Author: Raha Special

Tabia Ya Kutaka Kumdhibiti Mwenza Husababisha Migogoro Ya Kimapenzi Fahamu viashiria vya tabia hiyo,vyanzo vya tabia hiyo na ufumbuzi wake migogoro ya kimapenzi yenye kujirudia rudia huwa inajitokeza pale ambapo mwanaume au mwanamke anachukua jukumu la mzazi wa mwenza.Kwa maana inaitwa parenting your partner kwa maana ya tabia ya kumchukulia mwenza wako kama vile ni mtoto mdogo hivyo muda wote unakuwa unamrekebisha tabia na kumuelekeza nini cha kufanya. badala ya mahusiano kuhusisha watu wawili wenye akili timamu inakuwa kinyume chake inakuwa mama-mtoto au baba-mtoto . Mwanamke anachukua tabia ya mama mzazi au mwanaume anachukua tabia ya baba mzazi mahusiano yanakuwa…

Read More

Mwanaume – Fahamu Haya Ili Uwe Bora Katika Mahusiano Mwanamume anayeweza kudhibiti hamu ya tendo ni mtu anayeweza kuishi miaka mingi duniani. Wanaume hawajui kwamba baadhi ya kushindwa kudhibiti hamu husababishwa na kuwa na wanawake wengi japo Sio wanaume wote. Wanawake wengine wanakuja kwako kwa lengo la uharibifu. kuwa Makini sana: 1. Mwanaume wa kweli ana mwanamke mmoja tu maishani mwake. 2. Usiruhusu kupandisha hisia wakati wote. Mishipa mingi huchoka kudhibiti uume wako ikiwa hutaki kudhibiti hali hiyo. 3. Usimchumbie mwanamke kwa sababu ana umbo zuri, matiti na umbo la kuvutia. Haya mambo ni ya kupotosha. 4. Sio kila…

Read More

Kuwa Na Busara Epuka Kumuuliza Mtu Maswali Haya 1. Hujaolewa tu? 2. Kwanini Huna Watoto? 3. Utazaa lini, umri unaenda! 4. Unafanya kazi wapi? 5. Kwanini Umenenepa/Umekonda? Watu wanapitia mambo mengi magumu ambayo huna taarifa nayo wala hujawahi kuyasikia, jitahidi kuwa mwenye ufikirio unapozungumza na wengine. Ikiwa wewe umefanikiwa kupata vyote jitahidi kutoropoka maneno unayodhani yako sawa kwa upande wako. Kuna watu wanapitia changamoto za mahusiano, uzazi, uchumi na mambo mengine ya kifamilia, try to be kind! Nakumbuka kuna siku sikuwa najua lolote lile nikapata mawasiliano kwenye group na school mate mmoja hivi, maana miaka mingi ilipita bila mawasiliano, mule…

Read More

Mambo Ambayo Huwezi Kuyanunua Kwa Pesa Kwenye Uhusiano Hapa kuna mambo ambayo pesa haiwezi kununua katika uhusiano: 1. Kuaminiana: Kuaminiana hujengwa kupitia matendo, mawasiliano, na kujitolea, si kwa mali. 2. Upendo: Upendo wa kweli na mapenzi hayawezi kununuliwa au kubadilishwa na zawadi. 3. Heshima: Heshima hupatikana kwa kuelewana, kuhurumiana, na fadhila. 4. Mawasiliano: Mawasiliano yenye nguvu yanahitaji jitihada, usikivu wa makini, na akili ya kihisia. 5. Muunganisho wa Kihisia: Muunganisho wa kina wa kihisia hujengwa kupitia uzoefu ulioshikiriwa, kuongozwa na huruma. 6. Ukaribu: Urafiki wa kweli unapita zaidi ya uhusiano wa kimwili; inahitaji ukaribu wa kihisia na kushinda mazingira magumu.…

Read More

Sheria 15 rahisi za mwanaume ambazo kila mtu anapaswa kuzijua: 1. Hasira ni adui yako namba moja kwenye maisha, iruhusu ije na pia iruhusu iondoke lakini usiiruhusu ikutawale. 2. Huhitaji watu au vitu vya kimwili ili kuwa na furaha. Wapo watu watakaokuzidishia hasira zaid na kukuharibia furaha ndogo uliyo nayo. 3. Wanaokuchukia ndio watu wako wa karibu, ukiwa na watu wanaokupenda watumie ipasavyo. 4. Maana halisi ya Familia haimaanishi mchangie damu tu hata watu baki ni familia yako. 5. Ndugu msipigane wala kugombana kwa zaidi ya masaa 24. tabia hizo hufanywa na Wanawake, sio wanaume. 6. Kujifunza jinsi ya kupigana…

