Clickable WP Image
JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

DADA WA KAZI

Episode 16

atakayemuoa atafaidi sana” Mama alisema kwa furaha

“Hahaha” Baba alicheka kinafiki ila kichwani alijua hakuna mke wa kuoa hapo

“Au unasemaje kijana” Mama alolimuiliza Nick ambaye alikula kwa aibu aibu sababu ni ugenini

“Yuko vizuri..yuko vizuri” Alisisitiza Nick

“Mmmh  jamani asanteni” Alisema mtoto wa kike kwa furaha, Dullah akanyanyua jicho na kumtazama kimahaba, usoni binti akacheka kwa aibu

Walikula hadi wakarizika ndipo walipoagana kila mmoja chumbani kwake, lakini siku hiyo Dullah alikuwa anatakiwa alale na mshikaji wake Nick, hivyo walienda chumbani kwa Dullah

Baba alibaki akisaisha mitihani sebuleni

Story zilikuwa haziishi kati ya Dullah na Nick, lakini saa 6 usiku zilipunguzwa baada ya binti kumtumia ujumbe Dullah

“Babe, ukalala au nije niikalie?” Aliuliza mtoto wa kike

“Mh wewe hauchoki kitom***na”

“Daah yani mi napenda mb** sijui hata kwanini jamani” Alisema

“Yaani asingekuwepo huyu mwenzangu lazima ungekuja tutiane mpaka asubuhi”

“Mh njoo huku chumbani kwangu”

“Hapana, hapo ni karibu sana na kwa baba, lazima watasikia tu” alisema Dullah

“Haya bana ngoja mimi nikilaze”

“Ok good night ila nikisikia sana hamu ntakuja but usipige kelele ikiingia”

“Mh ntaweza kweli ilivyo tamu” Alijibu mtoto wa kike

*

Hapo hapo baba naye alisahihisha mitihani alikuwa anawaza jinsi alivyokuwaga anamkula mara kwa mara Housegirl huyo

“Siku hizi mbona ananiringia sana, nahisi Dullah anakula” Aliwaza na kuchukua simu akataka amtumie ujumbe lakini akatulia kwanza

*

Dullah na Nick walikuwa wanapiga story

“Vipi huyu mfanyakazi wenu mzee?” Nick aliuliza

“Fresh mzee, vipi anafaa?” Aliuliza Dullah

“Liko vizuri, ila nahisi ndo ulikuwa unamtia kule bafuni” alisema

“Hahaha….hamna sie kuna demu jirani hapa alikuja akaogopa kuingia ndani” aliongopea

“So hii ya kwenu vipi….nile au?” Aliuliza kijana huyo”

“Ah kula tu mi sina time naye” Alisema Dullah kwa kujiamini lakini akatoa onyo kwenye simu ya binti kwa kutumia ujumbe

“Akikutongoza huyu jamaa usimkubalie” Alituma

Muda huo huo omega akajibu “Jamani, siwezi yaani kwanza anaogopesha Sana alivyo” Alisema binti

“Ok usiku mwema”

*****

Asubuhi na mapema binti baada

Episode 17

Dullah alimpa onyo la pili mtoto wa kike

“Nimeona mkiongea hapo nje, lakini tafadhali usimkubalie huyo sio mtu mzuri kwanza sidhani kama ni mzima kiafya” Aliamua kumtishia ili tunda lisiliwe hapo nyumbani

Kisha Dullah alitoka na kuwakuta wakiwa Sebuleni wanapiga story Nick na Baba yake.

“Mzew umeamkaje?” Alimuuliza baba

“Safi Unalala sana wewe” Baba alisema halafu nick akatabasamu.

“Hahaa…hamna ninajipumzisha, hii mikikimikiki itakapoanza nikifungua kazi sio mchezo

“Sawa Dullah una mpango gani, hutaki hata kujenga huku?” Aliuliza baba

“Nitajenga tu, ila kule mwanza nina Nyumba ni ya kumalizia tu” Alisema

“Ok ni vizuri ila heshima nzuri uweke nyumbani bwana” Alisema baba

Message ziliingia kwenye simu zote mbili ya Nick na ya Dullah. Wakazifungua

KWA DULLAH: Jamani wewe unanionaje mi siwezi nikamkubalia mwenyewe mweusi sana hata hanivutii hata kidogo yaani khaa nnampeleka wapi, usijali mimi ni wako tu

KWA NICK: Sawa nimeiona, unaondoka leo au?” Alimuuliza, ndo Nick akatabasam na kujibu

“Sijui ila nilitaka niondoke kesho jioni”

“Mh, sitamani uondoke” Alianza binti mitego yake

“Kwanini?” Dullah aliuliza

“Sijui hata yaani ulivyo sharobaro unapendeza mmmh” Alijibu binti

“mmmmh acha mambo yako”

