Clickable WP Image
JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

NIGHT CLUB

Sehemu ya 31

Ilipoishia……….Erick na Kessy wamekutana na warembo watano wakali mlimani City na wanataka kuondoka nao!

Songa nayo ……..

Kauli ya Kessy kusema ameshanunua vitu vyote vya ndani ilinipa nguvu na kujikuta ninatabasamu!

Kwa jeuri nilishusha vinywaji pale kiasi kwamba hata unywe vipi huwezi kuvimaliza!!

Muda huo nikajisogeza kwa yule mwanamke mrembo kuliko wote!

“Mambo Cleopatra!”

“Safi Erick!!”

Wanasema kizuri hakikosi kasoro,pamoja na uzuri wote aliokuwa nao sauti ya besi fulani ivi!

“Wewe ni mrembo!”

“Hata wewe ni handsome Erick!!”

“NYIEEE TONGOZANENI ILA UNAPOLALA ERICK NAMI NALALA HAPO HAPO!”

Alipayuka yule mapepe wote tukacheka!

Sikuona umuhimu wa kuongea sana sababu pesa imeongea tayari!!

Vijana tafuteni pesa jamani hivi vidada vizuri tutaishia kuviona vinaruka na mapedeshee tu!!

Niliwavutia kasi mwisho nilipoona tu pombe imekolea nikasema!

“JAMANI TUONDOKENI!!”

Ilikuwa kama wote walisubiri neno langu walisimama tukaanza kuongozana mpaka nje!

Hapo nikapata aibu kidogo uboss wote lakini hakuna hata gari dahh😰😰

Niliita taksi tukaingia wote watu saba wanane ni dereva usiulize tulikaaje bhana sitaki maswali!

Mbele nilikaa mimi na Cleopatra yani alinikalia mapajani nikawa nimembeba!

Kimini alichovaa kiliyaacha mapaja yake wazi!

Mate yalinitoka nikashindwa kujizuia nikaanza kuyapapasa!

Huku nyuma Kessy alikuwa kabananishwa na wadada wanne,nilipogeuza shingo sikuamini!

Precious alikuwa ameishaitoa bakora ya Kessy anainyonya!

Niliguna nikaendelea zangu kumpapasa Cleopatra!

Alikuwa mrembo haswa na vile alivyojiweka kama muigizaji wa bongo movie!

Bakora ilisimama kwa uchu jambo ambalo Cleopatra alijua akapitisha mkono akaanza kukipapasa taratibu!

“Mmh!kubwaaaa!”

“Yote yako baby!”

“Mmh!sema yetu unadhani hawa wapuuzi wataruhusu nile peke yangu?”

Alisema Cleopatra,dereva taksi alikuwa bize anapangua gia!

Sikuwa nimelewa sana nilimuelekeza mpaka tukafika kwa Kessy!Japo ni mbali Kigamboni siyo mchezo!!

Tulilipa Kisha tukaingia ndani,kwa uchovu nilijitupia kwenye sofa mpya alizonunua Kessy!!

Ndani kulikuwa na kila kitu kipya siyo mapazia siyo nini!

Kessy alikuwa na moto balaa alimchukua Precious akamshika mkono mpaka kwenye chumba cha wageni!

Haikupita hata dakika tukamsikia P anapiga mayowe huko Kessy anamshughulikia!!!

Kelele zile ziliamsha hisia kwa wote,Zulekha naye au Zuuh akaingia kwenye icho chumba alichokuwemo Precious na Kessy!

Sebuleni nikabaki mimi, Cleopatra,Joyce na Sandra!!

Ambao sasa wote walikuwa wananitolea macho kwa uchu wa ngono!

Cleopatra aliona atazidiwa kete kama kuanza ni bora aanze yeye wengine wafuate!!

Alisimama akavua nguo zake zote,nikaliona umbo lake vizuri,mate yalinitoka!

“Erick!”,aliniita kwa kisauti chake cha besi!

“Naam!”

“Naomba!”

Alisema huku anapiga magoti akanifungua mkanda na zipu ya suruali yangu akaivuta na boksa!!

Sandra alisogea alipoona bakora yangu imevimba inaangalia juu!

“Erick,jamani uko vizuri!”

Alisema Sandra kwa sauti ya puani muda huo Cleopatra hakuwa na Mambo mengi!

