Monday, April 28, 2025

Ukweli kuhusu WANAWAKE katika Mapenzi - Jifunze kitu hapa

 Jiunge na Magroup yetu

TELEGRAM | FACEBOOK


UKWELI KUHUSU WANAWAKE


1- Mwanamke anapokuwa na hasira, zaidi nusu ya anachosema-huwa hamaanishi...

2- Wakati mgumu sana kwa mwanamke ni pale anapokuwa mbali na mwanaume anayempenda kwa dhati.

3- Mwanamke si kama 'detol advert', usipomtunza wewe... kuna Wengine watamtunza.

4- Inachukua muda kwa mwanamke kumwamini mwanaume, ni ngumu mwanamke kubadilika anapofanya maamuzi yake, lakini .

5- Mwanamke ni kama shule ambayo hata ukisoma vipi huwezi kuhitimu.

6- Cheti chako cha ndoa sio "leseni ya kuendesha gari", Cheti chako cha ndoa ni "sawa na kibali cha kuendeshea gari tu.

7- Anaweza kuwa uchungu sana moyoni lakini usiku huwa mtamu sana, yote hayo yatakuwa kwenye mtazamo wako.

8- Mwanamke ni mtu mgumu sana kusahau jambo hasa ukimuumiza, atakumbuka kila saa kwa uchungu zaidi, sasa epuka kumuumiza.

9- Mwanamke anaweza kuwa msiri sana... lakin Mara nyingi wanapokuwa wagumu kusema jambo kwa wanaume zao, wao hukimbilia chumbani kwao au huenda kuwaambia marafiki zao huku wakilia.

10- Wanawake wote Wanapenda sana kuombwa. wanaume mara nyingi huwa hatujui hili.......

11- Wanawake wote wana tabia ya kipekee kama chumvi, uwepo wao unaweza usionekane lakini kutokuwepo kwao hufanya vitu vyote vikose ladha.

12-Kama anakupenda anaweza kukufanyia chochote unachomuomba kwa kadri utakavyo wewe hata kama ni kukufurahisha, hivyo usimlazimishe ili akukupende utajuta.

13-Kama mwanamke anakupenda kweli, basi hata kukuomba pesa atakuonea aibu na hasa akikupenda hawezi kamwe kukuacha utumie pesa hovyo""" hicho ndio kinawafanya wawe watu wa pekee.... 

Ukimpata mwanamke unayempenda na kumcha Mungu, mthamini maisha yake yote na usimwache aende zake.. Atakufanyia wema maisha yako yote.

Add Comments


EmoticonEmoticon