Author: Raha Special

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 86 Niliwaza nisitumie tena maneno bali nifanye matendo. Kwakuwa hakutaka kunitongoza, na kwakuwa nilimtongoza hakunikubalia niliona bora nitumie mbinu ya kufanya nae mapenzi kwenye siku za hatari ili nifaidike kwa mambo matatu. Kwanza nipate ladha na utamu wake, pili nilishike mimba yake na tatu atanioa kupitia mimba. Nilitabasam kwa furaha mara baada ya kupata wazo hilo, nilijiona mshindi. Siku iliyofuata ilikuwa ni jumamosi, siku hiyo Genson alikuwa ana zamu ya mchana. Nilimpigia simu nilimuomba usiku tutoke out, tuende club tukapate burudani; alifurahi sana na alikubali ombi langu. Basi bwana nilipiga kazi zangu hadi jioni,…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 81 Nilipata mawenge na muhao, pale pale nilianza kulia. Nilitamani niondoke kimya kimya lakini niliona haiwezekani. Niliwasogelea karibu zaidi ili nao wanione vizuri, ni kweli waliniona. Genson ndiye alikuwa wa kwanza kuniona, alishtuka, aliganda akinishangaa. Yule binti nae aligeuza macho alinitazama, alishindwa kunielewa. Baada ya kuonekana sikutaka kuendelea kupata maumivu, kwanza nilifuta machozi, niligeuka nyuma kisha niliondoka kwa kasi ya maumivu. Kwa mbali nilisikia Genson akiniita, aliniambia nisimame lakini sikusimama. Nilirudi dukani kwangu nilimkuta Nasri kashafika, alikuwa ananisubiri mimi. “Umeamini maneno yangu? Si umeona? Mi nilikuambia yule mtu hakupendi na hana mipango na wewe,…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 76 Licha ya kumtega kwa mavazi na mikao ya kihasara lakini ubaya ni kwamba Genson hakuonyesha kushtuka, hakunishangaa, hakunitamani wala hakudata na mwili wangu! Jamaa alikuwa wa kawaida tu as if hakuona chochote cha kushangaza. Aliweka zawadi juu ya godoro kisha alinitazama kidogo alafu alitabasam. Nilijua atakaa kwenye godoro lakini alivuta kiti alikaa. Moyoni nilijiuliza huyu mwanaume ni wa wapi? Ni kabila gani huyu? Mbona hategeki? “Gensuda” aliniita “Abee” niliitika taratibu “Ulijua kuwa nitaingia chumbani kwako, sasa kwanini umevaa hovyo hovyo? Ni kwamba siku hizi umeanza kukosa heshma au?” “Aah samahani Genson, tangu nilivyolala…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 71 “Mtu mwenyewe ni yule pale. Huyo aliyevimba uso, ambaye ana makovu usoni ni mkewe” Genso aliwaambia polisi “Kwahiyo ile video ni ya huyu mpuuzi akimpiga mkewe si ndiyo??…” Polisi mmoja aliuliza “Yes afande” “Ni yeye kwanza huoni hata hayo mavazi yake, ona hata sura lake limekaa kikatili. Limepata mwanamke mzuri alafu linampiga hovyo hovyo.. pumbavu kabisa, haya madudu ndiyo tunayoyahitaji pale ustawi wa jamii.. Dokta tunashukuru sana kwa kutuletea huyu katili wa jinsia. Hajui kwamba ni heri umuonee mwanaume mwenzio kuliko kumchokoza mwanamke, subiri tukamfunze adabu” Aliongea afande mwingine ambaye alivaa mavazi tofauti…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 66 “Nini?