Pombe zilikuwa zimeshamlegeza tayari alikuwa amelowana vya kutosha!

Alipanda akanikalia kisha akaishika bakora akaanza kuizamisha pangoni taratibu!

“Ooooshiiiiiiii!!tamuuuuuuuu!!”

Alilalamika Cleopatra baada ya kuikalia nusu akaanza kukatika taratibuuu!

“Asiiiiiiiiiihhh!”,alilalammika baada ya kuiruhusu yote na kujikuta inamchoma tumboni!!!

Sandra na Joyce bila kupepesa macho walivua nguo zao na kubaki watupu kabisa!!

Sandra alisogea akaanza kunishika korodani zangu na kuongeza hisia huku Joyce akininyonya ulimi wangu!

Yalikuwa ni mambo ambayo nilizoea kuyaona kwenye video tu Ila sasa nilikuwa nayaona na nayafanya mimi Erick!!

“Erick tamuuuu baaabaaaaa NAKOJOAAA!”

Alisema Cleopatra ambapo Sandra alianza kuzinyonya chuchu za Cleopatra ambaye bila kukawia aliongeza kasi ya viuno Kisha akatulia kifuani!

Nilimlaza pembeni akihema kwa kasi nikamshika Sandra ambaye aliinama mguu mmoja kaupandisha kwenye kochi shughuli ikaanza!!

“Weee!weeee!Erick taratibu mi sijazoeaaaa!”

Aliwahi kukimbilia polisi Sandra baada ya kuona moto umezidi!!

Alipata haki yake akafuata Joyce kisha nikarudi kwa Cleopatra!!

Hisia zangu zilikuw kwake hivyo baada ya kuona wametosheka hawa wengine nilianza shoo rasmi na Cleopatra!

“Erick”

“Naam baby!”

“Kwanini mimi jamaniiiiiiiuuuuuwiiiiih!”

“Sababu wewe ni mrembo!!”

Aliuliza Cleopatra muda huo wengine wameshalala zamani nimebaki na yeye tu!

“Utaniua jamaniiiii aaahhh aaahhh aaahhhsiii!”

“Pole mpenzi kwani unaumiaaa!”

“Hapanaaa siumiiii rahaaa uuuuhhh naumiaaa rahaaaa uuhh!!”

Hisia zangu zilikuwa Kali kwa Cleopatra kiasi kwamba nilikuwa nikimaliza tu naunganisha!

“Basiiiiiiiii inatoshaaaaa!”

Mwisho alisema Cleopatra baada ya kuona maji yamezidi unga!!

JE NINI KITAENDELEA?

Sehemu ya 32

Ilipoishia………….Erick na Kessy ni kama wameokota dodo chini ya mnazi!Warembo watano wote wameanguka mikononi mwao!!

Songa nayo………

Hakuna siku naikumbuka kama ile,ilikuwa ni siku ambayo ntaisimulia kama siku kubwa katika ujana wangu!

Ujana maji ya moto,na yalichemka kweli siku ile!

Cleopatra aliona maji yamezidi unga,akaomba pambano lihairishwe!

Nilimaliza Kisha nikawaamsha Sandra na Joyce nikawapeleka chumbani ambako kulikuwa na kitanda kikubwa cha sita kwa sita!

“Jamani mimi sitaki tena nimechoka uuuwiiii!”,alisema Sandra baada ya kuhisi pengine kuna mechi itaendelea chumbani!

“Na mimi mniache nilale!”,alidakia Joyce!

“HAHAHAHAHAAHA!!”

Mimi na Cleopatra tulicheka Kisha tukakaa tukaanza kupiga stori!

“Ivi Erick nikuulize kitu?”

“Niulize!”

“Hivi kwanini umenifanya sana Mimi?”

“Sababu nimekuchagua wewe nilikupenda wewe nilipokuona tuuu!!”

“Mmh kweli jamani!”

“Ndiyo kweli Cleopatra!”

“Sasa mi nina uzuri gani jamani!?”

“Mmh! siwezi hata kueleza!!”

“Ila na wewe handsome!”

“Kidogo bhanaa!”

“Kweli ebhu vuta picha tumepata katoto mimi na wewe!”

“Hahahahaaa,unanichekesha bhana!”

