KITANDA CHA KUNGWU
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
ONYO: Umri chini ya Miaka 18, wasisome hii Hadithi
“Weweeeeeee pigaaaa huuyoooo”
Watu walizidi kushangalia kila pale ambapo konde la Bakari lilipotua juu ya mwili wa Daudi.
Daudi alitapata kwani alitamani kuziba uso wake kuzuia ngumi nzito za Bakari wakati huo huo alitaka kuziba sehemu zake za siri.
Mama Halima, hakuwa na la kufanya zaidi ya kulia.
Songa nayo…
Siku kadhaa zilikata tangu litokee lile fumanizi nyumbani kwa bi Aisha ama Kungwi kama ambavyo wengi waliomfahamu walipenda kumtambua.
Lakini ndani ya siku mbili tatu hizi hakuwa na kumbukumbu hata moja juu ya tukio lile na aliendelea na maisha yake kama kawaida si kwamba alikuwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu hapana bali hakuliweka hata kichwani kwani haikuwa mara ya kwanza kumtokea tukio la aina ile.
Kitendo cha wanaume kupigana,kujeruiana na kuwindana kiuhasama alikuwa tayari kashavizoea kwani vilikuwa vikimtokea mara kwa mara. Kila mwanaume alikuwa akihitaji kuwa mwenyewe ambaye anakilalia kitanda cha Bi Aisha lakini mwenyewe hakuwa tayari kwa hilo.
Bi Aisha alitoa ruhusa kwa kila mtu kukilalia kitanda chake ilimradi tu atoe vile ambavyo anavyovihitaji , ikiwemo pesa, zawadi, pamoja na matunzo mengine mengine.
Hakuwaga na shida ya kupendwa, wala kuridhishwa kitandani. Wanaume walishindana kuhakikisha wanamtimizia avitakavyo . Wengine walimpa hata vile ambavyo kwa wake zao ilikuwa ngumu kutoa.
Ilikuwa ni rahisi kumsikia mume akimwambia mkewe “hela sina ” akiwa uso mkavu pale aombwapo vitu vya muhimu kama ada ya shuke, hela ya pango ama chakula, lakini ilikuwa ngumu kwa mwanaume huyo huyo kumsikia akisema “hela sina” akiwa mbele ya Bi Aisha. Tena kwa vitu ambavyo hata havikuwa vya lazima lakini angefanyaje? na wakati alikuwa akihitaji kukilalia kitanda cha kungwi.
**********************
Siku hii ilikuwa asubuhi mapema huku ikianza kwa kimvua kikali kwa masaa madhaa kisha mvua ikakata yakabakia manyunyu manyunyu na hali ya hewa ya baridi.
Majira ya saa saba mchana Bi Aisha ama kungwi akiwa na vazi aina ya dera ambalo lilikuwa jepesi kiasi cha kumchonga vyema na kuionesha sawia kabisa lile umbo lake la kuvutia.
Kama kawaida ya Bi Aisha alivaa chupi aina ya bikini ambayo yenyewe huwa inaziba upande wa mbele tu wa kwenye papuchi na huku nyuma huacha kila kitu wazi.
Na kila alipotembea alijibinua na kujitikisa.
Wale wanaume wachache ambao walipishana naye barabarani hawakusita kugeuza shingo zao na wale ambao walikuwa wakiongozana naye basi walipunguza mwendo kidogo na kumuacha Bi Aisha atangulie mbele ili wapate nafasi ya kuyatazama makalio yake matepe yaliyobinuka vyema.
“Mmmh oyah kuna watu wanafaida, wewe vuta picha toto kama hilo unalivua chupi, halafu unaliingiza dudu mzee taratibu…huku anakukatikia”
“Haahhaa..hamna huyu humvui chupi, huyu chupi unaisogeza pembeni tu halafu unazamisha dudu mdogo mdogo..huku unamchezea matako”
“Aaah weee mimi huyu hadi matako namramba”
Zilikuwa sauti mbili za vijana wa kiume umri kama miaka kumi na saba ama kumi na nane si zaidi ya ishirini.
Vijana hawa walikuwa nyuma ya Aisha na walikuwa wakimuongelea huku wakimtizama.
