NIGHT CLUB
Sehemu ya 21
ONYO: Hawaruhusiwi wenye Miaka chini ya 18 kusoma hii Hadithi
Ilipoishia……….Erick kaamua kuingia anga za Abobo na yeye karuka na jimama la kiarabu je atawezana?……
Songa nayo……..
Kitendo cha Mwarabu kuniambia tunaenda Serena nilichanganyikiwa,sikuwa na uwezo huo,na hata kama Nilijitahidi nilipe Ila ntajuta mwaka mzima.
“Ntalipa mimi!”
Alisema yule mwarabu,nahisi aliona kijasho kimenitoka!
Moyo wangu hapo ukatulia kidogo nikatuliza presha!
Mwarabu aliuleta mkono wake mpaka kwenye zipu yangu akaifungua kisha akaingiza mkono akaishika bakora yangu Kisha akaguna!!
“Mmmmh!”
“Mbona unaguna!”
Mwarabu aliniangalia kwa macho yaliyolegea huku anauma lipsi zake kwa hisia!!
“Unaitwa nani?”
“Erick!”
“Okay naitwa Sumaiya au Maiyah!”
“Okay maiyah!!”
“Lakini Erick kabla hatujaenda nakuomba ukanifanye taratibu sijafanya mapenzi miaka mitano na pia hata huko nyuma sijakutana na bakora kama hii!!”
“Miaka mitano?”,nilishangaa sana!
“Ndiyo,Leo ni birthday yangu wewe ndiyo utakuwa Keki yangu mpenzi!!”
Maneno yake yalinifanya nidindishe bakora hadi ikauma!
Hisia zilikuwa Kali nikiwaza naenda kutafuna kitu ya mwarabu duhhh!!
Aliondoa gari mpaka tuliposhika barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuitafuta mitaa ya ohio kuitafuta Serena!!
Hakukuwa na Jam usiku ule tulifika tukapokelewa vizuri tukafanya utaratibu mwisho tukapewa chumba!!
Jamani nilishalala kwenye hotel ila hili bonge la hoteli!
Kuna binadamu wanakula maisha acheni bhana siyo wewe unajilalia kwenye vichochoro uko unajisifu!
Kuna watu wanalala pazuri wewe,yaani uzuri wa chumba ukiingia tu usipoangalia unakojoa!
Mwarabu alivua nguo zake nikamuona jinsi alivyoumbika yaani mpaka wakati huo sikujua kama ni lake au kanunua!
Niliinuka nikamsogelea nikamkumbatia kwa nyuma huku bakora iking’ang’ania kutoka kwenye suruali!!
“Noo!Erick tukaoge kwanzaaa!!”
Nilivua nguo zangu tukaingia bafuni ambako kulikuwa na jakuza kubwa tukaingia tukaanza kuogeshana taratibu!
“Erick!!”
“Naam!”
“Mi naogopa!”
“Unaogopa nini Maiyah?”
“Bakora yako Erick kubwa mno jamani!!”
“Hamna tutafanya taratibu mpenzi!!”
“Mmmhh!!”
Tuliogeshana huku tunapapasana,sikutaka kuanzisha shoo kule sababu zile shoo zinataka wazoefu siyo wanafunzi!!
Tulirudi mpaka kitandani nikamlaza kitandani Maiyah Ila kabla sijaanza kufanya lolote akaniambia!
“Erick subiri ninywe glasi moja kwanza ya Wine baba nitoe hofu naogopa mnooo!”
Alisimama akamimina glasi moja akanywa akatingisha kichwa kisha akanisogelea akanikumbatia!!!
“Hapa safi baba nyama yako hii utaichoma au utaikaanga!!”
“Napika supu mama napenda chuku chuku!”
Nilimjibu kisha tukaanza kudendeka huku mikono inatalii sehemu mbali mbali!
Kama kawaida ya mjuba nilimgusa kila pande kila Kona japo niligundua nikimgusa kwapani analegea haswaaa!!
Nilitembeza ulimi hapo mwarabu alikuwa amelowa balaa!
Pigo la mwisho nikaamua kuzamia baharini kuvua samaki chumvi wa baharini!