“Kweliiiii!”

“Mmh!kesho mnaondoka!”

“Ndiyo kwanini unauliza!”

“Nataka ubaki!”

“Mmmhhhh!Erick jamaniii!”

“Naomba ubaki bhana baby!”

“Wenzangu watanielewa vibaya watahisi najipendekeza!”

“Kwani unaishi nao?”

“Hapana!”

“Sasa tatizo liko wapi?”

“Jamani basi ntabaki!”

***********

Kulikucha Kessy alikuja kuniamsha nilikuwa hoi kwa usingizi mzito!

Sandra na wengine wote walikuwa wameamka kasoro Cleopatra na mimi tu!

Niliamka ila Cleopatra aligoma akawaambia wenzake yeye haendi anabaki!

Marafiki zake walionyesha kuchukia kwa namna fulani!

Niliwapa pesa ya nauli tu kama laki tatu kisha nikarudi zangu kulala na Cleopatra wangu!

Pesa haikuwa tatzo nilipata kiburi cha pesa za Maiya!

Kessy alirudi baada ya kuwapatia teksi akanikuta nimefunga mlango napasha kipolo!

Alipoita akaona kimya akajiongeza akajiandaa akaondoka zake kazini!!

“Erick!”

Aliniita Cleopatra baada ya shughuli pevu ya kupasha misuli!!

“Naam!”

“Unataka unipe mimba wewe siyo bure!!”

“Kwani kuna ubaya?”

“Jamani tumejuana jana tu na sijui una malengo gani na mimi sababu tumekutana kwenye starehe Erick!”

“Usjal mummy mi nimekupenda na ningependa uwe wangu kama hutojali!”

“Mpaka nimebaki nimewasaliti wenzangu ina maana tayari nimeridhia Erick!”

“Umewasaliti vipi sasa!”

“Acha tu nawajua wale watanichamba kama nini na sionani nao wiki nzima hasira ziwapungue!!”

Kiukweli ukikaa na mrembo chumbani unaweza usiende kazini,kila muda Nilitamani tu nimpe dozi Cleopatra!!

“Erick!Erick! umeanza,umeanza!!”

Alisema baada ya kuiona bakora yangu imetuna kwa mbele!

Kilichotokea  ni kupapasana,kidogo nilikuwa nimeshaanza kuzijua sehemu za kumuamsha hisia Cleopatra tukajikuta tumezama penzini!!

Baada ya hapo ndipo njaa ilitushika balaa!

Nilitoka nikaenda kutafuta supu ya kuku wa kienyeji nikapata na chapati za kutosha!

Nilishindwa na Cleopatra ambaye aliniaga jioni kuwa anaondoka!

“Kwanini si ulale!”

“Erick utanichoka jamani!”

“Hamna bhana!”

“Erick nina kazi zangu za kufanya pia ntarudi siku nyingine babaangu!”

“Utarud lini?”

“Wewe tu hata ukisema kesho sawa ntakuja!”

Alijiandaa kisha nikamsindikiza,nilipotaka kumpa hela alikataa!

“No,Erick mie siko ivyo!”

“Nauli tu mpenzi wangu!”

“Hapana ninayo,unajua hata jana mimi ndiyo niliwatoa out Jana wenzangu kabla hujaingilia bili zangu!!”

“Unafanya kazi gani?”

“Hayo siku nyingine!”

Aliongea Cleopatra akanibusu kisha akapanda gari akaondoka zake!

Tayari ilikuwa imefika jioni,nilichukua pikipiki mpaka karume ili nikamsaidie Kessy kufunga!

“Vipi Abobo hajatokea hapa?”

“Dahh!wapi mzee yani Leo nimeenyeka kichizi niuze Banda lako ,langu na la huyo Marioo!”

“Pole mwanangu tufunge sasa!”

Tulifunga tulipomaliza tukakaa tukaanza kupiga stori za Jana!

“Mwanangu we noma yani umefika tu ukamvutia P chumbani!”

“Hamna Erick nilikuwa vibaya,sema kitoto kiko vizuri kile!”

“Dah!kwa hiyo ukawakanyaga  wote Precious na Zuuh!”

“Acha wivu mbona wewe umepiga watatu hadi ukabaki na Cleopatra!!”