Aisha aliwasikia vijana hawa alitamani ageuke ampate walau mmoja tu kwani alikuwa mawindoni lakini alipozisikiliza sauti zao vyema aligundua kwamba vijana wale walikuwa wadogo hawakuwa na vile ambavyo anavihitaji hasa pesa, hivyo aliwapotezea lakini hakuacha kuwatega.
***************************
Muda huu wakati Bi Aisha akiwa njiani, upande wa pili barabarani. Alikuwepo Samir akiwa ndani ya gari.
Samir aliendesha gari taratibu huku akiyahangaisha macho yake huku na kule.
Lakini kwenye kutazama tazama kwa mbali alimuona mwanamke mmoja akiwa barabarani na alikuwa akienda uelekeo ule ule ambao yeye alikuwa anaenda. Na kwakuwa alikuwa nyuma ya yule mwanamke basi alitangulia kuona kwanza makalio kabla ya uso.
Mwanamke yule alikuwa na makalio makubwa malaini yaliyobinuka vyema, na kutokana na matone tone ya mvua ambavyo yalitua katika mwili wa mwanamke yule basi dera lake lililoa na kugandana na makalio. Watoto wa uswahilini huita ‘dera tako’.
Samir alijikuta akitekwa na mwanamke yule. Alimtizama kwa sekunde kadhaa. Mate mdomoni yalimjaa.
“Daah..toto hili unalipata na baridi hili unasugua papa mpaka cheche….shhhhhh aaaah”
Samir, alijisemea akiwa ndani ya gari na kila alipomtizama Aisha taratibu alijikuta akisimamisha dudu. Alijitahidi kuvumilia kwa sekunde kadhaa lakini mwishoni uvumilivu ulimshinda. Taratibu alijikuta akibadilisha mwelekeo.
Alizungusha tairi kutoka barabarani na kuchepuka kidogo upande wa pili ule wa waenda kwa miguu.
Hakutaka kujali kama atachelewa huko aendapo.
Kitu pekee alichohitaji kilikuwa ni kumpata Aisha na ikiwezekana akamsugue kwani dudu lake ndani ya boksa lilikuwa likifukuta.
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
“Piiiiiiii pipiiiiiiiii piiiiiiiiii”
Sauti kali ya honi yenye kukera ambayo ilipigigwa kwa fujo ilipenya katika masikio ya Aisha.
Aisha aligeuza shingo yake pembeni upande ambao ilikuwa ikitokea honi ile. Uso kwa uso aligongana na mwanaume mmoja ambaye alikuwa ndani ya gari lakini kichwa chake alikipachika dirishani mkono wake wa kulia ulikuwa nje akimpungia Aisha.
“Hei… mamiii.. mamiii..”
Samir, aliita.
Aisha alitazama kulia kisha kushoto halafu akamalizia na nyuma alihakikisha hakuna mtu mwingine ambaye alikuwa karibu na maeneo yale zaidi yake hapo akapata uhakika kuwa anayeitwa ni yeye na alimpomtizama Samir na gari lake , alicheka kimoyo moyo kwani alijua Samir tayari kashajaa na wanaume aina ya Samir ndio huwapenda.
Alimgeukia Samir, huku macho akiwa ameyaregeza.
“Mimi..?”
“Yeah wewe mamiiii…”
Samir alipayuka huku akiachia tabasamu jepesi.
Aisha taratibu alisogea mpaka alipo Samir kwa umbali wa hatua moja tu.
Samir alikaribishwa na harufu nzuri ya marashi pale tu Aisha aliposogea karibu yake. Pia Samir alipata nafasi ya kumtazama Aisha vyema kwanzia chini mpaka juu.
Macho manene yaliyoregea vyema, sura ya duara , meno miupe lipsi nene zilizopasuka kwa kati (lipsi denda). Na aliposhusha macho kwa chini alijikuta akipagawa na kiuno chembamba kikifatiwa na hipsi pana. Alizidi kuchanganyika.
“Aaah huyu mtoto kaumbika walahi , aah kama kashushwa sipatii picha utamu wake..”
Samir, alijisemea kimoyo huku akimtazama Aisha.
“Hey..hey, kaka…kakaaa “
Aisha alisema baada ya kumuona Samir akimtizama kwa zaidi ya sekunde ishirini bila kusema kitu.
Samir alistuka na kwakuwa alikuwa katikati ya dimbwi la mawazo ilikuwa ni kama kashtushwa kutoka usingizini, alijikuta anaropoka bila hata kufikiria.
