Clickable WP Image
JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

KWA HERI DARESALAMA

Kisolo cha 31

TULIPOISHIA KWENYE KISOLO CHA THELATHINI

 “Honey niachie niende nyumbani nachelewa” alisema

“Nibusu tu tafadhali” nilisema lakini binti alifumba macho alikuwa ananionea aibu kama kawaida yake.

Sikujali niliushusha mdomo wangu nikaugonganisha na wa kwake nikaona bila hiyana ameupokea, niliunyonya taratibu huku nikisikia raha.

ENDELEA KISOLO CHA 31

Niliinyanyua sketi ya binti nikashangaa ametulia nikapanua mapaja nikajiingiza katikati, nilipoingia katikati niliona binti amenipanulia nikamsukuma tukapanda vizuri kitandani. Nilimpapasa kwa hisia sikuamini kama angeweza kuwa karibu na mimi kwa kujiamini vile.

Nilimchezea nikaona amelegea lege lege hapo nikampanua na kuanza kucheza juu ya taiti mtoto anahema kwa hisia nikajua mwili wake tayari umeshahitaji dozi siku mingi. Nilipomtazama alikuwa amefumba macho mdomo kauachama kwa hisia yaani muda wote anawaza tu itaingia saa ngapi

Bado nilikuwa na wasiwasi maana nilikuwa namuona kama binti fulani hivi anayejiheshimu, nilipiga magoti kitandani na kujaribu kumtazama kunako, akanionea aibu akajifunika uso kwa shuka lililokuwa kitandani mwangu, niliishika taiti nikajua atanizuia lakini cha kushangaza alinyanyua kiuno na kuniacha nikaivua ile tight huku nikiishika kwa pamoja na chupi.

“Asssh” alisema binti navyomuangalia hivi katikati ya paja kuna tunda lililoumbwa vyema, likapigwa wembe likang’aa halafu ananukia marashi hakika nilijikuta navua fulana yangu nikaitupa kule halafu nikaivua suruali nikautoa mjegeje wangu na kupanda tena kwa bedi

Nilizama katikati ya mapaja nikaona mtoto ameanza kuhema kwa mara nyingine, ndipo nikupeleka mjegeje kwenyewe nikapagusa kwa kichwa. Aziza alitupa shuka pembeni akanivuta na kunikumbatia kwa nguvu, sikuamini mi nilijua ni bikira yule binti lakini nilipoweka kichwa alinyanyua kiuno chake juu ikaingia yote mpaka mwisho.

“Aaaaaaauwiiiii aaaasssssssh beiiiby….taaam” alisema Aziza halafu akanipa busu la mate mdomoni tukanyonyana taratiiibu nikasikia mtoto wa kike ameifinyia kwa ndani, oh Mungu wangu nilisisimka mwili wote ulitetemeka sikuwahi kusikia utamu kama ule kabla.

Niliiachomoa halafu nikamtazama mtoto amelegea na nilipoitoa aliendelea kujitekenya mwenyewe kwa vidole vyake, ikabidi niirudishe nikachochea paap paap paap nikasikia amepiga kelele “Auuuuuwiiiiii ash mume wangu” nikasikia utamu zaidi.

Nilimtandika kwa muda mpaka akaanza kunena kwa lugha…. “Aooo aghafalitooo….shoshiiimbiii aghafalitooo” haya maneno yalinifanya nikashtuka na kuichomoa

“Baby pleeeeaseee chomekaa aah” alisema mtoto wa kike nikaichomeka na kuchochea tena “Lemboo…una….dude tamu….aash una utamu nambie nikupe chochote kingine unachotaka…..sema chochote mpenzi nitakupa”

Sikumuelewa mtoto Aziza ana maana gani mimi nilielewa tu ni utamu wa kutandikwa ndo umemsumbua akawa analalama hivyo. Sikuhangaika naye niliendelea kumbinua binua, ghafla alinizungusha nikalala chini naye kaja juu kaikalia akaanza kuhangaika nayo

Nilishindwa kufika haraka kileleni kwa sababu nilikuwa namshangaa Aziza yule mwenye aibu ndo ana miujiza kitandani hivi? Alinikatikia nikakojoa mule mule ndani bila kujali.

Baada ya kufika tulipumzika akachukua ile fulana niliyovua muda si mrefu halafu akajifutia na kuniuliza “Umeinjoy?” nikatikisa kichwa kwa ishara kwamba nimeinjoy

Kumbe bwana Aziza alikuwa ni mtaalamu wa haya mambo na kila aliponionea aibu alikuwa akiigiza tu, niliamini hili pale nilipoona hili tukio linalofuata.

Baada ya dakika moja Aziza alinilaza chali kitandani halafu akaanza kuichezea, aliichezea muda mrefu halafu akaizamisha mdomoni akaimung’unya ikasimama yenyewe bila kutarajia.

Baada ya kuhakikisha imesimama vizuri, Aziza alivua nguo zote alizokuwa amebaki nazo halafu akaniambia nishuke kitandani anibong’olee kwa nyuma. Ni kweli nilifanya hivyo Aziza akapiga magoti kitandani akaniachia yote nyuma nikaupaka mate mpini halafu nikaumalizia kunako woteee….ulipoingia alibinuka na kuanza kulizungusha.

Amelizungusha akazungusha akazungusha mara ikachomoka. Ilipochomoka aliwahi kabla sijaishika akaishika yeye halafu akaniambia “Baby fumba macho”

“Kwanini?” nilimuuliza akacheka kidogo halafu akajilengesha, alipojilengeshea nilishangaa ni kugumu, nikatazama hivi ni kule kwingine na tayari imeshinangia robo halafu anapiga kelele vibaya mno tena anaikatikia tayari

“Asssh…mume wangu huku ndo kwenyewe,,,, ni kutamu aaaash” alisema nilipoona ni barabara nyingine nilishtuka na kuchomoa nikamshangaa kwanza

“Aziza!!! Ni wewe au naota?” nilimuuliza

“Chomeka bhasi” alisema mtoto wa kike nikashangaa……….ASTAGFIRULLAH WALLAH…….OHOO KUMBE!!!!