Ghafla simu yangu iliita nilipopokea alikuwa ni Salim mume wake na Maiya!

“HALOO BWANA ERICK KUNA GARI INAKUJA KUKUCHUKUA HAPO MAIYA ANAKUHITAJI!”

Alisema Kisha akakata simu!

Simu nyingine iliingia alikuwa ni Aisha ananipigia!

“HALOO ERICK NAKUJA KWAKO NIPO NJIANI NINA ZAWADI NZURI KWAKO!!”

JE ERICK ATAENDA WAPI?

AMKATAE AISHA ALIYETAKA KUMPIGA RISASI AU AMKATE MAIYA??

Sehemu ya 33

Ilipoishia…………..Erick yupo njia panda hajui aelekee wapi?aende kwa Maiya au amsubiri Aisha?

Songa nayo…….

Wakati nikiwa na mawazo nisijue ninafanya nini simu yangu iliita tena!

“Bwana Erick gari imefika!!”

Alikuwa ni Salim,nilimuaga Kessy kuwa nimepata dharura!

Nilifika barabarani nikakuta prado nyeusi,mlango ukafunguliwa nikaingia!

Kama kawaida macho yalifungwa kwa kitambaa cheusi safari ikaanza!!

Simu yangu iliita sana sikuipokea sababu sikuwa naona hata pakupokelea,na wale jamaa ni makauzu hata hawanisemeshi!

Tulifika nikafunguliwa macho nikashuka ndani ya gari!

Maiya aliponiona alinikimbilia akanikumbatia mbele ya Salim,kile kitendo kilininyima kujiamini!

Salim japo hakuwa akionyesha dalili zozote Ila nilijua lazima moyoni anajiskia vibaya!!

Maiya aliniongoza mpaka sebuleni,ilikuwa sebule kubwa iliyovutia sana!

“Karibu chakula leo nimepika mwenyewe,nimekupikia Erick!”

Tulifika mezani tukakaa,Maiya alionekana kutabasamu muda wote!!

“Maiyah!”

“Abee!”

“Ivi unahisi mumeo anafurahia aya?”

“Umeanza sasa Erick mi sitaki maswali yako tusiharibiane siku bhana,kaamua mwenyewe!”

“Unamaanisha nini?”

“Baada tu ya kujua hawezi kufanya mapenzi tena,alinisihi sana nimtafute mtu wa kunipa faraja mimi nilikataa mpaka nilipokupata wewe!”

“Lakini unahisi mimi nayapenda aya maisha?”

“Erick una nini lakini?”

Maiya alionekana kutokufurahishwa na maneno yangu!!

Niliamua kukaa kimya nikatoa simu yangu nikakutana na meseji kibao za Aisha na Cleopatra!

Niliiweka pembeni simu, Maiya akanipakulia chakula tukaanza kula!!

Salim alikuja naye akaungana na sisi lakini Maiya hakuonyesha kufurahishwa na uwepo wa Salim pale ni kama ulimnyima uhuru!

“Nambie bwana Erick!”

“Safi tu kaka!”

“Za huko uto….!”

“Sorry Kaka ivi unafurahia haya maisha?kama binadamu binafsi sijiskii vizuri!!”

“Hahahaha!bwana Erick kuna muda inabidi ujitoe kafara kupata kile kitu unachotaka!”

“Kwani wewe unataka nini?”

“Mimi nataka furaha na furaha yangu iko kwa Maiya,siwezi kupata furaha kama Hana furaha,furaha ya Maiya iko kwako lazima aanze yeye kutabasamu halafu Kisha anigawie na Mimi japo nitabasamu kidogo!!”

“Lakini mimi siko tay….!”

“Ssshiiiiiiiiiiiiii!!!kama hauko tayari nilishakuambia ntakulazimisha!

Alisimama Salim akamsogelea Maiya akampiga busu Kisha akamuambia!!

“Enjoy baby!!”,Kisha akaondoka zake!

Nilibaki na Maiya tukaendelea kula,Ila moyoni niliuona upendo wa Salim kwa Maiya!

Ulikuwa ni upendo wa kweli usioelezeka!

“Mumeo anakupenda sana Maiya!”

“Erick umeanza ebhu tuongee mambo yetu!!”

“Okay!chakula kitamu!”