Read More

SIRI 9 KUBWA KATIKA NDOA! Siri ya 1: Kila unayemuoa ana udhaifu. Hakuna mtu aliye mkamilifu, anayekuja katika vivuli vyote vya ukamilifu ndiye aliye hai ndani ya mwenzi wako, na huyo ni Mungu tu. Kwa hiyo ukizingatia udhaifu wa mwenzi wako huwezi kupata kilicho bora kutokana na nguvu zake. Tazama, wanandoa wanaodumu ni wale wanaokuza nguvu za kila mmoja, badala ya udhaifu wao. Siri ya 2: Kila mtu ana historia mbaya kwenye mzunguko wa maisha yake. Hakuna mwenye umalaika. Unapooa au kuolewa acha kuchumbia zama za mtu. Cha muhimu kwenye maisha ya ndoa ni kujari maisha ya sasa ya mpenzi…

Read More

MWANAMKE – WAFAHAMU VIZURI WANAUME, EPUKA KUUMIA KIMAPENZI Wanaume huwahitaji wanawake kwa sababu kuu mbili, tendo na upendo wa kweli, lakini mara nyingi wanaume huwa hawatambui wanawahitaji wanawake kwaajili ya tendo au kwa ajili ya upendo, hali hii hupelekea wanaume kuoa mtu asiye sahihi kwenye maisha yake. Mwanaume anaweza kukupenda kwa kiasi kikubwa na asikuoe. Mwanaume anaweza kufanya mapenzi na wewe kwa miaka mingi bila kukuoa. Lakini kama atapata mtu ambaye ataleta utulivu katika maisha yake, basi atamuoa. Wanaume ni watu wenye maono ya ajabu sana hasa wanapofikiria kuhusu ndoa, huwa hawafikirii kuhusu wao wanafikiria kuishi tu na mtu yeyote…

Read More

MAMBO 4 YA KUZINGATIA UKITAKA KUWA MWANAUME IMARA AU RIJALI 1. UHURU Mwanaume Rijali anathamini uhuru wake kuliko kitu chochote,mwanaume Rijali hawezi kuishi kwa kumtegemea Mwanamke wake kwenye fedha,salio,kula,kuvaa, nyumba ya kuishi, gharama za matibabu, usafiri,zawadi n.k mwanaume Rijali anajua ni wajibu wake kuhakikisha maisha ya mwenza wake yanakuwa salama. mwanaume Rijali haishi kwa kutegemea sapoti ya Mwanamke bali Mwanamke akitoa sapoti inakuwa bonus ili kuepuka kumlaumu Mwanamke pale ambapo haonyeshi ushirikiano. Mwanamke yeyote akiona unamhitaji sana ili mambo yako yaende huanza kuonyesha dharau waziwazi,atakuwa na kiburi, majivuno,ataanza kuonyesha jeuri kwa sababu anajua hauwezi kumuacha wala hauwezi kuishi bila yeye.Lakini…

Read More

Sifa Za Mwanaume Ambaye Atasumbuliwa Na Mwanamke Maisha Yake YoteNa jinsi ya Kuwa Mwanaume Imara – Anakuwa hajiamini mbele ya Mwanamke,akiona mwanamke mwenye muonekano mzuri tu anapagawa,anatetema sana,anahisi Mwanamke huyo ni malaika na mkamilifu,kisha anajiona yeye yupo na dosari nyingi sana na mapungufu mengi sana ambayo yatamkwaza Mwanamke huyo,hivyo ataanza kuonyesha kumnyenyekea sana, kumbembeleza sana, kujitutumua sana, kujieleza sana, kumuahidi mambo mengi sana,kutumia fedha nyingi sana ili kumfurahisha akiamini atapendwa sana kuliko wanaume wote lakini huambulia kuchunwa fedha zako zote na kuachwa mifuko mitupu,hujibiwa kwa maneno makali sana yenye udhalilishaji,hufokewa,hutukanwahuambiwa wewe sio wa HADHI yangu kisha mwanaume anaanza kulia, kuomba…

Read More

Mwanamke anaweza kukwambia tuachane isiyomaanisha, akiwa kwenye mwonekano unaoitwa seriously. Kisha akabadilika kuwa kwenye huzuni ya kweli, kama utaamua kukubaliana na yeye. Kwasababu alihitaji umbembeleze, sio utembelee kauli yake. Ngoja nikwambie kitu mwanaume mwenzangu. Siku mojamoja kuwa Kaisal kimaandishi, halafu msomee kwa sauti ya Khan Mbarouk. Mwambie licha ya udhaifu wako wa kutamani wengi, lakini unampenda peke yake. Msimulie hadithi za kina Sharifa na Sarah, walioahidi kukupa hadi Mungu alivyovikataza. Mwambie amestahili kuwa na wewe, sio bahati kama mitaa inavyozungumza. Mkumbushe sifa ulizomwongopea, kipindi cha harakati zako za kumtongoza. Mwambie unamwona malaika aliyetoroka peponi, kila unapomtazama Eva wako wa Vikindu.…