Mara baba aliita kwa hasira “We Omega” Alisema

“Abee” Binti aliitikia chumbani

“Njoo…” Alisema mzee

Dakika moja tu mtoto omega akawa amesimama pale sebuleni “Baba nimekuja” Alisema

“Mwambie kaka akupe hela ukalete mkate bwana tunywe chai” Alisema

Binti alimgeukia Dullah ndipo Dullah alipotoa noti ya 5000 na kumpa “Leta mikate miwili ya sh 1000 kila mmoja”

“Sawa” Binti alisema na kutoka akaelekea dukani

Muda wote Nick alikuwa kimya, kwa kifupi alikuwa ameshaopoa huyo mtoto naye ni mrahisi sana hata wewe ungekuwepo ndani kule ungepewa

“Daaah” Baba alisema wote wakamgeukia “Huyu binti inabidi aondoke” alisema maneno yaliyowashtua wengi

“Kwanini?” Aliuliza Dullah

“Anaweza kupata mimba hapa ndani?” Mzee alipiga mafumbo ya maana, alielewa lile ni harage la mbeya kila mtu anajichukulia tu

Nick alijisikia yuko uchi, alihisi yeye ndo anapigiwa mafumbo,

Episode 18

Mh, jamani subiri basi” Alisema binti na kumsugua na kalio kidogo, dullah akawa amepagawa tayari

Baadaye alimuachia na kwenda sebuleni kunywa chai, wakiwa wanakunywa chai yeye alikuwa anapitia ujumbe chumbani kwake

Ulikuwa ujumbe wa Nick “Samahani wameshatushtukia, nitaondoka mchana huu maana wameniambia kabisa hapa”

“Hapana, jamani usiondoke kwanza, sasa utaondokaje bado hatujato*b**na…

Baadaye saa 6 mchana

Baba akiwa chumbani kwake alisikia purukushani kwa mbali jikoni halafu ugomvi ukaanza

“Unachat naye kwa nini? Si nilikuambia usimjibu message, au unamtaka si ndio?” Alikuwa anamaindi Dullah alikuwa ameona Nick akichat na mtoto huyo

“Khaa, niache mimi ananitext namjibu ila sina maana yoyote mbaya” Alisema Binti

“Nimegundua wewe hujatulia, namba umempa ya nini?” Alifoka Dullah

“Niachee bana, we ondoka mi si nishakuambia kwamba sina mpango naye au?”

Hapo ndo mzee akacheka kwa sauti ndogo akajua kumbe kile alichokuwa akikidhania kipo kweli, halafu alitoka nje huku akipiga mluzi na mikono mfukoni

Dullah alikuwa na hasira akatoka na kuondoka moja kwa moja huku Nick naye akiwa bafuni, mapenzi hata kama huna malengo naye lakini unatamani awe wa kwako siku zote sijui kwa nini

“Omega” Baba aliita

“Abee”

“Naenda Dukani mimi nikakae na mke wangu” Alisema kwa wivu baada ya kugundua wapo kibao

“Sawa baba”

“Kikiiva nipe taarifa kwa simu” alisema na kuwasha pikipiki

“Haya”

Mzee aliondoka

Nick alioga ndani ya dakika 15 kisha akatoka na kwenda chumbani kwa Dullah akawa anajipaka mafuta huku akiwa amevalia bukta tu.

Omega aligundua kwamba pale nyumbani wapo peke yao, yeye hakutaka kuchelewa maana bahati haiji mara mbili, alisogea mlangoni mwa Dullah

“Kaka Dullah”  aliita kinafiki

“Hayupo” Alisema Nick mara binti akasukuma mlango na kuangalia ndani akamuona jamaa akipaka mafuta

“nije nikupake?” Aliuliza

“Njoo basi….au unaogopa” Alisema

“Aka niogope nini?” Aliuliza huku akiingia na kuchukua mafuta akaanza kumpaka kifuani.

“Mmmh wewe” Alisema Nick na kumshika kiuno “Tutaja kutwa huku ujue” Alisema na kumvuta mtoto.

Episode 19

Huyu ni malaya kishenzi” Aliwaza na kuchukua chupa ya chai ikabidi anywe chai bila hata kuwa na njaa.

**

Baadaye Omega alienda kwa rafiki yake Shakila wakawa wanapiga Story

SHAKILA: Vipi yule mgeni mwingine yupo?

OMEGA: Yupo

SHAKILA: Wewe navyokujua tayari

OMEGA: Yule hamna kitu, yaani sekunde tano tu et 😂😂

SHAKILA: Acha

OMEGA: Ndio hivyo rafiki yangu

*

Vivyo hivyo Nick alikuwa ameshajisikia vibaya, alizalilika, na alikuwa amevaa vizuri

“Oya mi nasepa man” Alimuambia Dullah

“Au sio” alijibu

“Yah, boss tutawasiliana basi”

“Ngoja nkutoe toe” Dullah alisema na kuinuka kisha wakatoka kusindikizana mpaka eneo la kupandia pikipiki

Dullah alimuaga jamaa, na elfu tano pia akampa, lakini roho ilimuuma

Alirudi nyumbani maisha yakaendelea

Mke wangu nimeacha ugomvi mkubwa kule nyumbani” Alisema Baba Dullah akiwa dukani

“Ugomvi gani tena?” Aliuliza mama

“Hivi unajua Abdallah anatembea na Omega?”