“Ahsante!!”

Tulipomaliza kula moja kwa moja safari iliishia chumbani,lakini siku hii kilikuwa chumba tofauti na kile cha mwanzo!!

Maiya alivua nguo zake kisha akaja akaanza kunivua nguo zangu alipomaliza akasema!

“Twende ukaniogeshe baba!”

Nilinyanyuka tukaenda kuogeshana ambako hatukutoka hivi hivi!

Maiya alishika sinki nikasimama nyuma yake,nikampitisha nyoka pangoni shughuli ikaanza!!

Baada ya shughuli pevu na Maiya kuridhika niliomba kuondoka nikaruhusiwa ambapo siku hii nilipewa bahasha na Maiya mwenyewe!

Kutokana na bahasha ya kwanza nilijua moja kwa moja ndani ya bahasha kuna pesa!!!

Nilipelekwa mpaka kwangu muda huo ulikuwa usiku wa manane!

Nilipofika sikuamini nilimkuta Aisha amekaa chini mlangoni analia!

Moyo wangu ulidunda nikaogopa nikijua moja kwa moja leo napigwa risasi!

Aisha aliinua kichwa chake akaniangalia akasimama taratibu Kisha akanisogelea!

Alipofika hakuongea maneno mengi

“Naomba ufunguo Erick!”

Niliingiza mkono mfukoni nikatoa funguo nikampa akafungua mlango nikabaki nimesimama mlangoni!

Niliogopa kuingia ndani sababu nilihofia Aisha anaweza kunipiga risasi!!

Nilijikaza nikaingia ndani huku mapigo ya moyo yakidunda kwa kasi!!

Nilifika sebuleni sikumkuta Aisha,nikajua atakuwa chumbani!

Nilijikaza nikaingia chumbani nikamkuta kajilaza hana nguo hata moja!

Nilivua nguo zangu kisha nikaingia bafuni nikaoga kisha nikatoka!

Nilikaa kitandani bado sikujiamini kabisa!

“Usiogope sina bastola!”

Alisema Aisha kisha akainuka akawasha bangi akaanza kuvuta!!

“Siyo makosa yako Erick,ni moyo wangu huu na kiherehere chake!”

Aliongea huku moshi ule wa bangi ukianza kutanda chumbani nikawasha feni!!

“I’m sorry Aisha!”

“Hauna haja ya kuomba msamaha!!”

Aliizima bangi yake Kisha akanisogelea akaanza kunipapasa!

“Let’s make love!”

“Unamaanisha nini?”

“Tufanye sex tu hisia tuziache!!”

“Aisha siyo…….!”

“Shiiiiiiiiihhhh!acha maongezi!”

Alisema Aisha kisha akanivua taulo langu akaanza kuipapasa bakora yangu!!

“Wewe ni Malaya Erick,malaya hapendeki,malaya hatosheki hata upewe biriani bado utataka wali maharage!”

Aliongea Aisha akaishika bakora yangu akataka kuiweka mdomoni nikamzuia,niliogopa hasije akaing’ata maana wanawake siku hizi hawaeleweki.🙆🙆

MAMBO NDANI YA MAMBO

Sehemu ya 34

Ilipoishia…………Erick tumbo joto yuko na Aisha lakini ana wasiwasi mkubwa,anaogopa kupigwa risasi na binti yule!

Songa nayo……….

Hamna siku nilikuwa na hofu kama siku ile,hamna siku niliyofanya mapenzi kwa wasiwasi kama siku ile!!

Kitendo cha kumkatalia Aisha kuninyonya bakora yangu kilimfanya asimame!!

“Unaogopa ntaing’ata eeh!”

Nilikaa kimya sikumjibu kitu chochote!

Aisha alinikalia akapitisha mkono mabegani Kisha akaishika bakora ikaingia pangoni!

“Niue we malaya ili ufurahi!”

Alianza kukizungusha kiuno chake taratibu!

“Yani utamu unapewa Malaya aahhhaaaahshiiiihh!”

Alilalamika Aisha mpaka alipokojoa bado sikumpa ushirikiano wa kutosha!

Alishuka akalala pembeni akawasha bangi yake akaanza kuvuta!!

“Hii dunia ya ajabu sana,yani wastaarabu hawajui mapenzi,wanaojua mapenzi siyo wastaarabu tabu tupu!”