Nilikuta tayari bahari imemwaga maji haswa!
Bahari ilikuwa imelowa tepetepe,Ila haikunifanya nibweteke!
Mwarabu ni kama alijua kifuatacho alitanua miguu huku kule tayari kumpokea mgeni kabla ya mgeni rasmi!!
Nilishusha ulimi ukatua juu ya mashavu nikaanza kuideki bahari kama nalamba koni ya bakhresa!!
Hapo ndipo niliposikia kiarabu kinaimbwa jaamani!
Sikumbuki Ila niliskia nadhani anasema “Habibi sijui na nini jamani mniache siikumbuki!”🥴
Muda huo ulimi unadeki bahari nikapitisha kidole nikaanza kuisugua g spot ya mwarabu!!
Ghafla nilijikuta narukiwa na maji,mwarabu alikojoa kojo hilo kama mhaya kapigwa katerero!
Wajuba wanasema ajali kazini!ukipata ajali kazini siyo uache kazi unajitibu unachapa kazi!Jamani hapa kazi tu!😂😂.
Pamoja na yote hayo lakini alipofika mgeni rasmi ilikuwa patashika!!
Niliingiza kichwa tu nacho kilipita kwa tabu nikajiuliza!
“Hivi huyu alishawahi kufanya mapenzi kweli!!?”
“Eriiiiiick naumiaaaaa!!”
“Pole baby naweka taratibu eeh!!”
Nilianza kuingiza taratibu ikafika nusu japo ilibana sana!
“Hapoooo!hapooo!inatoshaaaa uuuuhhh!”
Nilianza kufanya taratibu ikawa inaachia huku mwarabu akianza kunipa ushirikiano wa kutosha!!
“Tamuu!Erickkk my cake fuck meee!!”
“Nakupenda Erick ooohhh!wewe ndo mme wangu!!”
Kadri muda ulivyozidi kwenda ndivyo wote tulijikuta tuanenjoy na tukaanza kuivuka mipaka tuliwekeana!
Mwisho nikaanza kuiweka karibu yote na akawa anaenjoi tu!!
Kuna muda nikamuona anataka kukojoa na Mimi muda huo wazungu wanagonga hodi!
Hamna raha na utamu wa mapenzi kama kumaliza wote acheni tu!
Yani mwenzako analia nyau nyau wewe unalia wuh wuhh!😂
Ndicho kilichotokea viuno viliongezeka kasi ikawa kubwa sana,mwarabu alilia sana alilalamika utamu umemkolea!
Katika hali hiyo hakukuwa na kupimiana tena niliweka yote mpaka mwisho!
Mwarabu akakojoa na Mimi nikakojoa Ila nilipomaliza nilishangaa mwenzangu hatikisiki!
Kafumba macho hajigusi na nilipoangalia bakora ilitoka na damu!
“Mamaa nimeua!!”
HAYA CHINGA ATAFANYA NINI?
MWARABU KAPATWA NA NIN?
Sehemu ya 22
Ilipoishia………Erick kafanya mapenzi na jimama la kiarabu lakini anashangaa mwarabu amefumba macho hajigusi!!
Songa nayo…..
Nilichanganyikiwa kabisa,nilimtikisa lakini hakuamka!
Kila nilichofanya hakujigusa Maiyah alikuwa hajielewi kabisa!!!
Mpaka muda huo sikujua kama ni mzima au amekufa!!!
“Duhh!!Sasa itakuwaje?”
Nilijiuliza muda huo pombe zimeisha naiwaza jela!
Nilimpepea lakini bado hakukuwa na mabadiliko yoyote!!
Nilisimama nikawaza nikimbie lakini ntaazaje Sasa na hotel Ina ulinzi mpaka camera korido zote!!
Nilienda kuchota maji nikarudi nikamwagia sikuamini Maiyah alikurupuka huku anahema kwa kasi!!
“Mmmh!mmmhhh!”
Nilisimama nikamuangalia kisha nikakaa pembeni ya kitanda!
“Mbona umenimwagia maji!!”
“We siulikufa hapo sijui umezimia dahh!!!”
“Mimi??nimezimia!!??”