… Wewe umejuaje?” “Nimefuatilia nimegundua hivyo. Licha ya kwamba mumeo alimfukuza Rahabu pale kwenu lakini bado walikuwa wanaendelea kimahusiano. Alimpangia chumba, alimnunulia gari na mwisho walitengeneza kesi za uongo ili achukue vitu alivyokupa (nyumba, gari na biashara) alafu ampe Rahabu.” “Kumbe ndio maana mali zangu zote anazo Rahabu? Sasa kwanini hukuniambia mapema?” “Sikutaka kuwagombanisha, hata leo nakuambia lakini sitaki ukamuambie chochote. We kaa kimya tu ila uwe makini na ndoa yako. Yale yote anayofanya Rahabu anaambiwa na mumeo. Kwa sasa hakupendi wewe, anampenda Rahabu” Nilishindwa kuongea kitu, nilipata uchungu na hasira kali lakini…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 61 Kutoka moyoni sikupenda kabisa kumuandalia chai shetani, ila nilishindwa kubisha kwa sababu yeye ndiye kanioa na naishi kwenye nyumba yake. Niliingia jikoni, niliandaa chapchap kisha nilipeleka mezani. Baada ya sekunde chache mume wangu alitoka nje akiwa ameambatana na mkewe Rahabu, walipendeza kwelikweli, alafu walishikana mikono, funguo za magari zilitikisika tu, walitembea taratibu hadi mezani kisha wote wawili walikunywa chai yangu. Niliumia sana kuona mwanamke mwenzangu, mke mwenzangu, shetani nisiyempenda anakunywa chai iliyoandaliwa na mimi. “Alafu we Gensu ebu njoo kwanza” Rahabu aliniita kwa dharau, niliumia sana. Yaani wazi wazi alianza kunikosea adabu mbele…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 56 “Ooh jamani mmekuja kunisalimia, karibuni sana…. Mama shikamoo…” Rahabu alimsalimia mama “Marahaba!…. Lakini naomba kuuliza” “Uliza tu mama angu” “Wewe ni Rahabu au nakufananisha?” “Ni mimi mama kwani kuna tatizo?” “Wala!! Na hii nyumba ni yako au?” “Ndiyo, ni yangu. Nilinunua wiki zilizopita baada ya kusikia tangazo la mnada kuwa inauzwa… ” Baada ya jibu hilo mama alikosa swali la nyongeza. Rahabu alitusisitiza tuingie ndani angalau tupate chakula au maji ya kunywa lakini tulikataa, tuliaga kisha tulirudi nyumbani. Siku hiyo kila dakika tulimzungumzia Rahabu tu, bado hatukuamini kama yeye ndiye mmiliki wa nyumba…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 51 “Hivi mume wangu siku hizi pesa zako unazipeleka wapi? Mshahara mbona sihuoni? ” “Mke wangu we acha tu, haya madeni haya yatakuja kuniua. Si unakumbuka kipindi kile nimewajengea nyumba wewe na mama yako?” “Eeh nakumbuka” “Zile pesa nilikopa. Hata ile gari yako ni pesa za mkopo. Biashara yangu ya mkaa imekufa kwa sababu serikali imeingilia kati, imekataza watu kuchoma mkaa. Na mshahara wangu wote unaishia kulipa madeni” “Mh pole mume!! Kwahiyo tunafanyaje sasa? Mana maisha yamekuwa magumu, duka langu ndo kama hivyo halina kitu chochote nimeamua kulifunga, kwa sasa hata Mimi sina pesa”…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 46 Kiukweli yule mkaka (Genson) alinichanganya sana, alinivuruga kichwa, aliniacha njia panda. Bora hata angeniambia kuna hivi na vile kuliko maelezo aliyoniachia. Nilitulia niliwaza nifuate ushauri wake au nipotezee? Niliamua kupotezea, nilipiga kazi zangu hadi jioni, nilifunga duka nilirudi nyumbani. Nilimkuta mume