“Geuka nyuma basi nio….”
Samir alisema lakini kabla hata hajamalizia sentensi yake alijikuta akijiziba mdomo baada ya akili kumrudi na kugundua kwamba alichosema kilikuwa ni uchizi.
Lakini hili wala halikumstua Aisha kwani ilikuwa kawaida kwa wanaume kutatarika pale wanapomsimamisha.
Taratibu aligeuka nyuma huku akiyatikisa makalio yake.
Samir alijikuta anapigwa na butwaa pale Aisha alipogeuka nyuma huku akimtikisia makalio kwa mtindo wa kumtega.
Dera lilinasia kwenye makalio kutokana na kunyeshewa na manyunyu ya mvua na ile bikini ambayo aliiva ndani.
Samir, alijikuta anasimamisha dudu lake.
“Na..naweza kukupa lifti ?”
“Ooh utakuwa umenisaidia “
Aisha alijibu.
“Poa zunguka “
Samir, alisema.
Aisha alizizunguka upande wa pili na kujitosa ndani ya gari. Hapo Samir alikanyaga gia na kuanza kuiondoa gari.
************************
Wakiwa ndani ya gari kimya cha ajabu kilikuwa kimetawala .Samir alikuwa akijifikiria amuanze vipi Aisha huku Aisha akisubiria ni muda gani Samir atamuanza.
Safari ilikuwa ya kibubu kwa zaidi ya dakika tano.
“Hivi unaelekea wapi mrembo “
Samir aliamua kuvunja ukimya.
“Naelekea huko…”
Aisha alisema .
“Huko…huko wapi sasa, au si lazima nijue ila sawa mrembo , siwezi kupata namba yako..?”
Samir alisema huku ajichekesha.
“Hahaha usijali sio namba tu naweza kukupa hata vile ambavyo mkeo hakupagi..”
Aisha alisema kwa sauti laini iliyotokea puani na wala si mdomoni.
Samir, alimtizama Aisha mara mbilimbili lakini alishindwa kummaliza wala kumuelewa.
“Hahaaha… asivyonipa mke wangu, kama kipi “
“Vingi tu ambavyo hakupi, usingekuwa unasimamisha dudu hovyo”
Aisha alisema huku akimtizama Samir hasa upande ule wa zipu. Dudu la Samir lilikuwa limesimama haswa japokuwa alijaribu kulibana bana mapajani lakini bado mtuno ulionekana.
“Oooh…”
Samir, alisema kisha akaziba haraka kwa mkono mmoja huku ule mkono mwingine akiwa bado anaendesha gari.
“Aaah embu kwanza usija ukasababisha ajari bure…”
Aisha alisema kisha akauondoa ule mkono wa Samir pembeni. Na kuweka mkono wake juu.
“Haya nimeficha nisione ulivyosimamisha dudu, wewe endesha gari…kwa mikono miwili sasa”
Aisha alijibu.
Samir alibaki ameduwaa japokuwa mikono yake yote miwili ikiwa kwenye usukani lakini mkono wa Aisha ulikuwa juu ya dudu lake.
“Mmmh shhhhh…halafu kubwaaaaa”
Aisha alisema huku akianza kupapasa dudu la Samir, na muda mwingine alikuwa akilibinya binya kwa mahab huku akimtizama Samir kwa macho regevu.
Samir alijikunja kunja pia hata aina ya uhemaji aliibadilisha. Alikuwa akihemea juu juu.
Aisha alizidi kumdatisha, taratibu alifungua zipu ya Samir na kulitoa dudu la Samir.
“Aaaah….aaaha”
Samir aliugulia pale mikono miteke milaini ilipokamata dudu lake.
Aisha hakushtushwa na mayowe hayo aliendelea na zoezi lake.
Alilipapasa dudu la Samir kwa sekunde kadhaa kisha akakiinamisha kichwa chake huku mdomo akiwa ameuachia.
“Aaah shhhh…aaaaa”
Samir, taratibu alihisi ulimi wa Aisha ukipita juu ya kichwa cha dudu lake kwa mtindo wa kuparaza. Alijikuta akifumba macho akisahau kama yupo barabarani.
SEHEMU YA KUMI NA TATU
Aisha alilikamata dudu la Samir kwa mikono miwili taratibu aliendelea kulinyonya huku mikono yake ikipapasa taratibu kende za Samir.