“Usiniulize ivyo bhana Ina maana hukumbuki?”
“Erick nachokumbuka ni kuwa nilihisi utamu ambao sijausikiaga kabla yaani umenipa uta….!”
“Acha ngonjera Maiya unajua jinsi gani nimepata hofu yani!!”
“Erick niamini Sina tatizo na sijawahi kuwa hivi ila ukweli umenipa penzi zito mpenzi!”
Aliongea Maiyah huku ananisogelea!!
“Maiya usiniguse mi nimeishia hapa sifanyi tena mapenzi na wewe!!”
“Jamani Erick tuendelee ni bahati mbaya tu haitotokea tena!!”
Maiya aliongea huku anaishika bakora yangu Kisha bila kuuliza akaitia mdomoni akaanza kuinyonya!!
“Erick ntakupa chochote kile Ila sitaki kushea penzi langu na mtu,umenikuta leo nina hamu kweli!lakini nimekaa miaka mitano mi niko tayari nitakuzalia watoto uwatakao!!”
“Mmmhh!”
Maneno yake ni kama yalipita kushoto yakatokea kulia.
Mikono yake milaini iliyokuwa inanipapasa korodani zangu ilinisahaulisha tukio lililotokea muda si mrefu!!
Tukajikuta tunazama penzini tena kwa mara nyingine,huku safari hii muhindi akijitahidi kunionyesha njonjo zake ambazo hazikuwa za kutisha sana!!
Siku hiyo chinga nililala Serena hotel,hasikwambie mtu ukilala sehemu nzuri kama ile usingizi hauji kama hujazoea!!
Nilijikuta najigeuza geuza tu kama kambale topeni!
Nilihisi sijafaidi kipindi mwarabu amelala nikaamka nikaingia bafuni kwenye Jakuza nikaanza kuoga upya🥴🥴
Sasa unadhani haya madude nayaonaga kwenye filamu tu za kizungu ningefanyaje mimi!
Nilichukua simu nikajipiga picha nyingi nikawavimbie wajuba wenzangu,Abobo na Kessy!
************
“Nakuonaaaaaa Erick wa mijimamaaaaa!!”
Iyo ndiyo kauli ya kwanza ya Abobo baada ya kuniona!
“We boya nini yaani mi kutoka na jimama jana umeumia mbona we unabeba kila siku?”
“Ulikuwa unanicheka umeingia anga zanguuu saaaa hahahahaaaa!”
“Duh!Jana kumbe mlitoka nyie mbwa hamkunishirikisha?”
Alisema Kessy ambaye jana hatukumuambia!
“We boya nini siumeoa wewe!!?”
Alisema Abobo Kisha tukacheka!
“Nyie acheni zenu mi natulia na yule demu kwanza mkali halafu yuko fresh??”,alijitetea Kessy!
“Ona huyuuuu!yani demu mwiziiii unaoa subiri siku utarudi ukute ameiba nyumba kapeleka kwao!”
“Hahahahaaa!Abobo unazingua Sasa ataibaje nyumba ina msingi au atahamisha tofali moja moja!!”
“Afu mnazingua sasa nimeacha kununua mnanisema nilikuwa nanunua mnanisema acheni zenu bhana!!”
Alisema Kessy akionyesha kama kamaindi vile!
“Oyaaaaa!tulia we umeoa tuache mabachela kwanza,Niko na wewe Erick kwanini umeingia anga zangu kudadeki we siunapenda vislay queen?”
Alisema Abobo.
“Tulia wewe kwanza cheki picha hizo!”
Nilimpa simu akaanza kuangalia picha nilizopiga Serena hotel!
“Daaaaahh!mzee hapa duniani au mbinguni?”
“Hapo duniani Kaka tunaishi watu kama sisi!!”,nilimjibu Abobo ambaye alipagawa baada ya kuziona picha!!
“Oyah!Kessy njoo umuone huyu kenge anaoga kwenye mabafu ya kizungu!!”
Abobo alimuita Kessy akasogea wakaanza kuangalia wote zile picha!!
“Mmmh!Erick hapa wapi?”,aliuliza Kessy!
“Hapo marekani kwa Trump hapo kudadeki sitaki maswali!!”.