Kisolo cha 32

“Hapana…huko sitaki mimi” nilisema kwa hasira

Aziza aliketi kitandani akanishangaa kwa sekunde kama 10 hivi halafu akaniuliza “Hivi wewe ni mtu wa wapi? Mbona mshamba hivi? Kheeee” alinishangaa kabisa kwamba kumbe mimi ni mshamba sijaujua mji vizuri.

“Mh” niliguna kwa mshangao maana mimi namshangaa kaharibika halafu yeye ananishangaa mimi ni mshamba.

“Wenzako hii tunawauzia kwa bei kubwa wewe unapewa bure unaringa? Mh wewe mtu wa hovyo kwa kweli” alisema binti yule nikazidi kushangaa…kumbe Aziza wa aibu aibu ni mtu hatari sana

“We mjinga kweli” Aziza alisema na kuingia bafuni akajisafisha na kuja akavaa kwa hasira, baada ya kuvaa alishika begi lake na kuniambia “Haya nipe hela yangu” nikamshangaa “Hela gani tena?”

“Nipe hela kwa hiyo umenila bure?” aliniuliza

“Dooh kwani tuli….”

“Nitapiga kelele nipe hela” alisema mtoto wa kike ndio nikaogopa zaidi, huyu ni wa pili kunitishia kwamba atapiga kelele kisa sijampa hela, wa kwanza alikuwa ni Lina kale ka mwanafunzi.

Nilikoma ndio nikamuuliza “Shilingi ngapi?”

“Elfu hamsini” alisema

“Elfu hamsini????” niliuliza kwa mshangao pesa ni nyingi sana hiyo

“Heee….pesa ndogo tu wewe si umeringa ningekupa bure”

“Aaaah Aziza hatukupanga hivi, mi nilipanga tuoane sio uniuzie”

“Nani kakuambia anataka kuolewa?” aliniuliza na kuichukua suruali yangu akai-sachi na kutoa simu yangu “Haya basi ukipata hela utakuja kuchukua simu yako”

“Mama…wee basi sawa ngoja nikupe hela yako” nilisema kwa uoga

“Haraka, nishachelewa nyumbani” alisema

Daah ilibidi niingie kwenye begi nikatoa shilingi elfu hamsini nikampa halafu nikamuaga huku nikiuahidi moyo wangu kwamba hii Daresalama sio sehemu ya kutafuta mke hapa ni kuzini tu na kurudi Shinyanga kuwachukua kina Caren.

Nikiwa kwenye mawazo yale nilijisemea moyoni kwamba haitatokea tena mimi kumuamini mtu kabisa, yaani usikijadili kitabu kwa kuangalia jalada lake, soma ndani ukielewe.

Nilioga nikalala huku roho ikiniuma, kuna simu fifi kibao za mama Asha maana niliweka simu isitoe sauti ili michepuko mingine isije ikaniharibia kwa Aziza maana niliamini ndiye wife material kumbe hakuna kitu, hakika niliumia sana.

Mama Asha alishanitumia jumbe nyingi za hasira sana akilalamika “Uko na mwanamke ndio maana haujibu simu wala jumbe zangu, sawa tu sawa…..”

Nilikausha kimya kimya nikiamini kesho yake nitajua cha kumdanganya.

*******

Kesho yake, asubuhi niliamka kama kawaida nikaicheki simu ni saa mbili na robo, kulikuwa na jumbe mbili za Aziza

“Baby”

“Nisamehe jana nilipaniki sijui hata nilikuwaje”

Nilichokifanya nilimzuia ili akiwa ananipigia simu akute natumika muda wote. Nikasonya kwanza, maana mi sikutarajia kama atakuwa mwanamke malaya kiasi kile.

Niliamka na kujiandaa kwa ajili ya kwenda kule saluni, nilijua kuna jambo la muhimu sana la kumdanganya mama Asha maana alishanipigia simu jana yake nikawa sipokei wakati nilipokuwa na Aziza.

Nilipanda gari halafu nikaenda mpaka Magomeni, ilikuwa ni mida ya saa tatu na nusu asubuhi, siku ile niliwakuta kina Lucy, Fetty na rafiki yao mmoja ambaye alikuwa ni jirani ila sio msusi pale saluni kwetu. Muda huo mama Asha hakuwepo bado.

Niliwasalimia nikaingia ndani, na kuketi kwenye kiti fulani halafu nikawa nachezea simu. Ghafla Lucy akaingia.

“Mambo” aliniuliza

“Safi vipi?” nilimuuliza mtoto wa kike

“Poa” alisema na kuketi kando yangu halafu akaniuliza “Umeshakunywa supu?” alionekana amashanielewa yule msichana, sasa mimi sikukawiza nilipomtazama machoni nilijikuta moja kwa moja ……….

HIVI HUYU LUCY ANA NINI?

Kisolo cha 33

“Ukiachana na mambo ya supu, unajua kwamba una macho mazuri sana?” nilimuuliza

“Mh, ushaanza mambo yako…..vipi twende ukaninunulie supu basi” aliniambia

“Hapana, nijibu kwanza halafu twende”

“Twende ntakujibia huko huko” alisema mtoto wa kike

“okay twenzetu” Nilisema kwa furaha halafu nikainuka maana mwenyewe nilikuwa sijanywa chai bado

Tulitembea mpaka kule mgahawani tukaagiza vyombo halafu tukaanza kupiga huku tukiendelea na story mbili tatu

“Vipi leo jioni utakuwa wapi?” nilimuuliza

“Nitakuwa tu nyumbani kwani vipi” Lucy alinijibu

“Ninatamani jioni uje utembee kule mtaani kwetu” nilisema kwa hisia

“Mmmmh…” aliguna mtoto wa kike na kunifanya nikapata mshawasha

“Unaguna nini…si uje..upajue tu hatutafanya chochote”

“Kweli?”

“Ndio….japo najua jogoo lazima atataka lakini nitavumilia”

“Ahahaha….na mwenyewe anavyoonekana ana hasira”

“Ulimuona wapi?”