wangu kasharudi, Kwa mahaba mazito alinikimbilia alikuja kunipokea. Alinipeleka chumbani, tulienda bafuni tulioga, aliingia jikoni alipika chakula cha watu watatu tu ambao ni Mimi, yeye na mtoto wetu Masoud. Nilimuuliza vipi kuhusu Rahabu, alinijibu kwamba Rahabu atajipikia mwenyewe. Kama mwanamke sikupenda suala lile, nilichukua chakula nilikipeleka chumbani kwa Rahabu, nilimkuta akilia machozi…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 41 Nilipagawa. Niliwaza mume wangu alinambia boksa kaisahau gest!! Sasa imekuwajekuwaje niikute chumbani kwa Rahabu???? Nilibaki mdomo wazi, macho yalinitoka, sura ilinipauka, nilibaki nimeduwaa tu!!! Hata ile hamu ya kusuka iliniisha. Fasta nilimpigia simu Rahabu, simu iliita kisha ilipokelewa. “We Rahabu, hii boksa ya shemeji yako imefikaje huku chumbani kwako?” “Boksa? Boksa ipi tena dada?” “Wewe usijitoe hufahamu, nipo chumbani kwako muda huu. Nimekuta boksa ya mume wangu kwenye kabati lako, nani kaiweka??” “Oooh nimekumbuka, itakuwa jana wakati naanua nguo zangu nilichanganya na za shemeji. Na sio boksa tu, nadhani ukiangalia kwa makini utaona…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 36 “Shida gani?” nilimuuliza nikiwa nimemkodolea macho mana alianza kunitisha “Mtoto atashindwa kupita kwenye njia sahihi, utafanyiwa operesheni. Na pia kama mtoto atapita basi utapata maumivu makubwa kwa sababu njia itakuwa ndogo sana au itaziba. Madaktari wanashauri mama mjamzito afanye tendo mara kwa mara ili kulegeza njia, kumkuza mtoto, kuepuka operesheni na kuepuka maumivu. Na hilo tendo lenyewe inabidi ufanye na baba wa mtoto… Ukifanya na mwanaume mwingine huyo mtoto anaweza akakosa akili, akawa kichaa, utambemenda!! Atakuwa kama zuzu vile” “Eeh sasa mbona sijawai kusikia mambo hayo? Ngoja nikamuulize mama..” niliongea nikisimama ili nitoke…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 31 Bado hakutaka kukubali, aliniwahi kisha alinivuta mkono alinipeleka kwenye gari yake, alinizamisha ndani, nae alizama ndani kisha aliondoa gari kwa kasi kubwa. Tulifika nyumbani tuliwakuta mama na Rahabu wakila chakula cha usiku. Mimi nilipitiliza nilielekea chumbani kwangu, kaka nae alienda chumbani kwake. Mama na Rahabu walibaki wanashangaa tu, wao hawakijua kinachoendelea. Nikiwa chumbani kwangu muda wote nilikuwa nalia kwa hasira, kila nikiwaza namna nilivyoharibiwa masomo nilijikuta naumia sana. Sikutaka kukaa na maumivu moyoni, niliona bora nikamuambie mama ili nae ajue ukatili alionifanyia kaka. Niliacha kulia, nilifuta machozi kisha nilitoka kitandani nilielekea sebuleni. Nilikaa…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 26 “Kaka…” nilimuita nikiwa namtazama usoni “Achana na mambo ya kuitana, unaniita kwani hunioni? Wewe nambie kama umekubali au hutaki” “Kwanza nisamehe kama nimekukosea, kiukweli kabisa nakuheshimu kama kaka yangu wa damu. Hata hivyo nashindwa kushindana na wewe, bado nahitaji misaada mingi kutoka kwako. Naomba nikuombe kitu kimoja tu…” “Kitu gani?” “Nisaidie hiyo pesa