Niliwajibu huku naendelea zangu kupanga panga vitu kwenye banda langu!!
“Unazingua acha kamba marekani ulienda na ungo au?”,aliuliza Abobo.
“Hayo mtajua nyie hapo nishasema ni marekani!”
“Ivi marekani umeenda usiku unarudi asubuhi?”
“Mtajaza wenyewe acheni ushamba hapo Serena hotel!”
“SERENAAAA!!!!!??”,waliuliza wote kwa mshangao!!
Ghafla simu yangu ikaita wakanirudshia ilikuwa namba ngeni nikapokea!!
“Haloo!”,niliita.
“Haloo kijana!”,ilisikika sauti ya kiume upande wa pili.
“Nani mwenzangu!!”
“Hutakiwi kunijua ila naona Jana ulikuwa na mkewangu Serena hotel mmelala chumba namba therathini mmetoka saa nne na gari la mkewangu kakuacha magomeni na kakupa laki saba!!”
Nilishtuka miguu ikakosa nguvu nikaanza kutetemeka yaani kumbe Maiya ni mke wa mtu na aliniambia hajaolewa??
“Kijana!”
Aliita upande wa pili lakini nikatulia midomo ilikosa nguvu,nikakata simu kimoyomoyo nikajisemea!
“Nimeyakanyaga!!”
JE NINI KITAENDELEA?
ERICK ATAFANYAJE KUUKWEPA HUU MSALA??
Sehemu ya 23
Ilipoishia………Wakati Erick anatamba kwa kulala hotel ya nyota tano bila kujua aliyekuwa naye ni mtu hatari sana ambaye alikuwa anawafuatilia kwa kila kitu………
Songa nayo………
Nilikata simu nikashusha pumzi ndefu moyoni nikajisemea!
“Nimeyakanyaga!”
Tabasamu lilipotea ghafla hofu na huzuni ikatanda moyoni!
“Oyah!vipi taarifa ya msiba mwanangu au?”,aliniuliza Abobo!
“Bora msiba mwanangu!!”
“Ni nini?”
“Yule mwarabu mwanangu!”
“Kafanyaje tena anataka akupeleke urusi au saivi china?”
“Acha zako niko serious!”
“Sema ni nini tukusaidie!”
“Ni mke wa mtu kumbe mume wake kanipigia simu?”
“Whaaaaaat!!!”,alishtuka Abobo!
“Hahahahahahaaa!”,bora mimi na domo zege langu najinunulia napiga nasepa,nyie wenye digrii zenu za kutongoza!!”
Alitamba Kessy hapo hapo simu ikaita tena safari hii ilikuwa namba ya Maiya!
Niliipokea nikaiweka sikioni huku nikiwa na hofu kibao!!
“Erick kuna mjinga kakupigia simu,yule ni mpumba…!”
Sikutaka kusikia ngonjera nilikata simu nikaiweka blacklist kabisa!
Nikafuta picha zote nilizopiga huku kichwani najiuliza Maiya anapataje ujasiri wa kumuita mjinga mtu ambaye anajua kila kilichotokea kati yetu!!
Nikiwa na mawazo simu yangu iliingia meseji kutoka kwenye ile namba ngeni ya yule jamaa!!
‘ACHANA NA MKE WANGU, SITAKUFANYA CHOCHOTE SABABU KAKUDANGANYA HUJUI ILA SASA UNAJUA ACHANA NAE, NAJUA KILA KITU KUHUSU WEWE HADI HAPO ULIPO KARUME UNAUZA SINDIRIA NA NGUO ZA KIKE NA HAPO UMESIMAMA UMESHIKA SINDIRIA NYEUSI MKONONI!”
Nilishtuka nikaanza kuangaza huku na kule lakini sikuona kitu,sikuwa na amani siku ile!
Nilishinda kama zoba, furaha yote ilitoweka muda wote nilikuwa na wasiwasi!!
“Mzee wa Marekani vipi Leo unaenda South au Pakistan?”
Abobo kama kawaida akipata cha kutania basi hiyo siku nilishinda nataniwa tu muda wote!!