“Hahaha…si uliamua kujipiga picha mwenyewe niliushuhudia ni mashine kweli ila basi sawa tutaongea jioni halafu nitakujibu”

“Sawa” nilisema

Tulipomaliza kunywa supu tuliondoka na tulipofika pale saluni tulimkuta mama Asha hasira zimemfura akanitazama na kumtazama Lucy halafu akaingia ndani.

Niliogopa maana nilijua ameshamaindi kuhusiana na Lucy lakini nilipobaki nje alinitumia ujumbe akaniambia “NJOO HUKU NDANI KUNA KITU TUZUNGUMZE”

Nilivuta pumzi kwanza halafu nikaingia ndani na kumkuta ameketi kwenye sofa akaniangalia kwa muda halafu akaikusanya mikono kifuani ana hasira sana.

Kwa sauti ndogo tu aliniuliza “Umetoka wapi na Luciana?”

“Ah tulitoka kunywa supu kule mbele kwa Shabani”

“Anhaa…siku hizi mnaenda pamoja ee?”

“Hamna leo nilisema ninahisi njaa akaniambia tu tuende wote”

Mama Asha alivuta pumzi ndefu halafu akaniambia “Basi sawa…” tulitazamana kwa muda halafu akanipachika swali “Jana usiku ulikuwa na nani?” alisema na kunitazama juu mpaka chini.

Nilipata kigugumizi cha ghafla halafu nikamjibu “sikuwa na mtu”

“Okay simu ulitupa wapi?” aliniuliza

“Ilikuwa silent”

“Kwanini iwe silent?” aliniuliza

“Ah, niliiweka kwa bahati mbaya nikasahau”

Mama Asha alinitazama, alijua kabisa kwamba namdanganya, ikabidi niombe msamaha “Nisamehe mpenzi” nilisema kwa sauti ndogo

“We endelea tu, ila nahisi sasa ushakuwa mjanja wa mji” alisema na kusimama

“Hapana sio hivyo”

“Okay sawa” alisema na kutoka nje, nilijua nachezea bahati lakini niliamini atanisamehe tu, mimi ni kijana yeye ni mke wa mtu, najua sitoweza kumuoa, mwisho wa siku nitahitaji mke, sitoweza kumuoa yeye katika maisha yangu yote.

Nilibaki pale nikafanya kazi zangu za kila siku halafu baadaye jioni niliondoka bila hata kuwaaga maana nilikuwa nishaanza kupata stress za jiji.

Nikiwa nyumbani usiku kama saa tatu hivi nilipokea ujumbe kutoka kwa Lucy na alikuwa ananiuliza hivi “Uko wapi mbona umeondoka bila kutuaga?”

Nikamjibu “Samahani, kuna jambo lilinivuruga, nambie”

“Niko hapa maeneo ya Ubungo nije?” aliniuliza

“Oh ulitaka kuja?”

“Ndio nilitaka nije nipaone kwako tu” aliniambia nikajua huyu anataka kuja kunionja tu sio kingine.

Mimi ni nani hadi nikatae hiyo ofa ya utamu? Nilimruhusu “Njoo kama vipi mimi nipo home tu”

“Sawa, nishuke wapi?”

“Tabata Kimanga”

“Pouwah”

Niliendelea na simu yangu kwanza siku hiyo nilijiunga TikTok na nilikuwa naangalia vituko mwanzo mwisho.

Baadaye kama baada ya nusu saa alinipigia simu akaniambia kwamba amekwishafika maeneo ya Kimanga kama nilivyomueleza.

Nilimuambia anisubiri hivyo nikatoka na kumfuata barabarani, nilipomchukua nilimuuliza “Nikuchukulie kiepe au?”

“Ndio ila chukua kiepe kikavu maana mimi sipendi mayai” aliponijibu nilijua tu huyo uharaka wake ni kwenda kutafunwa tu sio kwamba hapendi mayai, maana mara kibao nilikuwa nikimuona akila kiepe mayai pale kazini……HAYA TENA SASA, KAWA MWENYEJI KABISAAA!!! TUSUBIRI ITAKAVYOKUWA KWENYE K34

Kisolo cha 34

Nilimuagizia kiepe kavu na soda ambayo nilijua kuwa anaipenda, Mirinda nyeusi, baada ya hapo tulienda mpaka nyumbani. Tulipofika nyumbani nilimsogezea stuli akaanza kula vizuri.

Mimi niliketi kitandani na binti aliketi kwenye sofa maana kasofa kalikuwa ka mtu mmoja tu.

“Mbona wewe hauli halafu umekaa huko mbali hivyo?” aliniuliza Lucy

“Mh….nimeshiba tayari….we kula tu”

“Mi sitaki” alianza kunidekea laiti angenijua vizuri

“Sasa hapo nitakaa wapi?” nilimuuliza

“Mh” binti alisema huku akiangalia sehemu ya mimi kukaa. Alipothibitisha kwamba pale kwenye sofa hatuwezi kukaa kwa pamoja, Lucy aliinuka na kuja kuketi kando yangu kitandani. Alipoketi tu akasogeza stuli na kuendelea kula viepe

Wakati anakula kiepe alinyanyua vipande kadhaa vya viazi halafu akanilisha kwa kutumia vijiti maalum vya kuchokonolea meno maarufu kama ‘stiki’

Nilitafuna kwa sekunde kadhaa eti anajifanya ana mahaba akachukua soda na kutaka kuninywesha nikagoma “Hapana bwana mimi nimeshiba” nilisema ila binti akanilazimisha

“Mi sitaki, mpaka unywe” alisema mtoto wa kike

“Haya ninyweshe basi” nilisema

Lucy alinyanyua chupa na kuninywesha soda nikanywa taratibu halafu nikaegesha mkono wangu begani mwake. Kutokana na ule ukaribu tulitazamana nikachukua kiepe na kuweka mdomoni mwangu halafu nikampelekea mdomoni akapokea.