ya ada, mimi naenda kumalizia miezi michache iliyobaki alafu nikirudi nitakupa unachokitaka na tutakuwa wapenzi” “Aah ufala huo ndo sitaki… Alafu wewe nakulea sana… Nyie mabinti wengine hadi mbakwe ndo muelewe. Mi siwezi kuishi na binti mzuri kama wewe alafu…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 21 “Niniii? Kaka Nasri unasemaje?” Nilishtuka, niliogopa!! “Naomba futa kabisa habari za ukaka, mimi na wewe sio dam moja. Hivyo basi kutokana na uzuri wako nimejikuta nina hisia nzito juu yako, ghafla tu nimejikuta nakupenda. Na natamani hata wewe unipende tuwe wapenzi, vipi unanielewa lakini?” Aliongea kwa msisitizo, alionyesha kuwa hatanii. Na kabla sijamjibu chochote tayari alinikumbatia kisha alisogeza mdomo wake karibu na mdomo wangu, alitaka kunipiga busu la kikubwa lakini nilikwepesha mdomo!! Alikasirika, alichukia kuona nimekataa busu lake. “Kwahiyo hutaki au?” “Kaka mbona leo sikuelewi? Hivi ni wewe kweli?” “Ni mimi, na hizi…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 16 “Ni yangu kaka, kwani hukuona kuwa ni Mimi? Sura mbona ni yangu, ni Mimi yule” nilimsisitiza “Mmh siamini…. Wewe ndo upo vile kwa sasa?… Siamini…. Kama kweli yule ni wewe basi kesho asubuhi naomba urudi nyumbani tukuone kwanza” “Kwa sasa kurudi nyumbani haiwezekani, zimebaki Siku Nne tu likizo iishe. Pia si unakumbuka ulinisisitiza nisirudi nyumbani?… Sitoweza kurudi ila yule wa kwenye picha ni Mimi” “Gensu ni kweli nilitaka usirudi nyumbani ila naomba uje kuna maagizo nataka nikupe, pia kuna pesa nataka uje uzichukue, mama yako na Rahabu wanataka wakuone. Kesho uje asubuhi alafu…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 11 Kitendo cha mimi kufeli hovyo kiliwasikitisha na kiliwakasirisha walimu, hawakupenda mwenendo wa masomo yangu kwa sababu shule ile ni kubwa na ilizoea kufaulisha kwa kiwangi cha juu. Walishangaa kuona sina akili. Hapo sasa walianza kupambana na mimi, walinikomalia, walinibana sana, japo nilibadilika kidogo lakini matokeo yangu hayakuridhisha. Shule ile ilikuwa ina sheria zake, ili upande darasa linalofuata basi ni lazma ufaulu mitihani ya mwisho ya darasa ulilopo. Na ikitokea umefeli masomo yote, unafukuzwa kabisa. Ikitokea umepa ta four, unarudia darasa. Kwa bahati mbaya matokeo yangu ya kumalizia kidato cha tatu nilifeli, nilipata D…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 06 Mamdogo baada ya kutufokea aliondoka kwa hasira, alituacha tukiwa tumezubaa kama mazombi vile. Kama kawaida mama alianza kulia, nilimchukua nilimlaza mapajani kwangu kisha nilimbembeleza, nilimwambia kwamba tusichoke kumuomba Mungu kwa sababu Mungu hamtupi mja wake, penye nia pana njia, hakuna marefu yasiyo na ncha, baada ya dhiki ni faraja, CHA MUHIMU NI UHAI. Licha ya vitisho vyake lakini hatukuwa tayari kurudi kwake. Kutokana na mamdogo kubeba unga na mchele ilibidi tuishi kwa kula mihogo, maboga na matunda mwitu. Mwanzoni tulendelea kuomba chumvi kwa majirani lakini baadae hata majirani walituchoka, walituambia kuwa wameishiwa. Hapo…