Read More

Sababu kadhaa Kwanini Mwanamke aliye na Wapenzi wengi wa zamani ni Chaguo Hatari kwenye Ndoa Waungwana, tuseme ukweli. Historia ya mwanamke ni muhimu kuifahamu kabla hujamuoa. Ikiwa atakuwa na wapenzi wengi kwaajili ya kujiridhisha kwa nafsi yake kwene ngono, basi huyo hatafaa kuwa mkeo halali unayemhitaji kujenga nae mustakabali salama wa maisha. Ukweli ni mchungu sana lakini lazima niuseme na endapo utaupuuza ukweli utakupeleka kwenye njia ya hatari zaidi, ikiwa ni pamoja na kuvunjika kwa ndoa, na hata uharibifu wa kifedha. Acha nikuchambulie, moja kwa moja kwa uhakika. Hapa kuna sababu kadhaa kwa nini wanawake walio na viwango vya juu…

Read More

Jinsi Ya Kudumu Muda Mrefu Kitandani Wakati Wa Tendo 1. Jua jinsi ya kumuandaa mwanamke hasa kumtia nyege, usiwe na haraka ya kuingiza mashine kabla mwanamke harowa 2. Badilisha mtindo hasa unapokaribia kufika kileleni 3. Epuka sana kujichua au punyeto. Hii itakufanya ushiriki vizuri zaidi katika kutengeneza mapenzi na mwenzi wako. punyeto hufanya uongeze kasi ya kufika kileleni 4. Jua jinsi ya kuiingoza akili yako. Akili yako ndiyo inayodhibiti viungo vyako wakati wa tendo. Unaweza kuiongoza akili yako kuvumilia wakati wa kumwaga au kutoa maji 5. Jaribu Kuwa na wakati wa kumbusu wakati wa kufanya mapenzi 6. Tulia. Usichangamke sana.…

Read More

UKWELI KUHUSU WANAWAKE KUPENDA MVUA NA KULOWANA 1. Baadhi ya wanawake hupenda mvua wakati wa masika na vipindi vya mvua. Mume mwerevu hapo anajifunza na kutambua kuwa ni wakati ambao mke wake anapopandisha joto hii ni fursa ya kufanya mapenzi zaidi. 2. Madhumuni ya kulowa kwa mwanamke ni kufanya tendo la ndoa ambalo linahusisha msuguano kati ya uume na uke, wakati kuna kama kabaridi kaliko changanywa na joto penzi huwa la kufurahisha. 3. Wakati wa mvua au baridi kiasi fahamu kuwa mwanamke uke wake huongezeka ute na uke wake huwa wazi mara nyingi mwanaume wakati wa mvua hakikisha unakuwa karibu…

Read More

UKIMHESHIMU MKE WAKO NA WATU WATAKUHESHIMU PIA Kanuni ya kwanza ya maisha: Ili kuheshimiwa kama mwanaume, ni lazima watu wamheshimu mwanamke wako! Najua inaweza kuonekana kama jambo dogo, lakini ndiyo ukweli. Kama watu hawamheshimu mwanamke wako, basi jua hata wewe wanakudharau. Iwe ni mama yako mzazi, dada yako, au marafiki zako, ni lazima wamheshimu mwanamke wako. Hapo ndipo utajua kwamba wanakuheshimu wewe. Labda nikupatie mfano: Umeoa, kama mama yako anamtukana mke wako, kama dada yako anamtukana mke wako, au kama jirani au rafiki wanamzungumzia vibaya mke wako mbele yako, si kwamba hawamheshimu mke wako tu, bali wanakudharau wewe. Wanakuona…

Read More

KUFANYA MAPENZI KIPINDI CHA UJAUZITO Kiu yetu baadhi ni kujibiwa maswali kama, ni ruksa kujamiina na mjamzito… Jibu ni NDIYO Kama jibu ni ndiyo je style zote zinaruhusiwa…! Jibu ni HAPANA Staili ambazo mwanamke mjamzito anaweza kutumia na mwenza wake wakiwa katika huba na kumfanya afurahie tendo la ndoa…. 1. KUINAMA Hapa mwanamke anapaswa kuinama na kushikilia kiti, kitanda au kitu chochote kitakachomfanya asichoke miguu yake wakati mwanaume atakapokuwa akimwingilia kimwili. Hii ni staili nzuri kwa mwanamke mjamzito kwani mwanaume hataweza kulisukuma matumbo lake. Hata hivyo, staili hii ina tatizo moja, uume wa mwanaume hauwezi kukisugua kinena na ikumbukwe kuwa…