Badala apokee kiepe tu aliunganisha na mate humo humo tukanyonyana kwa dakika nzima nikaona mtoto wa watu kaanza kulegea legelege na kunilalia mapajani. Hadi muda ule, joka langu limeshasimama muda na hata kupelekea binti kulisikia halafu alivyo na makusudi aliegesha mkono juu yake halafu akawa amefumba macho anajifanya anataka kusinzia

Nikiwa nafikiria nichukue hatua gani nilisikia amenyanyua kichwa chake halafu halafu akaanza kuifungua suruali yangu na kuanza kuchokoza kilichoko ndani. Lucy alipoipata hivi, moja kwa moja aliitumbukiza mdomoni na kuanza kuimung’unya taratiiibu.

Baada ya kuinyonya kwa muda mrefu aliiachia na kunitazama mimi niko hoi nawaza tu lile shimo takatifu lakini lililojaza dhambi duniani.

Luciana alisimama akavua nguo zake na kubaki na chupi, kiunoni alijaza shanga za kutosha, halafu akanivamia na kunilaza chali halafu akanipanda juu. Hajavua nguo ya ndani wala mimi sijavua nguo zangu lakini binti alinikatikia huku akilamba masikio yangu taratiibu.

Nilijisikia burudani na alipoona nimechanganyikiwa aliniinua akanivua fulana yangu halafu halafu akanilaza tena na kunivua nguo zangu za chini zote.

“Kwa hiyo sasa?” aliniuliza

“Nini”

“Simama nikuchumue tembele” alisema mtoto Lucy, na mimi sikuwa na kipingamizi chochote niliinuka haraka halafu naye akainama akakishika kitanda.

Niliishisusha nguo yake ya ndani halafu nikaupaka mjeledi mate kisha nikaupeleka mule kunakotakiwa, kulikuwa kumelowa tepetepe, haikusita alijiinua kidogo tu nikasikia ikigusa kunako nikasikia binti amepiga kelele “Aaaaaah” nikajua imeshamfika

Lucy alianza kuikatikia taratibu na mimi mikono yangu nikashika kiunoni nahangaika na shanga zake alizozijaza pale za rangi tofauti tofauti, eh bwana kumbe mlango sikuukaza na ufunguo, nilishangaa mlango umefunguliwa voop halafu aliingia mama Asha.

Nilipomtazama hivi usoni naye ameduwaa, anashangaa amenikutana na Lucy yaani hata kimoja hatujafika ameshatufuma

“Lembooo!!!!!!” alisema kwa mshangao huku akishika kiuno

Lucy aliogopa na kujirusha pembeni ili mama asimuone usoni lakini alikuwa ameshaonekana muda nikasikia “LUCIAAAANAA!!!!”

Kisolo cha 35

“Mama…Ash…” Nilisema

“Usiniite mama, mimi sio mama yako” aliongea kwa hasira huku akisogea karibu na kututazama “Ina maana umeamua kunifanyia hivi Lembo???” aliniuliza “Lucy umeamua kutembea na Lembo kweli wakati nilishakuambia kila kitu?” mama Asha alisema kwa hasira sana huku machozi yakimlenga lenga

“Nisamehe mama Asha, bado tulikuwa hatujaf…..”

“Hamjafanya chochote wakati nimewakuta mmebinuana? Eee? Hivi Lembo kwanini lakini? Kitu gani mimi sikupatii katika maisha yangu? Mbona umeamua kunifanyia hivi? Yaani daah” alisema kwa uchungu na kushika hatua akatoka nje “Lakini Lembo sawa tu…..Kumbe ndo maana mlipelekana kwenye supu asubuhi asubuhi ee” alisema mwanamke yule kwa hasira.

Hata hivyo mama Asha alitoka kwenye chumba change akaniacha mi na Lucy nimeshashindwa kuelewa nifanye nini. Mashine imeshalala hakuna hamu tena.

“Ameondoka?” Lucy aliuliza lakini sikuweza hata kumjibu swali lake

Nilimuambia “Vaa nguo uondoke ushaniharibia” nilisema bila kuzingatia naye anaweza akafukuzwa kazi maana naye pia alikuwa akifanya kazi pale pale kwa mama Asha.

Lucy alivaa nguo, yaani hata nilikuwa sijamfaidi tukafumwa na utamu ukakatikia pale pale. Lucy aliondoka zake na kuniacha nikiwa nawaza nimeshaharibu pakubwa.

Nilitoka nje nikamkuta mama Asha ameketi kwenye madumu ya jirani yangu mmoja hivi halafu analia kwa kwikwi. Nilishtuka maana nilidhani ameshaondoka, ikabidi nimfuate na kumpigia magoti pale pale nje, ila majirani wengine walikuwa wameshalala

“Naomba unisamehe mpenzi, ni shetani tu alinipitia” nilisema

“Shetani gani? Hivi kweli mimi ndo unanifanyia hivyo? Unatembea kweli na mfanyakazi wangu? Imeniuma sana…imeniuma sana Lembo”

“Ndo maana nikaomba msamaha” nilisema na kumshika kwenye mapaja

“Niachieee unanigusa nini?” aliniuliza huku akiupiga mkono wangu “We mwanaume malaya haijalishi unapewa nini, kumbe ndo maana unaniwekea simu silent kisa upo na wanawake wako” aliniambia

“Samahani”

“Toka hapa” aliniambia halafu akanyanyuka akachukua mkoba wake na kuanza kuondoka

“Babe” nilimuita

“Usiniite babe….na nakuambia hivi utanikumbuka Lembo”

Mama Asha aliondoka zake na kuniacha katika msongo mkubwa wa mawazo sikujua nifanye nini, ni kweli bado nilihitaji msaada wake lakini nilikuwa nikimsaliti mara kwa mara. Sikujua nitumie njia gani niweze kumuweka sawa.

Nilirudi ndani nikaangalia kama nina pesa za kutosha kujikimu, nilipofungua begi nikaangalia nina kiasi cha shilingi laki nne na shillingi elfu kumi, nakumbuka mwanzo zilikuwa ni laki tano lakini hao malaya ninaowaleta ndani wamezipunguza punguza.