Read More

MWANAUME WA NDOTO ZANGU SEHEMU YA 01 Baada ya mateso ya muda mrefu walinichukua walinipeleka katikati ya msitu mnene wenye giza totoro. Mbele yangu alisimama mwanaume jangiri mwenye roho ya kikatili. Na nyuma yangu alisimama mwanamke shetani mwenye roho ya kigaidi. Wote wawili walishika mapanga wakitaka kunitoa roho ili waishi maisha yao kwa uhuru. Sikuwakosea kitu chochote ila sikujua kwanini walitaka kuniangamiza. Nikiwa nalia kwa uchungu niliwaza nitakwepaje kifo kibaya ambacho kilikuwa mbele yangu, sikupata majibu, niliamua kufumba macho kisha nilimuachia Mungu!! Nilitulia tulii, kama kuniua na waniue. Nao baada ya kuona siwezi kujitetea walinicheka kwa dharau kisha walinyosha mapanga…

Read More

MAPITO YANGU Mimi ni mama wa watoto wawili. Kabla sijampata mume wangu, nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa hapa Tanzania. Siku niliyopata kazi hiyo, wafanyakazi wengi walinishangaa sana walivyonitazama kana kwamba mimi ni kiumbe wa ajabu. Meneja akanita na kuniambia, “Unatakiwa ufanye kazi kwa bidii zote.” Nikamjibu, “Sawa kabisa.” Maisha yaliendelea… Baada ya wiki moja, nikiwa bize kazini, bosi akanita tena. Nilipoelekea ofisini kwake, nikaona wafanyakazi wananiangalia kwa jicho la ajabu. Kweli Mungu hakuninyima uzuri. Nina sura ya kupendeza, rangi yangu ni ya kati – sio mweupe wala mweusi, na umbo langu limeumbika vyema. Kwa kifupi, nimejaaliwa. Nilipofika kwa bosi,…

Read More

KUMBE KAKA NDIO ALIMTOA BABA KAFARA Marehemu baba yetu alifariki mwaka 2006. Wakati huo, mimi nilikuwa darasa la sita. Nilipomaliza darasa la saba mwaka uliofuata (2007), nilifaulu vizuri na nilipata nafasi ya kujiunga na kidato cha kwanza. Lakini kaka yetu mkubwa, ambaye kwa kipindi hicho alikuwa amefungua maduka mawili, alinieleza kuwa niachane na shule ili niende kusaidia kuuza mojawapo ya maduka yake na kuishi pamoja na mke wake. Kwa kuwa kaka ndiye aliyekuwa kila kitu katika familia yetu kwa wakati huo, sikuwa na namna zaidi ya kukubali. Nikaanza kuuza duka hilo, na nilikaa hapo kwa miaka miwili. Duka likakua sana…

Read More

Kilinichopata, Baada Ya Kumuacha Mke Wangu Kwa Dharau Mimi na mke wangu ni walimu kitaaluma, ingawa kwa sasa mimi sifundishi tena. Tulipokutana, tulikuwa wote tunafundisha katika shule moja binafsi inayoheshimika. Baadaye, tukaanzisha biashara ya vipodozi – ingawa ukweli ni kwamba mke wangu ndiye aliyefungua biashara hiyo kwa kutumia akiba yake, kwani mimi sikuwa na imani sana na biashara. Nilikuwa naona kama biashara ni ya kina mama.Nilipuuza sana biashara hiyo hadi siku moja nilipomuona akipiga mahesabu. Nilishangaa alivyokuwa anapata pesa nyingi. Nikaanza kuchukua biashara hiyo kwa uzito. Nikamshawishi mmoja wetu aache kazi ili asimamie biashara. Kwa kuwa tayari niliona kuna faida,…

Read More

WIFE MATERIAL – FULL STORY (1 – 35) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: WIFE MATERIAL 1 – 5 WIFE MATERIAL 6 – 10 WIFE MATERIAL 11 – 15 WIFE MATERIAL 16 – 20 WIFE MATERIAL 21 – 25 WIFE MATERIAL 26 – 30 WIFE MATERIAL 31 – 33