Alisema Aisha huku anavuta bangi yake!

“Ivi kwani unavyogawa ivyo unajiona kidume yani unajiona ndiyo ileeeee,ndiyo ileeeeeee!!”

Maneno ya Aisha yaliumiza sana siku ile,yalinichoma moyoni!!

“Ivi shida nini Erick unalipwa ukit*mb*n* sema nikulipe utulie unaniona Sina hela nina pesa mbwa aruki Erick kwanini unaninyanyasa!”

Aliongea sana Aisha mwisho akaishia kulia mpaka usingizi ukampitia!!

***********

Asubuhi kulikucha Aisha akaamka akaingia bafuni kuoga!

Aliporudi akavaa nguo zake kisha akaniambia!!

“ERICK HAUTONIONA TENA MAISHANI MWAKO!NA UKINIONA POPOTE USINIGUSE WALA USINIJUE ENDELEA NA UMALAYA WAKO,KWANGU ERICK AMEKUFA NIMEMZIKA JANA!!”

Alipomaliza aliondoka huku namuangalia,sikutaka kumzuia huwa naheshimu maamuzi ya mtu japo moyoni niliumia!!!

Kuna nafsi zilikuwa zinabishana moja inasema “ACHANA NAE KWANZA ANAVUTA BANGI!!”

Nyingine inasema “ILA ANA UPENDO WA KWELI!!”

Kwangu bado nilimuona ana haki ya kufanya vile!

Nikaingalia ile bahasha niliyopewa ambayo kama kawaida ilikuwa na milioni kumi!

“Kuna watu wana hela!”

Kwa pesa nilizokuwa nazo nilianza kupata wazo la kutafuta biashara nyingine ya kufanya!!!

Niliamka nikajiandaa nikaenda kazini, siku hiyo nilifungua Banda langu ndipo Kessy naye akafika!

“Vipi Kaka naona leo umewahi!”

“Ndiyo bhana ndiyo nimemaliza kufungua nilitaka nikimaliza kupanga hapa nikufungulie pia!”

“Vipi Abobo umeongea naye?”

“Dah!halafu tangu siku ile sijaongea naye mzee anakula bata tu!!”

“Tumpigie leo au katekwa mbwa yule!!”

Alisema Kessy Kisha akaanza kupanga panga vitu kwenye banda lake!!

“Unajua nilikuwa na P leo?”

“Nani Precious?”

“Ndiyooo!”

“Dahh!alikuja?naona umeanza kuongea Sasa domo zege!!”

“Hahahahaaa!hamna mwanangu Erick ni alinogewa tu aliniomba namba mwenyewe!”

“Basi unajiona fundiiiiiiiiiiiiiii!!!”

Tulipiga stori za hapa na pale siku inaenda!

Ilipofika mida ya mchana tukiwa tumeagiza zetu wali maharage  Abobo alikuja akiwa amevaa pamba kali na cheni za dhahabu zimening’inia shingoni!!

“Oyaaaaaaaaahh!!nyiee mbwaaaaaaa!!”

Wote tulishtuka kumuona Abobo alikuwa amepiga pamba kawaka hatari!

“Daaaah!Abobooooo!!!”,tulimuita kwa pamoja!

“Acheni zenu mko nje ya muda naitwa Papaa Abobo!!”

“Hahahahahah!”,tulicheka maskini akipata makalio!😆😆

“Sikieni acheni kula wali maharage fungeni ofisi niwapeleke hoteli ya maana mkale mbwa nyinyi nawalipa na muda wenu!!”

Tulimpuuzia tukaendelea kula wali maharage na juisi zetu za parachichi!

Abobo alikuja akazichukua sahani akaziweka pembeni!

“Acheni ufala fungeni nimewafuata mkale bata nyie wanangu mjue!!”

Tulifunga mabanda yetu Kisha tukaongozana na Abobo hatukuamini gari tuliyoikuta!

“Mzee hii so range hii?”,niliuliza kwa mshangao!

“Unashangaa hii je ningekuja na hummer?”

Tulishika vichwa mwenzetu katusua tayari huku tunaona!

“Nawapeleka Samaki samaki halafu jioni nawapeleka Casino mbwa nyinyi mmezoea Club tu hamjaijua dunia!!”