Nilichukua shilingi elfu kumi halafu laki nne nikairudhisha kwenye begi nikapanga kwamba kama likitokea lolote basi hiyo ndo nitatumia kuanzia misha pale mjini. Nilipumzika kwa mawazo mpaka ilipofika asubuhi.

Nilipoamka nilikutana na message ya mama Asha akiniambia “TANGU LEO NISIKUONE SALUNI KWANGU” hapo ndipo nilipochoka, sasa nitaishije?

Nilimtafuta Lucy nikamuuliza akaniambia naye pia ameambiwa hivyo hivyo, huwezi amini nilimtumia message nyingi za kumuomba msamaha sana lakini hakunijibu kamwe.

Nilioga vizuri na ilipofika saa 5 asubuhi niliamua kwenda mpaka pale kazini, ili nikamuombe msamaha mama Asha na nilipofika nilishangaa bado Lucy alikuwa yuko pale na alikuwa anamsuka nywele mteja.

Nilishachanganyikiwa na huduma za mama Asha, niliiona gari yake pale saluni lakini nilipoulizia walisema hayupo,

“Ameenda wapi?”

“Ameenda kule mbele hotelini” alisema Fetty

“Sawa”

Nilichukua hatua zangu madhubuti na kuelekea huko huko kumtafuta mama Asha, nilijishangaa sikuogopa chochote nilimkuta yuko anakula kiepe na mishkaki nikaketi kando yake

“Mama Asha shikamoo” nilisema huku nikitia huruma

Mama Asha hakuitikia salamu yangu alinitazama juu chini halafu akanisonya, nikajisikia vibaya

“Mpenzi nisamehe, najutia kosa langu, nakuahidi sitorudia tena haki ya Mungu” nilisema

“Sitakiiii…kwanza ondoka hapa”

Sijui hata machozi niliyapata wapi wakati naomba msamaha nilianza kulia bila kutarajia, nilipiga magoti chini kwa mara ya pili nikimuomba msamaha.

“Hivi huogopi watu?” aliniuliza

“Cha muhimu ni msamaha wako tu naomba unisamehe Mpenzi”

“Mimi ni mke wa mtu unalijua hilo? Watu wakimpa taarifa mume wangu kwamba kuna mvulana ananipigia magoti ni hatari kwangu na kwako pia, embu inuka”

Niliinuka lakini watu wote walikuwa wananishangaa “Ondoka tutaongea kwenye simu baadaye”

“Saa ngapi?”

“Nikimaliza kula ntakupigia wewe nenda nyumbani”

“Sawa”

Niliondoka pale nikarudi nyumbani nikakaa kaa kidogo ila bado hakunipigia, nilishindwa kuvumilia nikaamua nimpigie mimi, nilipompigia alipokea

“Nambie”

“Ushamaliza kula?” nilimuuliza

“Ndio…”

“Sawa, naomba unisamehe mpenzi” nilisema maana nilikuwa nang’ang’ania penzi

“Hapana Lembo umenikera sana, yaani mi nimetolewa na hamu zangu toka ubungo nikasema nina Kaserengeti boy katakuja kunipa raha kumbe kanampa raha mtu mwingine kweli?”

“Nisamehe mpenzi wangu, nimekosa najua kosa langu, ila bado nakuhitaji”

“Unanihitaji mimi au unahitaji vitu ninavykupaga?” aliniuliza

JE WEWE UKO UPANDE WA NANI HAPA? MI NAMTETEA LEMBO MAANA HATOWEZA KUMUOA MKE WA MTU ANATAFUTA WA RIKA LAKE, WEWE UKIWA UPANDE WA MAMA ASHA NA UTOE SABABU YENYE MASHIKO

KWA HERI DARESALAMA

Kisolo cha 36

“Nakuhitaji wewe, nakupenda kweli”

“Mh, haya basi sawa ila please Lembo siku nikikukuta tena, haki ya nani sitokusamehe tena”

“Nashukuru mpenzi hutonisikia wala kuniona na mwanamke tena”

“Sawa….baadaye nitakuja” alisema mwanamke huyo

“Saa ngapi?”

“Saa kumi kumi”

“Sawa”

Nilikata simu yangu.

Kutwa nzima nilikuwa niko nyumbani tu nina mawazo tele, ndipo nikaamua kutoka na kwenda kutafuta chakula mida ya saa 9 alasiri, nilikuta ile migahawa ya bei rahisi yote imeshamaliza msosi nikaona haina haja nitakuja kula jioni.

Nilinunua vocha ya buku halafu nikanunua pia Mo Xtra halafu nikarudi maskani nikajiunga na kuanza kuinjoy kutazama vituko TikTok. Nikiwa naangalia pale nilishtuka mbona kama vile saa kumi imekaribia? Ndipo nikamtumia ujumbe Mama Asha

“Hellow”

Nilipomtumia ilichukua dakika moja nzima ndipo akanipigia simu, nikapokea

Aliniita “Baby”

Nikasema “Nambie mpenzi”

Akaniamba “Samahani nimekuja nyumbani ghafla tu hivyo nitachelewa kidogo kwenye saa 12 ndiyo nitakuja

“Sawa mpenzi kwa hiyo nijiandae kuja kinyonywa nanilii”

“Hahaha…yaani jiandae nitakuja kunyonya hadi hizo ke…” kabla hajamaliza sentensi hii alikata simu ghafla, nikajua labda ameona mtu anakuja alipo ndio akaogopa.

Nilitulia kimya nikimsubiri kwa hamu, kila saa mjomba alisimama hakika katika mapenzi yangu yote yule ndiye aliyekuwa mwanamke wa kwanza kulala naye na vile vile ndiye mwanamke ambaye niliinjoi sana penzi lake.