“We naye umezidi muache mshikaji hayuko sawa kama vipi na wewe ufate vitambulisho vyako!”
Alisema Kessy ambaye alisimama upande wangu!!
####
Siku hiyo nilifunga mapema nikarudi zangu nyumbani!!
Nilifika nikajitupia kwenye sofa nikiwa na mawazo mengi sana!
Usingizi ulinipitia nikaota ndoto nimetekwa na watu waliovalia nguo nyeusi na kuficha sura zao kisha wakanipeleka kusikojulikana.
Kule walikonipeleka nikakutana na mwanaume mmoja mwenye kitambi,ambaye bila kuuliza alisogea huku kashika bastola akaniambia!
“Sali sala zako za mwisho!!”
Nilitetemeka machozi yakanitiririka huku naomba msamaha!
Yule jamaa alinisogezea bastola akaniwekea mdomoni!
Nilishtuka nikafumbua macho yangu sikuamini!
Mbele yangu alisimama Aisha kumbe ndiye aliyekuwa ananibusu mdomoni hadi nikahisi bastola inanigusa mdomoni!!
“Aishaaa!!!”,niliita kwa mshtuko!!
“Vipi mpenzi mbona umeshtuka Sana?”
“U..u..meingiaje?ah!sorry umekuja sangapi?”
Nilisita kuuliza swali la kwanza sababu niliacha mlango wazi!!
“Erick hupokei simu zangu tangu siku ile hata meseji zangu jamani?”
“Lakini mi kosa langu nini?”
Nilimuuliza huku najiweka vizuri kwenye kochi!
“Kwahiyo huoni kama unakosea?”
“Nakosea nini?kumpigia mtu kuchati naye si ni dalili ya kumpenda?”
“Kwahiyo Erick unafuata maneno yangu?”
“Ndiyo ulisema nifanye kila kitu usinipende!”
“Umechelewa Erick nimeshakupenda tayari!!”
“Kwanini?”
“Kupenda hakunaga kwanini Erick kupenda kunakuja moja kwa moja,hakunaga sababu ya kupenda!!”
Alisema Aisha huku anavua nguo zake moja baada ya nyingine!!
“No!Aisha usivue nguo tafadhali siko sawa!!”
“Utakuwa tu sawa Erick,mwanaume rijali hawezi kutokuwa sawa kwenye hii sekta!!”
“Lakini so..!!”
“Shiiiiiiiiiiiii!”,alisema Aisha muda huo anamalizia kuvua chupi yake Kisha akanisogelea!
Akaunyanyua mkono wangu akaushikisha kwenye chuchu yake!!!
Kisha akainama akafungua suruli yangu akaitoa bakora akaitia mdomoni akaanza kuinyonya!!
Ila bakora Ina usaliti mkubwa sana,unaweza ukawa hutaki ila yenyewe tu ikasimama sijui lina nini hili jamaa!
Ndicho kilichotokea Aisha aliimumunya bakora yangu ikakaza!!
Kisha akanivua kabisa suruali yangu nikabaki na tisheti!!
“Erick nipe baba au nijipe mwenyewe!!”
Aliuliza Aisha alipoona sijamjibu akasimama akapanda juu ya kochi!
Akaishika bakora yangu akailengesha pangoni,kilipoingia kichwa akaanza kuikatikia taratibu mpaka ikazama yote!!
“Aaaasshiiiiiiiii!!Eriiiick tamuuuuuu!!”
Alilia Aisha huku anaupanda mnazi taratibu!
Utamu ulikolea nikaanza kumshika kiuno huku ushirikiano ukianza kutoka kila pande!!
“Nipe Erick usinibanie babaaa nipe vile viuno vyakooo mpenziiiiii!!”
Wakati ndiyo gari limeanza kushika kasi ghafla jirani akaingia!!!
Akanikuta mi nimekaa kwenye kochi Aisha yuko uchi kaukalia msumari!!
Wote tulishtuka ,jirani naye Alishtuka ila hakuondoka alibaki mlangoni kasimama huku anashangaa Sana!!!
JE JIRANI ATAFANYA NINI?
NA VIPI KUHUSU AISHA MIBANGE??