“Sshhhhhhh Aaaah…aaah aah kipenzi… su…su, suuuuuuu”
Samir alijaribu kusema jambo lakini kabla hata hajamaliza alijikuta akikakama huku akimshika Aisha kichwa kwa nguvu na kumkandamiza zaidi, kwa hisia ambazo alikuwa anapata alitamani dudu lake lote liingie
Mkono wake wa kushoto alimgandamizia Aisha kichwani.
Aisha aliubana mdomo wake kwa lengo la kumuongezea joto na msuguano zaidi Samir, hapo alimshuhudia Samir akihemea juu juu pia hata na ndani ya sekunde chache alijikuta akimwagiwa uji mzito mdomoni.
Zilikuwa ni shahawa, lakini hata hivyo kwake haikuwa shida aliendelea kunyonya kwa sekunde kadhaa kisha akasitisha.
“Aaa….una mashine nzuri, ya moto halafu inajaa yote mdomoni, kama ningekuwa mkeo usingetoka ndani”
Aisha alisema kwa sauti laini ambayo haikuwa tena ikitokea mdomoni badala yake ilikuwa ikitokea puani, huku macho yakiwa yanamregea.
Katika lipsi usoni pia alikuwa na chembe chembe za manii na hii ilikuwa ni baada ya kumwagiwa usoni pale Samir alipofika kileleni.
Samir alivuta pumzi ndefu kisha taratibu aliishusha huku akimtizama Aisha kwani bado alikuwa haamini inawezekana vipi msichana mrembo kama Aisha akubali kushiriki naye ngono kirahisi vile.
Ikiwa hawajuani wala hawatambuani na ndiyo ilikuwa mara yao ya kwanza kuonana.
“Aaah… hata wewe pia upo vizuri “
“Usinisifie sana hii ni moja tu kati ya mia unaonajae hii mechi tukaimalizie kitandani kwangu…”
“Ki..ki..kitandani kwako, “
“Enhee…”
“Hauna mume “
“Nisingejiamini hivi”
“Aaah sa..sa…sawa”
Samir alisema lakini moyoni bado alikuwa na hofu hakuwa na ujasiri hata chembe.
Lakini kwa ushawishi wa Aisha alijikuta akikubali.
Aisha alitoa maelekezo, Samir aligeuza gari na kuanza kuyafatisha maelezo ya Samir. Safari kuelekea nyumbani kwa chiku ilianza ambapo huko ndipo ambapo palipangwa kumalizia mechi ambayo waliianza ndani ya gari.
*****************************
Upande wa pili katika hospital kubwa ambayo ilikuwa inamilikiwa na mtu binafsi.
Alionekana mwanamke mmoja akiwa na heka heka zisizo za kawaida.
Mwanamke huyu alienda mapokezi kisha akapewa maelekezo machache ambayo hayakuonesha kumridhisha, alirudi kwenye benchi la foleni lakini napo alisita kuendelea kukaa haraka aliinuka na kuelekea katika ofisi ya daktari mkuu.
“Karibu sana mama…”
Daktari alisema baada ya kusalimiana na mwanamke huyo.
“Asante dokta, hali ya mwanangu ni mbaya manesi wamegoma kumpa huduma wanasema mpaka hela itolewe”
“Enhee ni kweli mama hii ni hospital binafsi na wala si ya serikali , hapa sisi tunatoa huduma sio msaada, toa pesa tukupe huduma, sababu kila kitu unachokiona hapa kinaendeshwa kwa gharama, madawa tunanunua, tunalipa kodi , tunalipa mishahara, kila kitu kinahitaji pesa sasa niambie mama tukitoa huduma bure bure tutafika kweli..?”
“Lakini dokta hali ya mwanangu ni mbaya sana , na nimeongea na baba yake nusu saa nyuma kasema anakuja yupo njiani, anakuja na pesa keshi”
“Hatupokei maneno mama, toa pesa tukupe huduma huna pesa nenda katika hospital za serikali , au si amesema anakuja ?, basi msubirie “
“Doktaa..lakini “
“Hauna pesa hakuna kitu ambacho utaongea nikakusikiliza, inuka pisha wengine waingie maana haupo pekee yako mwenye shida ya kuniona”
Mazungumzo mafupi ambayo yalichkua takribani dakika tano kati ya mwanamke yule na daktari mkuu.
