Tuesday, April 29, 2025

Mambo ambayo Kila Mwanamke anataka Ujue - Wakati Unafanya naye Mapenzi

 Jiunge na Magroup yetu

TELEGRAM | FACEBOOK

 


MAMBO 14 AMBAYO KILA MWANAMKE ANATAKA MWANAUME WAKE AJUE KUHUSU KITANDANI

Wanaume na wanawake wana mtazamo tofauti kwa tendo la ndoa kwa hivyo ni muhimu kwa mwanamume kuwa na wazo la kile anachotaka wakati wa kufanya mapenzi.

Hapa kuna mambo 14 ambayo kila mwanamke anataka mwanaume wake ayajue

1. Anataka uzingatie maeneo yake ya asili yanayo mpa hamu ya tendo la ndoa.

2. Kabla hujaanza kunuandaa hakikisha upo safi kwenye mwili wako huna uchafu wowote

3. Fahamu kuwa Kinembe chake ni sehemu nyeti sana hasa wakati wa tendo kinachukua nafasi kubwa sana ili yeye afike kilelelni. Epuka kutumia nguvu wakati wa kuchezea kisimi maana inaumiza unapotumia nguvu nyingi kwenye kisimi chake, kwahiyi Kuwa mpole.

4. Saizi ya uume wako haijalishi kwa mwanamke yeyote isipokuwa ujue matumizi yake hata kama yeye anamaumbile makubwa au madogo

5. Kuwa na haraka haraka ni furaha wakati mwingine. Angependa ikiwa utamshangaza wakati mwingine.

6. Maandalizi ni muhimu sana kwa wanawake. Wanawake wanahitaji muda zaidi kwenye maandalizi kwasababu ya raha ya msisimko

7. Kilichomfurahisha mpenzi wako wa zaman kitandani hakitafanya kazi kwa huyu wa sasa ukikirudisha akirink kinaweza kukuharibia kazi na mpenzi wako wa mwisho kitandani Zingatia mwili wake na wewe anachotaka.

8. Kitandani pakiwa pachafu huwa panaharibu tendo la ndoa kuwa msafi .

9. Kuna raha zaidi kwenye matiti kuliko kwenye chuchu zake. Usizingatie sana chuchu pekeake na ukasahau sehemu nyingine ya matiti yake.

10. Wakati wa tendo la ndoa, usimfanye mwanamke akae mkao wa kukunguza tumbo lake. Wakati mwingine mwanamke huonjoi tendo kulingana na tumbo lake maana kuna basda ya ukubwa wa tumbo huendana na urefu,upana au kina cha sehemu za maumbile ya mwanamke

11. Mwanamke yeyote huwa Anataka busu zuri sana. Pia usisahau kumbusu wakati wa tukio kuu.

12. Gusa kisimi chake wakati wa tendo kuna Wanawake wengi ambao huwa hawafiki kileleni mpaka kisimi.

13. Epuka kuwa na mtindo mmoja kitandani. Badilisha mara nyingi mtindo yako

14. Usisahau kumbembeleza na kumwambia jinsi unavyompenda baada ya tendo la ndoa


Add Comments


EmoticonEmoticon