalia sketi fupi kidogo iliyoishia juu ya magoti huku akiwa amejipodoa na kupodoka, alishikwa na bumbuwazi kwa alichokiona.

“Karibu…” Nilitamka kwa sauti ya chini huku mwili mzima ukiwa unanitetemeka mithili ya mgonjwa wa kimeta.

“‘Huna hata aibu!, hee!…balaa gani hili!” Mamamkwe alitamka kwa hasira huku akijaribu kuficha mapaja yake.

“Naomba unisamehe, kusema kweli sikuwa najua kama nachati na wewe, nilipewa namba na rafiki yangu kuwa kuna mrembo kutoka Tanga …”

“Kwahiyo ndo tabia zako chafu za kutembea nje ya ndoa!, unataka kumletea magonjwa mwanangu!, hee!” alifoka.

“Hapana sina tabia hizo, nimefanya hivi mara moja mara baada ya kuambiwa na mke wangu kuwa sitakiwi kulala naye mpaka siku 40 ziishe”

“Kwahiyo huwezi kujizuia ndani ya siku 40?” aliniuliza

“Nisamehe, najua kama ni aibu tayari ni aibu, umenitumia clip zako sikuwa hata najua kama ni wewe, kama itakupendeza nisaidie kwa leo maana niko vibaya…” nilitamka huku nikimsogelea taratibu.

“Hivi wewe unamapepo?” alitamka.

“Hapana, maji yashamwagika na hayazoleki tena..” nilitamka huku nikiwa kifua wazi na boxer tu.

“Unachokitafuta utakipata, huna hata haya!, ..” alitamka huku akiwa amesimama.

Nilisogea mpaka mlangoni kisha nikafunga mlango wa chumba na kumwambia mama mkwe,

“Kama ningekuwa sijaona maumbile yako basi ni bora tungeondoka wote lakini.kwakuwa nimeshaona, naomba nikubalie, itakuwa siri kati yangu na wewe:” nilitamka huku mshipa wangu ukiwa umenisimama mithili ya punda.

“Unasema!?” alitamka kwa mshangao.

Nilikaa kimya kisha nikainamisha kichwa changu huku nikijisemea mwenyewe,

” Hakika leo nimeyakanyaga!, nilidhani mwepesi kumbe yuko hivi!, nitaweka wapi sura yangu?, akimwambia mke wangu itakuwaje?. Hapa lazima nihakikishe hatoki salama ndani..”

“Nifungulie mlango niondoke..!, alitamka kisha akafungua mkoba wake na kuchomoa mtandio na kujifunika.

“Samahani, nilikuagizia chips pamoja na kinywaji unaweza kusubiri kidogo?”  nilimuuliza .

“Hizo chips zinachukua mda gani?” aliniuliza

“Mda sì mrefu unaweza kuwa umekaa kitandani hapa kama umechoka kusimama ila nikuombe jambo moja…”  nilitamka kwa sauti ya huruma..

“‘Jambo gani?” alitamka

“Naomba unitunzie siri kwa mke wangu, nimekosea sana lakini ndo hivyo maji yashamwagika”

“‘Makubwa…sema ndo tabia zako.hizi…”

“Hapana kabisa…” nilimjibu.

Taratibu mamamkwe alisogea kisha akaketi kitandani lakini mbali na mimi huku akiwa ameshika tama.

“Ikipita dakika kadhaa sijaona hizo chips, nandoka…” alitamka huku akiwa anachezea simu yake.

“‘Wanaleta mda si mrefu..:  ” nilitamka huku mate mdomoni yakinitoka, hofu kali ikiwa imetanda moyoni mwangu.

Nilishika simu yangu kisha nikamtumia clip alizonitumia whasap kisha nikaandika maneno haya ( Hakika wewe ni mzuri, kila nikiangalia clip yako hii, mwenzio nakuwa hoi”

Mamamkwe aliifungua ndipo….

PART: 09

ILIPOISHIA,

Nilishika simu yangu kisha nikamtumia clip alizonitumia whasap kisha nikaandika maneno haya ( Hakika wewe ni mzuri, kila nikiangalia clip yako hii, mwenzio nakuwa hoi”

Mamamkwe aliifungua ndipo….

SONGA NAYO…

Baada  ya mamamkwe kuifungua, aliangalia pembeni kidogo huku akionekana mwenye aibu kisha akanitumia meseji,

“‘Naomba ufute clip hizo nilizokutumia”

“Sawa”‘nilimjibu kisha nikamsogelea .

Ukimya ulitawala kwa sekunde kadhaa chumbani humo ndipo nilipomsogelea Zero distance kisha nikamuonesha simu yangu,

“Nimeshafuta angalia” nilimwambia huku mkono wangu wa kushoto ukigusa kwenye paja la mamamkwe ambalo lilikuwa limefunikwa na mtandio.

Kitendo cha kumgusa tu, hisia kali zilinipanda mwili mzima huku mshipa wangu ukinisimama kwelikweli.

Mamamkwe hakuonesha kukasirika mara baada ya kumuwekea mkono ule ndipo taratibu nilipopitisha mkono wangu ndani ya mtandio kisha nikagusa ngozi ya paja lake iliyokuwa laini sana.

“Unataka kufanya nini!” Mamamkwe alitamka kwa sauti ya mshangao huku akinishika mkono wangu.

“Hapana nilikuwa naweka mtandio wako vizuri” nilitamka huku nikiumiza kichwa .

“Ebu sogea mbali nami..” Mamamkwe alitamka.

Moyoni mwangu nilisikitika sana ndipo lakini sikukata tamaa.

Masikioni Mwangu, niliweka vizibo kiasi kwamba kila alichonambia sikuweza kumsikiliza hata kidogo.