Mwanamke huyu alikuwa ana mtoto ambaye alikuwa ni mgonjwa na hali yake kiafya ilikuwa ni mbaya sana na alihitaji matibabu ya haraka lakini kutokana na ukosefu wa pesa hakuna ambaye alionesha kumsikiliza hata daktari mkuu naye alimkazia uso na hakutaka kujishughulisha naye hata kidogo.
Aliinuka taratibu kisha akaanza safari.
Baada ya kufika nje alitoa simu yake na kuanza kumpigia mumewe. Kwani yeye ndiye ambaye alikuwa na pesa na aliahidi atakuwa pale ndani ya lisaa limoja lakini sasa lisaa lilikuwa tayari lishakata lakini hakuonekana hivyo alihitaji kuongea naye kwani hali ya mtoto ilikuwa inazidi kuwa mbaya.
Simu ikiwa sikioni mwake iliita mara tatu bila kupokelewa.
SEHEMU YA KUMI NA NNE
“Shhhhhh aaaah mmmh…aaaaah oooooh”
Ndani ya chumba cha Aisha sauti na vilio vya utamu vilishamiri na kukipamba vyema chumba hicho.
Samir na Aisha walikuwa juu ya kitanda kama walivyozaliwa.
Samir alilala chali kisha Aisha akaja kwa juu kidogo alilikalia dudu la Samir lote mpaka pale alipohakikisha limezama taratibu alianza kuzungusha kiuno kutoka kulia kwenda kushoto. Mikono yake aliiweka juu ya kifua cha Samir akichezea nywele nyingi zilizojaa katika kifua cha Samir.
Samir alihisi utamu pale dudu lake lilipozama lote ndani ya kitumbua cha Aisha.
“Aaaah nishike matak* mpenzi”
Aisha alisema lakini hata hivyo hakusubiria Samir afanye badala yake aliichukua mikono ya Samir na kuiweka kwenye makalio yake.
Msisimko ambao alikuwa anaupata pale Samir alipokuwa akiyaminyanya makalio yake na kuyapapasa , ulimfanya azidishe kasi ya kukakata kiuno, safari hii hakuzungusha badala yake alipiga nje ndani.
Hii ilimuongezea hisia na kujikuta akizidi kuchanganyikiwa.
Kwani makalio ya Aisha yalikuwa malaini pia makubwa na yalipojipiga piga katika mapaja yake huku dudu lake likiwa ndani ya papuchi likisuguliwa vyema, aljikuta anapata utamu ambao hakuwahi kuupata hata kwa mkewe.
Kwani mbali na ufundi ambao Aisha alikuwa nao pia alikuwa na utamu.
“Aaah…mmmmmh…oooohhh, nitomb* kipenzi mimi mali yako…aaah una dudu tamu….mmmh”
Aisha alizidi kulalamika kila pale dudu la Samir lilipozama ndani ya papuchi yake na kusugua kusugua upande ule alioutaka yeye.
Wakiwa katikati ya mechi ghafla simu ya Samir iliita.
Ngrrrrrrrr Ngrrrrrr Ngrrrrrr
Sauti hii ilitua katika masikio ya Samir lakini katika hali ambayo alikuwa nayo ilikuwa ni ngumu hata kuipa umakini, badala yake aliendelea kuufaidi utamu wa Aisha.
Simu iliendelea kuita kwa zaidi ya dakika tano na mpigaji hakuchoka aliendelea kupiga licha ya kupuuziwa.
Aisha alilichomoa dudu la Samir
Samir alistuka lakini hajafanya chochote alimshuhudia Aisha akiinama kidogo kisha alilichukua dudu lake na kulipeleka mdomoni mwake.
“Aaaah….mmmh”
Samir, alilalamika.
Aisha alilinyonya dudu la Samir kwa dakika moja.
Kisha aliinuka na kusogea pembeni kidogo upande wa ukutani, aliukamata ukuta kwa mikono yote miwili, kifua akakagandamiza ukutani halafu kiuno akakibinua kidogo.
Makalio yake yalibinuka.
Samir hakusubiria aambiwe wala aitwe, taratibu alijiinua kisha akasota kwa magoti mpaka alipo Aisha.
Alimkumbatia kwa nyuma na kuacha dudu lake likijisugua kwenye makalio ya Aisha.