Read More

Mambo Ya Kuzingatia Unapokua Na Mtoko Na Mwanaume Kwa Mara Ya Kwanza. 1. CHAGUA ENEO ULILOZOEA. Kama umepata nafasi ya kuchagua,basi chagua eneo ambalo umelizoea.Kwenda sehemu iliyozoea kunakuongezea utulivu na kujiamini.lakini hata ukialikwa sehemu flani basi pendekeza eneo lenye hadhi sawa na hilo lakini ambalo umelizoea. zingatia eneo hilo lisiwe nyumbani kwako ama kwake. 2. KULA /KUNYWA ULICHOZOEA. Kama mtoko huo utajumuisha kula ama kunywa basi zingatia vile ambavyo umevizoea. 3. KUWA NA PESA YA KUTOSHA MATUMIZI YAKO. Zingatia sana hilo,uwe na hela ya kwenda na kukurudisha utokapo lakini pia zingatia sana utachokula na kunywa kiendane na mfuko wako,habari za…

Read More

Dalili Kwamba Mahusiano yenu Yanakwenda Kufa – Chukua Hatua Mapema 1: MIGOGORO Ya Mara kwa Mara. Ni Jambo la kawaida Kupishana Mwanaume na Mwanamke wakiwa kwenye MAHUSIANO. Kwa sababu Ya “Gender Difference”……! Lakini Kuna Kiwango Cha Migogoro ikianza unajua kabisa hapa Hamuendi MBALI. Migogoro isiyoisha ( Endless Conflict)…! Migogoro inayokuja kwa kujirudia rudia ( Repeating Conflict). Kuna kitu kinaitwa “CONFLICT SPINNING” “Ni Hali ya kuwa kwenye Mzunguko wa Migogoro”. MGOGORO huu ukiisha unaibuka Mwingine. Hii ni Kusema……..! “Mnatumia Muda Mwingi katika KUTATUA Migogoro Zaidi Ya Muda wa Kufurahia PENZI lenu”. 2: MANENO Mnayotamkiana Mkiwa kwenye MGOGORO. Umewahi kusikia USEMI…

Read More

KULALA NA WANAWAKE WENGI HAKUKUFANYI KUWA MWANAUME BORA Kulala na wanawake wengi tofauti hakufafanyi uanaume wa mtu au kuwafanya kuwa wanaume bora.” Hapa kuna baadhi ya sababu kwa nini: Uanaume wa Kweli_ 1. Heshima na wajibu: Uanaume wa kweli ni kuheshimu wengine, kuwajibika kwa majukumu yako, na kuwajibika kwa tabia yako kila wakati. 2. Akili timamu kwenye hisia: Mwanaume halisi anagusa hisia zake, anaweza kuzieleza kwa njia yenye afya, na anatakiwa kuwa na huruma kwa wengine. 3. Uadilifu na tabia: Mtu mwenye tabia njema ni mtu anayesimamia maadili, na kanuni, na ahadi zake Hatari za Kuwawekea Malengo Wanawake 1. Lengo_:…

Read More

MAMBO 16 YANAWEZA KUUA NDOA 1. Uvivu wa kijinga usio na msingi unaua ndoa 2. Kuwa na Mashaka na mwenzio kunaua ndoa 3. Kutokuaminiana kunaua ndoa 4. Kutoheshimiana kunaua ndoa 5. Kutosamehe kunaua ndoa 6. Mabishano yanaua ndoa 7. Kutunza siri kutoka kwa mwenzi wako kunaua ndoa 8. Kila aina ya ukafiri unaua ndoa 9. Mawasiliano duni yanaua ndoa 10. Uongo unaua ndoa kirahisi 11. Kuhusiana zaidi na wazazi wako kuliko mwenzi wako kunaua ndoa 12. Kukosekana au kutofanya tendo kwa kutofurahishana kunaua ndoa 13. Kuhangaika kunaua ndoa 14. Maongezi mengi ya hovyo yanaua ndoa 15. Kutomwamini Mungu kunaua ndoa…

Read More

Makosa Ambayo Watu Wanafanya Kwa Sababu Ya Mapenzi:Upendo unaweza kusababisha watu kufanya makosa, ambayo mengine yanaweza kuwa na matokeo ya kudumu. MAKOSA YA KAWAIDA: 1. Kupuuza kumuonya mwenzio kwa tahadhari kama ishara za onyo 2. Kuzingatia masuala ya utengamano 3. Kupuuza maadili na mipaka ya kibinafsi 4. Kutoa zawadi zinazoathiri kujithamini 5. Kuwezesha au kuvumilia tabia ya kuwa na matusi 6. Kuchanganya mapenzi na kutamani au kupendezwa na hali hiyo 7. Kukimbilia kwenye ndoa kisa ahadi ya ndoa 8. Kupuuza mawasiliano na utatuzi wa migogoro 9. Kutanguliza upendo kuliko kujijali 10. Kukaa katika mahusiano yenye sumu au yasiyo na furaha…