Kwa mara nyingine, nilimuwekea mkono katikati ya mapaja yake ndipo alipobana miguu yake iliyokuwa na joto kwelikweli.

Kitendo hicho kilimfanya alale kitandani taratibu mwenyewe huku mtandio wake ukiwa tayari ushafunguka.

Akili yangu yote ilinitoka wakati huo, nikasahau kama ni mamamkwe.

Akiwa kitandani, nilimsogelea kiupande kisha nikataka kumpiga busu lakini alikwepesha mdomo wake pembeni .

“Huyu ni wangu, natakiwa kumpagawisha ili anikumbuke mda wote…”  nilitamka kisha nikazamisha mkono wangu ndani ya brazia na kulishika nyonyo la kushoto ndipo.alipojiviringisha huku akizidi kunisogelea kwa ukaribu.

Taratibu nilipandisha nguo yake ya juu mpaka kitovu chake kilichokuwa na kipini kikabaki wazi kabisa ndipo nilipoanza kumpapasa taratibu kuanzia kitovuni kwende kifuani mwake.

Ndani ya dakika kama 10 hivi,  nilichomoa ulimi ulimi wangu kisha nikauweka moja kwa moja shingoni mwake huku nikimlamba taratibu saaana mithili ya ng’ombe amlambavyo ndama ndipo mama mkwe kwa mara ya kwanza aliposhutuka mithili ya mtu aliyepigwa shoti ya umeme huku akiunguruma kama transfoma.

“Hii…hiii…huuu…yuu…” Mama mkwe alitoa miguno ya sauti hii huku akipindisha shingo lake kila upande.

Nilipoona yupo katika hali hiyo, nilishusha mkono wangu mpaka karibia na ikulu ndipo aliponishika mkono kwa nguvu kisha akatamka,

“Niache!, nipo kwenye siku za hatari..” alitamka huku akiwa anaonekana mwenye kutetemeka…

“Hapana usijali nita…” nilikatisha maneno kisha….

PART: 10

ILIPOISHIA,

“Niache!, nipo kwenye siku za hatari..” alitamka huku akiwa anaonekana mwenye kutetemeka…

“Hapana usijali nita…” nilikatisha maneno kisha….

SONGA NAYO…

“Sitaki kwa leo iwe siku nyingine ” Mamamkwe alitamka kwa sauti ya chini huku akiwa anahema.

Baada ya kuniambia hivyo, nilikaa kimya huku mkono wangu ukiwa unampapasa tatatibu kwenye mapaja yake .

Mda si mrefu, nilishangaa midomo yetu imegusana ndipo tulipoanza kupigana..ma…t…e  kwa takribani dakika 5

“Woooo…woooo” Mamamkwe alitoa sauti za miuingurumo huku akizidi kunikumbatia kwa nguvu.

Akiwa katika hali hiyo huku nikiwa kifua wazi, mkono wangu mmoja ulianza kufungua vifungo vya brauzi yake mpaka nikafanikiwa.

“Inuka kidogo nikuvue nguo yako ili isikikunje” nilimwambia.

“Mhh naona aibu…” Mamamkwe alitamka

“Hapana hata usinionee aibu…” nilitamka kisha akainuka, nikamvua brauzi yake.

Mashalah, alikuwa na tumbo jeupe, ngozi laini iliyozidi kunibamba na kunipagawisha kwelikweli.

Nilianza kumpasa maeneo ya kifuani mwake ambapo alikuwa bado amevalia sindiria hali iliyonifanya nizamishe mkono wangu na kuzichezea ncha za nyonyo zake ambazo zilinishangaza.

Licha ya umri wake, zilikuwa zimesimama mithili ya binti wa miaka 15 ambaye hajawahi kufanya malavidavi.

Mapigo ya moyo wangu yaliendelea kwani katika kitu kilikuwa kinaumaliza moyo wangu, ni kuona nyonyo sàa sita.

Nilipitisha mkono wangu mpaka mgongoni mwake kisha nikafanikiwa kumvua sindiria ndipo nilivyozidi kupagawa.

Kifua changu kilichokuwa na vinywelenywele kwa mbali, nilikigusanisha na kile cha mamamkwe nikawa kama namtekenya kwa mbali hali iliyomfanya mamamkwe atake kuming,’ata.

Nilisogea nyuma kidogo kwa mshutuko lakini mamamkwe alinisogelea mwenyewe huku akigusanisha nyonyo zake kifuani kwangu.

“Taratibu basi..oohh….mama…”:Mamamkwe alianza kutoa mlio wa sauti za kinanda ambazo zilizidi kunichanganya.

Ndani ya dakika kadhaa, nilijikuta wanajeshi wanamwagika wenyewe ndani ya boxer yangu huku mayai yangu mawili yakiwa yameanza kuuma kwa kutunza risasi kwa mda mrefu.

Licha ya kuachia wanajeshi wa kwanza, bado mshipa wangu ulikuwa umetuna kupitiliza,

“Hapa tayari atakubali ngoja nijaribu…” Nilitamka mwenyewe kisha nikataka kumvua sketi lakini aliishia kunishika mkono kisha akaniambia,

“Please!, nimekwambia nipo kwenye siku za hatari, sitaki tena kupata mtoto kwa umri wangu, lakini pia itakuwaje mimi na mwanangu tuwe na watoto wa mme mmoja?” alitamka huku mkono wake akiwa anauzamisha kwenye boxer yangu ambayo ilikuwa imechafuka.

“Usijali nitatumia njia ya kutofinyia kwa ndani hivyo hutopata mimba …::”

“Mimi bado nipo, kesho itakuwa siku salama, kwanini uwe na haraka…?” alitamka ndipo…

INAENDELEA…

Share.
Leave A Reply

error: Content is protected !!