“Aaah mmmhh…nipe niingize mwenyewe”
Aisha alisema kisha akauzungusha mkono wake mmoja nyuma akaukamata dudu la Samir , akalipiga piga kwenye makalio yake kisha akajipanua kidogo halafu taratibu alianza kuingiza.
Hakutaka kuliingiza lote aliingiza nusu nusu mpaka pale ilipozama yote.
Taratibu akaanza kuzungusha kiuno.
Samir naye mkono mmoja aliuegemezea ukutani halafu ule mkono mwingine aliutumia kuyabinya binya makalio ya Aisha.
“Bebii…..mmmh”
“Napenda unavyoniingiza dudu lako tamu, nibinye matako…oooooh shhhhhh”
Aisha alilamika.
Muda huu wote simu ilikuwa ikiendelea kuita lakini Samir alijifanya kiziwi hakutaka kusikia.
Aisha naye alizidi kumpumbaza kwa kumpa viuno.
Aisha aligeuka kisha mgongo wake aliuegemeza ukutani safari hii walikuwa wakitizamana uso kwa uso.
Aliuinua mguu wake na kuupachika katika kiuno cha Samir kisha mikono yake akaibwaga katika shingo ya Samir.
Taratibu walianza kunyonyana denda huku dudu la Samir likiwa ndani yake akimkatikia.
Manyonyo ya Aisha ambayo yalikuwa makubwa yaliyosimama na kuchongoka yalijaa katika kifua cha Samir kilichokuwa na manywele nywele mengi ( Garden love).
Kila mtu alipata msisimko mtamu pale kifua chake kilipojisugua katika kifua cha mwenzake.
Mechi ilipigwa kwa zaidi ya dakika arobaini mpaka pale mmoja wapo aliposalimu amri ambaye huyu hakuwa mwingine bali ni Samir.
Kwa upande wa Aisha yeye bado alikuwa na nguvu na pumzi ya kuendelea kuhimili pambano.
**********************
“Aaah upo vizuri sana pia wewe ni mtamu sana”
Samir alisema.
Safari hii alikuwa amejilaza pembeni kidogo ya Aisha.
“Aahaha asante… hivi umeoa”
“Eenh sija… sija….nime, sijaoa sijao”
“Ona sasa unavyotatarika majibu saba yote unaataka kuyatoa we.we, au unadhani nitakwambia unioe au hahahaha”
Aisha alisema hapo Samir aliona aibu alitazama pembeni.
“Yeah nimeona nina mke na mto…”
Samir , alisema lakini kitendo cha kutaja tu mtoto, alijikuta akili yake inamrudi na kukumbuka hali ambayo alikuwa nayo mtoto wake.
Mtoto wake alikuwa anaumwa na dakika kadhaa nyuma alipewa taarifa na mkewe kwamba mtoto anaumwa na yeye kaelekea hospitali lakini inahitajika pesa, Samir alifunga ofisi na kuanza safari ya kuelekea hospital na pesa hizo lakini akiwa njiani alikutana na Aisha ndipo hapo alipojikuta anadata na Aisha. Anasahau kama mtoto wake yupo hospital.
Na anatakiwa apeleke pesa ili mtoto aanze kupewa matatibabu.
SEHEMU YA KUMI NA TANO
Samir ghafla aliruka kitandani haraka aliendea simu yake.
“Oooh mungu wangu….”
Alistuka baada ya kukuta ‘missed calls’ zaidi ya hamsini na zote zilikuwa zinatoka kwa mtu mmoja tu, mkewe.
Macho yalimtoka.
Pamoja na kuchepuka kwa kufanya mapenzi na Aisha lakini bado alikuwa akiipenda sana familia yake ni vile tu shetani alimpitia na akashindwa kujiuzuia.
Haraka aliibonya bonya simu yake mpaka upande wa majina ,alilichagua jina moja kisha akapiga lakini simu iliita bila ya kupokelewa kwa zaidi ya mara nne ambazo alijaribu.
“Wewe vipi mbona sikuelewi, umekurupuka hapa unaanza kupiga piga simu hovyo umetumwa au”
Aisha alisema kwa mtindo wa kupayuka.
“Aaaah mtoto wangu yupo hospital na ndio nilikuwa napeleka pesa ili afanyiwe matibabu”
Samir, alisema huku simu yake ikiwa bado ipo mkononi ikiendelea kuita bila kupokelewa.