“Eenh?” Aliuliza kwa mshangao

“Ah, we shangaa tu, ila ndo ukweli huo”

“Yaani, siku mbili tu amekuja, kijana ameshampata?”

“Mmh, ndo maana nasema aondoke ti, ametembea na vijana wengi, Yule Elisha wa kwa mama Steve, katembea na Steve mwenyewe, Baba Shakila, Abeid na Masumbuko, sasa akija kupata mimba hapa kwetu sijui itakuwaje” Alisema

“Mungu wangu” mama alishangaa sana

“Sasa leo nimeacha ugomvi Dullah anagombana mage kisa alikuwa anachat na Nick yule kijana mgeni” Alisema

“Makubwa”

“Kilichonishangaza zaidi, ananivalia hovyo, halafu leo kanifanyia kituko et anataka kunikumbatia” Alisema mzee hali iliyofanya mama akasirike mazima

“Shenzi…..Usiniambie hivyo inaweza ikawa kuna kitu unanificha hapo”

“Hapana mke wangu…aondoke tu halafu atafutwe mwingine”

“Ngoja nitajua tu” mama alisema kwa wasiwasi

BAADA YA SIKU MBILI

Dullah na Omega waliishi nyumbani pale lakini walikuwa ni maadui wakubwa, Dullah aliona kabisa binti amemsaliti kisa Nick mtu ambaye alikuwa anapita tu

Kwa hiyo aliamua kumkaushia mazima

Sasa ikiwa ni jumatatu wapo nyumbani peke yao, Binti aliingia kwenye siku zake ghafla zilikuwa kama zimevurugika hivi.

Halafu mwenyewe alijishangaa ila akachukua pedi na kujiweka vizuri halafu akaketi chumbani.

Episode 20

“Aah…. Ah…..ah….ah” Alosema kwa hisia huku taratibu akilizungusha kalio lake halafu ikawa inazama taratibu

“Aaaaaash baby aaaah” Alisema mtoto wa kike, huku akizidi kujizungusha, Dullah alisikia raha za ajabu akawa ameshika kiuno mara mtoto wa kike akasogea mbele ikachomoka ndo Dullah akapiga kelele

“Nooo….. Baby please sogeza tako huku aaaaa shit” Alisema Dullah kwa hisia na kumvuta mtoto wa kike halafu akataka kulengesha ndipo binti akacheka kidogo

“Mume wangu ni tamu ee?” Aliuliza

“Sana, baby naomba niingize tena please” alilalamika Dullah alikuwa ameshachanganywa na utamu wa kwa mpalange.

Alivuta kwa nguvu kiuno halafu akailengesha, kule kulikuwa kumeshalainika kabisa halafu akaingiza taratibu mpaka mwisho

“Aaaaaash……oh baby aaash” Alisema mtoto wa kike kwa hisia huku akianza kukatika mpaka mwisho ikazoea ikawa inaingia yote na kuchomoka

“Baby….kumbe huku kutamu”

“Ndio, nni…..ni….kutam.u sana mumumumeee wanguuu aaash oooh fir* fir* baby aaaaaaash oooh baby” Alisema kwa hisia mtoto aa kike na kukatika

Sasa tako lilikuwa likigonga tumbo la jamaa likalia pa pa pa kwa hisia kali,.

“Baby inabana sana nakojoa mimi” Dullah alisema huku akimpapasa mgongoni mtoto wa kike

“Kojoa mume wangu usiogope hii ni mali yako” Alisema mtoto huku akikata vizuri sana

“Aaaaah baby” Mtaalam alisema na kuingiza yote akashikilia kiuno na kukibana halafu akamkojolea kule mwisho kabisa huku akitetemeka na kutoa sauti ya ngurumo za simba

Alilegea hasa binti, Dullah alikakamaa kwa hisia mpaka sekunde 45 zilipoisha ndo akaichomoa na ikiwa imelowa shahawa zake na kadhalika.

Alichukua taulo akamfuta binti matakoni halafu naye akajifuta halafu akaketi “Daaah baby” Alisema Dullah

“Nafikiri umeinjoy sana” Alisema mtoto wa kike

“Sana love sijutii kuja nyumbani”

“Haya usijali tupumzike halafu nikapike basi” Alisema

“Haya”

Walijilaza halafu baadaye binti alichukua kichupa chake na kuondoka akaenda kuoga halafu akaanza kupika

*

Dullah alibaki akiwaza “Huyu demu atakuja kuniua na kitombo sasa hapa nasepa zangu kwa kweli, maana kila siku anatakaa hatosheki”

Muda mwingine alijidharau.

Share.
Leave A Reply

error: Content is protected !!