Read More

WIFE MATERIAL 31 Nilimpigia simu naye hakuchelewa kupokea,nikamwambia hiv kwa mfano nikikuambia umefeli kitu Cha Kwanza utafanya Nini?akasema kufeli na kifaulu yote ni matokeo sitakua na Cha kufanya zaidi ya kushukuru tu kiwa nimefanikiwa kumaliza elimu yangu nikiwa mzima na mwenye afya. Nikamwambia hongera bwana dogo umefaulu una division two jitahidi tuu utoboe,ufike mbali zaidi form five na six hizo zinakuita.jaman alifurahi Sana,akasema ngoja nimwambie mama,akakata simu. Baadae alinitafuta Tena na kuniambia keshokutwa narudi mama amesema ananitumia nauli nije Kuanza tuition ya maandalizi ya form5.nikamwambia sawa dogo Amna shida. Siku tatu mbele nikiwa nnalisha mbwa wangu chakula,nilizibwa macho kwa nyuma…

Read More

WIFE MATERIAL 26 Nikawaambia kosa langu ni lipi Hadi mnaniadhibu kiasi hichi?baba B aliweka panga mdomoni kwangu akiashiria ninyamaze.akasema yani seche amefariki na nilikua namtumia yeye kupata pesa kwaio wewe saivi ndo utakua kitega uchumi changu,sawa?alisema kwa ukali alichomoa kisu kidogo na kunionyeshea,nikamjibu sawa nipo tayari kwa lolote. Walinipiga sana na kutaka niwaonyeshe ni wapi nimehifadhi pesa,nilisema Sina pesa kwa Sasa nikatoa noti ya elfu 10,iliyokuwa kwenye dresing table nikawapa,walikasilika Sana mmoja Kati yao alisikika akisema tumuue tuu anakaa anafaida gani na pesa hana.? Huyo baba B akasema huyu anatufanyia makusudi ngoja nimuoneshe kuwa miemwenyew ni mafia,alichukua kisu akajikata sehem…

Read More

WIFE MATERIAL 21 Nilichukua simu nikatishia kumpigia mkuu ili aogope,nikamueleza kuwa namwambia mkuu wako wa shule ili ufukuzwe shule umekosa nidhamu.lakin alinitolea pakti ndogo kweny mfuko wake wa sketi ilikua ni pakti ya sumu ya panya🙆‍♀ Nikasema wew Eliza inamaana ndo umejipanga kiasi hichi?nilitamani labda nipige kelele wanafunzi wote huko nje wanisikie,ila nikasema lazima niende nae taratibu Kwanza kabisa nimlagai nifanikiwe kuinasa iyo pakti,najua baada ya hapo nitaweza kuupata ufunguo wa kutoka humu ndani,maana naweza fanya maamuzi magumu alafu yaka mkosti yy namm nikaisiwa kuuwa nikaishia jela. Nikamwambia Eliza acha basi subiri Kwanza weka iyo sumu chini,mbona haya mambo ya…

Read More

WIFE MATERIAL 16 Basi nilimuacha pale seche huku moyo unaniuma Sana,kiukweli niliumia sana😔sikumtegemea Kama angeweza kunifanyia vile.kilichoniuma zaidi ni yule mtoto tuu,niliweka kichwani kuwa ni mtoto wangu na nilimpa upendo wa mwanangu niliumia Sana,nilimuonea huruma sababu maisha anayoenda kuishi ni maisha ya shida uyo mwanaume wake mwenyewe haeleweki,. Niligeuka nikamwambia seche kwaheri,nilitoka pale Hadi kwangu.nilifika ndani nikajifungia nilishindwa kuzuia chozi langu la unyonge,nililia Sana. Nikasema hivi Mimi nakwama wapi?mbona shida zote zinanizonga?hivi Mimi nnamapungufu gani?hawa wanawake mbona wanaishia kunitenda hivi?au siwalizishi?au siwapi Wanachotaka.ok basi sawa siwatimizii haha zao ndo waondoke kwenye maisha yangu na kuniachia maumivu kiasi hichi? Kiufupi nilijiuliza…