Read More

MAMBO 23 YA KUFANYA ILI KUMWEKA MUMEO KWENYE MIKONO YAKO MUDA WOTE 1. Mwite jina lake kimapenzi 2. Mruhusu atumie mamlaka yake akiwa kama kichwa cha familia. 3. Usimuongezee changamoto anapokuwa hayupo sawa. 4. Jaribu kujishusha anapokuwa na hasira. Unaweza kuutumia muda wakati atakapokuwa katika wakati wa utulivu na atakuomba msamaha na kukuelezea kwa nini alifanya hivyo ambayo vilikukasirisha. 5. Kuwa mwepesi wa kusema neno”Samahani mpenzi” wakati wowote unapomkosea, msisitizie msamaha wake, thamini na kumbusu anapokukosea. 6. Mzungumzie vizuri mbele ya Marafiki zake na ndugu zake. 7. Waheshimu wazazi wake 8. Jitahidi kuwanunulia wazazi wake zawadi na hivyo hakikisha kwamba…

Read More

KUUGULIA WAKATI WA TENDO LA NDOA, NI Nzuri au Mbaya? Kuugulia wakati wa tendo ni ufafanuzi wa asili hasa ule wakati wa tendo wa raha na msisimko. Kuomboleza hukusaidia kuwasiliana na furaha na pia hukusaidia kuunda muunganisho wa kina na mwenzi wako kwa kueleza hisia. Wanawake huugulia wakati wa kujamiiana ili kuwasiliana na waume zao kwamba wanafurahia kile wanachofanyiwa. Milio ni mwitikio wa mwili wako kwa raha unazopata. Kuugulia humwambia mumeo kwamba umewashwa au unahisi raha. Kuugulia ni kelele ya kuvutia isiyo ya hiari unaugulia wakati wa joto kwa sababu unashindwa kuvumilia hisia zako Wanaume pia Kuugulia kwa sauti kubwa…

Read More

JINSI GANI MWANAUME ANAWEZA KUMFANYA MWANAMKE AJISIKIE KUFANYA TENDO 1. MTAZAME KWA JICHO LA BASHASHA Mwanamke huwa anahisi kuhitajika zaidi kulingana na mwanaume wake anavyomtazama machoni. Wanaume ni viumbe wenye msisimko kwa muonekano au viungo vyao hasa wakijua matumizi kwa hiyo atatazama kuona kama macho yako yanamwambia neno ‘Nakutaka’ 2. MJULISHE JINSI AKIWA KWENYE HALI YA HAMU Anapokuwa anajisikia hamu vizuri. Ikiwa uko karibu naye tumia mbinu kwa bidii au kufikiria juu yake wakati ninyi wawili mpo mbali mpe taarifa juu ya kinachoendelea ndani ya boxer yako kwa ajili ya faraja mjulishemkeo anahitaji kujua . 3.USIFIE MWILI WAKE Mzungumzie, mwache…

Read More

UNAPOBAHATIKA KUPATA MWANAMKE MWENYE MAPENZI YA KWELI NA ANAYEKUTHAMINI KILA SIKU UTAKUWA UNAAMBIWA MANENO HAYA 1. Habari ya Asubuhi mpenzi, natumai ulipata usingizi mzuri sana. Habari za leo? Amka ujiandae kuelekea kazini. Usisahau kuomba dua na maombi kwaajili ya kazi. 2. Ndiyo kipenzi, nimekukumbuka sana, natumaini unafurahia siku yako, naelekea jikoni kuandaa chakula cha mchana. tutazungumza baadaye. 3. Usiwe na presha mpenzi wangu, najua utafikia malengo yako ya maisha. Mimi nasimama kama msaada kamili kwako. 4. Usisahau kusali kila ifikapo saa ya kufanya ibada kuanzia asubuhi, ,mchana jioni na usiku. Kumbuka nguvu zetu ziko kwa Mungu. Nipigie ukiwa tayari kwa…

Read More

MAMBO 14 AMBAYO KILA MWANAMKE ANATAKA MWANAUME WAKE AJUE KUHUSU KITANDANI Wanaume na wanawake wana mtazamo tofauti kwa tendo la ndoa kwa hivyo ni muhimu kwa mwanamume kuwa na wazo la kile anachotaka wakati wa kufanya mapenzi. Hapa kuna mambo 14 ambayo kila mwanamke anataka mwanaume wake ayajue 1. Anataka uzingatie maeneo yake ya asili yanayo mpa hamu ya tendo la ndoa. 2. Kabla hujaanza kunuandaa hakikisha upo safi kwenye mwili wako huna uchafu wowote 3. Fahamu kuwa Kinembe chake ni sehemu nyeti sana hasa wakati wa tendo kinachukua nafasi kubwa sana ili yeye afike kilelelni. Epuka kutumia nguvu wakati…