“Dah!mwanangu punguza tambo basi si tulikuwa wote juzi tu hapa saivi unaijua dunia kuliko sisi?”

“Tulieni mi downtown kitambo utanieleza nini?”

Yani aiseeh Abobo anaongea tulikoma!!

Safari ilitupeleka mpaka samaki samaki masaki!

Alipaki gari Abobo kisha tukashuka,wakati tunaingia macho yangu yalikutana na mwanamke ambaye namtafuta sana!

Mwanamke aliyenifanya hadi nikamjengea mama yangu bonge la jumba kijijini pamoja na kumfungulia biashara inayomsaidia mpaka leo!

Nadhani unamkumbuka yule mwanamke aliyenidhalilisha Club mpaka nikalewa nikazimia!

Japo nilimuona siku moja na tena usiku ila hakunitoka nilipomuona tu nilijua ni yeye!!

Tatzo hakuwa peke yake huyu kipepeo,alikuwa ameongozana na mwanaume wa kizungu!!

Sikuwa nimewahi kumtongoza ,na Wala sidhani kama ananikumbuka,maana hata tulipoangaliana aliendelea na safari yake!

UNAHISI ERICK ATAFANYA MAAMUZI GANI?

ATAMFUATA?

AU ATAMUACHA AENDE ZAKE?

Sehemu ya 35

Ilipoishia……….Erick amekutana na mwanamke ambaye alipokutana naye club alimkashifu na kukataa ofa yake ya bia huku akimdhalilisha kwa maneno machafu,kitendo kilichopelekea alewe mpaka akazima!!

Songa nayo……..

Sijui kwanini nilihisi wivu kumuona akiongozana na mzungu!

Ila pia moyoni nilijihisi hasira sana,katika maisha yangu sikuwahi kudharauriwa na mwanamke kama alivyonifanyia yule dada!

Sawa,angekataa ofa yangu,lakini siyo kunidhalilisha.

Japo na umaskini wangu niliokuwa nao na mpaka nimeanza kupata vijisenti vyangu vya kubadili mboga,sikuwa nimewahi kudhalilishwa na kukataliwa kwa dizaini ile!

Nakubali labda ni kosa langu nilikurupuka siku ile,lakini angenyamaza tu akaenda zake!

Japo huwa namshukuru kwa sababu kichambo chake kilinipa akili ya kumjengea mama yangu na kumpa mtaji wa biashara!

Katika hali ya kushangaa nilijikuta nimesimama huku namuangalia yule dada mpaka nikageuza shingo yangu,maana alikuwa anatoka sisi tunaingia!

“We vipi?”

Alinishtua Abobo baada ya kuniona nimesimama namshangaa yule dada!

Sikuwa nimewahi kuwaambia marafiki zangu juu ya ule msala!

Niliongozana nao mpaka ndani japo sikuwa nimeridhika kumuacha yule dada aondoke bila kuongea naye chochote!

Moyo uliniuma bila kujua sababu ni nini,amani yangu ilipotea kabisa!

Tulifika tukakaa akaja mhudumu tukaagiza vinywaji vya kawaida tu na chakula kizuri!!

Sikutaka kukaa tena na kile kitu moyoni niliamua kuvunja ukimya!

“Oya washikaji mi nataka niwaambie kitu!”

Niliongea kwa sauti ya upole yenye utulivu kiasi kwamba wote wakatega sikio wakiamini nina jambo la maana!

“Mi kuna kitu kinanisumbua sana washikaji zangu kitambo sana sema sijawahi kuwaambia tu!”

“Kitu gani tena mwanangu!”,aliuliza Abobo!

“Dah!unamuona yule manzi tuliyepishana naye kaongozana na mzungu?”

“Yeah vipi kwani?”

“Yule manzi bhana mi nina historia naye,kuna siku tulikuwa Club nakumbuka ilikuwa Giraffe temeke mzee,siku ile nilimuona nikamshobokea ila akanipa maneno makali sana kiasi kwamba nikalewa sana hadi nikazima!”

“Dahh!ndiyo siku ile ulilewa ukazima na Kessy naye akaenda kuibiwa na yule demu wake?”

“Yeah!”

“Dah!sasa mbona hujasema?mi ningemfuata pale nikamchana,kwani vipi unampenda?”