Nilisubiri kama masaa mawili hivi, ndipo akaniandikia ujumbe wa mahaba “Mume wangu” nilisikia utamu hadi kisogoni, hilo ndilo jina ambalo lilinipa hamasa na kujihisi tayari niko kwenye ndoa na mama Asha

Nilimjibu kwa mbwembwe “Nambie mke wangu kipenzi”

“Mimi ndo ninakuja hivyo…si upo home au niahirishe?” aliniuliza

“Nipo wala usijali…we njoo” nilisema

“Pouwa dear”

*

Nilijiandaa vyema, nikasubiri kwa hamu sana, nikapiga hesabu kutokana na foleni ya Dar atachelewa chelewa kidogo, hivyo nikaona kwa sababu nilikuwa sijala tangu asubuhi basi nikatafute msosi nile ndo nimtandike vilivyo

Nilichukua simu yangu nikarudishia mlango halafu nikatoka nikiamini hamna mtu anaweza kuingia ndani akaniibia

Nilienda mpaka kwa jamaa mmoja mkaanga viepe nikamuagiza “Nipe chipsi kavu, weka pilipili nyingi”

“Ya shilingi ngapi?” aliniuliza yule kijana

“Ya buku jero mzee” nilisema halafu nilipokumbuka kiepe cha buku jero ni kidogo sana basi niliamua kuongeza dau “Au weka za buku mbili” nilisema

“Poa ngoja nipitishe kwenye moto maana zimepoa sana”

“Haina noma”

Niliketi kwenye kiti nikawa ninaendelea kuchezea simu yangu taratibu.

Kiepe kilipokuwa tayari nilikilipia halafu nikachomoka huku nikidundika na muziki kwenye spika za masikioni

Ilikuwa ni mida ya usiku saa moja, giza limeshaingia nilipokaribia masikani nilikuta kama kuna pikipiki imepaki nje ya geti nikashtuka kidogo lakini nikaingia ndani ya geti.

Nafsi ilisita nikasogea mlangoni nikakuta kama pazi linacheza cheza hivi manake inaonekana liemeguswa muda si mrefu, niliposikiliza kwa makini niligundua kuna watu wananong’onezana ndani, nikahisi labda ni mama Asha ameshafika ila kabla sijaingia ndani niliitazama simu yangu na ziliingia jumbe tatu mfululizo kutoka kwenye namba mpya

BABY

TOKA HAPO UKIMBIE MUME WANGU AMEKUJA NA VIJANA WAKE HAPO NA SIMU YANGU. MIMI NI MAMA ASHA

KIMBIA WATAKUBAKA HAO

JE LEMBO ATAFANYA NINI?

Kisolo cha 37

Hey nilishtuka sana niliogopa mno nikajua hapo nitabambwa, nilitupa chipsi kule, halafu nilitoka nduki nikagonga kiwiko kwenye geti lakini kwa kweli nilienda mbali sana.

Sikujua hata naelekea wapi ila nilipanda daladala ya mbezi nikaenda kushukia Kimara Suka bila kutarajia

Nikiwa pale nilisikia simu yangu inaita nikaangalia ni namba mpya niliogopa lakini nilipokea na kusikiliza sauti kwanza

“Baby” ilitoka sauti ya mama Asha

“Nambie”

“Uko salama?” aliniuliza

“Ndio, niko salama”

“Uko wapi?” nimekimbilia huku mbezi

“Sasa unaenda wapi?”

“M sijui” nilisema

“Basi pole, una hela?” aliniuliza

“Hapana sina zaidi ya 1500 hapa, pesa zote nimeacha ndani”

“Sawa, ngoja nikutumie hela utafute mahali pa kulala”

“Sawa”

Nilianza kuhisi uchungu wa Dar nikasubiri atume hela lakini wapi sikuona pesa yoyote. Nilipojaribu kuipigia ile namba ilipokelewa na mtu mwingine kabisa na aliniambia hajui mama Asha ameelekea wapi, nilizidi kujisikia vibaya. Kilichoniuma ni kwamba pesa zote nilikuwa nimeziacha kule ndani.

Nilitembea tembea Kimara nikiwa nasikiliza muziki, ndipo kwa mbali nikasikia kama mdundo hivi kwani kuna mahali kulikuwa na shughuli, yaani sherehe. Niliona watu kibao wanaelekea huko na vijora wameshona sare.

Nilitembea mdogo mdogo kuelekea huko kwenye muziki, nilipofika nilikutana na vituko, ni singeli tu, watu wanakatika vibaya mno mademu wako bila hata nguo za ndani, hapo ndo nikaanza kunogewa na mji.

Ilipofika saa saba, zilitokea fujo pale kwenye ile sherehe zikapelekea muziki kuzimwa na watu wakasambaratika.

Kuja kucheki mfukoni hivi, sina simu, sijui imechukuliwa saa ngapi na nani kaichukua. Yaani acha tu, nilijisachi hadi kwenye boxer

JE LEMBO ATAFANYA NINI?

Kisolo cha 38

Niliweka mikono kichwani huku machozi yakinitirika, nikawa narudi kule nilipotokea lakini njiani nikakutana na vijana wahuni

“We mtoto” waliniambia wale vijana huku wakinivuta kwa nguvu wanataka wanipore lakini sikuwa na chochote

“Niacheni mafala nyie” nilisema kwa hasira kumbe ndo nachokoza nyuki, wakaniangusha chini wanataka waanze kunidunda ila kama zali, sauti ya baunsa mmoja ilisikika

“Oya oya oyaa…mnafanya nini hapo wajinga wakubwa nyie”

Vijana wale wakorofi wote waliopoisikia ile sauti walitazama, na baada ya kumuona mtu yule wote walisambaratika na kuniacha nikiwa nimelala chini

“Dogo….dogo” alisema bro mmoja aliyekuwa ni baunsa sana, alikuwa ameenda hewani, amevaa nguo iliyom-bana na kuonyesha misuli yake na six pack zilizomkaa mwilini, alitisha kama wale walinzi wa msanii Harmonize

“Bro” nilisema huku nikiketi

“Vipi kuna shida gani mbona wamekuvamia?” aliniuliza

“Ah mi sijui, wameniibia simu, halafu walitaka kunipiga bure”

“Haya inuka” alisema na kunipa mkono akanivuta nikasimama. “Ulikuwa unaelekea wapi?” aliniuliza

“Bro nimepata matatizo huko wamevamia gheto langu na kutaka kuniua, maana nilitembea na mwanamke mmoja bila kujua ni mke wa mtu” ilibidi nichanganye ukweli na uongo

“Wapi?”