Read More

WIFE MATERIAL 11 Nilimuuliza seche baada ya kutoka kanisani huwa unaenda wapi?naomba useme ukweli maana laa sivyo nitawapigia simu wazazi wako pia nitakupekeka kanisani uende ukaongee mbele ya kanisa. Basi akasema usifanye hivyo nipo chini ya miguu yako muda huo amepiga goti,Huku machozi yakivuja kifuanii kwake.Akasema Fred nisamehe mpenzi wangu,najua Itakua ngumu Sana kwako kuniamini Ila ukweli ni kwamba nikitoka kanisani huwa napita kwa rafiki yangu mwanakwaya mwenzangu tupo wanne,huko huwa tunaenda kuendeleza mazoezi ya kwaya. Nikamwambia Sasa kulikua na umuhimu gani wa wewe kunificha???akasema nilijua usingeweza kukubali Mimi kufanya kazi za kanisa Hadi usiku.nikasema ok unaweza kunipeleka huko kwa…

Read More

WIFE MATERIAL 06 Niliingia Hadi ndani ndipo nikamkuta yule binti yupo na mama bado wanapiga story,walingea pale walipomaiza Alisha akaondoka,iyo siku nikawa nimemkosa…ila nilishaweka mipango sawa ya kuweza kumnasa. Siku zilikua zinaenda kila nikitaka kumuona private inashindikana nikasema likizo inakaribia kuisha na sijaweza kufanikiwa kuonana nae hata kufunguka hisia zangu kwake,ili ninapoenda kwangu niwe na jibu moja. Ilikua siku ya ijumaa Kama kawaida yule binti alikuja pale nyumbani nilimpokea nikamkaribisha kwa ukarimu nilikua nje na mama alikua amepumzika ndani.alinisalimia akakunja na goti.upendo unazid ninaopoona zile heshima na upole wake. Alianza kutaka kuingia ndani nikamwambia samahani kabla ujaingia ndani naomba tuongee…

Read More

WIFE MATERIAL 01 Naitwa Freddy ni mtoto wa Kwanza katika familia ya watoto wa tano,Leo hii moyo umenisukuma Sana kuleta kisa changu,naomba tufatane pamoja ili tuweze kupata kitu. Nimelelewa katika maadili ya kidini sana,familia yetu ni ile familia yenye misingi ya dini sana.siku zote mama pamoja na baba walinisihi kuhusu kusoma kwa bidii na kuachana na Mambo ya kidunia… Nilikua kwenye misingi hiyo Hadi pale nilipofika kidato Cha tano ndipo nilipoanza kujiona ni mwenye matamanio ya kimwili kutokana na barehe…ila kila nikikumbuka kauli za wazazi wangu niliachana na hisia zangu na kufanya kilichonipeleka shule, Nilihitimu masomo yangu na kufanikiwa kumaliza…

Read More

FANYA HAYA ILI KITUMBUA CHAKO KITOE HARUFU NZURI   Wakubwa Tu Masomo yaliyoandikwa humu ni kwa ajili ya Watu wazima tu, kuanzia miaka 18 na kuendelea.   Utabonyeza link hapo chini kufungua Kijitabu kidogo tu chenye Mautundu ya kutosha, ambayo yatakusaidia sana katika safari ya mapenzi.   BONYEZA HAPA kupata Maujanja         Advantages of Love   Love helps to build honesty and truthfulness Lying is never an option, in love or even otherwise. There is never any gain that arises out of a lie and love helps you be truthful to yourself and your partner. Honesty is…

Read More

KABLA HUJALAMBA KITUMBUA, ZINGATIA HAYA   Wakubwa Tu Masomo yaliyoandikwa humu ni kwa ajili ya Watu wazima tu, kuanzia miaka 18 na kuendelea.   Utabonyeza link hapo chini kufungua Kijitabu kidogo tu chenye Mautundu ya kutosha, ambayo yatakusaidia sana katika safari ya mapenzi.   BONYEZA HAPA kupata Maujanja         Benefits of Love   Love creates mutual respect Love means you value each other despite all your differences. It sees no demarcation between a man and a woman and commands respect at both ends for one another. You listen to each other’s opinions. In cases where there is…