Read More

MAPENZI KWENYE NDOA YANAPOKUWA MATAMU 1. Wote wawili mkiwa hamchokani na kuwa na hamu na mwenzie 2. Usingizi utapendeza zaidi mkiwa mnalala wakati sahihi 3. Kutokuwa na stress huleta ustawi wa kihisia na kiakili 4. Migogoro istokee mara nyingi na kama ikitokea itatuliwe mapema 5. Kuwa na Mazungumzo ya karibu zaidi na mwenzio mara nyingi 6. kufanya mapenzi kwa lengo la kuwa na watoto kunaleta furaha 7. Wawili nyinyi mnatakiwa kupeana nafasi ya kuvutiana zaidi 8. Wote wawili muwe na nyongeza ya kimaisha kujipatia kipato 9. Wote Wawili mrudi nyumbani kwa wakati sahihi 10. Wote Wawili jitengenezeeni kumbukumbu ya mapenzi…

Read More

WAPENDWA WANAUME MLIO OA Hakuna atakayekuambia haya ila mimi nitakuambia; Ukitaka kufika mbali kimaisha, mpende mkeo, mtunze vyema, mfurahishe na maombi yake yatakufungulia milango ya mafanikio. Kumbuka mambo yanapobadirika kiafya au kifedha ni mkeo tu ndiye atakayekulisha na atakuwepo kwa ajili yako wakati wa shida na matatizo. Marafiki zako wengi na mademu wa pembeni watakuacha!

Read More

LUGHA TANO ZA MAPENZI Watu wengi wanafikiri kimakosa kuwa kuna lugha moja tu ya mapenzi. Hebu tuliangalie hili kiundani. Dhana ya Lugha 5 za Upendo ilibuniwa na Dk. Gary Chapman mnamo 1992. na hizo Lugha tano za mapenzi ni: 1. Maneno ya uuhakika 2. Muda bora 3. Mguso wa kimwili 4. Matendo ya utendaji 5. Kupokea zawadi Tangu wakati huo, watu wengi wamekuwa wakitaka kujua “Lugha ya mapenzi ni ipi?” Ukweli ni kwamba, uhusiano/ndoa yako inahitaji Lugha hizi zote za Upendo kwa kipimo kamili. Ngoja nikuelezee. MANENO YA UHAKIKA: Mpenzi wako atakuhitaji umhakikishie. Upendo huwekwa hai kwa uthibitisho. Ndiyo maana…

Read More

MUDA WA TENDO LA NDOA 1. Sio kila wakati ni wakati wa kufanya tendo la ndoa. jifunze kumtambua mwenzi wako akiwa na uhitaji na asipokuwa na uhitaji 2. Kama wewe ni mwanaume una udhaifu wa kufika kileleni haraka sana, basi jaribu kujisoma timing yako ili uache kumpa mateso hivyo basi unapoona ukaribia punguza spidi na mtoe babu nje pale unapohisi unakaribia kufika kileleni. Hii itachelewesha kumwaga haraka 3. Usitumie muda mwingi kufanya staili moja wakati wa kufanya mapenzi. Mwenzi wako anaweza kuchoka haraka. Muda mzuri ni wakati unapohamia kwenye tendo la ndoa huwa linahitaji uchunguzi wa kutosha. Kwa mfano, usibusu…

Read More

VIDOKEZO 18 VYA NDOA 1. Ukiolewa utawavutia sana wanaume wengine. Jifunze kuweka mipaka 2. Kila ndoa ina changamoto zake, zitambue njia za kuzitumia changamoto hizo kutunza ndoa yako 3. Unaweza kuwa tayari kuwa kwenye ndoa lakini ukiolewa na mtu ambaye hayuko tayari kuwa chaguo lako utachanganyikiwa sana. Usiwe unampenda mtu asiye sahihi kwako kwa njia sahihi 4. Tambua Kuna maisha ukiwa kwenye ndoa, Jaribu kufuata lengo lako binafsi lakini timiza kwa pamoja na mumeo 5. Mkioana lakini mkawa mnapenda ushindani tambua kuwa ndoa hiyo haitakufaa 6. Tafuteni shughuli za kufanya nyinyi nyote kwa pamoja kama wanandoa. Upendo hujengwa na shughuli…