Sehemu ya 24
Ilipoishia…….Misala imemuandama Erick kila kukicha linakuja jipya,leo kafumaniwa na jirani unahisi nini kitatokea!!
Songa nayo ……
Aisha alimuona yule jirani ila hakusita aliendelea kuzungusha kiuno akionyesha wazi anakaribia kufika kileleni!
“Aaaaassshhhiiiiiii!!ooohhhhhhh!aaaaahhhhh!!!!!”
Alimaliza Kisha akatulia huku anahema kwa kasi!
Alichomoa bakora ambayo ilikuwa imevimba haswa!!
Muda wote huo jirani kasimama anaangalia tu!
Aisha alisimama akiwa uchi kisha akasogea mpaka mlangoni aliposimama jirani!
Alipofika hakumuongelesha alipitiliza mpaka mlangoni akaufunga Kisha akachomoa funguo!!
Aliporudi akakaa kwenye sofa akachukua mkoba wake akatoa bangi akawasha akaanza kuvuta huku anapuliza moshi juu!!
Hapo ndipo nilimuona jirani anashtuka akaanza kushika kitasa mlango haufunguki!!
“Erick nifungulie nitoke!!”
Nilinyamaza kimya sikumjibu kitu,Sasa ananiombaje funguo na wakati anaona aliyefunga mlango mwingine!!
“Erick nifungulie!”
“We mbwa sitaki kelele,njoo ukae hapa!”
Alisema Aisha kibabe nikamuona jirani anavyotetemeka muda huo nausoma mchezo!!
“Njoo ukaeeeee!!”,alipaza sauti jirani akakimbilia kwenye sofa nililokuwa nimekaa akanikumbatia huku anatetemeka!
“Nimesema ukae hapo siyo hapo!!”
“Nenda kule!’,nilisema huku nikiwa na wasiwasi kiasi nikiamini wale ni wanawake hawatanishinda kwanza sijaoa Mimi!
Katika hali ambayo sikuitarajia Aisha aliingia kwenye mkoba wake akatoa bastola!
Nilitumbua macho kama nataka kukata roho,sikutegemea na wala sikuwa najua kama Aisha anamiliki bastola!!
“Dada nisamehe nimekosea mlango mi kweli huyu simjui kabisa samahani niruhusu niende!!”
Alisema jirani huku amepiga magoti anatetemeka haswa!
Aisha alikuwa kaziba maskio anavuta zake bangi!!
“Erick kwanini unachezea wanawake?”
Aliniuliza Aisha nikashindwa cha kujibu nikabaki natetemeka tu kwa woga,ujasiri ulinikimbia mbele ya bastola!!
“Dada ondoka toka humu ndani”
Alisema Aisha akamtupia jirani ufunguo akakimbilia mlangoni akaufunga mlango huku anatetemeka kwa hofu haamini kama kaachiwa!!
Ulipofunguka alitoka mbio haswa akaniachia msala nahangaika nao peke yangu!!!
“Erick wewe ni Malaya!!”
“Ha.aha..haaamna!”
“Usinibishie wewe ni Malaya!”
“Lakini Aisha si…….!”
“Shut up Erick!!!!!”
Alipayuka Aisha ikabidi ninyamaze kimya nisubiri kifuatacho kama ni ya kichwa au mguu!!
Alipomaliza kuvuta bangi yake akasimama kuna mfuko alikuwa amekuja nao akauchukua!
Akanirushia mfuko mmoja ulikuwa na chakula ndani!
“Kula we malaya leo nikuue ukiwa umeshiba!!”
Alisema Aisha akaanza kula chakula chake!
Zilikuwa ni chipsi na kuku na ndizi choma!
Sikuwa na hamu ya kula kabisa bastola ilinikata stimu zote!
“Unakula au nikuue ukaonane na yesu ukiwa na njaa?”
Alisema Aisha akaninyooshea bastola yake akaikoki nilihisi mavi yanapita!!
“Nakula!nakula usiniueeee!!”
Nilianza kula japo sikuwa na hamu Ila ndiyo ivyo kula na kufa bora nini?
Muda ule nilikuwa radhi kunywa maji pipa Zima kuliko kufa!