Swali la Abobo lilinipa wakati mgumu,sikujua nasimama upande gani?

“Aahi mi sijui!”

“Dah we utakuwa unampenda yule demu na sijui utamuona wapi tena ndiyo tushamkosa ivyo!”,alisema Abobo huku anakunywa juisi taratibu!

“Aah achana naye tufanye yetu!”

“Wewe unaongea nini wewe?kama unampenda mtu pigania hisia zako unaona unaumia siku zote unajidanganya utamsahau!”

Aliongea kwa hasira Kessy!

“Sasa nifanyeje?”

“Pigania hisia zako ulipaswa umfuate acha ujinga,halafu na mimi siwafichi nampenda kichizi yule demu aliyeniibia bado nampenda na nikikutana naye ntamuomba nimuoe!”

“Nani Saida?”,tulimuuliza kwa pamoja!

“Ndiyo!”

“Umerogwa wewe siyo bure yule demu atakuua achana naye!”,alisema Abobo!

“We unajua nini Abobo?zaidi ya kutongoza majimama utoke na kitonga mtelezo tuuuu!”,alisema Kessy!

“Basi inatoshaaa!tuache malumbano!!”

Tulibadilisha mada tukala kisha tukaondoka Abobo akatupeleka mpaka masaki kwa jimama lake au Anti Suzy!

Tulipofika hatukuamini,geti lilifunguliwa gari likaingia ndani tukakutana na walinzi kadhaa!

“Mwanangu ndiyo hapa?”

“Ndiyo hapa ndiyo kwangu karibuni Sana!”

Akijisifu Abobo kama hata alichangia tofali moja!😆😆

“Mwanangu utakuja kufa vibaya huyu ni Freemason huyu!!”

Tulimtania Kisha tukaingia ndani,humo ndiyo kulikuwa na balaa!

***********

***********

Mambo ya kwenye video ndiyo tuliyaona pale sebuleni,sebule ilipamba kwa vitu vya gharama na vyenye kuvutia!

“Mmh!kuna watu wanaishi duniani jamani khaaaa!!hii nyumba au!!?”

Nilijisemea moyoni huku macho yakiangaza huku na kule kuangalia mandhari ya sebule ile!!!

“Hapa ndiyo kwangu Karibuni sana vijana wangu!!”

“Hahahaha!Abobo yani tushakuwa vijana wako!”,nilimuuliza!

“Nabii hakubaliki kwao nyie subirini tu mtaniheshimu mbwa nyie!!”

“Shauri yako ikija kuteleza tena ikazamia topeni utajuta!”

“Hahahahahahaaa!!”

Tulicheka kwa pamoja huku tunendelea na stori!

“Vipi shemu yupo wapi?”

“Anakuja yupo na Kaka yake Wana kikao kidogo sebule ya juu!!”

“Angalia huyo kaka mwenyewe sasa hasije kuwa mume wake!!”

“Unazingua Erick hapa subirieni ndoa tu mi ubachela siutaki tena!!”

“Sasa hapo unaoa hela au lile jimama!!”

“Hahahahahahaa! Erick ntakufukuza kwangu mbwa wewe!”

“We leta vinywaji hapa tupashe kidogo?”,Kessy alivunja ukimya!

“Halafu uje ulewe upite na wafanyakazi wangu mmoja mmoja nakujua wewe!”

Alisema Abobo akimtania Kessy mzee wa kufunga zipu,yaani ukimuona anafunga zipu tu ujue tayari!!

Kulikuwa na wafanyakazi wa kike kama watatu waliokuwa wanapita pita pale sebuleni!

Abobo alimuita mmoja akaja akamuagiza alete pombe kali!

Likashushwa zina kubwa la Jack Daniel tukaanza kupoza makoo taratibu!

Baada ya muda Anti Suzy alitoka akiwa ameongozana na mwanaume ambaye inasemekana ni kaka yake!

Nilishtuka sababu nilimjua yule jamaa ni Salim mume wa Maiyah!

Hata yeye aliponiona alishtuka akasimama akaanza kuniangalia kwa macho makali hadi nikaogopa!

JE NINI KITAENDELEA?

SALIM ATAFANYAJE?

Share.
Leave A Reply

error: Content is protected !!