“Huko Tabata”

“Sasa umekuja huku kutafuta nini?” aliniuliza huku akianza kutembea tembea na mimi nikamfuata tukawa tunatembea wote

“Niliwatoroka nikakimbilia huku hata sijui naenda wapi kaka…..”

“Anhaa…usizurure huku mtaani watakufanyia kitu kibaya, shukuru Mungu mimi ndiyo nimetoka gym saa hizi wangekupiga hadi ufe na hakuna wa kukuokoa”

“Daah bro..ila bora tu nife sina lolote, natamani kurudi mkoani kwetu”

“Wapi?” aliniuliza

“Shinyanga”

“Sawa”

Nilikuwa natia huruma sio kitoto, nilimtazama nikamuomba “Bro nisaidie nauli kesho asubuhi nirudi mkoani” nilisema

“Sawa, nitakusaidia twende nyumbani”

Niliwaza mengi sana kwamba naenda kwa yule mwamba, kweli atakuwa mtu wa kawaida? Nilijiuliza na kuogopa, nilikuwa nikisikia mambo mengi sana duniani lakini nilimuomba “Broo usinifanyie kitu chochote kibaya”

“Siwezi kukufanya kitu kibaya chochote, mi nakuhurumia watakuua hawa ni panya road” alinitisha kwanza.

Nilimuomba Mungu nikamuambia “Mungu naomba unisaidie chochote kibaya kisinitokee, naomba unisaidie ee baba”

Kisolo cha 39

Nilipomaliza kuomba kimoyo moyo niliungana na baunsa yule mpaka tukafika kwake, ilikuwa ni nyumba nzuri sana kubwa yaani nyumba nzima ina kila kitu ndani.

Palivutia, nikaketi kwenye sofa natetemeka machozi yanatoka bila kutarajia, starehe za muda mfupi zimeniponza, sina mawasiliano na mama Asha wala mtu yoyote, sina hata mia halafu mbaya zaidi hata nguo ya kubadilisha sina.

Niliangalia TV kwa muda halafu yeye akaenda chumbani, ilipofika mida ya saa 6 usiku nilikuwa hoi kwa usingizi lakini niliogopa kubakwa na baunsa yule. Aliniita

“Kama una usingizi twende ukalale dogo”

“Haa…hapana bro sina usingizi kabisa” nilisema kwa uoga “Hata nikilala hapa hamna shida” nilisema

“Haya kaoge basi” aliniamuru nikaogopa

“Bafuni wapi?”

“Twende broo alinipeleka hadi akanionyesha bafu, mimi nikaoga halafu nikarudi sebuleni nikakaa pale pale kwenye sofa nikiendelea kujikaza.

Baadaye yule baunsa kama vile kuna kitu kilikuwa kinamuuma kwenye boxer nikaona ameshtuka haraka na kuishusha bukta halafu akatukana na kuuliza “Ni mdudu gani huyu?” alisema na kuanza kujikagua vizuri

Alipokuwa ameishusha boxer nilishangaa nilichokiona ndani alikuwa na kidude fulani kidogo, kile hata sio kibamia kwa kweli ila ni chini ya kibamia sijui nikifananishe na nini, yani kidogo kuliko kile kidole kidogo cha mguuni.

Nilishangaa, na ubaunsa wote ule kumbe ana kakitu ka hovyo halafu ubovu mwingine hata hakakutahiriwa, yaani hapo ndo wasiwasi ya kubakwa ikaisha kabisa nikajua pale ni kulala raha mustarehe.

“Dogo” aliniita huku akiipandisha boxer yake

“Ee broo”

“Mi naenda kulala ukichoka utazima hiyo TV”

“Sawa kaka”

Baunsa aliondoka akaenda zake kulala na mimi nikajimwaya mwaya bila wasiwasi, yaani muda ule kausingizi kananipitia nilishtuliwa na mtu anayegonga mlango kwa nguvu sana, niliinuka na kwenda nikamchungulia kwa dirishani, nilipomtazama hivi hakuwa mwingine ila alikuwa ni mama Asha, sikujua usiku ule alitoka wapi, na amejuaje niko pale.

“Lembo mpenzi wangu upo salama hapa?” aliniuliza mama Asha

“Wewe mwanamke wewe umefika fikaje hapa?” nilimuuliza kwa mshangao

“Hahaha….unamuona huyo baunsa? Mimi ndiyo nimemuambia akulete hapa” alisema

“Kweli?” niliuliza kwa furaha

“Ndio, nimeamua kuachana na baba Asha nije tuishi wote hapa hii ni nyumba yangu mimi na wewe, sawa?” aliniuliza

“Mh”

“Nifungulie basi”

Haraka haraka nilifungua mlango na mama Asha alizama ndani. Alipoingia aliniuliza “Huyo ameshalala?”

“Ndio ameshalala”

“Okay” alisema na kufungua pochi yake akatoa ile simu yangu na kunipatia

“Kheeee??? Umeipata wapi?” aliniuliza

“Hahaha…usijali mimi nina mipango mingi sana hapa mjini

Kiukweli sikuweza kuvumilia ile furaha nilimfuata mama Asha na kumkumbatia tukaanza kunyonyana ndimi kwa fujo ndipo mama Asha akanigeuza na kunikalisha kwenye sofa. Alipiga magoti chini kisha akanivua suruali yangu akaanza kuninyonya mashine nilisikia utamu wa hali ya juu.