Read More

AINA ZA MIHOGO YA WANAUME   Wakubwa Tu Masomo yaliyoandikwa humu ni kwa ajili ya Watu wazima tu, kuanzia miaka 18 na kuendelea.   Utabonyeza link hapo chini kupakua Kijitabu kidogo tu chenye aina za Mashine za wanaume.   PAKUA HAPA Aina za Mashine   .. .. .. Love is very Important   A new frontier   Love is biological bribery and evolutionary adaptation. It’s essential for collective survival and individual health. Yet none of this diminishes its transcendent power. Each of love’s functions are one part of a multifaceted whole, like a gemstone with many faces. To understand the many…

Read More

AINA ZA VITUMBUA VYA WANAWAKE   Wakubwa Tu Masomo yaliyoandikwa humu ni kwa ajili ya Watu wazima tu, kuanzia miaka 18 na kuendelea.   Utabonyeza link hapo chini kupakua Kijitabu kidogo tu chenye aina za Sambusa za wanawake.   PAKUA HAPA Aina za Vitumbua   .. .. .. We need Love   Survival of the loving   Along with love’s complexity, Machin and Algoe agree that love plays an essential role in human survival. Romance ballads and rom-coms would have us believe that love is just an emotion: mercurial, dramatic, the source of both ecstasy and despondence. But Machin and Algoe…

Read More

AINA ZA MAZIWA YA WANAWAKE ZINAZOHAMASISHA MAPENZI   Wakubwa Tu Masomo yaliyoandikwa humu ni kwa ajili ya Watu wazima tu, kuanzia miaka 18 na kuendelea.   Utabonyeza link hapo chini kupakua Kijitabu kidogo tu chenye aina za matiti ya wanawake.   PAKUA HAPA Aina za Matiti   .. .. .. Importance of Love   It is The Greatest Feeling Isn’t it?  But don’t take our word for it, just read any of the majority of the classics of the twentieth century that deal with the topic, or watch any of the classic films (or even the not so classic ones) etc.  You…

Read More

VIMICHEZO VYA KUFANYA WAKATI UNAMPA UTAMU MWANAMKE   Wakubwa Tu Masomo yaliyoandikwa humu ni kwa ajili ya Watu wazima tu, kuanzia miaka 18 na kuendelea.   Utabonyeza link hapo chini kufungua Kijitabu kidogo tu chenye Mautundu ya kutosha, ambayo yatakusaidia sana katika safari ya mapenzi.   BONYEZA HAPA kupata Mautundu         Benefits of Love   It is Excellent Source of Motivation When you are in love, you feel you always want to create, you are inspired, you aim for better, you are not just spending time in vein sense either. That is to say, it is not merely…

Read More

FAIDA NA UTAMU WA MASHINE NDOGO    Wakubwa Tu Masomo yaliyoandikwa humu ni kwa ajili ya Watu wazima tu, kuanzia miaka 18 na kuendelea.   Utabonyeza link hapo chini kufungua Kijitabu kidogo tu chenye Mautundu ya kutosha, ambayo yatakusaidia sana katika safari ya mapenzi.   BONYEZA HAPA kupata Mautundu         Why humans crave love and affection To love and to feel loved can feel as significant as other needs, such as food and drink. Gestures of affection may allow individuals to feel loved, meaningful, and not alone. Physical touch love language is often a necessity for meaningful relationships. Physical touch…

Read More

MITINDO MITAMU WAKATI UNAHONDOMOLA   Wakubwa Tu Masomo yaliyoandikwa humu ni kwa ajili ya Watu wazima tu, kuanzia miaka 18 na kuendelea.   Utabonyeza link hapo chini kupakua Kijitabu kidogo tu chenye Mautundu ya kutosha, ambayo yatakusaidia sana katika safari ya mapenzi.   PAKUA HAPA Style za Kuhondomola         What does affection look like? Affection may be defined as any action intended to arouse feelings of love in the giver and recipient. Affectionate behavior could be anything from kissing your significant other to holding hands. Hugging, holding a puppy or a baby, or stroking someone’s arm or…

Read More