Tuesday, April 29, 2025

Muda Sahihi wa Kufanya Mapenzi - Na Mambo Muhimu ya Kuzingatia

 Jiunge na Magroup yetu

TELEGRAM | FACEBOOK


MUDA WA TENDO LA NDOA


1. Sio kila wakati ni wakati wa kufanya tendo la ndoa. jifunze kumtambua mwenzi wako akiwa na uhitaji na asipokuwa na uhitaji

2. Kama wewe ni mwanaume una udhaifu wa kufika kileleni haraka sana, basi jaribu kujisoma timing yako ili uache kumpa mateso hivyo basi unapoona ukaribia punguza spidi na mtoe babu nje pale unapohisi unakaribia kufika kileleni. Hii itachelewesha kumwaga haraka

3. Usitumie muda mwingi kufanya staili moja wakati wa kufanya mapenzi. Mwenzi wako anaweza kuchoka haraka. Muda mzuri ni wakati unapohamia kwenye tendo la ndoa huwa linahitaji uchunguzi wa kutosha. Kwa mfano, usibusu kwa muda mrefu, usilambe kwa muda mrefu, usichezee chuchu kwa muda mrefu, usifanye staili moja kwa muda mrefu.

4. Usitake staili ya pili haraka sana kabla ya mwenzi wako hujamfurahisha na ulichokuwa ukifanya. Usikimbilie kumbusu mdomoni wakati anataka chuchu

5. Usimhitaji mwenzi wako kwa ajili ya kufanya mapenzi wakati unajua vizuri akili yake iko mahali pengine; labda yupo kwenye hedhi, yupo kazini, ana wasiwasi na watoto. Usiudhike ikiwa mwenzi wako anakataa kukupa shoo. Sio kwamba mwenzi wako hakutaki, lakini jua sio wakati sahihi kwake

6. kuwa Muungwana, unapokuwa kifuani kwa mkeo na unagundua kuwa anakaribia kufika kileleni jua kuwa huo si wakati wa kupunguza spidi. Huo ndio wakati wa kusukuma kwa nguvu au haraka kama anavyotaka. Anakaribia kufika kileleni. Ukiharibu ukiwa karibu kufika, inaweza kumchukua muda kufika hapo tena

7. Wakati wa kufanya mapenzi ni wakati usiofaa kuzungumza juu ya kazi za nyumbani, kazi, majukumu.

8. Mke mumeo anapokuona wewe tambua kuwa upo kwenye nafasi ya kumpa raha anazostahili, usimfanye asubiri kwa muda mrefu. Piga chuma kikiwa chamoto

9. Baada ya mume kumwaga. Upe muda uume kabla ya kipindi kijacho ili ujirudishe mahala pake. Ukiikimbiza, inaweza kusimama lakini ikapoteza ugumu katikati ya njia kwa sababu haijapumua vya kutosha.

Add Comments


EmoticonEmoticon