Read More

JINSI YA KUMSAIDIA MUME WAKO Mke aliumbwa kama msaidizi na mwenzi. wewe huwa Unamsaidiaje? 1. Tafuta malengo yake ili uwe tegemeo lake 2. Wasiliana na malengo yako binafsi ili kwa pamoja mtimize kusudio lenu 3. Mpe Changamoto akue kiakili. lakin Usifurahie hali hiyo, mjulishe mawazo mapya juu ya jinsi ya kufanya ndoa yenu iende vizuri, jinsi ya kushughulikia fedha, jinsi ya kufanya kazi kwa busara, jinsi ya kuwa bora zaidi kwenu nyinyi wawili. 4. Yapendezeshe mazingira yake na kuyafurahisha macho yake. Kuna kitu cha kusisimua kuhusu mwanamke kwa mwanaume 5. Fanya kazi na uchangie kwenye mahitaji ya familia. Kuwa Mwanamke…

Read More

MWANAMKE MTHAMINI SANA MWANAUME WA AINA HII: 1. Mthamini mwanaume anayempenda mama yake mzazi hii inamaana. Amelelewa vizuri huko alikotoka 2. Mthamini mwanaume anayependa kusoma, maana atashinda kila aina ya mitihani. huyu ni mwenye hekima 3. Mthamini mwanaume mcheshi. Hutajuta kuishi nae maana hachoshi 4. Mthamini mtu anayewajari wageni na wasio wageni bila kujari huyu ni nani anacheo ganina huyu anaheshima. na moyo mwema 5. Mthamini mwanaume anayekupa muda wa kukusikiliza. utakuwa unaeleweka kila wakati kwake 6. Mthamini sana mwanamume ambaye wazo lake la kujifurahisha kwako linajenga. huyu anakuwa Amekomaa kiakili 7. Mthamini mwanamume anayewajibika kifamilia na yupo tayari juu…

Read More

SHERIA 12 ZITAKAZOONGOZA NDOA YAKO AWatu wawili wanawezaje kuongozana pamoja wasipopatana? Ukweli ni kwamba, ndoa nyingi huharibika kwa sababu ya kutoelewana pande zote mbili. Kutoelewana kunaletwa ukosefu wa maelewano ya kushughulikia masuala yanayoathiri kila ndoa. Kushindwa kukubaliana kutapelekea mume na mke kutafsiri mambo kwa njia tofauti na kusababisha kuumiza hisia Kubaliana na mwenzi wako kuhusu cha kufanya na usichofanya. Kuwa na sheria hizi. 1. SHERIA ZA TENDO LA NDOA Kubali kwamba unaweza kufanya tendo la ndoa kwa njia yenye msimamo, lakini pia ukubaliane juu ya kile ambacho hautajaribu kufanya. Kwa mfano; hakuna ngono ya kinume na maumbile, au kutopiga punyeto…

Read More

KINACHOMFANYA MWANAMKE KUNG’ARA 1. KUJIPENDA Mara tu mwanamke anapojipenda, mwanga wa ndani hutoka ndani na huonyeshwa kupitia kwenye tabasamu lake, macho, sura ya uso, tabia na sauti. 2. MSAMAHA Uchungu hutia giza rohoni lakini msamaha humfanya ang’ae. huonyesha kuwa Amekataa kuwapa mamlaka wale waliomdhuru siku za nyuma 3. KUFAHAMU KUSUDIO LAKE Mara tu anapojua sababu yake ya uwepo wake, yeye huangaza mwanga. na kufahamu Kuwa kuhusu kosa lake kuwa kutenda kosa sio kosa bali ni uumbaji wa mungu alimuumba binadamu kuna na madhaifu, na mazuri hali hiyo humfanya ang’ae kwa ujasiri 4. MAENDELEO Maendeleo katika maisha yake yanamfanya ang’ae. Ingawa…

Read More

(A) MBUSU MKEO NA KUMWAMBIA MANENO HAYA “Mke wangu, asante kwa kuvumilia udhaifu wangu. Asante kwa kuvumilia shida na matatizo yangu. Asante kwa kufufichaa aibu zangu kwa watu. Asante kwa kutokubaliana nami wakati mapendekezo yangu yapokuwa hayapo sahihi. Asante kwa kutazama mpira pamoja nami ingawa wewe si shabiki wa mpira. Asante kwa kushirikiana na mimi kwenye mambo ya kifedha tangu tulikipokuwa na hali ya chini. Asante kwa kujiweka katika hali ya kufanya tendo la ndoa hasa nikikuvutia kingono. huwa Hunikatai. Asante kwa kujaribu nafasi tofauti za mitindo tofauti ya kufanya mapenzi na zile ninazozipenda na japo kuna wakati huwa haupendi…