Nilikula nikamaliza kisha Aisha akachukua pombe kali na glasi yake akaanza kunywa!!
“Kukuambia usinipende ndiyo fursa ya kunichanganya na vigagula?”
Aliongea lakini sikumjibu,kwa muda huu kimya ni bora kuliko kusema!
“Unanionaje Erick?mi ni mbaya?nafanana na hicho kiswaswadu?au kwa vile navuta bangi??”
“Siyo ivyo Aisha….!”
“Shiiiiiiiiihhh!kaa kimya Erick!!”
“Nisamehe Ai….!”
“Kaa kimya Erick nimekupa penzi langu,tena juzi umenit*mb* kwangu bila kondomu,leo nimefanya bila kondomu nasema unaaminika kumbe mbwa?”
Aisha aliongea kwa uchungu machozi yakimtiririka!
Nilitamani kuamka nimshike lakini kila nikijaribu ananikataza!
“Usinisogelee mbwa wewe, mwanaume mchafu unataka kuniua au??”
“Hapana!”
“Erick nakuua kabla hujaniua we ni mshenzi sana!!”
Aisha Sasa alininyooshea bastola huku akionekana yuko serious!!
“Erick sali sala za mwisho!!”
“Aishaa nategemewa mamaangu nina mama na wadogo zangu wananiangalia mimi huko kijijini!!”
Nilijaribu kujitetea machozi yakifunika macho yangu kujaribu kuiomba huruma ya Aisha!!
Aisha alisogea nilipokuwa nimekaa akasogeza bastola mpaka kwenye uume wangu akasema!
“Hii ndiyo inakupa kiburi Sasa tuone utafanyia nini umalaya!”
Aisha alikoki bastola muda huo nikafumba macho nikiisubiri hatima yangu!!!
JE UNAHISI NINI KITAENDELEA?
AISHA ATAIDUNGUA BAKORA YA ERICK?
ATATAMBIA NINI MJINI?
Sehemu ya 25
Ilipoishia………Erick kayakanyaga bakora yake iko mashakani Aisha anataka kuipiga risasi!!
Songa nayo……..
Nilitetemeka muda ule sikuwa na la kusema zaidi ya kusubiri muujiza!!
Bastola ilikuwa kwenye bakora yangu Aisha anataka kuipiga risasi!!
Nilifumba macho yangu kiukweli nilijibana tu ningeshajinyea,mishuzi ilinitoka kama nini!!
Nilishtuka baada kumskia Aisha analia kwa kwikwi!
Nilifumbua macho sikuamini,Aisha alikuwa kwenye kochi amekaa bastola yake iko mezani analia kwa maumivu yalichanganyikana na hasira!!!
Hamna nafasi nilikuwa naisubiri kama ile,nilisimama nikamsogelea nikamkumbatia Aisha ambaye alikuwa analia kwa kwikwi!
“Erick nimekukosea nini?”
“Hapana Aisha huyo mwanamke mimi nilikuwa naye zamani kabla yako!!”
Kama kawaida mjuba ukimpa nafasi lazima atusue.
“Siyo kweli Erick hawezi kuingia bila hodi humuuu!”
“Hapana mpenzi wangu,yule ananisumbuaga hivi hivi mi nilishamuachaga zamani!!”
“Hapana Erick ndiyo maana hupokei simu zangu!!”
“Hapana mpenzi!!”
Nilifanya kila njia nikatoa hadi machozi bandia kumfanya Aisha aniamini!!
Mwisho baada ya kuona ametulia analia hasemi kitu nilianza kumpapasa taratibu!!
Aisha alikurupuka akaaniuliza…
“Yani Erick na yote uliyofanya bado unataka kunitia?”
“Aisha wewe ni mpenzi wangu!!”
“Kwani unanipenda Erick?”
“Ndiyo nakupenda!”
“Kweli??”
“Ndiyo nakupenda Aisha!!”
Aisha alisimama akawasha bangi yake akaanza kuvuta kidogo hali ya hewa ikawa imetulia!
Alipomaliza kuvuta bangi yake akanishika mkono akaniongoza mpaka chumbani!
Alipofika alinisukuma kitandani akaniambia!!