“Khaaa…! Kumbe, haya pole”
Aisha alisema lakini Samir hakujibu aliendelea kupiga lakini bado simu haikupokelewa.
Machale yalianza kumcheza kengele ya hatari juu ya mwanaye ilianza kulia.
Hakutaka kupoteza muda tena badala yake alivaa nguo zake haraka haraka kwa lengo la kuanza safari lakini kabla hata hajamaliza kufunga mkanda wa suruali yake, Aisha alikuwa tayari kashainuka na sasa alikuwa amemsimamia pembeni yake.
“Unaondoka hivyo haraka haraka unaniachaje”
Aisha alisema.
“Ni…ni nitarudi, nitarudi”
“Hata usiporudi kwangu wala hainistui maana haupo pekee yako ila nauliza tu unaniachaje”
Aisha alisema kwa msisitizo kwani aliona wazi hakueleweka.
“Si nimekwambia nitarudi”
“Sasa mimi nitaishije kwa muda huu anbao nakusubiria wew urudi, nahitaji pesa….”
Aisha alisema.
“Oooh sasa si ungesema jamani”
Samir, alisema huku akijichekesha chekesha aliingiza mkono mfukoni alitoa burunguta la noti nyekundu nyekundu.
“Unajua sipo vizuri mtoto wangu yupo hospital ila kamata hii “
Samir alisema huku akitoa noti tatu nyekundu na kumkabidhi Aisha.
“Wewe hivi una wazimu au laana, umedata wewe baba, kujipinda kote kuleee kujipanua kote kuke ndio leo hii unipe elfu thelathini, hivi una laana wewe…”
Aisha alisema kwa mtindo wa kupayuka na kwa namna ambavyo alikuwa akiongea ni wazi sauti ilisikika mpaka nje lakini wala hakujali kwani alikuwa tayari kashazoeleka hivyo.
Alizidi kupayuka.
“Oooh sawa sawa.. nitakuongeza”
Samir, alisema kisha akachakua noti zingine mbili nyekundu na kumkabidhi Aisha kwa matarajio ya kumziba mdomo Aisha.
“Elfu hamsini…! embu acha ubabaifu ongeza hela hiyo, kibunda chote hicho”
“Aaah sawa lakini hizi nataka nipeleke mwanangu hospital…lakin “
Samir alijaribu kujitetea lakini kabla hata hajamalizia kauli yake alijikuta akiputwa pesa zote.
“Tulia.. huwezi kunipindua pindua lisaa limoja na mwanaume ulivyokuwa na dudu wewe, halafu eti unipe elfu hamsini tulia hii elfu hamsini ndio utaondoka nayo wewe mbona”
Aisha alisema kwa mtindo wa kufoka.
Alikichukua kile kibunda ambacho alikitoa katika mikono ya Samir akakieka pembeni halafu akazichukua zile elfu hamsini ambazo Samir alimpa mwanzo na akamkabidhi.
“La…laaa lakini “
“Chukua hii wewe si unaona elfu hamsini nyingi”
Aisha alipayuka.
“Lakini nataka nimpeleke mwanangu hospitali hii elfu hamsini haitosaidia kitu”
“Ugonjwa huo ugonjwa gani mpaka elfu hamsini isitoshe na pia kama ungekuwa una uchungu na mwanao kweli ungekuwa na nguvu ya kunishikilia kiuno , ungekuwa na nguvu ya kuusikilizia utamu..embu acha kuniektia chukua hii utoke kabla sijakujazia watu na mimi mwenzako wala sijali”
Aisha alipayuka.
Samir hakuamini vile vitendo atendewavyo na Aisha, hakufikiria kama Aisha angeweza kumfanyia yale.
Macho yalimtoka lakini pia hakuwa na jinsi, alijikuta anajuta kwanini alikubali kuuingia mtego wa Aisha kirahisi vile.
Taratibu alivaa nguo zake kisha akapokea ile elfu hamsini aliyopewa na kumuacha Aisha akiwa na kibunda mkononi.
Aliondoka kinyonge kwani hakuwa na la kufanya lakini moyoni alimlaani Aisha na alijiapiza kama atakuja kukutana naye sehemu nyingine basi atamfanyia kitu kibaya ambacho kitamfanya ajutie kwa kile kibaya ambacho alimfanyia.
Lakini kwa upande wa Aisha yeye wala hakujali.
INAENDELEA………