Read More

HIZI NDIYO ALAMA KUU ZA UAMINIFU NA MAANA ZAKE… 1. Kulala karibu na mwenzi wako bila uoga, na kuwa na uhakika kwamba hatokudhuru. 2. Kuzaa watoto mkiwa pamoja nyakati zote za malezi pasipo kumtelekezea mmoja majukumu ya ulezi 3. Kutambulishana kwa wazazi na familia zenu, ikiwa unauhakika kwamba utawaheshimu na kuwapenda wazazi wake kama wako. 4. Kula chakula ambacho amepika mwenzi wako bila uoga, ukijiamini kuwa hakiwezi kuwa na sumu. 5. Kukutazamana hasa mmoja wenu akipita mlango wa nyumba, ili kuhakikishiana kuwa hatafanya chochote cha kuhatarisha familia yenu isije kuingia kwenye maisha hatarishi. 6. Kuwekeza mapenzi thabiti pasipo kuingiza uwezo…

Read More

UKWELI LAZIMA USEMWE 1. Wanawake huwa hamjali mwanaume anayempenda na kumheshimu mama yake, mnachofanya ni kumuona kama akili ya kitoto au humuita mtoto wa mama fahamu kuwa kuwaheshimu wazazi wako hapa duniani ni daraja kubwa sana kuliko udhaniavyo wewe 2. Wanaume tumeshau uungwana na kuchukulia kawaida bila kujali kuwa mwanamke kuna muda anatakiwa anunuliwe make up na na avae vizuri, tunachofanya ni kumfanya mwanamke aonekane kama hana akili timamu na asiye na maana na kusahau kuwa anathaman kuliko mali tunazozikumbatia kikubwa unachotakiwa kufanya ni kumtunza na kuthamin umbile lake na mwili wake. 3. Kweli dunia imeisha kuna Wanawake siku hizi…

Read More

HATUA HIZI 10 ZITAKUFANYA UFURAHIE TENDO LA NDOA ZINGATIA USAFI 1. Wakati midomo yenu inabusiana hakikisha unatoa hewa safi 2. Wakati unavaa chupi na nguo za ndani hakikisha kuwa ni safi na zinazo vutia 3. Wakati mwanamke unavaa weave ama wigi hakikisha kuwa halinuki 4. Wakati mwingine weka nywele za usoni ziwe za kumvutia mwanaume 5. Hakikisha manukato unayotumia kujipulizia mwilii au kwenye mavazi sio makali sana yasimuumize mwenzio wakati wa tendo 6. unavyonyoa vuzi hakikisha unanyoa kiustad kwa kifaa na dawa maalumu kuepuka miwasho mara kamara 7. Hakikisha kwa bibi hakutoi harufu ya kuchukiza mpaka kumpelekea mwenzi wako ashindwe…

Read More

SANAA YA KUONGEA NA MPENZI WAKO 1. Epuka kuzungumza naye kwa ukali. Usimfanye ajisikie kama unashindana naye 2. Akikosea Usimseme kwa ukali kufanya hivyo ni kuhatarisha penzi lako 3. Mpe nafasi na muda wa kuzungumza. Usitawale mazungumzo, muda wote 4. Kuwa mkweli. Usiwe mwanamke wa kumsema maneno makubwa na kutukana. Matusi yako yataghairisha mahusiano 5. Angalia sauti yako. Unaweza kuwa unasema jambo sahihi lakini sauti yako ikawa haipo sahihi. Wakati mwingine ujumbe wako haupokelewi vyema kwa sababu ya uwasilishaji wako 6. Usitoe mahaba ya kimya, hii huwa inamsukumo wa mbali 7. Usiwe mtu wa kutoa amri na maelekezo kama bosi…

Read More

JINSI YA KUMFANYA MWANAUME AKUPENDE Je, umechoka kuchukizwa na wanaume? Wanakuchumbia tu halafu wanakuacha? Haya ni mambo unayoweza kuyafanya ili kumfanya mwanaume akupende na hata kukuchumbia, kukuoa na kushikamana nawe milele… 1. HESHIMA: Jifunze kuwaheshimu wanaume kutoka ndani ya moyo wako. Hakuna mwanaume anayeweza kumpinga mwanamke anayemuonyesha heshima na nidhamu kubwa. 2. SHUKRANI: jifunze kuthamini kila jambo jema ambalo wanaume wanakufanyia. Mwanamke anayejua jinsi ya kumthamini mwanamume 3. UPENDO WA DHATI: wanaume wanapenda kusifiwa. kuhusu Akili yake, mafanikio, sura nzuri na kazi ina maana kubwa kwake 4. SIFA: kila anapofanya jambo la kawaida, msifu sana. Usimbembeleze, wanaume wanachukia kubembelezwa kupitiliza,…

Read More