“Erick hakuna tena usaliti siku nyingine sitakusamehe!!”
Aliposema hivyo akanirukia tukaanza kupapasana!
Sikuamini kama Aisha yule aliyenishikia bastola ndiye huyu nayempapasa tena kitandani!
Hapo ndipo nikaamini usiuingilie ugomvi wa mtu na mpenzi wake utaumbuka tu!!!
“Nit*mb* Erick!!”
“Nakupa mpenzi usinishikie tena bastola basiiii!!”
“Usinisaliti babaaa naumiaaaa!”
“Sawa mpenzi!”
“Oohhh!!Erick taratibu utanitoa kizaziiiii uuuuhhhaaaahh!”
“Pole mpenziiiii!”
“Nipe mimba Erick aaahhh nipe miiiiimbaaaaa aaahhhhshiiiiii!!”
Siku hiyo ilipita japo kwa misukosuko kulikucha huku nikiwa siamini kama nimeliona jua tena!!!
Siku hiyo sikwenda kazini niliamka nikakuta Aisha amenipikia supu na chapati za mayai!!
“Hauendi kazini?”,aliniuliza.
“Siendi popote nashinda na wewe leo!”
“Okay Karibu supu maana siyo kwa mechi za jana!
“Hahahahaha!zimekuwaje!”
“Unajua bhana!”
Siku hiyo sikutaka kwenda kazini bado sikuwa na imani maana Mambo ya Maiya na mume wake yalinipa mawazo sana kila nikifikria!!
***************
***””””*””
Nilienda kazini kesho yake nikawakuta washikaji zangu Abobo na Kessy!
Nilipowaangalia tu niligundua hawapo sawa!!
“Oya inakuwaje masela!!”
“Safi tu!,aliitikia Abobo Kessy alikuwa kimya kainamisha kichwa chini!!
“Vipi mbona mko hivi?”
“Tayari!”,alijibu Abobo!
“Tayari nini tena?”
“Mshikaji karudi kamkuta yule demu kaondoka na kila kitu hadi vijiko,yani nahisi ile nyumba angeweza nayo angeibeba!!!”
Yani nyumba nyeupe kama mpya yani”
“Duuuuuuuuuuuuuuuhhhh!!”
“Ndiyo ivyo!!”
“Dahhh!pole mwanangu dah!”,nilimpa pole Kessy ila hakuitikia!!
“Lakini tulimwambia huyu mwamba mbishi sijui aliona wapi shetani akawa malaika!!”
Alisema Abobo kwa hasira huku machozi yanamlenga!!
“Siyo muda wa kulaumiana huu vipi Kessy alikupeleka kwao?”
Kessy alitingishwa kichwa kumaanisha hajui Saida anaishi wapi!!
Nilikaa chini sikuwa na nguvu hata ya kufungua banda langu!
Maana nikipiga hesabu Kessy alivyokuwa amejipanga kwa kujaza vitu ndani ilikuwa balaa!
Siku hiyo tulifanya kazi bila uchangamfu yani tulikuwepo tu kama kutimiza wajibu!!
Tulipofunga tuliamua kuondoka pamoja tukaenda kulewa tu maana msiba wa rafiki ni kama msiba wako!!
Tulitoka tukaenda bar ya kawaida tu tukaanza kuagiza mizinga tukanywa ila kabla muda haujaenda sana mi nilihisi haja ndogo!
Nikaingia msalani kule nilikojoa kisha Ila wakati nafunga zipu nilishangaa naguswa na kitu kama chuma mgongoni!
“Tulia ivyo ivyo ukipiga kelele nakuua na ukileta ubishi nakuua ongoza nje mpaka kwenye maegesho ya magari!!”
Nilitetemeka haswa nilijiona sina bahati maana Jana nimenusurika na bastola eti leo nakutana na bastola tena!!
Niliongoza taratibu mpaka nje kwenye maegesho ya magari!!
“Sogea kwenye hiyo Prado nyeusi!!”
Nilisogea mlango ukafunguliwa kisha safari ikaanza!!
“Mnanipeleka wapi??”
“Hatutaki kelele!!”
Mwisho wa Season One
USIKOSE SEASON TWO