Niliponogewa zaidi nilisikia kama vile wazungu wanataka kutoka ile nataka kufika kileleni hvi nilishtuka usingizini kumbe ilikuwa ni ndoto, nilipotazama hivi nilishangazwa na baunsa, yule baunsa alikuwa amepiga magoti sakafuni halafu mimi ameushika mjeledi wangu anaunyonya kwa fujo kama mwanamke, eh bwana ee kumbe yule mwanaume na ubabe wake wote alikuwa ni shoga………..HALLOOOO…..EEEHEEEE…..HAYA BWANA KUMBE NDIYO HIVYO ILIVYO

Kisolo cha 40

“Yesu wangu!!!!!” nilisema kwa mshangao huku nikijitoa pale haraka halafu nikamtazama “Broo unafanya mambo gani?” nilimuuliza

“I am sorry mdogo wangu mimi napenda kufanywa?” alisema huku ile sauti yake akiilegeza

“Eeeeh???” niliuliza kwa mshangao “Broo wewe ni shoga?” nilimuuliza huku nikimshangaa yaani hafananii kabisa kuwa shoga “Embu acha mambo yako”

“Ndiyo hivyo” alisema huku akibana pua “Mi napenda…na nimeipenda ya kwako ni ndefu na nene….hope utanisugua vizuri”

“Hapana broo mi siwezi kufanya hivyo” nilimuambia

“We si unataka nauli ya kwenda shinyanga?” aliniuliza

“Ndio broo”

Baunsa alifungua droo ya kwenye show case ya TV halafu akatoa kitita akanionyeshea na kukiweka mezani

“Broo”

“Kama unataka hiki kitita cha hela nipige bao moja tu halafu mi nitakupatia, hiyo ni laki sita”

Ulikuwa ni mtihani mkubwa sana kwangu, nilijikuta nimeketi huku nikitafakari, namuangalia hivi yule broo ameshavaa hadi shanga kiunoni nikaanza kutetemeka, sikuwahi kufikiria kama nitakutana na Dar es salaamu chungu kiasi kile, imeharibika kabisa.

“Usifanye hivyo broo” nilimuomba kwa samahani “Siwezi mi kumfanya mwanaume mwenzangu

Mwanaume yule aliinuka na kwenda chumbani akarudi na bastola na kikopo kidogo sawa na dawa ndogo ya meno au kama kile kichupa cha super glue akanirushia, na kuniambia “Umekataa ofa sasa utafanya kwa lazima au utataka nikuue?”

Niliogopa sana halafu akakoki bastola na mimi nikakitazama kile kikopo kimeandika KY kwa herufi kubwa kubwa

“daaa…mtihani sana kaka” nilisema kwa uoga nikaona amevua boxer na kubaki uchi wa mnyama kabisa, tena naye kiunoni alikuwa na shanga moja ya njano njano hivi.

Hakika sikuwa na namna nilijikuta nimetenda dhambi ambayo mpaka siku nitakapokufa sitarudia kuifanya tena. Eeh Mwenyezi Mungu nisamehe.

Tulipomaliza tu alinishukuru na aliniambia kwamba wanaume wamekuwa adimu kwake ndio maana akatumia nguvu alinipa ofa moja

“KAMA UTAKUBALI KUWA MWANAUME WANGU NITAKUCHUKULIA CHUMBA ILA UTAKUWA UNANIPA HUDUMA HII NA MIMI NITAKUWA NAKUPA KILA KITU UNACHOKITAKA”

Nikavuta pumzi kisha nikamuambia “BROO NGOJA NIKAPUMZIKE KWANZA KWETU NITALIFIKIRIA HILI, NA NITAKUPA JIBU, CHA MUHIMU NIPE NAMBA YAKO YA SIMU” niliamua tu kumridhisha

Baunsa yule alinipa kadi yake ya biashara (Business Card) nilipoisoma niligundua ni mtu mkubwa sana na ni mtu mwenye biashara zinazotumika na watu wengi hapo Dar es Salaam na mikoani kwa uchache.

Alinichukulia pikipiki ya Bolt ikanipeleka hadi Mbezi Kituo kikuu cha Mabasi cha Magufuli halafu nikakata tiketi na kupanda basi.

Nilikuwa sina chochote mkononi mwangu zaidi ya zile pesa alizonipa, ila kwa shida nilizozipata ndani ya muda mfupi tu niliichukia Dar es Salaam.

Basi lilipokuwa likiondoka pale stendi nilitokwa na machozi na kutamka kimoyo moyo “KWA HERI DARESALAMA, HUTONIONA TENA KATIKA MAISHA YANGU YOTE, NIMEKUCHUKIA WEWE NI MCHAFU”

Nilisali na safari ilianza.

********

Siku moja baadaye nilifika Mkoani, Shinyanga, nilihakikisha siendi nyumbani bila simu nzuri nikairudisha ile namba yangu iliyopotea, zile pesa zote niliishia kununua simu na nguo mpya ndipo nikaenda nyumbani huko kijijini,

Nilimkuta Caren akiwa na mimba kubwa, na alinionea aibu. Sikujali

*

Baadaye nilikuja kugundua ule mchezo wa mama Asha kuniambia niondoke mume wake alikuwa amekuja na vijana, ulikuwa ni mchezo tu sio suala la kweli, ila ni yeye tu alikuwa amewatuma vijana maana alishanichukia mara baada tu ya kumsaliti na Lucy

Alifanya yote yale ili achukue vile vitu alivyoninunulia, na hii ilikuwa ni kazi rahisi maana alikuwa ndiye anajulikana na baba mwenye nyumba.

“HAHHA….NILIJUA TU UTAONDOKA MAANA ULIKUJA KWA PAPARA FARA WEWE” huo ulikuwa ujumbe wa Mtoni baada tu ya kupata taarifa kwamba nimerudi kijijini Makagongwa.

Hakika acha niendelee na maisha yangu ya ukulima tu. Maisha ya Dar yamenishinda tabia

MWISHO

HITIMISHO FUPI

Hadithi hii haijalenga kuliponda jiji la Dar es Salaam, la hasha ni kwa ajili ya kuelemisha tu watu kwamba unapoenda ugenini usianze kwa papara, kuna sehemu nyingine kunastahili uishi maisha ya tofaui na ya kule ulipozaliwa, au ulipopazoea.

Karibuni Dar Es Salaam ila kaa Makini, ni kutamu sana.

Share.
Leave A Reply

error: Content is protected !!