Tuesday, April 29, 2025

Kumfanya Mwanamke Ajisikie Kufanya Mapenzi na Wewe - Ujanja huu hapa

 Jiunge na Magroup yetu

TELEGRAM | FACEBOOK


 JINSI GANI MWANAUME ANAWEZA KUMFANYA MWANAMKE AJISIKIE KUFANYA TENDO


1. MTAZAME KWA JICHO LA BASHASHA
Mwanamke huwa anahisi kuhitajika zaidi kulingana na mwanaume wake anavyomtazama machoni. Wanaume ni viumbe wenye msisimko kwa muonekano au viungo vyao hasa wakijua matumizi kwa hiyo atatazama kuona kama macho yako yanamwambia neno 'Nakutaka'

2. MJULISHE JINSI AKIWA KWENYE HALI YA HAMU
Anapokuwa anajisikia hamu vizuri. Ikiwa uko karibu naye tumia mbinu kwa bidii au kufikiria juu yake wakati ninyi wawili mpo mbali mpe taarifa juu ya kinachoendelea ndani ya boxer yako kwa ajili ya faraja mjulishemkeo anahitaji kujua .

3.USIFIE MWILI WAKE
Mzungumzie, mwache akusikie ukizungumza vizuri kuhusu uhodari wake kitandani

4. TAARIFA JUU YA JUHUDI ZAKE
Ikiwa anapata huduma ya nywele mpya, nguo mpya, ikiwa anafanya kazi zake basi usimuombe kitu mjulishe kuwa uko makini nae

5. MLINDE SANA KAMA UNAMPENDA
Mwanamke anaweza kulala akiwa anapelekewa moto kisha akaamka akiwa na mashaka na mpenzi wake. Hasa kama kuna mtu anayeweza kumfanya ahoji mvuto wa mpenzi wake kwa urahisi. Anaweza kujitazama na asipende uzito wa mwili wake, saizi au umbo lake na anapunguza jinsi anavyojiona. Katika nyakati hizo, thibitisha uzuri wake na tendo

6. HIFADHI MAELEZO NA MANENO MAALUM KWA AJILI YAKE TU.
Usiwaeleze wanawake wengine kama vile mambo ya chumbani, usitoe maneno kwa kutumia utamu au picha za wanawake wengine kwenye mitandao ya kijamii. Maneno hayo sio maalum kwake ikiwa utawaambia wanawake wengine.

7. MPE KUMBATO
Hakuna shida kuwakumbatia marafiki wa kike, labda ni kwasababu unathamini urafiki wao. Lakini kumbatio unalompa mwanamke wako linapaswa kuwa kali zaid na la kipekee, la kugusa, la karibu zaidi, tofauti na unavyowakumbatia wengine

8. USIPENDE KUWATAZAMA WANAWAKE WENGINE
Jiwekee nidhamu ili usiwe unawatupia macho wanawake wengine, ukiwangalia unaangalia sana maumbile ya wanawake wengine kama vile makalio, kitako, midomo na mtindo wa kutembea. jichunge sana Mzingatie mwanamke wako.

9. USIMSIFIE MWANAMKE MWINGINE MBELE YAKE
Kamwe haipaswi kuwa unaonekana kuvutiwa zaidi na kutekwa na uzuri wa mwanamke mwingine mbele ya mpenzi wako

10. BUSU SEHEMU AMBAZO ZINAMPA MSISIMKO
Karibu kila mwanamke ana kitu kwenye mwili wake anachokifahamu. Inaweza kuwa saizi au umbo la uume wako au korodani, au anapenda kunyooshwa, au hata kitovu chake. Sehemu yoyote utakayosikia akitaja kwa njia isiyofaa ya maneno machafu ya chumbani ujue ndiyo sehemu sahihi.

11. EPUKA SANA KUTAZAMA FILAMU ZA NGONO UKIWA MBALI NAYE
Ikiwa utawatazama wanawake wengine mitaani, usiwaweke akilini wanawake wengine unaowaona kwenye tv hasa unavyoangalia filamu za ngono. mwanamk kuna anjiskia hamu ya tendo la ndoa ujue kichocheo cha kutosha na kivutio kinatokea kwako na hauitaji kutazama wanawake usiowajua kuona uchi wao ili kukufurahisha. Mara tu unapopata hamu ya kutazama nyota filamu za ngono mwambie mkeo unahamu nae hii itakusaidia wewe

12. JIVUNIE UKIWA NAE NA JIACHIE HATA HADHARANI
Kuna saa mwanamke anataka Anataka umtamani na umwinue kwa moyo wa pekee ili ajione wa pekee zaidi, si tu faraghani bali hadharani pia

13. TUMIA HAKI YAKO YA MSINGI KWENYE MAPENZI ILI KUONGEZA HAMASA YA MAHUSIANO YENU
Yeye ni wako, kwa hiyo jisikie huru kumtania, kumshika kumshika kila mahala kama vile makalioni, kumpapasa ngozi, kushika kiuno chake basi ukifanya hivyo anahisi kuwa wako na wewe ni wake

14. MBUSU SANA
Mvuto wa kijinsia unahusishwa na kumbusu. Kadiri unavyombusu ndivyo anavyohisi kuwa na unampenda na unamtamani

15. MPE HUDUMA ANAZOSTAHILI TOFAUTI NA TENDO
Usimwambie tu mambo sahihi lakini pia umtendee mambo kama Malkia ukiwa na hasira jitahidi na kufikiria kwanza kabla ya kutenda Hata wakati tendo kama unahasira akili huwa haipo sawa kichwani mwako, mtendee kama mwanamke. Ikiwa unatarajia kufanya tendo na mke wako vizuri katika chumba cha kulala, mtendee mema nje ya chumba cha kulala

16. MJULISHE ANAPOKUGUSA VIZURI
Ikiwa kuna chochote anachofanya ili kukufurahisha, mjulishe. mapema Usimfanye ahangaike kujua afanye nini ili akufurahishe. Anapokuona unazama kwenye mguso wake anahisi mtamu sana.

17. MFANYE AVAE UNAVYOPENDA WEWE
Je, unampenda akiwa amevalia nguo ndefu zenye kubana, migongo wazi, nguo fupi, visigino virefu, chupi nyekundu, bikini, lace, hariri; mwambie avae upendavyo wewe

18. MSHANGILIE
Anapokuchezea mziki, anaimba kwa ajili yako, kucheza ngoma kwa ajili yako, huvaa nguo za ndani kwa ajili yako mshangilie, aongeze ujasiri wake.

19. KUWA MWAMINIFU
Mwambie anatosha kuwa pekeake kwako. Usiwe na mwingine ila yeye tu

Add Comments


EmoticonEmoticon